Daah,makonda we jamaa sijui nichague neno gani zuri,itoshe kusema mungu akutangulie
@user-bx3kl4hn6j
26 күн бұрын
Fisadi au jambazi yote mazuri
@maduhuelias981326 күн бұрын
Daaaah arusha kuna inchi nyingine tofauti na tz❤❤❤❤. Hongera Paul makonda kwa upendo mkubwa huo
@barakakitomary293626 күн бұрын
Wewe tunamuomba mungu akupe maisha marefu na yenye baraka tele brooh wangu
@wilfredmaimu195826 күн бұрын
Hongera raisi mtarajiwa🎉🎉🎉🎉
@barakakitomary293626 күн бұрын
Kaka makonda sina mengi zaidi ya kusema mungu akutunze daima pamoja na familia yako
@NeemaNgovi-bu1tc16 күн бұрын
Kweli Makonda anaupedo uliotukuka Mungu ampe maisha malefu
@allybora402123 күн бұрын
Mungu awabariki nyote
@JimmyCosmas-cl2kh26 күн бұрын
Mungu akutunze Makonda
@AsilaKagambo-uv2ff26 күн бұрын
Hello my Malinda wangepatikana wawili Kama wewe nchi hii ingekuwa Kasi mpya mungu akubariki na kukulinda
@JeremiaMnanka26 күн бұрын
MAKONDA mungu akurinde nakumbuka siku umekuja TARIME nilifrai sana ilasiku MWIGURU arikuja SIRARI nililia nakusema JPM angekuwepo vijana wa SIRARI na NYAMONGO wasingekufa kama kuku
@daudkindy806226 күн бұрын
Makonda ni zaid ya mkuu wa mkoa Mashaallah
@tanzaniakwanza169926 күн бұрын
Aende Bungeni. Msukuma anatutia aibu wa Tz
@barakajonas320926 күн бұрын
Nice 👍👍👍
@daudimaniseli75926 күн бұрын
MH.. MAKONDA,,ulikaaa dar ukbuni,ulikuwa ccm KIONGOZI ukabuni na UPO arusha we MBUNIFU.... Allah AKUPE makubwa Zaid Ili utumikie WATANZANIA WOTE.
@fatmamussa292726 күн бұрын
waziri mkuu mtarajiwa ....Amin
@agustinoezekiel26 күн бұрын
Sidhani kama wafanyabiashara Arusha watagoma kama wenzao,dar, mwanza,mbeya nk.nahis kesho mikoa nyingine itagoma kufunga biashara zao
@mungholomakalanga895825 күн бұрын
Mungu mwema akulinde wewe na familia yako.❤
@ifmknowledgepower733327 күн бұрын
Ujio wa makonda Arusha, Umeifanya Arusha kuchangamka mno
@mwinyichinchibera487526 күн бұрын
Makonda oyee
@user-xk7vy4gb6g27 күн бұрын
Wallah wenzetu Arusha mmepata mkuu wa mkoa Huku kwetu wamelala tu hawana jipya
@IssaAbushehe
26 күн бұрын
Wapi huko?
@user-xk7vy4gb6g
26 күн бұрын
@@IssaAbushehe Tz nzima ww unaona wakuu wa mikoa wanafanya kazi km Mh Makonda?? Sasahiv mkoa wa moto ni Arusha tu mikoa mingine tunavumilia tu nakuknja joto la jiwe
@lutegomakoyeluhahula361
26 күн бұрын
Sio siri@@IssaAbushehemwanza ni ovyo.kuna jitu limelalamika.
@yassinkimolo294324 күн бұрын
Huu upendo umaanza lini? Huyu sio ndio wale wanaoitwa wasiojulikana😮😮!!!!!
@bibianakiwali196926 күн бұрын
Mwanangu Mungu akubariki.saaaana Hakika wewe ni mtu wa Mungu na Mungu akuwekee mkono wake wajinga wasikuweze..Mungu akubariki sana.
@jumabonge857725 күн бұрын
wapeni hongera zao
@paschalpaul386227 күн бұрын
Makonda makonda
@exaverysimon106426 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@scholarmawala140326 күн бұрын
Kichwa Cha habari🙆
@user-pe8wh5bw2h26 күн бұрын
Afy km ip Kaka samahn
@ChivwadiMahumba26 күн бұрын
Bro MUNGU AKULINDE,TANZANIA TUNAKUITAJI,MUNGU AKUPANDISHE ZAIDI
@dorinmichael218625 күн бұрын
Tanzania Kuna wagonjwa wangapi kama huyo fanyeni ata kwa wagonjwa kumi ni Kiki tuu akuna chochote saidieni wengi acheni umakonda wenu
@sebastiansalamba31325 күн бұрын
Hata miifanyaje makonda anaweza ndivyo alivyo
@Nedjadist26 күн бұрын
Watanzania hawaombi mengi.
@exaverysimon106426 күн бұрын
KUNA WAKAT UNAWEZA UKAWA UNAUMWA LAKIN HUSIKII MAUMIV 😂😂 NDO STUATION KAMA HIZ MUNGU AKUBALIK SANA
@user-pd9xu8qg9x26 күн бұрын
Ushamba tu mbona hamuonyeshi usafiri wa aina nyingine.
@eusebionaungu1585
25 күн бұрын
Bangi nyingi😂😂😂
@hawaelymaricca760226 күн бұрын
Haya ndo maisha mama yangu Mh Rais anataka viongozianaowateua wawe hivi kama Mh MAKONDA.
@anodearsulusi7536
26 күн бұрын
Mmmmm labda
@kibasamohamedi8029
26 күн бұрын
Kabisa
@RehemaNgongomto26 күн бұрын
Ukifa wewe nitalia mpaka nife
@user-pe8wh5bw2h26 күн бұрын
Najegaram
@Obasaniyo
26 күн бұрын
Garama ni bure
@user-bx3kl4hn6j26 күн бұрын
Mimi sio ccm sio chadema ilo naliweka wazi ila ccm na andazi Mimi nachagua andazi
@nicodemashaggite8429
26 күн бұрын
Ww si kichwa kama andazi tu😢
@user-bx3kl4hn6j
26 күн бұрын
@@nicodemashaggite8429 Mimi sio ccm sio chadema ilo naliweka wazi ila ccm na andazi Mimi nachagua andazi
@enockmaige8936
25 күн бұрын
Wewe umefanya nn kusaidia au hizo comment za kejeli zimeponya wagonjwa wangapi ovyo😢😢😢😊
@enockmaige8936
25 күн бұрын
😢😢😢
@user-bx3kl4hn6j26 күн бұрын
Uchaguzi tena umekaribia ndio wakat wanasiasa kujifanya wema au kujivesha ngozi ya kondoo kumbe chui
@elioimer8423
25 күн бұрын
Wewe ndio umegundua kuwa tunapelekwa Kama maduanzi
Пікірлер: 51
Daah,makonda we jamaa sijui nichague neno gani zuri,itoshe kusema mungu akutangulie
@user-bx3kl4hn6j
26 күн бұрын
Fisadi au jambazi yote mazuri
Daaaah arusha kuna inchi nyingine tofauti na tz❤❤❤❤. Hongera Paul makonda kwa upendo mkubwa huo
Wewe tunamuomba mungu akupe maisha marefu na yenye baraka tele brooh wangu
Hongera raisi mtarajiwa🎉🎉🎉🎉
Kaka makonda sina mengi zaidi ya kusema mungu akutunze daima pamoja na familia yako
Kweli Makonda anaupedo uliotukuka Mungu ampe maisha malefu
Mungu awabariki nyote
Mungu akutunze Makonda
Hello my Malinda wangepatikana wawili Kama wewe nchi hii ingekuwa Kasi mpya mungu akubariki na kukulinda
MAKONDA mungu akurinde nakumbuka siku umekuja TARIME nilifrai sana ilasiku MWIGURU arikuja SIRARI nililia nakusema JPM angekuwepo vijana wa SIRARI na NYAMONGO wasingekufa kama kuku
Makonda ni zaid ya mkuu wa mkoa Mashaallah
Aende Bungeni. Msukuma anatutia aibu wa Tz
Nice 👍👍👍
MH.. MAKONDA,,ulikaaa dar ukbuni,ulikuwa ccm KIONGOZI ukabuni na UPO arusha we MBUNIFU.... Allah AKUPE makubwa Zaid Ili utumikie WATANZANIA WOTE.
waziri mkuu mtarajiwa ....Amin
Sidhani kama wafanyabiashara Arusha watagoma kama wenzao,dar, mwanza,mbeya nk.nahis kesho mikoa nyingine itagoma kufunga biashara zao
Mungu mwema akulinde wewe na familia yako.❤
Ujio wa makonda Arusha, Umeifanya Arusha kuchangamka mno
Makonda oyee
Wallah wenzetu Arusha mmepata mkuu wa mkoa Huku kwetu wamelala tu hawana jipya
@IssaAbushehe
26 күн бұрын
Wapi huko?
@user-xk7vy4gb6g
26 күн бұрын
@@IssaAbushehe Tz nzima ww unaona wakuu wa mikoa wanafanya kazi km Mh Makonda?? Sasahiv mkoa wa moto ni Arusha tu mikoa mingine tunavumilia tu nakuknja joto la jiwe
@lutegomakoyeluhahula361
26 күн бұрын
Sio siri@@IssaAbushehemwanza ni ovyo.kuna jitu limelalamika.
Huu upendo umaanza lini? Huyu sio ndio wale wanaoitwa wasiojulikana😮😮!!!!!
Mwanangu Mungu akubariki.saaaana Hakika wewe ni mtu wa Mungu na Mungu akuwekee mkono wake wajinga wasikuweze..Mungu akubariki sana.
wapeni hongera zao
Makonda makonda
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kichwa Cha habari🙆
Afy km ip Kaka samahn
Bro MUNGU AKULINDE,TANZANIA TUNAKUITAJI,MUNGU AKUPANDISHE ZAIDI
Tanzania Kuna wagonjwa wangapi kama huyo fanyeni ata kwa wagonjwa kumi ni Kiki tuu akuna chochote saidieni wengi acheni umakonda wenu
Hata miifanyaje makonda anaweza ndivyo alivyo
Watanzania hawaombi mengi.
KUNA WAKAT UNAWEZA UKAWA UNAUMWA LAKIN HUSIKII MAUMIV 😂😂 NDO STUATION KAMA HIZ MUNGU AKUBALIK SANA
Ushamba tu mbona hamuonyeshi usafiri wa aina nyingine.
@eusebionaungu1585
25 күн бұрын
Bangi nyingi😂😂😂
Haya ndo maisha mama yangu Mh Rais anataka viongozianaowateua wawe hivi kama Mh MAKONDA.
@anodearsulusi7536
26 күн бұрын
Mmmmm labda
@kibasamohamedi8029
26 күн бұрын
Kabisa
Ukifa wewe nitalia mpaka nife
Najegaram
@Obasaniyo
26 күн бұрын
Garama ni bure
Mimi sio ccm sio chadema ilo naliweka wazi ila ccm na andazi Mimi nachagua andazi
@nicodemashaggite8429
26 күн бұрын
Ww si kichwa kama andazi tu😢
@user-bx3kl4hn6j
26 күн бұрын
@@nicodemashaggite8429 Mimi sio ccm sio chadema ilo naliweka wazi ila ccm na andazi Mimi nachagua andazi
@enockmaige8936
25 күн бұрын
Wewe umefanya nn kusaidia au hizo comment za kejeli zimeponya wagonjwa wangapi ovyo😢😢😢😊
@enockmaige8936
25 күн бұрын
😢😢😢
Uchaguzi tena umekaribia ndio wakat wanasiasa kujifanya wema au kujivesha ngozi ya kondoo kumbe chui
@elioimer8423
25 күн бұрын
Wewe ndio umegundua kuwa tunapelekwa Kama maduanzi