POLEPOLE AWAJIBU WABUNGE WANAOSEMA RAIS MAGUFULI AONGEZEWE MUDA

Mbunge wa kuteuliwa, Humphrey Polepole leo Jumanne Februari 9, 2021 amelieleza Bunge kuwa Rais wa Tanzania, John Magufuli hana mpango wa kuongeza muda wa kukaa madarakani.

Пікірлер: 100

  • @jaksonshillajumanne8839
    @jaksonshillajumanne88393 жыл бұрын

    Safi sana mbunge mwenye hakili

  • @jacksonpeter6415
    @jacksonpeter64153 жыл бұрын

    Humphrey Pole pole the next future President

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne74913 жыл бұрын

    Wewe ndo una taka waongeze muda siyo Watanzania wote ila huu ni mchezo tuu wanaleta wata vunja katiba

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler28473 жыл бұрын

    Wanawachora tu ili kuwandaa kisaikolojia watanzania lisemwalo lipo na katiba ya Afrika ni maandishi tu watairekebisha tu na kumpa uongozi kwa mhula wa tatu.

  • @blastingpaintingservice8538

    @blastingpaintingservice8538

    3 жыл бұрын

    UJINGA NI DONDA LA KICHWA ALONALO HALIONI.....Yaani wanapoteza muda kwa mambo ya kijinga tuu

  • @georgesongo3617

    @georgesongo3617

    3 жыл бұрын

    Hata miaka mia poa ataishi milele huyo!

  • @hassansalum5362

    @hassansalum5362

    3 жыл бұрын

    Magufuli hawezi kuongeza muda hata siku 1

  • @johnkigina1696
    @johnkigina16963 жыл бұрын

    Safi sana waambie maana wameshajioan ccm ndo wao wako bungeni pke yao

  • @WamretaWamreta
    @WamretaWamreta3 жыл бұрын

    Ahongeze tunamuhitaji xna rais wetu aongeze miaka

  • @emmydzoo8729
    @emmydzoo87293 жыл бұрын

    Kuwa muelewa faza , magufuli hajasema anaongeza muda sisi ndio tunataka aendeleee

  • @ilynpayne7491

    @ilynpayne7491

    3 жыл бұрын

    Wewe ndo una taka siyo Watanzania wote ila kwa huyo jamaa alivyo ata ongeza muda

  • @kenedytigawa3120

    @kenedytigawa3120

    3 жыл бұрын

    Wewe na nani!!! sema individually

  • @emmydzoo8729

    @emmydzoo8729

    3 жыл бұрын

    @@kenedytigawa3120 Mimi nawengine wengi Tu ngoja timbwili lianze ndio utaona kama ni Mimi au ninyomi la watu wewe utabaki na individually yako ,

  • @kenedytigawa3120

    @kenedytigawa3120

    3 жыл бұрын

    @@emmydzoo8729 timbwili la nini tena nchi hi haipo mnavyoifikiria mnapingana na mwenye rungu eeee!!!!!

  • @jimmymasika8836
    @jimmymasika88363 жыл бұрын

    Nalia kwa ajili ya Tanzania yetu, ningependa Tanzania tuwe katikati(neutral) haswa viongozi wetu jamani mnyonge mnyongeni haki yake apewe uchaguzi uwepo 2025 na Raisi abadilishwe kulingana na katiba na kwa ajili ya Tanzania ya kesho tafadhali katiba ibadilishwe kwa maana Tanzania ya 1970's haina uhalisia wa miaka ya 2020's kwa sababu kuna idadi kubwa ya wasomi na kubadilika kwa mwenendo wa dunia

  • @georgefesto8455
    @georgefesto84553 жыл бұрын

    Hadi raha

  • @issayamshana3750
    @issayamshana37503 жыл бұрын

    Safiii sanaaa.....

  • @festovenas502
    @festovenas5023 жыл бұрын

    Hata akiongeza mda sio tatizo kwan atae ingia ata gawa pesa bule ata aongoze milele atajua yy

  • @bernardoleonard7331

    @bernardoleonard7331

    3 жыл бұрын

    Kabsa

  • @mrizzy5424

    @mrizzy5424

    3 жыл бұрын

    katiba ifuatwe

  • @georgesongo3617

    @georgesongo3617

    3 жыл бұрын

    Mmezidinkujipendekaeza wakati mnakula mmoja badala ya Mitatu ya Kikwete.

  • @freduallughano2301

    @freduallughano2301

    3 жыл бұрын

    Watu wa bongo fleva huku sio sehemu yenu

  • @saladaniel9274

    @saladaniel9274

    3 жыл бұрын

    Umeonaee 🤣

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph49733 жыл бұрын

    Ndio maana walimuua RAIS WETU KWANI DANIEL MBONA ALUKATAA KUONGOZA LAKN MUNGU ALIMWAMBIA UTAFANYA ALUKATAA KATU KATU MUNGU AKAMWAMBIA UTAFANYA ALA MBONA WABUNGE WABAYA BAYA WANA MIAKA 30, 20 HAMSEME WALAANIWE WALIYO MUUA RAIS MAGUFULI KIU YA WA AFRICA IN SHAALAH

  • @JamesJames-mq2jn
    @JamesJames-mq2jn3 жыл бұрын

    Lengo lenu n kuongez hkna lingne

  • @michaelmrema5233
    @michaelmrema52333 жыл бұрын

    Tunaomba pia mawazo yawatanzania yaheshimiwe tunataka magufuli aongezewe muda

  • @modestapeter2997

    @modestapeter2997

    3 жыл бұрын

    Kwakweli

  • @bernardoleonard7331

    @bernardoleonard7331

    3 жыл бұрын

    Kabisa

  • @venancemsigala1701

    @venancemsigala1701

    3 жыл бұрын

    Watanzania gani ? Tupo tusiotaka kuvunja katiba, nasi ni watanzani pia tuheshimiwe

  • @cheiknamouna2058

    @cheiknamouna2058

    3 жыл бұрын

    Nae hataki sasa kaeni na fikra zenu

  • @idrisababu6124

    @idrisababu6124

    3 жыл бұрын

    Hayo mawazo yako usisema ya Watanzania ww aondoke hata leo

  • @rudhwanjumbe2970
    @rudhwanjumbe29703 жыл бұрын

    hahaaaaaaaaa noma sana

  • @nozgeniuz1812
    @nozgeniuz18123 жыл бұрын

    Hili zee jinga sana malkia elzabert had leo yupo

  • @emmanuelmasele311

    @emmanuelmasele311

    3 жыл бұрын

    Wew ndio hauna akili ....kwani Magufuli kaletwa n nani? Kwahyo Mungu hawezi kuleta zaidi yke ...kwahyo we ndio hauna akili

  • @johnkyara2016
    @johnkyara20163 жыл бұрын

    Hakuna bunge tena uku

  • @bernardoleonard7331
    @bernardoleonard73313 жыл бұрын

    Maoni yangu Huyu aongezewe muda tu wengine watatuiBia tu nakurudisha nyuma Hatua zote.

  • @alimussa2655

    @alimussa2655

    3 жыл бұрын

    Tuliza mshono wewe haongezwi

  • @bernardoleonard7331

    @bernardoleonard7331

    3 жыл бұрын

    @@alimussa2655 we Ni matako kweli haujui maana ya maoni pumbavu kabsa

  • @alimussa2655

    @alimussa2655

    3 жыл бұрын

    @@bernardoleonard7331 matako mamako

  • @bernardoleonard7331

    @bernardoleonard7331

    3 жыл бұрын

    @@alimussa2655 🏃🏃🏃basi umeshinda we bingwa🤣🤣🇹🇿

  • @fredyfalsafa6862
    @fredyfalsafa68623 жыл бұрын

    SIASA ZIONE HIVI HIVI MPUMBAVU HUTOKA MBELE NAKUVIMBA KICHWA. HAPA MNAANDALIWA KISAIKOLOGIA......

  • @jamesjahasa3348

    @jamesjahasa3348

    3 жыл бұрын

    😃😃😃😃😃😃😃😄

  • @edisonpeter3894
    @edisonpeter38943 жыл бұрын

    JPM lazima aongezewe

  • @hassansalum5362

    @hassansalum5362

    3 жыл бұрын

    Hakuna ulazima wowote na wala.hatoongeza

  • @liliansospeter1277
    @liliansospeter12773 жыл бұрын

    Ahaaaaahaaaaaa

  • @emanuelshayayi54
    @emanuelshayayi543 жыл бұрын

    Tunamuongezea muda,atake asitake.

  • @robertigohe9338
    @robertigohe93383 жыл бұрын

    Let them talk..

  • @kisomekiguwa3706
    @kisomekiguwa37063 жыл бұрын

    Wabunge wa ccm hawampendi Magu bali wanapenda alivyo wapachika ktk ubunge maana wengi walikuwa hawakushinda bali wamewekwa sasa wanahofu uchaguz ujao ndo mana wanataka fisadi wa demokrasia na katiba aendelee ili wao waje wawekwe tena cyo kuchaguliwa.

  • @isayandibato5453
    @isayandibato54533 жыл бұрын

    Bora ya wewe

  • @innobugobola1694
    @innobugobola16943 жыл бұрын

    Ukumbuke maneno yako cku akiwi Rais wa milele yy aongeze Tu kwa Kuna shida gan akiogeza au kuongezewa maisha niyale Yale tu

  • @mackcosmas3278
    @mackcosmas32783 жыл бұрын

    Note: kauli ya mwisho CCM hoyeee

  • @alexjovin2981
    @alexjovin29813 жыл бұрын

    na asiongeze muda

  • @magrethmtengie5133
    @magrethmtengie51333 жыл бұрын

    Watanzania ndio waamuzi nukta.

  • @samakisamaki3226
    @samakisamaki32263 жыл бұрын

    Kumbukeni rais ni taasisi sio mawazo ya mtu mmoja. Yanayofanywa sasa ni serikali na uongozi wote uliopo madarakani sio rais peke yake. Yote yafanywayo yalikuwepo ila kwa kile kilichoitwa siri za serikali

  • @lonaldcronery1658
    @lonaldcronery16583 жыл бұрын

    Ongelea nssf

  • @edrisalusonge4141
    @edrisalusonge41413 жыл бұрын

    umeshiba

  • @humphreyalbano3349

    @humphreyalbano3349

    3 жыл бұрын

    Et umeshiba...dah

  • @halima_Paulin
    @halima_Paulin3 жыл бұрын

    Aogeze Muda tuu

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila85623 жыл бұрын

    Sioni cha maana.

  • @georgesongo3617

    @georgesongo3617

    3 жыл бұрын

    Watu wanpenda kauli , zake hakuna corona wote tumekubali kimoyomoyo hahahah! 😂😂😂

  • @ebenezernnko8251
    @ebenezernnko82513 жыл бұрын

    Hili ni bunge au semina tuu ya CCM nendeni kwenye ukumbi wenu ch

  • @ramadhanikonel5123
    @ramadhanikonel51233 жыл бұрын

    Wanaona akiondoka watangoka au hahahaha

  • @lubinzamafulukaroly5366

    @lubinzamafulukaroly5366

    3 жыл бұрын

    Maguful ni mpiga kazi tusimchanganye

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman91563 жыл бұрын

    Mbowee sikia hiyoooo☝️ maana ulichonga mdomo Sana

  • @fanuelsulle8144

    @fanuelsulle8144

    3 жыл бұрын

    Mbowe anaingiaje hapo!?au unawashwa!???

  • @f.a6043

    @f.a6043

    3 жыл бұрын

    Mbowe je na yeye yuko bungeni kweli 🤔 ubinadam ni kazi

  • @fanuelsulle8144

    @fanuelsulle8144

    3 жыл бұрын

    @@f.a6043 Hata mimi namshangaa huyu chizi!!!

  • @salmaathuman9156

    @salmaathuman9156

    3 жыл бұрын

    @@fanuelsulle8144 MBONA umepanic bwana ako nn asitajwe yeye nani katika hii dunia si choko tu Kama choko wengine

  • @salmaathuman9156

    @salmaathuman9156

    3 жыл бұрын

    @@fanuelsulle8144 chizi ww unaepalamia mboo kwa nyuma Kama imekuuma chomoa

  • @jumakiatu.628
    @jumakiatu.6283 жыл бұрын

    mi.nDo.yE.nA.oNa.yE.aNgiOnGeZwA.miYaKa.miiNgiNe.miKuMi.tU.aLaFu.nDo.iSiDi.aPo.bAsi.

  • @emmamatemu8225

    @emmamatemu8225

    3 жыл бұрын

    Shule yenyewe ulikimbia umande Halafu unataka miaka "mikumi"

  • @kimwerionlinetv5574

    @kimwerionlinetv5574

    3 жыл бұрын

    @@emmamatemu8225 😂😂😂😂😂

  • @kimwerionlinetv5574

    @kimwerionlinetv5574

    3 жыл бұрын

    @@emmamatemu8225 😂😂😂😂😂

  • @nemesamily9118
    @nemesamily91183 жыл бұрын

    Haswaa hapo tunaenda sawa tunamuunga mkono yeye atumie muda wake vizuri

  • @halima_Paulin
    @halima_Paulin3 жыл бұрын

    Asipo ongeza Muda nitalia Mimi nitampata wapi rahisi Kama magufuli

  • @ashilafuketi1961
    @ashilafuketi19613 жыл бұрын

    Mitano tena

  • @johnyty498
    @johnyty4983 жыл бұрын

    aongezewe mda yeye ni nan??? hii inaonesha ni jinsi gani watanzania tuna fikra mgando, tupo zaid ya million 60 yey mmoja ni nan, 2025 tunataka kiongoz timamu sio wa kukurupuka

  • @peterphilipo5103

    @peterphilipo5103

    3 жыл бұрын

    Duuh!

  • @abdalahabdalah7853
    @abdalahabdalah78533 жыл бұрын

    sasa kama wananchi wamewatuma wabunge, unataka wasiseme!? huyu mmbunge wawap!?

  • @nemesamily9118
    @nemesamily91183 жыл бұрын

    Kama upo ccm una akili

  • @ndeletwaswai3530
    @ndeletwaswai35303 жыл бұрын

    Aondoke fyuuu mitano out.

  • @agnessmbata6788
    @agnessmbata67883 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @mohamedhaji2200

    @mohamedhaji2200

    3 жыл бұрын

    Agness