🔴

#raissamia #bashe #mpina

Пікірлер: 51

  • @EdithaNyambo
    @EdithaNyamboАй бұрын

    Mungu akujalie afya njema Rais wetu,kazi yako hakika ni njema. Nawaombea na wasaidizi wako waongozwe na hofu ya Mungu ili nchi yetu iwe na amani na mafanikio yakapatikane

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6sАй бұрын

    Huyu mama, angekuwa na uzarendo wa nchi hii,angemtumia mpina, mbunge mpina ndiyo mwana CCM wa ukweli,

  • @user-xh8kd9ze7o
    @user-xh8kd9ze7o15 күн бұрын

    Mpina jamani Ni mbuge mzalendo mrudisheni bungeni

  • @CYPRIANMACHIBULA
    @CYPRIANMACHIBULA20 күн бұрын

    MPINA arudishwe bungeni

  • @GodfreyKiyeyeu
    @GodfreyKiyeyeuАй бұрын

    Mama wew umpenda haki !! Mama mtazame mpina umpe uwaziri

  • @eliakazilo6078
    @eliakazilo607815 күн бұрын

    Bi Mkubwa namshangaa,Kama anaweza kumtumia MAKONDA.sijuwi kwa Nini anashindwa kumtumia Mpina?

  • @user-em3ye6el6z
    @user-em3ye6el6zАй бұрын

    Mama Abdul huduma tulizo fanya Serikalini hatulipwi ni kwa niniii TULIPENI

  • @MariaCassian-e2i
    @MariaCassian-e2i13 күн бұрын

    Rais tunaomba ututendee haki tunamuhitaji MPINA Rais tunaomba mumtendee haki MPINA😂😂😂😂😂😂

  • @ShabaniKidedea
    @ShabaniKidedea5 күн бұрын

    Brother soon utakuja kuwa kiongozi wa nchi

  • @gasperaroni5751
    @gasperaroni57516 күн бұрын

    Mama tunakuomba mpina arudi bungeni wamemuonea sana

  • @FrankSalehe-us7zg
    @FrankSalehe-us7zgАй бұрын

    Mama angalia watu wenyeakili ufanyenao kazi sio mabokas kama kinabashe mabendela fuata upepo

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    18 күн бұрын

    The repeated changes taking place are unprecedented

  • @AdamKaponda
    @AdamKapondaАй бұрын

    Mpina ccm haitambui mchangowako wananchi tunatambua mchango wako ndani yabunge lililo kosa uhalali,wewe sawa na shedrac,meshac na abinego

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani7801Ай бұрын

    Hakuna raisi hapa tumepigwa

  • @PeterkedimoniNgobela-ek6ty
    @PeterkedimoniNgobela-ek6ty18 күн бұрын

    Chapa kazi mama

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary55887 күн бұрын

    Hatukutaki kabisaaa mama we nanda tu tuachie tanganyika yetu

  • @Mussa-id9jb
    @Mussa-id9jb24 күн бұрын

    Mhhh

  • @AlexMgimwa-pm2pi
    @AlexMgimwa-pm2pi10 күн бұрын

    Hakuna jipya

  • @mubarakmohammed7311
    @mubarakmohammed7311Ай бұрын

    Mbona hakugusia?

  • @jordantwarindwa5399
    @jordantwarindwa53995 күн бұрын

    UMEDANGANYA SIJAONA ULICHOKIANDIKA HAPO JUU KATIKA VIDEO HII

  • @eliakazilo6078
    @eliakazilo607815 күн бұрын

    Swala la Bashe naMpina ,Ni mtambuka..Ni kwamba Ni sawa watoto wa Mama na Baba mmoja .Ni kwamba mdogo kamuona mkubwa ,anaiba sukari.mdogo kamchongea kwa Bi Mkubwa..je?Bi Mkubwa ataamua vipi?? vipi?

  • @desmondchelango

    @desmondchelango

    6 күн бұрын

    🤦🥶🥶🥶🥶🥶

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x8 күн бұрын

    Samia ongea kwa sauti ya dolla unabembeleza mno unaboa

  • @chichelazaro3629
    @chichelazaro3629Ай бұрын

    Muwe wakweli, hakuna issue ya Mpina hapa. Nafikili hii ni video yangu ya mwisho kuitazama kutoka Ngolo TV. Vichwa vyenu vya habari sio kilichomo ndani... Kweli sasa nimeamini Ayo TV haina mpinzani

  • @saidmabanga388

    @saidmabanga388

    Ай бұрын

    Kuma awaaa

  • @bahatitumaini347
    @bahatitumaini3477 күн бұрын

    Mpina bonge la mzalendo

  • @omarkapula588
    @omarkapula588Ай бұрын

    Acheni kutudanganya wajinga kabisa msiyumbishe akili za watu kwa maslahi yenu

  • @ElishamaMulokozi-pi8nm
    @ElishamaMulokozi-pi8nm24 күн бұрын

    Mbona unanuga katika atoa kauli ya hapa taarifa ya tume ya haki jinai

  • @SaleheMkomwa
    @SaleheMkomwaАй бұрын

    R ETI WANASEMA MWANAE NDO ANASHILIKIANA NA BASHE KWENYE KUPANDISHA SUKARI JE NI KWELI?

  • @ziadasadiki8196

    @ziadasadiki8196

    Ай бұрын

    Kwa hiyo Bashe hajui wajibu wake hadi afundishwe??

  • @eliakazilo6078

    @eliakazilo6078

    13 күн бұрын

    Hizo Ni nyepesinyepesi..Ila UKWELI Bashe Ana watu wakubwa nyuma yake..wanatunisha misuli...Lakini kwa sababu wabunge wa ndioo Ni wengi Ni tatizo..wa kumtetea Mpina simuoni..nakuona Mpina Kama the first blood..maana Rambo alikuwa anajipigania peke yakee..UHAI wake ulikuwa hauna mtetezi..rushwa bungeni imesambaa Sanaa kwa swala la sukari.. na Hawa mafisadi wapo tayari kuviua viwanda vyetu vya sukari..na kwa ujinga wa watanzania tunakubali.. kitu kingine Ni Mkubwa Ana huruma Sanaa,Ana aibu saana.kwenye Baraza lake la mawaziri,wapo Kama 5 ,wanatakiwa awatoee..anavyozidi kuwaachia ,ndio Hali inazidi kuwa mbayaa,tunaumiaa

  • @Maximillianchacha-fm9yi
    @Maximillianchacha-fm9yiАй бұрын

    Mbwa ccm

  • @AdamKaponda
    @AdamKapondaАй бұрын

    Rushwa,rushwa,rushwa ni dhambi acha kuhonga pikipiki na majiko munajiondolea heshima

  • @NeemaPaulo-wf3oz
    @NeemaPaulo-wf3ozАй бұрын

    Kaz iendeleeee,mama mungu akubaliki

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMririАй бұрын

    Asante sana Mungu akubariki akupe umri mrefu wa kunihangaikia tuwe mke na mume wako kihalali mwaka huu kuanzia mwezi huu wa sita jamani jamani Madamu Rais mpenzi wangu jamani samahani kama nakosea mwenyewe unavyosemaga nikuvute hadi katikati ya bahari uogelee jamani jamani Madamu Rais mpenzi wangu jamani.

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9joАй бұрын

    Inachosha nafsi ns akili pale nchi ikitawaliwa na genge la watu wanaohubiri wasichokiamini

  • @zuenahamoud1532
    @zuenahamoud1532Ай бұрын

    Mbwaaa wewe mama

  • @ezekielshija9251

    @ezekielshija9251

    20 күн бұрын

    Wewe Zuena Acha hizo!

  • @AliSalim-yu4mo

    @AliSalim-yu4mo

    10 күн бұрын

    Mama yako yy atakuwa nguruwe na wewe utakuwa mtoto wa nguruwe!

  • @mkadammkadam

    @mkadammkadam

    7 күн бұрын

    Jina lako halifanani kutumia mdomo aliokupa Mwenyezi Mungu kutamka maneno kwa binaadam mwenzio licha kwa kiongozi wako wa Nchi, rudi kwa Mungu wako na kumuomba msamaha haraka.

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8pАй бұрын

    Mimi ninampenda sana huyu Mama. Ninamuombea kwa Mwenyezi Mungu azidi kumbariki, azidi kumlinda na kila aina ya husuda,azidi kumpa busara,hekima, maono ya kuifanya nchi yetu izidi kuwa sehemu nzuri na bora ya kuishi. Ushauri wangu ni kwamba uundwe mfumo madhubuti wa kutekeleza na kuwapatia wananchi wa Tanzania wake kwa waume, vijana na wazee, watoto na wenye mahitaji maalum haki zao. Pia pawepo na mipango sahihi ya kurithishana na kuyaboresha kulingana na nyakati haya yaliyoletwa na haki jinai. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kazi iendelee.

  • @emmanuelgastine9826
    @emmanuelgastine982614 күн бұрын

    Mama Samia nakushukuru sana kwani tangu umekuwa Rais ndo naona napokea mshahara anagalau unakaa masaa hata 6

  • @user-oq6to7pf2u
    @user-oq6to7pf2u16 күн бұрын

    mungu atusaidie tu tumepigwa nyingi

  • @AdamKaponda
    @AdamKapondaАй бұрын

    Rais chama unachokiongoza kina lao lamoyoni ovu kuhakikisha sheria kandamizi zidumu,muendelee kubakia madarakani,, hukutaifa linasambaratika,kilio na machungukilamahali,ccm haioni zaidi ya kuagiza mbelekwambele na kutafuta pesa za rushwa kuwahonga watanzania(pikipiki,majikoyagasink)

  • @MakoleMakoye
    @MakoleMakoye18 күн бұрын

    Ngollo tv sina haja ya kuwafatilia tena make hamjielewi

  • @user-kg5yu4kg9p
    @user-kg5yu4kg9p26 күн бұрын

    Mpina kaumiza wengi kwenye uwaziri wake akae pembeni

  • @JafethTully

    @JafethTully

    24 күн бұрын

    Utakaa wewe pembeni

  • @ezekielshija9251

    @ezekielshija9251

    20 күн бұрын

    Hata umeme huumiza wengi.

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376Ай бұрын

    CCM ukingoni

  • @MtaniRobert
    @MtaniRobert17 күн бұрын

    Rubbish.

Келесі