MZEE ATISHIA KUJIUA MBELE ya WAZIRI MKUU MAJALIWA AKIELEZA MKASA wa MWANAYE ALIYEFUNGWA na AKAPOTEA

MZEE ATISHIA KUJIUA MBELE ya WAZIRI MKUU MAJALIWA AKIELEZA MKASA wa MWANAYE ALIYEFUNGWA na AKAPOTEA
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 191

  • @globaltv_online
    @globaltv_online11 ай бұрын

    JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!

  • @al-bashirclinic3326
    @al-bashirclinic332611 ай бұрын

    😮Huyu mzee ana kipaji cha kujieleza😊

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson520211 ай бұрын

    Mzeee Anaongea point Sana

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda500511 ай бұрын

    Dah! Pole Sana mzee hii serikari ya ajabu Sana tutamkumbuka Sana mzee magu angetoa majibu hapo hapo.

  • @hemedbamja3197

    @hemedbamja3197

    11 ай бұрын

    Yale yale ya Watu wasiojulikana

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe754311 ай бұрын

    ASANTE SANA MAMA SAMIA NA MAJALIWA MSAIDIENI HUYO MZEE KWA UCHUNGU ANAONGEA.

  • @josephinegravasiano8860
    @josephinegravasiano886011 ай бұрын

    Pole sana baba jaman ndo mambo gani hayo watu tunaumizwa na wanaopaswa kutulinda.

  • @richardmbasha1411
    @richardmbasha141111 ай бұрын

    Hakuna sehem/watu wa/ mbaya, hatari, isio salama KAMA POLISI WA TANZANIA sio wote.. Ila ndio MAHARAMIA #1

  • @kitutujuma9602
    @kitutujuma960211 ай бұрын

    Inaumiza sanaa. Ila hakuna jema katika mbegu ya ubaya. Ivyo kama umepanda ubaya utavuna ubaya tu na c vyengine.

  • @zainabwage4658
    @zainabwage465811 ай бұрын

    Uyo babu alichoongea weng tunapitia baadh. Ya ndugu zetu tunapoteza kupitia njia iyo ila ss wanyonge tunamuachia Allah ipo sk machoz yetu atayajib😢

  • @abuumuhammad7133

    @abuumuhammad7133

    11 ай бұрын

    Ndio ujuwe sasa kuwa kuna baadhi yetu tunaroho mbaya kwq kiasi gani.

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    11 ай бұрын

    Hakuna, kwanini Iwe kila siku mtoto wake Tu?

  • @user-lq3ew1gz6m
    @user-lq3ew1gz6m11 ай бұрын

    Jaman inaskitisha sana inaumiza sana hv kweli ndo maisha

  • @eunicesimion4890
    @eunicesimion489011 ай бұрын

    😭😭😭 Inaumiza jamaani 😢

  • @alenimgaya3889
    @alenimgaya388911 ай бұрын

    Hapo angewa magufufuli angeanza kuitwa mmoja mmoja kuanzia mkuu wamkoa hadi hao maaskali 😭😭

  • @hamishassan6784
    @hamishassan678411 ай бұрын

    pole sana waziri mkuu hakika hio ni aibu kwetu kwa watendaji wetu wa jeshi la polisi. maana ki ukweli mnaumizwa sana na naona unaumia sana moyoni mwako hata uso tu ulionao baada ya hili nilivyoouna binafsi unantoa machozi.

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    11 ай бұрын

    Hakuna, kwanini Iwe kila siku mtoto wake Tu?

  • @kitengenyembo4223

    @kitengenyembo4223

    11 ай бұрын

    Makipilima unaujamaa na huyo Askari aliyefanya umafyaa?

  • @abdullayahya8717
    @abdullayahya871711 ай бұрын

    Huyu Mzee mkubwa ki umri lakini anajielewa na anajua anachokiongea. Yeye ameweza kufika hapo jee wengine ambao hawakuweza kufika kwa waziri mkuu ni wangapi!! 😢😢

  • @suratibrahim6417
    @suratibrahim641711 ай бұрын

    Mh Majaliwa waziri mkuu tunakuamini💯✍️👽

  • @ntangiregemfuruki5478
    @ntangiregemfuruki54784 ай бұрын

    MH WAZIRI HONGERA ZAKO NYINGI. HAKIKA MAMA YETU ANAMSAADA.NAMNAMPA JOTO MMAA SAMIA❤

  • @lusajomwakalinga5813
    @lusajomwakalinga58133 ай бұрын

    Hapo Kuna Jambo kubwa why mtoto wako tu,vijana wapo wengi anyway pole sana

  • @user-db2yh8ii8o
    @user-db2yh8ii8o11 ай бұрын

    Rest in peace JPM

  • @williammbuzimai5744

    @williammbuzimai5744

    11 ай бұрын

    Mzee wa kesi wa kesi za uhujumu uchumi

  • @Baba-nm4qz

    @Baba-nm4qz

    11 ай бұрын

    2014 mpaka leo?,huyo jpm hakuwepo?

  • @AbuuAbdilRahmaan
    @AbuuAbdilRahmaan11 ай бұрын

    WAZIRI MKUU ANATAMANI SANA KUTOA MSAADA PAPO HAPO...ILA NDIO HIVYO...HANA NGUVU KAMILI...BOSS WAKE MWENYEWE ANAWALEA. KWAHIYO HANA LA KUFANYA.

  • @user-nm4eu1yy7k
    @user-nm4eu1yy7k11 ай бұрын

    Waziri mkuu gingers sana Kwa namna unavyo pambana katika majukumu ya kitaifa

  • @NelsonSwai-xv2fb
    @NelsonSwai-xv2fb11 ай бұрын

    Mama Samia mungu akulinde kwa. maana hiyo mzeev wakuu wa hapo mbeya wanawalinda wenzao ndiyo maana wanamdangaya waziri mkuu tumeshamsikiliza hao ni waongo fukuza kazi ndiyo wanaokuchafua na waziri mkuu ni mtu Malini aliliona Hilo kasema mwiteni wengi wanapotea mbele ya polisi lawama kwa serikali hongera msaidieni hiyo mzee

  • @joycebayo8106
    @joycebayo810611 ай бұрын

    Mh. Waziri Mkuu hili linatuumiza san sis watanzania, kwann wanafanya hiv jmn hawa polisi wetu??? Hii sio sawa

  • @josephwilliammnyune5464
    @josephwilliammnyune546411 ай бұрын

    Ni tatizo kubwa. Ilikuwaje gari la mtuhumiwa likawa linatumiwa na polisi aliyemkamata huyo mtuhumiwa.

  • @MaritinOwen-mn3kt
    @MaritinOwen-mn3kt11 ай бұрын

    Nchi hii imebaki ni yawatu wenye mamlaka na siyo wananchi hata ukaseme wapi huwezi kusaidiwa waziri atajifany mkali akiwa hapo lakini akitoka hap hana Tena habar na mtu tutumie tu akili zetu lakini ukiitegemea serikali ya Tanzania utaumia sana

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    11 ай бұрын

    Nchi hii ina watu zaidi ya milioni 60 hivi waziri mkuu awahudumie wote mmoja mmoja ataweza?

  • @MaritinOwen-mn3kt

    @MaritinOwen-mn3kt

    11 ай бұрын

    @@jumakapilima7295 wewe unazani awahudumie vip wewe mbona unamawazo madogo Sana kaa nyumbani na mama yako utulietu lakini ukijifanya unachangia mawazo wakati akili yako haijakua utafeli

  • @MaritinOwen-mn3kt

    @MaritinOwen-mn3kt

    11 ай бұрын

    @@jumakapilima7295 wewe unazani awahudumie vip wewe mbona unamawazo madogo Sana kaa nyumbani na mama yako utulietu lakini ukijifanya unachangia mawazo wakati akili yako haijakua utafeli

  • @RacherBakari-qh2gx
    @RacherBakari-qh2gx9 ай бұрын

    Bodaboda Wa mkataba akifa akuna kesi. Ila boda ikiibiwa boda boda atafungwa. Je hii ni haki tuangalieni haki za watoto wetu

  • @evachuwa3809
    @evachuwa380911 ай бұрын

    Pole sana baba MUNGU YUPO HALALI..

  • @susananyasani6526
    @susananyasani65265 ай бұрын

    Maskini kuna wonefu mkubwa sana kati ya Watendaji wa Serikali na Wananchi poleni sana

  • @JokhaSalehv
    @JokhaSalehv11 ай бұрын

    Waziri tunakuomba msaidie huyu mzee apate haki ya mtoto wake. Utapata sawabu sana mh

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro666223 күн бұрын

    Kwa kweli Serikali hii ya CCM si Serikali hata kidogo ni ya wauaji tu. Endelea kuuwa lakini Mungu atawapigania wanainchi hawa wanaonyanyashwa kama watumwa na wengine kupotezwa.

  • @hamispaul3214
    @hamispaul321411 ай бұрын

    Mh apa ni kaz kweli polee mzee

  • @susananyasani6526
    @susananyasani65264 ай бұрын

    Kijana wa huyo Baba Mzazi asungumze mwenye hadharani mbele ya Waziri

  • @Rasjzjsjs
    @Rasjzjsjs11 ай бұрын

    Mkuu sio huyu tu mzee,kalb nchi nzima,watu wanakamatwa usiku usiku na polic wakienda hawalud,wanapotea,ndug hawana pa kukimbilia maana hawasikilizwi,,shida ni mfumo wa ajira za Tanzania hasa jeshi la police,watu ambao wana ndot ya kuwa askar kuwasaidia wananchi hawapat hiyo nafasi,wapo tu mtaan wanahangaika na maisha,wanao pata nafas ni wale tu wa kujuana,kubebana bebana,yaan huyu mtot wa R.p.c,mala huy wa o.c.d,mala huyu wa shangazi yake,lkn wale wenye nia njema na kaz hii,na utashi,uzalendo,hawapat nafas,hata wakifanya interview hawapitishwi maan majina ya hawa wa kubebana yanakuwa yamesha andaliwa tayr,kwa mfumo huu lazma tupate askar majambaz,wala rushwa,watu ambao hawajapat taabu kupata kaz hiyo,ndomaan maaskar weng ni wavunja sheria maana waliowaweka kazin ni wazaz wao hawawez kuwafukuza kaz,watawahamisha tu,ushaur wangu,ufumuliwe mfumo wote kwa jesh la police,waajiliwe watu ambao wana mapenz na kaz kwa ajili ya kusaidia watu na sio kuwanyanyasa,mfano tu,huku mtan maaskar ni walev had aibu,na hawafanywi chochote maan wamewekwa kazn na ndugu zao,ndomaan hawaambiliki, Mungu tusaidie tupate viongozi wenye maono kwa taifa❤❤❤❤❤❤

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    11 ай бұрын

    Hata Ester alivyopotea walimsumbua waziri mkuu, kumbe alikuwa Kwa muuza mkaa,,,

  • @Rasjzjsjs

    @Rasjzjsjs

    11 ай бұрын

    Huwez kuelewa ndugu,kwa sabab haijawah kukukuta

  • @Rasjzjsjs

    @Rasjzjsjs

    11 ай бұрын

    Huwez kuelewa ndugu kwa sabab haijawah kukukuta

  • @thomastarimo

    @thomastarimo

    11 ай бұрын

    siyo huyo chawa yuko nyuma yako maana ana wasiwasi

  • @thomastarimo

    @thomastarimo

    11 ай бұрын

    Mimi Nina wasiwasi na huyo huyo jama aliyesimama nyuma ya mzee kwanini asifukuzwe kama jambazi

  • @isaacmumba8818
    @isaacmumba88185 ай бұрын

    Laiti Kenya ingekuwa na mfumo wa viongozi kama Tanzania, Na hakika hatungekua hivi tulivyo

  • @maranduhusen6683
    @maranduhusen668311 ай бұрын

    Tuko wengi tulio nyanganywa Mali na polisi mm niliwaachia pikipiki baada ya kuona mateso ya mekua mengi baba pole hii ni Tanzania yetu

  • @deboramartin8111
    @deboramartin811111 ай бұрын

    Duh huyu baba hawata muua kweli khaaaa 🙆😭

  • @controlTheoryChamps
    @controlTheoryChamps9 ай бұрын

    Huyo polisi huko nyuma ameanza kuonekana na wasiwasi baada ya mzee kuanza kujielezea...!!!

  • @osodowilberforce2321
    @osodowilberforce232111 ай бұрын

    Bwana Waziri Mkuu,that nis not the way to solve peoples problems.That is a peripharal and superficial approach which does not solve anything.Tafathali Bwana Waziri,muite huyo mutu kwa ofisi yako.

  • @ShaibuMniwa-gy8do
    @ShaibuMniwa-gy8do11 ай бұрын

    Pole mzeeee mungu Ataukumu ili

  • @hamishassan6784
    @hamishassan678411 ай бұрын

    Polisi, tume ya Haki jinai, yaan inauma. Mama ili kuweka vizuri jeshi la Polisi Fumua Lote Ni kweli ni kazi ngumu na ni ya gharama sana lakini mama haki haipimwi kwa fedha Wananchi wanaumia sana najua haya yote umeyakuta na yanamuda yamejenga mizizi sana angalia kama hili toka 2013 inauma sana. Angalia polisi pale wanapomkamata mtuhumiwa na kumuua kisha akapewa ni ugaidi hapana huo sio uweledi yaan kama hawawezi kutumia weledi kumdhibiti muhalifu kuna nini hapo. Mtaani kuna mengi lakini haya yanatoka kwa watu wazima kama hawa haya ni malalamiko Genuine sana. Pole mama Uongozi ni kazi na sijui kama huwa unalala, pole sana mama yangu

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha838711 ай бұрын

    Wazuri. Mlindeni uyoooo baba. Hao ni MAJAMBAZIIIIII

  • @susananyasani6526
    @susananyasani65264 ай бұрын

    Maskini pole sana Baba Mtoto kuna uonefu mkubwa sana Nchini

  • @user-qo8qy8zv1f
    @user-qo8qy8zv1f5 ай бұрын

    Yooooo kijana wa watu ameniuma roho yangu mie

  • @grolyligola8959
    @grolyligola895911 ай бұрын

    Kasato was isyasya wazil skia kilio Cha Babu?

  • @kitengenyembo4223
    @kitengenyembo422311 ай бұрын

    Ni kweli kabisa Mimi mwenyewe Kuna shemeji yangu alichukuliwa na police usiku katolewa kwa mkewe mwaka juzi hadi leo hajulikani alipo

  • @erickdioniz8277
    @erickdioniz827711 ай бұрын

    Yaani sasa hivi hawa mapolice wanafanya wanavyotaka ni wakatili sana yaani wanavunja katiba yaani akikamata mtuhumiwa basi yey ndio mahakama yaani ni ujinga mtupu hawa watu inabidi wachunguzwe sana

  • @user-fy9lo9bw7p
    @user-fy9lo9bw7p11 ай бұрын

    Ndo walivo polis wa nchi hii

  • @midundotechtz6843
    @midundotechtz684311 ай бұрын

    Je wenzangu mnahisi mzee ata tatuliwa shida yake? Reply

  • @joycebayo8106
    @joycebayo810611 ай бұрын

    Kwann wanawafanyia hi watanzania wenzao

  • @SaidHassan-wz1px
    @SaidHassan-wz1px11 ай бұрын

    Sikuu mmoja na mm nitakua raisi inshaallah ,nitasafisha

  • @ayubusaidi922
    @ayubusaidi92211 ай бұрын

    Ccm mmefikia mwisho Yani hatamimi sipo

  • @theuniversetv2870
    @theuniversetv28704 ай бұрын

    Mh ase kama wameua wanyongwe kwa mateso makali wahusika wote

  • @user-ki3gt6gy1l
    @user-ki3gt6gy1l8 ай бұрын

    Polis jamani jamani mnampa mama kazi kubwa

  • @fatumasukwaju226
    @fatumasukwaju22611 ай бұрын

    12:46 13:59

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q11 ай бұрын

    Ebanae! Aliwezaje? Maana mi last week nilipishana naye nikaishia kumsalimu tu. Kigugumizi kikashika hatamu!

  • @user-gr2ec5uj1s
    @user-gr2ec5uj1s11 ай бұрын

    maaskari ndo majambaz mbwa izo sawa nikuwauwa tukikutana nao sio kuwaonea huruma make serikali akipotea polis mmoja msako utafanywa nakuwatupa rokapu na wasiona atia ila tukifanyiwa sisi hamna msako wala nini mbwa izo

  • @fauzishabani2622
    @fauzishabani262211 ай бұрын

    Mh. Uongozi ni shida sana

  • @malembobulongo3856
    @malembobulongo385610 ай бұрын

    Jamani hiii nchi duh viongozi msaidie watu wanateseka saaana

  • @libetztanzania-kiswahilina2845
    @libetztanzania-kiswahilina284511 ай бұрын

    Walitaka wampotezee eti kaliidhika 😂😂 WATANZANIA TUNA VICHWA VIBOVO KWELI

  • @salmamlokela1987
    @salmamlokela198711 ай бұрын

    Polisi kuweni na huruma kumbukeni na nyinyi mna vizazi vyenu mtakuja kufanyiwa ivi maan mungu ni wetu sotee sio vizur tufanyieni wema jamani

  • @phantyrhymes9536
    @phantyrhymes953621 күн бұрын

    Rest in peace President Magufuli.

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar991211 ай бұрын

    Aya mambo yako tanzania kweli au

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe754311 ай бұрын

    NA POLISI KM MNAPOTEZA WATU NDY ULIZI GANI HUO? JAMANI EBU JALINI WATU MNATOA HESHIMA YA UASKARI.

  • @RehemaMgongwe-di3yf
    @RehemaMgongwe-di3yf9 ай бұрын

    Jamani asikar nao wajirekebishe kwa matendo yao

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha838711 ай бұрын

    Oooooh Mama jamaniiii MUNGU weeee wamemuuwa kijana WA WATUUU MUNGU weeeeeer. Kwaninii jamaniiiii. Haaaaa

  • @user-mz4gx2ek9y
    @user-mz4gx2ek9y11 ай бұрын

    Alafu mnasema ney wa mitego anawatukana kumbe ni kweli panya road wameva suti

  • @nazirsued5988
    @nazirsued598811 ай бұрын

    Dhuruma kama hii nizakawaida nchi nzima hakuna anayejali

  • @adamumbilinyi9183
    @adamumbilinyi918311 ай бұрын

    Ningekuwa mimi ningeanza hapohapo wala nisinge toa shukrani

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo385511 ай бұрын

    POLISI WATU WABAYA SANA SIWAPENDI KABISA

  • @user-br3si2jf4t
    @user-br3si2jf4t10 ай бұрын

    Waziri. Wetu Nimsataalabu. Kwawanyongee

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9z11 ай бұрын

    Baba wa Taifa alisema viongozi wetu wanamajibu mepesi katika maswali magumu,mmeona?,Huyo hayupo, wapo wengi.

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka846910 ай бұрын

    Wazuri mkuu naomba uwe unawasikiliza watu wako shida zao

  • @user-jh3yu7wl9r
    @user-jh3yu7wl9r8 ай бұрын

    😢

  • @kabulamasudi9841
    @kabulamasudi984111 ай бұрын

    Kweliii

  • @dastanfrank4835
    @dastanfrank483511 ай бұрын

    jeshi lapolisi msituebishe jaman wahun ndani yajesh lapolis wafukuzwe

  • @allysulymani1110
    @allysulymani111011 ай бұрын

    R p mzee magu ungekuwepo hapo majibu yangepatikana leoleo

  • @asteriashios1852
    @asteriashios185211 ай бұрын

    Ingekuwa ni magu kila kitu kingekuwa hadharani hapo hapo km ni police wabaya au ni huyo kijana yawezekana huyo kijana nae anna shida zake lakini kwanini mnatumia usafiri wake au kuchukua fedha zake?

  • @daviddaniel4810
    @daviddaniel481011 ай бұрын

    Waziri mkuuu atashindwa kuwa Rais kwasabab ya uvivu wakutoa maamuzi sahihi kwa wakati.

  • @tatoorashedi1787
    @tatoorashedi178711 ай бұрын

    Tunao wategemea ndio wanaotuteketezasitasahau kaka yangu alivyopewa kesi ya ubakaji jamani

  • @user-kg1jt6yk5s
    @user-kg1jt6yk5s11 ай бұрын

    Hatari nchi hii

  • @monyekajacob9523
    @monyekajacob952311 ай бұрын

    Waheshimiwa watanganyika tujiulize tumefikaje hapa tulipo?, Kwa bahati au kwa kudhamiria?, Tunapelekwa kuliko sahihi au kwenye Jehenamu?, Mmesema kwa maoni yenu wengi kuwa Jeshi lifumuliwe ni sawa , Je tatizo ni kufumuliwa au ni mfumo wa utawala?, Maoni yangu Dawa ya hii dhuluma na ukandamizwaji,kutoajibika , kulindana ni chungu mno kuimeza muitafakari nayo ni KATIBA MPYA NA BORA PAMOJA NA SHERIA MPYA ZA KUWALINDA RAIA WA TAIFA HILI & Tanzania, Ili tuondoe Katiba hii tulionayo ni mbovu na sheria hizi kandamizi, Je mtaweza?, Kila mmoja aanze zoezi la kuitaka sio kiiomba bali KUITAKA.

  • @omarymwigula9826
    @omarymwigula982611 ай бұрын

    Mbona hajamjibu badala yake anashuku tu viongozi wenzake daah angekuwa mzee magu watu wangeitwa hapo wajieleze

  • @ndongolomajolino5316
    @ndongolomajolino531611 ай бұрын

    😮

  • @selemsigala4771
    @selemsigala477111 ай бұрын

    uyo dani alikua ni mnyang'anyi ukweli afadhari ata Mungu alivyo fanya maamzi yake.

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo385511 ай бұрын

    POLISI NI WABAYA SANA WAZIRI MKUU

  • @eliaikammary7525
    @eliaikammary752511 ай бұрын

    Jamani nyieee mtt

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha838710 ай бұрын

    Washikwee nao wafungweee MAJANBAZII HAO. WANAWIVUU WA MAENDELEO YA UYO KIJANA. LOOOOO WIVUUUU

  • @odenmasebo9777
    @odenmasebo977711 ай бұрын

    R.I.O MAGU MAANA UNGEKUWEPO MAAMUZI YANGETOKA HAPO HAPO😢😢😢😢😢😢

  • @neutraltv9393

    @neutraltv9393

    11 ай бұрын

    Mana hiyo 2015 hakuwepo😅😅😅😅

  • @sonnyr1899

    @sonnyr1899

    11 ай бұрын

    @@neutraltv9393 Kesi ingemfikia lazima mtu angetumbuliwa. Magufuli alipambana na mfumo hatare ila mwenyewe alijuwa sio vita rahisi

  • @eliannko
    @eliannko11 ай бұрын

    Mapolice nimashetani wamesha wai kunifanyia ata mimi ivo

  • @fatumasukwaju226
    @fatumasukwaju22611 ай бұрын

    9:41

  • @ShaibuMniwa-gy8do
    @ShaibuMniwa-gy8do11 ай бұрын

    Yani nakumbuka mangu Fuli dahaaaa

  • @herrymathayo1159
    @herrymathayo115911 ай бұрын

    Ila polisi mungu anawaona

  • @djngaahketv2210
    @djngaahketv22109 ай бұрын

    Watching

  • @Octavinaelisa-fn6js
    @Octavinaelisa-fn6js11 ай бұрын

    Ila jamani maaskari eemungu jamani😊

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha838710 ай бұрын

    ZAMBIII SANAA NYIEEEE WATUUU

  • @FrankNzombo-ps8gw
    @FrankNzombo-ps8gw11 ай бұрын

    Kesi ya panya mikononi mwa paka ujui kama panya wenye mimba watanusulika

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka899111 ай бұрын

    Ni matokeo ya kuilea ccm madarakani. Hivi kama wateuliwa wa rais kama rpc,rc na wengine hawana faida Kuna haja gani ya kuendelea na hiki chama ovu

  • @hadijauledi6995
    @hadijauledi69959 ай бұрын

    😭😭😭😭😭😭

  • @ezekielkandonga9238
    @ezekielkandonga923811 ай бұрын

    Nchi ngumu sana hii,R.I.P JPM

  • @abelimembe6990
    @abelimembe699011 ай бұрын

    Kama waziri mkuu ameshindwa uyu mzee basi kaumia

  • @uriostanley2331
    @uriostanley233111 ай бұрын

    Polisi Mbeya mmezidi acheni ujambazi lindeni wananchi na mali zao

Келесі