Mtanzania Milionea Mtarajiwa alieacha kazi ya mshahara wa milioni 1

Jarida la FORBES ambalo limekua likitoa ripoti za watu mbalimbali duniani lilimtaja Mtanzania Upendo kuwa miongoni mwa Watanzania watatu wa kuwaangalia, yani ni Mamilionea watarajiwa.... stori yake yote ipo kwenye hii video.

Пікірлер: 143

  • @martinempuya5974
    @martinempuya59747 жыл бұрын

    umeniinspire dada yangu, kuacha kazi co kitu kidogo, mungu akujalie.

  • @daudiosmund4788

    @daudiosmund4788

    5 жыл бұрын

    Martine Mpuya Mungu sio mungu

  • @mzalendotz3397
    @mzalendotz33975 жыл бұрын

    She is so smart, cool and composed. The true image of a millionaire. Wanawake wazuri sasa wanaanza kutambua thaman zao kijasiriamali. Basically, hii ndio maana halisi ya Ukimuwezesha mwanamke umeikomboa jamii. Dadaz that insta ni invisible investment yenu so make the most of it achaneni na akina dada wanaowainspire kuvaa vituko na kufake maisha. Be real. .think of God and billions ili tukiwaoa mtusaidie jaman.

  • @martharobert1455
    @martharobert14556 жыл бұрын

    Yaaaaan broz Millard thanks for this Boss lady aseee! 😍😙 kwanza mrembo, anajiamini then she is soo smart in mind......kiukweli amenigusa sana! Tunasikia wengi wanasema kuhusu kujiajir lakin huyu nae kantikisa kwa namna yake.......Thanks soo much broz Millard, I can do the one thing for this Interview

  • @sitymohd3818
    @sitymohd38187 жыл бұрын

    Nice millard jitahidi kututafutia Post kama hizi za wajasiriamali tupate kujifunza hata mm nataka kuwa a successful enterpreneur

  • @noelngowitechnicalsolution
    @noelngowitechnicalsolutionАй бұрын

    Hongera binti. MUNGU akufanikishe

  • @jamesmanase2183
    @jamesmanase21837 жыл бұрын

    Daah huy dad ana lembua mpak mtu Wang wa nguv Millard maswal mengin ya kumuuliz anayasaau..

  • @lipymuscat4779

    @lipymuscat4779

    6 жыл бұрын

    James Manase 😂😂😂

  • @gladnesspatrick3932
    @gladnesspatrick39326 жыл бұрын

    U inspire me girl, thank I for sharing urself... See me at the top

  • @winniemassawe6612
    @winniemassawe66127 жыл бұрын

    Nice my dada nimependa sana aidia yako my ongera sana Sana

  • @wakeuptv8452
    @wakeuptv84525 жыл бұрын

    Guys mnatakiwa kujua hakuna binadamu asiye na malengo au matarajio fulani. Kinachokwamisha ni support tuh believe it

  • @officialjamhurizachariagos2797
    @officialjamhurizachariagos27977 жыл бұрын

    Millard Ayo na mimi naosha magari hapa kwa jaffallais car wosh, Naomba na mimi uje unioje naingiza kiasi gani kwa mwezi na mpaka wew garilako uwaga naliosha japo utak kunioji, jitaid bana kazi ni kqzi hatakama pesa nindogo naitaj kuojiwa uwezjua nawazakua nani

  • @dinatinaeliah4297

    @dinatinaeliah4297

    7 жыл бұрын

    so laughing

  • @UpeoMinistryofMedia

    @UpeoMinistryofMedia

    5 жыл бұрын

    hahahahahahahahahahaaaaaa, nimecheka sana!!! ila ni sawa bro, you have a point

  • @anthonyngeleja3609

    @anthonyngeleja3609

    5 жыл бұрын

    Akihojiwa atakuwa maarufu na ataitangaza kazi yake na ili upete kazi nyingi nikujulikana bro uko sawa ww mtafute ufanyenaye mahijianao

  • @MZIZE

    @MZIZE

    4 жыл бұрын

    @@gillimangi5522 faida zipo nying

  • @ERICKPM2000
    @ERICKPM20007 жыл бұрын

    Dada yuko vizuri... Akili yake imetulia

  • @barakachawe6241
    @barakachawe62417 жыл бұрын

    Wow! zao la University of Iringa(UOI)

  • @azzaalmaamry76
    @azzaalmaamry765 жыл бұрын

    Maa shaa Allah nimeipenda hii upo vizuri dada

  • @dijaissa5627
    @dijaissa56277 жыл бұрын

    milard weka segment ya wajasiliamali tunajifunza mengi

  • @bernadethakahemele5396
    @bernadethakahemele53967 жыл бұрын

    nampenda sama milad ayoooo,,uko vizur

  • @user-lt8id9lv4x
    @user-lt8id9lv4x3 ай бұрын

    Is like whether changes not match everyday but we think only is blow🎉

  • @witnessmallya5114
    @witnessmallya51145 жыл бұрын

    Uko vizuri dada... Big up!

  • @philbertchacha6309
    @philbertchacha63095 жыл бұрын

    Upendo anatiririka vema sana. ..keep up

  • @shayonico114
    @shayonico1146 жыл бұрын

    i appreciate your brain man

  • @user-lt8id9lv4x
    @user-lt8id9lv4x3 ай бұрын

    Msiwe inspired on extrovert jaribuni kuwa introvert kila m2 and path tofautiii tofauti kabisa just praying god only .......

  • @boscoboss3826
    @boscoboss38267 жыл бұрын

    THAT GOOD IDEARS THAT ALL NEED TO FOLLOW BIG UPS

  • @eliasabel1099
    @eliasabel10997 жыл бұрын

    Millard Ayo uendelee kuksanya watu mhimu kama hao tunakupenda sana

  • @joeryamoniloyajoeryamonihe6907

    @joeryamoniloyajoeryamonihe6907

    6 жыл бұрын

    Elias Abel

  • @user-lt8id9lv4x
    @user-lt8id9lv4x3 ай бұрын

    Life sio evidence za watu coz mnapotea manys people akuna inspiration za watu zitakazo kupa support back to yooself..

  • @arnoldishengoma8458
    @arnoldishengoma84585 жыл бұрын

    Jamani ahsante . Nimepata nguvu flani.. especially the last words

  • @jacqulinemushi5849
    @jacqulinemushi58495 жыл бұрын

    Beautiful with brain👏😘

  • @lugendodoreen3920
    @lugendodoreen39207 жыл бұрын

    Elimu ni nzuri sana jamn lovie amafa ya vizuri coz alikua na elimu big up dada

  • @jameskahindi9215
    @jameskahindi92156 жыл бұрын

    Hongera sana dada, juhudi zitakufanya ufike mbali

  • @josephsiwale4983
    @josephsiwale49836 жыл бұрын

    big up sister

  • @lucymsigwa443
    @lucymsigwa443 Жыл бұрын

    Na mimi siku utakuja kunioji ngoja nipsmbane maana natamani sana kufanikiwa

  • @agathaluambano8305
    @agathaluambano83057 жыл бұрын

    good this is how millionaires do in opportunity cost

  • @haithamitaso9254
    @haithamitaso92547 жыл бұрын

    good nimeipenda sana hiyo

  • @samweliezekia5914
    @samweliezekia59146 жыл бұрын

    that is so nice

  • @mhandyeyoo6591
    @mhandyeyoo65916 жыл бұрын

    Hamidu😳😳upo best hujafanikiwa kuteka big fish?😜😜😜🏡

  • @TheSalma1999
    @TheSalma19997 жыл бұрын

    wow I'm proud of you sister

  • @halimambwego8287
    @halimambwego82877 жыл бұрын

    Ahsante AYO TV

  • @shamsaismail7707
    @shamsaismail77077 жыл бұрын

    Mashaallah n'Asante Millard Ayo

  • @omaiim4014
    @omaiim40144 жыл бұрын

    Hongera dada

  • @sabinafrancis219
    @sabinafrancis2196 жыл бұрын

    kaka Millard hongera sana kwa kazi yako ila nilikuwa naomba namba ya uyo Dada nahitaji nijifunze makeup kwake

  • @dinatinaeliah4297
    @dinatinaeliah42977 жыл бұрын

    Da I like it

  • @tukuswigaikasu5227
    @tukuswigaikasu52275 жыл бұрын

    She is so calm and composed.

  • @azaliandukeki171
    @azaliandukeki1717 жыл бұрын

    love give up ddie

  • @juliethkahwa3047
    @juliethkahwa30477 жыл бұрын

    wow nimepata wazo jipya kwakwel,💪

  • @bonitojo
    @bonitojo6 жыл бұрын

    Dada kwenye miaka na namba unachanganya.. Anyweiz, point taken. Hongera

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan13657 жыл бұрын

    MashaAllah nice

  • @mumyaisha3244

    @mumyaisha3244

    7 жыл бұрын

    nice

  • @tosiankel564
    @tosiankel5647 жыл бұрын

    umenpa Moyo wa kua na kiburi cha kutafuta ajira Bali kua mfanyabiashara

  • @zamanjohn4612
    @zamanjohn46124 жыл бұрын

    Naam yupo vizuri huyu Dada namkubali sana

  • @tumsifuswai9661
    @tumsifuswai96617 жыл бұрын

    asante dadangu Kwa mawazo mazuri hakika umenivusha pahali, lakin dadangu hapo kwenye umri umetuacha wengi, embu tufanye hivi, primary 7 yrs olev 4 yrs adv 2 yrs chuo 3 yrs mtaani unazaid ya 4 yrs embu tuishie hapo tuu panatosha kabisa,, total ni 20yrs umezaliwa 1998 Kwa sasa una umri wa miaka kama 19 hv! my God how is this possible??? ulianza shule nn?? only in Tanzania

  • @justinbulenga6698

    @justinbulenga6698

    7 жыл бұрын

    Swai Tumsifu she said 1988 not 1998

  • @tumsifuswai9661

    @tumsifuswai9661

    7 жыл бұрын

    Justin Bulenga owky! tenx Broo I was shocked,,, that is great!!! she is an amazing woman I have never came across

  • @dinatinaeliah4297

    @dinatinaeliah4297

    7 жыл бұрын

    +Justin Bulenga Yes she said1988

  • @nauratiramsey295

    @nauratiramsey295

    6 жыл бұрын

    Swai Tumsifu hahaaa

  • @muxinkuya9161

    @muxinkuya9161

    5 жыл бұрын

    Sikiliza kwa makini

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo90967 жыл бұрын

    wawooh Mdada hongera sana

  • @winifridagregory2288
    @winifridagregory22887 жыл бұрын

    hongera Dada ila unaongea kingereza sana kwann usitumie lugha yako bhana

  • @tinoshoki8304

    @tinoshoki8304

    5 жыл бұрын

    Good

  • @salwamohammed9542
    @salwamohammed95426 жыл бұрын

    Ongera sana dada.

  • @halimasali.8081
    @halimasali.80817 жыл бұрын

    Million moja ni ngapi kenya ajuae anijuze

  • @stephanomahoya7980

    @stephanomahoya7980

    5 жыл бұрын

    Elfu 50.yakenya

  • @mbunahchannel2179
    @mbunahchannel21797 жыл бұрын

    basi sawa vizuri

  • @tkvlogs3969
    @tkvlogs39697 жыл бұрын

    safiii

  • @mhandyeyoo6591
    @mhandyeyoo65917 жыл бұрын

    Manka usisahau kwenda church my sister love ❤️ kiddy 😜😜😜😜😜😜

  • @yasintaisdory4944

    @yasintaisdory4944

    7 жыл бұрын

    Umeni inspire

  • @mhandyeyoo6591

    @mhandyeyoo6591

    7 жыл бұрын

    Yasinta Isdory Wellcome

  • @shaniswaleh8430
    @shaniswaleh84307 жыл бұрын

    lv u dada

  • @khalfanmohd5807
    @khalfanmohd58077 жыл бұрын

    #millardayo na mm nataka nije kunihoji cuz mm mwenyewe kwa siku naingiza buku jero

  • @mnzavachris5423

    @mnzavachris5423

    7 жыл бұрын

    Khalfan Mohd hatuhoji na sie co

  • @zbtn517

    @zbtn517

    7 жыл бұрын

    Khalfan Mohd hahaa

  • @realommy2552

    @realommy2552

    6 жыл бұрын

    You are not serious

  • @mussasirguda7667

    @mussasirguda7667

    6 жыл бұрын

    Khalfan Mohd haaaa haaaa haaaaa

  • @sharifusule1014
    @sharifusule10145 жыл бұрын

    hongera sana juhudi yako ndio mafanikio yako

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty7 жыл бұрын

    Nampenda uyu dada yupo vizuri sana alinipaka nakup vizuri kwenye arusi yngu❤️❤️

  • @rukiabaybe8594
    @rukiabaybe85944 жыл бұрын

    Mi nazipenda sana mid hizi najipa nguvu za utendaji wa ka z

  • @princegabytv7251
    @princegabytv72516 жыл бұрын

    congratulatulations

  • @agreyrecho9285

    @agreyrecho9285

    5 жыл бұрын

    Mh dada kwa elimu uliyopitia na hiyo sura ilivokakamaa kweli unaweza ukawa umezaliwa 1998 kwann utudanganye watu wazima wenzio

  • @erastomwakalinga7079
    @erastomwakalinga70796 жыл бұрын

    ilo jicho dada mbna unalkatia millard ni km lipo out of inter view nsamehe km nakosea maana mm sio muandish wa habar

  • @mhandyeyoo6591
    @mhandyeyoo65917 жыл бұрын

    Manka nkwe kye shininga mashora mashumaaaaa kwashaaaaaa nka ndeeeee

  • @ElizabethMushi-vj1fr
    @ElizabethMushi-vj1fr3 ай бұрын

    Naomba no ya huyo dada

  • @neemakrekamoo4789
    @neemakrekamoo47897 жыл бұрын

    Millard Ayo tusaidie kuuliza kwa wadau, wanaanzaje hadi kuweza kutengeneza bidhaa zao nje?? Wanatoa oda na specifications au inakuwaje?

  • @kelvinthomas4047

    @kelvinthomas4047

    6 жыл бұрын

    Nima Kei tumia web au email yake kumuuliza..... Kwa hapa hawezi toa jibu

  • @mbunelapolisi9685
    @mbunelapolisi96853 жыл бұрын

    Yaa Yuko vzr xo anaongea xana kingereza wengi hawajafika huko ongea lugha ya kibunge

  • @christinahaule9726
    @christinahaule97267 жыл бұрын

    nice

  • @jacksengeu5671

    @jacksengeu5671

    6 жыл бұрын

    Naomba namba za huyo dada

  • @sirbrown6890

    @sirbrown6890

    6 жыл бұрын

    kaza buti

  • @HamiduChamboko
    @HamiduChamboko7 жыл бұрын

    Hili ndio jiko la kuweka ndani...sio hawa wa savanna drink

  • @khadijamalifedha6008

    @khadijamalifedha6008

    7 жыл бұрын

    Hamidu Chamboko na hawa hawaolewagi ovyo ovyo

  • @PenielLema

    @PenielLema

    7 жыл бұрын

    +khadija Malifedha.... endapo hujisomi lakini sio hear saying

  • @mhandyeyoo6591

    @mhandyeyoo6591

    7 жыл бұрын

    Hamidu Chamboko Kabila ujapeleka posa nitafute Mimi mama yake mukubwaaaaaaaaaaaaa😜😜😜😜😜😜😜😆😆

  • @HamiduChamboko

    @HamiduChamboko

    7 жыл бұрын

    Hahhaaaahhaha number pls +255....@M.Handyeyo

  • @HamiduChamboko

    @HamiduChamboko

    7 жыл бұрын

    Kizazi Takatifu kizazi cha wachapa kazi penda sana hiki kizazi@H.Handyeyoo

  • @nyanzalakaporo2504
    @nyanzalakaporo25047 жыл бұрын

    HONGERA SANA DADA PENDO, NAIMANI UMEWATIA MOYO WA DADA WENGI SANA,

  • @tuntufyewilson8486
    @tuntufyewilson84867 жыл бұрын

    sister hangora kwa brand.

  • @dismasmunishi5572
    @dismasmunishi55727 жыл бұрын

    nmependa macho yako

  • @dannygroening3547

    @dannygroening3547

    5 жыл бұрын

    H

  • @nassorsaid2331
    @nassorsaid23317 жыл бұрын

    mtu wa nguvu 5000 kwa mwezi ni sawasawa na 45000😂😂😂umemfanya mpaka dada watu ajichanganye

  • @PenielLema

    @PenielLema

    7 жыл бұрын

    150000

  • @mrpingu4475

    @mrpingu4475

    5 жыл бұрын

    kwel asee dada kashtuka

  • @aishwariaraimusih7774
    @aishwariaraimusih77747 жыл бұрын

    nimeipenda hii

  • @emhaule36660642

    @emhaule36660642

    6 жыл бұрын

    Je naweza kukutumia sampo za make up special kwa waafrica tu basi?

  • @brendamrikaria111

    @brendamrikaria111

    6 жыл бұрын

    Uko vizuri Sana

  • @salimh.mshaam6714

    @salimh.mshaam6714

    6 жыл бұрын

    safi Dada na sisi umetuwamsha dada

  • @victornaikara2185

    @victornaikara2185

    5 жыл бұрын

    Aisee kweli mungu akisema inakua by the way ukovizuri kunawatu wanajua kua akikunyanyasa ndio utakwama kumbe ukisubutu unaweza mungu akuvushe zaidi na zaidi

  • @leylahmohamed4769
    @leylahmohamed47695 жыл бұрын

    Dada mzuri akili mingi

  • @bernadethakahemele5396
    @bernadethakahemele53967 жыл бұрын

    uyo Dada yuko vizur

  • @makeupyasini8981

    @makeupyasini8981

    5 жыл бұрын

    nice

  • @kakapascal5090
    @kakapascal50907 жыл бұрын

    Amani & upendo ndugu Millad Ayo nakpongeza kwa kutuletea wajasilia mali wanatupa hamasa kubwa ya sisi pia kupiga hatua. ila washauli wageni wako wasiwe wachafuz wa lugha kiswanglish.. ili hali ni wazawa.hata wazngu wanapojfunza kiswhl hutamskia anatoa mseto japo kingerz ni chao.

  • @ayoublili8261
    @ayoublili82616 жыл бұрын

    Miladayo uko vzr

  • @berthinamenda1776

    @berthinamenda1776

    4 жыл бұрын

    Nyuma yako........am comiiing there

  • @hamismamba7668
    @hamismamba76684 жыл бұрын

    Huwa ninawazimia wadada wasomi wa kitanzania ambao wakifanyiwa interview huongea lugha yao mama ya Kiswahili Hongera sana dada hukujishaua kwa kujiona kwamba ni msomi kwa kuongea Kiswa-English kama wafanyavyo wasomi wetu wenye utamaduni wa kitumwa kwa kuzithamini lugha za kigeni kuliko lugha yao mama.

  • @user-qs9rn2je4c
    @user-qs9rn2je4c5 жыл бұрын

    mdg wangu hapa umeningusa mm you tube najifuza mengi ila naumia kwa mda huu siwezi kuyafanyia kaz duu ila in shaallah

  • @piuszororwa7161
    @piuszororwa71615 жыл бұрын

    yan nyie mnashangaa hilo wakat mzee wangu kaacha mshahara wa miliion4

  • @antiarutta4540

    @antiarutta4540

    3 жыл бұрын

    Eeee

  • @antiarutta4540

    @antiarutta4540

    3 жыл бұрын

    Afuu anafanya nn

  • @pedesheetzpedesheetz5346
    @pedesheetzpedesheetz53465 жыл бұрын

    Millad ayo utabaki kua juu

  • @feisalyseif4272
    @feisalyseif42727 жыл бұрын

    aboud rogo

  • @saidriphat3491

    @saidriphat3491

    7 жыл бұрын

    Feisaly Seif radhiaallahu anhu

  • @dictashijasimeya6080
    @dictashijasimeya60807 жыл бұрын

    kukataa kazi skitukidogo

  • @mariejulie3021
    @mariejulie30215 жыл бұрын

    Ts 1988 n not 1998 guys lol

  • @kenethmlunya4633

    @kenethmlunya4633

    4 жыл бұрын

    Marie Julie 😁😁😁

  • @jonathanmushi6647
    @jonathanmushi66475 жыл бұрын

    Nnaomba number ya huyo dada

  • @pabloescoberescondido759

    @pabloescoberescondido759

    5 жыл бұрын

    Jonathan Mushi 0717818717

  • @georgempungu6020
    @georgempungu60207 жыл бұрын

    Homonaiz

  • @bmhentertainmenttz
    @bmhentertainmenttz4 жыл бұрын

    Bofya hapa maajabu mengine kzread.info/dash/bejne/pWl9pq96gr2wlLA.html

  • @esperansahkafuka9891
    @esperansahkafuka98917 жыл бұрын

    ni kweli kazaliwa 1998? au nimeskia vibaya?

  • @florahjohn2980

    @florahjohn2980

    7 жыл бұрын

    1988

  • @irenecleverly2563

    @irenecleverly2563

    6 жыл бұрын

    Kasema 1988

  • @kenyanadventureman2988
    @kenyanadventureman29885 жыл бұрын

    I have 50,000 Kenyan shillings. Nikija Tanzania mimi ni millionaire

  • @MZIZE

    @MZIZE

    4 жыл бұрын

    Come and see if you will

  • @samueljoseph6542

    @samueljoseph6542

    2 жыл бұрын

    😄😅🤣😃

Келесі