RC WA "FYEKELEA MBALI: "NYOOSHA MKONO JIFANYE UNAJIKUNA"
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Agrey Mwanri leo alitembelea upanuzi wa kituo cha afya cha Igurubi kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Igunga anakotoka Msanii Shilole kuangalia umefikia wapi ujenzi huo na fedha zilizotolewa na Serikali zinatumikaje.
RC Mwanri alianza kwa kukagua matofali yaliyotumika kujengea kama ni imara lakini pia aliingia mwenyewe kuwa injinia kwa muda kupima kama vipimo vilivyotumika kujengea majengo hayo manne ni vyenyewe au wamebadilisha vipimo vilivyotolewa na TAMISEMI.
AyoTV imekuletea tukio zima lilivyokuwa wakati anakagua majengo hayo lakini hajaanza kuleta msemo mpya ukiacha ule wa fyekelea mbalii na mengine mpya karibu kutazama
Пікірлер: 2 000
Kuna sisi mpka 2024 tunaangaliaga tuu nipe like zangu
Km unaangalia had leo 2022 gonga like za kufa mtu kwa mwamba Agrey Mwanri
@suzansuzanei1143
Жыл бұрын
Kwani huyo mzee amefaki
NANI YUPO HAPA BAADA YA KUMPOTEZA RAIS WETU MPENDWA.NA UNGETAMANI AWE MAKAMU WA RAIS
Kama unaangalia Hadi Leo date 2021 gonga like yako hapa
@hamisizahoro5479
2 жыл бұрын
Wanangalia Tena 2022 ogonge hapa
@fridaymwaseba5848
Жыл бұрын
@@hamisizahoro5479 2023 Raha sana huyu Mzee
@jesustheoneandonly
Жыл бұрын
2023 naangaalia
Mzee anapiga kazi so mchezo kwa kweli ,gonga like kama unaona kazi anayoifanya Mkuu huyu.
@marcokaroje8980
Жыл бұрын
Wenye akili timamu hatugongi like kwenye utumbo kama huu na ndiyo maana COVID ikawa inauwa watu halafu hawahawa wanasema haipo hadi ikawatoa duniani waajiri wa hawa wapuuzi sijui siku hizi wanafokea nani na unampongeza nani maana Mungu aliona wangendelea kuwepo kazi zote wangeribu na maendeleo sawia
Kila siku naangalia hii clip, we miss you our dad
kama unaangalia mpaka saiz like hyooooooooo
Narudia mara ya3 leo kumuangalia huyu mzee soma iyooo 2020
Huyu mtu msimcheke anafaa kuwa RAIS ajae kama unamkubali kuwa rais gonga like za kutosha
@chombotv1865
5 жыл бұрын
RAJ MKONJE Lohh Ukimpa Urahisi Tutalala Saa 11 Jioni Kama Kuku
@innocentnkya5916
5 жыл бұрын
Chombo Tv hahaaaa! 😂😂
@dianamadege1703
5 жыл бұрын
Kazi nzur sana
@st99ngeni35
5 жыл бұрын
Yuko vzr
@isaackchambo2642
5 жыл бұрын
Kwakuwa mmezoea marais komediani kweli huyo anafaa aibuuuuuu.
Kama huyu RC unamuelewa gonga like twende sawa, hahaha
@gervasesebastian1359
5 жыл бұрын
Namkubali sana MTU huyu.
@igerekakuyenzekwa4412
4 жыл бұрын
Chekibob Rc noma
@sundayandrew1787
4 жыл бұрын
Tabora Toronto itawezekana bila huyu
Safi sana mkuu wa mkoa wa Tabora camooon!!!!!!!!! meeeeeen!!!!!!!!.Njombe nako uje Baba.
@aishampeta8070
4 жыл бұрын
anafanya vizur xn awakomexh nawengine
This is the type of leadership.... Hands on leadership! We need in Kenya, Tanzania, Uganda, Rwanda, Burundi and SouthSudan (E. A. C) otherwise such absent engineers will see us driven into death trap buildings. Huyo Mheshimiwa aungwe mkono kwa dhati, I SALUTE HIM!!
Kama unapenda kuangalia hii Mara nying like hapo chini
@brycesonisalon4996
5 жыл бұрын
Emmanuel hamis ba
@ruvakothomas9271
5 жыл бұрын
Komaa nao Mkuu mkoa wezi sana
@avizpaul3086
5 жыл бұрын
hi ni mar ya nne
@mohammedomary1908
5 жыл бұрын
Iko powah
@anuskillshackers8003
5 жыл бұрын
Emmanuel hamis nomaa
Kama unamuona huruma engineer .like hap
@athumanfuko199
5 жыл бұрын
Habari za mawio Updated engineer yupo vizuri yupo mobile
@maryammaram2612
5 жыл бұрын
😂😂😂
@emmyshya-year9600
5 жыл бұрын
Ahahahahaaa ni shida
@latifamhando736
5 жыл бұрын
Habari za mawio Updated engineer elimu ya vyeti tuuh application very poor
@clavinarobert6077
5 жыл бұрын
Hahaha
Anybody listening to this video in 2050...This Man was a Legend
Dah huyu anafaa kuongoza tanzania nzima km umeona anaweza kuwa rais wa Tz nipe like yako hapa
Jamani hawa viongozi walikuwaga WAP?tungekuwa mbali sana.hongera Mh Magufuli.asante Mungu kutupatia viongozi wazuri.Mungu ibariki Tanzania
Leadership like him we need in Burundi 🇧🇮
I wish Kenya could have leaders like this mweshimiwa he is my roll model
Raha sana kufanya kazi na mtu kama huyu...So charming!!!
Wananchi wa siha watajilaumu saana kwa kufanya makosa mhe mm namfahamu vizuri ni mtu wa mungu kila tukifika tabora lazima twende kwake kumpa heshim yake .hongereni tabora mmempata kiongozi mzuri kuliko
@mohammedsalim6398
5 жыл бұрын
yusuph mohammad Hamna kitu ni muigizaji tu?anataka amuonyeshe bosi wake anafanya kazi, BILA KIKI U RC NA UWAZIRI HUKAI
@barakamwangama3453
5 жыл бұрын
Wazee Wa hivi public ally very cruel ila ukiwakuta nyumbani kwake politeness huwez Amin yuko kazini
@yusuphmohammad1385
5 жыл бұрын
@@mohammedsalim6398 ngoja niaambie huyu mzee yuko hivyo hivyo unavyomuona mmesahau aliibeba wizara ya tamiseMi enzi za mkwere
@nicholeonard1001
5 жыл бұрын
anastahili pongezi., Mwenyezi Mungu amlindee
@timothyibrahim7825
5 жыл бұрын
yusuph mohammad mrudisheni ndugu yetu na kiongoz Wetu wa siha
aggrey mwanri namkubali gonga like kama unamkubali
@leoniabeda2711
5 жыл бұрын
Nakukubali mzee Mwanry tuko pamoja Mungu akulinde
@juliuslukas1528
5 жыл бұрын
Mahamoud Masoud yuko PW sana
@maulidijuma3668
5 жыл бұрын
japo spo mkoan kwangu Ila nakukubar vilivyo pambana tabora ipendeze
@francisjonathan977
4 жыл бұрын
Mahamoud Masoud g
huyuu jamaa anaeza akaipeleka nchi pazuri sana ...kama unasapoti emb like hapooo kwa chinii..
@liliankapia451
3 жыл бұрын
Mh magufuli akukosea kuchagua
Kama bado unaangalia hii 2023 gonga like
Hakika nchi bora inajengwa na viongozi imara na wanaojituma. Mungu akutanguliye mkuu wa mkoa
Heeeeeee? Camoon meen 😁😁😁😁kama umemkubal gonga like twende sawa
@charlesojode4137
5 жыл бұрын
Fyekelea mbali , wasilete mucheso awamu hii wakae macho wakishindwa wavue miwani
@saidkulwa1251
5 жыл бұрын
Mussh Onest haahaha
@adrianokubila8374
5 жыл бұрын
Mzee jua na huyo jamaa ana familia kalipia onya lakini pia uwe na huruma kama mzazi
@nilamsiraji800
5 жыл бұрын
😂😂😂
@davidimgashi3232
5 жыл бұрын
anatisga
Ngapi uko soma iyo wewe injinia km umesikia mkuu akisema nipe like 10 znatosha sjawai kupata like km zote iv
@haroonseif4129
5 жыл бұрын
حميو رمضان
2021 still love uncle Mwandri
Kweli nimeipenda kazi ya uyu baba mwanri
@modestaabeli3389
5 жыл бұрын
Safi kbc baba
@kalumendothabiti8417
5 жыл бұрын
duuuuuu
Kama kuna Siku ambayo Engineer Hata Isahau Ni Hii Ya Leo 😂😂 Akatoe sadaka Kanisani kama Kabaki Salama 😂😂
@raymondkaswaga8334
5 жыл бұрын
King Gideon upo ww
@barakamlemwa7454
5 жыл бұрын
Kiboko
@yesezakayo2521
5 жыл бұрын
Hahahaa
@leonardchabruma2377
5 жыл бұрын
hey came on men.....
@mudydaud340
5 жыл бұрын
jifanye2 unajikuna
Baada ya Magufuli kututoka nimerudia kuiangalia hii 😭😭
@marcokaroje8980
Жыл бұрын
Kwa hiyo umetusaidiaje na hiyo nyampala wako?
jamani nangaria marudio peke yangu au tupo weng kama mpo ebu gonga like kama zote
Mungu akupe umri uendelee kutumikia taifa lako nakupenda buree 😂😂😂😂😂😂
@richiejoseph4388
5 жыл бұрын
Mhe hongera sana kwa kufanya ukaguzi na kubaini madudu yanayofanywa na msimamizi wa ujenzi ENGINEER
@lazakimbegu4501
5 жыл бұрын
Jembee
@kwandumasunga2302
5 жыл бұрын
Mariamu Saidi
@assiasultani9850
5 жыл бұрын
Jifanye kama unajikuna
@abubakarimaulidi991
5 жыл бұрын
Mariamu Saidi 😁😁😁😁
Co pw nchi kweli imepata wajibikaji wanaojitolea. Kama umeelewa piga like zako
Hakika ulikuwa uongozi wa kuigwa tangu na kabla ya kupata uhuru.Hongeta mzee wa Toronto,pumzikana furahia maisha huko ulipo
wee mwangalie huyo enginer ndio huyu tunagombana nae apa atakuingiza mkenge kama umecheka hapo gonga like 😂😂😂
@ndebilemathias7115
5 жыл бұрын
hahaha!!
@ndumeabdallah5105
5 жыл бұрын
Usipo fanya kazi kama inavyo takiwa utafanyishwa kazi Wenzetu wakienda tofauti wako tayari kujiuzulu Sasa sisi mpaka tusimamiwe na wengine tunasema hoo kaaibishwa apana!sio kuaibishwa kazima lazima iendane na wakati na vigezo na masharti lazima vizingatiwe
@amircatalog2082
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@emmanuelpolisi1343
4 жыл бұрын
Ninamuomba rais amuamishie mbeya maana dah Yuko vzr mnoo,
@kiptookomen4127
4 жыл бұрын
😂😂😂😂 Kweli kabisa!!
INJINIA NDIO TUNAEGOMBANA NAEE ANGALIA ATAKUINGIZA MKENGEEE HEEEEEE 😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌fyekeleeaaaa ndaniiiiii
@jacksonsaini2230
5 жыл бұрын
Braytin Tz
@kiptookomen4127
4 жыл бұрын
Injinia wa kuingiza watu mkenge watafute taaluma ingine mpya!! 😂😂😂😂
2024 bado iko 🔥 fire ,, unamkumbuka?nini maoni yako kwa kiongozi kama huyu?
Kama unaangalia 2023 gonga like soma kwenye ramani😂😂
Mkuu anafanya kazi vizuri Sana nainapendeza angeletwa afanye kazi mkoa wa mara
Nimemuelewa mzee safi sana.. Mungu amlinde asimame kwa nia njema kwa taifa
@marcokaroje8980
2 жыл бұрын
Siku hizi hawana hata mbwa wa kufokea sijui wamepotelea wapl? 2025 hutawaona kabisa watakuwa wametokomea na matusi hakuna kwa watumshi
The Best Rc in Tz now, Hands down,, these are the People we need. hongera Sana Mkuu wa mkoa kwa kusimamia kazi Vizuri ,ukweli utabaki kua kwamba wewe ni bora! bless from everywhere!
Heeeeeeey come on meeen 😅😅😅😅ebana kazi nzuri RC mwari mpk leo hii 2023 bado nafatilia hiz clip
Kama unaangalia hadi leo 2023 gonga like
nimekuelewa Sana kiongozi wangu wamkoa,asante Allah akuongoze.
😂😂😂😂 nyoosha mkono jifanye unajikuna.
@bakarijumabakarijuma946
5 жыл бұрын
😁😁 nishida serekalin
@rudovickkurwa9652
5 жыл бұрын
Hahahshahah
@mohdmassoud4356
5 жыл бұрын
masong
@emmanuelpolisi1343
4 жыл бұрын
Mkuu nimekusoma sana, ila injinia anatamani akimbie maana hao wa mikoa
Kama unaangalia mpaka leo 2023 gonga like
Naiona roho ya magufuli ikiwa ndani ya mzee wetu huyu!
Duh magufuli umemuona mkuu wa mkoa wako. Moto unawaka tabora.
@denistarange5580
5 жыл бұрын
Mmmmh
@davidnguvila5756
5 жыл бұрын
Sudy Mgeni U
@leonardphiniasi68
5 жыл бұрын
Hatari
Mh! Hakika unastahili pongezi unapiga kazi kisawasawa! Mungu akubariki Unafaa UPEWE mkoa zaidi ya mmoja una uwezo upo kikazi!
@suleymansamsonsamson2250
5 жыл бұрын
Eng .somaaaa hiyoooo
wamkuu wamikoa woote Tanzania mnafaa kuwa kama huyu kiongozi kwenye miradi inayoendelea vijijin safi sana mkuu gonga like kama umemkubali
16.10.2019..naingalia tena an..kama naw umekuja chungulia tena..gonga like
Aisee kwa style hii Tanzania itasongaaaa👏👏👏👏
we mzee ukistaafu anza Comedy wallah Utakimbizaaaaa 😂
@issaomary9494
5 жыл бұрын
Aki tuna mrithi wa king majutoh!
@mariastivin3995
5 жыл бұрын
Duh! Angekua mwalim Wa shule ya msingi kikifika kipindi chake unahisi mkojo unagonga ukuta km unaamini jifanye km unanyosha mkono......gonga leyki
@sufianabdallah5764
5 жыл бұрын
.
@kingkachila2351
4 жыл бұрын
Napita tu
Dah, huyu mzee kweli alikuwa kazini.!
This should be Magufuli successer. Hongera mzee
mh mwanri nakukubali sana,big up kiongoz wangu
kamtafuta kwenye tofali kamkosa vipimo kamkosa kamdaka kwenye nondo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@leticiachunga9118
5 жыл бұрын
Kwenye nondo na kisanii kitabu😂😂😂
@popigagia7183
5 жыл бұрын
Ally Mohamed 😂😂😂😂😂😂😂
@francischiko3752
5 жыл бұрын
😂😂😂😃😃😃😃injinia atachomoka kweli???
@athumanfuko199
5 жыл бұрын
Ally Mohamed ha ha ha ha nimeshafuka dar mm km engineer
@timothmwakakusyu4563
5 жыл бұрын
Ally Mohamed hahahaha
Naomba likes zenu nizichote hapa na kusukuma ndani tu.
@kiptookomen4127
4 жыл бұрын
Aisee wewe jamaa Likes nizakubaki nazo usizisukeme ndani!! 😂😂😂😂
I can't stop watching this video again and again
Kama wanachama wote wangalikuwa hivi nadhan kusingalikuwa na haja ya upinzani@May God bless you Aggry Mwanryi
@maulidyyusuph6466
5 жыл бұрын
😈😈😈
Nafikiri baadhi ya watumishi wa uma hawajaelewa or wamechelewa kumuelewa ni nn mh rais JPM anataka,hawa ndo viongozi tunaowataka. safi xana RC wa Tabora Mungu akubaliki.
The rightful procedure.... Likes ziingie
Kama unatizamaa kila wakati gonga like hapa 🤣🤣❤❤
@kalanjelekela5525
4 жыл бұрын
Tausi Yusuph ok
ujenzi uvu sawa sawa...wakandarasi wa china..awaibi ata mia hawali pesa jmn....mana pesa ni za wananchi nchi..mkuu wa mkoa endelea.kusaidia watu jaman..Mungu anakuona🙏
Nimeipenda hii kazi safi sio kukaa ofisini tu na kunywa kahawa
@ilovejesus9303
5 жыл бұрын
😁😁😁
@witnessstevensteven8678
5 жыл бұрын
FREDY JOHN 😂😂😂
@fredyjohn8548
5 жыл бұрын
@@witnessstevensteven8678 ndyo hivyo
@frankc.monata1850
5 жыл бұрын
feji
@stanletymashina1700
5 жыл бұрын
Unaweza
akigombea urais huyu kura utampa au hapana? kama utampa kura yako gnga like hapa
Et engineer somaaa hiyooooo 😂 😂 😂 ....... Soma kwenye karatasiiiiii🤣🤣🤣🤣🤣 likes zangu jameniii
@abdulmustafa8571
3 жыл бұрын
Hahaha
Huyu ndo kiongz bora bigapu mkuu
@josephrobart9605
5 жыл бұрын
tabora tuko pwa sana tunaji vunia
Watanzania hamtoendelea sababu hakuna kitu machukulia serious!! Interests zenu ni kuhusu maisha ya watu na udaku udaku tu ingekuwa video hii mkuu wa mkoa kafumaniwa guest ingekuwa na views na comments million3 lkn masuala muhimu yabmaendeleo tunachukulia mzaha!!! Muheshimiwa anachapa kazi lkn watu wanachukulia utani hata tittles za millard ayo youtube nyingi za kipuuzi puuzi tu! Makonda kaanza vita hakuna support yoyote mliyompa zaidi ya kumkosoa tu na kupost video za mashoga ili muingize pesa mie naona vita ingeazia kwenye uhuru wa media ....hapa nchini media inahitaji kuelimishwa kuhusu kukosoa na kuandika mambo ya maana sio kupost upumbavu daily
@nasrimchopa678
5 жыл бұрын
Kweli unachokisema tunapenda mambo kijinga sana
@winniemlay8883
5 жыл бұрын
Point
@salehemkomwa8063
5 жыл бұрын
umesema ukweli ndugu WA tz tunapenda dhbikia ujinga hata magu anakaza kwenye kusmamia Mali zetu wasiibe wajinga wanaongea pumba hela hakuna na wamekaa kijiweni
@muhibujuma3550
5 жыл бұрын
Jifanye km huna Jikuna
@fanuelburra6903
5 жыл бұрын
gd comment
ata kuingiza mkenge like kama umeipenda hii kauli
Whaoo am impressed, this are the leaders we want in Africa.He should be appointed as a minister
😀😀😀😀😀 wana Tabora tunakupenda mpaka baasi, Tabora oyeeeeèe!
@geofreymilinga2965
5 жыл бұрын
Ilo jembe zaidi ya Jpm
@halimachezue926
5 жыл бұрын
Oyeeee
nipeni like zenu kama mnamkubali mzee wa sukama ndani wote
Kama unaangalia mpaka leo 2024 gonga like hapa
Father alikuwa serious aisee watu kama hawa ni wachache Tanzania Hii Mungu Ampe maisha Marefu❤🙏
Yaani one of my best clip in 2018 The Engineer and Magufuli Twin brother 😆
Enginear kama mkeo anakuangalia baba leo huendi pewa mambo
@tanganyikakicks4097
5 жыл бұрын
😂😂😂😂
anayetaman mzee angurume bungen weka like
@alibell5246
3 жыл бұрын
Huyu akiingia bungen mabundi hayaingii nakwambia mm napendelea huyu angekua makam wa rais jmn
Tanzania kwa awamu hii tuna viongozi wengi makini na wazalendo. Wale ambao hawawezi kufuata kasi hii watupishe tusonge mbele, hakuna kurudi nyuma hapa.
Ambae hataki kunipa like ajifanye anajikuna
😂😂😂 Daaaah kwaujunguzi uhu watu wataisoma number ma engineer kazi ipo gonga like
Baba mzuri ,Mungu akubariki . Natamani ungekuwa waziri wa viwanda na ujenzi .
Engi yuko sawa ila kelele nyingi vipimo vyote viko safi tofali nondo kasema bila kutumia makalatasi vipimo vya ukuta big up engi
Duh nomaaaaaaaa Moto huo Wa kuotea mbali cjui ingekuwaje angekuwa Presdent walakhiiiiii tungepangiwa kwa wiki kulala na mkeo mara mbili... ukizidi kazi unayo😂😂😂😂👆
@masanjapitta2573
5 жыл бұрын
Somaaaaa hioooooo
@bakarichina4164
4 жыл бұрын
Daah,kwann mzee kastahafu bhana minaomba mweshimiwa president ampekazi ingine uyu mzee mina mkubari sana,mbona bado yuko fiti kbs,
Hahaaha asante mungu sijabatika kuwa mtumishi wa serikali kwaninavo jijua ninge sukumwa ndani mie
@kiptookomen4127
4 жыл бұрын
Ukizembea kazini ama huwe Injinia hewa, mla rushwa, Injinia wa makenge. Mwanri yuaja, utasukumwa ndani!! 😂😂😂😂
@maxmaizer4631
4 жыл бұрын
@@kiptookomen4127 haaaa mzee wa wacha iyo habari
Hakika watu kama were dinian niwachachesana mungu akubaliki sana akupe maisha malefu
Mkoa wa Kagera angepatikana RC kama huyu, nadhani hata mkoa ungekuwa na stand ya mabasi. Big up Tabora aiseee. Sijua nani aliroga mkoa wa Kagera jamaniiii?.
Haaaaa, kwa hali kama hii bora kujiajiri mmmmh
@ilovejesus9303
5 жыл бұрын
Umeona eheeeee
@manyotaskipper5765
5 жыл бұрын
Hata ukijiajiri kama hutekelexi majukumu yako ipasavyo kazj bure
@kingkiwango1435
5 жыл бұрын
Mmmmh mbona kaz jaman
@powerofchoice3176
5 жыл бұрын
Kama uwezi kusimamia mambo yako ukiwa na usimamizi kamwe uwezi jisimamia, ina maana uyo angekuwa anajitegemea angekuwa saizi saiti kaitelekexa kabisa, kujiaajir aimanish kuwa na utendaji mbovu, tumia akil
@latifawangu9172
5 жыл бұрын
Yaani serikalini miaka hii presha tupu
watendaji badilikeni kwanini hamujui wajibu wenu?? ni kero wewe mhandisi unatia aibu kazi yako ni saiti siyo ofisini ndugu ona sasa unatia aibu badilikeni
@andrewsosy8922
5 жыл бұрын
Frank Ntenga dv
Atakuingiza mkenge aliye sikia hiyo fanya kama wagonga like twende sawa. #Hapa kazi ipo engineer pole Baba.
@aishampeta8070
4 жыл бұрын
hana anacho jua huyo ingenea
Kama unatamani kuona Rc akivaa barakoa anafananaje gonga like hapa ili avae tumwone
The best Government in Africa I proud to be a Tanzania
"ENGINEER SOMA HUKO!" hahahahaha
Kwa style hiii kutakuwa hakna majengo yanayodondoka goood job Mh Allah andelee kukusimamia
Kama unaangalia hadi leo 2023 gonga like nyingi tu
Kama umesikia mtu wa mkoani akiitwa na RC gonga like
Ukiwa kiongozi usiogope kuchukiwa kwa kinacholeta maslahi
@petromajaliwa8636
4 жыл бұрын
ISSA IBRAHIM vp
Baba chukua fomu ya kugombea uraisi 2025,conga like twende saw a kwa anayemkubalizee wetu huyu!
Kama unaangalia had 2023 like zakutoshaaa kwa mwamba mwanry