HOTUBA YA JPM: Aanika MADUDU Mapya, Balozi Huyu ATAPONA Kweli!!

HOTUBA YA JPM: Aanika MADUDU Mapya, Balozi Huyu ATAPONA Kweli!!
Leo Machi 28, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli, anamuapisha Valentino Mulowola, kuwa Balozi wa Tanzania nchini CUBA...
Katika tukio hilo Rais Magufuli, pia anapokea taarifa ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwan nchini (TAKUKURU)...
#RaisMagufuli #Mlowola
www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Пікірлер: 176

  • @charugamba218
    @charugamba2185 жыл бұрын

    Mh: Hongera sana kwa kazi nzuri unayoifanya kwa nchi yetu. Hakika naiona Tanzania mpya chini ya utawala wa Mh: JPM

  • @Mamatonny2065
    @Mamatonny20655 жыл бұрын

    Hongera Mheshimiwa Rais. Kwa kazi nzuri unayoifanya huko Tanzania. Love from Scandinavie.

  • @remmywartmann3214
    @remmywartmann32145 жыл бұрын

    Hongera sana sana mheshimiwa Rais kwa maamuzi magumu. Kwavile bila maamuzi magumu nchi zetu za kiafrica mabo hayaendi!!! Endelea vivyo hivyo tuko nyuma yako.

  • @erickkihuru4529
    @erickkihuru45295 жыл бұрын

    Kuwa kiongoz sio kitu simple Hongera xana jpm

  • @godfreydignalis163
    @godfreydignalis1635 жыл бұрын

    Nakukubali na kukuaminia for sure you're the Don of Honesty

  • @noelmmbando8204
    @noelmmbando82045 жыл бұрын

    Huyu ndiye Rais wetu. Tunamheshimu na kumpenda

  • @jocenocha8846
    @jocenocha88465 жыл бұрын

    Najisikia fahari sana kuwa na Rais kama huyu Mungu akufungulie mengi kwaajili ya Taifa letu!

  • @sabinabaynet575

    @sabinabaynet575

    5 жыл бұрын

    uko vizur baba jpm

  • @patrickkazinja4435
    @patrickkazinja44355 жыл бұрын

    hongera sana kwa uzalendo wa kweli mh Rais,this is what we needed as a country.

  • @dicksonmbila8003

    @dicksonmbila8003

    5 жыл бұрын

    patrick kazinja Mimi Dickson Ngassapa Dereva ninamkubali sana Baba magufuli ,unajua watu waliona Tanzania sahamba la Bibi

  • @shaloboy3861
    @shaloboy38615 жыл бұрын

    Mi ni mkenya lakini namkubali sana makufuli kuliko uhuru..watanzania msikizeni huyuu mzee mutafaulu

  • @dionisemyigezo9137

    @dionisemyigezo9137

    5 жыл бұрын

    mpaka nashindwa kuelewa amelelewa wapi mtu huyu, picha ya Tanzania ya mwaka wa mwisho wa ndugu huyu ikiwa atapita na awamu ya pili, naamini ninayoyaona hapa nilipo yatakuwa pia nyumbani Tz. Hold on President, my prayers I promise you!

  • @zefamange7281

    @zefamange7281

    5 жыл бұрын

    Tunashukuru kwa ushauri ndugu, kuna watu kama Tundu lisu wako nje ya nchi kumchafua magufuri

  • @dicksonsheja9376
    @dicksonsheja93765 жыл бұрын

    Hata nyerere hagusi hapa ni moto wa makaa ya mawe LEE JPM Rais wangu mpendwa

  • @zefamange7281

    @zefamange7281

    5 жыл бұрын

    Natamani huyu raisi asiondoke madarakani

  • @mussaelias7117
    @mussaelias71175 жыл бұрын

    proud of you JPM

  • @allanngowi7071
    @allanngowi70715 жыл бұрын

    Mh. Rais unatisha sana ...safi sana.

  • @davidlibent4811
    @davidlibent48115 жыл бұрын

    Hakika wewe ni Kiongozi Mkuu Hodari siyo kwa Tanzania tu ila kwa Dunia Nzima inatambua Uchapakazi wako mzuri Your Excellency JPM.

  • @iddyhemed6116

    @iddyhemed6116

    5 жыл бұрын

    sawa kabisa Mkuu wa nchi usema khaki kabisa sasa mtoto anakufa kbisa sababu ya rushwa yani ila tunajua ww utaweka sawa kila kitu inshallah na mungu akutangulie sana

  • @erodeshayo8783
    @erodeshayo87835 жыл бұрын

    Cna cha kusema ila mm kikubwa nizidi kukuombea afya njema kiongozi wetu

  • @mjukuumaiige8559
    @mjukuumaiige85595 жыл бұрын

    Sijawahi kupiga kura tangu nizaliwe , sasa najuta kwanini sikupiga kura 2015 nikaongezea kura yangu kwa huyu baba, 2020 nitakuwa wa kwanza kituo cha kura kumchagua tena huyu mzee

  • @zefamange7281

    @zefamange7281

    5 жыл бұрын

    Mimi nilipigia kura upinzani moyo unaniuma mnooooo

  • @manyotaskipper5765
    @manyotaskipper57655 жыл бұрын

    Magufuli systeam yake kila KONa kuna Usalama wa TAIFA kwenye watu 10 watatu usalama wa TAIFA anaoata taarifa moja kwa moja

  • @nyandageorge4982
    @nyandageorge49825 жыл бұрын

    Kupata mkuu wa nchi mwenye ujasili na uthubutu wa hali ya juu kama rais wetu kipenzi cha watanzania wanyonge baba rais magufuri tunakuamini your the hero

  • @masaulihassan2463
    @masaulihassan24635 жыл бұрын

    duu huu mfupa ukiushindwa wewe hakuna mwengine mh rais wetu

  • @veronicascottmollel7897

    @veronicascottmollel7897

    5 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @eliyawilliammagesamarwa8413

    @eliyawilliammagesamarwa8413

    5 жыл бұрын

    Baki mzee 2035

  • @kastorkidumu6579
    @kastorkidumu65795 жыл бұрын

    hongera my president nchi ni yetu wote siyo ya wachache

  • @freddymello3227
    @freddymello32275 жыл бұрын

    Brave African leader!!a very wise,a genius indeed

  • @chastsinkara2204

    @chastsinkara2204

    5 жыл бұрын

    Ninakubali sana my king tatizo hawa wachini yako walio wengi wanafikilia kupiga pesa tu unakuta kikao kama hakina pesa hata mahudhurio yake ni hafifu

  • @leilainnocent6532

    @leilainnocent6532

    5 жыл бұрын

    We are very lucky to have him

  • @freddymello3227

    @freddymello3227

    5 жыл бұрын

    Leila Innocent,He does such a wonderful job for us. he will be remembered many years to come.

  • @freddymello3227

    @freddymello3227

    5 жыл бұрын

    chast sinkara ,inabidi apitishe fagio la chuma tena.ili wasio tayari kujitoa kutumikia Taifa wakae pembeni. wakaajiliwe kwa wahindi madukani. ili nafasi za kazi serikalini ziendane na kujitoa na uzalendo wa kuwatumikia watanzania

  • @amourfaki8737

    @amourfaki8737

    5 жыл бұрын

    Y

  • @salumkhamis7818
    @salumkhamis78185 жыл бұрын

    Mheshimiwa rais unafanya kazi ambayo hajawahi fanya yoyote ktk taifa let, hongera, ila nakuomba uwaangalie masheikh waliokamatwa kwa uonevu please wasaidie

  • @mwinyiabdallah1817

    @mwinyiabdallah1817

    5 жыл бұрын

    Kweli kabisa hilo aliangalie sana sana

  • @user-lw6ts5sd5w
    @user-lw6ts5sd5w5 жыл бұрын

    Very nice Mr president, you are special one. Big up.

  • @ericrukamba6802
    @ericrukamba68025 жыл бұрын

    Well done awer President, ur the hero.

  • @salehsp4362
    @salehsp43625 жыл бұрын

    Iyo number yako nikiipata itakuwa vyema Hongera Mr President JPM

  • @ibrahimpius893
    @ibrahimpius8935 жыл бұрын

    Daaaah wewe kweli ndiye Rais wa watu piga kazi dua yangu kila siku huwa nakuombea uendelee kuwa na afya bora zaidi wewe ni zaidi ya Rais

  • @athumanomary1438
    @athumanomary14385 жыл бұрын

    Ewe mwenyez MUNGU tunazidi kukuomba enderea kumuongoza vyema raisi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu

  • @miseyekikivuyo5249
    @miseyekikivuyo52495 жыл бұрын

    Mungu akulinde mh Rais wetu JPM

  • @faustinenzigu8414
    @faustinenzigu84145 жыл бұрын

    safi sana Mh! tunakuhitaji sana

  • @rashidalshaidhani765
    @rashidalshaidhani7655 жыл бұрын

    Yaani nakukubali sana mzee Magu. Na hiyo ni moja tu kati ya uozo mkubwa uliopo. Watu hawana huruma wanaitafuna nchi kama mchwa

  • @leilainnocent6532
    @leilainnocent65325 жыл бұрын

    And that is they reason we love you papa Magufuli

  • @mwarishmodsalum555
    @mwarishmodsalum5555 жыл бұрын

    Nakupenda bureee muheshimiwa raisi mwenyezi mungu akuzidishie hekima na busara katika kutuongeza sisi binadam nitaabu sana bora kuongoza mbuzi mungu awe nawe katika uongozi wako ulio bora ameen

  • @tezuramziray8700
    @tezuramziray87005 жыл бұрын

    Mkuu kale kasheria ka kule China hatuwezi kukatumia huku kwetu? Maanake hawa watu naona hawana woga dawa ni kitanzi tu

  • @samhaule5281
    @samhaule52815 жыл бұрын

    Nime kuelewa Rais wetu magufuli, mbaka machozi yananitoka Mwenyezi mungu akuweke pia Akuandalie mahara Pema Peponi Amina.

  • @alexanderpius1512

    @alexanderpius1512

    5 жыл бұрын

    Amina!!

  • @athumanomary1438
    @athumanomary14385 жыл бұрын

    Ewe mwenyez MUNGU enderea kumuingoza vyema raisi wetu

  • @richardaugustino6775
    @richardaugustino67755 жыл бұрын

    Kuna kipindi huyu Rais anaongea point mpk hisia za kutoa machozi zinanipata

  • @josephatkichanilo3802

    @josephatkichanilo3802

    5 жыл бұрын

    Leo nimdgundua kuwa huyu shehee wa mkowa ni ubarid au nyoka kwa ruga yao au polipoli oky eheeeeee nimeliona hili saf rais

  • @kaisarimkuu3685
    @kaisarimkuu36855 жыл бұрын

    Aisee!!! Huyu baba yetu anajuwa mengi yanayoendelea mitaani kwetu na kuyashughulikia. Ahsante Mungu.

  • @yohanaamos6860
    @yohanaamos68605 жыл бұрын

    Well done our President.....hii ndio government tuliyokuwa tunamuomba Mungu atupatie

  • @rizbfighter8574
    @rizbfighter85745 жыл бұрын

    Mh.rais tunakupenda sana Fanya kazi kwa hofu ya Mungu

  • @nyandageorge4982
    @nyandageorge49825 жыл бұрын

    Tukumbuke rais wetu rushwa inatukandamiza sana kama upande wa kudai masrahi yetu inatuchukua kipindi kirefu sana mimi binafsi ninamadai NSSF mizizi ya rushwa imetutesa sana RAIS tunakuomba gusa tena na huku kunashida sana watu tumekuwa tukiombwa rushwa kubwa kupita kiasi tusaidie mtukufu rais wetu tuangalie juu ya hili Ni mimi mtanzania mwenye uchungu na nchi yangu asante

  • @albinoentreprises2176
    @albinoentreprises21765 жыл бұрын

    MHE Uko makini sana ila ninachokiona taasisi kama familia, shule, makanisa na misikiti ndizo zilitakiwa kujenga misingi imara ya kujenga maadili ya watu. Taasisi hizi zimeshindwa na mzigo wote unaubeba wewe. Pole sana kwa shida unazozipitia katika kusimamia uzalendo. watakuzeesha mapema

  • @user-nj1jd6zy8e
    @user-nj1jd6zy8e5 жыл бұрын

    Mungu akulinde Raisi wetu

  • @abelsundi6105
    @abelsundi61055 жыл бұрын

    Well done Mr. president.

  • @neemammbaga7830

    @neemammbaga7830

    5 жыл бұрын

    Safi rais wetu

  • @gabrielsiame1246
    @gabrielsiame12465 жыл бұрын

    Tanzania tumejaliwa na mwenyezi mungu kupata kiongozi mwenye kujitoa kuitumikia inchi mungu azidi kumupa afya njema.

  • @manyotaskipper5765
    @manyotaskipper57655 жыл бұрын

    watumishi wa Tanzania Someni Alama za Nyakati tamaa za kijinga mtakosa ajira muwalostishe watoto wenu mshazoea KUKU maisha ya Uswahilini hamuyawez punguzeni Tamaa

  • @allanngowi7071

    @allanngowi7071

    5 жыл бұрын

    Ushauri mzuri sana huo...aliyeelewa vyema kabisa

  • @edwinvictor9236
    @edwinvictor92365 жыл бұрын

    Katiba ndio inatuzuia ila umma ina nguvu ya kuamua huyu aendelee hii nchi inaitaji wazee kama hawa...jpm uko vizuri.

  • @michaelmalima2833
    @michaelmalima28335 жыл бұрын

    WELL SAID

  • @leosiajacob6017

    @leosiajacob6017

    5 жыл бұрын

    ntakupa kura yangu kwa kishindo

  • @josephnchunga3019
    @josephnchunga30195 жыл бұрын

    Safi sana jpm tunge Kuwa na akili zinazo fanana ukimaliza kipindi chako tungekuongeza miaka mingine 10 unafanya kazi nzuri sana mh jpm wengi tunakukubali kinoma sana .

  • @lucasmgaya9710

    @lucasmgaya9710

    5 жыл бұрын

    Aongezwe tuu Mimi nakubali

  • @kiyabonjemu9885

    @kiyabonjemu9885

    5 жыл бұрын

    Mm nko tayar

  • @ladislauskasera9235

    @ladislauskasera9235

    5 жыл бұрын

    You're the only one JPM, God bless you

  • @rayeneas4217
    @rayeneas42175 жыл бұрын

    Lazima kieleweke!! tutafika tu kwa mwendo huu bila shaka!!

  • @hamisgagala4891
    @hamisgagala48915 жыл бұрын

    Congrats Mh. Magafuli' that's what we need to prouf as a country!!

  • @denistarange5580
    @denistarange55805 жыл бұрын

    Asante mh Rais

  • @athumanomary1438
    @athumanomary14385 жыл бұрын

    Ewe mwenyez MUNGU ewe mwenyez MUNGU ewe mwenyez MUNGU tunazidi kukuomba enderea kumuongoza kumsimamia kumrinda na kuzidi kuimarisha efya yake raisi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu

  • @danielmwaipopo1858
    @danielmwaipopo18585 жыл бұрын

    Big up our hello!!

  • @zainabumtubwi263
    @zainabumtubwi2635 жыл бұрын

    Muheshimiwa anaonabali sana .anaona Mbali sana .ivi Tanzania kuenda quber tunahitaji Giza uko?mungu mlinde uyu kiumbe

  • @zakiamaungazakia720
    @zakiamaungazakia7205 жыл бұрын

    Magu baba unauchungu na Tanzania ila mabwege wanatuchelewesha

  • @dn.n4983
    @dn.n49835 жыл бұрын

    Safi sana unity ni muhimu sana

  • @mawazochaula3642
    @mawazochaula36425 жыл бұрын

    Thanks Our President,

  • @seyangasudi5172

    @seyangasudi5172

    5 жыл бұрын

    Anko magu we noma! Nakuelewa Sana prezdaa!

  • @mohamedgendem569
    @mohamedgendem5695 жыл бұрын

    Hii ni nchi yetu nawe ndiyo kiongozi wetu,Hongera sana mpambanaji namba 1 wa Tanzania.

  • @joesmike2369
    @joesmike23695 жыл бұрын

    Dah! Nimemuelewa sana muheshimiwa rais. Yaani mpaka nimetoka machoz ya furaha. Tanzania nakupenda kwa moyo wote

  • @deusdebitkowa9657
    @deusdebitkowa96575 жыл бұрын

    Asante sana Mr. President.

  • @frankmpinga3295
    @frankmpinga32955 жыл бұрын

    Mungu akupe maisha marefu mzee wangu rais

  • @salehmdemu5722
    @salehmdemu57225 жыл бұрын

    I love my president.. MUNGU wa mbinguni akupe maisha marefu

  • @danieltenson4175
    @danieltenson41755 жыл бұрын

    safi kabisa

  • @nicksonisayah4412
    @nicksonisayah44125 жыл бұрын

    Hongera JPM

  • @richardmsumari4051
    @richardmsumari40515 жыл бұрын

    Mh.shuleni hakufai kumekuwa na michango mingi sana , watoto wanaotoa pesa za twisheni ndo wanafundishwa , walimu wanasingizia pesa unayowapa ya matumizi ya shule nindogo , utusaidie kusema tena , baba yetu

  • @jumadea7957
    @jumadea79575 жыл бұрын

    Hongera mkuu wa nchi

  • @mudhakirudauda7933
    @mudhakirudauda79335 жыл бұрын

    Kwa hili la kuunganisha hii ndoa SALUTE SANA Mh. Rais. Umeiokoa ndoa yake kuliko zilizotangulia huko nyuma kwa mume kuteuliwa Balozi na mke kaachwa nyuma kwenye siasa na kuzalisha madudu ya hovyo

  • @allymkadeba9819
    @allymkadeba98195 жыл бұрын

    Daah Mkurugenzi wa takukuru naona alivyohuzunika kwa kuanikwa hiko cheo cha Tiss

  • @athumanomary1438
    @athumanomary14385 жыл бұрын

    Ewe mwenyez MUNGU viyongoz wetu wote enderea kuwaongoza na raisi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu

  • @albertswai5021
    @albertswai50215 жыл бұрын

    Big up mr President Mungu akulinde

  • @johnsonfrodianus6237
    @johnsonfrodianus62375 жыл бұрын

    Saaaafi sana

  • @manjalejuniorlg7024
    @manjalejuniorlg70245 жыл бұрын

    Mungu akubaliki baba watu wanakuangusha ila we una nia njema na tz naogopa wasije Salamis a babushka kifo watu wasiokupenda ila ninanaamini mungu yupo nawe

  • @killianpaulmahembe970
    @killianpaulmahembe9705 жыл бұрын

    Mimi binafsi sioni dhambi ya Rais huyu hata aongoze zaidi ya katiba isemavyo na naamidi tukikubaliana tupige kura Watanzania wote tubadili kifungu cha katiba asilimia zaidi ya asilimia 80 tutasema kibadilishwe. naomba wafanya tafiti wafanye hili ni kwamanufaa ya Tanzania yetu na vizazi vijavyo pia kubadili tabia ya mazoea ambayo tunayo Watanzania kwa sasa. Mungu aendelee kumlinda Rais na Wanzania wote wenye uchungu na Nchi yetu (Yangu). Naomba kila mtu awajibike kwa nafasi yake kulingana muongozo wa kazi yako.

  • @nicksonisayah4412

    @nicksonisayah4412

    5 жыл бұрын

    Amina

  • @yasiniselemani2412
    @yasiniselemani24125 жыл бұрын

    Babindangiile

  • @Itarusii
    @Itarusii5 жыл бұрын

    Nataka kuamini Rais Magufuli ni mzalendo. Labda kufahamu sana lkn dhamira yake inaonekana ana uchungu na nchi yetu. Nimeshangaa dolla imeshuka kutoka 2400 mpka 2300..! Hii siyo kitu kidogo.

  • @amishadykiswaga1077
    @amishadykiswaga10775 жыл бұрын

    Big up to JPM

  • @albinoentreprises2176
    @albinoentreprises21765 жыл бұрын

    RUSHWA NI ROHO KAMA ILIVYO ROHO YA UKAHABA, WIZI, UONGO, UNAFIKI, NK. INAHITAJI MAPAMBANO YA KIROHO AMBAYO NI MAARIFA SAHIHI. KAMA ANAVYOSEMA MWENYEZI MUNGU KWAMBA "WATU WANGU WANAANGAMIZWA KWA KUKOSA MAARIFA". KAZI IPO

  • @rizbfighter8574
    @rizbfighter85745 жыл бұрын

    Nikiipata namba ya muheshimiwa rais itakuwa safi sana manake sasa ni taifa mbele ufisadi na rushwa vimezidi hawa wengn hawaaminiki sana tunaogopa kuwaambia lkn mh.rais kwautendaji wako hakika tutakupa siri nying sana tunakuamini

  • @yonamahigu4655
    @yonamahigu46555 жыл бұрын

    Raisi wetu unamaono mzur katika nchi hii lkn mpaka sasa kunabaadhi ya wateule wake bado hawajamwelewa anahitaji nn kwa ajili ya taifa hili MUNGU wasaidie, mfano wizara ya kilimo na wizara ya mambo ya ndani hasa upande wa magereza

  • @josephmlela9757
    @josephmlela97575 жыл бұрын

    Exllent President

  • @sirmwita3351
    @sirmwita33515 жыл бұрын

    Tuliompigia kura 2015 na tutampigia tena 2020 tujuane

  • @zefamange7281
    @zefamange72815 жыл бұрын

    WAFUKUZE KAZI HAO WAHUJUMU UCHUMI MHESHIMIWA

  • @dn.n4983
    @dn.n49835 жыл бұрын

    Kweli rushwa ni sumu nchi kazima tumuunga mkono rais kabisa shida jamii yaani ubarikiwe

  • @amirishehoza5560
    @amirishehoza55605 жыл бұрын

    much deserved my special King!!!!

  • @cottonempire6804
    @cottonempire68045 жыл бұрын

    I wish na viziwani tungepata viongozo jasiri na wenye uzalendo kama ww mzee wangu

  • @chichivanny2663
    @chichivanny26635 жыл бұрын

    Babaaaa

  • @mbualaurenti4054
    @mbualaurenti40545 жыл бұрын

    Hogera sana raisi yetu wanyoshe wote wanae fuja mali za ichi

  • @princesinko4073
    @princesinko40735 жыл бұрын

    Kumbe ni mtumishi wa kitengo kikubwa sana...kazi ipo, Magufuli endelea kuchapa kazi bila uwoga na tunakuombea

  • @respiciuskaijage205

    @respiciuskaijage205

    5 жыл бұрын

    TC ni kitengo gani mkuu

  • @princesinko4073

    @princesinko4073

    5 жыл бұрын

    @@respiciuskaijage205 tss

  • @respiciuskaijage205

    @respiciuskaijage205

    5 жыл бұрын

    Ndo nini sasa

  • @princesinko4073

    @princesinko4073

    5 жыл бұрын

    @@respiciuskaijage205 achana na hayo kwa sasa

  • @dionisemyigezo9137

    @dionisemyigezo9137

    5 жыл бұрын

    nimeona sehemu Tiss ni usalama wa taifa eti,

  • @mcyudasicqo9610
    @mcyudasicqo96105 жыл бұрын

    TZ Haija elewa jpm anataka watu waishijeee,, jamaniiiii kuchora gharama million 200..Duu hongera kwakuokoa,, Million 195.

  • @dionisemyigezo9137

    @dionisemyigezo9137

    5 жыл бұрын

    usisahau gharama za kufika na kukaa huko ilikokuwa inaenda, na "mahostess" duu

  • @mahamoudabas8555
    @mahamoudabas85555 жыл бұрын

    Jeshi la polisi jamani mnasikia, rushwa ni adui mkuu wa maendeleo, jaman makamanda wa mikoa wambien vijana wenu wa huku mitaan.

  • @colinnarsisi4255
    @colinnarsisi42555 жыл бұрын

    Hongera Jpm Kwa uzalendo wako

  • @nicksonisayah4412
    @nicksonisayah44125 жыл бұрын

    Bahari ya sham lazima tuvuke tukiwa wasafitu na mafarao wote mtafia humo kabisa

  • @kivambejofrey1296
    @kivambejofrey12965 жыл бұрын

    Asante Rais Magufuli

  • @shabankibundu7913
    @shabankibundu79135 жыл бұрын

    Wakamuwe mkuu wamezidi kuifanya Tanzania shamba la babu ikiwezekana hata bakola wachape bila hivyo hawasongi

  • @mathewphilip1374
    @mathewphilip13745 жыл бұрын

    Magufuli needs to build strong government systems, one man army never win anywhere in the world.

  • @paulommbaga6067

    @paulommbaga6067

    5 жыл бұрын

    Mzee ukovizuri waangalie na watendaji wajitende kama takukuru unavyo washauri wajitakukuru hongera sanaaa mungu akujalie nguvu na maono zaidi.

  • @mayaally2512
    @mayaally25125 жыл бұрын

    Doh

  • @neemamulokozi4579
    @neemamulokozi45795 жыл бұрын

    Napenda sana utendaji wako Baba

  • @RajuPatel-uw2el
    @RajuPatel-uw2el5 жыл бұрын

    Yaani ningekua na uwezo uchaguzi mingefutilia mbali tukabaki na Mr magu anatosha

  • @japhetndobeji5278

    @japhetndobeji5278

    5 жыл бұрын

    Kaka dawanikuandamanatu iliaendelee angalau miaka 20

  • @thomasmrageri9964
    @thomasmrageri99645 жыл бұрын

    Duuuh !! Mkuu haya ni matatzo juu ya matatzo yani kila kitengo watu bad wanazid kutuuwa watanzania wa Hali ya chin ndege almost M.350 kwa M.7 ni hatari wakitumbuliwa bad sisi watu tulio na elimu na uwerewa mdogo tena wa kusimiliwa tunalalamika jaman ....kwa nn hatubadiliki ??

  • @nicksonisayah4412
    @nicksonisayah44125 жыл бұрын

    Mhh lazima nchi ya ahadi tufike

  • @emmanuelnyabahele3522
    @emmanuelnyabahele35225 жыл бұрын

    Mmh. Nhe Baba kazi unayo

Келесі