UTAPENDA VAZI NA VIBE LA RAISI MAMA SAMIA KWENYE HII HARUSI.

Ойын-сауық

Subscribe/ Share/ Like & Comment:
/ @mcgarab
For Booking:
Call: +255 714 637 457
Email: grugalabamu@gmail.com
Join me for conversation!
Instagram: / mcgarab
Facebook: / garabkubwa
Twitter: / mcgarab

Пікірлер: 336

  • @tonniocharo1076
    @tonniocharo10763 ай бұрын

    Nakupenda Mama. Allah akujaze mapenzi na busara zaidi

  • @user-zy4sx6xm4t
    @user-zy4sx6xm4t11 ай бұрын

    Mashallah Masamia uko fit kabisa insh Allah kula la kheri love frm Kenya❤❤❤

  • @saidmohd7240
    @saidmohd7240 Жыл бұрын

    Kwa sbb anajuwa kuvaa na nimzuri nature! Lazima apendeze tu!

  • @magomakabanja480
    @magomakabanja4802 ай бұрын

    Mama wa Watyu Wengi Mwenye Kuleta Amani Wapotezaji Wamepotea Kwa Ushupavu Wake

  • @abubakaryduma5374
    @abubakaryduma5374 Жыл бұрын

    Mitano tena Kwa MAMA....

  • @agneskapwani3484
    @agneskapwani3484 Жыл бұрын

    Najuaga kukupenda tu rais wangu♥️♥️♥️ishi mama hakuna mkamilif unapambana👌

  • @jamilaadan6840

    @jamilaadan6840

    2 ай бұрын

    Kabisaaaa mkamilifu Allah ❤❤hakika anapambana!😊

  • @user-hn8co6sr7i

    @user-hn8co6sr7i

    2 ай бұрын

    Complete comment

  • @ashraff_tz
    @ashraff_tz Жыл бұрын

    For really mi nampenda sana huyu mama Allah amjaze Afya. I never seen the president like this woman interms of relationship with people. All in all designer wake anajua

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts Жыл бұрын

    Mungu azidi kumlinda mama yetu, jamani kapendezaaa😍na uzuri unachangia🥰 Kwa uzuri Mungu kamtunuku, na roho ya upendo kampatia.. Tunajivunia wanawake wa Tanzania, tunawezaaaa❤❤

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Жыл бұрын

    Rais wangu mbona umependeza sana.Safi sana ❤❤❤👍👍

  • @sitazonou5296
    @sitazonou52964 ай бұрын

    My sister president ❣️Samia❣️ I love you ❣️ in i love Tanzania too Ramadan 💚Mubarak💚 inshallah

  • @mohamedhussein-qb5sg
    @mohamedhussein-qb5sg Жыл бұрын

    Heko kwa kila mama .....Anaweza kweli kweli, Proud of her with much love from Kenya

  • @thebodyguard8164
    @thebodyguard8164 Жыл бұрын

    I love tanzania, love from Kenya 🇰🇪 ❤❤❤

  • @ziadaissa9607
    @ziadaissa9607 Жыл бұрын

    Jamani nàmpenda Mimi mama samiah mungu ampe maisha marefu

  • @Grattitude85
    @Grattitude85 Жыл бұрын

    Am proud of you mama, apart from kupendeza sana. Lov u

  • @user-ts3gz3qh4x
    @user-ts3gz3qh4x3 ай бұрын

    Yaani uko vizuri sana Mama Samia Mungu akupe maisha marefu huna baya na mtu adui zako Mungu awapige Ameeen

  • @simonlyimo4360
    @simonlyimo436010 ай бұрын

    May God bless our Tanzanian Madam President Samia🙏. One of the best not only a leader but also a patriotic Queen us Tanzanians could ever witness.

  • @DicksonElisha-ic1lv
    @DicksonElisha-ic1lv10 ай бұрын

    Mama anapenda bata

  • @HamisRashid-xl4mn
    @HamisRashid-xl4mn3 ай бұрын

    Huna baya mama yetu mwenyezi mungu akupe umri mlefu nakupenda mama yangu kwajili ya Allah

  • @stonetown578
    @stonetown578 Жыл бұрын

    Masha'Allah TabarakaAllah pendeza madame President

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc Жыл бұрын

    na mimi sijuhi nimuite rahisi ktk harusi yangu.

  • @MwanawamtemiHawa
    @MwanawamtemiHawa Жыл бұрын

    Mashallah mashallah mama tunakupenda saana kipenzi chetu mama samia wetu mtetezi wetu

  • @chikuliundi8908
    @chikuliundi8908 Жыл бұрын

    Mama Yuko poa sana jamani Mashallah Allah ambarik😊😊❤❤

  • @meryfrank5272
    @meryfrank5272 Жыл бұрын

    Umependeza sana mama , nakupenda sana

  • @gracemwakibolwa7910
    @gracemwakibolwa7910 Жыл бұрын

    Jamani wapambe wake mbona mama kaulambia vizuri sana yaani natamani kichwani awe hivi hata ofisini kafunga lemba lake yaani ni 🔥nimeipenda hiyo safi Rais wetu umepemdeza mnoooo.

  • @MaryamAbdi-sq2jx

    @MaryamAbdi-sq2jx

    Жыл бұрын

    Very queen woman made from tanzania

  • @BimkubwaJuma-ew5dg
    @BimkubwaJuma-ew5dg3 ай бұрын

    Mashallwah mungu akupe daraja hadi peponi umependeza mama

  • @sophiamasawe4309
    @sophiamasawe4309 Жыл бұрын

    Mama amependeza sana wenye wivu wamuone hivihiv ❤

  • @DaimaNyakunga-jb6do

    @DaimaNyakunga-jb6do

    11 ай бұрын

    Pesa ya bandari hiyo mtaitapika

  • @benjaminmtebe5009

    @benjaminmtebe5009

    10 ай бұрын

    Nimelipenda Sana vazi la Rais wetu leo Umependekeza Sana aliyekushonia abalikiwe Sana

  • @HawaAhmed-by6ox
    @HawaAhmed-by6ox Жыл бұрын

    Proud of you mama Looking very pretty

  • @salimliemba3458
    @salimliemba3458 Жыл бұрын

    Mash Allah mama yetu huyo❤Allah akulinde na jicho la hasad Ameen

  • @awatifalghanim1106

    @awatifalghanim1106

    Жыл бұрын

    Amin

  • @Guled3

    @Guled3

    6 ай бұрын

    Amin from Hargeisa Somaliland

  • @londonladybirdjunioracadem4226

    @londonladybirdjunioracadem4226

    4 ай бұрын

    Amin

  • @jamilaadan6840

    @jamilaadan6840

    2 ай бұрын

    Ameen from London ❤ 🇬🇧 😊

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 Жыл бұрын

    Mashallah mama samiha nakupenda raisi mpole na hikma Mashallah ❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-oc8rh9br4k
    @user-oc8rh9br4k11 ай бұрын

    Risi wetu anamashauz hatair 😂 ❤tnzn amani itawale

  • @AminiMsellem-gk3yy

    @AminiMsellem-gk3yy

    6 ай бұрын

    Chezea mzanzibari ataacha wapi masahuzi 😂😂😂

  • @MaaneML
    @MaaneML Жыл бұрын

    I am proud of my president. Have my love and hugs ❤❤❤❤❤

  • @halimangache4657
    @halimangache46572 ай бұрын

    Mama Samia hoyeeee....much love from the 254...Allah bless you mama...❤❤❤❤❤❤

  • @evaakyoo3009
    @evaakyoo3009 Жыл бұрын

    Gara b umekula bingo jiandae kuwa mkuu wa mkoa

  • @JoharJoha-ww7tg
    @JoharJoha-ww7tg3 ай бұрын

    Mashaallah ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 Жыл бұрын

    ManshaAllah Mpendwa wawatu Rais Samiya umependeza sana tunakupenda sana Allah akuhifadh na kila hasad

  • @matiaskunnanga9567

    @matiaskunnanga9567

    Жыл бұрын

    never

  • @millowamilonga

    @millowamilonga

    Жыл бұрын

    @@matiaskunnanga9567 acha wivu bwege wa kisukuma wewe.

  • @anisetumrosso6731

    @anisetumrosso6731

    Жыл бұрын

    Mama mama mungu hakulinde mitano tena

  • @fatumamwalimu5765

    @fatumamwalimu5765

    Жыл бұрын

    Aamin yarab

  • @fatumamwalimu5765

    @fatumamwalimu5765

    Жыл бұрын

    ​@@millowamilonga achana nae masafara wa mamba lazima wawemo kenge

  • @user-me6gv6tm8h
    @user-me6gv6tm8h3 ай бұрын

    Mashaallah mashaallah tabarakallahu may bless Allah our president protect you shari yote 🙏🏽🙏🏽Allahu ma thuma amini 🙏🏽🙏🏽

  • @user-cd5ch7mi1e
    @user-cd5ch7mi1e5 ай бұрын

    Mh... kweli Zanzibar ni raha tupu pwani hiyo

  • @user-os3ed2nl2k
    @user-os3ed2nl2k2 ай бұрын

    Mama..Allah akupe umri mrefu ishaallah.

  • @aseelaisaa428
    @aseelaisaa428 Жыл бұрын

    She is ❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉 a legend ❤❤❤❤❤

  • @user-pj1lj5hw8p
    @user-pj1lj5hw8p5 ай бұрын

    Mama ubarikiwe sana na mungu awe pamoja nawe siku zote za maishi yako

  • @zainabantony
    @zainabantony11 ай бұрын

    Perfect mama mitano tena %%

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko Жыл бұрын

    Mashaallah jazakumllah kheir mama amiin

  • @ziadaissa9607
    @ziadaissa96077 ай бұрын

    Jaman Rais wetu mzur Sana nampenda mno mola amzidishie

  • @ethelgivamakota7143
    @ethelgivamakota7143 Жыл бұрын

    Mama amependeza sanaaaaaa

  • @user-qm3pi7vx9u
    @user-qm3pi7vx9u5 ай бұрын

    Yeye anafulai wegine wanalia,wabongo wanafki kweli niy si ndo mnatukana kila cku leo eti nampenda mama mungu akulinde eeeeh tz yangu allo,unafki kweli

  • @RithaRitha-cj3ph

    @RithaRitha-cj3ph

    5 ай бұрын

    nisaidie kuongea

  • @MteuleMzumba

    @MteuleMzumba

    2 ай бұрын

    Mimicjawai kumpenda kamwe

  • @joeae6297
    @joeae62976 ай бұрын

    Haya sisi WaCongomani tunampenda sana Mama waAfrica mama Samia Suluhu

  • @user-eh8lk9lk8z
    @user-eh8lk9lk8z4 ай бұрын

    Mungu akujalie kila la kheri dunia na akhera nakupenda raisi wetu

  • @NeemaVuai-pm7pt
    @NeemaVuai-pm7pt Жыл бұрын

    Mashaallah Ilove Tanzania Ilove Zanzibar

  • @aboubakaryjuma8349
    @aboubakaryjuma8349 Жыл бұрын

    Tuna Rais Chuma Wallah,MashaaAllah

  • @HitraCarol-mi2cq

    @HitraCarol-mi2cq

    Жыл бұрын

    Nice

  • @honoratusmodest285
    @honoratusmodest285Ай бұрын

    Mama nakukubali sana

  • @jumajay8496
    @jumajay8496 Жыл бұрын

    The only president in africa who 90% of her citizens love's her for free even even opposition followers it has been camping too difficult for opposition leaders fainting to her political, Congratulations mama samia.

  • @ngamanyajoshua839

    @ngamanyajoshua839

    Жыл бұрын

    Excuse me..Go Back and do it research properly

  • @emanuelleopod3949

    @emanuelleopod3949

    Жыл бұрын

    Una uhakika na unachokiongea umefanya utafiti au umekurupuka tu

  • @husnamusa3178

    @husnamusa3178

    Жыл бұрын

    @@ngamanyajoshua839 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @fatinaselemani7243

    @fatinaselemani7243

    Жыл бұрын

    Huo ni uwongo na upotoshaji mkubwa mno

  • @millowamilonga

    @millowamilonga

    Жыл бұрын

    @@emanuelleopod3949 wewe uliyefanya reseach za kisukuma unasemaje? Unapinga kwa hilo?

  • @user-zc3oz6uk5z
    @user-zc3oz6uk5z7 ай бұрын

    Hongera sana umependeza mama Samia

  • @djamilalinigerstrauss5501
    @djamilalinigerstrauss5501 Жыл бұрын

    Harussi people was Allways loving to me !!thank You !!!( around Soderee )

  • @yusufujaluo979
    @yusufujaluo979 Жыл бұрын

    Mashaallahu Allah akuhifadhi

  • @aliamour4970
    @aliamour49707 ай бұрын

    Masomaso maadui waskuone mama yetu ❤❤❤

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed863711 ай бұрын

    Hongera Mama Mungu akulinde akupe UMRI ❤

  • @bibielroybibielroy8710
    @bibielroybibielroy8710 Жыл бұрын

    Maashallah uko vizuri mama

  • @yusufurhobi9678
    @yusufurhobi9678 Жыл бұрын

    Aisee mama kapendeza Sana.

  • @Irene-sk4ig
    @Irene-sk4ig Жыл бұрын

    Mashallah amependeza sana mama yetu,

  • @capteniziro9843

    @capteniziro9843

    Жыл бұрын

    Mama ako wewe

  • @awatifalghanim1106

    @awatifalghanim1106

    Жыл бұрын

    ​@@capteniziro9843 Alokuwa anampenda ni Mama yake na Rais wake....alochukiwa ende akanywe maji ya bahari...😅😅😅

  • @askofuisayagerald
    @askofuisayagerald15 күн бұрын

    ri bibi angu Samia mama nakupenda mama angu jamani mama angu

  • @ashangonyani7989
    @ashangonyani7989 Жыл бұрын

    Asante Kwa madaraja mama

  • @aishamaulid2864
    @aishamaulid2864 Жыл бұрын

    Maashaallah. Umependeza

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 Жыл бұрын

    Asante mama

  • @alphonsinammasy4809
    @alphonsinammasy4809 Жыл бұрын

    We appreciate you are wonderful work❤❤❤

  • @mammym4185
    @mammym4185 Жыл бұрын

    MashaAllah MashaAllah lovely

  • @ashaali7506
    @ashaali750611 ай бұрын

    Alhamdulillah mama samia mimi mwanao zahir simu yangu imeibiwa haha😅 i love you our queen ccm oyee!

  • @wilonderby
    @wilonderby Жыл бұрын

    Ko harusi nzima Amna aliyeshika simu dadekiii 🙌🏾🔥

  • @sabramhina7547

    @sabramhina7547

    Жыл бұрын

    😂

  • @suzanbegas4139
    @suzanbegas4139 Жыл бұрын

    Mama Kanoga 🤩😘🇹🇿

  • @mohamedabad7179
    @mohamedabad7179 Жыл бұрын

    Binafs mama nimemridhia fi duniya wal akher🥰🥰

  • @hawahamis4176

    @hawahamis4176

    Жыл бұрын

    Kwan ww ni Allah 😂

  • @mohamedabad7179

    @mohamedabad7179

    Жыл бұрын

    @@hawahamis4176 utaniuwa😄

  • @mussamkali9926
    @mussamkali9926 Жыл бұрын

    Mzurii sanaa

  • @halimatmohd3673
    @halimatmohd3673 Жыл бұрын

    MASHAAALLAH❤❤❤❤

  • @user-jv1ch4tr8q
    @user-jv1ch4tr8q4 ай бұрын

    Mashallaaah nimependa

  • @Hawa-rt3jl
    @Hawa-rt3jl2 ай бұрын

    Machozi yamenitoka huyu mama binafsi nampenda❤

  • @janeushaky7043
    @janeushaky7043 Жыл бұрын

    Mitano tena kwa mama

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana335310 ай бұрын

    Mashaa Allh ❤

  • @user-qx4dz5kx3g
    @user-qx4dz5kx3g11 ай бұрын

    Mama kama mama.nakubali umependeza.

  • @mwajabuabdallah3544
    @mwajabuabdallah3544 Жыл бұрын

    Maashallah

  • @shabanramadhan7632
    @shabanramadhan7632 Жыл бұрын

    Hapo kwenye suala la cm kumbe raid alipoingia zikakatazwa ila Watu kwenye nyumba za ibada zinaita tu

  • @SaidihusseinAthumani-dy9kw
    @SaidihusseinAthumani-dy9kw11 ай бұрын

    mama yetu tuna kupenda sana

  • @lytwilliam7050
    @lytwilliam7050 Жыл бұрын

    yaani kuna vijitu humu havina jema hajapendeza nini sasa!!??? wivu tu!

  • @faridashabani5940
    @faridashabani59408 ай бұрын

    Mama la mama❤️❤️❤️

  • @stanleymhozi7590
    @stanleymhozi75906 ай бұрын

    Kweli

  • @Octavinaelisa-fn6js
    @Octavinaelisa-fn6js11 ай бұрын

    Waooo mama kapendeza mwenyewe

  • @ramadhanikalungwana8377
    @ramadhanikalungwana8377 Жыл бұрын

    Rahaa za Muungano!!! Bariki Tz!!!!

  • @AshaMgonja
    @AshaMgonja4 ай бұрын

    Sina hats lakusema jamani kumbukeni hakuna zaidi ya mamaaaa

  • @PhoebeOkullu
    @PhoebeOkullu Жыл бұрын

    Can't help but be inspired by her 🇰🇪

  • @samshabaan686
    @samshabaan68611 ай бұрын

    Umetokeza,vema,mam,nakupenda pia.

  • @asteriamahatane6987
    @asteriamahatane6987 Жыл бұрын

    Hakuna Kama mama...

  • @maliamjuma9376
    @maliamjuma937610 ай бұрын

    Very good

  • @HamisMberwa
    @HamisMberwa11 ай бұрын

    Mama yetu mama samia

  • @joyceabeli3787
    @joyceabeli3787 Жыл бұрын

    Umependeza mama

  • @evarosdiana6454
    @evarosdiana6454 Жыл бұрын

    kenya wanaona hii maneno, mama poa, c kama hapa 🇰🇪 wa2 wakor

  • @Sesilia1988-tn7ox

    @Sesilia1988-tn7ox

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @maryjosep2586
    @maryjosep2586 Жыл бұрын

    Maashaallah mama Allah akulinde nakupenda bure

  • @madinahemed3650
    @madinahemed3650 Жыл бұрын

    Safi. Mama ni mama tu... Mc nae poa

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Жыл бұрын

    Nchi inaenda na imepoa, Mungu azid kumbarik na ampe afya njema na umri mrefu, ila wakina mama wana mavazi ya kila aina sasa sijui ndio dera au kijora ila Kimemtoa hatari

  • @user-uc8ei8kn3l

    @user-uc8ei8kn3l

    11 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @dignamwacha5934
    @dignamwacha5934 Жыл бұрын

    Hadi raha .ila sasa ndoivo kuwa rais huwez kujiachia vizur walinz kama wote

  • @hawamohammed9740
    @hawamohammed9740 Жыл бұрын

    Kila la kher mama Samia hakika ungwans ustarab umezidi kwako mitano Tena kwako nani kama samia

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi658410 ай бұрын

    Muziki mzuri sanaaaa!!!! Lakini mbona hamchezi.... Raha sana Muusic my hobby!!!!

  • @hassanmfaume4522
    @hassanmfaume45227 ай бұрын

    Hafdhullah..!

  • @SmilingGoshawk-mz2gp
    @SmilingGoshawk-mz2gp5 ай бұрын

    Penda sana mama akeee❤❤

Келесі