ULINZI WA RAIS SAMIA NOMA! TAZAMA ALIVYOFIKA KWAO KIZIMKAZI NA NDEGE ZA KIJESHI UTAPENDA..

Пікірлер: 72

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan809310 ай бұрын

    Tunahitaji hospital ya Kanda ya kaskazini ijengwe Arusha tuachane na kcmc na tuachane na hospital ya bugando tujenge hospital ya Kanda ya ziwa zilipe kodi

  • @ABDULLAOALI
    @ABDULLAOALI10 ай бұрын

    Hongera mama, Mungu ibariki tanzania Mungu ibariki znz

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt14 сағат бұрын

    Mashallah

  • @iddihassan2677
    @iddihassan267710 ай бұрын

    Yaani ww mtangazaji saut kma unasoma nasar hujuw kutangaza bado uka some Tena

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan809310 ай бұрын

    Tunahitaji hospital za kidini zijitegemee na zisipate bajeti kutoka serikali kuu na serikali zijenge hospital zake za kanda

  • @ABDULLAOALI
    @ABDULLAOALI10 ай бұрын

    Inajiweka sawa!!! Hy bwn kiswahili chetu hicho!

  • @salimothmanhoza
    @salimothmanhoza10 ай бұрын

    Akifa mama kwa mujibu wa katiba,Philip Mpango anakuwa Rais? Itafutwe mpya kuepuka mashaka haya

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j10 ай бұрын

    Zanzibar ni kisiwa kimezungukwa na bahari. Usafiri lazina boti au ndege/helikopta. Walinzi wamefupisha safari. Kutoka air-port au bandarini hadi Kizimkaazi ni maili nyingi sana. Ndio wameona bora helikopta ni moja kwa moja kutoka dodoma hadi Kizimkaazi. Na ndio penye shuguli.

  • @sadakombo-li7yi
    @sadakombo-li7yi10 ай бұрын

    Mama samia nione mkizimkaz mwenzio niko pemba please nione

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz10 ай бұрын

    Inakuaje muandishi wa habari upo mbali na sehemu ya tukio kwann usisoge karibu

  • @salehesalehe2967
    @salehesalehe296710 ай бұрын

    Safi mama fanya kazi tuki pamoja

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo781610 ай бұрын

    Helcopter mmezionaaa😂😂😂

  • @PhilipoMussa-kd6nw
    @PhilipoMussa-kd6nwАй бұрын

    Mama Samia sisi watoto wa masikini tunaomba mchango wako selection za kujiunga kidato Cha Tano Ziandike upya maana Kuna wanafunzi tumeonewa tumechagua sayansi afu tumetumwa ATI

  • @mariammalendeja370
    @mariammalendeja37010 ай бұрын

    maghufuli nataman ungemuona zuena ooh ungemuona zuwena eeh zuuwena

  • @SAIDIMUKSIN-iy2op
    @SAIDIMUKSIN-iy2op10 ай бұрын

    Mbona anashukia porin jmn

  • @KassimAlly-xp4dz

    @KassimAlly-xp4dz

    10 ай бұрын

    M2 kwao unataka ashukie wapi mjini au ushaona wapi helicopter ikatua mjini

  • @user-ki4sg8yz9j

    @user-ki4sg8yz9j

    10 ай бұрын

    Ndio eneo kubwa la kushuka kwa helikopta. Kashukia Kizimkazi ni shamba kama hamjui.

  • @rahma6189
    @rahma618910 ай бұрын

    Kwani huyo ni raisi wa zanziba

  • @user-fi2xy4tw3p
    @user-fi2xy4tw3p3 ай бұрын

    Honger mam Samia unaupig mwing

  • @FabianTebeka

    @FabianTebeka

    Ай бұрын

    Acha ujinga anaupiga mwingi kwa kusafiri kila wakati wakati hospital akuna madawa, maisha magumu mawaziri wakina mwigulu nchemba wanaiba fedha na hayupo wa kuwatisha sasa ingekuwa marehemu magufuri thubutu kuiba fedha wangezitapika na mda wote anawateua wa nzanzibar tu

  • @TimothyAlex-it2lm
    @TimothyAlex-it2lm11 күн бұрын

    Kazikazi

  • @sarahmuhammed6872
    @sarahmuhammed687210 ай бұрын

    Huyu mwandishi vipi?? Side yoyotevwaexa kumuinterview bila kumshika

  • @VenaEliki
    @VenaEliki10 ай бұрын

    Naona mambo mnayoyafanya wewe na magufuri ni Kama uchifu mbona hatujaona marais awamu ya Kwanza mpaka yanne hawakujitwika ufalme Kama huo

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi220510 ай бұрын

    Wacha aponde raha

  • @KassimAlly-xp4dz

    @KassimAlly-xp4dz

    10 ай бұрын

    Wakati wake

  • @user-ki4sg8yz9j

    @user-ki4sg8yz9j

    10 ай бұрын

    Yuko.kazini.hapo.sio raha

  • @IjumaaIjumaa
    @IjumaaIjumaa10 ай бұрын

    Sirikali iache kutegemea hispitali za kidini ijenge zake na iache hispitali za kidini zijitegemee zijiendeshe zenyewe bona zinaingiza mapato

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j10 ай бұрын

    Ccm acheni ushamba. Kila jambo mnavaa magwanda yenu tu. Kwani hizo sherehe ni za chama??

  • @HamadHamad-oy7mp
    @HamadHamad-oy7mp10 ай бұрын

    Nakupenda mzee kikwete nakupenda mama Samia

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j10 ай бұрын

    Hata Magufuli alijenga kwao na uwanja mkubwa wa kutua ndege yake tu. Kikwete kajenga kijiji cha kifalme kwao Bwagamoyo. Ali Hassan mwinyi ndi hasemeki kwao huko na msasani. Kuna ajabu gani Mama samia kutua kwa helikopta? Au kufanya jambo la maendeleo ya Umma? Acheni roho mbaya Wakavirondo nyie.

  • @MICHAELPANCRASS
    @MICHAELPANCRASS10 ай бұрын

    SAUTI YA WATU NI SAUTI YA MUNGU

  • @user-ki4sg8yz9j

    @user-ki4sg8yz9j

    10 ай бұрын

    Na wengi ndio tunata waekezaji waje ili tuneemeke tulokua wengi. Acheni unoko wenu mtatafuta njia ya kupitisha magendo na kokeni zenu na kukwepa kodi kwa kisingizio eti mizigo ya Kanisa. Madam Samia Oyeeeee mitano tenaaaa

  • @muzneali4747
    @muzneali474710 ай бұрын

    Mama Samia Jenga kiwanja cha ndege hapo

  • @Azikiwe-qi6jd

    @Azikiwe-qi6jd

    10 ай бұрын

    Your have a mind of lazzy people, wewe ni mzembe wa kufikiri, unata kusema kila kiongozi anapoingia madarakani lazima ajenge kiwanja cha ndege kwao, unajua hali ya kiwanja cha ndege chat kwa sasa?

  • @sarahmuhammed6872

    @sarahmuhammed6872

    10 ай бұрын

    ​@@Azikiwe-qi6jdmaxuri kawaida huigwa

  • @DadialiDadi
    @DadialiDadi9 ай бұрын

    Haikuhusu kama Rai's wa znzbar wa bars Kula chuma iyooooo😅😅😅😅

  • @user-dy5fn6qj1q
    @user-dy5fn6qj1q29 күн бұрын

    Safii kukumbuka nyumbani Kila jambo hufanikiwa wanaporudi kushukuru makwaooo Kila kiongozi. Wajifunze kwa mama na hasa wabunge kweye maeneo yaoooo

  • @FatnaAlly-go7yt

    @FatnaAlly-go7yt

    13 сағат бұрын

    Oooh Allah nijaalie na unipe nguvu NAMI niwe ni miongoni mwa kutekeleza inshallah

  • @zuberymwenge6780
    @zuberymwenge678010 ай бұрын

    Kudadeki tutakutana kaburinj

  • @ally0thmanfundikira463
    @ally0thmanfundikira46310 ай бұрын

    Mtoto huyo warda mwalimu alikua anamtesa sana na anasema kazaa na polisi mkubwa ni kibaha mama yake nakuomba sana msaidie mueshimiwa ninakuomba fuatilia global tv

  • @sarahmuhammed6872

    @sarahmuhammed6872

    10 ай бұрын

    Swali aliempeleka kwa huyo.mwl mkuu ni nani??? Mpaka wakawa wanamtafuta???

  • @sponsor7882
    @sponsor788210 ай бұрын

    gabon niger

  • @ally0thmanfundikira463
    @ally0thmanfundikira46310 ай бұрын

    Mueshimiwa Rais ninakuomba mama yetu tuonee tuonee huruma ingilia kati sakata la mtoto Warda Muhamed aliyepotea kule kinahan kiwa anakaa na mwalimu huyu mwalimu anakivuna yuko na mkubwa tusaidie fiatilia global tv

  • @KassimAlly-xp4dz

    @KassimAlly-xp4dz

    10 ай бұрын

    Wa2 wake wapo kazini kulishulikia ilo subra muhimu sn

  • @chankamba
    @chankamba10 ай бұрын

    Herocopita 😂😂 wameziona

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j10 ай бұрын

    Watanganyika mliwazarau wazanzibali mkaona hawawezi. Mumeona Mama anavyo tusuta? Mama unaweza Hekooooo❤

  • @FabianTebeka

    @FabianTebeka

    Ай бұрын

    Acha ujinga anaupiga mwingi kwa kusafiri kila wakati na wanzanzibar unasema anatusuta kwa kusafiri kila wakati anasababisha maisha kuwa magumu mawaziri wakina mwigulu nchemba wanaiba fedha akuna wa kuwazuia kipindi cha magufuri thubutu kuiba fedha wangezitapika na huyu mama ata akiongoza milele awezi kumfikia magufuri kamwe

  • @solomonwanjala9351
    @solomonwanjala93513 ай бұрын

    Unaongea sana

  • @MICHAELPANCRASS
    @MICHAELPANCRASS10 ай бұрын

    TUKUTANE 2025

  • @rahma6189
    @rahma618910 ай бұрын

    Kumbe kwao ni masikini hivo ndio mana anachetuka

  • @deusurio9056
    @deusurio905610 ай бұрын

    Watanzania kama hamtakaa na kuomba Mungu awafungue ktk uwezo wakufikiri ,Iko siku mtauzwa mkiwa mmelala, hii ccm wanalaana na Wala hawajali maisha yenu ,wao ni kuuza rasilimali zenu ,Kila rais inaeingia anauza kilichobaki, kilicho Baki ni bahari ardhi mlima kmanjaro vikiuzwa mtakwenda kuwa wakimbizi kwenye nchi yenu

  • @MICHAELPANCRASS
    @MICHAELPANCRASS10 ай бұрын

    Hahahaha

  • @ayubumoha6313
    @ayubumoha631310 ай бұрын

    Hii nch imekuwa basi Tena magufuli ameondoka na vyake😭😭😭😭😭

  • @MICHAELPANCRASS
    @MICHAELPANCRASS10 ай бұрын

    Nchi hii tunahitaji maombi sana Mungu atuepushe na hiki kikombe

  • @jolemerci2155

    @jolemerci2155

    10 ай бұрын

    Kwa kweli umeona muonekano wa hiyo ndege? Yani Tanzania kwa sasa imeongozwa n'a farao

  • @suleimanmwita-oh1up
    @suleimanmwita-oh1up10 ай бұрын

    kisa nini huna akili ww

  • @salehesalehe2967

    @salehesalehe2967

    10 ай бұрын

    Hivi unajua wakatoliki walisaini mkataba serikali isijenge hospitali pale ambapo wao wamejenga na sasahivi wanaipinga serikali Sasa Bora serikali iachane nao

  • @user-ki4sg8yz9j

    @user-ki4sg8yz9j

    10 ай бұрын

    Na wewe mwehu haswaaa

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe81410 ай бұрын

    Vitu vya kitoto

  • @onelovetz7935

    @onelovetz7935

    10 ай бұрын

    Nakupata hanashida na wananchi wanakula Bata ogopa wanaokwea na ndege hawawezi kujenga nchi

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga579810 ай бұрын

    Seema cna kituuu na hasiraaaa sanaaaa ila mda unakuja ardhi italoa damuuuu

  • @AllyMsafiri-kw2ne

    @AllyMsafiri-kw2ne

    10 ай бұрын

    Hiyo damu ikiwa niyakwako nanduguzako itakuwa sawa tu.

  • @Anuarmustafa4128

    @Anuarmustafa4128

    10 ай бұрын

    Nyinyi mbwa wengine hamjielewi

  • @salehesalehe2967

    @salehesalehe2967

    10 ай бұрын

    Tutakuzika mjinga mmoja wewe

  • @Clement-px8eg
    @Clement-px8eg10 ай бұрын

    Mama yenu huyoo abaki hukohuko

  • @salehesalehe2967

    @salehesalehe2967

    10 ай бұрын

    Mjinga wewe ulitaka mama yako ndo awe rais

  • @Clement-px8eg

    @Clement-px8eg

    10 ай бұрын

    Sina.mama

  • @user-ki4sg8yz9j

    @user-ki4sg8yz9j

    10 ай бұрын

    Huyo mnae mitano tenaaa. Mnaona aibu Mzanzibari tena Mwanamke kaongoza kwa muda mfupi sana, kaleta maendeleo kibao huko Tanganyika. Kazi kusema Wazanzibari kazi yetu kula urojo tu. Hiyo ndio faida ya urojo. Mama Samia ni Chaguo la Mungu❤

  • @FabianTebeka

    @FabianTebeka

    Ай бұрын

    Acha ujinga chaguo la MUNGU kwa kusafiri kila wakati ww unajua tokea awe rais ametumia kiasi gani kwa ajili ya safari, gharama aliyotumia kwa miaka 3 ni zaidi ya aliyotumia magufuri kwa miaka 6 na nchi inadaiwa matilioni ya shilingi alafu unaongea upumbavu akuna rais alifeli kama huyu na ataendelea kufeli mwamba ameondoka na akili zake ata raisi husen mwinyi alisema alipokuwa wanamuoji TBC na mnukuu alisema tuta chukua mdaa mrefu kupata kiongozi wa kariba ya magufuri. Kwa hiyo nyinyi semeni ila ukweli utabaki kuwa ukweli.

  • @onelovetz7935
    @onelovetz793510 ай бұрын

    Usifanye maigizo Kama ya chadema yakukwea na ndege huku wananchi hoyi huko ndiko kujenga nchi hakuna kutembea na gali

  • @KassimAlly-xp4dz

    @KassimAlly-xp4dz

    10 ай бұрын

    Unatakaje labda hebu acheni chuki nyie dah au tukupe ww urais halafu utembe kwa mguu

Келесі