UTACHEKA! VITUKO Vya BARAKA MAGUFULI Kwenye KAMPENI ya MAMA SAMIA SULUHU, WATU Wote HOI...
UTACHEKA! VITUKO Vya BARAKA MAGUFULI Kwenye KAMPENI ya MAMA SAMIA SULUHU, WATU Wote HOI...
MCHEKESHAJI anayetumia njia ya kuigiza sauti ya Rais Magufuli maarufu kama, Baraka Magufuli, amewachekesha wananachi waliohudhuria kwenye kampeni za mgombea mwenza Urais, Mama Samia Suluhu...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 175
Kaka umeweza, hongera sana Kutoka 🇰🇪
Huyo jamaa anajua sana kaka ccm Namba liwani
Huyu jamaa kiboko. Respect bro
Hahahah adii raha jmn ccm ni noma sana nimefurah adii bas apewe ata udiwani jmn huenda atafanya mazuri Kama magufulii nimefurah alipo sema nchi za jirani zilitamani corona itufanye tuzagae na wamezagaa zagaa waooo hahahah kenya mpo au amjasikia iyo clips apoo hahhaha kenya oyeee Uhuru oyeee mtajijuuuu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ameen 💪✈🙏 C.C.M chama cha Mapinduzi ambao kinafa hamu haki ya binadamu na wanyonge
Huy braza huwa ananimalizaga sn😂😂
Jamani baba etu ebu mpeni japo kisehemu na yy apo ikulu yupo vzr huyu kaka km magufuli vile anavyoongea Jamani naipendaga sana 😄😄 sirudii m. B zangu CCM oyeeeeeeeeeeh 👍👍👍👍👍👍👍....
Barack magu oyeeee 🤣🤣🤣🤣🤣🇹🇿👏👏👏🙏🏃♀️🏃♀️🏃♀️🇹🇿
@rosedaudy2254
3 жыл бұрын
🇹🇿🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😋😋🤣🤣🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃
Duniani wawili wawili yaani unanikosha kweli
@annabupamba7258
3 жыл бұрын
Iuui I'm Ñ Maybe Mm mm My
@elishamwalupaso7848
3 жыл бұрын
Nimekubali ccm oyeeeeee
Ila mzungumzaji wa kwanza amemtoa kwenye mood Baraka
Unajuuuaa kuupangilia maneno ya maguuu
Oyeee
Mtangazaji kamrushia baraka kwa kutumia lugha y kumpa Hali y tofauti na alivyokuwa awali...
Apo sasa. Ccm mbele magufuli tena
MashaAllah
Baraka unawezay
Haaa wewe kiboko kwa sauti ya magu ongera
Doctor pombe magufuri wakweli
@selector728
3 жыл бұрын
Magufuli siyo magufuri
@mweusjiga6873
3 жыл бұрын
Uko vizili kaka wapaxheee
@farajaoyoo9675
3 жыл бұрын
Faraja
hongeraaaaaaaaaa mzeee magu
Yani jamaa anavuta shati kama MH Magufuli. Heehhh kali kweli
Huyu magu kabisa kiukweli
Safi sana
Ulale Mahara pema peponi baba wa taifa ,mtani wangu magufuri😢😢😢😢
Duuh,huyu kweli Baraka Magufuli anaiga vizuri sauti ya Rais Magufuli
Kama JPM thanks for your comedy
Safi,,,,,Jamaa yuko sawa kbs
Mwenyezi MUNGU akupunguzie Adhabu Kaburini Na akutoe mchanga machoni mwako JPM Ipo siku ttaona2 popote Duniani aminiiiiiii! Na Woteee waliotangulia mbele ya khaki mwenyezi mungu Makaburi yenu Yaww NURU Kwenu inshalla!
Mwambaaa umetisha
Unawezaa brooo mdaburo juu
Moja ya talent kubwa sana
Nice
Umejitahidi ila baki kama Baraka igiza sauti na mengine ila nafasi na heshima yake
Daa hivyo nimeipenda
Japo anachekesha hua anaongea point
Kiukweli watanzania tunafurahi sana Kwa kumkumbuka Mzee wetu magu.
Magufuri wa iringa sio mwanza BG up sana
Ccm mm nawe dam dam daima ctokuangusha hakika nakupenda peke ako
Jamaa anaweza jaman mnatukumbusha mbali sana tumuenzi hayat magufuli Kwa Yale yake mazuri yote aliyo yaacha.
Hongera sana kaka
Kaka wew unaweza Sana ila wankubania tu muda
Mr melick
Mbunge mteuliwa insha Allah 2020
Good
ILa Baraka Magufuli kakosea kuchanua ndevu kwenye kidevu...Magu hawekagi hizo ndevu kivile
Mama samia mpee kaz huyu hat yakuwa mshauri wako anauwezo na maono pia jamani
Hakuna watu hapo xaiz hamn xelikali wapigaj mtup
Aiseeeeh
Safi sana aisee
Mtu huyu ajengewe Sanam pare stend ya mbz
Naomba huyu mtu aendelezwe zaidi
Baraka unaweza mbaka unaboa duuhh
Respect sana kwako 😂😂😂😂😂
Jamani ccm ni noma
Inapenzaje?
Uyu jamaa amefanana sana na gufuli kweli yuko na kipaji
Keep it up BARAKA
@geofreyjacob6452
3 жыл бұрын
Keep it up BARAKA
Steve nyerere kapata mwenza
❤❤❤❤❤❤❤❤
Oooo
waoooooo jaman uyu baba
namkubari Sana uyo jamaaa
😀😀😀😀😀
Januar makamba
Ni yeye!!!!! Ni magu yuleyule
Nawakubali akuna watu wazuri kama viongoz wa CCM
@geofreyjacob6452
3 жыл бұрын
Kwa nguvu za mungu magufuli atakuw rais
Jamaa anajua kuiga
Munachekeshwa na hao komedi hamna jipywa
@johnsport294
3 жыл бұрын
Tatizo nn mkuu
@prettynesspastory3111
3 жыл бұрын
Una tatizo gani kwani mkuu? Unaharisha tukuletee fragile au? Komed ulizofanya we ziko wapi tuzione
@rahmaoman5122
3 жыл бұрын
Ww kama hujacheka nn umeletwa huku?
@linahsemindu9575
3 жыл бұрын
@@prettynesspastory3111 achana kuwajibu mataila,ndugu yangu hao wanawivu wa chama😂
@jamillahmujungu2253
3 жыл бұрын
Pole ndugu. Kwani kampeni ni ugomvi. Unataka wanune. Au ulitaka waweke maji mdomoni? Hao wasanii ni watu wenye akili timamu na wanajitambua. Wanakubali na kutambua kazi kubwa ya kuijenga nchi aliyofanya Mhe Magufuli. Wameamua kufikisha ujumbe kupitia sanaa zao kumpongeza Rais wetu mpendwa. Mhe Rais. Nyinyi wapinzani "Mtakufa nacho kijiba cha Moyo"
Jamaa kipaji
Duu atali sana🤣🤣😁😁
Du jamani Mungu huyu
Anatisha
Baba yupokazini
Soja
😂😂😂😂😂😂😂😂😂hatar sana
Eh kama magufuri
Barbara mangufuli
Serekali yamagu impe kanafasi
Sio mchezo
Tumewachoka ccm mutaendea na hizo comed zenu tu
Kwanini,mmekula lambilambi za tetemeko kagela
@selector728
3 жыл бұрын
Siyo kagela sema kagera
Rashidi msogoti
P
Balaka katisha atal
😂😂😂
Fungulakimi empty
@frediricknandonde1690
3 жыл бұрын
😂😂😂
@jarsaduba2626
3 жыл бұрын
Unajuaa fungu la kumi sio lazima anampa mtu hadharani so usifurahi kwa maana ametoka empty bro hajui kiloshofata na watu kama wewe dio wale wanatumia mwezako akifanikiwa du
@jarsaduba2626
3 жыл бұрын
@@frediricknandonde1690 unasheka nini sasa
@frediricknandonde1690
3 жыл бұрын
@@jarsaduba2626 maanake mikutano yake mingi alizoea kupata hilo fungu la kumi na aliona leo mafungu yangekua makubwa 😁😁
@Dm-yd1tl
3 жыл бұрын
@@jarsaduba2626 hahaha mskilize vzur misinamaana hio. Najua kashalipwa hawezi vamiatuu shuhuli nahawezi itwatuu Kama wemyeshuhuli hawatambui uwepowake. Usiwe mvivu wakufikiria sikuana maanahio. Msikilizevzuri nauwemwepesi wakuelewa kinamahali alilitaka hilofungu aliongea kwanukta Kwa fumbo.
Ilo choko iloo toka tala weeee njaaa tu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Haaaaaaahaaaaaa
@jonasbujiku8260
3 жыл бұрын
Safi kabisa aisee
CCM NA RUSHWA ZENU MKIPONA SAFARI HII MBELE YA CHADEMA NA ACT WAZALENDO NITAAMINI NYIE WACHAWI NA CCM MKILETA ZA KULETA MUMEWAKARIBISHA G10 na G20 KUJA KUTOA MAAMUZI.
@malaikamushi6032
3 жыл бұрын
Kwani miaka yote hao hawakuwepo 5 mingine ccm hoyeeeeeeee nakukera tuu
@mwlelishamathayo6528
3 жыл бұрын
Utasubir sana G10 watafanya maamuzi kwako
@monicaluoga3112
3 жыл бұрын
Kwn unateseka?
@saimonbagwanya7052
3 жыл бұрын
Umefilisika kimawazo ww hoja uliyoitoa niyakimaskini njoo ujifunze ccm
@suleimansmj9482
3 жыл бұрын
@@saimonbagwanya7052 hahaaaaaaaaaahaaahaaa
Mmebaki hivyohivyo ndo mnatufanya watanzania Kama Midori mtuchekeshe wakati njaa mpaka mifukoni
@salmadalaquimane2364
3 жыл бұрын
Kwan lazima ucheke
@hamadali9159
3 жыл бұрын
Kula kwanza
@raphaeltmasu4318
3 жыл бұрын
Lima tanzania kubwa
@saidhuma9739
3 жыл бұрын
Fanya kazi acha polojo
@kondesaidi2040
3 жыл бұрын
Kalime broo,,kwani ukusoma ukitaka mali utaipata---
Mi nasemaga majitu yanayoipeda ccm nimataaira cmaliona hili choko
@paulmaziku240
3 жыл бұрын
Na yanayoichukia ni malofa
@suleimansmj9482
3 жыл бұрын
@@paulmaziku240 hahaaaaaaaaaaaaa naam mbona watapata tabu sanna ccm baba letu Mimi kuihama ccm labda kufa bila hivyo nitaendelea nayo
Safi,,,,,Jamaa yuko sawa kbs
@malaikamushi6032
3 жыл бұрын
Safiiiii 5 mingineee
kama yeye
@calvinkapinga8341
3 жыл бұрын
nimeona askari akitabasamu
Unachefua ukidhani sifa kumbe uchafu
@lizybaibyrichard6277
3 жыл бұрын
We upendi ccm kwhy usichukie talent ya mwenzako