Mungu akujalie afya njema Rais wetu,kazi yako hakika ni njema. Nawaombea na wasaidizi wako waongozwe na hofu ya Mungu ili nchi yetu iwe na amani na mafanikio yakapatikane
@user-ze6lx9ng6sАй бұрын
Huyu mama, angekuwa na uzarendo wa nchi hii,angemtumia mpina, mbunge mpina ndiyo mwana CCM wa ukweli,
@user-xh8kd9ze7o15 күн бұрын
Mpina jamani Ni mbuge mzalendo mrudisheni bungeni
@CYPRIANMACHIBULA20 күн бұрын
MPINA arudishwe bungeni
@GodfreyKiyeyeuАй бұрын
Mama wew umpenda haki !! Mama mtazame mpina umpe uwaziri
@eliakazilo607815 күн бұрын
Bi Mkubwa namshangaa,Kama anaweza kumtumia MAKONDA.sijuwi kwa Nini anashindwa kumtumia Mpina?
@user-em3ye6el6zАй бұрын
Mama Abdul huduma tulizo fanya Serikalini hatulipwi ni kwa niniii TULIPENI
@MariaCassian-e2i13 күн бұрын
Rais tunaomba ututendee haki tunamuhitaji MPINA Rais tunaomba mumtendee haki MPINA😂😂😂😂😂😂
@ShabaniKidedea5 күн бұрын
Brother soon utakuja kuwa kiongozi wa nchi
@gasperaroni57516 күн бұрын
Mama tunakuomba mpina arudi bungeni wamemuonea sana
@FrankSalehe-us7zgАй бұрын
Mama angalia watu wenyeakili ufanyenao kazi sio mabokas kama kinabashe mabendela fuata upepo
@adelinelyaruu3036
18 күн бұрын
The repeated changes taking place are unprecedented
@AdamKapondaАй бұрын
Mpina ccm haitambui mchangowako wananchi tunatambua mchango wako ndani yabunge lililo kosa uhalali,wewe sawa na shedrac,meshac na abinego
@hamudshabani7801Ай бұрын
Hakuna raisi hapa tumepigwa
@PeterkedimoniNgobela-ek6ty18 күн бұрын
Chapa kazi mama
@clarencehilary55887 күн бұрын
Hatukutaki kabisaaa mama we nanda tu tuachie tanganyika yetu
@Mussa-id9jb24 күн бұрын
Mhhh
@AlexMgimwa-pm2pi10 күн бұрын
Hakuna jipya
@mubarakmohammed7311Ай бұрын
Mbona hakugusia?
@jordantwarindwa53995 күн бұрын
UMEDANGANYA SIJAONA ULICHOKIANDIKA HAPO JUU KATIKA VIDEO HII
@eliakazilo607815 күн бұрын
Swala la Bashe naMpina ,Ni mtambuka..Ni kwamba Ni sawa watoto wa Mama na Baba mmoja .Ni kwamba mdogo kamuona mkubwa ,anaiba sukari.mdogo kamchongea kwa Bi Mkubwa..je?Bi Mkubwa ataamua vipi?? vipi?
@desmondchelango
6 күн бұрын
🤦🥶🥶🥶🥶🥶
@user-lt1bi5nr1x8 күн бұрын
Samia ongea kwa sauti ya dolla unabembeleza mno unaboa
@chichelazaro3629Ай бұрын
Muwe wakweli, hakuna issue ya Mpina hapa. Nafikili hii ni video yangu ya mwisho kuitazama kutoka Ngolo TV. Vichwa vyenu vya habari sio kilichomo ndani... Kweli sasa nimeamini Ayo TV haina mpinzani
@saidmabanga388
Ай бұрын
Kuma awaaa
@bahatitumaini3477 күн бұрын
Mpina bonge la mzalendo
@omarkapula588Ай бұрын
Acheni kutudanganya wajinga kabisa msiyumbishe akili za watu kwa maslahi yenu
@ElishamaMulokozi-pi8nm24 күн бұрын
Mbona unanuga katika atoa kauli ya hapa taarifa ya tume ya haki jinai
@SaleheMkomwaАй бұрын
R ETI WANASEMA MWANAE NDO ANASHILIKIANA NA BASHE KWENYE KUPANDISHA SUKARI JE NI KWELI?
@ziadasadiki8196
Ай бұрын
Kwa hiyo Bashe hajui wajibu wake hadi afundishwe??
@eliakazilo6078
13 күн бұрын
Hizo Ni nyepesinyepesi..Ila UKWELI Bashe Ana watu wakubwa nyuma yake..wanatunisha misuli...Lakini kwa sababu wabunge wa ndioo Ni wengi Ni tatizo..wa kumtetea Mpina simuoni..nakuona Mpina Kama the first blood..maana Rambo alikuwa anajipigania peke yakee..UHAI wake ulikuwa hauna mtetezi..rushwa bungeni imesambaa Sanaa kwa swala la sukari.. na Hawa mafisadi wapo tayari kuviua viwanda vyetu vya sukari..na kwa ujinga wa watanzania tunakubali.. kitu kingine Ni Mkubwa Ana huruma Sanaa,Ana aibu saana.kwenye Baraza lake la mawaziri,wapo Kama 5 ,wanatakiwa awatoee..anavyozidi kuwaachia ,ndio Hali inazidi kuwa mbayaa,tunaumiaa
@Maximillianchacha-fm9yiАй бұрын
Mbwa ccm
@AdamKapondaАй бұрын
Rushwa,rushwa,rushwa ni dhambi acha kuhonga pikipiki na majiko munajiondolea heshima
@NeemaPaulo-wf3ozАй бұрын
Kaz iendeleeee,mama mungu akubaliki
@AbdilahiMririАй бұрын
Asante sana Mungu akubariki akupe umri mrefu wa kunihangaikia tuwe mke na mume wako kihalali mwaka huu kuanzia mwezi huu wa sita jamani jamani Madamu Rais mpenzi wangu jamani samahani kama nakosea mwenyewe unavyosemaga nikuvute hadi katikati ya bahari uogelee jamani jamani Madamu Rais mpenzi wangu jamani.
@evelynmwaimu-vd9joАй бұрын
Inachosha nafsi ns akili pale nchi ikitawaliwa na genge la watu wanaohubiri wasichokiamini
@zuenahamoud1532Ай бұрын
Mbwaaa wewe mama
@ezekielshija9251
20 күн бұрын
Wewe Zuena Acha hizo!
@AliSalim-yu4mo
10 күн бұрын
Mama yako yy atakuwa nguruwe na wewe utakuwa mtoto wa nguruwe!
@mkadammkadam
7 күн бұрын
Jina lako halifanani kutumia mdomo aliokupa Mwenyezi Mungu kutamka maneno kwa binaadam mwenzio licha kwa kiongozi wako wa Nchi, rudi kwa Mungu wako na kumuomba msamaha haraka.
@user-tg7vq3ty8pАй бұрын
Mimi ninampenda sana huyu Mama. Ninamuombea kwa Mwenyezi Mungu azidi kumbariki, azidi kumlinda na kila aina ya husuda,azidi kumpa busara,hekima, maono ya kuifanya nchi yetu izidi kuwa sehemu nzuri na bora ya kuishi. Ushauri wangu ni kwamba uundwe mfumo madhubuti wa kutekeleza na kuwapatia wananchi wa Tanzania wake kwa waume, vijana na wazee, watoto na wenye mahitaji maalum haki zao. Pia pawepo na mipango sahihi ya kurithishana na kuyaboresha kulingana na nyakati haya yaliyoletwa na haki jinai. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kazi iendelee.
@emmanuelgastine982614 күн бұрын
Mama Samia nakushukuru sana kwani tangu umekuwa Rais ndo naona napokea mshahara anagalau unakaa masaa hata 6
@user-oq6to7pf2u16 күн бұрын
mungu atusaidie tu tumepigwa nyingi
@AdamKapondaАй бұрын
Rais chama unachokiongoza kina lao lamoyoni ovu kuhakikisha sheria kandamizi zidumu,muendelee kubakia madarakani,, hukutaifa linasambaratika,kilio na machungukilamahali,ccm haioni zaidi ya kuagiza mbelekwambele na kutafuta pesa za rushwa kuwahonga watanzania(pikipiki,majikoyagasink)
@MakoleMakoye18 күн бұрын
Ngollo tv sina haja ya kuwafatilia tena make hamjielewi
@user-kg5yu4kg9p26 күн бұрын
Mpina kaumiza wengi kwenye uwaziri wake akae pembeni
Пікірлер: 51
Mungu akujalie afya njema Rais wetu,kazi yako hakika ni njema. Nawaombea na wasaidizi wako waongozwe na hofu ya Mungu ili nchi yetu iwe na amani na mafanikio yakapatikane
Huyu mama, angekuwa na uzarendo wa nchi hii,angemtumia mpina, mbunge mpina ndiyo mwana CCM wa ukweli,
Mpina jamani Ni mbuge mzalendo mrudisheni bungeni
MPINA arudishwe bungeni
Mama wew umpenda haki !! Mama mtazame mpina umpe uwaziri
Bi Mkubwa namshangaa,Kama anaweza kumtumia MAKONDA.sijuwi kwa Nini anashindwa kumtumia Mpina?
Mama Abdul huduma tulizo fanya Serikalini hatulipwi ni kwa niniii TULIPENI
Rais tunaomba ututendee haki tunamuhitaji MPINA Rais tunaomba mumtendee haki MPINA😂😂😂😂😂😂
Brother soon utakuja kuwa kiongozi wa nchi
Mama tunakuomba mpina arudi bungeni wamemuonea sana
Mama angalia watu wenyeakili ufanyenao kazi sio mabokas kama kinabashe mabendela fuata upepo
@adelinelyaruu3036
18 күн бұрын
The repeated changes taking place are unprecedented
Mpina ccm haitambui mchangowako wananchi tunatambua mchango wako ndani yabunge lililo kosa uhalali,wewe sawa na shedrac,meshac na abinego
Hakuna raisi hapa tumepigwa
Chapa kazi mama
Hatukutaki kabisaaa mama we nanda tu tuachie tanganyika yetu
Mhhh
Hakuna jipya
Mbona hakugusia?
UMEDANGANYA SIJAONA ULICHOKIANDIKA HAPO JUU KATIKA VIDEO HII
Swala la Bashe naMpina ,Ni mtambuka..Ni kwamba Ni sawa watoto wa Mama na Baba mmoja .Ni kwamba mdogo kamuona mkubwa ,anaiba sukari.mdogo kamchongea kwa Bi Mkubwa..je?Bi Mkubwa ataamua vipi?? vipi?
@desmondchelango
6 күн бұрын
🤦🥶🥶🥶🥶🥶
Samia ongea kwa sauti ya dolla unabembeleza mno unaboa
Muwe wakweli, hakuna issue ya Mpina hapa. Nafikili hii ni video yangu ya mwisho kuitazama kutoka Ngolo TV. Vichwa vyenu vya habari sio kilichomo ndani... Kweli sasa nimeamini Ayo TV haina mpinzani
@saidmabanga388
Ай бұрын
Kuma awaaa
Mpina bonge la mzalendo
Acheni kutudanganya wajinga kabisa msiyumbishe akili za watu kwa maslahi yenu
Mbona unanuga katika atoa kauli ya hapa taarifa ya tume ya haki jinai
R ETI WANASEMA MWANAE NDO ANASHILIKIANA NA BASHE KWENYE KUPANDISHA SUKARI JE NI KWELI?
@ziadasadiki8196
Ай бұрын
Kwa hiyo Bashe hajui wajibu wake hadi afundishwe??
@eliakazilo6078
13 күн бұрын
Hizo Ni nyepesinyepesi..Ila UKWELI Bashe Ana watu wakubwa nyuma yake..wanatunisha misuli...Lakini kwa sababu wabunge wa ndioo Ni wengi Ni tatizo..wa kumtetea Mpina simuoni..nakuona Mpina Kama the first blood..maana Rambo alikuwa anajipigania peke yakee..UHAI wake ulikuwa hauna mtetezi..rushwa bungeni imesambaa Sanaa kwa swala la sukari.. na Hawa mafisadi wapo tayari kuviua viwanda vyetu vya sukari..na kwa ujinga wa watanzania tunakubali.. kitu kingine Ni Mkubwa Ana huruma Sanaa,Ana aibu saana.kwenye Baraza lake la mawaziri,wapo Kama 5 ,wanatakiwa awatoee..anavyozidi kuwaachia ,ndio Hali inazidi kuwa mbayaa,tunaumiaa
Mbwa ccm
Rushwa,rushwa,rushwa ni dhambi acha kuhonga pikipiki na majiko munajiondolea heshima
Kaz iendeleeee,mama mungu akubaliki
Asante sana Mungu akubariki akupe umri mrefu wa kunihangaikia tuwe mke na mume wako kihalali mwaka huu kuanzia mwezi huu wa sita jamani jamani Madamu Rais mpenzi wangu jamani samahani kama nakosea mwenyewe unavyosemaga nikuvute hadi katikati ya bahari uogelee jamani jamani Madamu Rais mpenzi wangu jamani.
Inachosha nafsi ns akili pale nchi ikitawaliwa na genge la watu wanaohubiri wasichokiamini
Mbwaaa wewe mama
@ezekielshija9251
20 күн бұрын
Wewe Zuena Acha hizo!
@AliSalim-yu4mo
10 күн бұрын
Mama yako yy atakuwa nguruwe na wewe utakuwa mtoto wa nguruwe!
@mkadammkadam
7 күн бұрын
Jina lako halifanani kutumia mdomo aliokupa Mwenyezi Mungu kutamka maneno kwa binaadam mwenzio licha kwa kiongozi wako wa Nchi, rudi kwa Mungu wako na kumuomba msamaha haraka.
Mimi ninampenda sana huyu Mama. Ninamuombea kwa Mwenyezi Mungu azidi kumbariki, azidi kumlinda na kila aina ya husuda,azidi kumpa busara,hekima, maono ya kuifanya nchi yetu izidi kuwa sehemu nzuri na bora ya kuishi. Ushauri wangu ni kwamba uundwe mfumo madhubuti wa kutekeleza na kuwapatia wananchi wa Tanzania wake kwa waume, vijana na wazee, watoto na wenye mahitaji maalum haki zao. Pia pawepo na mipango sahihi ya kurithishana na kuyaboresha kulingana na nyakati haya yaliyoletwa na haki jinai. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kazi iendelee.
Mama Samia nakushukuru sana kwani tangu umekuwa Rais ndo naona napokea mshahara anagalau unakaa masaa hata 6
mungu atusaidie tu tumepigwa nyingi
Rais chama unachokiongoza kina lao lamoyoni ovu kuhakikisha sheria kandamizi zidumu,muendelee kubakia madarakani,, hukutaifa linasambaratika,kilio na machungukilamahali,ccm haioni zaidi ya kuagiza mbelekwambele na kutafuta pesa za rushwa kuwahonga watanzania(pikipiki,majikoyagasink)
Ngollo tv sina haja ya kuwafatilia tena make hamjielewi
Mpina kaumiza wengi kwenye uwaziri wake akae pembeni
@JafethTully
24 күн бұрын
Utakaa wewe pembeni
@ezekielshija9251
20 күн бұрын
Hata umeme huumiza wengi.
CCM ukingoni
Rubbish.