UTACHEKA! VITUKO Vya BARAKA MAGUFULI Kwenye KAMPENI ya MAMA SAMIA SULUHU, WATU Wote HOI...

UTACHEKA! VITUKO Vya BARAKA MAGUFULI Kwenye KAMPENI ya MAMA SAMIA SULUHU, WATU Wote HOI...
MCHEKESHAJI anayetumia njia ya kuigiza sauti ya Rais Magufuli maarufu kama, Baraka Magufuli, amewachekesha wananachi waliohudhuria kwenye kampeni za mgombea mwenza Urais, Mama Samia Suluhu...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 175

  • @frankzagarino3683
    @frankzagarino36833 жыл бұрын

    Kaka umeweza, hongera sana Kutoka 🇰🇪

  • @rajabuchina1527
    @rajabuchina15273 жыл бұрын

    Huyo jamaa anajua sana kaka ccm Namba liwani

  • @binbaya923
    @binbaya9233 жыл бұрын

    Huyu jamaa kiboko. Respect bro

  • @wahiduitsverycommentmane5421
    @wahiduitsverycommentmane54213 жыл бұрын

    Hahahah adii raha jmn ccm ni noma sana nimefurah adii bas apewe ata udiwani jmn huenda atafanya mazuri Kama magufulii nimefurah alipo sema nchi za jirani zilitamani corona itufanye tuzagae na wamezagaa zagaa waooo hahahah kenya mpo au amjasikia iyo clips apoo hahhaha kenya oyeee Uhuru oyeee mtajijuuuu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @rwandaafrika6173
    @rwandaafrika61733 жыл бұрын

    Ameen 💪✈🙏 C.C.M chama cha Mapinduzi ambao kinafa hamu haki ya binadamu na wanyonge

  • @mosesharerimana278
    @mosesharerimana2783 жыл бұрын

    Huy braza huwa ananimalizaga sn😂😂

  • @queensjuma1832
    @queensjuma18323 жыл бұрын

    Jamani baba etu ebu mpeni japo kisehemu na yy apo ikulu yupo vzr huyu kaka km magufuli vile anavyoongea Jamani naipendaga sana 😄😄 sirudii m. B zangu CCM oyeeeeeeeeeeh 👍👍👍👍👍👍👍....

  • @djmeza411a58
    @djmeza411a583 жыл бұрын

    Barack magu oyeeee 🤣🤣🤣🤣🤣🇹🇿👏👏👏🙏🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🇹🇿

  • @rosedaudy2254

    @rosedaudy2254

    3 жыл бұрын

    🇹🇿🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😋😋🤣🤣🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃

  • @madiyaahmad7453
    @madiyaahmad74533 жыл бұрын

    Duniani wawili wawili yaani unanikosha kweli

  • @annabupamba7258

    @annabupamba7258

    3 жыл бұрын

    Iuui I'm Ñ Maybe Mm mm My

  • @elishamwalupaso7848

    @elishamwalupaso7848

    3 жыл бұрын

    Nimekubali ccm oyeeeeee

  • @hassanmsipi4094
    @hassanmsipi40943 жыл бұрын

    Ila mzungumzaji wa kwanza amemtoa kwenye mood Baraka

  • @shukranitv2971
    @shukranitv29713 жыл бұрын

    Unajuuuaa kuupangilia maneno ya maguuu

  • @faithsaulo4289
    @faithsaulo42893 жыл бұрын

    Oyeee

  • @user-dx4qp7sg4w
    @user-dx4qp7sg4w7 ай бұрын

    Mtangazaji kamrushia baraka kwa kutumia lugha y kumpa Hali y tofauti na alivyokuwa awali...

  • @martinpatrickodhiambo2806
    @martinpatrickodhiambo28063 жыл бұрын

    Apo sasa. Ccm mbele magufuli tena

  • @agiasaidi5294
    @agiasaidi52943 жыл бұрын

    MashaAllah

  • @japhetdaud3781
    @japhetdaud37813 жыл бұрын

    Baraka unawezay

  • @zenamilanzi1471
    @zenamilanzi14713 жыл бұрын

    Haaa wewe kiboko kwa sauti ya magu ongera

  • @annelisejohns8777
    @annelisejohns87773 жыл бұрын

    Doctor pombe magufuri wakweli

  • @selector728

    @selector728

    3 жыл бұрын

    Magufuli siyo magufuri

  • @mweusjiga6873

    @mweusjiga6873

    3 жыл бұрын

    Uko vizili kaka wapaxheee

  • @farajaoyoo9675

    @farajaoyoo9675

    3 жыл бұрын

    Faraja

  • @ericmbonabucha5790
    @ericmbonabucha57903 жыл бұрын

    hongeraaaaaaaaaa mzeee magu

  • @safariautoservice7032
    @safariautoservice70323 жыл бұрын

    Yani jamaa anavuta shati kama MH Magufuli. Heehhh kali kweli

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri81143 жыл бұрын

    Huyu magu kabisa kiukweli

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu39853 жыл бұрын

    Safi sana

  • @BitiaMwalongo
    @BitiaMwalongo3 ай бұрын

    Ulale Mahara pema peponi baba wa taifa ,mtani wangu magufuri😢😢😢😢

  • @zaitunimrisho1062
    @zaitunimrisho10623 жыл бұрын

    Duuh,huyu kweli Baraka Magufuli anaiga vizuri sauti ya Rais Magufuli

  • @menyajoseph9729
    @menyajoseph97293 жыл бұрын

    Kama JPM thanks for your comedy

  • @leonardmrope9528
    @leonardmrope95283 жыл бұрын

    Safi,,,,,Jamaa yuko sawa kbs

  • @iddmrimi6014
    @iddmrimi60144 ай бұрын

    Mwenyezi MUNGU akupunguzie Adhabu Kaburini Na akutoe mchanga machoni mwako JPM Ipo siku ttaona2 popote Duniani aminiiiiiii! Na Woteee waliotangulia mbele ya khaki mwenyezi mungu Makaburi yenu Yaww NURU Kwenu inshalla!

  • @festoavither6065
    @festoavither60653 жыл бұрын

    Mwambaaa umetisha

  • @mustaphairunde7147
    @mustaphairunde71473 жыл бұрын

    Unawezaa brooo mdaburo juu

  • @alfredjohn5693
    @alfredjohn56933 жыл бұрын

    Moja ya talent kubwa sana

  • @albertgilbert1664
    @albertgilbert16643 жыл бұрын

    Nice

  • @suleimanali5270
    @suleimanali52703 жыл бұрын

    Umejitahidi ila baki kama Baraka igiza sauti na mengine ila nafasi na heshima yake

  • @VenasJoseph
    @VenasJoseph2 ай бұрын

    Daa hivyo nimeipenda

  • @peterkasenene5501
    @peterkasenene55013 жыл бұрын

    Japo anachekesha hua anaongea point

  • @user-wu9zz1bm9h
    @user-wu9zz1bm9h8 ай бұрын

    Kiukweli watanzania tunafurahi sana Kwa kumkumbuka Mzee wetu magu.

  • @danielerasto8048
    @danielerasto80483 жыл бұрын

    Magufuri wa iringa sio mwanza BG up sana

  • @suleimansmj9482
    @suleimansmj94823 жыл бұрын

    Ccm mm nawe dam dam daima ctokuangusha hakika nakupenda peke ako

  • @user-wu9zz1bm9h
    @user-wu9zz1bm9h8 ай бұрын

    Jamaa anaweza jaman mnatukumbusha mbali sana tumuenzi hayat magufuli Kwa Yale yake mazuri yote aliyo yaacha.

  • @EmannuelJohn-pj5mk
    @EmannuelJohn-pj5mk7 ай бұрын

    Hongera sana kaka

  • @shukranitv2971
    @shukranitv29713 жыл бұрын

    Kaka wew unaweza Sana ila wankubania tu muda

  • @BenjaminRajabu
    @BenjaminRajabu4 ай бұрын

    Mr melick

  • @sniper93999
    @sniper939993 жыл бұрын

    Mbunge mteuliwa insha Allah 2020

  • @jemimapamen4367
    @jemimapamen43673 жыл бұрын

    Good

  • @michaelsiweya6500
    @michaelsiweya65003 жыл бұрын

    ILa Baraka Magufuli kakosea kuchanua ndevu kwenye kidevu...Magu hawekagi hizo ndevu kivile

  • @zaiiomary8970
    @zaiiomary89702 жыл бұрын

    Mama samia mpee kaz huyu hat yakuwa mshauri wako anauwezo na maono pia jamani

  • @user-gl2lx7tg4e
    @user-gl2lx7tg4e5 ай бұрын

    Hakuna watu hapo xaiz hamn xelikali wapigaj mtup

  • @vnhcstudios1943
    @vnhcstudios19433 жыл бұрын

    Aiseeeeh

  • @SuperKibwana
    @SuperKibwana3 жыл бұрын

    Safi sana aisee

  • @user-rj6qq7tg8t
    @user-rj6qq7tg8t9 ай бұрын

    Mtu huyu ajengewe Sanam pare stend ya mbz

  • @nufantv5373
    @nufantv53733 жыл бұрын

    Naomba huyu mtu aendelezwe zaidi

  • @rodrickgerald6151
    @rodrickgerald61513 жыл бұрын

    Baraka unaweza mbaka unaboa duuhh

  • @monicaluoga3112
    @monicaluoga31123 жыл бұрын

    Respect sana kwako 😂😂😂😂😂

  • @vumiliareonard4718
    @vumiliareonard47183 жыл бұрын

    Jamani ccm ni noma

  • @enockndesarioh9930
    @enockndesarioh99303 жыл бұрын

    Inapenzaje?

  • @safari5774
    @safari57747 ай бұрын

    Uyu jamaa amefanana sana na gufuli kweli yuko na kipaji

  • @hanscarlos4708
    @hanscarlos47083 жыл бұрын

    Keep it up BARAKA

  • @geofreyjacob6452

    @geofreyjacob6452

    3 жыл бұрын

    Keep it up BARAKA

  • @aminamwangile4020
    @aminamwangile40203 жыл бұрын

    Steve nyerere kapata mwenza

  • @KINYONGATZTZkinyonga
    @KINYONGATZTZkinyonga2 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @hawahashimu7751
    @hawahashimu77513 жыл бұрын

    Oooo

  • @rosevalentin2330
    @rosevalentin23303 жыл бұрын

    waoooooo jaman uyu baba

  • @bonifaskalinga7381
    @bonifaskalinga73813 жыл бұрын

    namkubari Sana uyo jamaaa

  • @salmadalaquimane2364
    @salmadalaquimane23643 жыл бұрын

    😀😀😀😀😀

  • @hajjimakame8584
    @hajjimakame85843 жыл бұрын

    Januar makamba

  • @lawaishekhestarboy657
    @lawaishekhestarboy6573 жыл бұрын

    Ni yeye!!!!! Ni magu yuleyule

  • @geofreyjacob6452
    @geofreyjacob64523 жыл бұрын

    Nawakubali akuna watu wazuri kama viongoz wa CCM

  • @geofreyjacob6452

    @geofreyjacob6452

    3 жыл бұрын

    Kwa nguvu za mungu magufuli atakuw rais

  • @athmanchihangu3384
    @athmanchihangu33843 жыл бұрын

    Jamaa anajua kuiga

  • @suleimanalisaid3178
    @suleimanalisaid31783 жыл бұрын

    Munachekeshwa na hao komedi hamna jipywa

  • @johnsport294

    @johnsport294

    3 жыл бұрын

    Tatizo nn mkuu

  • @prettynesspastory3111

    @prettynesspastory3111

    3 жыл бұрын

    Una tatizo gani kwani mkuu? Unaharisha tukuletee fragile au? Komed ulizofanya we ziko wapi tuzione

  • @rahmaoman5122

    @rahmaoman5122

    3 жыл бұрын

    Ww kama hujacheka nn umeletwa huku?

  • @linahsemindu9575

    @linahsemindu9575

    3 жыл бұрын

    @@prettynesspastory3111 achana kuwajibu mataila,ndugu yangu hao wanawivu wa chama😂

  • @jamillahmujungu2253

    @jamillahmujungu2253

    3 жыл бұрын

    Pole ndugu. Kwani kampeni ni ugomvi. Unataka wanune. Au ulitaka waweke maji mdomoni? Hao wasanii ni watu wenye akili timamu na wanajitambua. Wanakubali na kutambua kazi kubwa ya kuijenga nchi aliyofanya Mhe Magufuli. Wameamua kufikisha ujumbe kupitia sanaa zao kumpongeza Rais wetu mpendwa. Mhe Rais. Nyinyi wapinzani "Mtakufa nacho kijiba cha Moyo"

  • @babamimutye145
    @babamimutye1453 жыл бұрын

    Jamaa kipaji

  • @user-jz8sj5us1h
    @user-jz8sj5us1h3 жыл бұрын

    Duu atali sana🤣🤣😁😁

  • @Georgekipusa
    @Georgekipusa3 жыл бұрын

    Du jamani Mungu huyu

  • @user-uy8vp1fr7e
    @user-uy8vp1fr7e4 ай бұрын

    Anatisha

  • @kennedymboma8268
    @kennedymboma82683 жыл бұрын

    Baba yupokazini

  • @user-sw1kv5px8f
    @user-sw1kv5px8f8 ай бұрын

    Soja

  • @eliudimastertz3635
    @eliudimastertz36353 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂hatar sana

  • @salmaluhombero8466
    @salmaluhombero84663 жыл бұрын

    Eh kama magufuri

  • @Babu-vk9mo
    @Babu-vk9moАй бұрын

    Barbara mangufuli

  • @husnamfuko6136
    @husnamfuko61363 жыл бұрын

    Serekali yamagu impe kanafasi

  • @xerxespersian1384
    @xerxespersian13843 жыл бұрын

    Sio mchezo

  • @suleimanalisaid3178
    @suleimanalisaid31783 жыл бұрын

    Tumewachoka ccm mutaendea na hizo comed zenu tu

  • @boniphacedaudi7170
    @boniphacedaudi71703 жыл бұрын

    Kwanini,mmekula lambilambi za tetemeko kagela

  • @selector728

    @selector728

    3 жыл бұрын

    Siyo kagela sema kagera

  • @elizasteven3558
    @elizasteven35583 жыл бұрын

    Rashidi msogoti

  • @abdullasuleiman4477
    @abdullasuleiman44773 жыл бұрын

    P

  • @ramajuma7880
    @ramajuma78803 жыл бұрын

    Balaka katisha atal

  • @nurukitomary8087
    @nurukitomary80873 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @Dm-yd1tl
    @Dm-yd1tl3 жыл бұрын

    Fungulakimi empty

  • @frediricknandonde1690

    @frediricknandonde1690

    3 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @jarsaduba2626

    @jarsaduba2626

    3 жыл бұрын

    Unajuaa fungu la kumi sio lazima anampa mtu hadharani so usifurahi kwa maana ametoka empty bro hajui kiloshofata na watu kama wewe dio wale wanatumia mwezako akifanikiwa du

  • @jarsaduba2626

    @jarsaduba2626

    3 жыл бұрын

    @@frediricknandonde1690 unasheka nini sasa

  • @frediricknandonde1690

    @frediricknandonde1690

    3 жыл бұрын

    @@jarsaduba2626 maanake mikutano yake mingi alizoea kupata hilo fungu la kumi na aliona leo mafungu yangekua makubwa 😁😁

  • @Dm-yd1tl

    @Dm-yd1tl

    3 жыл бұрын

    @@jarsaduba2626 hahaha mskilize vzur misinamaana hio. Najua kashalipwa hawezi vamiatuu shuhuli nahawezi itwatuu Kama wemyeshuhuli hawatambui uwepowake. Usiwe mvivu wakufikiria sikuana maanahio. Msikilizevzuri nauwemwepesi wakuelewa kinamahali alilitaka hilofungu aliongea kwanukta Kwa fumbo.

  • @abdullahsultani4377
    @abdullahsultani43773 жыл бұрын

    Ilo choko iloo toka tala weeee njaaa tu

  • @theresiakamote883
    @theresiakamote8833 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @allenudindo3803
    @allenudindo38033 жыл бұрын

    Haaaaaaahaaaaaa

  • @jonasbujiku8260

    @jonasbujiku8260

    3 жыл бұрын

    Safi kabisa aisee

  • @evansmlalo4049
    @evansmlalo40493 жыл бұрын

    CCM NA RUSHWA ZENU MKIPONA SAFARI HII MBELE YA CHADEMA NA ACT WAZALENDO NITAAMINI NYIE WACHAWI NA CCM MKILETA ZA KULETA MUMEWAKARIBISHA G10 na G20 KUJA KUTOA MAAMUZI.

  • @malaikamushi6032

    @malaikamushi6032

    3 жыл бұрын

    Kwani miaka yote hao hawakuwepo 5 mingine ccm hoyeeeeeeee nakukera tuu

  • @mwlelishamathayo6528

    @mwlelishamathayo6528

    3 жыл бұрын

    Utasubir sana G10 watafanya maamuzi kwako

  • @monicaluoga3112

    @monicaluoga3112

    3 жыл бұрын

    Kwn unateseka?

  • @saimonbagwanya7052

    @saimonbagwanya7052

    3 жыл бұрын

    Umefilisika kimawazo ww hoja uliyoitoa niyakimaskini njoo ujifunze ccm

  • @suleimansmj9482

    @suleimansmj9482

    3 жыл бұрын

    @@saimonbagwanya7052 hahaaaaaaaaaahaaahaaa

  • @jamespeter2639
    @jamespeter26393 жыл бұрын

    Mmebaki hivyohivyo ndo mnatufanya watanzania Kama Midori mtuchekeshe wakati njaa mpaka mifukoni

  • @salmadalaquimane2364

    @salmadalaquimane2364

    3 жыл бұрын

    Kwan lazima ucheke

  • @hamadali9159

    @hamadali9159

    3 жыл бұрын

    Kula kwanza

  • @raphaeltmasu4318

    @raphaeltmasu4318

    3 жыл бұрын

    Lima tanzania kubwa

  • @saidhuma9739

    @saidhuma9739

    3 жыл бұрын

    Fanya kazi acha polojo

  • @kondesaidi2040

    @kondesaidi2040

    3 жыл бұрын

    Kalime broo,,kwani ukusoma ukitaka mali utaipata---

  • @abdullahsultani4377
    @abdullahsultani43773 жыл бұрын

    Mi nasemaga majitu yanayoipeda ccm nimataaira cmaliona hili choko

  • @paulmaziku240

    @paulmaziku240

    3 жыл бұрын

    Na yanayoichukia ni malofa

  • @suleimansmj9482

    @suleimansmj9482

    3 жыл бұрын

    @@paulmaziku240 hahaaaaaaaaaaaaa naam mbona watapata tabu sanna ccm baba letu Mimi kuihama ccm labda kufa bila hivyo nitaendelea nayo

  • @leonardmrope9528
    @leonardmrope95283 жыл бұрын

    Safi,,,,,Jamaa yuko sawa kbs

  • @malaikamushi6032

    @malaikamushi6032

    3 жыл бұрын

    Safiiiii 5 mingineee

  • @calvinkapinga8341
    @calvinkapinga83413 жыл бұрын

    kama yeye

  • @calvinkapinga8341

    @calvinkapinga8341

    3 жыл бұрын

    nimeona askari akitabasamu

  • @eliamwasomola5074
    @eliamwasomola50743 жыл бұрын

    Unachefua ukidhani sifa kumbe uchafu

  • @lizybaibyrichard6277

    @lizybaibyrichard6277

    3 жыл бұрын

    We upendi ccm kwhy usichukie talent ya mwenzako