😂😁😀😁😂embu eleza ulivyomgombeza.... Kama hujacheka unayako😁😀😁😂😂
@janethjustin5256
5 жыл бұрын
Kwakweli nimecheka mno😀😀😀😁😁😁
@davidmkwizu25
4 жыл бұрын
Yani nimecheka kuliko kawaida
@sulleysidey2844
4 жыл бұрын
Kabla ya kueleza lazima ucheke kwanza
@yohanamasombe1267
4 жыл бұрын
😁🤗
@factsandmemesandfunnyjokes
4 жыл бұрын
NJUGO MCHUNJUGO nimekusoma sana
@efelimwambije7085 жыл бұрын
Njoo mbeya mkuuu utandaji wako uko vizuri sana.... Hongeraaa mkuuu
@abumusabmusab37714 жыл бұрын
Km umesikia " eleza ulivyowagombez gonga like
@heraldloshi1864
3 жыл бұрын
😂😂😂
@bilaliadam60158 ай бұрын
Once a leader always a leader #Aggrey_mwanry
@athumanomary14385 жыл бұрын
Asante san kiongozi wetu kwa umakini wako kwa mari za uma mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe
@allenmrema29195 жыл бұрын
dah! hii serikali ni ya washujaa tofauti na ya nyuma kabisa, congratulation Pdt MAGUFULI
@faidamasegenghe3379
4 жыл бұрын
Umeonaee kila mtumishi anasimamia kaz yake
@dutchsafari75625 жыл бұрын
Ulimgombeza Ulimgombeza ebu Eleza ulivyomgombeza msiniangalie kwa hurumaaa mimi nabeba dhamana hapa.. Mbona una ni itikia kinyongee ... Namkae chonjo ....twende hukuuu..twende kwenye maji hahahhaha role model wangu huyu kabisa
@edsonmunuo7112
5 жыл бұрын
sure ananitoa stress saana mheshimiwa
@rehmadamian8020
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 yaan stress zote zinaisha
@d.a.t3383
4 жыл бұрын
Umesahau machooo yko wapi
@imamuhemedi4387
4 жыл бұрын
Dutch tz
@emmanuelmganga62482 жыл бұрын
Huyu mwamba yupo vizuri anafaa kuwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania huyu ni kama JPM kabsa hongera kwa kazi zako nzuri huhurumii mtu anapofanya kazi kinyume na maelekezo au kinyume na raman ya kazi pongezi Sana mkuu wa mkoa wa tabora
@peterpain55945 жыл бұрын
Aise kama unaona uyu jamaa anafaa kupewa uraisi wa jamuhuri ya muungano wa TANZANIA gonga like
@husseinzaidi788
5 жыл бұрын
kabisa
@d.a.t3383
4 жыл бұрын
Unafikiri uraisi ni rundika ndani tuuu weeeee kuna multipurpose issues u need to be aware of
@haggaichinyingi9754 жыл бұрын
I always sweat when I listen to this guy mwanri
@princemujuni98035 жыл бұрын
Mimi huyu mkuu wa mkoa naamin yupo hata kwenye awamu ijayo aisee.
@dr.erickjmazyala89055 жыл бұрын
msiniangalie kwa huruma …mimi nabeba dhamanaaah! Piga kazi mkuu wangu wa mkoa mpaka wakuelewe hao!
@reganngoo85715 жыл бұрын
Kama anafanania wote sukuma ndani watajua uko ndani
@noahmwakatoga3711 Жыл бұрын
Jamani Uyu MZEEE Namkubari Sana
@peterkingili53055 жыл бұрын
Jmn mm nyumbani tabora lkn huyu RC kiboko ya mabishooooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂 angaria naefanania weka ndani #kanyaga wote
@charlesmushi23055 жыл бұрын
Ebu eleza ulivyomgombeza😂😂😂😂
@amarido125 жыл бұрын
Inatakiwa Mtu akiiangalia hospitali aseme hapa ntapona, sio mtu akiangalia majengo tu anajiuliza hapa ntapona kweli 😂😂😂😂
@agastynelucacmshoro1519
4 жыл бұрын
hahahahahaah ilbid nirudie nmckie vizur
@imeldabamba3779
4 жыл бұрын
😂😂😂😂🏃🏃🏃🏃Rido
@serianjamal8254
4 жыл бұрын
Hahahahaha nimecheka mpaka hoi
@annaniasbyarugaba57884 жыл бұрын
Hyu mkuu wa mkoa anabidi apelekwe Dar kusimamia miradi, sio Makonda. Mh Raisi naomba asikilize hili wazo langu
Huyu bwana mtupe sisi wakenya tumpe Mombasa County aisimamie
@rubondopharmacy
5 жыл бұрын
Lipieni tu tutawapa
@freddymello3227
5 жыл бұрын
brian lawrence ,Andikeni barua ya maombi tutawapa!!huyu hata uraisi anafaa sana!!
@justinwakudat6792
5 жыл бұрын
Mchukuen tu hamna shida
@mtungifrance42285 жыл бұрын
Ukivuka salama na hyu mzee baba bac popote ww utafanya kazi!!
@mosahemagarya4807
5 жыл бұрын
Mtungi France
@robsonalen4011
5 жыл бұрын
Hahaha hahaha hahaha
@davidmkwizu25
4 жыл бұрын
Aaaah kabisa mzazi..
@subiradalabu6616
4 жыл бұрын
atariiii😀😀😀
@baragatimaingu56235 жыл бұрын
Mungu akutunzeee Baba....
@charlesryoba74995 жыл бұрын
Mama yuko vizuri kama kakumbuka alivomgombeza safi sana mama
@evaristerelias73735 жыл бұрын
Kaka Millard habar zako ziwekee tarehe bas
@fidelistitus57755 жыл бұрын
Mkuu nakushauri ukiwa unatembelea katika site ambazo bado zinaendelea na construction uwe unavaa helmet kwa usalama wa kichwa chako! Ni ushauri tu!
@charlesboniphace2343
5 жыл бұрын
Ushauri mzuri sana ndugu,me nafikiri engineer ndo angetakiwa kumpa muongozo kuhusu uvaaji wa helmet
@fidelistitus5775
5 жыл бұрын
@@charlesboniphace2343 labda wanaogopa maana huyu mzee ana beat la nguvu
@yusuphsimon8151
5 жыл бұрын
Anhaaa we jamaaaa
@d.a.t3383
4 жыл бұрын
Engineer mwenyewe hajavaa kiu salama lakini alimgombezajeeee utacheka sana eti nilimgombeza nikamwambia..... Mhhh ss na yy agombezwe kwa kutovaa hvs helmets boots rundika ndani nikosa kubwa kama makosa mengine tuu
@poulsaid3915
4 жыл бұрын
Hahahahahah
@gigotz17555 жыл бұрын
Eleza ulivyo mgombeza
@bigowillythomaskayanda7763
5 жыл бұрын
Nimecheka kwa sauti aisee.
@charlessteer4906
5 жыл бұрын
😂😂😂😂
@franciscogosbert9603
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@mossymtwana6422
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@saidseif7469
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 dah sio mchezo n hatar.
@dainesigebo70195 жыл бұрын
Asante mkuu wa mkowa nimecheka sana 😥😥😥😥😥
@omarymamaa75954 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa tabora ni mfano wa kuigwa huyu ni magufuli wa tabora big up sana
@ismailmashimba34705 жыл бұрын
Muheshimiwa RC hao no kuwachota na kuwasukuma ndani
@simbavevo73185 жыл бұрын
Tukiwapata viongozi kama hawa 100 tu tanzania basi tutakuwa mbali
@akimmbwego7975 жыл бұрын
GOD BLESS U RC
@vincentauxerbius75545 жыл бұрын
Ebu eleza ulivyomgombeza hahahahhahahahhahaha.......huyu Mzee hapana......kazi nzuri mkuu wa tabora
@TheBroskis6625 жыл бұрын
JPM muongez mshahara huyu mkuu wa mkoa
@renatusmisigaro63325 жыл бұрын
Nimependa namna engineer anavyo gombeza nataman aje anigombeze na mm!!
@emmanuellisso4346
5 жыл бұрын
😂😂😂 shenzi sana mtoto ww,ety aje akugombeze
@naamohamed9964
4 жыл бұрын
😃😃😃😃😃
@raheemamkambha6013
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣we nyau kweli🤣
@gracesongelael631
4 жыл бұрын
Hahahaaaaaa unatamani kugombezwa na wewe 😂😂😂😂
@mariamismail9878
4 жыл бұрын
Renatus Misigaro nice
@abdallasabour50345 жыл бұрын
Watu wa Wilaya na Halmashauri na Injinia kaeni pembeni mtatusomesha nyie, Tunataka watu wa Mkoa
Пікірлер: 498
Kama unaweka mb kwa ajili ya kuangalia videoclip za huyu mzee tujuane hapa.
@dulahshabani8159
5 жыл бұрын
Tupo
@malackwilliam4235
5 жыл бұрын
Pamoja mzeiya
@janethjustin5256
5 жыл бұрын
Tupooooo
@janethjustin5256
5 жыл бұрын
Natamani wamlete Dar hahahahaha
@dulahshabani8159
5 жыл бұрын
@@janethjustin5256 mambo
Dah huyu mwamba hachoshi kumtazama 😛😛😁😁 saivi 2024 mwezi wa 4
Kama unaamini mwanri ni zaidi ya Bashite sema fire🔥🔥🔥🔥
@mwamvuajumanne6090
4 жыл бұрын
Salehe Innocent fire
@joeljulius6389
4 жыл бұрын
Salehe Innocent amnaa
@watakaniitaje1215
4 жыл бұрын
Usimfananishe Mwanri na vitu vya ajabu jamani
@braitonandrew8598
2 жыл бұрын
Fire
@paullaurent5200
3 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Huyu jamaa mchekeshaji mnzuri sna kama umegundua hilo gonga like
@vicentkinyunyu6598
4 жыл бұрын
Huyu jamaa ni hatari
@kelvinbanzi3134
4 жыл бұрын
Nimepend anapo zungumzie kweny ukweli akun masiala
😂😁😀😁😂embu eleza ulivyomgombeza.... Kama hujacheka unayako😁😀😁😂😂
@janethjustin5256
5 жыл бұрын
Kwakweli nimecheka mno😀😀😀😁😁😁
@davidmkwizu25
4 жыл бұрын
Yani nimecheka kuliko kawaida
@sulleysidey2844
4 жыл бұрын
Kabla ya kueleza lazima ucheke kwanza
@yohanamasombe1267
4 жыл бұрын
😁🤗
@factsandmemesandfunnyjokes
4 жыл бұрын
NJUGO MCHUNJUGO nimekusoma sana
Njoo mbeya mkuuu utandaji wako uko vizuri sana.... Hongeraaa mkuuu
Km umesikia " eleza ulivyowagombez gonga like
@heraldloshi1864
3 жыл бұрын
😂😂😂
Once a leader always a leader #Aggrey_mwanry
Asante san kiongozi wetu kwa umakini wako kwa mari za uma mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe
dah! hii serikali ni ya washujaa tofauti na ya nyuma kabisa, congratulation Pdt MAGUFULI
@faidamasegenghe3379
4 жыл бұрын
Umeonaee kila mtumishi anasimamia kaz yake
Ulimgombeza Ulimgombeza ebu Eleza ulivyomgombeza msiniangalie kwa hurumaaa mimi nabeba dhamana hapa.. Mbona una ni itikia kinyongee ... Namkae chonjo ....twende hukuuu..twende kwenye maji hahahhaha role model wangu huyu kabisa
@edsonmunuo7112
5 жыл бұрын
sure ananitoa stress saana mheshimiwa
@rehmadamian8020
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 yaan stress zote zinaisha
@d.a.t3383
4 жыл бұрын
Umesahau machooo yko wapi
@imamuhemedi4387
4 жыл бұрын
Dutch tz
Huyu mwamba yupo vizuri anafaa kuwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania huyu ni kama JPM kabsa hongera kwa kazi zako nzuri huhurumii mtu anapofanya kazi kinyume na maelekezo au kinyume na raman ya kazi pongezi Sana mkuu wa mkoa wa tabora
Aise kama unaona uyu jamaa anafaa kupewa uraisi wa jamuhuri ya muungano wa TANZANIA gonga like
@husseinzaidi788
5 жыл бұрын
kabisa
@d.a.t3383
4 жыл бұрын
Unafikiri uraisi ni rundika ndani tuuu weeeee kuna multipurpose issues u need to be aware of
I always sweat when I listen to this guy mwanri
Mimi huyu mkuu wa mkoa naamin yupo hata kwenye awamu ijayo aisee.
msiniangalie kwa huruma …mimi nabeba dhamanaaah! Piga kazi mkuu wangu wa mkoa mpaka wakuelewe hao!
Kama anafanania wote sukuma ndani watajua uko ndani
Jamani Uyu MZEEE Namkubari Sana
Jmn mm nyumbani tabora lkn huyu RC kiboko ya mabishooooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂 angaria naefanania weka ndani #kanyaga wote
Ebu eleza ulivyomgombeza😂😂😂😂
Inatakiwa Mtu akiiangalia hospitali aseme hapa ntapona, sio mtu akiangalia majengo tu anajiuliza hapa ntapona kweli 😂😂😂😂
@agastynelucacmshoro1519
4 жыл бұрын
hahahahahaah ilbid nirudie nmckie vizur
@imeldabamba3779
4 жыл бұрын
😂😂😂😂🏃🏃🏃🏃Rido
@serianjamal8254
4 жыл бұрын
Hahahahaha nimecheka mpaka hoi
Hyu mkuu wa mkoa anabidi apelekwe Dar kusimamia miradi, sio Makonda. Mh Raisi naomba asikilize hili wazo langu
@bahattumainitishasana4768
4 жыл бұрын
Nice
"Ulimgombeza!,ulimgombeza?eleza ulivyomgombeza..." mzee mtata huyu!!
Huyu bwana mtupe sisi wakenya tumpe Mombasa County aisimamie
@rubondopharmacy
5 жыл бұрын
Lipieni tu tutawapa
@freddymello3227
5 жыл бұрын
brian lawrence ,Andikeni barua ya maombi tutawapa!!huyu hata uraisi anafaa sana!!
@justinwakudat6792
5 жыл бұрын
Mchukuen tu hamna shida
Ukivuka salama na hyu mzee baba bac popote ww utafanya kazi!!
@mosahemagarya4807
5 жыл бұрын
Mtungi France
@robsonalen4011
5 жыл бұрын
Hahaha hahaha hahaha
@davidmkwizu25
4 жыл бұрын
Aaaah kabisa mzazi..
@subiradalabu6616
4 жыл бұрын
atariiii😀😀😀
Mungu akutunzeee Baba....
Mama yuko vizuri kama kakumbuka alivomgombeza safi sana mama
Kaka Millard habar zako ziwekee tarehe bas
Mkuu nakushauri ukiwa unatembelea katika site ambazo bado zinaendelea na construction uwe unavaa helmet kwa usalama wa kichwa chako! Ni ushauri tu!
@charlesboniphace2343
5 жыл бұрын
Ushauri mzuri sana ndugu,me nafikiri engineer ndo angetakiwa kumpa muongozo kuhusu uvaaji wa helmet
@fidelistitus5775
5 жыл бұрын
@@charlesboniphace2343 labda wanaogopa maana huyu mzee ana beat la nguvu
@yusuphsimon8151
5 жыл бұрын
Anhaaa we jamaaaa
@d.a.t3383
4 жыл бұрын
Engineer mwenyewe hajavaa kiu salama lakini alimgombezajeeee utacheka sana eti nilimgombeza nikamwambia..... Mhhh ss na yy agombezwe kwa kutovaa hvs helmets boots rundika ndani nikosa kubwa kama makosa mengine tuu
@poulsaid3915
4 жыл бұрын
Hahahahahah
Eleza ulivyo mgombeza
@bigowillythomaskayanda7763
5 жыл бұрын
Nimecheka kwa sauti aisee.
@charlessteer4906
5 жыл бұрын
😂😂😂😂
@franciscogosbert9603
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@mossymtwana6422
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@saidseif7469
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 dah sio mchezo n hatar.
Asante mkuu wa mkowa nimecheka sana 😥😥😥😥😥
Mkuu wa mkoa tabora ni mfano wa kuigwa huyu ni magufuli wa tabora big up sana
Muheshimiwa RC hao no kuwachota na kuwasukuma ndani
Tukiwapata viongozi kama hawa 100 tu tanzania basi tutakuwa mbali
GOD BLESS U RC
Ebu eleza ulivyomgombeza hahahahhahahahhahaha.......huyu Mzee hapana......kazi nzuri mkuu wa tabora
JPM muongez mshahara huyu mkuu wa mkoa
Nimependa namna engineer anavyo gombeza nataman aje anigombeze na mm!!
@emmanuellisso4346
5 жыл бұрын
😂😂😂 shenzi sana mtoto ww,ety aje akugombeze
@naamohamed9964
4 жыл бұрын
😃😃😃😃😃
@raheemamkambha6013
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣we nyau kweli🤣
@gracesongelael631
4 жыл бұрын
Hahahaaaaaa unatamani kugombezwa na wewe 😂😂😂😂
@mariamismail9878
4 жыл бұрын
Renatus Misigaro nice
Watu wa Wilaya na Halmashauri na Injinia kaeni pembeni mtatusomesha nyie, Tunataka watu wa Mkoa
Wote ndani baba,hakuna mchezo
Eleza ulivyomgombeza 😁😁😁😁nimecheka jaman
@dulahshabani8159
5 жыл бұрын
Kama mimi
@lobalobaanase438
4 жыл бұрын
mambooo
Tufanye vipimo Utasomeshwa hapo, huyo alikua anachukua matofali achana nae huyoo. #SUKUMA #NDANI, #WOTE
Dah noma yaniii huyo jamaa hadi raha
Nakupenda baba humuonei mtu natamani uwe wazir mkuu
Wanakuangalia kwa hurumaaaw😃😃😃 Mkuu hao hawajaolewa,,!
Na mkae chonjo, mimi sioni choo hapa, hebu nisomee huko ngapi .huyu mzee ni noma
Kama Wakenya WANGEKUA Na RC kama hawa kumi, sai tungekua mbali sana.
@JophasJohn-oh8zu
4 ай бұрын
Nchi yenu ya Kenya ni tajiri sana ila wizi ndo mwingi yaani pesa inaingia mifuko ya watu wachache najivunia kuwa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Sukuma ndani hakuna kuangaliana kwahuruma.
daaah mzee noma acha like yako twende sawa
Kama na wewe upenda utendaji kazi wa RC huyu kama mimi gonga like tujuane😀😀😀😀Ulimgombeza .. 😀😀😀
Rc umetisha wote sukuma ndani
Kamata hao wote sukuma ndaan😂😂😂😂😂🇹🇿🇹🇿
Daaah hapo sasa ndo unaanza kujinyea msomaji hoi engineer hoi duu! Baba punguza hasira duuuu utatuua sikonge (wangaluka
Martha mbn waitikia kinyonge
A huyu father noma, eleza jinsi ulivyo mgombeza
@billalphilip5776
5 жыл бұрын
😂😂😂dada alimgombeza akitabasam
Huu ndio utawala tulioutaka.Sio huu wa kurembuliana macho
😂😂😂😂 Eti eleza ulivyomgombeza😂😂😂😂😂
@hesaujames589
5 жыл бұрын
Huyu mzee sometime anamaswali yakisenge kisenge
Nampenda sn huyu mkuu, lazima nimalize mb zangu nikiona post zake.
@lavuneseliaza81
4 жыл бұрын
Elelezea ulivyomgombeza
@richardwilliam379
4 жыл бұрын
umeona eeeh
Awamu ya tano ukimtoa rais huyu jamaa namuamini sana anautemi wakikweli wengine kiki tu
Noma sana RC babora
Huyu ndie aliye kuwa mkuu was mkoa safi naiomba selikali imwangalie huyu mwangri angalieni hata kazi zake jamani du
Nakukubali mkuu upo vizuri
😀😀😀 huyu mkuu wa mkoa mtata sana eti eleza ulivyowagombeza 😀😀
Jamaa kafiti kwenye hii nafac,Magu aliona mbali kumteua
Kata hela, rejesha nondo, Weka ndani
Awalipe mzee watiye ndani piga bakola africa nilazima tu change vinginevyo tatizo zitatndeleya
kamata,weka ndan nataman sana nione mtu ananyoosha mkono du mzee
hahaha kata hela zao kama mmemwelewa Mwanri gonga like.
Shikamo manri mwakani napendwkeza uletwe mwanza
Shikamo mwanri mwakani napendwkeza uletwe mwanza
Dah miongoni mwa viongozi wanaonifurahisha sana, jamaa ni mchapa kazi sana
Huyu mzee dah eti eleza ulivomgombeza haaahaaahaa
Wa2 wa wilaya kas pembeni wa2 wa hslimashsur kaa pemben 😂😂
HUYU ALIYELINDA,"SUKUMA NDANI"....UKIMUANGALIA SANA,ATAFANANA NA ""SHANGAZI"" YAKO.
Hahaaahahaa Eleza ulivomgombezaaaah
We angalia angalia fuatilia to ukiona anafanania Sukuma ndani😂😂😂😂😂
Tatizo tu sheria zinambana angekuwa anaenda sait na mapanga ukiwa hujielewi ana kucharanga tu hapendi tabu rc mwanri
Ulimgombezaa ulimgombezaa.. Em sema ulimgombezajee😀😀.. Huyu mzee anatakiwa apelekwe mikoa wanayojifanywa wao n korofii akanyooshe pipooo😅😅
Kazi nzuri sana huyu mzee anayoifanya .
Daaah watu wana roho ngum hata hawacheki
huyujamaa nampenda bure sukuma ndani mtajuanahuko
Ulimgombeza? Ulimgombezaje elezea😂😂
jamaa ni mzalendo Mungu ambariki
nimekumiss mzee gombea aisee
Mheshimiwa J.P.M hapa RC umechaguwa
safi saana! kamata kamba mwenyewe!
@d.a.t3383
4 жыл бұрын
Soma huko
Eleza ulivyo mgombeza Dhuu kazi sana hiyo ata huyo mama yupo makoni ase kajitahidi
Daa huyu baba,akiwa anakuja ofisiji kwako homa inakuanza chap
@davidmkwizu25
4 жыл бұрын
Sio homa tu mzee.. Unaweza kupata shinikizo la damu la fasta fasta
@gladyswai2687
4 жыл бұрын
baraka Julius 😂😂😂😂
uko juuuu baba💪💪💪💪
Niach nichukue mwenyewe tofar
Umetisha mkuu Saluty
yani mzee magu sijui hawa watumishi kaoteswa na mungu
Njoo morogoro mkuu utendaji wako mzuri
Iyo kweli mzee hayo ndo Mambo ya msingi
Ulimgombeza ....eleza ulivyomgombeza 😂😂😂😂
Aisee mzee noma anaongea kama anatamani kupiga mtu,kama wote wanafanya kazi kama mzee huyu tungeendelea
Nimeikubali iy xogeen. Nipit
Shikamoooo RC
Mwanri ni wa kupelekwa makao makuu
Ss hakuna kutindua utawekaje maj ss