"SOMBA WOTE WANAOFANANIA NA WIZI WEKA NDANI" - RC MWANRI

Пікірлер: 498

  • @Danisijo
    @Danisijo5 жыл бұрын

    Kama unaweka mb kwa ajili ya kuangalia videoclip za huyu mzee tujuane hapa.

  • @dulahshabani8159

    @dulahshabani8159

    5 жыл бұрын

    Tupo

  • @malackwilliam4235

    @malackwilliam4235

    5 жыл бұрын

    Pamoja mzeiya

  • @janethjustin5256

    @janethjustin5256

    5 жыл бұрын

    Tupooooo

  • @janethjustin5256

    @janethjustin5256

    5 жыл бұрын

    Natamani wamlete Dar hahahahaha

  • @dulahshabani8159

    @dulahshabani8159

    5 жыл бұрын

    @@janethjustin5256 mambo

  • @edwardmachumu2440
    @edwardmachumu24403 ай бұрын

    Dah huyu mwamba hachoshi kumtazama 😛😛😁😁 saivi 2024 mwezi wa 4

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent76365 жыл бұрын

    Kama unaamini mwanri ni zaidi ya Bashite sema fire🔥🔥🔥🔥

  • @mwamvuajumanne6090

    @mwamvuajumanne6090

    4 жыл бұрын

    Salehe Innocent fire

  • @joeljulius6389

    @joeljulius6389

    4 жыл бұрын

    Salehe Innocent amnaa

  • @watakaniitaje1215

    @watakaniitaje1215

    4 жыл бұрын

    Usimfananishe Mwanri na vitu vya ajabu jamani

  • @braitonandrew8598

    @braitonandrew8598

    2 жыл бұрын

    Fire

  • @paullaurent5200

    @paullaurent5200

    3 ай бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @chambotz9352
    @chambotz93525 жыл бұрын

    Huyu jamaa mchekeshaji mnzuri sna kama umegundua hilo gonga like

  • @vicentkinyunyu6598

    @vicentkinyunyu6598

    4 жыл бұрын

    Huyu jamaa ni hatari

  • @kelvinbanzi3134

    @kelvinbanzi3134

    4 жыл бұрын

    Nimepend anapo zungumzie kweny ukweli akun masiala

  • @mr.salmini3384
    @mr.salmini33845 жыл бұрын

    😂😁😀😁😂embu eleza ulivyomgombeza.... Kama hujacheka unayako😁😀😁😂😂

  • @janethjustin5256

    @janethjustin5256

    5 жыл бұрын

    Kwakweli nimecheka mno😀😀😀😁😁😁

  • @davidmkwizu25

    @davidmkwizu25

    4 жыл бұрын

    Yani nimecheka kuliko kawaida

  • @sulleysidey2844

    @sulleysidey2844

    4 жыл бұрын

    Kabla ya kueleza lazima ucheke kwanza

  • @yohanamasombe1267

    @yohanamasombe1267

    4 жыл бұрын

    😁🤗

  • @factsandmemesandfunnyjokes

    @factsandmemesandfunnyjokes

    4 жыл бұрын

    NJUGO MCHUNJUGO nimekusoma sana

  • @efelimwambije708
    @efelimwambije7085 жыл бұрын

    Njoo mbeya mkuuu utandaji wako uko vizuri sana.... Hongeraaa mkuuu

  • @abumusabmusab3771
    @abumusabmusab37714 жыл бұрын

    Km umesikia " eleza ulivyowagombez gonga like

  • @heraldloshi1864

    @heraldloshi1864

    3 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @bilaliadam6015
    @bilaliadam60158 ай бұрын

    Once a leader always a leader #Aggrey_mwanry

  • @athumanomary1438
    @athumanomary14385 жыл бұрын

    Asante san kiongozi wetu kwa umakini wako kwa mari za uma mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe

  • @allenmrema2919
    @allenmrema29195 жыл бұрын

    dah! hii serikali ni ya washujaa tofauti na ya nyuma kabisa, congratulation Pdt MAGUFULI

  • @faidamasegenghe3379

    @faidamasegenghe3379

    4 жыл бұрын

    Umeonaee kila mtumishi anasimamia kaz yake

  • @dutchsafari7562
    @dutchsafari75625 жыл бұрын

    Ulimgombeza Ulimgombeza ebu Eleza ulivyomgombeza msiniangalie kwa hurumaaa mimi nabeba dhamana hapa.. Mbona una ni itikia kinyongee ... Namkae chonjo ....twende hukuuu..twende kwenye maji hahahhaha role model wangu huyu kabisa

  • @edsonmunuo7112

    @edsonmunuo7112

    5 жыл бұрын

    sure ananitoa stress saana mheshimiwa

  • @rehmadamian8020

    @rehmadamian8020

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂 yaan stress zote zinaisha

  • @d.a.t3383

    @d.a.t3383

    4 жыл бұрын

    Umesahau machooo yko wapi

  • @imamuhemedi4387

    @imamuhemedi4387

    4 жыл бұрын

    Dutch tz

  • @emmanuelmganga6248
    @emmanuelmganga62482 жыл бұрын

    Huyu mwamba yupo vizuri anafaa kuwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania huyu ni kama JPM kabsa hongera kwa kazi zako nzuri huhurumii mtu anapofanya kazi kinyume na maelekezo au kinyume na raman ya kazi pongezi Sana mkuu wa mkoa wa tabora

  • @peterpain5594
    @peterpain55945 жыл бұрын

    Aise kama unaona uyu jamaa anafaa kupewa uraisi wa jamuhuri ya muungano wa TANZANIA gonga like

  • @husseinzaidi788

    @husseinzaidi788

    5 жыл бұрын

    kabisa

  • @d.a.t3383

    @d.a.t3383

    4 жыл бұрын

    Unafikiri uraisi ni rundika ndani tuuu weeeee kuna multipurpose issues u need to be aware of

  • @haggaichinyingi975
    @haggaichinyingi9754 жыл бұрын

    I always sweat when I listen to this guy mwanri

  • @princemujuni9803
    @princemujuni98035 жыл бұрын

    Mimi huyu mkuu wa mkoa naamin yupo hata kwenye awamu ijayo aisee.

  • @dr.erickjmazyala8905
    @dr.erickjmazyala89055 жыл бұрын

    msiniangalie kwa huruma …mimi nabeba dhamanaaah! Piga kazi mkuu wangu wa mkoa mpaka wakuelewe hao!

  • @reganngoo8571
    @reganngoo85715 жыл бұрын

    Kama anafanania wote sukuma ndani watajua uko ndani

  • @noahmwakatoga3711
    @noahmwakatoga3711 Жыл бұрын

    Jamani Uyu MZEEE Namkubari Sana

  • @peterkingili5305
    @peterkingili53055 жыл бұрын

    Jmn mm nyumbani tabora lkn huyu RC kiboko ya mabishooooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂 angaria naefanania weka ndani #kanyaga wote

  • @charlesmushi2305
    @charlesmushi23055 жыл бұрын

    Ebu eleza ulivyomgombeza😂😂😂😂

  • @amarido12
    @amarido125 жыл бұрын

    Inatakiwa Mtu akiiangalia hospitali aseme hapa ntapona, sio mtu akiangalia majengo tu anajiuliza hapa ntapona kweli 😂😂😂😂

  • @agastynelucacmshoro1519

    @agastynelucacmshoro1519

    4 жыл бұрын

    hahahahahaah ilbid nirudie nmckie vizur

  • @imeldabamba3779

    @imeldabamba3779

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂🏃🏃🏃🏃Rido

  • @serianjamal8254

    @serianjamal8254

    4 жыл бұрын

    Hahahahaha nimecheka mpaka hoi

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba57884 жыл бұрын

    Hyu mkuu wa mkoa anabidi apelekwe Dar kusimamia miradi, sio Makonda. Mh Raisi naomba asikilize hili wazo langu

  • @bahattumainitishasana4768

    @bahattumainitishasana4768

    4 жыл бұрын

    Nice

  • @freddymello3227
    @freddymello32275 жыл бұрын

    "Ulimgombeza!,ulimgombeza?eleza ulivyomgombeza..." mzee mtata huyu!!

  • @brayo001
    @brayo0015 жыл бұрын

    Huyu bwana mtupe sisi wakenya tumpe Mombasa County aisimamie

  • @rubondopharmacy

    @rubondopharmacy

    5 жыл бұрын

    Lipieni tu tutawapa

  • @freddymello3227

    @freddymello3227

    5 жыл бұрын

    brian lawrence ,Andikeni barua ya maombi tutawapa!!huyu hata uraisi anafaa sana!!

  • @justinwakudat6792

    @justinwakudat6792

    5 жыл бұрын

    Mchukuen tu hamna shida

  • @mtungifrance4228
    @mtungifrance42285 жыл бұрын

    Ukivuka salama na hyu mzee baba bac popote ww utafanya kazi!!

  • @mosahemagarya4807

    @mosahemagarya4807

    5 жыл бұрын

    Mtungi France

  • @robsonalen4011

    @robsonalen4011

    5 жыл бұрын

    Hahaha hahaha hahaha

  • @davidmkwizu25

    @davidmkwizu25

    4 жыл бұрын

    Aaaah kabisa mzazi..

  • @subiradalabu6616

    @subiradalabu6616

    4 жыл бұрын

    atariiii😀😀😀

  • @baragatimaingu5623
    @baragatimaingu56235 жыл бұрын

    Mungu akutunzeee Baba....

  • @charlesryoba7499
    @charlesryoba74995 жыл бұрын

    Mama yuko vizuri kama kakumbuka alivomgombeza safi sana mama

  • @evaristerelias7373
    @evaristerelias73735 жыл бұрын

    Kaka Millard habar zako ziwekee tarehe bas

  • @fidelistitus5775
    @fidelistitus57755 жыл бұрын

    Mkuu nakushauri ukiwa unatembelea katika site ambazo bado zinaendelea na construction uwe unavaa helmet kwa usalama wa kichwa chako! Ni ushauri tu!

  • @charlesboniphace2343

    @charlesboniphace2343

    5 жыл бұрын

    Ushauri mzuri sana ndugu,me nafikiri engineer ndo angetakiwa kumpa muongozo kuhusu uvaaji wa helmet

  • @fidelistitus5775

    @fidelistitus5775

    5 жыл бұрын

    @@charlesboniphace2343 labda wanaogopa maana huyu mzee ana beat la nguvu

  • @yusuphsimon8151

    @yusuphsimon8151

    5 жыл бұрын

    Anhaaa we jamaaaa

  • @d.a.t3383

    @d.a.t3383

    4 жыл бұрын

    Engineer mwenyewe hajavaa kiu salama lakini alimgombezajeeee utacheka sana eti nilimgombeza nikamwambia..... Mhhh ss na yy agombezwe kwa kutovaa hvs helmets boots rundika ndani nikosa kubwa kama makosa mengine tuu

  • @poulsaid3915

    @poulsaid3915

    4 жыл бұрын

    Hahahahahah

  • @gigotz1755
    @gigotz17555 жыл бұрын

    Eleza ulivyo mgombeza

  • @bigowillythomaskayanda7763

    @bigowillythomaskayanda7763

    5 жыл бұрын

    Nimecheka kwa sauti aisee.

  • @charlessteer4906

    @charlessteer4906

    5 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @franciscogosbert9603

    @franciscogosbert9603

    5 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @mossymtwana6422

    @mossymtwana6422

    5 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @saidseif7469

    @saidseif7469

    5 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣 dah sio mchezo n hatar.

  • @dainesigebo7019
    @dainesigebo70195 жыл бұрын

    Asante mkuu wa mkowa nimecheka sana 😥😥😥😥😥

  • @omarymamaa7595
    @omarymamaa75954 жыл бұрын

    Mkuu wa mkoa tabora ni mfano wa kuigwa huyu ni magufuli wa tabora big up sana

  • @ismailmashimba3470
    @ismailmashimba34705 жыл бұрын

    Muheshimiwa RC hao no kuwachota na kuwasukuma ndani

  • @simbavevo7318
    @simbavevo73185 жыл бұрын

    Tukiwapata viongozi kama hawa 100 tu tanzania basi tutakuwa mbali

  • @akimmbwego797
    @akimmbwego7975 жыл бұрын

    GOD BLESS U RC

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius75545 жыл бұрын

    Ebu eleza ulivyomgombeza hahahahhahahahhahaha.......huyu Mzee hapana......kazi nzuri mkuu wa tabora

  • @TheBroskis662
    @TheBroskis6625 жыл бұрын

    JPM muongez mshahara huyu mkuu wa mkoa

  • @renatusmisigaro6332
    @renatusmisigaro63325 жыл бұрын

    Nimependa namna engineer anavyo gombeza nataman aje anigombeze na mm!!

  • @emmanuellisso4346

    @emmanuellisso4346

    5 жыл бұрын

    😂😂😂 shenzi sana mtoto ww,ety aje akugombeze

  • @naamohamed9964

    @naamohamed9964

    4 жыл бұрын

    😃😃😃😃😃

  • @raheemamkambha6013

    @raheemamkambha6013

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣we nyau kweli🤣

  • @gracesongelael631

    @gracesongelael631

    4 жыл бұрын

    Hahahaaaaaa unatamani kugombezwa na wewe 😂😂😂😂

  • @mariamismail9878

    @mariamismail9878

    4 жыл бұрын

    Renatus Misigaro nice

  • @abdallasabour5034
    @abdallasabour50345 жыл бұрын

    Watu wa Wilaya na Halmashauri na Injinia kaeni pembeni mtatusomesha nyie, Tunataka watu wa Mkoa

  • @munezeroroger6526
    @munezeroroger65263 жыл бұрын

    Wote ndani baba,hakuna mchezo

  • @janethjustin5256
    @janethjustin52565 жыл бұрын

    Eleza ulivyomgombeza 😁😁😁😁nimecheka jaman

  • @dulahshabani8159

    @dulahshabani8159

    5 жыл бұрын

    Kama mimi

  • @lobalobaanase438

    @lobalobaanase438

    4 жыл бұрын

    mambooo

  • @abdallasabour5034
    @abdallasabour50345 жыл бұрын

    Tufanye vipimo Utasomeshwa hapo, huyo alikua anachukua matofali achana nae huyoo. #SUKUMA #NDANI, #WOTE

  • @hafidhyakoub5350
    @hafidhyakoub53505 жыл бұрын

    Dah noma yaniii huyo jamaa hadi raha

  • @sadockalfred6750
    @sadockalfred67504 жыл бұрын

    Nakupenda baba humuonei mtu natamani uwe wazir mkuu

  • @eliudemmanuel4450
    @eliudemmanuel44505 жыл бұрын

    Wanakuangalia kwa hurumaaaw😃😃😃 Mkuu hao hawajaolewa,,!

  • @uswegemwapongo
    @uswegemwapongo5 жыл бұрын

    Na mkae chonjo, mimi sioni choo hapa, hebu nisomee huko ngapi .huyu mzee ni noma

  • @Nesphore1
    @Nesphore14 жыл бұрын

    Kama Wakenya WANGEKUA Na RC kama hawa kumi, sai tungekua mbali sana.

  • @JophasJohn-oh8zu

    @JophasJohn-oh8zu

    4 ай бұрын

    Nchi yenu ya Kenya ni tajiri sana ila wizi ndo mwingi yaani pesa inaingia mifuko ya watu wachache najivunia kuwa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @awadhially1384
    @awadhially13844 жыл бұрын

    Sukuma ndani hakuna kuangaliana kwahuruma.

  • @ayubusaiba7972
    @ayubusaiba79724 жыл бұрын

    daaah mzee noma acha like yako twende sawa

  • @wachugypsumtz5089
    @wachugypsumtz50894 жыл бұрын

    Kama na wewe upenda utendaji kazi wa RC huyu kama mimi gonga like tujuane😀😀😀😀Ulimgombeza .. 😀😀😀

  • @ismailhassanyanihuyukichec6942
    @ismailhassanyanihuyukichec69424 жыл бұрын

    Rc umetisha wote sukuma ndani

  • @akimudominik1582
    @akimudominik15822 жыл бұрын

    Kamata hao wote sukuma ndaan😂😂😂😂😂🇹🇿🇹🇿

  • @rhodamaganga8308
    @rhodamaganga83085 жыл бұрын

    Daaah hapo sasa ndo unaanza kujinyea msomaji hoi engineer hoi duu! Baba punguza hasira duuuu utatuua sikonge (wangaluka

  • @stevoovlogs8645
    @stevoovlogs86455 жыл бұрын

    Martha mbn waitikia kinyonge

  • @samwelimashaka8997
    @samwelimashaka89975 жыл бұрын

    A huyu father noma, eleza jinsi ulivyo mgombeza

  • @billalphilip5776

    @billalphilip5776

    5 жыл бұрын

    😂😂😂dada alimgombeza akitabasam

  • @kichenjekichenje2072
    @kichenjekichenje207210 ай бұрын

    Huu ndio utawala tulioutaka.Sio huu wa kurembuliana macho

  • @ashaally6993
    @ashaally69935 жыл бұрын

    😂😂😂😂 Eti eleza ulivyomgombeza😂😂😂😂😂

  • @hesaujames589

    @hesaujames589

    5 жыл бұрын

    Huyu mzee sometime anamaswali yakisenge kisenge

  • @mwakaproductionbombardier4203
    @mwakaproductionbombardier42035 жыл бұрын

    Nampenda sn huyu mkuu, lazima nimalize mb zangu nikiona post zake.

  • @lavuneseliaza81

    @lavuneseliaza81

    4 жыл бұрын

    Elelezea ulivyomgombeza

  • @richardwilliam379

    @richardwilliam379

    4 жыл бұрын

    umeona eeeh

  • @mashakaharuna405
    @mashakaharuna4055 жыл бұрын

    Awamu ya tano ukimtoa rais huyu jamaa namuamini sana anautemi wakikweli wengine kiki tu

  • @syekiwaryoba3211
    @syekiwaryoba32115 жыл бұрын

    Noma sana RC babora

  • @mohamedselemani7802
    @mohamedselemani78022 жыл бұрын

    Huyu ndie aliye kuwa mkuu was mkoa safi naiomba selikali imwangalie huyu mwangri angalieni hata kazi zake jamani du

  • @kevinjackson6884
    @kevinjackson68845 жыл бұрын

    Nakukubali mkuu upo vizuri

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley61245 жыл бұрын

    😀😀😀 huyu mkuu wa mkoa mtata sana eti eleza ulivyowagombeza 😀😀

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria70525 жыл бұрын

    Jamaa kafiti kwenye hii nafac,Magu aliona mbali kumteua

  • @binfarouq733
    @binfarouq7335 жыл бұрын

    Kata hela, rejesha nondo, Weka ndani

  • @MegaAlexison
    @MegaAlexison4 жыл бұрын

    Awalipe mzee watiye ndani piga bakola africa nilazima tu change vinginevyo tatizo zitatndeleya

  • @mussandaki7227
    @mussandaki72275 жыл бұрын

    kamata,weka ndan nataman sana nione mtu ananyoosha mkono du mzee

  • @mwamvuajumanne6090
    @mwamvuajumanne60904 жыл бұрын

    hahaha kata hela zao kama mmemwelewa Mwanri gonga like.

  • @sospetermathias4253
    @sospetermathias42535 жыл бұрын

    Shikamo manri mwakani napendwkeza uletwe mwanza

  • @sospetermathias4253
    @sospetermathias42535 жыл бұрын

    Shikamo mwanri mwakani napendwkeza uletwe mwanza

  • @jamalajamala2336
    @jamalajamala23364 жыл бұрын

    Dah miongoni mwa viongozi wanaonifurahisha sana, jamaa ni mchapa kazi sana

  • @mwambietv7614
    @mwambietv76145 жыл бұрын

    Huyu mzee dah eti eleza ulivomgombeza haaahaaahaa

  • @martinemsoma7278
    @martinemsoma72785 жыл бұрын

    Wa2 wa wilaya kas pembeni wa2 wa hslimashsur kaa pemben 😂😂

  • @kesterkanyala7718
    @kesterkanyala77185 жыл бұрын

    HUYU ALIYELINDA,"SUKUMA NDANI"....UKIMUANGALIA SANA,ATAFANANA NA ""SHANGAZI"" YAKO.

  • @amosmadaha6428
    @amosmadaha64285 жыл бұрын

    Hahaaahahaa Eleza ulivomgombezaaaah

  • @saidihermes3107
    @saidihermes31075 жыл бұрын

    We angalia angalia fuatilia to ukiona anafanania Sukuma ndani😂😂😂😂😂

  • @joesphjustine8094
    @joesphjustine80945 жыл бұрын

    Tatizo tu sheria zinambana angekuwa anaenda sait na mapanga ukiwa hujielewi ana kucharanga tu hapendi tabu rc mwanri

  • @joelmlavi400
    @joelmlavi4005 жыл бұрын

    Ulimgombezaa ulimgombezaa.. Em sema ulimgombezajee😀😀.. Huyu mzee anatakiwa apelekwe mikoa wanayojifanywa wao n korofii akanyooshe pipooo😅😅

  • @chrisally9600
    @chrisally96004 жыл бұрын

    Kazi nzuri sana huyu mzee anayoifanya .

  • @evodykalala509
    @evodykalala5095 жыл бұрын

    Daaah watu wana roho ngum hata hawacheki

  • @sirilimichaelpamojasana2033
    @sirilimichaelpamojasana20335 жыл бұрын

    huyujamaa nampenda bure sukuma ndani mtajuanahuko

  • @yusuphwella9651
    @yusuphwella96515 жыл бұрын

    Ulimgombeza? Ulimgombezaje elezea😂😂

  • @chariuskiita8942
    @chariuskiita89425 жыл бұрын

    jamaa ni mzalendo Mungu ambariki

  • @jimisonpius8100
    @jimisonpius81002 ай бұрын

    nimekumiss mzee gombea aisee

  • @jmm1840
    @jmm18404 жыл бұрын

    Mheshimiwa J.P.M hapa RC umechaguwa

  • @dr.erickjmazyala8905
    @dr.erickjmazyala89055 жыл бұрын

    safi saana! kamata kamba mwenyewe!

  • @d.a.t3383

    @d.a.t3383

    4 жыл бұрын

    Soma huko

  • @mangalilikilawe6788
    @mangalilikilawe67885 жыл бұрын

    Eleza ulivyo mgombeza Dhuu kazi sana hiyo ata huyo mama yupo makoni ase kajitahidi

  • @barakajulius5938
    @barakajulius59385 жыл бұрын

    Daa huyu baba,akiwa anakuja ofisiji kwako homa inakuanza chap

  • @davidmkwizu25

    @davidmkwizu25

    4 жыл бұрын

    Sio homa tu mzee.. Unaweza kupata shinikizo la damu la fasta fasta

  • @gladyswai2687

    @gladyswai2687

    4 жыл бұрын

    baraka Julius 😂😂😂😂

  • @olivajackson1128
    @olivajackson11285 жыл бұрын

    uko juuuu baba💪💪💪💪

  • @samwelmdeme9159
    @samwelmdeme91594 жыл бұрын

    Niach nichukue mwenyewe tofar

  • @xaviermethewxaviermethew7727
    @xaviermethewxaviermethew77275 жыл бұрын

    Umetisha mkuu Saluty

  • @mudimawe8861
    @mudimawe88614 жыл бұрын

    yani mzee magu sijui hawa watumishi kaoteswa na mungu

  • @franksaloon4231
    @franksaloon42315 жыл бұрын

    Njoo morogoro mkuu utendaji wako mzuri

  • @lamsonkaminyoge5720
    @lamsonkaminyoge57205 жыл бұрын

    Iyo kweli mzee hayo ndo Mambo ya msingi

  • @sophsoph4740
    @sophsoph474010 ай бұрын

    Ulimgombeza ....eleza ulivyomgombeza 😂😂😂😂

  • @MusaKibengu-r3s
    @MusaKibengu-r3sАй бұрын

    Aisee mzee noma anaongea kama anatamani kupiga mtu,kama wote wanafanya kazi kama mzee huyu tungeendelea

  • @samwelmdeme9159
    @samwelmdeme91594 жыл бұрын

    Nimeikubali iy xogeen. Nipit

  • @barakanyambele4673
    @barakanyambele46735 жыл бұрын

    Shikamoooo RC

  • @nicodemuspesha9806
    @nicodemuspesha98065 жыл бұрын

    Mwanri ni wa kupelekwa makao makuu

  • @shedrackkimbe9836
    @shedrackkimbe98365 жыл бұрын

    Ss hakuna kutindua utawekaje maj ss

Келесі