HOTUBA YA JPM: Aanika MADUDU Mapya, Balozi Huyu ATAPONA Kweli!!
HOTUBA YA JPM: Aanika MADUDU Mapya, Balozi Huyu ATAPONA Kweli!!
Leo Machi 28, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli, anamuapisha Valentino Mulowola, kuwa Balozi wa Tanzania nchini CUBA...
Katika tukio hilo Rais Magufuli, pia anapokea taarifa ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwan nchini (TAKUKURU)...
#RaisMagufuli #Mlowola
www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Пікірлер: 176
Mh: Hongera sana kwa kazi nzuri unayoifanya kwa nchi yetu. Hakika naiona Tanzania mpya chini ya utawala wa Mh: JPM
Hongera Mheshimiwa Rais. Kwa kazi nzuri unayoifanya huko Tanzania. Love from Scandinavie.
Hongera sana sana mheshimiwa Rais kwa maamuzi magumu. Kwavile bila maamuzi magumu nchi zetu za kiafrica mabo hayaendi!!! Endelea vivyo hivyo tuko nyuma yako.
Kuwa kiongoz sio kitu simple Hongera xana jpm
Nakukubali na kukuaminia for sure you're the Don of Honesty
Huyu ndiye Rais wetu. Tunamheshimu na kumpenda
Najisikia fahari sana kuwa na Rais kama huyu Mungu akufungulie mengi kwaajili ya Taifa letu!
@sabinabaynet575
5 жыл бұрын
uko vizur baba jpm
hongera sana kwa uzalendo wa kweli mh Rais,this is what we needed as a country.
@dicksonmbila8003
5 жыл бұрын
patrick kazinja Mimi Dickson Ngassapa Dereva ninamkubali sana Baba magufuli ,unajua watu waliona Tanzania sahamba la Bibi
Mi ni mkenya lakini namkubali sana makufuli kuliko uhuru..watanzania msikizeni huyuu mzee mutafaulu
@dionisemyigezo9137
5 жыл бұрын
mpaka nashindwa kuelewa amelelewa wapi mtu huyu, picha ya Tanzania ya mwaka wa mwisho wa ndugu huyu ikiwa atapita na awamu ya pili, naamini ninayoyaona hapa nilipo yatakuwa pia nyumbani Tz. Hold on President, my prayers I promise you!
@zefamange7281
5 жыл бұрын
Tunashukuru kwa ushauri ndugu, kuna watu kama Tundu lisu wako nje ya nchi kumchafua magufuri
Hata nyerere hagusi hapa ni moto wa makaa ya mawe LEE JPM Rais wangu mpendwa
@zefamange7281
5 жыл бұрын
Natamani huyu raisi asiondoke madarakani
proud of you JPM
Mh. Rais unatisha sana ...safi sana.
Hakika wewe ni Kiongozi Mkuu Hodari siyo kwa Tanzania tu ila kwa Dunia Nzima inatambua Uchapakazi wako mzuri Your Excellency JPM.
@iddyhemed6116
5 жыл бұрын
sawa kabisa Mkuu wa nchi usema khaki kabisa sasa mtoto anakufa kbisa sababu ya rushwa yani ila tunajua ww utaweka sawa kila kitu inshallah na mungu akutangulie sana
Cna cha kusema ila mm kikubwa nizidi kukuombea afya njema kiongozi wetu
Sijawahi kupiga kura tangu nizaliwe , sasa najuta kwanini sikupiga kura 2015 nikaongezea kura yangu kwa huyu baba, 2020 nitakuwa wa kwanza kituo cha kura kumchagua tena huyu mzee
@zefamange7281
5 жыл бұрын
Mimi nilipigia kura upinzani moyo unaniuma mnooooo
Magufuli systeam yake kila KONa kuna Usalama wa TAIFA kwenye watu 10 watatu usalama wa TAIFA anaoata taarifa moja kwa moja
Kupata mkuu wa nchi mwenye ujasili na uthubutu wa hali ya juu kama rais wetu kipenzi cha watanzania wanyonge baba rais magufuri tunakuamini your the hero
duu huu mfupa ukiushindwa wewe hakuna mwengine mh rais wetu
@veronicascottmollel7897
5 жыл бұрын
Kweli kabisa
@eliyawilliammagesamarwa8413
5 жыл бұрын
Baki mzee 2035
hongera my president nchi ni yetu wote siyo ya wachache
Brave African leader!!a very wise,a genius indeed
@chastsinkara2204
5 жыл бұрын
Ninakubali sana my king tatizo hawa wachini yako walio wengi wanafikilia kupiga pesa tu unakuta kikao kama hakina pesa hata mahudhurio yake ni hafifu
@leilainnocent6532
5 жыл бұрын
We are very lucky to have him
@freddymello3227
5 жыл бұрын
Leila Innocent,He does such a wonderful job for us. he will be remembered many years to come.
@freddymello3227
5 жыл бұрын
chast sinkara ,inabidi apitishe fagio la chuma tena.ili wasio tayari kujitoa kutumikia Taifa wakae pembeni. wakaajiliwe kwa wahindi madukani. ili nafasi za kazi serikalini ziendane na kujitoa na uzalendo wa kuwatumikia watanzania
@amourfaki8737
5 жыл бұрын
Y
Mheshimiwa rais unafanya kazi ambayo hajawahi fanya yoyote ktk taifa let, hongera, ila nakuomba uwaangalie masheikh waliokamatwa kwa uonevu please wasaidie
@mwinyiabdallah1817
5 жыл бұрын
Kweli kabisa hilo aliangalie sana sana
Very nice Mr president, you are special one. Big up.
Well done awer President, ur the hero.
Iyo number yako nikiipata itakuwa vyema Hongera Mr President JPM
Daaaah wewe kweli ndiye Rais wa watu piga kazi dua yangu kila siku huwa nakuombea uendelee kuwa na afya bora zaidi wewe ni zaidi ya Rais
Ewe mwenyez MUNGU tunazidi kukuomba enderea kumuongoza vyema raisi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu
Mungu akulinde mh Rais wetu JPM
safi sana Mh! tunakuhitaji sana
Yaani nakukubali sana mzee Magu. Na hiyo ni moja tu kati ya uozo mkubwa uliopo. Watu hawana huruma wanaitafuna nchi kama mchwa
And that is they reason we love you papa Magufuli
Nakupenda bureee muheshimiwa raisi mwenyezi mungu akuzidishie hekima na busara katika kutuongeza sisi binadam nitaabu sana bora kuongoza mbuzi mungu awe nawe katika uongozi wako ulio bora ameen
Mkuu kale kasheria ka kule China hatuwezi kukatumia huku kwetu? Maanake hawa watu naona hawana woga dawa ni kitanzi tu
Nime kuelewa Rais wetu magufuli, mbaka machozi yananitoka Mwenyezi mungu akuweke pia Akuandalie mahara Pema Peponi Amina.
@alexanderpius1512
5 жыл бұрын
Amina!!
Ewe mwenyez MUNGU enderea kumuingoza vyema raisi wetu
Kuna kipindi huyu Rais anaongea point mpk hisia za kutoa machozi zinanipata
@josephatkichanilo3802
5 жыл бұрын
Leo nimdgundua kuwa huyu shehee wa mkowa ni ubarid au nyoka kwa ruga yao au polipoli oky eheeeeee nimeliona hili saf rais
Aisee!!! Huyu baba yetu anajuwa mengi yanayoendelea mitaani kwetu na kuyashughulikia. Ahsante Mungu.
Well done our President.....hii ndio government tuliyokuwa tunamuomba Mungu atupatie
Mh.rais tunakupenda sana Fanya kazi kwa hofu ya Mungu
Tukumbuke rais wetu rushwa inatukandamiza sana kama upande wa kudai masrahi yetu inatuchukua kipindi kirefu sana mimi binafsi ninamadai NSSF mizizi ya rushwa imetutesa sana RAIS tunakuomba gusa tena na huku kunashida sana watu tumekuwa tukiombwa rushwa kubwa kupita kiasi tusaidie mtukufu rais wetu tuangalie juu ya hili Ni mimi mtanzania mwenye uchungu na nchi yangu asante
MHE Uko makini sana ila ninachokiona taasisi kama familia, shule, makanisa na misikiti ndizo zilitakiwa kujenga misingi imara ya kujenga maadili ya watu. Taasisi hizi zimeshindwa na mzigo wote unaubeba wewe. Pole sana kwa shida unazozipitia katika kusimamia uzalendo. watakuzeesha mapema
Mungu akulinde Raisi wetu
Well done Mr. president.
@neemammbaga7830
5 жыл бұрын
Safi rais wetu
Tanzania tumejaliwa na mwenyezi mungu kupata kiongozi mwenye kujitoa kuitumikia inchi mungu azidi kumupa afya njema.
watumishi wa Tanzania Someni Alama za Nyakati tamaa za kijinga mtakosa ajira muwalostishe watoto wenu mshazoea KUKU maisha ya Uswahilini hamuyawez punguzeni Tamaa
@allanngowi7071
5 жыл бұрын
Ushauri mzuri sana huo...aliyeelewa vyema kabisa
Katiba ndio inatuzuia ila umma ina nguvu ya kuamua huyu aendelee hii nchi inaitaji wazee kama hawa...jpm uko vizuri.
WELL SAID
@leosiajacob6017
5 жыл бұрын
ntakupa kura yangu kwa kishindo
Safi sana jpm tunge Kuwa na akili zinazo fanana ukimaliza kipindi chako tungekuongeza miaka mingine 10 unafanya kazi nzuri sana mh jpm wengi tunakukubali kinoma sana .
@lucasmgaya9710
5 жыл бұрын
Aongezwe tuu Mimi nakubali
@kiyabonjemu9885
5 жыл бұрын
Mm nko tayar
@ladislauskasera9235
5 жыл бұрын
You're the only one JPM, God bless you
Lazima kieleweke!! tutafika tu kwa mwendo huu bila shaka!!
Congrats Mh. Magafuli' that's what we need to prouf as a country!!
Asante mh Rais
Ewe mwenyez MUNGU ewe mwenyez MUNGU ewe mwenyez MUNGU tunazidi kukuomba enderea kumuongoza kumsimamia kumrinda na kuzidi kuimarisha efya yake raisi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu
Big up our hello!!
Muheshimiwa anaonabali sana .anaona Mbali sana .ivi Tanzania kuenda quber tunahitaji Giza uko?mungu mlinde uyu kiumbe
Magu baba unauchungu na Tanzania ila mabwege wanatuchelewesha
Safi sana unity ni muhimu sana
Thanks Our President,
@seyangasudi5172
5 жыл бұрын
Anko magu we noma! Nakuelewa Sana prezdaa!
Hii ni nchi yetu nawe ndiyo kiongozi wetu,Hongera sana mpambanaji namba 1 wa Tanzania.
Dah! Nimemuelewa sana muheshimiwa rais. Yaani mpaka nimetoka machoz ya furaha. Tanzania nakupenda kwa moyo wote
Asante sana Mr. President.
Mungu akupe maisha marefu mzee wangu rais
I love my president.. MUNGU wa mbinguni akupe maisha marefu
safi kabisa
Hongera JPM
Mh.shuleni hakufai kumekuwa na michango mingi sana , watoto wanaotoa pesa za twisheni ndo wanafundishwa , walimu wanasingizia pesa unayowapa ya matumizi ya shule nindogo , utusaidie kusema tena , baba yetu
Hongera mkuu wa nchi
Kwa hili la kuunganisha hii ndoa SALUTE SANA Mh. Rais. Umeiokoa ndoa yake kuliko zilizotangulia huko nyuma kwa mume kuteuliwa Balozi na mke kaachwa nyuma kwenye siasa na kuzalisha madudu ya hovyo
Daah Mkurugenzi wa takukuru naona alivyohuzunika kwa kuanikwa hiko cheo cha Tiss
Ewe mwenyez MUNGU viyongoz wetu wote enderea kuwaongoza na raisi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu
Big up mr President Mungu akulinde
Saaaafi sana
Mungu akubaliki baba watu wanakuangusha ila we una nia njema na tz naogopa wasije Salamis a babushka kifo watu wasiokupenda ila ninanaamini mungu yupo nawe
Mimi binafsi sioni dhambi ya Rais huyu hata aongoze zaidi ya katiba isemavyo na naamidi tukikubaliana tupige kura Watanzania wote tubadili kifungu cha katiba asilimia zaidi ya asilimia 80 tutasema kibadilishwe. naomba wafanya tafiti wafanye hili ni kwamanufaa ya Tanzania yetu na vizazi vijavyo pia kubadili tabia ya mazoea ambayo tunayo Watanzania kwa sasa. Mungu aendelee kumlinda Rais na Wanzania wote wenye uchungu na Nchi yetu (Yangu). Naomba kila mtu awajibike kwa nafasi yake kulingana muongozo wa kazi yako.
@nicksonisayah4412
5 жыл бұрын
Amina
Babindangiile
Nataka kuamini Rais Magufuli ni mzalendo. Labda kufahamu sana lkn dhamira yake inaonekana ana uchungu na nchi yetu. Nimeshangaa dolla imeshuka kutoka 2400 mpka 2300..! Hii siyo kitu kidogo.
Big up to JPM
RUSHWA NI ROHO KAMA ILIVYO ROHO YA UKAHABA, WIZI, UONGO, UNAFIKI, NK. INAHITAJI MAPAMBANO YA KIROHO AMBAYO NI MAARIFA SAHIHI. KAMA ANAVYOSEMA MWENYEZI MUNGU KWAMBA "WATU WANGU WANAANGAMIZWA KWA KUKOSA MAARIFA". KAZI IPO
Nikiipata namba ya muheshimiwa rais itakuwa safi sana manake sasa ni taifa mbele ufisadi na rushwa vimezidi hawa wengn hawaaminiki sana tunaogopa kuwaambia lkn mh.rais kwautendaji wako hakika tutakupa siri nying sana tunakuamini
Raisi wetu unamaono mzur katika nchi hii lkn mpaka sasa kunabaadhi ya wateule wake bado hawajamwelewa anahitaji nn kwa ajili ya taifa hili MUNGU wasaidie, mfano wizara ya kilimo na wizara ya mambo ya ndani hasa upande wa magereza
Exllent President
Tuliompigia kura 2015 na tutampigia tena 2020 tujuane
WAFUKUZE KAZI HAO WAHUJUMU UCHUMI MHESHIMIWA
Kweli rushwa ni sumu nchi kazima tumuunga mkono rais kabisa shida jamii yaani ubarikiwe
much deserved my special King!!!!
I wish na viziwani tungepata viongozo jasiri na wenye uzalendo kama ww mzee wangu
Babaaaa
Hogera sana raisi yetu wanyoshe wote wanae fuja mali za ichi
Kumbe ni mtumishi wa kitengo kikubwa sana...kazi ipo, Magufuli endelea kuchapa kazi bila uwoga na tunakuombea
@respiciuskaijage205
5 жыл бұрын
TC ni kitengo gani mkuu
@princesinko4073
5 жыл бұрын
@@respiciuskaijage205 tss
@respiciuskaijage205
5 жыл бұрын
Ndo nini sasa
@princesinko4073
5 жыл бұрын
@@respiciuskaijage205 achana na hayo kwa sasa
@dionisemyigezo9137
5 жыл бұрын
nimeona sehemu Tiss ni usalama wa taifa eti,
TZ Haija elewa jpm anataka watu waishijeee,, jamaniiiii kuchora gharama million 200..Duu hongera kwakuokoa,, Million 195.
@dionisemyigezo9137
5 жыл бұрын
usisahau gharama za kufika na kukaa huko ilikokuwa inaenda, na "mahostess" duu
Jeshi la polisi jamani mnasikia, rushwa ni adui mkuu wa maendeleo, jaman makamanda wa mikoa wambien vijana wenu wa huku mitaan.
Hongera Jpm Kwa uzalendo wako
Bahari ya sham lazima tuvuke tukiwa wasafitu na mafarao wote mtafia humo kabisa
Asante Rais Magufuli
Wakamuwe mkuu wamezidi kuifanya Tanzania shamba la babu ikiwezekana hata bakola wachape bila hivyo hawasongi
Magufuli needs to build strong government systems, one man army never win anywhere in the world.
@paulommbaga6067
5 жыл бұрын
Mzee ukovizuri waangalie na watendaji wajitende kama takukuru unavyo washauri wajitakukuru hongera sanaaa mungu akujalie nguvu na maono zaidi.
Doh
Napenda sana utendaji wako Baba
Yaani ningekua na uwezo uchaguzi mingefutilia mbali tukabaki na Mr magu anatosha
@japhetndobeji5278
5 жыл бұрын
Kaka dawanikuandamanatu iliaendelee angalau miaka 20
Duuuh !! Mkuu haya ni matatzo juu ya matatzo yani kila kitengo watu bad wanazid kutuuwa watanzania wa Hali ya chin ndege almost M.350 kwa M.7 ni hatari wakitumbuliwa bad sisi watu tulio na elimu na uwerewa mdogo tena wa kusimiliwa tunalalamika jaman ....kwa nn hatubadiliki ??
Mhh lazima nchi ya ahadi tufike
Mmh. Nhe Baba kazi unayo