HUU JINUPENDO, Tazama MAKONDA alivyompakia mgonjwa kwenye HELKOPTA na kumuwahisha hopital

Ойын-сауық

Пікірлер: 51

  • @ChrisMwambeje
    @ChrisMwambeje26 күн бұрын

    Daah,makonda we jamaa sijui nichague neno gani zuri,itoshe kusema mungu akutangulie

  • @user-bx3kl4hn6j

    @user-bx3kl4hn6j

    26 күн бұрын

    Fisadi au jambazi yote mazuri

  • @maduhuelias9813
    @maduhuelias981326 күн бұрын

    Daaaah arusha kuna inchi nyingine tofauti na tz❤❤❤❤. Hongera Paul makonda kwa upendo mkubwa huo

  • @barakakitomary2936
    @barakakitomary293626 күн бұрын

    Wewe tunamuomba mungu akupe maisha marefu na yenye baraka tele brooh wangu

  • @wilfredmaimu1958
    @wilfredmaimu195826 күн бұрын

    Hongera raisi mtarajiwa🎉🎉🎉🎉

  • @barakakitomary2936
    @barakakitomary293626 күн бұрын

    Kaka makonda sina mengi zaidi ya kusema mungu akutunze daima pamoja na familia yako

  • @NeemaNgovi-bu1tc
    @NeemaNgovi-bu1tc16 күн бұрын

    Kweli Makonda anaupedo uliotukuka Mungu ampe maisha malefu

  • @allybora4021
    @allybora402123 күн бұрын

    Mungu awabariki nyote

  • @JimmyCosmas-cl2kh
    @JimmyCosmas-cl2kh26 күн бұрын

    Mungu akutunze Makonda

  • @AsilaKagambo-uv2ff
    @AsilaKagambo-uv2ff26 күн бұрын

    Hello my Malinda wangepatikana wawili Kama wewe nchi hii ingekuwa Kasi mpya mungu akubariki na kukulinda

  • @JeremiaMnanka
    @JeremiaMnanka26 күн бұрын

    MAKONDA mungu akurinde nakumbuka siku umekuja TARIME nilifrai sana ilasiku MWIGURU arikuja SIRARI nililia nakusema JPM angekuwepo vijana wa SIRARI na NYAMONGO wasingekufa kama kuku

  • @daudkindy8062
    @daudkindy806226 күн бұрын

    Makonda ni zaid ya mkuu wa mkoa Mashaallah

  • @tanzaniakwanza1699
    @tanzaniakwanza169926 күн бұрын

    Aende Bungeni. Msukuma anatutia aibu wa Tz

  • @barakajonas3209
    @barakajonas320926 күн бұрын

    Nice 👍👍👍

  • @daudimaniseli759
    @daudimaniseli75926 күн бұрын

    MH.. MAKONDA,,ulikaaa dar ukbuni,ulikuwa ccm KIONGOZI ukabuni na UPO arusha we MBUNIFU.... Allah AKUPE makubwa Zaid Ili utumikie WATANZANIA WOTE.

  • @fatmamussa2927
    @fatmamussa292726 күн бұрын

    waziri mkuu mtarajiwa ....Amin

  • @agustinoezekiel
    @agustinoezekiel26 күн бұрын

    Sidhani kama wafanyabiashara Arusha watagoma kama wenzao,dar, mwanza,mbeya nk.nahis kesho mikoa nyingine itagoma kufunga biashara zao

  • @mungholomakalanga8958
    @mungholomakalanga895825 күн бұрын

    Mungu mwema akulinde wewe na familia yako.❤

  • @ifmknowledgepower7333
    @ifmknowledgepower733327 күн бұрын

    Ujio wa makonda Arusha, Umeifanya Arusha kuchangamka mno

  • @mwinyichinchibera4875
    @mwinyichinchibera487526 күн бұрын

    Makonda oyee

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g27 күн бұрын

    Wallah wenzetu Arusha mmepata mkuu wa mkoa Huku kwetu wamelala tu hawana jipya

  • @IssaAbushehe

    @IssaAbushehe

    26 күн бұрын

    Wapi huko?

  • @user-xk7vy4gb6g

    @user-xk7vy4gb6g

    26 күн бұрын

    @@IssaAbushehe Tz nzima ww unaona wakuu wa mikoa wanafanya kazi km Mh Makonda?? Sasahiv mkoa wa moto ni Arusha tu mikoa mingine tunavumilia tu nakuknja joto la jiwe

  • @lutegomakoyeluhahula361

    @lutegomakoyeluhahula361

    26 күн бұрын

    ​Sio siri​@@IssaAbushehemwanza ni ovyo.kuna jitu limelalamika.

  • @yassinkimolo2943
    @yassinkimolo294324 күн бұрын

    Huu upendo umaanza lini? Huyu sio ndio wale wanaoitwa wasiojulikana😮😮!!!!!

  • @bibianakiwali1969
    @bibianakiwali196926 күн бұрын

    Mwanangu Mungu akubariki.saaaana Hakika wewe ni mtu wa Mungu na Mungu akuwekee mkono wake wajinga wasikuweze..Mungu akubariki sana.

  • @jumabonge8577
    @jumabonge857725 күн бұрын

    wapeni hongera zao

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul386227 күн бұрын

    Makonda makonda

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon106426 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @scholarmawala1403
    @scholarmawala140326 күн бұрын

    Kichwa Cha habari🙆

  • @user-pe8wh5bw2h
    @user-pe8wh5bw2h26 күн бұрын

    Afy km ip Kaka samahn

  • @ChivwadiMahumba
    @ChivwadiMahumba26 күн бұрын

    Bro MUNGU AKULINDE,TANZANIA TUNAKUITAJI,MUNGU AKUPANDISHE ZAIDI

  • @dorinmichael2186
    @dorinmichael218625 күн бұрын

    Tanzania Kuna wagonjwa wangapi kama huyo fanyeni ata kwa wagonjwa kumi ni Kiki tuu akuna chochote saidieni wengi acheni umakonda wenu

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba31325 күн бұрын

    Hata miifanyaje makonda anaweza ndivyo alivyo

  • @Nedjadist
    @Nedjadist26 күн бұрын

    Watanzania hawaombi mengi.

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon106426 күн бұрын

    KUNA WAKAT UNAWEZA UKAWA UNAUMWA LAKIN HUSIKII MAUMIV 😂😂 NDO STUATION KAMA HIZ MUNGU AKUBALIK SANA

  • @user-pd9xu8qg9x
    @user-pd9xu8qg9x26 күн бұрын

    Ushamba tu mbona hamuonyeshi usafiri wa aina nyingine.

  • @eusebionaungu1585

    @eusebionaungu1585

    25 күн бұрын

    Bangi nyingi😂😂😂

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca760226 күн бұрын

    Haya ndo maisha mama yangu Mh Rais anataka viongozianaowateua wawe hivi kama Mh MAKONDA.

  • @anodearsulusi7536

    @anodearsulusi7536

    26 күн бұрын

    Mmmmm labda

  • @kibasamohamedi8029

    @kibasamohamedi8029

    26 күн бұрын

    Kabisa

  • @RehemaNgongomto
    @RehemaNgongomto26 күн бұрын

    Ukifa wewe nitalia mpaka nife

  • @user-pe8wh5bw2h
    @user-pe8wh5bw2h26 күн бұрын

    Najegaram

  • @Obasaniyo

    @Obasaniyo

    26 күн бұрын

    Garama ni bure

  • @user-bx3kl4hn6j
    @user-bx3kl4hn6j26 күн бұрын

    Mimi sio ccm sio chadema ilo naliweka wazi ila ccm na andazi Mimi nachagua andazi

  • @nicodemashaggite8429

    @nicodemashaggite8429

    26 күн бұрын

    Ww si kichwa kama andazi tu😢

  • @user-bx3kl4hn6j

    @user-bx3kl4hn6j

    26 күн бұрын

    @@nicodemashaggite8429 Mimi sio ccm sio chadema ilo naliweka wazi ila ccm na andazi Mimi nachagua andazi

  • @enockmaige8936

    @enockmaige8936

    25 күн бұрын

    Wewe umefanya nn kusaidia au hizo comment za kejeli zimeponya wagonjwa wangapi ovyo😢😢😢😊

  • @enockmaige8936

    @enockmaige8936

    25 күн бұрын

    😢😢😢

  • @user-bx3kl4hn6j
    @user-bx3kl4hn6j26 күн бұрын

    Uchaguzi tena umekaribia ndio wakat wanasiasa kujifanya wema au kujivesha ngozi ya kondoo kumbe chui

  • @elioimer8423

    @elioimer8423

    25 күн бұрын

    Wewe ndio umegundua kuwa tunapelekwa Kama maduanzi

Келесі