ULINZI WA RAIS SAMIA NOMA! TAZAMA ALIVYOFIKA KWAO KIZIMKAZI NA NDEGE ZA KIJESHI UTAPENDA..
Жүктеу.....
Пікірлер: 72
@abuuramadhan809310 ай бұрын
Tunahitaji hospital ya Kanda ya kaskazini ijengwe Arusha tuachane na kcmc na tuachane na hospital ya bugando tujenge hospital ya Kanda ya ziwa zilipe kodi
@ABDULLAOALI10 ай бұрын
Hongera mama, Mungu ibariki tanzania Mungu ibariki znz
@FatnaAlly-go7yt14 сағат бұрын
Mashallah
@iddihassan267710 ай бұрын
Yaani ww mtangazaji saut kma unasoma nasar hujuw kutangaza bado uka some Tena
@abuuramadhan809310 ай бұрын
Tunahitaji hospital za kidini zijitegemee na zisipate bajeti kutoka serikali kuu na serikali zijenge hospital zake za kanda
@ABDULLAOALI10 ай бұрын
Inajiweka sawa!!! Hy bwn kiswahili chetu hicho!
@salimothmanhoza10 ай бұрын
Akifa mama kwa mujibu wa katiba,Philip Mpango anakuwa Rais? Itafutwe mpya kuepuka mashaka haya
@user-ki4sg8yz9j10 ай бұрын
Zanzibar ni kisiwa kimezungukwa na bahari. Usafiri lazina boti au ndege/helikopta. Walinzi wamefupisha safari. Kutoka air-port au bandarini hadi Kizimkaazi ni maili nyingi sana. Ndio wameona bora helikopta ni moja kwa moja kutoka dodoma hadi Kizimkaazi. Na ndio penye shuguli.
@sadakombo-li7yi10 ай бұрын
Mama samia nione mkizimkaz mwenzio niko pemba please nione
@KassimAlly-xp4dz10 ай бұрын
Inakuaje muandishi wa habari upo mbali na sehemu ya tukio kwann usisoge karibu
@salehesalehe296710 ай бұрын
Safi mama fanya kazi tuki pamoja
@ashachitemo781610 ай бұрын
Helcopter mmezionaaa😂😂😂
@PhilipoMussa-kd6nwАй бұрын
Mama Samia sisi watoto wa masikini tunaomba mchango wako selection za kujiunga kidato Cha Tano Ziandike upya maana Kuna wanafunzi tumeonewa tumechagua sayansi afu tumetumwa ATI
@mariammalendeja37010 ай бұрын
maghufuli nataman ungemuona zuena ooh ungemuona zuwena eeh zuuwena
@SAIDIMUKSIN-iy2op10 ай бұрын
Mbona anashukia porin jmn
@KassimAlly-xp4dz
10 ай бұрын
M2 kwao unataka ashukie wapi mjini au ushaona wapi helicopter ikatua mjini
@user-ki4sg8yz9j
10 ай бұрын
Ndio eneo kubwa la kushuka kwa helikopta. Kashukia Kizimkazi ni shamba kama hamjui.
@rahma618910 ай бұрын
Kwani huyo ni raisi wa zanziba
@user-fi2xy4tw3p3 ай бұрын
Honger mam Samia unaupig mwing
@FabianTebeka
Ай бұрын
Acha ujinga anaupiga mwingi kwa kusafiri kila wakati wakati hospital akuna madawa, maisha magumu mawaziri wakina mwigulu nchemba wanaiba fedha na hayupo wa kuwatisha sasa ingekuwa marehemu magufuri thubutu kuiba fedha wangezitapika na mda wote anawateua wa nzanzibar tu
@TimothyAlex-it2lm11 күн бұрын
Kazikazi
@sarahmuhammed687210 ай бұрын
Huyu mwandishi vipi?? Side yoyotevwaexa kumuinterview bila kumshika
@VenaEliki10 ай бұрын
Naona mambo mnayoyafanya wewe na magufuri ni Kama uchifu mbona hatujaona marais awamu ya Kwanza mpaka yanne hawakujitwika ufalme Kama huo
@verdianabanabi220510 ай бұрын
Wacha aponde raha
@KassimAlly-xp4dz
10 ай бұрын
Wakati wake
@user-ki4sg8yz9j
10 ай бұрын
Yuko.kazini.hapo.sio raha
@IjumaaIjumaa10 ай бұрын
Sirikali iache kutegemea hispitali za kidini ijenge zake na iache hispitali za kidini zijitegemee zijiendeshe zenyewe bona zinaingiza mapato
@user-ki4sg8yz9j10 ай бұрын
Ccm acheni ushamba. Kila jambo mnavaa magwanda yenu tu. Kwani hizo sherehe ni za chama??
@HamadHamad-oy7mp10 ай бұрын
Nakupenda mzee kikwete nakupenda mama Samia
@user-ki4sg8yz9j10 ай бұрын
Hata Magufuli alijenga kwao na uwanja mkubwa wa kutua ndege yake tu. Kikwete kajenga kijiji cha kifalme kwao Bwagamoyo. Ali Hassan mwinyi ndi hasemeki kwao huko na msasani. Kuna ajabu gani Mama samia kutua kwa helikopta? Au kufanya jambo la maendeleo ya Umma? Acheni roho mbaya Wakavirondo nyie.
@MICHAELPANCRASS10 ай бұрын
SAUTI YA WATU NI SAUTI YA MUNGU
@user-ki4sg8yz9j
10 ай бұрын
Na wengi ndio tunata waekezaji waje ili tuneemeke tulokua wengi. Acheni unoko wenu mtatafuta njia ya kupitisha magendo na kokeni zenu na kukwepa kodi kwa kisingizio eti mizigo ya Kanisa. Madam Samia Oyeeeee mitano tenaaaa
@muzneali474710 ай бұрын
Mama Samia Jenga kiwanja cha ndege hapo
@Azikiwe-qi6jd
10 ай бұрын
Your have a mind of lazzy people, wewe ni mzembe wa kufikiri, unata kusema kila kiongozi anapoingia madarakani lazima ajenge kiwanja cha ndege kwao, unajua hali ya kiwanja cha ndege chat kwa sasa?
@sarahmuhammed6872
10 ай бұрын
@@Azikiwe-qi6jdmaxuri kawaida huigwa
@DadialiDadi9 ай бұрын
Haikuhusu kama Rai's wa znzbar wa bars Kula chuma iyooooo😅😅😅😅
@user-dy5fn6qj1q29 күн бұрын
Safii kukumbuka nyumbani Kila jambo hufanikiwa wanaporudi kushukuru makwaooo Kila kiongozi. Wajifunze kwa mama na hasa wabunge kweye maeneo yaoooo
@FatnaAlly-go7yt
13 сағат бұрын
Oooh Allah nijaalie na unipe nguvu NAMI niwe ni miongoni mwa kutekeleza inshallah
@zuberymwenge678010 ай бұрын
Kudadeki tutakutana kaburinj
@ally0thmanfundikira46310 ай бұрын
Mtoto huyo warda mwalimu alikua anamtesa sana na anasema kazaa na polisi mkubwa ni kibaha mama yake nakuomba sana msaidie mueshimiwa ninakuomba fuatilia global tv
@sarahmuhammed6872
10 ай бұрын
Swali aliempeleka kwa huyo.mwl mkuu ni nani??? Mpaka wakawa wanamtafuta???
@sponsor788210 ай бұрын
gabon niger
@ally0thmanfundikira46310 ай бұрын
Mueshimiwa Rais ninakuomba mama yetu tuonee tuonee huruma ingilia kati sakata la mtoto Warda Muhamed aliyepotea kule kinahan kiwa anakaa na mwalimu huyu mwalimu anakivuna yuko na mkubwa tusaidie fiatilia global tv
@KassimAlly-xp4dz
10 ай бұрын
Wa2 wake wapo kazini kulishulikia ilo subra muhimu sn
@chankamba10 ай бұрын
Herocopita 😂😂 wameziona
@user-ki4sg8yz9j10 ай бұрын
Watanganyika mliwazarau wazanzibali mkaona hawawezi. Mumeona Mama anavyo tusuta? Mama unaweza Hekooooo❤
@FabianTebeka
Ай бұрын
Acha ujinga anaupiga mwingi kwa kusafiri kila wakati na wanzanzibar unasema anatusuta kwa kusafiri kila wakati anasababisha maisha kuwa magumu mawaziri wakina mwigulu nchemba wanaiba fedha akuna wa kuwazuia kipindi cha magufuri thubutu kuiba fedha wangezitapika na huyu mama ata akiongoza milele awezi kumfikia magufuri kamwe
@solomonwanjala93513 ай бұрын
Unaongea sana
@MICHAELPANCRASS10 ай бұрын
TUKUTANE 2025
@rahma618910 ай бұрын
Kumbe kwao ni masikini hivo ndio mana anachetuka
@deusurio905610 ай бұрын
Watanzania kama hamtakaa na kuomba Mungu awafungue ktk uwezo wakufikiri ,Iko siku mtauzwa mkiwa mmelala, hii ccm wanalaana na Wala hawajali maisha yenu ,wao ni kuuza rasilimali zenu ,Kila rais inaeingia anauza kilichobaki, kilicho Baki ni bahari ardhi mlima kmanjaro vikiuzwa mtakwenda kuwa wakimbizi kwenye nchi yenu
@MICHAELPANCRASS10 ай бұрын
Hahahaha
@ayubumoha631310 ай бұрын
Hii nch imekuwa basi Tena magufuli ameondoka na vyake😭😭😭😭😭
@MICHAELPANCRASS10 ай бұрын
Nchi hii tunahitaji maombi sana Mungu atuepushe na hiki kikombe
@jolemerci2155
10 ай бұрын
Kwa kweli umeona muonekano wa hiyo ndege? Yani Tanzania kwa sasa imeongozwa n'a farao
@suleimanmwita-oh1up10 ай бұрын
kisa nini huna akili ww
@salehesalehe2967
10 ай бұрын
Hivi unajua wakatoliki walisaini mkataba serikali isijenge hospitali pale ambapo wao wamejenga na sasahivi wanaipinga serikali Sasa Bora serikali iachane nao
@user-ki4sg8yz9j
10 ай бұрын
Na wewe mwehu haswaaa
@romanamassawe81410 ай бұрын
Vitu vya kitoto
@onelovetz7935
10 ай бұрын
Nakupata hanashida na wananchi wanakula Bata ogopa wanaokwea na ndege hawawezi kujenga nchi
@lugelosanga579810 ай бұрын
Seema cna kituuu na hasiraaaa sanaaaa ila mda unakuja ardhi italoa damuuuu
@AllyMsafiri-kw2ne
10 ай бұрын
Hiyo damu ikiwa niyakwako nanduguzako itakuwa sawa tu.
@Anuarmustafa4128
10 ай бұрын
Nyinyi mbwa wengine hamjielewi
@salehesalehe2967
10 ай бұрын
Tutakuzika mjinga mmoja wewe
@Clement-px8eg10 ай бұрын
Mama yenu huyoo abaki hukohuko
@salehesalehe2967
10 ай бұрын
Mjinga wewe ulitaka mama yako ndo awe rais
@Clement-px8eg
10 ай бұрын
Sina.mama
@user-ki4sg8yz9j
10 ай бұрын
Huyo mnae mitano tenaaa. Mnaona aibu Mzanzibari tena Mwanamke kaongoza kwa muda mfupi sana, kaleta maendeleo kibao huko Tanganyika. Kazi kusema Wazanzibari kazi yetu kula urojo tu. Hiyo ndio faida ya urojo. Mama Samia ni Chaguo la Mungu❤
@FabianTebeka
Ай бұрын
Acha ujinga chaguo la MUNGU kwa kusafiri kila wakati ww unajua tokea awe rais ametumia kiasi gani kwa ajili ya safari, gharama aliyotumia kwa miaka 3 ni zaidi ya aliyotumia magufuri kwa miaka 6 na nchi inadaiwa matilioni ya shilingi alafu unaongea upumbavu akuna rais alifeli kama huyu na ataendelea kufeli mwamba ameondoka na akili zake ata raisi husen mwinyi alisema alipokuwa wanamuoji TBC na mnukuu alisema tuta chukua mdaa mrefu kupata kiongozi wa kariba ya magufuri. Kwa hiyo nyinyi semeni ila ukweli utabaki kuwa ukweli.
@onelovetz793510 ай бұрын
Usifanye maigizo Kama ya chadema yakukwea na ndege huku wananchi hoyi huko ndiko kujenga nchi hakuna kutembea na gali
@KassimAlly-xp4dz
10 ай бұрын
Unatakaje labda hebu acheni chuki nyie dah au tukupe ww urais halafu utembe kwa mguu
Пікірлер: 72
Tunahitaji hospital ya Kanda ya kaskazini ijengwe Arusha tuachane na kcmc na tuachane na hospital ya bugando tujenge hospital ya Kanda ya ziwa zilipe kodi
Hongera mama, Mungu ibariki tanzania Mungu ibariki znz
Mashallah
Yaani ww mtangazaji saut kma unasoma nasar hujuw kutangaza bado uka some Tena
Tunahitaji hospital za kidini zijitegemee na zisipate bajeti kutoka serikali kuu na serikali zijenge hospital zake za kanda
Inajiweka sawa!!! Hy bwn kiswahili chetu hicho!
Akifa mama kwa mujibu wa katiba,Philip Mpango anakuwa Rais? Itafutwe mpya kuepuka mashaka haya
Zanzibar ni kisiwa kimezungukwa na bahari. Usafiri lazina boti au ndege/helikopta. Walinzi wamefupisha safari. Kutoka air-port au bandarini hadi Kizimkaazi ni maili nyingi sana. Ndio wameona bora helikopta ni moja kwa moja kutoka dodoma hadi Kizimkaazi. Na ndio penye shuguli.
Mama samia nione mkizimkaz mwenzio niko pemba please nione
Inakuaje muandishi wa habari upo mbali na sehemu ya tukio kwann usisoge karibu
Safi mama fanya kazi tuki pamoja
Helcopter mmezionaaa😂😂😂
Mama Samia sisi watoto wa masikini tunaomba mchango wako selection za kujiunga kidato Cha Tano Ziandike upya maana Kuna wanafunzi tumeonewa tumechagua sayansi afu tumetumwa ATI
maghufuli nataman ungemuona zuena ooh ungemuona zuwena eeh zuuwena
Mbona anashukia porin jmn
@KassimAlly-xp4dz
10 ай бұрын
M2 kwao unataka ashukie wapi mjini au ushaona wapi helicopter ikatua mjini
@user-ki4sg8yz9j
10 ай бұрын
Ndio eneo kubwa la kushuka kwa helikopta. Kashukia Kizimkazi ni shamba kama hamjui.
Kwani huyo ni raisi wa zanziba
Honger mam Samia unaupig mwing
@FabianTebeka
Ай бұрын
Acha ujinga anaupiga mwingi kwa kusafiri kila wakati wakati hospital akuna madawa, maisha magumu mawaziri wakina mwigulu nchemba wanaiba fedha na hayupo wa kuwatisha sasa ingekuwa marehemu magufuri thubutu kuiba fedha wangezitapika na mda wote anawateua wa nzanzibar tu
Kazikazi
Huyu mwandishi vipi?? Side yoyotevwaexa kumuinterview bila kumshika
Naona mambo mnayoyafanya wewe na magufuri ni Kama uchifu mbona hatujaona marais awamu ya Kwanza mpaka yanne hawakujitwika ufalme Kama huo
Wacha aponde raha
@KassimAlly-xp4dz
10 ай бұрын
Wakati wake
@user-ki4sg8yz9j
10 ай бұрын
Yuko.kazini.hapo.sio raha
Sirikali iache kutegemea hispitali za kidini ijenge zake na iache hispitali za kidini zijitegemee zijiendeshe zenyewe bona zinaingiza mapato
Ccm acheni ushamba. Kila jambo mnavaa magwanda yenu tu. Kwani hizo sherehe ni za chama??
Nakupenda mzee kikwete nakupenda mama Samia
Hata Magufuli alijenga kwao na uwanja mkubwa wa kutua ndege yake tu. Kikwete kajenga kijiji cha kifalme kwao Bwagamoyo. Ali Hassan mwinyi ndi hasemeki kwao huko na msasani. Kuna ajabu gani Mama samia kutua kwa helikopta? Au kufanya jambo la maendeleo ya Umma? Acheni roho mbaya Wakavirondo nyie.
SAUTI YA WATU NI SAUTI YA MUNGU
@user-ki4sg8yz9j
10 ай бұрын
Na wengi ndio tunata waekezaji waje ili tuneemeke tulokua wengi. Acheni unoko wenu mtatafuta njia ya kupitisha magendo na kokeni zenu na kukwepa kodi kwa kisingizio eti mizigo ya Kanisa. Madam Samia Oyeeeee mitano tenaaaa
Mama Samia Jenga kiwanja cha ndege hapo
@Azikiwe-qi6jd
10 ай бұрын
Your have a mind of lazzy people, wewe ni mzembe wa kufikiri, unata kusema kila kiongozi anapoingia madarakani lazima ajenge kiwanja cha ndege kwao, unajua hali ya kiwanja cha ndege chat kwa sasa?
@sarahmuhammed6872
10 ай бұрын
@@Azikiwe-qi6jdmaxuri kawaida huigwa
Haikuhusu kama Rai's wa znzbar wa bars Kula chuma iyooooo😅😅😅😅
Safii kukumbuka nyumbani Kila jambo hufanikiwa wanaporudi kushukuru makwaooo Kila kiongozi. Wajifunze kwa mama na hasa wabunge kweye maeneo yaoooo
@FatnaAlly-go7yt
13 сағат бұрын
Oooh Allah nijaalie na unipe nguvu NAMI niwe ni miongoni mwa kutekeleza inshallah
Kudadeki tutakutana kaburinj
Mtoto huyo warda mwalimu alikua anamtesa sana na anasema kazaa na polisi mkubwa ni kibaha mama yake nakuomba sana msaidie mueshimiwa ninakuomba fuatilia global tv
@sarahmuhammed6872
10 ай бұрын
Swali aliempeleka kwa huyo.mwl mkuu ni nani??? Mpaka wakawa wanamtafuta???
gabon niger
Mueshimiwa Rais ninakuomba mama yetu tuonee tuonee huruma ingilia kati sakata la mtoto Warda Muhamed aliyepotea kule kinahan kiwa anakaa na mwalimu huyu mwalimu anakivuna yuko na mkubwa tusaidie fiatilia global tv
@KassimAlly-xp4dz
10 ай бұрын
Wa2 wake wapo kazini kulishulikia ilo subra muhimu sn
Herocopita 😂😂 wameziona
Watanganyika mliwazarau wazanzibali mkaona hawawezi. Mumeona Mama anavyo tusuta? Mama unaweza Hekooooo❤
@FabianTebeka
Ай бұрын
Acha ujinga anaupiga mwingi kwa kusafiri kila wakati na wanzanzibar unasema anatusuta kwa kusafiri kila wakati anasababisha maisha kuwa magumu mawaziri wakina mwigulu nchemba wanaiba fedha akuna wa kuwazuia kipindi cha magufuri thubutu kuiba fedha wangezitapika na huyu mama ata akiongoza milele awezi kumfikia magufuri kamwe
Unaongea sana
TUKUTANE 2025
Kumbe kwao ni masikini hivo ndio mana anachetuka
Watanzania kama hamtakaa na kuomba Mungu awafungue ktk uwezo wakufikiri ,Iko siku mtauzwa mkiwa mmelala, hii ccm wanalaana na Wala hawajali maisha yenu ,wao ni kuuza rasilimali zenu ,Kila rais inaeingia anauza kilichobaki, kilicho Baki ni bahari ardhi mlima kmanjaro vikiuzwa mtakwenda kuwa wakimbizi kwenye nchi yenu
Hahahaha
Hii nch imekuwa basi Tena magufuli ameondoka na vyake😭😭😭😭😭
Nchi hii tunahitaji maombi sana Mungu atuepushe na hiki kikombe
@jolemerci2155
10 ай бұрын
Kwa kweli umeona muonekano wa hiyo ndege? Yani Tanzania kwa sasa imeongozwa n'a farao
kisa nini huna akili ww
@salehesalehe2967
10 ай бұрын
Hivi unajua wakatoliki walisaini mkataba serikali isijenge hospitali pale ambapo wao wamejenga na sasahivi wanaipinga serikali Sasa Bora serikali iachane nao
@user-ki4sg8yz9j
10 ай бұрын
Na wewe mwehu haswaaa
Vitu vya kitoto
@onelovetz7935
10 ай бұрын
Nakupata hanashida na wananchi wanakula Bata ogopa wanaokwea na ndege hawawezi kujenga nchi
Seema cna kituuu na hasiraaaa sanaaaa ila mda unakuja ardhi italoa damuuuu
@AllyMsafiri-kw2ne
10 ай бұрын
Hiyo damu ikiwa niyakwako nanduguzako itakuwa sawa tu.
@Anuarmustafa4128
10 ай бұрын
Nyinyi mbwa wengine hamjielewi
@salehesalehe2967
10 ай бұрын
Tutakuzika mjinga mmoja wewe
Mama yenu huyoo abaki hukohuko
@salehesalehe2967
10 ай бұрын
Mjinga wewe ulitaka mama yako ndo awe rais
@Clement-px8eg
10 ай бұрын
Sina.mama
@user-ki4sg8yz9j
10 ай бұрын
Huyo mnae mitano tenaaa. Mnaona aibu Mzanzibari tena Mwanamke kaongoza kwa muda mfupi sana, kaleta maendeleo kibao huko Tanganyika. Kazi kusema Wazanzibari kazi yetu kula urojo tu. Hiyo ndio faida ya urojo. Mama Samia ni Chaguo la Mungu❤
@FabianTebeka
Ай бұрын
Acha ujinga chaguo la MUNGU kwa kusafiri kila wakati ww unajua tokea awe rais ametumia kiasi gani kwa ajili ya safari, gharama aliyotumia kwa miaka 3 ni zaidi ya aliyotumia magufuri kwa miaka 6 na nchi inadaiwa matilioni ya shilingi alafu unaongea upumbavu akuna rais alifeli kama huyu na ataendelea kufeli mwamba ameondoka na akili zake ata raisi husen mwinyi alisema alipokuwa wanamuoji TBC na mnukuu alisema tuta chukua mdaa mrefu kupata kiongozi wa kariba ya magufuri. Kwa hiyo nyinyi semeni ila ukweli utabaki kuwa ukweli.
Usifanye maigizo Kama ya chadema yakukwea na ndege huku wananchi hoyi huko ndiko kujenga nchi hakuna kutembea na gali
@KassimAlly-xp4dz
10 ай бұрын
Unatakaje labda hebu acheni chuki nyie dah au tukupe ww urais halafu utembe kwa mguu