Mtoto wa Manji asimulia namna baba yake alivyoipenda Yanga

Спорт

“Moyoni mwake ukimkata utaona damu ya Yanga” maneno ya Mehbub Manji akisimulia namna baba yake alikuwa akiipenda Yanga.
Mehbub amesema kuna nyakati walikuwa wanweza kujua matokeo ya mechi za Yanga kwa kumtazama baba yao tu, wakimuona amekasirika wanajua Yanga imefungwa.
Imefanyika dua kwa ajili ya Yusuf Manji aliyefariki dunia Juni 30 ,2024 katika ukumbi wa Karimjee, Dar es Salaam.
#Dua #MaishaYaManji #YusufManji

Пікірлер: 31

  • @abroadconnectededucationlt5435
    @abroadconnectededucationlt54354 күн бұрын

    polen sana, ''kazima tufanye kazi sana,lazima tumalize tulichokianza,lazima tupite malengo, lazima tupite matazamio ya watu'' haya ni maneno mazito sana kuambiwa,asante YM kwa zawadi hii.

  • @vinny.morales
    @vinny.morales7 күн бұрын

    Poleni sana familia ya Manji. Tuko pamoja, tunawapenda sana😢

  • @nsubisimwasandende-kl9vy
    @nsubisimwasandende-kl9vy8 күн бұрын

    Dogo ana akili sana ni isahara hata kampuni za mzee zitaenda vizuri speech nzuri

  • @mtzhalisi2232

    @mtzhalisi2232

    8 күн бұрын

    Yes yes uko sawa... Hata sauti kama ya manji kabisa

  • @WahidaHilaly

    @WahidaHilaly

    6 күн бұрын

    Sana Sana 🙏

  • @edwinlyimo5611
    @edwinlyimo5611Күн бұрын

    pole sana ndugu yangu,nashukuru Mungu kuona Ww na mdogo wako mpo,naomba mjitahidi kupendana msigombane kwa jambo lolote hasa Mali za Urithi,nashukuru Mzee Ja JK Kikwete kwa kuwa karibu na Familia hii wakati wote,Mungu akubariki,leo mm nitakaa karibu na familia yangu nicheze na watoto wangu kwa maana sijui mda wala saa,Pia kuzidi kumuomba Mungu,

  • @LovenesLuhanga
    @LovenesLuhanga8 күн бұрын

    R I p Yusuf manji hakika ww ulikua Bora sana mungu uipe uvumilivu na utulivu familia yake yote tuseme amen 🙏🏼🤝

  • @user-xb7jv2jt7d
    @user-xb7jv2jt7d7 күн бұрын

    Innah lillah waina ilaih raj oon. Allah awajaze subira muwe waja wa kusubiri. Nasi tuombe mwisho mwema. Ameen

  • @YohanaCharles-ry1kh
    @YohanaCharles-ry1kh8 күн бұрын

    Daaah, pole sanaaa ndg yetu

  • @baltasartemu2153
    @baltasartemu21538 күн бұрын

    Pole sana Mahboob..

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody56187 күн бұрын

    Innalillahi wainna ilayhi rajiun😢

  • @user-jh4sw3ww6w
    @user-jh4sw3ww6w8 күн бұрын

    Mwanadam ni historia,kua historia njema

  • @VenitaRugemalila
    @VenitaRugemalila5 күн бұрын

    Pole watoto wa marehemu, Mungu awape mshikamano na mlete wajukuu watakaoendeleza

  • @MwenyeheriMwegeru
    @MwenyeheriMwegeru7 күн бұрын

    Inalilah wainalilah rajiun pole sana wanafamilia

  • @VenitaRugemalila
    @VenitaRugemalila5 күн бұрын

    Pole masikini kumbe mmebaki wenyewe Mungu awtunze ,na familia ya Muheshimiwa Jakaya iendelee kuwa nanyi

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed2 күн бұрын

    Inalilahi wa Inalilahi Rajiun poleni Sisi wote tutarejea.

  • @user-ww4so9ks9c
    @user-ww4so9ks9c8 күн бұрын

    Duuh😢😢😢

  • @daarularqammkaku153
    @daarularqammkaku1538 күн бұрын

    Pole bro

  • @JoshuaSabu-r2p
    @JoshuaSabu-r2pКүн бұрын

    R.i.p YUSUFU MANJI hakika ni pengo kubwa sana kwa club ya YANGA na wapenz na mashabiki wa yanga

  • @VenitaRugemalila
    @VenitaRugemalila5 күн бұрын

    Yaani hayo maneno ya mwisho yanaumiza akimsii Rais mstaafu wetu na wananchi tukirudi ktk familia tukapendane ,tuishi vizuri hatuijui kesho yetu kwani wao hawana tena wazazi,wapendwa wao wameondoka km ninavyosikia na mama hawana tena yaani inahuzunisha jamani,poleni tumepokea ushauri huo

  • @user-ws9no8hz8k
    @user-ws9no8hz8k8 күн бұрын

    Imauma jaman polen

  • @salmakirundu2076
    @salmakirundu20766 күн бұрын

    So sad

  • @tukuyufm.
    @tukuyufm.5 күн бұрын

    Poleni sana familia ya mzee manji

  • @tumsifumassawe1273
    @tumsifumassawe12738 күн бұрын

    Kwan amekufa kweli??

  • @kanyeshahigirimana5686

    @kanyeshahigirimana5686

    7 күн бұрын

    Hamna Amefufuka

  • @chundechunde

    @chundechunde

    7 күн бұрын

    Kafa uongo

  • @JamesZakayo-o2f

    @JamesZakayo-o2f

    6 күн бұрын

    Hajafa

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga95095 күн бұрын

    kama alikua mzlendo wa nchi kwa nini alikimbilia huko namezikwa marekani hao watafuta fulsa2 ila wanaunalaia nchi zngne kabsa kwa macho ni watanzania ila mioyo yao haipo hao wanafata masilai2 mlando pekee ambae ni mtu wa mungu ni bakhressa pekee angalia alichoifanyia taz. huyo ndo mtzania pekee

  • @mugheiry

    @mugheiry

    2 күн бұрын

    Kwanza kajifunze kuandika vizuri kiswahili chako, kabla kuandika upuuzi wako.

  • @josephmkinga9509

    @josephmkinga9509

    Күн бұрын

    @@mugheiry upuuz ni wewe kipi ambacho hujaelewa

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga95095 күн бұрын

    manji,rostam,hao hakuna wazalendo hapo wanyonyaji2 wataka mamiladi makubwa watafuna nchi

Келесі