UTAPENDA VAZI NA VIBE LA RAISI MAMA SAMIA KWENYE HII HARUSI.
Ойын-сауық
Subscribe/ Share/ Like & Comment:
/ @mcgarab
For Booking:
Call: +255 714 637 457
Email: grugalabamu@gmail.com
Join me for conversation!
Instagram: / mcgarab
Facebook: / garabkubwa
Twitter: / mcgarab
Пікірлер: 336
Nakupenda Mama. Allah akujaze mapenzi na busara zaidi
Mashallah Masamia uko fit kabisa insh Allah kula la kheri love frm Kenya❤❤❤
Kwa sbb anajuwa kuvaa na nimzuri nature! Lazima apendeze tu!
Mama wa Watyu Wengi Mwenye Kuleta Amani Wapotezaji Wamepotea Kwa Ushupavu Wake
Mitano tena Kwa MAMA....
Najuaga kukupenda tu rais wangu♥️♥️♥️ishi mama hakuna mkamilif unapambana👌
@jamilaadan6840
2 ай бұрын
Kabisaaaa mkamilifu Allah ❤❤hakika anapambana!😊
@user-hn8co6sr7i
2 ай бұрын
Complete comment
For really mi nampenda sana huyu mama Allah amjaze Afya. I never seen the president like this woman interms of relationship with people. All in all designer wake anajua
Mungu azidi kumlinda mama yetu, jamani kapendezaaa😍na uzuri unachangia🥰 Kwa uzuri Mungu kamtunuku, na roho ya upendo kampatia.. Tunajivunia wanawake wa Tanzania, tunawezaaaa❤❤
Rais wangu mbona umependeza sana.Safi sana ❤❤❤👍👍
My sister president ❣️Samia❣️ I love you ❣️ in i love Tanzania too Ramadan 💚Mubarak💚 inshallah
Heko kwa kila mama .....Anaweza kweli kweli, Proud of her with much love from Kenya
I love tanzania, love from Kenya 🇰🇪 ❤❤❤
Jamani nàmpenda Mimi mama samiah mungu ampe maisha marefu
Am proud of you mama, apart from kupendeza sana. Lov u
Yaani uko vizuri sana Mama Samia Mungu akupe maisha marefu huna baya na mtu adui zako Mungu awapige Ameeen
May God bless our Tanzanian Madam President Samia🙏. One of the best not only a leader but also a patriotic Queen us Tanzanians could ever witness.
Mama anapenda bata
Huna baya mama yetu mwenyezi mungu akupe umri mlefu nakupenda mama yangu kwajili ya Allah
Masha'Allah TabarakaAllah pendeza madame President
na mimi sijuhi nimuite rahisi ktk harusi yangu.
Mashallah mashallah mama tunakupenda saana kipenzi chetu mama samia wetu mtetezi wetu
Mama Yuko poa sana jamani Mashallah Allah ambarik😊😊❤❤
Umependeza sana mama , nakupenda sana
Jamani wapambe wake mbona mama kaulambia vizuri sana yaani natamani kichwani awe hivi hata ofisini kafunga lemba lake yaani ni 🔥nimeipenda hiyo safi Rais wetu umepemdeza mnoooo.
@MaryamAbdi-sq2jx
Жыл бұрын
Very queen woman made from tanzania
Mashallwah mungu akupe daraja hadi peponi umependeza mama
Mama amependeza sana wenye wivu wamuone hivihiv ❤
@DaimaNyakunga-jb6do
11 ай бұрын
Pesa ya bandari hiyo mtaitapika
@benjaminmtebe5009
10 ай бұрын
Nimelipenda Sana vazi la Rais wetu leo Umependekeza Sana aliyekushonia abalikiwe Sana
Proud of you mama Looking very pretty
Mash Allah mama yetu huyo❤Allah akulinde na jicho la hasad Ameen
@awatifalghanim1106
Жыл бұрын
Amin
@Guled3
6 ай бұрын
Amin from Hargeisa Somaliland
@londonladybirdjunioracadem4226
4 ай бұрын
Amin
@jamilaadan6840
2 ай бұрын
Ameen from London ❤ 🇬🇧 😊
Mashallah mama samiha nakupenda raisi mpole na hikma Mashallah ❤❤❤❤❤❤❤
Risi wetu anamashauz hatair 😂 ❤tnzn amani itawale
@AminiMsellem-gk3yy
6 ай бұрын
Chezea mzanzibari ataacha wapi masahuzi 😂😂😂
I am proud of my president. Have my love and hugs ❤❤❤❤❤
Mama Samia hoyeeee....much love from the 254...Allah bless you mama...❤❤❤❤❤❤
Gara b umekula bingo jiandae kuwa mkuu wa mkoa
Mashaallah ❤❤❤❤❤❤❤❤
ManshaAllah Mpendwa wawatu Rais Samiya umependeza sana tunakupenda sana Allah akuhifadh na kila hasad
@matiaskunnanga9567
Жыл бұрын
never
@millowamilonga
Жыл бұрын
@@matiaskunnanga9567 acha wivu bwege wa kisukuma wewe.
@anisetumrosso6731
Жыл бұрын
Mama mama mungu hakulinde mitano tena
@fatumamwalimu5765
Жыл бұрын
Aamin yarab
@fatumamwalimu5765
Жыл бұрын
@@millowamilonga achana nae masafara wa mamba lazima wawemo kenge
Mashaallah mashaallah tabarakallahu may bless Allah our president protect you shari yote 🙏🏽🙏🏽Allahu ma thuma amini 🙏🏽🙏🏽
Mh... kweli Zanzibar ni raha tupu pwani hiyo
Mama..Allah akupe umri mrefu ishaallah.
She is ❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉 a legend ❤❤❤❤❤
Mama ubarikiwe sana na mungu awe pamoja nawe siku zote za maishi yako
Perfect mama mitano tena %%
Mashaallah jazakumllah kheir mama amiin
Jaman Rais wetu mzur Sana nampenda mno mola amzidishie
Mama amependeza sanaaaaaa
Yeye anafulai wegine wanalia,wabongo wanafki kweli niy si ndo mnatukana kila cku leo eti nampenda mama mungu akulinde eeeeh tz yangu allo,unafki kweli
@RithaRitha-cj3ph
5 ай бұрын
nisaidie kuongea
@MteuleMzumba
2 ай бұрын
Mimicjawai kumpenda kamwe
Haya sisi WaCongomani tunampenda sana Mama waAfrica mama Samia Suluhu
Mungu akujalie kila la kheri dunia na akhera nakupenda raisi wetu
Mashaallah Ilove Tanzania Ilove Zanzibar
Tuna Rais Chuma Wallah,MashaaAllah
@HitraCarol-mi2cq
Жыл бұрын
Nice
Mama nakukubali sana
The only president in africa who 90% of her citizens love's her for free even even opposition followers it has been camping too difficult for opposition leaders fainting to her political, Congratulations mama samia.
@ngamanyajoshua839
Жыл бұрын
Excuse me..Go Back and do it research properly
@emanuelleopod3949
Жыл бұрын
Una uhakika na unachokiongea umefanya utafiti au umekurupuka tu
@husnamusa3178
Жыл бұрын
@@ngamanyajoshua839 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@fatinaselemani7243
Жыл бұрын
Huo ni uwongo na upotoshaji mkubwa mno
@millowamilonga
Жыл бұрын
@@emanuelleopod3949 wewe uliyefanya reseach za kisukuma unasemaje? Unapinga kwa hilo?
Hongera sana umependeza mama Samia
Harussi people was Allways loving to me !!thank You !!!( around Soderee )
Mashaallahu Allah akuhifadhi
Masomaso maadui waskuone mama yetu ❤❤❤
Hongera Mama Mungu akulinde akupe UMRI ❤
Maashallah uko vizuri mama
Aisee mama kapendeza Sana.
Mashallah amependeza sana mama yetu,
@capteniziro9843
Жыл бұрын
Mama ako wewe
@awatifalghanim1106
Жыл бұрын
@@capteniziro9843 Alokuwa anampenda ni Mama yake na Rais wake....alochukiwa ende akanywe maji ya bahari...😅😅😅
ri bibi angu Samia mama nakupenda mama angu jamani mama angu
Asante Kwa madaraja mama
Maashaallah. Umependeza
Asante mama
We appreciate you are wonderful work❤❤❤
MashaAllah MashaAllah lovely
Alhamdulillah mama samia mimi mwanao zahir simu yangu imeibiwa haha😅 i love you our queen ccm oyee!
Ko harusi nzima Amna aliyeshika simu dadekiii 🙌🏾🔥
@sabramhina7547
Жыл бұрын
😂
Mama Kanoga 🤩😘🇹🇿
Binafs mama nimemridhia fi duniya wal akher🥰🥰
@hawahamis4176
Жыл бұрын
Kwan ww ni Allah 😂
@mohamedabad7179
Жыл бұрын
@@hawahamis4176 utaniuwa😄
Mzurii sanaa
MASHAAALLAH❤❤❤❤
Mashallaaah nimependa
Machozi yamenitoka huyu mama binafsi nampenda❤
Mitano tena kwa mama
Mashaa Allh ❤
Mama kama mama.nakubali umependeza.
Maashallah
Hapo kwenye suala la cm kumbe raid alipoingia zikakatazwa ila Watu kwenye nyumba za ibada zinaita tu
mama yetu tuna kupenda sana
yaani kuna vijitu humu havina jema hajapendeza nini sasa!!??? wivu tu!
Mama la mama❤️❤️❤️
Kweli
Waooo mama kapendeza mwenyewe
Rahaa za Muungano!!! Bariki Tz!!!!
Sina hats lakusema jamani kumbukeni hakuna zaidi ya mamaaaa
Can't help but be inspired by her 🇰🇪
Umetokeza,vema,mam,nakupenda pia.
Hakuna Kama mama...
Very good
Mama yetu mama samia
Umependeza mama
kenya wanaona hii maneno, mama poa, c kama hapa 🇰🇪 wa2 wakor
@Sesilia1988-tn7ox
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Maashaallah mama Allah akulinde nakupenda bure
Safi. Mama ni mama tu... Mc nae poa
Nchi inaenda na imepoa, Mungu azid kumbarik na ampe afya njema na umri mrefu, ila wakina mama wana mavazi ya kila aina sasa sijui ndio dera au kijora ila Kimemtoa hatari
@user-uc8ei8kn3l
11 ай бұрын
😂😂😂😂
Hadi raha .ila sasa ndoivo kuwa rais huwez kujiachia vizur walinz kama wote
Kila la kher mama Samia hakika ungwans ustarab umezidi kwako mitano Tena kwako nani kama samia
Muziki mzuri sanaaaa!!!! Lakini mbona hamchezi.... Raha sana Muusic my hobby!!!!
Hafdhullah..!
Penda sana mama akeee❤❤