Maneno makavu ya Rais Magufuli ambayo yametolewa Leo wakati Rais samia akiwa makamu'mimi sibembelezi
#samia #ccm #chadema #MAGUFULI#SAMIA#JPM
Жүктеу.....
Пікірлер: 464
@emmanuelkanyela2757 ай бұрын
huyu Rais alijua kama ataondoka Duniani maana alikuwa mzalendo na nchi ilienda mbele
@antonywilliama2868
4 ай бұрын
mungu amrehem apumzike wa aamani
@JosephBasiga-l9j
29 күн бұрын
❤❤❤❤❤tutakukumbuka daima magufuruli wetu mungu akulaze mahali pema peponi amina.@@antonywilliama2868
@HassaniMzee
23 күн бұрын
Duh kwa kweli machozi hayatafutika alikua mchapa kazi mzalendo mwenye maono,MUNGU akurehemu mpendwa wetu
@KassimAlly-xp4dz
20 күн бұрын
Ilienda mbele kwenye nn
@estherkibajiro3480
13 күн бұрын
mzalendo wetu😭😭😭😭...
@uwezawamungumkuu.amaniafrika7 ай бұрын
Uko wapi Kamanda uko wapi Kamanda. Pumzika kwa Amani. Amen.
@user-jh5uv5go1x
4 ай бұрын
Katka kumbukumbu zxizofutka ktk vichwa vyawatu magufu ni kichwa cha habary
@hildandumbalo58277 ай бұрын
Tunakukumbuka kwa mengi RIP Magu mzalendo wa kweli
@JustaTz
6 ай бұрын
Excellent
@musasabuu28087 ай бұрын
Mtu umemteua alafu unamuogopa hongera mzeee
@janetchinga6955 ай бұрын
Uyo ndo Raisi wetu wa Africa watching from Capetown ❤❤ lalasama baba etu😢😢😢😢 haujafa wewe lakini umelala kwajina layesu ❤❤❤
@candidamuhanika83287 ай бұрын
Mungu wetu ahsante kwa zawadi ya Dr. Magufuli kwa muda mfupi uliotujalia kuwa naye akiwa raisi wetu. Tumetambua mpiganaji halisi ni nani! Leo hatupo naye lkn tunajua hata waliofanya sherehe wakati umemchukua leo wanalia kwa sababu moja au nyingine... Pumzika baba yetu, Mungu amekupenda zaidi ila tunakukumbuka saaaana ❤❤❤❤
@user-eg2wk4xx3h7 ай бұрын
The Man himself.Magufuri oyeee.RIP chuma
@reaganhassan1567 ай бұрын
Siku hizi hata taarifa ya habari sifuatilii tena😊m
@hajihassan5433
7 ай бұрын
Kama mimi TV huu zaidi ya mwaka sijatizama Wallah!
@IrenMushi
6 ай бұрын
acha uongo jesusi ww😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@joachimbaldwin8511
5 ай бұрын
Yaani wewe kama mimi
@kuyengamoris4140
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@emmanuelbonifase1114
22 күн бұрын
Hata mim
@OswardMwambete5 ай бұрын
Jemadali,Mwamba!!! Mungu bila Shaka Alikupokea amina
@charleselijah-vq3hq7 ай бұрын
Aksante sana. Mwamba utakumbukwa siku zote JPM
@user-gc3ec9wx6z
22 күн бұрын
Mutamkumbuka nyunyi munaopnda zulma
@estherkibajiro3480
13 күн бұрын
@@user-gc3ec9wx6z Rudi shule kwanza hujifunze kusoma na kuandika😁😁akili fupi kama mandishi yako😁RIP UNCLE MAGUFULI 😭😭😭Tz tutakukumbuka daima mzalendo wa kweli✊️👍🤝💪🙏
@user-ue2xp9dd8z
11 күн бұрын
@estherkibajiro3480 kwa kweli akajifunze kuandika
@MalongoKisunzu
Күн бұрын
Je akishidwa kushidwa kufunga simba malalmko yanga ujibu nn
@GeorgeOriya7 ай бұрын
Pumzika kwa amani mzee John Pombe Magufuli... Amen.
@Saida-vv1cy
4 ай бұрын
L
@estherkibajiro3480
13 күн бұрын
😭😭😭😭😭RIP MAGUFULI
@gracemima523413 күн бұрын
Huyu ndiye Rais Mungu alitujalia lakini akamuchukuwa mapema. Mafisadi walimuchukia. Wezi walimuchukia. RIP baba. Angekuwepo Tanzania ingekuwa mbali sana.
@gracemima523413 күн бұрын
Samia alipokea nchi iliuopangwa, kazi yake ilikuwa kuyaemdeleza ya Magufuli. Magifuli alipokea nchi iliyotafunwa na kuachwa mifupa mitupu. Lała salama baba
@africayetutv3297 ай бұрын
Mungu utupe Mwingine kama Jpm
@awadhally1052
6 ай бұрын
Amiin
@jeanmusamba8448
5 ай бұрын
hamtapata mpka mwisho wa dunia wazungu hawawezi ruhusu wanaweka wala rushwa wanaojenga magorofa wilaya zote
@user-wx1sh7xj1q
5 ай бұрын
Makonda je😅
@lupimosanitariumclinic
4 ай бұрын
Askofu Gwajima na Waziri mkuu ndio wanaoweza kuvaa viatu vya Rais Magufuli
@jeanmusamba8448
4 ай бұрын
Bashiru na polepole ndio wanaweza ndo maana hawatakiwa na kundi la mafisadi @@lupimosanitariumclinic
@user-rj2go6tw8r7 ай бұрын
MUNGU tunaomba mtu mwingine kama huyu.
@stewartdyamvunye-wz6rn7 ай бұрын
Amina. JPM alijitahidi sana. Na watu wanasahau kwamba naye alikuwa ni binadamu na kila binadamu hakosi madhaifu. Katika yote, na historia imeonyesha, si mimi bali historia, kwamba ukitangaza kwamba we unapigania wanyonge jiandae shida na mateso maishani mwako kama si kupoteza uhai wako vile vile. Nani leo katika viongozi wetu yu tayari kupoteza maisha yake kwa ajili ya wanyonge? Nadhani hakuna! Kwani naye anaogopa kupoteza maisha. Ni kanuni, ukijinasibisha na wanyonge, watakaokupiga vita na hasa kukutoa roho, ajabu, ni ndugu zako wa karibu ambao walitakiwa wakukingie kifua badala yake watashirikiana na mamluki toka nje yaani nje ya kambi (nchi) yako. Na hapo kufurukuta inakuwa kazi nyingine! Nani leo kiongozi Tanzania madarakani yuko tayari kwa hili kama JPM alivofanya. Nasema tena hakuna. Ila tunapata faraja upande mwingine. Wanaharakati wapo na wanajitahidi kabisa: Sasa ndgu zangu: Cmdes Julius Malema, Wilbroad Slaa, Lissu, Mhe. wakili Mashala, Bw. mdogo Mwabukisi, mzee mwenzangu Hashim Juma, wanangu Mdude, Madeleka, Cmde Lissu, itifaki si rahisi kuwataja wanaharakati wote, nawatambua. Muwe macho, muendeleze mapambano kuwatetea wanyonge. Mungu atawalipa! Amina.
@ChejoBuchejo-mm8bb
6 ай бұрын
Tundulossu ni ngoma ingine hayupo kwa maslahi ya inchi ,,,,jamaa anatumia uelewa kumake money na anamega huku na huku
@domitillalyamba9006
5 ай бұрын
Huyo Tundu hana msamaha mpaka Leo anazungumzia walimpiga risasi je anafaa kuwa raisi maana ukiongoza ujue kuna wanaokuunga mkono na wasiokutaka kabisa
@samwelrevocatus1218
5 ай бұрын
Sa ivi tunapigwa kila siku @@domitillalyamba9006
@ATHUMANIHAMISI-iq2jw
5 ай бұрын
MAKONDA TU
@noelkomba5270
4 ай бұрын
Yesu wakati anakaribia kusulubiwa alisema ni upendo wa namna gan mtui kujitoa kafara kwa ajili ya wengine
@waltermigambile51447 ай бұрын
Rais wangu wa wakati wote
@awadhally1052
6 ай бұрын
Kwel kabisaaa
@corneliusmushumbusi92767 ай бұрын
Kuna waliofanya sherehe kwa kifo chake. Ila sasa wanaonja joto ya jiwe. Mungu mpe JPM taji kwako mbinguni maana aliipenda nchi yake.
@azizimangara9024
5 ай бұрын
🤲🤲🤲
@panadomadola3064
27 күн бұрын
Amen, apumzike kwa amani
@muznazahra4555 ай бұрын
Mungu ailaze roho yako mahali pema kwa utetezi wako mwema kwa wale walodhulumia utabaki wakumbukwa na wengi...wema hauwozi na hausahauliki...❤
@brendasamson20866 ай бұрын
Rest in peace chuma chuma❤
@user-hg9rx8gh4b
6 ай бұрын
Rait Kama ungekuwepo tz ingekuwa mbali Sana tungekuwa matajiri wote ,mungu akuweke mkono wake wakuume
@rebekamasatu36566 ай бұрын
Kwa kweli vizuri havidumu!!
@user-mg7jj1hm2t7 ай бұрын
Mungu amlaze mahala pema peponi
@jackanmareko37575 ай бұрын
Was the best not only Africa but entire world.continue resting easy Mr president.
@shalomchaula44207 ай бұрын
Hakuna maneno ya kutosha kusema kuhusu JPM ukisema tunakukumbuka haitoshi ukisema lolote alitoshi sababu alifanya kazi kweli bila kupaka mafuta.
@AlfredMichael-ge2yp7 ай бұрын
Wewe ndie raisi wangu mpaka leo, nakupenda Sana baba,mzee maagu
@ahmadamohamed1907
7 ай бұрын
Mfate aliko
@user-sj2ii4gm7z
7 ай бұрын
@@ahmadamohamed1907 Hapo aujasema chochote. Kama uko na chuki binafsi utaumia bure. Kweli Mzee JPM wewe ulikuwa Mwamba yaani mpaka leo bado unatikisa wakati umelala!!!!!! RIP Mzee, sisi tulikuelewa.
@AlfredMichael-ge2yp
7 ай бұрын
@@ahmadamohamed1907mungu anakuona ila mm nitabaki kuwa raia wa magufur tu,Sina rsis hapa saiz
@Charlesnorbert-yb6zh
6 ай бұрын
mnaomkataa uyu rais nadhan akili zenu haziko saw,,,,,ww hujistukii kua antagonist among hundreds
@nurumohammed13105 ай бұрын
Punzika baba Raisi wetu kipenzi chetu mwenye huruma na wanainchi wako mungu akuweke mahala pema peponi Amini lkn umetuacha kwenye maisha magumu
@nyotastar102nyota26 ай бұрын
Mungu kiumbe wako alikuwa anajua safari yake ya kuondoka duniani mpokee baba mungu wetu
@jaredwangwe29247 ай бұрын
Jembe,Pumzika kwa amani
@adamgwila33955 ай бұрын
Mmh kama ulikuwa unajua kitakacho tokea , mumgu akulaze pahala pema peponi Amen
@innocentongwae26544 ай бұрын
Sijasikia popote eti "Tumetenga....tutatenga".. yeye alisema "tumefanya, tufanye".. lala salama Rais wetu
@dillonfoya7 ай бұрын
Waliodhulumiwa mafao yao watu 175 toka 1999 nao wanashughulikiwa na nani dhuluma Tanzania imekithiri haya yanatakiwa yafike mwisho haswa kwa Wanyonge
@charlesdaniel88007 ай бұрын
pumzika kwa amani baba
@primecaptain86284 ай бұрын
CHUMA KIMEBADILI MAMBO DAKIKA TU KUDADADEKI🔥🔥🔥🙌🏾🙌🏾🙌🏾
@hadijamuhamedi6 ай бұрын
Pumzike Kwa Amani Rais wetu
@AmiHaji-r4h5 күн бұрын
Bab wa taifa leo huyu m2 ulie2achia ni mwizi wa taifa maneno mengi vitendo ziro 2nakupenda jpm❤❤ tz nzima,
@BienvenueBisimwa-rn9rn6 ай бұрын
Pumzika kwa amani Raïs wa Africa🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@plumbingtanzaniaplumber75705 ай бұрын
Jembe letu hilo daah kweli kizuri hakidumu namkubali sana jpm pumzika kwa amani mungu yupo
@emmanuelkanyela2757 ай бұрын
mwamba huyu wewe ndo Rais wangu japo umelala
@florakweyunga4490
7 ай бұрын
Nikweli kabisaa,natamani 2025,nikaipigie kaburi lake kula.
@judicalosika7642
7 ай бұрын
@@florakweyunga4490 😳😳😳😳😳😳
@IrenMushi
6 ай бұрын
nenda kalipigie tu haina shida😂😂😂😂😂😂😂
@sammoney1466
5 ай бұрын
Nakubaliana na wew ndugu yangu, maan Kuna raisi na rahisi- huyu alikuwa RAISI, tumebaki na RAHISI
@MaikoMkwawa-fk9tc7 ай бұрын
Aita kuja kutokea tena mungu alitupatia zawadi tukashindwa kuilinda na kuitumia
@IrenMushi
6 ай бұрын
we mungu nawe umejuaje kama hatutopata mwingine tuliza komwe hilo huenda mwanao akaridhi so 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Eliaswekesa2545 ай бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 we respect magufuli wacha huyu zakayo
@masumbukoclement45826 ай бұрын
Tutakukumbuka BaBa Wetu Magufuri 🙏🇹🇿♥️😭😭
@AlfredMichael-ge2yp7 ай бұрын
😢😢😢pumzika kwaamani baba
@user-ct4tk3fq5v6 ай бұрын
Baba mungu akulaze mahara pema peponi Amina
@davidmpiluka52247 ай бұрын
Safi sana.
@prezidakasuga25956 ай бұрын
Ingekuwa kumlipia mtu arud basi magufuli angelipiwa na robo tatu ya watanzania
@SarahWilliam-ik2nc
3 ай бұрын
Sio robo tatu karibia watz wote wangekubali wakafanye mataifa mengine kazi Ili wapate Hela za kumlipia daa machozi yanatutoka😭
@bbclondonulimwenguwasoka61267 ай бұрын
RIP JPM
@user-nw5of4xh4q5 ай бұрын
kitu ukiwa nacho huon thamani yake mpk kikutoke I miss u Dady magu amka japo nusu dkk Mungu tusamehe tulipokosa maguful Bado tunamtaka
@eliaamoss37204 ай бұрын
Daaah..!😭😭😭😭 Ukisikia vizuri havidumu ndio hivi
@nassibu-hy5ny7 ай бұрын
R I p mwamba mjukuu wa magufur
@SarahWilliam-ik2nc3 ай бұрын
Raha ya milele umpe e bwana apumzike kwa amani amen😭😔🙏
@user-qc2qf7fe5o6 ай бұрын
Mungu akurehemu baba tulikupenda sana
@Zubaiba6 ай бұрын
Mungu akurehemu jembe
@geofreydamas16976 ай бұрын
Tulikupenda sana our late president JPM
@SilaMinanda4 ай бұрын
Kweli ulijuwa utasepa chap, na mama kweli anawabembeleza
@moiseszachariasmoisesmoises5 ай бұрын
mwenyezi mungu akupunguzie adhabu amen😢
@agnesswai71746 ай бұрын
Pumzika kwa amani Baba🙏
@eddytheophil76267 ай бұрын
You have been so great🎉🎉🎉❤❤
@user-tu8ur3jo4z7 ай бұрын
Machozi yamenitoka....
@user-cb8js2hb1q5 ай бұрын
Pumzika salama mzee wangu,
@emmanuelmasele95854 ай бұрын
Mungu akupe E Bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzoke kwa amani.Amina.
@timotheoashery40516 ай бұрын
Daa unakumbukwa mzee
@tonnyamon88815 ай бұрын
Sometimes tusiogope kuhoji. Ni Mungu yupi aliyeruhusu JPM aondoke? Ko Mungu anafurahia watu kuteseka?
@awalimunishi
5 ай бұрын
Mungu aliona vema baba wa watu akapumzike alifanya kazi kwa bidii na nguvu sana.
@user-ek6bc6gv5r6 ай бұрын
Hatatokea kwaharaka Rais kamawewe mungu akuweke pema
@JeromekitondweKambale-nm7pi3 ай бұрын
Bonsoir
@simonzakaria47707 ай бұрын
Yale mapaka uliyoyafukuza yamerudi tena
@margarethpolepole7438
7 ай бұрын
Simonzakaria majizi yote ya awamu ya nne mama kayarudisha sasa yanakomba haswaaa
@user-lt1bi5nr1x
6 ай бұрын
Yamejazana
@margarethpolepole7438
6 ай бұрын
Tena mipaka yenyewe ni wale wahuni walitumbuliwa Wizara ya Mambo mengine Wizara ya Habari mengine yaliyokula pesa za wastaafu za nssf na Umeme umemshinda kukatika hovyo mitambo haitengene wengine wauzaji pembe za ndovu wauza madawa ya kulevya wengine walioikomba Nhc wamerudishwa woteee hiyo mibomu yaani mama karikoroga vibaya sana
@margarethpolepole7438
6 ай бұрын
@@user-lt1bi5nr1x hayo yote yaliyojazana yana kazi ya kumpiga VITA DOTO BITEKO NA MAKONDA ETI WANATAKA Urais 2030 kama huyu Ester Luxury hafai hata kwa kulumangia ana pesa chafu sana za wizi lilitumbuliwa Wizara ya Mambo ya ndani lilikuwa likiambiwa likashike mihujumu uchumi linawapa taarifa mapema linakula rushwa linakimbia nje ya nchi jizi kwisha kazi mpaka maisha yamekuwa magumu
@margarethpolepole7438
6 ай бұрын
@@user-lt1bi5nr1x User linasema watu wahamie Burundi halafu linataka Urais pumbavu kabisa 2030 wanemtokomeza mama kwa kunpa ushauri mbovu tuobekane wanawake hatuna maana nalichukia ajabu sanaaaa bomu kabisa yeye na aliyeshindwa wizara ya Nishati kutwa kukatika umeme wamemuondoa Kalemani bure
Пікірлер: 464
huyu Rais alijua kama ataondoka Duniani maana alikuwa mzalendo na nchi ilienda mbele
@antonywilliama2868
4 ай бұрын
mungu amrehem apumzike wa aamani
@JosephBasiga-l9j
29 күн бұрын
❤❤❤❤❤tutakukumbuka daima magufuruli wetu mungu akulaze mahali pema peponi amina.@@antonywilliama2868
@HassaniMzee
23 күн бұрын
Duh kwa kweli machozi hayatafutika alikua mchapa kazi mzalendo mwenye maono,MUNGU akurehemu mpendwa wetu
@KassimAlly-xp4dz
20 күн бұрын
Ilienda mbele kwenye nn
@estherkibajiro3480
13 күн бұрын
mzalendo wetu😭😭😭😭...
Uko wapi Kamanda uko wapi Kamanda. Pumzika kwa Amani. Amen.
@user-jh5uv5go1x
4 ай бұрын
Katka kumbukumbu zxizofutka ktk vichwa vyawatu magufu ni kichwa cha habary
Tunakukumbuka kwa mengi RIP Magu mzalendo wa kweli
@JustaTz
6 ай бұрын
Excellent
Mtu umemteua alafu unamuogopa hongera mzeee
Uyo ndo Raisi wetu wa Africa watching from Capetown ❤❤ lalasama baba etu😢😢😢😢 haujafa wewe lakini umelala kwajina layesu ❤❤❤
Mungu wetu ahsante kwa zawadi ya Dr. Magufuli kwa muda mfupi uliotujalia kuwa naye akiwa raisi wetu. Tumetambua mpiganaji halisi ni nani! Leo hatupo naye lkn tunajua hata waliofanya sherehe wakati umemchukua leo wanalia kwa sababu moja au nyingine... Pumzika baba yetu, Mungu amekupenda zaidi ila tunakukumbuka saaaana ❤❤❤❤
The Man himself.Magufuri oyeee.RIP chuma
Siku hizi hata taarifa ya habari sifuatilii tena😊m
@hajihassan5433
7 ай бұрын
Kama mimi TV huu zaidi ya mwaka sijatizama Wallah!
@IrenMushi
6 ай бұрын
acha uongo jesusi ww😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@joachimbaldwin8511
5 ай бұрын
Yaani wewe kama mimi
@kuyengamoris4140
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@emmanuelbonifase1114
22 күн бұрын
Hata mim
Jemadali,Mwamba!!! Mungu bila Shaka Alikupokea amina
Aksante sana. Mwamba utakumbukwa siku zote JPM
@user-gc3ec9wx6z
22 күн бұрын
Mutamkumbuka nyunyi munaopnda zulma
@estherkibajiro3480
13 күн бұрын
@@user-gc3ec9wx6z Rudi shule kwanza hujifunze kusoma na kuandika😁😁akili fupi kama mandishi yako😁RIP UNCLE MAGUFULI 😭😭😭Tz tutakukumbuka daima mzalendo wa kweli✊️👍🤝💪🙏
@user-ue2xp9dd8z
11 күн бұрын
@estherkibajiro3480 kwa kweli akajifunze kuandika
@MalongoKisunzu
Күн бұрын
Je akishidwa kushidwa kufunga simba malalmko yanga ujibu nn
Pumzika kwa amani mzee John Pombe Magufuli... Amen.
@Saida-vv1cy
4 ай бұрын
L
@estherkibajiro3480
13 күн бұрын
😭😭😭😭😭RIP MAGUFULI
Huyu ndiye Rais Mungu alitujalia lakini akamuchukuwa mapema. Mafisadi walimuchukia. Wezi walimuchukia. RIP baba. Angekuwepo Tanzania ingekuwa mbali sana.
Samia alipokea nchi iliuopangwa, kazi yake ilikuwa kuyaemdeleza ya Magufuli. Magifuli alipokea nchi iliyotafunwa na kuachwa mifupa mitupu. Lała salama baba
Mungu utupe Mwingine kama Jpm
@awadhally1052
6 ай бұрын
Amiin
@jeanmusamba8448
5 ай бұрын
hamtapata mpka mwisho wa dunia wazungu hawawezi ruhusu wanaweka wala rushwa wanaojenga magorofa wilaya zote
@user-wx1sh7xj1q
5 ай бұрын
Makonda je😅
@lupimosanitariumclinic
4 ай бұрын
Askofu Gwajima na Waziri mkuu ndio wanaoweza kuvaa viatu vya Rais Magufuli
@jeanmusamba8448
4 ай бұрын
Bashiru na polepole ndio wanaweza ndo maana hawatakiwa na kundi la mafisadi @@lupimosanitariumclinic
MUNGU tunaomba mtu mwingine kama huyu.
Amina. JPM alijitahidi sana. Na watu wanasahau kwamba naye alikuwa ni binadamu na kila binadamu hakosi madhaifu. Katika yote, na historia imeonyesha, si mimi bali historia, kwamba ukitangaza kwamba we unapigania wanyonge jiandae shida na mateso maishani mwako kama si kupoteza uhai wako vile vile. Nani leo katika viongozi wetu yu tayari kupoteza maisha yake kwa ajili ya wanyonge? Nadhani hakuna! Kwani naye anaogopa kupoteza maisha. Ni kanuni, ukijinasibisha na wanyonge, watakaokupiga vita na hasa kukutoa roho, ajabu, ni ndugu zako wa karibu ambao walitakiwa wakukingie kifua badala yake watashirikiana na mamluki toka nje yaani nje ya kambi (nchi) yako. Na hapo kufurukuta inakuwa kazi nyingine! Nani leo kiongozi Tanzania madarakani yuko tayari kwa hili kama JPM alivofanya. Nasema tena hakuna. Ila tunapata faraja upande mwingine. Wanaharakati wapo na wanajitahidi kabisa: Sasa ndgu zangu: Cmdes Julius Malema, Wilbroad Slaa, Lissu, Mhe. wakili Mashala, Bw. mdogo Mwabukisi, mzee mwenzangu Hashim Juma, wanangu Mdude, Madeleka, Cmde Lissu, itifaki si rahisi kuwataja wanaharakati wote, nawatambua. Muwe macho, muendeleze mapambano kuwatetea wanyonge. Mungu atawalipa! Amina.
@ChejoBuchejo-mm8bb
6 ай бұрын
Tundulossu ni ngoma ingine hayupo kwa maslahi ya inchi ,,,,jamaa anatumia uelewa kumake money na anamega huku na huku
@domitillalyamba9006
5 ай бұрын
Huyo Tundu hana msamaha mpaka Leo anazungumzia walimpiga risasi je anafaa kuwa raisi maana ukiongoza ujue kuna wanaokuunga mkono na wasiokutaka kabisa
@samwelrevocatus1218
5 ай бұрын
Sa ivi tunapigwa kila siku @@domitillalyamba9006
@ATHUMANIHAMISI-iq2jw
5 ай бұрын
MAKONDA TU
@noelkomba5270
4 ай бұрын
Yesu wakati anakaribia kusulubiwa alisema ni upendo wa namna gan mtui kujitoa kafara kwa ajili ya wengine
Rais wangu wa wakati wote
@awadhally1052
6 ай бұрын
Kwel kabisaaa
Kuna waliofanya sherehe kwa kifo chake. Ila sasa wanaonja joto ya jiwe. Mungu mpe JPM taji kwako mbinguni maana aliipenda nchi yake.
@azizimangara9024
5 ай бұрын
🤲🤲🤲
@panadomadola3064
27 күн бұрын
Amen, apumzike kwa amani
Mungu ailaze roho yako mahali pema kwa utetezi wako mwema kwa wale walodhulumia utabaki wakumbukwa na wengi...wema hauwozi na hausahauliki...❤
Rest in peace chuma chuma❤
@user-hg9rx8gh4b
6 ай бұрын
Rait Kama ungekuwepo tz ingekuwa mbali Sana tungekuwa matajiri wote ,mungu akuweke mkono wake wakuume
Kwa kweli vizuri havidumu!!
Mungu amlaze mahala pema peponi
Was the best not only Africa but entire world.continue resting easy Mr president.
Hakuna maneno ya kutosha kusema kuhusu JPM ukisema tunakukumbuka haitoshi ukisema lolote alitoshi sababu alifanya kazi kweli bila kupaka mafuta.
Wewe ndie raisi wangu mpaka leo, nakupenda Sana baba,mzee maagu
@ahmadamohamed1907
7 ай бұрын
Mfate aliko
@user-sj2ii4gm7z
7 ай бұрын
@@ahmadamohamed1907 Hapo aujasema chochote. Kama uko na chuki binafsi utaumia bure. Kweli Mzee JPM wewe ulikuwa Mwamba yaani mpaka leo bado unatikisa wakati umelala!!!!!! RIP Mzee, sisi tulikuelewa.
@AlfredMichael-ge2yp
7 ай бұрын
@@ahmadamohamed1907mungu anakuona ila mm nitabaki kuwa raia wa magufur tu,Sina rsis hapa saiz
@Charlesnorbert-yb6zh
6 ай бұрын
mnaomkataa uyu rais nadhan akili zenu haziko saw,,,,,ww hujistukii kua antagonist among hundreds
Punzika baba Raisi wetu kipenzi chetu mwenye huruma na wanainchi wako mungu akuweke mahala pema peponi Amini lkn umetuacha kwenye maisha magumu
Mungu kiumbe wako alikuwa anajua safari yake ya kuondoka duniani mpokee baba mungu wetu
Jembe,Pumzika kwa amani
Mmh kama ulikuwa unajua kitakacho tokea , mumgu akulaze pahala pema peponi Amen
Sijasikia popote eti "Tumetenga....tutatenga".. yeye alisema "tumefanya, tufanye".. lala salama Rais wetu
Waliodhulumiwa mafao yao watu 175 toka 1999 nao wanashughulikiwa na nani dhuluma Tanzania imekithiri haya yanatakiwa yafike mwisho haswa kwa Wanyonge
pumzika kwa amani baba
CHUMA KIMEBADILI MAMBO DAKIKA TU KUDADADEKI🔥🔥🔥🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Pumzike Kwa Amani Rais wetu
Bab wa taifa leo huyu m2 ulie2achia ni mwizi wa taifa maneno mengi vitendo ziro 2nakupenda jpm❤❤ tz nzima,
Pumzika kwa amani Raïs wa Africa🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Jembe letu hilo daah kweli kizuri hakidumu namkubali sana jpm pumzika kwa amani mungu yupo
mwamba huyu wewe ndo Rais wangu japo umelala
@florakweyunga4490
7 ай бұрын
Nikweli kabisaa,natamani 2025,nikaipigie kaburi lake kula.
@judicalosika7642
7 ай бұрын
@@florakweyunga4490 😳😳😳😳😳😳
@IrenMushi
6 ай бұрын
nenda kalipigie tu haina shida😂😂😂😂😂😂😂
@sammoney1466
5 ай бұрын
Nakubaliana na wew ndugu yangu, maan Kuna raisi na rahisi- huyu alikuwa RAISI, tumebaki na RAHISI
Aita kuja kutokea tena mungu alitupatia zawadi tukashindwa kuilinda na kuitumia
@IrenMushi
6 ай бұрын
we mungu nawe umejuaje kama hatutopata mwingine tuliza komwe hilo huenda mwanao akaridhi so 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 we respect magufuli wacha huyu zakayo
Tutakukumbuka BaBa Wetu Magufuri 🙏🇹🇿♥️😭😭
😢😢😢pumzika kwaamani baba
Baba mungu akulaze mahara pema peponi Amina
Safi sana.
Ingekuwa kumlipia mtu arud basi magufuli angelipiwa na robo tatu ya watanzania
@SarahWilliam-ik2nc
3 ай бұрын
Sio robo tatu karibia watz wote wangekubali wakafanye mataifa mengine kazi Ili wapate Hela za kumlipia daa machozi yanatutoka😭
RIP JPM
kitu ukiwa nacho huon thamani yake mpk kikutoke I miss u Dady magu amka japo nusu dkk Mungu tusamehe tulipokosa maguful Bado tunamtaka
Daaah..!😭😭😭😭 Ukisikia vizuri havidumu ndio hivi
R I p mwamba mjukuu wa magufur
Raha ya milele umpe e bwana apumzike kwa amani amen😭😔🙏
Mungu akurehemu baba tulikupenda sana
Mungu akurehemu jembe
Tulikupenda sana our late president JPM
Kweli ulijuwa utasepa chap, na mama kweli anawabembeleza
mwenyezi mungu akupunguzie adhabu amen😢
Pumzika kwa amani Baba🙏
You have been so great🎉🎉🎉❤❤
Machozi yamenitoka....
Pumzika salama mzee wangu,
Mungu akupe E Bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzoke kwa amani.Amina.
Daa unakumbukwa mzee
Sometimes tusiogope kuhoji. Ni Mungu yupi aliyeruhusu JPM aondoke? Ko Mungu anafurahia watu kuteseka?
@awalimunishi
5 ай бұрын
Mungu aliona vema baba wa watu akapumzike alifanya kazi kwa bidii na nguvu sana.
Hatatokea kwaharaka Rais kamawewe mungu akuweke pema
Bonsoir
Yale mapaka uliyoyafukuza yamerudi tena
@margarethpolepole7438
7 ай бұрын
Simonzakaria majizi yote ya awamu ya nne mama kayarudisha sasa yanakomba haswaaa
@user-lt1bi5nr1x
6 ай бұрын
Yamejazana
@margarethpolepole7438
6 ай бұрын
Tena mipaka yenyewe ni wale wahuni walitumbuliwa Wizara ya Mambo mengine Wizara ya Habari mengine yaliyokula pesa za wastaafu za nssf na Umeme umemshinda kukatika hovyo mitambo haitengene wengine wauzaji pembe za ndovu wauza madawa ya kulevya wengine walioikomba Nhc wamerudishwa woteee hiyo mibomu yaani mama karikoroga vibaya sana
@margarethpolepole7438
6 ай бұрын
@@user-lt1bi5nr1x hayo yote yaliyojazana yana kazi ya kumpiga VITA DOTO BITEKO NA MAKONDA ETI WANATAKA Urais 2030 kama huyu Ester Luxury hafai hata kwa kulumangia ana pesa chafu sana za wizi lilitumbuliwa Wizara ya Mambo ya ndani lilikuwa likiambiwa likashike mihujumu uchumi linawapa taarifa mapema linakula rushwa linakimbia nje ya nchi jizi kwisha kazi mpaka maisha yamekuwa magumu
@margarethpolepole7438
6 ай бұрын
@@user-lt1bi5nr1x User linasema watu wahamie Burundi halafu linataka Urais pumbavu kabisa 2030 wanemtokomeza mama kwa kunpa ushauri mbovu tuobekane wanawake hatuna maana nalichukia ajabu sanaaaa bomu kabisa yeye na aliyeshindwa wizara ya Nishati kutwa kukatika umeme wamemuondoa Kalemani bure
We ulikuwa mtu bwana
Kupata rais Kama huyu kwa sasa ni ngumu..
We have lost an intelligent President.
Our best president all the time
R .l .P JPM watanzania wanakukumbuka sana.
@IrenMushi
6 ай бұрын
rekebisha kiswahil chako wanakukumbuka inamaanisha yy ndie msoma commet au😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Umeumaliza mwendo mungu akulaze mahali pema peponi amen
The best President of Tanzania, all time. Period!
Halafu mseme hatukuwa chuma.kama hiki sio rahisi kukipata mungu amuweke mahali pema peponi .😢
rest in peace jpm you survive for all things that gave during for your life amen
Mungu akulaze mahali pema peponi
Ninakukumbuka sn mheshimiwa kwa kazi zako
Nakukumbuka kwa mazuri mzee
Huyu mwamba hatutampata kama yeye, apumzike kwa Amani
R. I. P Mzee baba
Hakika uyu ndie aliekuwa raisi wa watu, mwenyezi MUNGU ampumzishe salama
Asante Raisi wangu Magufuli
Atakumbukwa sana sana Niko burundian lakini I loved him very much.
Tunakukumbuka sanaa ungekuwepo mpk leo tungekua mbali sana kimaendeleo na kiuchumi kweli rais wa kubembelezana tunae
Ulisema kaka tutakukumbuka. 🙏
@awadhally1052
6 ай бұрын
Kwel k
Ddadda❤❤❤❤
Mwamba jpm pumzika kwa amani ulipigana vita pekeyako waliobaki ni mawakala wa mabeberu
@awadhally1052
6 ай бұрын
Kwel kabisaa
Msiba huu hautoisha maishan mwangu RIP mzee wa haki😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😭😭😭😭Hivi Kwanini jamaniii mbona mnatutonesha vidonda bado vibichi kabisa hizi clip zingeachwa tuu bado tumekumis MAGUFURI 😭😭😭💔💔💔
Hakika we ulikuwa kiongozi safi na mwanaume mwamba kweli baba wa afrika
Mungu akurehemu baba ❤❤❤
naumia sanaa
Mungu Atusaidie tuyaenzi mema yote kutoka kwako na uwajibika wako.
Allah akuhifadhi kwa ulio yatenda
Magufuli hatari sana
@user-tg1ud6gr8v
2 ай бұрын
JS😊
Tumuombe MUNGU atujalie mwenye hekima na maarifa ya uongozi
Mwamba. Huuu. Apaaaa❤❤❤😂
Tunaitaji Raisi mwenye maamuzi ya hivi sio kulea uozo wananchi wanaumia. Makonda anayoyafichua ccm ijitafakari. Usibembeleza wezi au wazembe kzn.
Kizuri hakidumu
Ss huku ulipotutoka bad tunakuombea pumzika salama amina
Bwana Yesu Kristo ailaze pema peponi roho yako tunamuomba Mungu atupe chombo kama wewe kwa ajili ya TANZANIA NA AFRICA
@binseif2216
5 ай бұрын
Sio Mungu?