POLEPOLE AWAJIBU WABUNGE WANAOSEMA RAIS MAGUFULI AONGEZEWE MUDA
Mbunge wa kuteuliwa, Humphrey Polepole leo Jumanne Februari 9, 2021 amelieleza Bunge kuwa Rais wa Tanzania, John Magufuli hana mpango wa kuongeza muda wa kukaa madarakani.
Mbunge wa kuteuliwa, Humphrey Polepole leo Jumanne Februari 9, 2021 amelieleza Bunge kuwa Rais wa Tanzania, John Magufuli hana mpango wa kuongeza muda wa kukaa madarakani.
Пікірлер: 100
Safi sana mbunge mwenye hakili
Humphrey Pole pole the next future President
Wewe ndo una taka waongeze muda siyo Watanzania wote ila huu ni mchezo tuu wanaleta wata vunja katiba
Wanawachora tu ili kuwandaa kisaikolojia watanzania lisemwalo lipo na katiba ya Afrika ni maandishi tu watairekebisha tu na kumpa uongozi kwa mhula wa tatu.
@blastingpaintingservice8538
3 жыл бұрын
UJINGA NI DONDA LA KICHWA ALONALO HALIONI.....Yaani wanapoteza muda kwa mambo ya kijinga tuu
@georgesongo3617
3 жыл бұрын
Hata miaka mia poa ataishi milele huyo!
@hassansalum5362
3 жыл бұрын
Magufuli hawezi kuongeza muda hata siku 1
Safi sana waambie maana wameshajioan ccm ndo wao wako bungeni pke yao
Ahongeze tunamuhitaji xna rais wetu aongeze miaka
Kuwa muelewa faza , magufuli hajasema anaongeza muda sisi ndio tunataka aendeleee
@ilynpayne7491
3 жыл бұрын
Wewe ndo una taka siyo Watanzania wote ila kwa huyo jamaa alivyo ata ongeza muda
@kenedytigawa3120
3 жыл бұрын
Wewe na nani!!! sema individually
@emmydzoo8729
3 жыл бұрын
@@kenedytigawa3120 Mimi nawengine wengi Tu ngoja timbwili lianze ndio utaona kama ni Mimi au ninyomi la watu wewe utabaki na individually yako ,
@kenedytigawa3120
3 жыл бұрын
@@emmydzoo8729 timbwili la nini tena nchi hi haipo mnavyoifikiria mnapingana na mwenye rungu eeee!!!!!
Nalia kwa ajili ya Tanzania yetu, ningependa Tanzania tuwe katikati(neutral) haswa viongozi wetu jamani mnyonge mnyongeni haki yake apewe uchaguzi uwepo 2025 na Raisi abadilishwe kulingana na katiba na kwa ajili ya Tanzania ya kesho tafadhali katiba ibadilishwe kwa maana Tanzania ya 1970's haina uhalisia wa miaka ya 2020's kwa sababu kuna idadi kubwa ya wasomi na kubadilika kwa mwenendo wa dunia
Hadi raha
Safiii sanaaa.....
Hata akiongeza mda sio tatizo kwan atae ingia ata gawa pesa bule ata aongoze milele atajua yy
@bernardoleonard7331
3 жыл бұрын
Kabsa
@mrizzy5424
3 жыл бұрын
katiba ifuatwe
@georgesongo3617
3 жыл бұрын
Mmezidinkujipendekaeza wakati mnakula mmoja badala ya Mitatu ya Kikwete.
@freduallughano2301
3 жыл бұрын
Watu wa bongo fleva huku sio sehemu yenu
@saladaniel9274
3 жыл бұрын
Umeonaee 🤣
Ndio maana walimuua RAIS WETU KWANI DANIEL MBONA ALUKATAA KUONGOZA LAKN MUNGU ALIMWAMBIA UTAFANYA ALUKATAA KATU KATU MUNGU AKAMWAMBIA UTAFANYA ALA MBONA WABUNGE WABAYA BAYA WANA MIAKA 30, 20 HAMSEME WALAANIWE WALIYO MUUA RAIS MAGUFULI KIU YA WA AFRICA IN SHAALAH
Lengo lenu n kuongez hkna lingne
Tunaomba pia mawazo yawatanzania yaheshimiwe tunataka magufuli aongezewe muda
@modestapeter2997
3 жыл бұрын
Kwakweli
@bernardoleonard7331
3 жыл бұрын
Kabisa
@venancemsigala1701
3 жыл бұрын
Watanzania gani ? Tupo tusiotaka kuvunja katiba, nasi ni watanzani pia tuheshimiwe
@cheiknamouna2058
3 жыл бұрын
Nae hataki sasa kaeni na fikra zenu
@idrisababu6124
3 жыл бұрын
Hayo mawazo yako usisema ya Watanzania ww aondoke hata leo
hahaaaaaaaaa noma sana
Hili zee jinga sana malkia elzabert had leo yupo
@emmanuelmasele311
3 жыл бұрын
Wew ndio hauna akili ....kwani Magufuli kaletwa n nani? Kwahyo Mungu hawezi kuleta zaidi yke ...kwahyo we ndio hauna akili
Hakuna bunge tena uku
Maoni yangu Huyu aongezewe muda tu wengine watatuiBia tu nakurudisha nyuma Hatua zote.
@alimussa2655
3 жыл бұрын
Tuliza mshono wewe haongezwi
@bernardoleonard7331
3 жыл бұрын
@@alimussa2655 we Ni matako kweli haujui maana ya maoni pumbavu kabsa
@alimussa2655
3 жыл бұрын
@@bernardoleonard7331 matako mamako
@bernardoleonard7331
3 жыл бұрын
@@alimussa2655 🏃🏃🏃basi umeshinda we bingwa🤣🤣🇹🇿
SIASA ZIONE HIVI HIVI MPUMBAVU HUTOKA MBELE NAKUVIMBA KICHWA. HAPA MNAANDALIWA KISAIKOLOGIA......
@jamesjahasa3348
3 жыл бұрын
😃😃😃😃😃😃😃😄
JPM lazima aongezewe
@hassansalum5362
3 жыл бұрын
Hakuna ulazima wowote na wala.hatoongeza
Ahaaaaahaaaaaa
Tunamuongezea muda,atake asitake.
Let them talk..
Wabunge wa ccm hawampendi Magu bali wanapenda alivyo wapachika ktk ubunge maana wengi walikuwa hawakushinda bali wamewekwa sasa wanahofu uchaguz ujao ndo mana wanataka fisadi wa demokrasia na katiba aendelee ili wao waje wawekwe tena cyo kuchaguliwa.
Bora ya wewe
Ukumbuke maneno yako cku akiwi Rais wa milele yy aongeze Tu kwa Kuna shida gan akiogeza au kuongezewa maisha niyale Yale tu
Note: kauli ya mwisho CCM hoyeee
na asiongeze muda
Watanzania ndio waamuzi nukta.
Kumbukeni rais ni taasisi sio mawazo ya mtu mmoja. Yanayofanywa sasa ni serikali na uongozi wote uliopo madarakani sio rais peke yake. Yote yafanywayo yalikuwepo ila kwa kile kilichoitwa siri za serikali
Ongelea nssf
umeshiba
@humphreyalbano3349
3 жыл бұрын
Et umeshiba...dah
Aogeze Muda tuu
Sioni cha maana.
@georgesongo3617
3 жыл бұрын
Watu wanpenda kauli , zake hakuna corona wote tumekubali kimoyomoyo hahahah! 😂😂😂
Hili ni bunge au semina tuu ya CCM nendeni kwenye ukumbi wenu ch
Wanaona akiondoka watangoka au hahahaha
@lubinzamafulukaroly5366
3 жыл бұрын
Maguful ni mpiga kazi tusimchanganye
Mbowee sikia hiyoooo☝️ maana ulichonga mdomo Sana
@fanuelsulle8144
3 жыл бұрын
Mbowe anaingiaje hapo!?au unawashwa!???
@f.a6043
3 жыл бұрын
Mbowe je na yeye yuko bungeni kweli 🤔 ubinadam ni kazi
@fanuelsulle8144
3 жыл бұрын
@@f.a6043 Hata mimi namshangaa huyu chizi!!!
@salmaathuman9156
3 жыл бұрын
@@fanuelsulle8144 MBONA umepanic bwana ako nn asitajwe yeye nani katika hii dunia si choko tu Kama choko wengine
@salmaathuman9156
3 жыл бұрын
@@fanuelsulle8144 chizi ww unaepalamia mboo kwa nyuma Kama imekuuma chomoa
mi.nDo.yE.nA.oNa.yE.aNgiOnGeZwA.miYaKa.miiNgiNe.miKuMi.tU.aLaFu.nDo.iSiDi.aPo.bAsi.
@emmamatemu8225
3 жыл бұрын
Shule yenyewe ulikimbia umande Halafu unataka miaka "mikumi"
@kimwerionlinetv5574
3 жыл бұрын
@@emmamatemu8225 😂😂😂😂😂
@kimwerionlinetv5574
3 жыл бұрын
@@emmamatemu8225 😂😂😂😂😂
Haswaa hapo tunaenda sawa tunamuunga mkono yeye atumie muda wake vizuri
Asipo ongeza Muda nitalia Mimi nitampata wapi rahisi Kama magufuli
Mitano tena
aongezewe mda yeye ni nan??? hii inaonesha ni jinsi gani watanzania tuna fikra mgando, tupo zaid ya million 60 yey mmoja ni nan, 2025 tunataka kiongoz timamu sio wa kukurupuka
@peterphilipo5103
3 жыл бұрын
Duuh!
sasa kama wananchi wamewatuma wabunge, unataka wasiseme!? huyu mmbunge wawap!?
Kama upo ccm una akili
Aondoke fyuuu mitano out.
😂😂😂😂
@mohamedhaji2200
3 жыл бұрын
Agness