MSTAAFU MWINYI AWAVUNJA MBAVU MSIBANI KWA JPM , MAMA JANETH ASHINDWA KUVUMILIA, WALINZI WAMUONDOA
#millardayoUPDATES
Жүктеу.....
Пікірлер: 277
@silvanqueen32054 ай бұрын
Nani anasikiliza hii hotuba baada ya mzee wetu Ali Hassan Mwinyi kufariki ni nani? Inna lilah Wainna ilayhi Raajiuun.
@SalumKanju-ik1bk
4 ай бұрын
ndio naisikiza hapa, mungu ampokee mwinyi katika waja wema
@habibusalum1849
4 ай бұрын
Kunajambo la kujifunza
@lucypius4414
4 ай бұрын
Nakata vitunguu hapa😢😢😢
@mirajintandu97874 ай бұрын
😢😢😢😢leo tr.29 nmerudi tena hapa baada ya kufariki mzee wetu mzee wa Ruksa. R.I.P mzee wetu
@joycefelix90473 жыл бұрын
Jamani nimerudia sana kumsikiliza huyu Mzee Wetu. Hasa yale maeneo aliyotuvunja mbavu......kama nawe umerudia achia like please
@tausially1377
3 жыл бұрын
Yule mwanetu aitwa nani vile mungu akulinde babu
@AzainTv
3 жыл бұрын
@@tausially1377 😂😂
@lucytewele2211
3 жыл бұрын
Kwa kweli nampenda
@lucytewele2211
3 жыл бұрын
Namsikilizia mpk saiv jamani anaongea kweli
@thobiasodhiambo95533 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu mzee wetu, baba yetu, babu yetu mzee Mwinyi. Wewe ni CHUMA nakukubali sana. Sikuisikiliza hotuba yako hii laivu lakini imenilazimu kuitafuta ili nipate kukusikiliza. Nimefarajika sana kwa busara zako. Kama nawe unamtakia maisha marefu mzee Mwinyi, achia LIKE za kutosha.
@lynelee58463 жыл бұрын
Wazee wa busara kama hawa ukifaulu kuwafikia hakikisha unapokea neno la kukufaidi toka kwao Maana wana vitu vingi sana vya kutuachia kama vijana na sio rahisi sana kuwapata walio zeeka na akili timamu much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🙌
@ngedekimolo85124 ай бұрын
Inna LILLAH wainna ilayh raajiuun. Ameenda Mzee mwinyi kwa mila wake.Allah akusamehe makosa yako na akujaalie qaul thaabit
@suma25533 жыл бұрын
Nimependa zaidi pale alipomuadress mwanae wa kumzaa, "Mheshimiwa Dr. Hussein Mwinyi". Kubwa sana hili
@theafricanphilosopherqueen30323 жыл бұрын
Reading without glasses at 95!wow, much respect, President Mwinyi, thank you for making the widow smile 🙂
@kamaratsalimsafari8838
3 жыл бұрын
Much respect great n funny speech without glasses but nime notice karatasi ya kwanza ameiregelea mara 2 almost to start third reading from the same notes🤣poni na huyu kaka aliekuja muonyesha nxt notes about Mama Samia 🤣so funny
@noelimafwele602
3 жыл бұрын
96
@kiri5807
3 жыл бұрын
mamaangu ni mtu mzima na havai glasses , ameekewa glass ndani ya macho yake .inawezekana naye yuko hivyo.
@kiri5807
3 жыл бұрын
hizi lenses wanazovaa warembo kuweka na kuondoa ni km zile zakuonea ila hiyo inaeka chini ya ugamba wa jicho kwenye duara nyeusi .
@user-gv4jx2fp4u
4 ай бұрын
Yaani ni neema
@fatunam77213 жыл бұрын
I just love former President Mwinyi. Ingawa tuko kwenye huzuni lakini katufariji sana na vichekesho vyake
@abubakarimlyandi89663 жыл бұрын
Mwinyi mungu akujaalie afya na nguv pamoja na uhai mreefu baba wewe ni mshauri
@neemajoseph7146
3 жыл бұрын
Mungu akulinde baba binafsi nakupenda 2. Nikiulizwa. Kwanii nakupendasijuwi
Umeongea katika ukweli kutoka moyoni Nimependa risala yako kwa Watanzania wote na Mwwnyezi Mungu atakulinda
@KUTOKA-ep2fk3 жыл бұрын
Lipo kusudi la MUNGU kwa kulala huyu Kijana wetu, watanzania tuwe na amani! Maana hata walionia mabaya juu ya taifa letu hawawezi kwa jina la Yesu kwa sababu MUNGU wetu yupo juu ya maadui zetu! Na MUNGU wetu atatupigania........maono ya kweli hayafi!
@angelmaufi
3 жыл бұрын
Amina
@elibaricklaizer5671
3 жыл бұрын
Magufuli ameenda lakn. Bado yupo Mungu aliyetuleteaga
@neemakaluwa2146
3 жыл бұрын
Ameen 🙏
@naomyndopi5355
2 жыл бұрын
Amen
@millowamilonga
Жыл бұрын
Eti kwa jina la yesu ni nani huyo yesu?
@lysabantu24903 жыл бұрын
Jamani, that was sweet. Mwenyezi mungu akulinde. You are such a blessing Baba Mzee Alhassan Mwinyi. Thank you very much for bringing laughter on such a somber day.🙏🏾🇹🇿💚
@sophiakimaro9203
3 жыл бұрын
💖💖
@lupaprince1229
3 жыл бұрын
Kweli Kabisa Lysa
@shamsakiobia6421
4 ай бұрын
P😊
@sniperislam45474 ай бұрын
umeondoka leo nakuckilza tenah mzee wetu 😢
@glorykalunga48493 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu baba hakika unafurahisha
@theshindikasfun51984 ай бұрын
What a great tribute ! RIP our dear Presidents, Magufuli and Mzee Mwinyi 🙏🏿🤲🏼🫶🏾
@conrad49503 жыл бұрын
Oh wow..may God bless President Mwinyi..such a humorous soul..iv laughed so hard even though I was sad. RIP Mangufuli.
@thebosslady45973 жыл бұрын
Mwinyi yuko vizur anasoma bila miwani God bless you grand papaa
@diyembarak5506
4 ай бұрын
mashaAllah Tabarakah Allah
@diyembarak5506
4 ай бұрын
Allah amjaalie kaul thabit
@ayubumdolo2593 жыл бұрын
Nafarajika sana kumuona raisi ambaye hakuniongoza yaan nilikua bado sijazaliwa leo namskia nimefarijika sana ubarikiwe sana
@Minsirerickjuniorofficial12723 жыл бұрын
Nampenda sana huyu raisi kwa unyenyekevu na heshima yake,hana kiburi ya kustaafu ,mungu akupee maisha marefu babu
@mjahmed38093 жыл бұрын
Babu hassan mwinyi long life bi idhni Llahah, you made my day
@mariamnimbo83943 жыл бұрын
Nakuunga mkono mzee Mwinyi, kweli JPM kafanya mengi mno, mno, makubwa na mazuri ya maana. RIP JPM baba!!!!!!!!
@mbarikiwambarikiwa39883 жыл бұрын
Ishi miaka mingi mh mstaafu Ally Hassan Mwinyi.
@josephmateru88923 жыл бұрын
Umeongea mambo mengi sana ya msingi japo umetufurahisha sana umefanyi kamfaraja
@ismailyusuph7403 жыл бұрын
Aisee kuna Watu MUNGU kawajaalia udongo mzuri’ miaka 96 bado angali anafanya baadhi ya mambo kwa ufasaha...!...Ahsante Mzee Mwinyi Kwa kuwafariji wafiwa ..!
@amidumselle5659
3 жыл бұрын
Anasoma bila hata kuwa na miwan lakin vijana wa miaka 12 tu saizi hawezi kukaa bila miwani
@mwadinihaji77403 жыл бұрын
Masha Allah , yaani mpaka raha mzee Mwinyi
@shyfettymtunda46194 ай бұрын
Dah!! Innalillah wainna ilayh rajiun Mzee Ruksa 😭😭😭 Ulikuwa huna baya maskini baba wa watu.
@benedictmrisho18004 ай бұрын
Uliwahi ona waombolezaji wakipiga makofi? Marachache sana. Mzee wa busara huyo RIP Mzee Mwinyi.
@swaleheismail463 жыл бұрын
Jamanii ukiona kitu hukijui we nenda ukamuulize mama siti ,daaaahhh mzee Allah akupe umri mrefu zaidiiii
@habibasimba13873 жыл бұрын
Mzee wa ruska 😍😍😍😍 my mum told me alot of goods abt him
@nestinaviolachemba7914
3 жыл бұрын
Me too yani
@abelmkiba543
3 жыл бұрын
Goods si ni bidhaa hizo au mi ndo sielewi
@thomasgogomoka6404
3 жыл бұрын
Goods umezingua na wewe Goods ni bidhaa.
@lightrich6436
3 жыл бұрын
@@thomasgogomoka6404 mambo
@thomasgogomoka6404
3 жыл бұрын
@@lightrich6436 hii
@aminaathumani31483 жыл бұрын
Kweli kulia kupo na kucheka kupo asante mzee wetu mwinyi umefanya tutabasam haliyakuwa tunamajonzi makubwa
@HeriMagwaza-cd4wg
4 ай бұрын
Rara salama mzee
@mohammedmbaya51942 жыл бұрын
Asante mzee wetu kwa kutufaliji mungu akupe umri mrefu
@user-eq3pt7uu9i4 ай бұрын
RIP mzee mwinyii😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 nilikupenda Sana hii siku ulitufurahisha but now haupo nas .. pumzika kwa Aman😭😭😭😭😭😭😭
@mumyhendry29193 жыл бұрын
Ulijua kutupotezea stress kwa muda Baba😂😂😂
@margarethsaramaki39663 жыл бұрын
Amina mzee Mwinyi maneno mazuri RIP John Magufuli
@AllyMwazoa3 ай бұрын
Moyo mweupe msafi wa kidhahabu alioumiliki huyu mzee mungu amrehemu na amuweke mahala pema peponi
@yasodishonest97923 жыл бұрын
MZee mwinyi. umli umeenda unatuchekesha bana.Asante kwakuleta tabasam kwa wafiwa
@joycefelix90473 жыл бұрын
Mzee uishi Miaka mingi zaidi
@user-es1rv7sn2p4 ай бұрын
Hii ndiyo hotuba pendwa toka kwa mzee Rukhsa 😂 mpk watu walisahau km wamefiwa, nilitamani ufikishe miaka 100 tukufanyie birthday ya Taifa lakini Mungu amekuhitaji kabla.. Nakuliliaa mzee Mwinyi. Allaahumma ghfirlahu wa Arhamahu wa Maskanahu fil JANNATUL FIRDAOUS... Innaa lillaah wainnaa ilayhi raajioun 🙏🙏🙏
@@yasodishonest9792 Ni ngumu lkn hivyo ndio inavyotakiwa yaani Machungu aliyonayo Mama Janeth Hakika hayana mfano Mungu ndie ajuae walau akipata ahueni ya kupoza Machungu sio vibaya
@conneykinya23953 жыл бұрын
Mungu akujalie maisha marefu,yenye afya na nguvu..through this anointing of life,I tap the same in Jesus name.Amen,Amen.
@kaizamulinda6333 жыл бұрын
Thank you for making Janet smile at least. You are aging with your charm and wisdom grandpa
@azizamuhali55313 жыл бұрын
Mimi binafsi nakupenda Mh. Rais mstaa babu yangu Mwinyi ni utukufu kwa Mungu kukupa maisha marefu na akujaalie zaid na zaid ili atukuzwe sana Mungu wetu 😁😀😊
@amenemhurt88173 жыл бұрын
95 but still going strong. Much respect 🙏 Rest in peace JPM🙏
@everkabete6645
3 жыл бұрын
wooow is 95,I can't believe it because he doesn't look that age
@yusufmohamed8874
Жыл бұрын
And he can read without glasses 👓
@sashasaah5263 жыл бұрын
I love this man man shaa Allah love from 🇷🇼
@charlesmwandenuka7986
Жыл бұрын
Unapendwa sana mwinyi ______ saw a
@ibrayomapenzi70483 жыл бұрын
MI NI FUNDI MIWANI MARA NYING SANA WATU WAKIFIKA MIAKA 40 Wanaanza kuvaa miwani za kusomea LAKINI MZEE MWINYI BADO YUPO NGANGARI HAIJALISH MIAKA GANI YUPO ILA BADO ANASOMA BILA YA MIWANI , NA UJASIRI WA KUONGEA UPO VILE VILE NIMEPENDA SANA
@jonaskabonda741
3 жыл бұрын
Kweli kabisa mzee Mwinyi yeye wa kipekee
@khalidjimmy57743 жыл бұрын
Mungu ampe afya njema Sana mzee wangu
@sniperislam45474 ай бұрын
Nimejikuta nacheka alivyo sema inatosha eeenh 😂😂😂 dah allah akupe qauli thaabit na kaburi lako liwe viwanja miongon mwa viwanja vya peponi nakukumbuka ulikuja shulen kwetu azam kufungua msikit pale azam complex kwa sheykh twalibu
@philiporobert90473 жыл бұрын
Upo vizuri mzee wetu
@mikelinagomezi17663 жыл бұрын
Mzee wa ruksa umli ime kwenda, baba mungu akulinde
@jamesmgimba74033 жыл бұрын
Raha sana kuwa na mzee kama wewe
@allysultani10893 жыл бұрын
Mzee mwinyi ishi miaka mingi amiin.
@eenpaard39153 жыл бұрын
Mwinyi yupo leo na kaona maendeleo mengi sana ya nchi
@khadijamzuri86793 жыл бұрын
Sasa na mwanao hussen ajipange na yy nae ni rais ayafanye kama hayo
@salmajamal4 ай бұрын
Innallillah rajiun,nimeirudia hii hotuba ya Mzee wetu hakika Mungu amechukua jembe lake ,Allah akupe kauli thabiti babu yetu
@benabdillahahmed87603 жыл бұрын
Former president I wished you more life and healthy to be able to get a good feel for your family and your friends amen
@kamaratsalimsafari88383 жыл бұрын
Ha ha ha 🤣Nimejishtukizia tu nacheka automatically 🤣Hawa ndo wahenga wetu, na sikweli ka nxt generation tutapata tena wazee wenye busara na matamshi ya ucheshi ka hawa
Kuna mzee anaitwa Gwassa kazaliwa 1922 kasoma na Nyerere, kamfundisha adi mkapa Kaigo #Blacks are true Jews
@ummukuluthumikoki70023 жыл бұрын
Allah akulipe kher
@mohamediidd75793 жыл бұрын
Daaah mzee tumekuelewa sana
@hi_lo5743 жыл бұрын
President Mwinyi is God sent to heal us in this time of need and the loss of loved one Dr JPM. He made Baba and his Angels smile in Heaven 🙏🙏🙏😀😀😀just like he made us smile . He lightened up our spirit and soul. Long life and God Bless President Mwinyi and be strong Tanzania. Love and Best wishes from the USA 🇺🇸🙏🙏🙏🙏🙏
@jamesswai65833 жыл бұрын
Mwinyi Uishi miaka Zaid. God bless u.
@user-fy3ff8sc3h4 ай бұрын
Pole baba alla akubalimsamaha wako. Amina
@margarethpolepole74384 ай бұрын
Mungu akulaze mahali pema peponi ulikuwa mwema sana kama mwanao Hussein Mwinyi
@jumajuma67044 ай бұрын
R I P Mzee Mwinyi
@MuhammadHamisi5 ай бұрын
Nakupenda Sana mzee mwinyi
@gracealexander14503 жыл бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANA BABA YETU
@hamadsaburi35694 ай бұрын
M/mungu akujaalie Pepo njema
@rupertoako84173 жыл бұрын
Babu wetu wa nchi jaman lazima babu awe mchezi
@eenpaard39153 жыл бұрын
Mzee Ruhsa forever legend
@sospeteriganjagabriel7944 Жыл бұрын
Nimejikuta narudia kufuatilia tukio hili kwa heshima ya Hayati JPM anapoelekea kutimiza miaka miwili toka kifo chake.
@judyngowi3914 ай бұрын
Nimegundua hakuwa mnafiki huyu baba!
@user-qe4bj3sl9l
4 ай бұрын
Hanaga unafiki huyu baba
@ElizabethMkini
4 ай бұрын
Kabisa he was such a good soul 😢
@margarethmziray6354 ай бұрын
Mzee Ruksa will miss you with your jokes
@user-gv4jx2fp4u4 ай бұрын
Great 👍
@tundaakamankitunda7393 жыл бұрын
I m very sad for losing our best president John Pombe Joseph Magufuli RIP so please all Tanzanian don't ever loose hope let's fight against corruption
@haroungwiyamabuzohera-jk3vl4 ай бұрын
Kweli kabis🎉a wewe BABA MWEMA SANA. MWENYEZI MUNGU AKUZIDISHIE KILA LA KHERI. RIP BABA
@jambia45154 ай бұрын
Mzee Mwinyi alitumia sana muda kuwatoa watu kwenye msiba kuwasahulisha kama wapo kwenye majonzi kwa muda molla mpe kauli thabiti Mzee Mwinyi
Пікірлер: 277
Nani anasikiliza hii hotuba baada ya mzee wetu Ali Hassan Mwinyi kufariki ni nani? Inna lilah Wainna ilayhi Raajiuun.
@SalumKanju-ik1bk
4 ай бұрын
ndio naisikiza hapa, mungu ampokee mwinyi katika waja wema
@habibusalum1849
4 ай бұрын
Kunajambo la kujifunza
@lucypius4414
4 ай бұрын
Nakata vitunguu hapa😢😢😢
😢😢😢😢leo tr.29 nmerudi tena hapa baada ya kufariki mzee wetu mzee wa Ruksa. R.I.P mzee wetu
Jamani nimerudia sana kumsikiliza huyu Mzee Wetu. Hasa yale maeneo aliyotuvunja mbavu......kama nawe umerudia achia like please
@tausially1377
3 жыл бұрын
Yule mwanetu aitwa nani vile mungu akulinde babu
@AzainTv
3 жыл бұрын
@@tausially1377 😂😂
@lucytewele2211
3 жыл бұрын
Kwa kweli nampenda
@lucytewele2211
3 жыл бұрын
Namsikilizia mpk saiv jamani anaongea kweli
Mungu akupe maisha marefu mzee wetu, baba yetu, babu yetu mzee Mwinyi. Wewe ni CHUMA nakukubali sana. Sikuisikiliza hotuba yako hii laivu lakini imenilazimu kuitafuta ili nipate kukusikiliza. Nimefarajika sana kwa busara zako. Kama nawe unamtakia maisha marefu mzee Mwinyi, achia LIKE za kutosha.
Wazee wa busara kama hawa ukifaulu kuwafikia hakikisha unapokea neno la kukufaidi toka kwao Maana wana vitu vingi sana vya kutuachia kama vijana na sio rahisi sana kuwapata walio zeeka na akili timamu much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🙌
Inna LILLAH wainna ilayh raajiuun. Ameenda Mzee mwinyi kwa mila wake.Allah akusamehe makosa yako na akujaalie qaul thaabit
Nimependa zaidi pale alipomuadress mwanae wa kumzaa, "Mheshimiwa Dr. Hussein Mwinyi". Kubwa sana hili
Reading without glasses at 95!wow, much respect, President Mwinyi, thank you for making the widow smile 🙂
@kamaratsalimsafari8838
3 жыл бұрын
Much respect great n funny speech without glasses but nime notice karatasi ya kwanza ameiregelea mara 2 almost to start third reading from the same notes🤣poni na huyu kaka aliekuja muonyesha nxt notes about Mama Samia 🤣so funny
@noelimafwele602
3 жыл бұрын
96
@kiri5807
3 жыл бұрын
mamaangu ni mtu mzima na havai glasses , ameekewa glass ndani ya macho yake .inawezekana naye yuko hivyo.
@kiri5807
3 жыл бұрын
hizi lenses wanazovaa warembo kuweka na kuondoa ni km zile zakuonea ila hiyo inaeka chini ya ugamba wa jicho kwenye duara nyeusi .
@user-gv4jx2fp4u
4 ай бұрын
Yaani ni neema
I just love former President Mwinyi. Ingawa tuko kwenye huzuni lakini katufariji sana na vichekesho vyake
Mwinyi mungu akujaalie afya na nguv pamoja na uhai mreefu baba wewe ni mshauri
@neemajoseph7146
3 жыл бұрын
Mungu akulinde baba binafsi nakupenda 2. Nikiulizwa. Kwanii nakupendasijuwi
@neemakaluwa2146
3 жыл бұрын
@@neemajoseph7146 wajina 🤣🤣🤣
@neemajoseph7146
3 жыл бұрын
@@neemakaluwa2146 nambie wajina
Mzee wetu Huyu amemfurahisha mjane wetu angalau amecheka nasi tumefarijika sana
Umeongea katika ukweli kutoka moyoni Nimependa risala yako kwa Watanzania wote na Mwwnyezi Mungu atakulinda
Lipo kusudi la MUNGU kwa kulala huyu Kijana wetu, watanzania tuwe na amani! Maana hata walionia mabaya juu ya taifa letu hawawezi kwa jina la Yesu kwa sababu MUNGU wetu yupo juu ya maadui zetu! Na MUNGU wetu atatupigania........maono ya kweli hayafi!
@angelmaufi
3 жыл бұрын
Amina
@elibaricklaizer5671
3 жыл бұрын
Magufuli ameenda lakn. Bado yupo Mungu aliyetuleteaga
@neemakaluwa2146
3 жыл бұрын
Ameen 🙏
@naomyndopi5355
2 жыл бұрын
Amen
@millowamilonga
Жыл бұрын
Eti kwa jina la yesu ni nani huyo yesu?
Jamani, that was sweet. Mwenyezi mungu akulinde. You are such a blessing Baba Mzee Alhassan Mwinyi. Thank you very much for bringing laughter on such a somber day.🙏🏾🇹🇿💚
@sophiakimaro9203
3 жыл бұрын
💖💖
@lupaprince1229
3 жыл бұрын
Kweli Kabisa Lysa
@shamsakiobia6421
4 ай бұрын
P😊
umeondoka leo nakuckilza tenah mzee wetu 😢
Mungu akupe maisha marefu baba hakika unafurahisha
What a great tribute ! RIP our dear Presidents, Magufuli and Mzee Mwinyi 🙏🏿🤲🏼🫶🏾
Oh wow..may God bless President Mwinyi..such a humorous soul..iv laughed so hard even though I was sad. RIP Mangufuli.
Mwinyi yuko vizur anasoma bila miwani God bless you grand papaa
@diyembarak5506
4 ай бұрын
mashaAllah Tabarakah Allah
@diyembarak5506
4 ай бұрын
Allah amjaalie kaul thabit
Nafarajika sana kumuona raisi ambaye hakuniongoza yaan nilikua bado sijazaliwa leo namskia nimefarijika sana ubarikiwe sana
Nampenda sana huyu raisi kwa unyenyekevu na heshima yake,hana kiburi ya kustaafu ,mungu akupee maisha marefu babu
Babu hassan mwinyi long life bi idhni Llahah, you made my day
Nakuunga mkono mzee Mwinyi, kweli JPM kafanya mengi mno, mno, makubwa na mazuri ya maana. RIP JPM baba!!!!!!!!
Ishi miaka mingi mh mstaafu Ally Hassan Mwinyi.
Umeongea mambo mengi sana ya msingi japo umetufurahisha sana umefanyi kamfaraja
Aisee kuna Watu MUNGU kawajaalia udongo mzuri’ miaka 96 bado angali anafanya baadhi ya mambo kwa ufasaha...!...Ahsante Mzee Mwinyi Kwa kuwafariji wafiwa ..!
@amidumselle5659
3 жыл бұрын
Anasoma bila hata kuwa na miwan lakin vijana wa miaka 12 tu saizi hawezi kukaa bila miwani
Masha Allah , yaani mpaka raha mzee Mwinyi
Dah!! Innalillah wainna ilayh rajiun Mzee Ruksa 😭😭😭 Ulikuwa huna baya maskini baba wa watu.
Uliwahi ona waombolezaji wakipiga makofi? Marachache sana. Mzee wa busara huyo RIP Mzee Mwinyi.
Jamanii ukiona kitu hukijui we nenda ukamuulize mama siti ,daaaahhh mzee Allah akupe umri mrefu zaidiiii
Mzee wa ruska 😍😍😍😍 my mum told me alot of goods abt him
@nestinaviolachemba7914
3 жыл бұрын
Me too yani
@abelmkiba543
3 жыл бұрын
Goods si ni bidhaa hizo au mi ndo sielewi
@thomasgogomoka6404
3 жыл бұрын
Goods umezingua na wewe Goods ni bidhaa.
@lightrich6436
3 жыл бұрын
@@thomasgogomoka6404 mambo
@thomasgogomoka6404
3 жыл бұрын
@@lightrich6436 hii
Kweli kulia kupo na kucheka kupo asante mzee wetu mwinyi umefanya tutabasam haliyakuwa tunamajonzi makubwa
@HeriMagwaza-cd4wg
4 ай бұрын
Rara salama mzee
Asante mzee wetu kwa kutufaliji mungu akupe umri mrefu
RIP mzee mwinyii😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 nilikupenda Sana hii siku ulitufurahisha but now haupo nas .. pumzika kwa Aman😭😭😭😭😭😭😭
Ulijua kutupotezea stress kwa muda Baba😂😂😂
Amina mzee Mwinyi maneno mazuri RIP John Magufuli
Moyo mweupe msafi wa kidhahabu alioumiliki huyu mzee mungu amrehemu na amuweke mahala pema peponi
MZee mwinyi. umli umeenda unatuchekesha bana.Asante kwakuleta tabasam kwa wafiwa
Mzee uishi Miaka mingi zaidi
Hii ndiyo hotuba pendwa toka kwa mzee Rukhsa 😂 mpk watu walisahau km wamefiwa, nilitamani ufikishe miaka 100 tukufanyie birthday ya Taifa lakini Mungu amekuhitaji kabla.. Nakuliliaa mzee Mwinyi. Allaahumma ghfirlahu wa Arhamahu wa Maskanahu fil JANNATUL FIRDAOUS... Innaa lillaah wainnaa ilayhi raajioun 🙏🙏🙏
Amemfanya Adi mama Janeth acheke
@yasodishonest9792
3 жыл бұрын
Umli ushaenda mzee wenu anatuchekesha wezie tunamajonzi
@hadijamandanje6189
3 жыл бұрын
@@yasodishonest9792 mwache atuchekeshe angalao majonzi yapungue
@muzneali387
3 жыл бұрын
@@yasodishonest9792 Ni ngumu lkn hivyo ndio inavyotakiwa yaani Machungu aliyonayo Mama Janeth Hakika hayana mfano Mungu ndie ajuae walau akipata ahueni ya kupoza Machungu sio vibaya
Mungu akujalie maisha marefu,yenye afya na nguvu..through this anointing of life,I tap the same in Jesus name.Amen,Amen.
Thank you for making Janet smile at least. You are aging with your charm and wisdom grandpa
Mimi binafsi nakupenda Mh. Rais mstaa babu yangu Mwinyi ni utukufu kwa Mungu kukupa maisha marefu na akujaalie zaid na zaid ili atukuzwe sana Mungu wetu 😁😀😊
95 but still going strong. Much respect 🙏 Rest in peace JPM🙏
@everkabete6645
3 жыл бұрын
wooow is 95,I can't believe it because he doesn't look that age
@yusufmohamed8874
Жыл бұрын
And he can read without glasses 👓
I love this man man shaa Allah love from 🇷🇼
@charlesmwandenuka7986
Жыл бұрын
Unapendwa sana mwinyi ______ saw a
MI NI FUNDI MIWANI MARA NYING SANA WATU WAKIFIKA MIAKA 40 Wanaanza kuvaa miwani za kusomea LAKINI MZEE MWINYI BADO YUPO NGANGARI HAIJALISH MIAKA GANI YUPO ILA BADO ANASOMA BILA YA MIWANI , NA UJASIRI WA KUONGEA UPO VILE VILE NIMEPENDA SANA
@jonaskabonda741
3 жыл бұрын
Kweli kabisa mzee Mwinyi yeye wa kipekee
Mungu ampe afya njema Sana mzee wangu
Nimejikuta nacheka alivyo sema inatosha eeenh 😂😂😂 dah allah akupe qauli thaabit na kaburi lako liwe viwanja miongon mwa viwanja vya peponi nakukumbuka ulikuja shulen kwetu azam kufungua msikit pale azam complex kwa sheykh twalibu
Upo vizuri mzee wetu
Mzee wa ruksa umli ime kwenda, baba mungu akulinde
Raha sana kuwa na mzee kama wewe
Mzee mwinyi ishi miaka mingi amiin.
Mwinyi yupo leo na kaona maendeleo mengi sana ya nchi
Sasa na mwanao hussen ajipange na yy nae ni rais ayafanye kama hayo
Innallillah rajiun,nimeirudia hii hotuba ya Mzee wetu hakika Mungu amechukua jembe lake ,Allah akupe kauli thabiti babu yetu
Former president I wished you more life and healthy to be able to get a good feel for your family and your friends amen
Ha ha ha 🤣Nimejishtukizia tu nacheka automatically 🤣Hawa ndo wahenga wetu, na sikweli ka nxt generation tutapata tena wazee wenye busara na matamshi ya ucheshi ka hawa
Hafadhari kawatoa watu kwenye majozi😂😂
Unastahiki pongezi mzee wetu mwinyi kwakumpongeza ayati mpedwa wetu ayati joni magufuli.❤
Allah akupe umri mrefu mzee mwinyi
Be blessed Mr.Mwinyi
Rest in power Babu yangu..yn umeenda hata miwani hujavaa?
Babu bado uko. Vizuri. Endelea kutuasa yaliyo mema. Nakuombea kwa Mwenyezi Mungu afya njema pmj na Bibi. Siti.
Mung akupe maisha maref rais wetu mstaaf mchesh
Nlicheka sanah though was in pain of loosing a my president.. much love to all the Tanzaniaz presidents..
Nice 1 mzee mwinyi😀👏👏
@awadhally1052
3 жыл бұрын
Samah😂♥️
Mpambe ameshindwa kujizuia ,,imemlazimu acheke tu maana mzee Mwinyi ameamua kuwatoa kwenye huzuni
Leo nimerudi kuzitazama hii hotuba ya Raisi wangu Mwinyi upunike kwa kwa Amani
@user-oe7kc1jm3q
4 ай бұрын
Mimi pia nimerudi tena kuitazama Rest in peace Mwinyi
Nampenda sana mzee wetu mwinyi
Aisee mzima huyu hadi umri huu havai miwani ila watoto wake wote hawaoni hadi kwa miwan pumzika salama
Kuswali lakaa 5 kila cku na kufanya ibada kwa mda mrefu na kufata alotuelekeza mwnyezi mungu na kutenda mema ni tiba tosha kwa kila binadam
Nae kaenda jamqn 😢😢daaaa wazeee wa busara wanaondoka 😮😮😢
❤️😍angekua babu yangu ni kusmile tu
The first smile 😃 Thx Mzee
R I P wazee wetu mwinyi na magufuli😭😭😭
Mwinyi kazaliwa 1925 daaah naomba mmngu nizeeka ivyo
@bimkubwaali1605
3 жыл бұрын
Ameen
@amour5535
3 жыл бұрын
Ameen
@binzuamsami1841
3 жыл бұрын
Amen
@Hommie-Noir96
3 жыл бұрын
Kuna mzee anaitwa Gwassa kazaliwa 1922 kasoma na Nyerere, kamfundisha adi mkapa Kaigo #Blacks are true Jews
Allah akulipe kher
Daaah mzee tumekuelewa sana
President Mwinyi is God sent to heal us in this time of need and the loss of loved one Dr JPM. He made Baba and his Angels smile in Heaven 🙏🙏🙏😀😀😀just like he made us smile . He lightened up our spirit and soul. Long life and God Bless President Mwinyi and be strong Tanzania. Love and Best wishes from the USA 🇺🇸🙏🙏🙏🙏🙏
Mwinyi Uishi miaka Zaid. God bless u.
Pole baba alla akubalimsamaha wako. Amina
Mungu akulaze mahali pema peponi ulikuwa mwema sana kama mwanao Hussein Mwinyi
R I P Mzee Mwinyi
Nakupenda Sana mzee mwinyi
MUNGU AKUBARIKI SANA BABA YETU
M/mungu akujaalie Pepo njema
Babu wetu wa nchi jaman lazima babu awe mchezi
Mzee Ruhsa forever legend
Nimejikuta narudia kufuatilia tukio hili kwa heshima ya Hayati JPM anapoelekea kutimiza miaka miwili toka kifo chake.
Nimegundua hakuwa mnafiki huyu baba!
@user-qe4bj3sl9l
4 ай бұрын
Hanaga unafiki huyu baba
@ElizabethMkini
4 ай бұрын
Kabisa he was such a good soul 😢
Mzee Ruksa will miss you with your jokes
Great 👍
I m very sad for losing our best president John Pombe Joseph Magufuli RIP so please all Tanzanian don't ever loose hope let's fight against corruption
Kweli kabis🎉a wewe BABA MWEMA SANA. MWENYEZI MUNGU AKUZIDISHIE KILA LA KHERI. RIP BABA
Mzee Mwinyi alitumia sana muda kuwatoa watu kwenye msiba kuwasahulisha kama wapo kwenye majonzi kwa muda molla mpe kauli thabiti Mzee Mwinyi
Inalillah waina illah rajiun tutakukumbuka kwaucheshi mzee wetu msalimie jpm😢😢😢😢
Jamaaan unanifuraishaaaaaaa tukiwa na majozi saaana
So wise...
Yahhh watu wafariji kama hao lazima wawepo