Mungu awafariji jamani na pia awabariki mfuate nyayo za Baba yenu alikuwa na upendo nainaonyesha kuanzia nyumbani poleni sana 😭
@jenyyusuph49734 ай бұрын
Poleni sana wapendwa mtu ukiishi naye siku nyingi maumivu ya akua mengi ukikumbuka vile mlivyokua mnaongea mm bibi yangu alijaliwa mwaka 1920 AMEFARIKI 2015 nililia sana sana hata sijawahi kulia kwa yoyote kiasi kile kwasababu story Yake ni ndefu kwangu MUNGU AWAPENI MOYO MKUU
@brother_majesty4 ай бұрын
Yu ana uchungu jamani...pole kwa familia...
@YasmeenKhalifa-zq1zk4 ай бұрын
Poleni sana familia kwa kipindi kigum
@salmasaid15214 ай бұрын
Polen sana familia kwa ujumla mungu awape nguvu ktk kipindi hiki kigumu innaillah waina lilah rajoun
@OmanOman-dn6dj4 ай бұрын
Hakika Amepata Zawadi
@AshaAmrani-vh5nh4 ай бұрын
Poleni sana familia na watanzania wenzangu sote njia yetu
Пікірлер: 15
"Inatosha Mauti kuwa somo"- (Mtume Muhammad SAW)
Mungu awafariji jamani na pia awabariki mfuate nyayo za Baba yenu alikuwa na upendo nainaonyesha kuanzia nyumbani poleni sana 😭
Poleni sana wapendwa mtu ukiishi naye siku nyingi maumivu ya akua mengi ukikumbuka vile mlivyokua mnaongea mm bibi yangu alijaliwa mwaka 1920 AMEFARIKI 2015 nililia sana sana hata sijawahi kulia kwa yoyote kiasi kile kwasababu story Yake ni ndefu kwangu MUNGU AWAPENI MOYO MKUU
Yu ana uchungu jamani...pole kwa familia...
Poleni sana familia kwa kipindi kigum
Polen sana familia kwa ujumla mungu awape nguvu ktk kipindi hiki kigumu innaillah waina lilah rajoun
Hakika Amepata Zawadi
Poleni sana familia na watanzania wenzangu sote njia yetu
Allah ndio akuae
Poleni sana tulikupenda ila mungukakupenda zaidi
Tutkukumbuka baba
Buriani 🙏
😭😭😭
😭😭😭😭
Inauma asikwambie mtu