MZEE ATISHIA KUJIUA MBELE ya WAZIRI MKUU MAJALIWA AKIELEZA MKASA wa MWANAYE ALIYEFUNGWA na AKAPOTEA
MZEE ATISHIA KUJIUA MBELE ya WAZIRI MKUU MAJALIWA AKIELEZA MKASA wa MWANAYE ALIYEFUNGWA na AKAPOTEA
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Пікірлер: 191
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
😮Huyu mzee ana kipaji cha kujieleza😊
Mzeee Anaongea point Sana
Dah! Pole Sana mzee hii serikari ya ajabu Sana tutamkumbuka Sana mzee magu angetoa majibu hapo hapo.
@hemedbamja3197
11 ай бұрын
Yale yale ya Watu wasiojulikana
ASANTE SANA MAMA SAMIA NA MAJALIWA MSAIDIENI HUYO MZEE KWA UCHUNGU ANAONGEA.
Pole sana baba jaman ndo mambo gani hayo watu tunaumizwa na wanaopaswa kutulinda.
Hakuna sehem/watu wa/ mbaya, hatari, isio salama KAMA POLISI WA TANZANIA sio wote.. Ila ndio MAHARAMIA #1
Inaumiza sanaa. Ila hakuna jema katika mbegu ya ubaya. Ivyo kama umepanda ubaya utavuna ubaya tu na c vyengine.
Uyo babu alichoongea weng tunapitia baadh. Ya ndugu zetu tunapoteza kupitia njia iyo ila ss wanyonge tunamuachia Allah ipo sk machoz yetu atayajib😢
@abuumuhammad7133
11 ай бұрын
Ndio ujuwe sasa kuwa kuna baadhi yetu tunaroho mbaya kwq kiasi gani.
@jumakapilima7295
11 ай бұрын
Hakuna, kwanini Iwe kila siku mtoto wake Tu?
Jaman inaskitisha sana inaumiza sana hv kweli ndo maisha
😭😭😭 Inaumiza jamaani 😢
Hapo angewa magufufuli angeanza kuitwa mmoja mmoja kuanzia mkuu wamkoa hadi hao maaskali 😭😭
pole sana waziri mkuu hakika hio ni aibu kwetu kwa watendaji wetu wa jeshi la polisi. maana ki ukweli mnaumizwa sana na naona unaumia sana moyoni mwako hata uso tu ulionao baada ya hili nilivyoouna binafsi unantoa machozi.
@jumakapilima7295
11 ай бұрын
Hakuna, kwanini Iwe kila siku mtoto wake Tu?
@kitengenyembo4223
11 ай бұрын
Makipilima unaujamaa na huyo Askari aliyefanya umafyaa?
Huyu Mzee mkubwa ki umri lakini anajielewa na anajua anachokiongea. Yeye ameweza kufika hapo jee wengine ambao hawakuweza kufika kwa waziri mkuu ni wangapi!! 😢😢
Mh Majaliwa waziri mkuu tunakuamini💯✍️👽
MH WAZIRI HONGERA ZAKO NYINGI. HAKIKA MAMA YETU ANAMSAADA.NAMNAMPA JOTO MMAA SAMIA❤
Hapo Kuna Jambo kubwa why mtoto wako tu,vijana wapo wengi anyway pole sana
Rest in peace JPM
@williammbuzimai5744
11 ай бұрын
Mzee wa kesi wa kesi za uhujumu uchumi
@Baba-nm4qz
11 ай бұрын
2014 mpaka leo?,huyo jpm hakuwepo?
WAZIRI MKUU ANATAMANI SANA KUTOA MSAADA PAPO HAPO...ILA NDIO HIVYO...HANA NGUVU KAMILI...BOSS WAKE MWENYEWE ANAWALEA. KWAHIYO HANA LA KUFANYA.
Waziri mkuu gingers sana Kwa namna unavyo pambana katika majukumu ya kitaifa
Mama Samia mungu akulinde kwa. maana hiyo mzeev wakuu wa hapo mbeya wanawalinda wenzao ndiyo maana wanamdangaya waziri mkuu tumeshamsikiliza hao ni waongo fukuza kazi ndiyo wanaokuchafua na waziri mkuu ni mtu Malini aliliona Hilo kasema mwiteni wengi wanapotea mbele ya polisi lawama kwa serikali hongera msaidieni hiyo mzee
Mh. Waziri Mkuu hili linatuumiza san sis watanzania, kwann wanafanya hiv jmn hawa polisi wetu??? Hii sio sawa
Ni tatizo kubwa. Ilikuwaje gari la mtuhumiwa likawa linatumiwa na polisi aliyemkamata huyo mtuhumiwa.
Nchi hii imebaki ni yawatu wenye mamlaka na siyo wananchi hata ukaseme wapi huwezi kusaidiwa waziri atajifany mkali akiwa hapo lakini akitoka hap hana Tena habar na mtu tutumie tu akili zetu lakini ukiitegemea serikali ya Tanzania utaumia sana
@jumakapilima7295
11 ай бұрын
Nchi hii ina watu zaidi ya milioni 60 hivi waziri mkuu awahudumie wote mmoja mmoja ataweza?
@MaritinOwen-mn3kt
11 ай бұрын
@@jumakapilima7295 wewe unazani awahudumie vip wewe mbona unamawazo madogo Sana kaa nyumbani na mama yako utulietu lakini ukijifanya unachangia mawazo wakati akili yako haijakua utafeli
@MaritinOwen-mn3kt
11 ай бұрын
@@jumakapilima7295 wewe unazani awahudumie vip wewe mbona unamawazo madogo Sana kaa nyumbani na mama yako utulietu lakini ukijifanya unachangia mawazo wakati akili yako haijakua utafeli
Bodaboda Wa mkataba akifa akuna kesi. Ila boda ikiibiwa boda boda atafungwa. Je hii ni haki tuangalieni haki za watoto wetu
Pole sana baba MUNGU YUPO HALALI..
Maskini kuna wonefu mkubwa sana kati ya Watendaji wa Serikali na Wananchi poleni sana
Waziri tunakuomba msaidie huyu mzee apate haki ya mtoto wake. Utapata sawabu sana mh
Kwa kweli Serikali hii ya CCM si Serikali hata kidogo ni ya wauaji tu. Endelea kuuwa lakini Mungu atawapigania wanainchi hawa wanaonyanyashwa kama watumwa na wengine kupotezwa.
Mh apa ni kaz kweli polee mzee
Kijana wa huyo Baba Mzazi asungumze mwenye hadharani mbele ya Waziri
Mkuu sio huyu tu mzee,kalb nchi nzima,watu wanakamatwa usiku usiku na polic wakienda hawalud,wanapotea,ndug hawana pa kukimbilia maana hawasikilizwi,,shida ni mfumo wa ajira za Tanzania hasa jeshi la police,watu ambao wana ndot ya kuwa askar kuwasaidia wananchi hawapat hiyo nafasi,wapo tu mtaan wanahangaika na maisha,wanao pata nafas ni wale tu wa kujuana,kubebana bebana,yaan huyu mtot wa R.p.c,mala huy wa o.c.d,mala huyu wa shangazi yake,lkn wale wenye nia njema na kaz hii,na utashi,uzalendo,hawapat nafas,hata wakifanya interview hawapitishwi maan majina ya hawa wa kubebana yanakuwa yamesha andaliwa tayr,kwa mfumo huu lazma tupate askar majambaz,wala rushwa,watu ambao hawajapat taabu kupata kaz hiyo,ndomaan maaskar weng ni wavunja sheria maana waliowaweka kazin ni wazaz wao hawawez kuwafukuza kaz,watawahamisha tu,ushaur wangu,ufumuliwe mfumo wote kwa jesh la police,waajiliwe watu ambao wana mapenz na kaz kwa ajili ya kusaidia watu na sio kuwanyanyasa,mfano tu,huku mtan maaskar ni walev had aibu,na hawafanywi chochote maan wamewekwa kazn na ndugu zao,ndomaan hawaambiliki, Mungu tusaidie tupate viongozi wenye maono kwa taifa❤❤❤❤❤❤
@jumakapilima7295
11 ай бұрын
Hata Ester alivyopotea walimsumbua waziri mkuu, kumbe alikuwa Kwa muuza mkaa,,,
@Rasjzjsjs
11 ай бұрын
Huwez kuelewa ndugu,kwa sabab haijawah kukukuta
@Rasjzjsjs
11 ай бұрын
Huwez kuelewa ndugu kwa sabab haijawah kukukuta
@thomastarimo
11 ай бұрын
siyo huyo chawa yuko nyuma yako maana ana wasiwasi
@thomastarimo
11 ай бұрын
Mimi Nina wasiwasi na huyo huyo jama aliyesimama nyuma ya mzee kwanini asifukuzwe kama jambazi
Laiti Kenya ingekuwa na mfumo wa viongozi kama Tanzania, Na hakika hatungekua hivi tulivyo
Tuko wengi tulio nyanganywa Mali na polisi mm niliwaachia pikipiki baada ya kuona mateso ya mekua mengi baba pole hii ni Tanzania yetu
Duh huyu baba hawata muua kweli khaaaa 🙆😭
Huyo polisi huko nyuma ameanza kuonekana na wasiwasi baada ya mzee kuanza kujielezea...!!!
Bwana Waziri Mkuu,that nis not the way to solve peoples problems.That is a peripharal and superficial approach which does not solve anything.Tafathali Bwana Waziri,muite huyo mutu kwa ofisi yako.
Pole mzeeee mungu Ataukumu ili
Polisi, tume ya Haki jinai, yaan inauma. Mama ili kuweka vizuri jeshi la Polisi Fumua Lote Ni kweli ni kazi ngumu na ni ya gharama sana lakini mama haki haipimwi kwa fedha Wananchi wanaumia sana najua haya yote umeyakuta na yanamuda yamejenga mizizi sana angalia kama hili toka 2013 inauma sana. Angalia polisi pale wanapomkamata mtuhumiwa na kumuua kisha akapewa ni ugaidi hapana huo sio uweledi yaan kama hawawezi kutumia weledi kumdhibiti muhalifu kuna nini hapo. Mtaani kuna mengi lakini haya yanatoka kwa watu wazima kama hawa haya ni malalamiko Genuine sana. Pole mama Uongozi ni kazi na sijui kama huwa unalala, pole sana mama yangu
Wazuri. Mlindeni uyoooo baba. Hao ni MAJAMBAZIIIIII
Maskini pole sana Baba Mtoto kuna uonefu mkubwa sana Nchini
Yooooo kijana wa watu ameniuma roho yangu mie
Kasato was isyasya wazil skia kilio Cha Babu?
Ni kweli kabisa Mimi mwenyewe Kuna shemeji yangu alichukuliwa na police usiku katolewa kwa mkewe mwaka juzi hadi leo hajulikani alipo
Yaani sasa hivi hawa mapolice wanafanya wanavyotaka ni wakatili sana yaani wanavunja katiba yaani akikamata mtuhumiwa basi yey ndio mahakama yaani ni ujinga mtupu hawa watu inabidi wachunguzwe sana
Ndo walivo polis wa nchi hii
Je wenzangu mnahisi mzee ata tatuliwa shida yake? Reply
Kwann wanawafanyia hi watanzania wenzao
Sikuu mmoja na mm nitakua raisi inshaallah ,nitasafisha
Ccm mmefikia mwisho Yani hatamimi sipo
Mh ase kama wameua wanyongwe kwa mateso makali wahusika wote
Polis jamani jamani mnampa mama kazi kubwa
12:46 13:59
Ebanae! Aliwezaje? Maana mi last week nilipishana naye nikaishia kumsalimu tu. Kigugumizi kikashika hatamu!
maaskari ndo majambaz mbwa izo sawa nikuwauwa tukikutana nao sio kuwaonea huruma make serikali akipotea polis mmoja msako utafanywa nakuwatupa rokapu na wasiona atia ila tukifanyiwa sisi hamna msako wala nini mbwa izo
Mh. Uongozi ni shida sana
Jamani hiii nchi duh viongozi msaidie watu wanateseka saaana
Walitaka wampotezee eti kaliidhika 😂😂 WATANZANIA TUNA VICHWA VIBOVO KWELI
Polisi kuweni na huruma kumbukeni na nyinyi mna vizazi vyenu mtakuja kufanyiwa ivi maan mungu ni wetu sotee sio vizur tufanyieni wema jamani
Rest in peace President Magufuli.
Aya mambo yako tanzania kweli au
NA POLISI KM MNAPOTEZA WATU NDY ULIZI GANI HUO? JAMANI EBU JALINI WATU MNATOA HESHIMA YA UASKARI.
Jamani asikar nao wajirekebishe kwa matendo yao
Oooooh Mama jamaniiii MUNGU weeee wamemuuwa kijana WA WATUUU MUNGU weeeeeer. Kwaninii jamaniiiii. Haaaaa
Alafu mnasema ney wa mitego anawatukana kumbe ni kweli panya road wameva suti
Dhuruma kama hii nizakawaida nchi nzima hakuna anayejali
Ningekuwa mimi ningeanza hapohapo wala nisinge toa shukrani
POLISI WATU WABAYA SANA SIWAPENDI KABISA
Waziri. Wetu Nimsataalabu. Kwawanyongee
Baba wa Taifa alisema viongozi wetu wanamajibu mepesi katika maswali magumu,mmeona?,Huyo hayupo, wapo wengi.
Wazuri mkuu naomba uwe unawasikiliza watu wako shida zao
😢
Kweliii
jeshi lapolisi msituebishe jaman wahun ndani yajesh lapolis wafukuzwe
R p mzee magu ungekuwepo hapo majibu yangepatikana leoleo
Ingekuwa ni magu kila kitu kingekuwa hadharani hapo hapo km ni police wabaya au ni huyo kijana yawezekana huyo kijana nae anna shida zake lakini kwanini mnatumia usafiri wake au kuchukua fedha zake?
Waziri mkuuu atashindwa kuwa Rais kwasabab ya uvivu wakutoa maamuzi sahihi kwa wakati.
Tunao wategemea ndio wanaotuteketezasitasahau kaka yangu alivyopewa kesi ya ubakaji jamani
Hatari nchi hii
Waheshimiwa watanganyika tujiulize tumefikaje hapa tulipo?, Kwa bahati au kwa kudhamiria?, Tunapelekwa kuliko sahihi au kwenye Jehenamu?, Mmesema kwa maoni yenu wengi kuwa Jeshi lifumuliwe ni sawa , Je tatizo ni kufumuliwa au ni mfumo wa utawala?, Maoni yangu Dawa ya hii dhuluma na ukandamizwaji,kutoajibika , kulindana ni chungu mno kuimeza muitafakari nayo ni KATIBA MPYA NA BORA PAMOJA NA SHERIA MPYA ZA KUWALINDA RAIA WA TAIFA HILI & Tanzania, Ili tuondoe Katiba hii tulionayo ni mbovu na sheria hizi kandamizi, Je mtaweza?, Kila mmoja aanze zoezi la kuitaka sio kiiomba bali KUITAKA.
Mbona hajamjibu badala yake anashuku tu viongozi wenzake daah angekuwa mzee magu watu wangeitwa hapo wajieleze
😮
uyo dani alikua ni mnyang'anyi ukweli afadhari ata Mungu alivyo fanya maamzi yake.
POLISI NI WABAYA SANA WAZIRI MKUU
Jamani nyieee mtt
Washikwee nao wafungweee MAJANBAZII HAO. WANAWIVUU WA MAENDELEO YA UYO KIJANA. LOOOOO WIVUUUU
R.I.O MAGU MAANA UNGEKUWEPO MAAMUZI YANGETOKA HAPO HAPO😢😢😢😢😢😢
@neutraltv9393
11 ай бұрын
Mana hiyo 2015 hakuwepo😅😅😅😅
@sonnyr1899
11 ай бұрын
@@neutraltv9393 Kesi ingemfikia lazima mtu angetumbuliwa. Magufuli alipambana na mfumo hatare ila mwenyewe alijuwa sio vita rahisi
Mapolice nimashetani wamesha wai kunifanyia ata mimi ivo
9:41
Yani nakumbuka mangu Fuli dahaaaa
Ila polisi mungu anawaona
Watching
Ila jamani maaskari eemungu jamani😊
ZAMBIII SANAA NYIEEEE WATUUU
Kesi ya panya mikononi mwa paka ujui kama panya wenye mimba watanusulika
Ni matokeo ya kuilea ccm madarakani. Hivi kama wateuliwa wa rais kama rpc,rc na wengine hawana faida Kuna haja gani ya kuendelea na hiki chama ovu
😭😭😭😭😭😭
Nchi ngumu sana hii,R.I.P JPM
Kama waziri mkuu ameshindwa uyu mzee basi kaumia
Polisi Mbeya mmezidi acheni ujambazi lindeni wananchi na mali zao