AFISA ELIMU ALIVYOZIMIA BAADA YA KUSIMAMISHWA KAZI RC MWANRI "KUZIMIA SIO ISHU"

Пікірлер: 765

  • @edwinelias8554
    @edwinelias85545 жыл бұрын

    Eng usiniangalie kwa huruma ,dirisha umekunywa km umesikia hiyo gonga like

  • @starboychyner3458

    @starboychyner3458

    5 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @pitargamba9208

    @pitargamba9208

    5 жыл бұрын

    Nimeiskia port. Hapa sasa sina LA kusema

  • @rehmadamian8020

    @rehmadamian8020

    5 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @nehemiahbudi5753
    @nehemiahbudi57535 жыл бұрын

    Waliomchukua na kumkimbiza kituo Cha afya wamefanya kitu Cha maana, na watu hawa wana akiri sana.

  • @danielluka6353

    @danielluka6353

    5 жыл бұрын

    m'bunge wangu kageuka mbogo njoo uku siha mkuu waache hao hawakujui

  • @elizakileo9125
    @elizakileo91255 жыл бұрын

    Kuzimia lazima 😁😁😁😁na ukizinduka ukaskia tena sauti ya Mwanri unazimia ..

  • @thobiasngonyan7577

    @thobiasngonyan7577

    5 жыл бұрын

    eliza kileo yaan atazimia ata mara kumi ;miss you eliza niceeeee

  • @dr.lottolotto5323

    @dr.lottolotto5323

    5 жыл бұрын

    Alafu unakufa

  • @user-us9gl8jg4l

    @user-us9gl8jg4l

    5 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @adelynemizengo1514

    @adelynemizengo1514

    5 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @chriskingnampoto3214

    @chriskingnampoto3214

    5 жыл бұрын

    Hahaa

  • @japhetmasunga9980
    @japhetmasunga99805 жыл бұрын

    😆😆😆😆😆😆Engineer ww usiniangalie kwa huruma dah kama unamkubali mkuu wa mkoa wa tabora gonga like apa twende saw

  • @theonlyonebeautiful3726

    @theonlyonebeautiful3726

    5 жыл бұрын

    🤣🤣

  • @ansyfalesy1457

    @ansyfalesy1457

    5 жыл бұрын

    😀😀😀😀😀et dirisha la pili amekunywa

  • @7emmanuelmtali336

    @7emmanuelmtali336

    5 жыл бұрын

    Yupo poa

  • @octaviusmollel2034

    @octaviusmollel2034

    4 жыл бұрын

    Hapa kazi tuu hakuna chenga

  • @abednego3876
    @abednego38765 жыл бұрын

    HUYU JAMAA AHAMISHIWE MTWARA AKAPAMBANAE NA KOROSHOW.. Maana Huyu ni Master

  • @agathathobias8690

    @agathathobias8690

    5 жыл бұрын

    Abed nego watuachie mwanry wetu ainyooshe Tabora watoto sasa wanasoma

  • @josej9888
    @josej98885 жыл бұрын

    Hapo kusimamishwa ni uongo, ndo kishaota nyasi hivo! Kama matani vile kumbe kweli!!

  • @jeninunu9177
    @jeninunu91775 жыл бұрын

    Safi sana huu ndiyo mpango bora kuondoa wavunja sheria sehemu zote

  • @praxedadominic9864
    @praxedadominic98645 жыл бұрын

    Kwa waliosoma ipuli sec Tabora kama umemuona sir sichone gonga like

  • @shukurukihwelo3084
    @shukurukihwelo30845 жыл бұрын

    Safii sana kuu wa mkoa na upo vizuri ,nahuwa nakufatiria taarifa zako zote nakutatakia kazi njema

  • @msofelighitrider5748
    @msofelighitrider57485 жыл бұрын

    Kwakweli nimshukuru mungu sipo serekalini mana ninavyo jijua ningesukumwa ndani 😂😂😂

  • @mudhakirudauda7933

    @mudhakirudauda7933

    5 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @meena-ol6fo

    @meena-ol6fo

    5 жыл бұрын

    Yaani mie ningemskizaaaaaa kisha namuuliza umemaliza muheshimiwa?halafu namwambia nihivi baba mkundu wako wewe naaliokuleta hapa nyaga nyie yaani nitaongea haraka maana najua watanivamia

  • @pitargamba9208

    @pitargamba9208

    5 жыл бұрын

    Hongela umegunduwa udhaifu wako.

  • @joankunambi9992

    @joankunambi9992

    5 жыл бұрын

    Msofe Lighitrider hahahaaa

  • @kuchenavhe0028

    @kuchenavhe0028

    5 жыл бұрын

    Haaahaaa

  • @rashidmalilo3657
    @rashidmalilo36575 жыл бұрын

    Mwanri wewe jembe Rais akupe cheo cha juu ukuu wa mkoa haukutoshi wewe ndio unaendana na kasi ya Rais.

  • @ezekielevarest6254

    @ezekielevarest6254

    5 жыл бұрын

    Mkuuu anapiga sana kazi asee

  • @emmanueljohn8970

    @emmanueljohn8970

    5 жыл бұрын

    JPM mwenyewe Hatumuwezi itakuwa Huyu.. Si ndo watu watalia kabisa

  • @adamchamoma5227

    @adamchamoma5227

    5 жыл бұрын

    Mzee hatar huyu.

  • @zuhurasebastian5883

    @zuhurasebastian5883

    5 жыл бұрын

    Rashid Malilo Tusipate kumsifia mtu akiwa anafanya maamuzi ya paniki tujiongeze kidogo wa ndugu

  • @boniphacenyamhanga9395

    @boniphacenyamhanga9395

    5 жыл бұрын

    Piga kazi mwaniri , i like from Italian

  • @maulidkabogota5922
    @maulidkabogota59225 жыл бұрын

    Nitafurahi sana Mh Mwanri akipanda cheo kuwa Waziri.Anatufaa sana katika kujenga nchi yetu,hakuna masihara hapa nyoosha tu watu.Safi sana Eeeh.

  • @pelusiemanueli6926
    @pelusiemanueli69264 жыл бұрын

    Hahahahahaha kama. Umesikia. Ety. Ili jengo kuisha mpka. YESU aludi yen gonga like twende

  • @anthonynhongokemalekela7707
    @anthonynhongokemalekela77074 жыл бұрын

    Asante mungu kwa kumuona mkuu wangu wa sekondari 2015 ziba sekondari pendo ndaki naombeni like zenu jamani

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili96795 жыл бұрын

    Duuh Hongera sana Mkuu Maana huruma zaregesha nyuma,Poleni sana.

  • @Philipoupdates

    @Philipoupdates

    5 жыл бұрын

    Uwaga upo rafiki

  • @mwanahalimamwachili9679

    @mwanahalimamwachili9679

    5 жыл бұрын

    @@Philipoupdates Ndio Mi Popote pale Si Chagui Si Bagui.

  • @efelimwambije708
    @efelimwambije7085 жыл бұрын

    njoo mbeya mheshimiwa, nimekubali kazi yako tena mungu akubariki.

  • @dottobussagwe5264

    @dottobussagwe5264

    5 жыл бұрын

    Hahahaaaaaaaz

  • @robertjunior9916
    @robertjunior99165 жыл бұрын

    Naomba CV ya Aggrey Mwanri

  • @marthapius5361

    @marthapius5361

    5 жыл бұрын

    Robert Junior LUGE alikataa kuangalia CV

  • @geraldgodsontv7982
    @geraldgodsontv79825 жыл бұрын

    Kama unamkubali mwanri mpeni likes zake

  • @ngaksthegreat732
    @ngaksthegreat7325 жыл бұрын

    Engineer:🙄😌 Mwanri: usinitazame kwa jicho LA huruma hapa..!! ......................😂😂😂

  • @simonringo4701
    @simonringo47015 жыл бұрын

    Super Mwanry! Tofauti sana na hao vijana wanaoongoza kwa mihemko badala ya kutumia busara!

  • @derricdeuc3628
    @derricdeuc36285 жыл бұрын

    Hilo dirisha amekunywaa 😂😂

  • @denismrutu9655

    @denismrutu9655

    5 жыл бұрын

    Derric Deuc 😂😂😂😂😂

  • @mboga7

    @mboga7

    4 жыл бұрын

    Nimekubali iyo

  • @kassimjuma8713
    @kassimjuma87135 жыл бұрын

    Punda haeindi mpaka mijeredi. safi sana. mkoa wangu umepata mtu. sahihi.

  • @shukurumgaya5950
    @shukurumgaya59505 жыл бұрын

    Amezimia akianguka sawa tu huyu jamaaa ni hatarii gonga like

  • @hihoonlinetvchannel1575
    @hihoonlinetvchannel15755 жыл бұрын

    Namkubali sana mzeyeee..mfano wa kuigwa kwa viongozi wengine

  • @stellakashebo5052

    @stellakashebo5052

    5 жыл бұрын

    Du Sawa amekosea anazimia MTU amjali maisha ya MTU hayalingani na hill jengo duuu mungu tuhurumie

  • @wanderaothumani4919
    @wanderaothumani49195 жыл бұрын

    Bila hivi nchi haiendi

  • @aminasaleh6134

    @aminasaleh6134

    4 жыл бұрын

    huy mkuu wa mkowa angekuw rais wet wa zanzibar mwaka 2020 yaan zanzibar ingekuw nchi imara sana

  • @johnmwandu2116
    @johnmwandu21165 жыл бұрын

    Daaah Shule yangu kabsaaa huko Igunga, mliosomea Ziba sec. Niwafahamu

  • @mwanju3981

    @mwanju3981

    5 жыл бұрын

    mimi kongwa

  • @johnmwandu2116

    @johnmwandu2116

    5 жыл бұрын

    @@mwanju3981 Michael Kongwa!?

  • @boniphacenyamhanga9395
    @boniphacenyamhanga93955 жыл бұрын

    Piga kazi baba wewe na Magufuri nawakubali sana kuliko viongozi wote nchini Tanzania Nyamhanga from Italian

  • @histonezekiel8054
    @histonezekiel80545 жыл бұрын

    Hizi kazi bora niangaike mwenyewe au mnasemaje wadau

  • @rosemshanga746

    @rosemshanga746

    5 жыл бұрын

    Histon Ezekiel umeonaee

  • @histonezekiel8054

    @histonezekiel8054

    5 жыл бұрын

    @@rosemshanga746 nimeona maana sasa utakufa bure na visivyo kuusu unaweza ukawa aujui chchct lkn likawa upande wako

  • @ramaccr7525

    @ramaccr7525

    5 жыл бұрын

    Histon Ezekiel apo lazima niangahike mitahani kwamaneno ayo na kwahizi asira ninazo bora niangaike

  • @wakavengaog9016
    @wakavengaog90165 жыл бұрын

    Huyu Km Ni Babaako Aseeeeee............Utajuta Kuzaliwa Nae🤣

  • @happynescharles1511
    @happynescharles15115 жыл бұрын

    Ndo maana sina mpango na ajira zao kufanya kazi kiroho juu juu duuu maisha yenyewe hayaaa

  • @eunicemishel2562
    @eunicemishel25625 жыл бұрын

    Eti Yesu atakaporudi.Hivi unajua siku atakayo rudi

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel5 жыл бұрын

    Mh.Salute Hio nafasi sio staili yako unatakiwa mh.Rais akupandishe cheo zaidi Hili kuwatete watanzania wote . Nilicho kipenda hapo huchunguzi hufanyike hasie na kosa ataenderea na majukumu yake kama kawaida bila kumuonea mtu. Halafu hawa wanao taka kula kwa nini wanataka kula wenyewe bila kukushirikisha? Wakumbushe kazi haendi hivyo hata wewe unaitaji kula.

  • @barakastephano6144
    @barakastephano61445 жыл бұрын

    Huyu mtu hunifurahisha sana, yaani huwatetemesha watumishi kama mzee magufuli tu. Big up kwako mh. Mwanri

  • @sifamugwaneza1178
    @sifamugwaneza11785 жыл бұрын

    Hapo ndipo utajua kwamba kuitendea haki kazi yako nimuhum au la!! Ambao bado wapo kwenye kiti waitumie nafasi yao vizuri maana mambo hayatabaki kuwa mazuri kilasiku, dah!! pole ako

  • @dawillygene
    @dawillygene5 жыл бұрын

    Maguu hoyeeeee, kweli umechagua jembe. Walishazoea ujanja ujanja tu.

  • @tomasbahati2395

    @tomasbahati2395

    5 жыл бұрын

    Soma hiyo

  • @tabiafataki8917
    @tabiafataki89175 жыл бұрын

    Mkuu wa mkoa uyo tungeletewa mkoa Moro ingekua vzr kuna madd mengi uku

  • @peterkyese4516

    @peterkyese4516

    5 жыл бұрын

    Umeonaaa eeh haswaa kilombero Kuna mavi mavi tyuu sijui rais hua aoniii 🙄

  • @merrymeshack3813

    @merrymeshack3813

    4 жыл бұрын

    Tena uko kwetu matombo jamani njoo uku baba

  • @annachuma247
    @annachuma2475 жыл бұрын

    Pole patricia

  • @abelsabibi6192
    @abelsabibi61925 жыл бұрын

    Safi sana mzee Mwanri,unamsaidia vzr mh.Rais ili taifa letu lisonge mbele,hawa watu wameaminiwa na kupewa dhamana lakini hawatekelezi ipasavyo as a result wananch wanaichukia serikali yao.

  • @salumseif5838
    @salumseif58385 жыл бұрын

    Wabheeja sana bhabha..bhagololage kooi

  • @georgemashauri4657

    @georgemashauri4657

    5 жыл бұрын

    Mzee nenda nao jumla jumla

  • @peterkyese4516
    @peterkyese45165 жыл бұрын

    Eng usimwangalie mkuu wa mkoa kwa huruma kweli weee baba just love you from mbeya city

  • @ezekielmbazi.8687
    @ezekielmbazi.86875 жыл бұрын

    bora kujiajiri tuuu

  • @josephinemacha7112

    @josephinemacha7112

    5 жыл бұрын

    Kweli brother

  • @joycenganyule3231

    @joycenganyule3231

    5 жыл бұрын

    Ezekiel Mbazi. nice

  • @AliMohamed-kd1uc

    @AliMohamed-kd1uc

    5 жыл бұрын

    Duuuu

  • @helmensliampawe7775

    @helmensliampawe7775

    5 жыл бұрын

    Watu wengi atujui kuajiliwa ni utumwa!!

  • @egnokinunda6959

    @egnokinunda6959

    5 жыл бұрын

    Kweli

  • @edisonkayaman8851
    @edisonkayaman88515 жыл бұрын

    Nakukubali piga kaz mungu atakuongoza

  • @eliamwalukisa4173
    @eliamwalukisa41735 жыл бұрын

    Tukimpa nchi Huyu mzee tumekwishaaaa aisee

  • @maxmaizer4631

    @maxmaizer4631

    5 жыл бұрын

    Hshahaaaa

  • @mbondokambi8053
    @mbondokambi80535 жыл бұрын

    Hamna kitu hapo wamekukimbia kijanja

  • @mhemahenrick9043

    @mhemahenrick9043

    5 жыл бұрын

    Mbondo Kambi ip

  • @frankmkobalo9713
    @frankmkobalo97135 жыл бұрын

    Duuuuuh rais magufuli naomba huyu jamaa utulitee dodoma anafaa sana na ataendana na kasi ya mkoa

  • @theonlyonebeautiful3726
    @theonlyonebeautiful37265 жыл бұрын

    😂🤣😂😂😂yaani huyu baba ananifurahisha sura yake tu hapo hajatumbua 🤣🤣wakomeshe wamezoea kuchakachua kila kitu wamesahau ni uzao wa magu upo kazini.magu hoyeeeeeeee💪💪👊

  • @mmbandomacky2117
    @mmbandomacky21175 жыл бұрын

    Kuzimia kwangu is not an issue......hhahahhahhhahah

  • @gabrielishmael5956
    @gabrielishmael59565 жыл бұрын

    Kukosa ugali na hujajipanga ni noumaaaa....lazima uzimeee

  • @lamecktheonest225

    @lamecktheonest225

    5 жыл бұрын

    Gabriel Ishmael mbaya zaidi uwe namadeni,, mayooo😁

  • @mapenzi_tz1511

    @mapenzi_tz1511

    5 жыл бұрын

    😁😁😁😁😁😁😁

  • @jenifambafu2682

    @jenifambafu2682

    5 жыл бұрын

    hahahaaaaaa uwiii kz kweli kweli ugali ni noma

  • @judithpaul9013

    @judithpaul9013

    5 жыл бұрын

    Lameck Theonest hahaha umenichekesha knom

  • @raziambwana2145

    @raziambwana2145

    5 жыл бұрын

    Gabriel Ishmael hahahaa

  • @mcmifukotz7267
    @mcmifukotz72675 жыл бұрын

    INJINIA USINIANGALIE KWA HURUMAA 😂😂😂

  • @kelbeckmusicworld1736

    @kelbeckmusicworld1736

    5 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @felixcostantino9729

    @felixcostantino9729

    5 жыл бұрын

    ema mifuko 😂😂😂

  • @theonlyonebeautiful3726

    @theonlyonebeautiful3726

    5 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @2pacshakur912

    @2pacshakur912

    5 жыл бұрын

    Utawala bora haupo hivyo

  • @denismrutu9655

    @denismrutu9655

    5 жыл бұрын

    ema mifuko 😂😂😂😂

  • @ndarogamba191
    @ndarogamba1915 жыл бұрын

    Nakukubali kwa kuwa u muwazi japo majuzi hapa uliboronga kwa kumtaka Mungu amshukuru Magufuli ila tulikusamehe kwa kuwa tulijua kutokana na mtu akizidisha umaridadi au mgema anaposifiwa💪💉

  • @warlenjerome347
    @warlenjerome3475 жыл бұрын

    *Hii ni zawadi kwa ajili ako wewe Kama rafiki,ndugu na shabiki wangu* nikuombe utumie angalau dakika 2 tu kuisikiliza zawadii hii 🔥🔥🔥🔥🔥 *GUSA LINK 👇👇👇 KUISIKILIZA* kzread.info/dash/bejne/paGMo66Ip6mbkqg.html *USISAHAU KUSUBSCRIBE KULIKE NA KUCOMMENT*

  • @aliciusalistides6748
    @aliciusalistides67485 жыл бұрын

    Kazi za kuajiriwa na serikari hatari bora uajiriwe na kampuni maana unakuwepo ujijui utang'olewa link ase Mimi napiga MOBISOL safi

  • @J4UPro

    @J4UPro

    5 жыл бұрын

    Hajang'olewa kasimamishwa kupisha uchunguzi.

  • @peterkyese4516
    @peterkyese45165 жыл бұрын

    Kwanini mwanri asihamishiwe morogoroo maana Kuna viongozi was morogoroo ni mavi mavi tyuuu....,🙄🙄🙄

  • @maxmaizer4631

    @maxmaizer4631

    5 жыл бұрын

    Aapana acha kwanza akae uku tabora

  • @mussahamissimba6889
    @mussahamissimba68895 жыл бұрын

    Maamuz mugumu siku zote yana positive impact

  • @israelmwanri9412
    @israelmwanri94125 жыл бұрын

    Huyo ndo Agrey mwandri, Arusha wanamjua alipokua mkuu wa wilaya.

  • @barakamarmo8104
    @barakamarmo81045 жыл бұрын

    Maafisa Elimu ni wababe sana wanapokuwa maofisini,hawana huruma na walimu utadhani wao hawakuwahii kuwa walimu!!!sukuma ndani wote!!!

  • @omarymwigura328
    @omarymwigura3285 жыл бұрын

    Mtu akianguka mm Sina tatizo 😂😂😂alafu huyu kuuli si ndio kafungiwa na Tff

  • @andrewmsunga9425
    @andrewmsunga94255 жыл бұрын

    😁😁😁😁😁 eti jambo halitaisha mpaka Yesu atakaporudi

  • @mligombuma2287
    @mligombuma22875 жыл бұрын

    Afisa elimu anaanza kujiliza aonewe hurumaaa hahahaaaaa kazi kweeeelii kweeelii

  • @sharifaabubakari6372
    @sharifaabubakari63725 жыл бұрын

    Mtakuja kuua mtu cku iwe kizaa zaa..Mwl. aliona mbali akakataa swala hili zipo taratibu maalum za maadili ya utumishi wa umma

  • @pitargamba9208

    @pitargamba9208

    5 жыл бұрын

    Kabisa Mungu akubariki

  • @reubenbusanji2904

    @reubenbusanji2904

    5 жыл бұрын

    Sharifa Abubakari kwani Wamefukuzwa?

  • @reubenbusanji2904

    @reubenbusanji2904

    5 жыл бұрын

    Huyo afisa angekuwa msafi asingezimia maana uaminifu wake ungemtetea bila shaka anajua makosa yake atavuna alichopanda

  • @uncledavitv6481
    @uncledavitv64815 жыл бұрын

    kuzmia kwangu isn't a issue😂😂😂 Daaaah Mwanri unajua Kwamba we nijembe kabisa

  • @mariamsayari7880

    @mariamsayari7880

    5 жыл бұрын

    Upo huku nawewe😂😂😂

  • @tuly_tulive_tv_online_0140

    @tuly_tulive_tv_online_0140

    5 жыл бұрын

    @@mariamsayari7880hbr

  • @mariamsayari7880

    @mariamsayari7880

    5 жыл бұрын

    @@tuly_tulive_tv_online_0140 Poa

  • @filbertnashon7160
    @filbertnashon71605 жыл бұрын

    😀😀😀😀dirisha Hilo INJINIA amekunywa 😀😀😀 Mkuu

  • @frankmosses1004
    @frankmosses10045 жыл бұрын

    Mimi kuzimia is not an issue hahahaha kazi nzuri

  • @harunakayega5531
    @harunakayega55315 жыл бұрын

    Huyu jamaa unaweza ukamuona kama chizi lakin yupo makin sana hahahah

  • @hafidhramadhan3942
    @hafidhramadhan39425 жыл бұрын

    Wazee wa Bodi naomba muje hukuuu hahahahaha

  • @gloriachristianshirima5001

    @gloriachristianshirima5001

    5 жыл бұрын

    Baba Irene kaza butiiisukuma ndani haoooo

  • @praksedamweyo9467

    @praksedamweyo9467

    4 жыл бұрын

    hafidh ramadhan

  • @jumasuleiman9570
    @jumasuleiman95705 жыл бұрын

    Injinia amekunywa dirisha.....😂😂😂😂

  • @theonlyonebeautiful3726

    @theonlyonebeautiful3726

    5 жыл бұрын

    🤣🤣🤣😂😂

  • @evansrichard4497

    @evansrichard4497

    5 жыл бұрын

    Wampe uwaziri wa Michezo ili awanyoshe

  • @edsonmunuo7112

    @edsonmunuo7112

    5 жыл бұрын

    😂😂😂😂kanywa kweliii

  • @fratebongole1827
    @fratebongole18275 жыл бұрын

    Mungu amlinde jaman rc mwanri ni jembe

  • @alicebahadia5529
    @alicebahadia55295 жыл бұрын

    I was missing this man😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @chrischleopa7738

    @chrischleopa7738

    5 жыл бұрын

    Now he has back in to contention

  • @micamathew6433
    @micamathew64335 жыл бұрын

    Amezimia mtu mmoja hapo, dahhh, kazi ipo

  • @coachndesh
    @coachndesh4 жыл бұрын

    lol,tanzania you have great leaders...i envy you

  • @abou2607
    @abou26075 жыл бұрын

    Huyu jamaa tuletewe Dar as salaaam ... Bashite apumzishe majukumu yake kupisha uchunguzi 😂🤣🤣

  • @stevoovlogs8645
    @stevoovlogs86455 жыл бұрын

    Daaaaaah mie ningekuwa mtumishi tabora walahi ningekuwa tayari nishasukumwa ndani maana siwezi kufokewa hvyo kifala

  • @corrolesscps

    @corrolesscps

    5 жыл бұрын

    Stevoo Vlogs . Jitume vizuri bila kushurutishwa, na kuwa muaminifu na kazi yako, hamna atakae kufokea, hapa kazi tu, uwezi jitoe kaa chonjo wachie wenye kujiweza kufanya kazi kwa nia moja

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan63655 жыл бұрын

    NAKUPENDA SANA *RC MWANRY*

  • @lobalobaanase438
    @lobalobaanase4385 жыл бұрын

    Watz tumesomea kuongea kuliko kz

  • @kimmseinvtz

    @kimmseinvtz

    5 жыл бұрын

    Lobaloba Anase Kweli kabisa!!

  • @wisemankitwana213
    @wisemankitwana2135 жыл бұрын

    Mwanri Mungu anakuona kwakweli

  • @mangalilikilawe6788
    @mangalilikilawe67885 жыл бұрын

    Mimi mtu akianguka akidondoka it is okay 😁😁😁😁😁

  • @ezekiellugali305
    @ezekiellugali3055 жыл бұрын

    Uko sawa mzeee

  • @hilaliusjohn8386
    @hilaliusjohn83865 жыл бұрын

    We babu njoo huku hapa hauhitaji mambo ya chuo kuu!!!? Mwanri asema!!!!

  • @williamkeita1519
    @williamkeita15195 жыл бұрын

    Mh mwary anachekesha sana kwa maneno yake.na anapiga kazi baraa.MIMI mtu akianguka its okey,mzee njoo hapa hii haihitaji elimu ya chuo kikuuu.Usiniangalie kwa huruma dirisha umekunywa

  • @mathiasmalimi4555
    @mathiasmalimi45555 жыл бұрын

    Naomba huyu Mwari Aje Kigoma maana kunamambo hayaendi sawa sawa kunashule inamiaka 6 haikamiliki mpaka leo

  • @hpalacemusic

    @hpalacemusic

    5 жыл бұрын

    kigoma wampige kipapii hehe

  • @nasracebu7072

    @nasracebu7072

    5 жыл бұрын

    Mathias Malimi kgm atalazwa ziwani

  • @mussahmanyehe267
    @mussahmanyehe2675 жыл бұрын

    Shida ni Eng kwann asisimamie kwa Raman? Ss maeng.tunaongozwa na rmn

  • @fabianjulius5274
    @fabianjulius52745 жыл бұрын

    Very smart ...

  • @comrademlewaisavile336
    @comrademlewaisavile3365 жыл бұрын

    Super nwanry ww ni zawadi Kwa wanatabora.piga kazi nakuelewa Sana mkuu

  • @burtonsatshop2061
    @burtonsatshop20615 жыл бұрын

    🤣🤣😅😅😅😂😂 daaah!!!...mkuu hatari sana,anamchukua ustaadhi na swaumu njoo usigope haya mambo hayahitaji chuo kikuu

  • @nimrodsigulu6249
    @nimrodsigulu6249 Жыл бұрын

    Financial freedom is only hope...

  • @mwanaiddaud4224
    @mwanaiddaud42245 жыл бұрын

    Jaman Afisa Elimu wang mama mbigil pole

  • @reubenbusanji2904

    @reubenbusanji2904

    5 жыл бұрын

    mwanaid daud jamani mwanaid unafaa siku ya Idd

  • @charlittotarimo519
    @charlittotarimo5195 жыл бұрын

    Injiniaa usiniangaliee kwa hurumaa 😂😂😂😂😂

  • @benjaminsamson1145

    @benjaminsamson1145

    5 жыл бұрын

    baba tarimo upo mkuu

  • @benjaminsamson1145

    @benjaminsamson1145

    5 жыл бұрын

    😂😂😂😂aloo hii serikali ni wembe mazee

  • @charlittotarimo519

    @charlittotarimo519

    5 жыл бұрын

    @@benjaminsamson1145 ni balaa 😂😂😂😂😂

  • @athanaserazaro6517
    @athanaserazaro65173 жыл бұрын

    Siku wakikuhamishia mwanza nitafrahi sn mzee nakukubali sn ujanja ujanja hakuna na kazi iendeleee

  • @lincolnmaleko4847
    @lincolnmaleko48475 жыл бұрын

    Mama wa watu pressure imepanda dah...hii speed ya awamu ya 5 mtakondaa tuuu😄😄😄😄

  • @wilsongeorge4061

    @wilsongeorge4061

    4 жыл бұрын

    Aje musoma Mara

  • @iamtimothyjackson5338
    @iamtimothyjackson53384 жыл бұрын

    Daaaah engineer ww ucnianglie kwa huruma apa

  • @restutazimbeiya3806
    @restutazimbeiya38065 жыл бұрын

    Hbr ndo hiyo hapa kazi tu hamna mambo mengine

  • @ahmedissa7882
    @ahmedissa7882 Жыл бұрын

    Kila la kheri muheshimiwa InshaaAllah

  • @barikinihataringira5113
    @barikinihataringira51135 жыл бұрын

    Uko vizuri mzee

  • @mashakaharuna405
    @mashakaharuna4055 жыл бұрын

    Ee mungu viongozi kama hawa walikuwa wapi haonewi mtu

  • @dianafredrick3362
    @dianafredrick33625 жыл бұрын

    Jamaani huyu mbaba noooumaaaaaa sanaaaaa

  • @frankongete9396
    @frankongete93965 жыл бұрын

    When submission become a law resistance is inevitable. Thanks

  • @juniorkillo8591

    @juniorkillo8591

    5 жыл бұрын

    Bro nimependa haya maneno na kusoma kwangu kote aisee sijaelewa plz nitsfsirie

  • @mangalilikilawe6788
    @mangalilikilawe67885 жыл бұрын

    Aaha kuzimia me labda kama mtu amelala amezima is not isshu

  • @elinahdaudi8195

    @elinahdaudi8195

    5 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mapenzi_tz1511

    @mapenzi_tz1511

    5 жыл бұрын

    😁😁😁😁😁😁😁

  • @christinadismas7487

    @christinadismas7487

    5 жыл бұрын

    Haha

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum71565 жыл бұрын

    Washazoea maisha ya ujanja ujanja sasa inakula kwenu😂😂

  • @theonlyonebeautiful3726

    @theonlyonebeautiful3726

    5 жыл бұрын

    Hapa kazi tu kizazi cha magu yeeeeeeeh💪

  • @athanaserazaro6517

    @athanaserazaro6517

    3 жыл бұрын

    Umeonaee

  • @radhiasalum7156

    @radhiasalum7156

    3 жыл бұрын

    @@athanaserazaro6517 abc

  • @radhiasalum7156

    @radhiasalum7156

    3 жыл бұрын

    @@athanaserazaro6517 abc

  • @halfanrashid4977
    @halfanrashid49775 жыл бұрын

    waliosikia neno hiki ni kioja gonga like hapa

  • @erickmbise7159
    @erickmbise71595 жыл бұрын

    dirisha la pili amekunywa apa 😁😁😁😁😁😁