Mtanzania Milionea Mtarajiwa alieacha kazi ya mshahara wa milioni 1
Jarida la FORBES ambalo limekua likitoa ripoti za watu mbalimbali duniani lilimtaja Mtanzania Upendo kuwa miongoni mwa Watanzania watatu wa kuwaangalia, yani ni Mamilionea watarajiwa.... stori yake yote ipo kwenye hii video.
Пікірлер: 143
umeniinspire dada yangu, kuacha kazi co kitu kidogo, mungu akujalie.
@daudiosmund4788
5 жыл бұрын
Martine Mpuya Mungu sio mungu
She is so smart, cool and composed. The true image of a millionaire. Wanawake wazuri sasa wanaanza kutambua thaman zao kijasiriamali. Basically, hii ndio maana halisi ya Ukimuwezesha mwanamke umeikomboa jamii. Dadaz that insta ni invisible investment yenu so make the most of it achaneni na akina dada wanaowainspire kuvaa vituko na kufake maisha. Be real. .think of God and billions ili tukiwaoa mtusaidie jaman.
Yaaaaan broz Millard thanks for this Boss lady aseee! 😍😙 kwanza mrembo, anajiamini then she is soo smart in mind......kiukweli amenigusa sana! Tunasikia wengi wanasema kuhusu kujiajir lakin huyu nae kantikisa kwa namna yake.......Thanks soo much broz Millard, I can do the one thing for this Interview
Nice millard jitahidi kututafutia Post kama hizi za wajasiriamali tupate kujifunza hata mm nataka kuwa a successful enterpreneur
Hongera binti. MUNGU akufanikishe
Daah huy dad ana lembua mpak mtu Wang wa nguv Millard maswal mengin ya kumuuliz anayasaau..
@lipymuscat4779
6 жыл бұрын
James Manase 😂😂😂
U inspire me girl, thank I for sharing urself... See me at the top
Nice my dada nimependa sana aidia yako my ongera sana Sana
Guys mnatakiwa kujua hakuna binadamu asiye na malengo au matarajio fulani. Kinachokwamisha ni support tuh believe it
Millard Ayo na mimi naosha magari hapa kwa jaffallais car wosh, Naomba na mimi uje unioje naingiza kiasi gani kwa mwezi na mpaka wew garilako uwaga naliosha japo utak kunioji, jitaid bana kazi ni kqzi hatakama pesa nindogo naitaj kuojiwa uwezjua nawazakua nani
@dinatinaeliah4297
7 жыл бұрын
so laughing
@UpeoMinistryofMedia
5 жыл бұрын
hahahahahahahahahahaaaaaa, nimecheka sana!!! ila ni sawa bro, you have a point
@anthonyngeleja3609
5 жыл бұрын
Akihojiwa atakuwa maarufu na ataitangaza kazi yake na ili upete kazi nyingi nikujulikana bro uko sawa ww mtafute ufanyenaye mahijianao
@MZIZE
4 жыл бұрын
@@gillimangi5522 faida zipo nying
Dada yuko vizuri... Akili yake imetulia
Wow! zao la University of Iringa(UOI)
Maa shaa Allah nimeipenda hii upo vizuri dada
milard weka segment ya wajasiliamali tunajifunza mengi
nampenda sama milad ayoooo,,uko vizur
Is like whether changes not match everyday but we think only is blow🎉
Uko vizuri dada... Big up!
Upendo anatiririka vema sana. ..keep up
i appreciate your brain man
Msiwe inspired on extrovert jaribuni kuwa introvert kila m2 and path tofautiii tofauti kabisa just praying god only .......
THAT GOOD IDEARS THAT ALL NEED TO FOLLOW BIG UPS
Millard Ayo uendelee kuksanya watu mhimu kama hao tunakupenda sana
@joeryamoniloyajoeryamonihe6907
6 жыл бұрын
Elias Abel
Life sio evidence za watu coz mnapotea manys people akuna inspiration za watu zitakazo kupa support back to yooself..
Jamani ahsante . Nimepata nguvu flani.. especially the last words
Beautiful with brain👏😘
Elimu ni nzuri sana jamn lovie amafa ya vizuri coz alikua na elimu big up dada
Hongera sana dada, juhudi zitakufanya ufike mbali
big up sister
Na mimi siku utakuja kunioji ngoja nipsmbane maana natamani sana kufanikiwa
good this is how millionaires do in opportunity cost
good nimeipenda sana hiyo
that is so nice
Hamidu😳😳upo best hujafanikiwa kuteka big fish?😜😜😜🏡
wow I'm proud of you sister
Ahsante AYO TV
Mashaallah n'Asante Millard Ayo
Hongera dada
kaka Millard hongera sana kwa kazi yako ila nilikuwa naomba namba ya uyo Dada nahitaji nijifunze makeup kwake
Da I like it
She is so calm and composed.
love give up ddie
wow nimepata wazo jipya kwakwel,💪
Dada kwenye miaka na namba unachanganya.. Anyweiz, point taken. Hongera
MashaAllah nice
@mumyaisha3244
7 жыл бұрын
nice
umenpa Moyo wa kua na kiburi cha kutafuta ajira Bali kua mfanyabiashara
Naam yupo vizuri huyu Dada namkubali sana
asante dadangu Kwa mawazo mazuri hakika umenivusha pahali, lakin dadangu hapo kwenye umri umetuacha wengi, embu tufanye hivi, primary 7 yrs olev 4 yrs adv 2 yrs chuo 3 yrs mtaani unazaid ya 4 yrs embu tuishie hapo tuu panatosha kabisa,, total ni 20yrs umezaliwa 1998 Kwa sasa una umri wa miaka kama 19 hv! my God how is this possible??? ulianza shule nn?? only in Tanzania
@justinbulenga6698
7 жыл бұрын
Swai Tumsifu she said 1988 not 1998
@tumsifuswai9661
7 жыл бұрын
Justin Bulenga owky! tenx Broo I was shocked,,, that is great!!! she is an amazing woman I have never came across
@dinatinaeliah4297
7 жыл бұрын
+Justin Bulenga Yes she said1988
@nauratiramsey295
6 жыл бұрын
Swai Tumsifu hahaaa
@muxinkuya9161
5 жыл бұрын
Sikiliza kwa makini
wawooh Mdada hongera sana
hongera Dada ila unaongea kingereza sana kwann usitumie lugha yako bhana
@tinoshoki8304
5 жыл бұрын
Good
Ongera sana dada.
Million moja ni ngapi kenya ajuae anijuze
@stephanomahoya7980
5 жыл бұрын
Elfu 50.yakenya
basi sawa vizuri
safiii
Manka usisahau kwenda church my sister love ❤️ kiddy 😜😜😜😜😜😜
@yasintaisdory4944
7 жыл бұрын
Umeni inspire
@mhandyeyoo6591
7 жыл бұрын
Yasinta Isdory Wellcome
lv u dada
#millardayo na mm nataka nije kunihoji cuz mm mwenyewe kwa siku naingiza buku jero
@mnzavachris5423
7 жыл бұрын
Khalfan Mohd hatuhoji na sie co
@zbtn517
7 жыл бұрын
Khalfan Mohd hahaa
@realommy2552
6 жыл бұрын
You are not serious
@mussasirguda7667
6 жыл бұрын
Khalfan Mohd haaaa haaaa haaaaa
hongera sana juhudi yako ndio mafanikio yako
Nampenda uyu dada yupo vizuri sana alinipaka nakup vizuri kwenye arusi yngu❤️❤️
Mi nazipenda sana mid hizi najipa nguvu za utendaji wa ka z
congratulatulations
@agreyrecho9285
5 жыл бұрын
Mh dada kwa elimu uliyopitia na hiyo sura ilivokakamaa kweli unaweza ukawa umezaliwa 1998 kwann utudanganye watu wazima wenzio
ilo jicho dada mbna unalkatia millard ni km lipo out of inter view nsamehe km nakosea maana mm sio muandish wa habar
Manka nkwe kye shininga mashora mashumaaaaa kwashaaaaaa nka ndeeeee
Naomba no ya huyo dada
Millard Ayo tusaidie kuuliza kwa wadau, wanaanzaje hadi kuweza kutengeneza bidhaa zao nje?? Wanatoa oda na specifications au inakuwaje?
@kelvinthomas4047
6 жыл бұрын
Nima Kei tumia web au email yake kumuuliza..... Kwa hapa hawezi toa jibu
Yaa Yuko vzr xo anaongea xana kingereza wengi hawajafika huko ongea lugha ya kibunge
nice
@jacksengeu5671
6 жыл бұрын
Naomba namba za huyo dada
@sirbrown6890
6 жыл бұрын
kaza buti
Hili ndio jiko la kuweka ndani...sio hawa wa savanna drink
@khadijamalifedha6008
7 жыл бұрын
Hamidu Chamboko na hawa hawaolewagi ovyo ovyo
@PenielLema
7 жыл бұрын
+khadija Malifedha.... endapo hujisomi lakini sio hear saying
@mhandyeyoo6591
7 жыл бұрын
Hamidu Chamboko Kabila ujapeleka posa nitafute Mimi mama yake mukubwaaaaaaaaaaaaa😜😜😜😜😜😜😜😆😆
@HamiduChamboko
7 жыл бұрын
Hahhaaaahhaha number pls +255....@M.Handyeyo
@HamiduChamboko
7 жыл бұрын
Kizazi Takatifu kizazi cha wachapa kazi penda sana hiki kizazi@H.Handyeyoo
HONGERA SANA DADA PENDO, NAIMANI UMEWATIA MOYO WA DADA WENGI SANA,
sister hangora kwa brand.
nmependa macho yako
@dannygroening3547
5 жыл бұрын
H
mtu wa nguvu 5000 kwa mwezi ni sawasawa na 45000😂😂😂umemfanya mpaka dada watu ajichanganye
@PenielLema
7 жыл бұрын
150000
@mrpingu4475
5 жыл бұрын
kwel asee dada kashtuka
nimeipenda hii
@emhaule36660642
6 жыл бұрын
Je naweza kukutumia sampo za make up special kwa waafrica tu basi?
@brendamrikaria111
6 жыл бұрын
Uko vizuri Sana
@salimh.mshaam6714
6 жыл бұрын
safi Dada na sisi umetuwamsha dada
@victornaikara2185
5 жыл бұрын
Aisee kweli mungu akisema inakua by the way ukovizuri kunawatu wanajua kua akikunyanyasa ndio utakwama kumbe ukisubutu unaweza mungu akuvushe zaidi na zaidi
Dada mzuri akili mingi
uyo Dada yuko vizur
@makeupyasini8981
5 жыл бұрын
nice
Amani & upendo ndugu Millad Ayo nakpongeza kwa kutuletea wajasilia mali wanatupa hamasa kubwa ya sisi pia kupiga hatua. ila washauli wageni wako wasiwe wachafuz wa lugha kiswanglish.. ili hali ni wazawa.hata wazngu wanapojfunza kiswhl hutamskia anatoa mseto japo kingerz ni chao.
Miladayo uko vzr
@berthinamenda1776
4 жыл бұрын
Nyuma yako........am comiiing there
Huwa ninawazimia wadada wasomi wa kitanzania ambao wakifanyiwa interview huongea lugha yao mama ya Kiswahili Hongera sana dada hukujishaua kwa kujiona kwamba ni msomi kwa kuongea Kiswa-English kama wafanyavyo wasomi wetu wenye utamaduni wa kitumwa kwa kuzithamini lugha za kigeni kuliko lugha yao mama.
mdg wangu hapa umeningusa mm you tube najifuza mengi ila naumia kwa mda huu siwezi kuyafanyia kaz duu ila in shaallah
yan nyie mnashangaa hilo wakat mzee wangu kaacha mshahara wa miliion4
@antiarutta4540
3 жыл бұрын
Eeee
@antiarutta4540
3 жыл бұрын
Afuu anafanya nn
Millad ayo utabaki kua juu
aboud rogo
@saidriphat3491
7 жыл бұрын
Feisaly Seif radhiaallahu anhu
kukataa kazi skitukidogo
Ts 1988 n not 1998 guys lol
@kenethmlunya4633
4 жыл бұрын
Marie Julie 😁😁😁
Nnaomba number ya huyo dada
@pabloescoberescondido759
5 жыл бұрын
Jonathan Mushi 0717818717
Homonaiz
Bofya hapa maajabu mengine kzread.info/dash/bejne/pWl9pq96gr2wlLA.html
ni kweli kazaliwa 1998? au nimeskia vibaya?
@florahjohn2980
7 жыл бұрын
1988
@irenecleverly2563
6 жыл бұрын
Kasema 1988
I have 50,000 Kenyan shillings. Nikija Tanzania mimi ni millionaire
@MZIZE
4 жыл бұрын
Come and see if you will
@samueljoseph6542
2 жыл бұрын
😄😅🤣😃