RC MWANRI "USIMWAMBIE DC AKUSIKILIZE KIBAO KITAGEUKA, MNATEMBEZA UBABE"

Пікірлер: 156

  • @isacklaurent8948
    @isacklaurent89485 жыл бұрын

    kudadeki, hawa sindio viongozi bhan aseee mungu atawapigania sana ktk uongoz wenu

  • @mwamvuaulled7755
    @mwamvuaulled77555 жыл бұрын

    kama unamkubali mkuu wa wilaya na mkuu wa mkoa gonga like hapa

  • @mwakaproductionbombardier4203

    @mwakaproductionbombardier4203

    5 жыл бұрын

    Huyu mzee ni mtetezi wa wanyonge na mfanya kazi bora. Ni mtendaji sn anamsaidia raisi ipasavyo.

  • @emmanuelpaul5818

    @emmanuelpaul5818

    4 жыл бұрын

    Dah kwel nmemuona 🤣🤣😂😂🤣🤣🤣😂😂

  • @lusekeloambwene810

    @lusekeloambwene810

    4 жыл бұрын

    Mwamvua Ulled sisoni

  • @boniphacetabu2903
    @boniphacetabu29035 жыл бұрын

    Kama umemuona mwenyekiti anashushia maji gonga like.

  • @laipazergy7938

    @laipazergy7938

    5 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @ansyfalesy1457

    @ansyfalesy1457

    5 жыл бұрын

    😀😀

  • @robertmussa1056

    @robertmussa1056

    5 жыл бұрын

    boniphace tabu hahahah we noma

  • @imanuelysangas8977

    @imanuelysangas8977

    5 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @raziambwana2145

    @raziambwana2145

    5 жыл бұрын

    boniphace tabu anatakiwa awekwe ndani huyu mwenyekit mpumbav kabsa eti walichukuwa viwanja kumi kwajili yamaendeleo mama akabaki naviwili hahahaa

  • @damianoadam1041
    @damianoadam10414 жыл бұрын

    Hii ndio Serikali tunayohitaji watanzania.Hakuna manyanyaso,mwenye haki anatendewa haki.Asante Rais Dr JPM kwa kuonyesha dira kwa watendaji wa Serikali.Mungu akubariki Rais wetu,awabariki DC na RC kwa kutenda haki.

  • @leahkparsino481
    @leahkparsino4815 жыл бұрын

    upo vizur rc mungu akubakuki coz unawatetea wanyonge

  • @mafurudonald4217
    @mafurudonald42174 жыл бұрын

    Kama unamkubali rc mwaniri gonga like

  • @claudraphael1527
    @claudraphael15275 жыл бұрын

    maamuz mazur sanaa rc tbr nakukubali sana mzee wangu...

  • @bhtmtk3313
    @bhtmtk33134 жыл бұрын

    Ilitakiwa uwe naibu wazr TAMISEMI hakika Mwanir🌹🌹🌹🌹🌺💐🌷

  • @fabianfaustine444
    @fabianfaustine4445 жыл бұрын

    Hakika huyu jamaa anajua uongozi mungu amuongoze

  • @kassimjuma8713
    @kassimjuma87135 жыл бұрын

    Huyo mama anaesinzia Sukuma ndani mkuu hayuko makini na kikao

  • @fatmarashid2384

    @fatmarashid2384

    5 жыл бұрын

    Labda ajisikii vizuri

  • @rehemahamisi9971

    @rehemahamisi9971

    5 жыл бұрын

    😁😁😁😁😁

  • @wanderaothumani4919

    @wanderaothumani4919

    4 жыл бұрын

    😂😂

  • @raymondkazungu6261

    @raymondkazungu6261

    4 жыл бұрын

    hahahaa hayuko makini kwel

  • @kizitokasulamo9167
    @kizitokasulamo91675 жыл бұрын

    Alie mwona mama kachapa usingizi 😂 😂 😂 😂 like hapa

  • @davidgithiomi4071
    @davidgithiomi40712 жыл бұрын

    Im not from Tanzania but this is why i love Tanzania with a passion

  • @newforcejv9721
    @newforcejv97215 жыл бұрын

    Sitaki kusikia viwanja 10 vyote virudishwe mnasema aaaaaaaah kabsa tuelewane hapa cyo kufanya vtukibabe vngnevyo sukuma ndani

  • @laurentsunta5169
    @laurentsunta51695 жыл бұрын

    huyu mkuu wa mkoa Mungu ampe maisha marefu

  • @francismatuta1984
    @francismatuta19845 жыл бұрын

    Haswaaa mkuu wa mkoa uko sahihi sana inakuaje uchukue viwanja kumi vyote halafu unatumia ubabe???

  • @happynesselisha2048
    @happynesselisha20485 жыл бұрын

    Looh viwanja kumi 🤔🤔🤔mwenyekiti hata kama ni ww ungetoa

  • @lugendopius1231
    @lugendopius12314 жыл бұрын

    Jamani wakuu wa mikoa wengine jifunzeni kazi kutoka kwa huyu mzee,tunataka inchi nzima iwe hivi hapa kazi tu.

  • @newforcejv9721
    @newforcejv97215 жыл бұрын

    Kama umesikia mwambie hajiandae mwenye kiti akapatwa na kiu akashushia na maji like

  • @hamadshein935
    @hamadshein9355 жыл бұрын

    AMA ZAKO AMA ZANGU SUKUMA NDANI.

  • @kimmauston1059
    @kimmauston10595 жыл бұрын

    Haya ndio maamuzi ya kiongozi mwenye kujali maslahi ya jamii yake

  • @Petro_classic1
    @Petro_classic15 жыл бұрын

    Hii ndiyo haki MUNGU AWABARIKI viongozi waadirifu Kama ninyi

  • @erickchristopher7143
    @erickchristopher71435 жыл бұрын

    Kama umesikia duh vyote ivyo gonga like

  • @Chiwaligo
    @Chiwaligo5 жыл бұрын

    Mwenyekiti zarau zimemjaa sana hata sura yake inaonyesha Vinginevyo sukuma ndani

  • @fatmarashid2384

    @fatmarashid2384

    5 жыл бұрын

    Ndio walivyo majeuli sana na majeuli hatari hawasamini laia wao

  • @shafiisadiki3733

    @shafiisadiki3733

    5 жыл бұрын

    Sukuma ndani

  • @idyjumanne9796
    @idyjumanne97965 жыл бұрын

    viongozi kama mwari ndio tunao wataka

  • @josephsimiyu5211
    @josephsimiyu52114 жыл бұрын

    Ubarikiwe ndugu Mwanri

  • @rashidbusanya7166
    @rashidbusanya71665 жыл бұрын

    Sukuma ndan hao matapeli

  • @alexjeremia7686
    @alexjeremia76865 жыл бұрын

    😂😂😂😂Mwenyekiti wa kijiji anakunywa maji ili kulainisha koo, anaujua mziki wa RC mwanri si wakitoto kwenye kuuliza maswali hasa pale unapokuwa ushavulunda 😊

  • @godyndosajr
    @godyndosajr5 жыл бұрын

    Nksimama itakua shughuli hapa😂😂

  • @samwelhechei8537
    @samwelhechei85375 жыл бұрын

    Mko vizuri Sana wakuu

  • @pappaambise8391
    @pappaambise83915 жыл бұрын

    Naomba mwendelezo jmn maana hii Habari ni nzuri Sana kuisikiliza

  • @bockernyarusahi3655
    @bockernyarusahi36554 жыл бұрын

    Huyu Mwanri angelepekw Dar il akasukume maendeleo ya Jiji mbele,Bashite kapwaya

  • @Unclerammaschannel
    @Unclerammaschannel5 жыл бұрын

    Jamani sukuma ndani no no no ubabe by low tengua kila kitu 🙏🙏🙏

  • @wangwemrongoti3
    @wangwemrongoti35 жыл бұрын

    Kama umesikia ama zangu ama zao gongs like👌

  • @aliarkam1413
    @aliarkam14135 жыл бұрын

    Ahsante sana mkuu

  • @hasanially9294
    @hasanially92945 жыл бұрын

    Tuko pamoja mkuu wa mkoa nakukubali sana natamani unge kuwa tanga

  • @azdatuppazdatupp286

    @azdatuppazdatupp286

    5 жыл бұрын

    yan nataman awe wa kwetu tanga anyooshe maana kumeoza tu sio maendereo mikoa mingine inamaendereo

  • @christopherwalalaze2619

    @christopherwalalaze2619

    4 жыл бұрын

    Uko vizuri Mkuu was mkoa Tabora

  • @babuumaeda7671
    @babuumaeda76715 жыл бұрын

    Mh, maguful tupe huyu MWANRI SINGIDA, kwa MAENDELEO zaid, hongera yako, TABORA TORONTO

  • @fanbullalukasa486

    @fanbullalukasa486

    5 жыл бұрын

    Big up mkuu wa mkoa natamani ungekuja songwe yangekiona cha moto

  • @mwakaproductionbombardier4203

    @mwakaproductionbombardier4203

    5 жыл бұрын

    Aje Tanga kuna uhitaji wa huduma hii

  • @thomasndumila4382
    @thomasndumila43825 жыл бұрын

    Kamata Sukuma ndani #aggreyvoice

  • @sifamwakaniemba443
    @sifamwakaniemba4434 жыл бұрын

    I wish ungekuwa RC wa Mbeya

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum71565 жыл бұрын

    Uyu mwenyekiti alisikia katajwa jina kwanza kanywa maji hahah kaona hii ya moto leo😂😂

  • @raziambwana2145
    @raziambwana21455 жыл бұрын

    Huyo mwenykit wa chama gan mbona anadharau sana unapewa maagizo afu anatabasamu viatu havimtoshi hata kdg .

  • @manwoka4078
    @manwoka40785 жыл бұрын

    Hicho kijiji kinaitwa cha kupokonya?

  • @josephjila957
    @josephjila9575 жыл бұрын

    Kazi kweli kweli!!!!!

  • @danymsinga7048
    @danymsinga70485 жыл бұрын

    Kibaoo kitageuka hapaaa🤣🤣🤣🤣🤣

  • @jonasmziba3081
    @jonasmziba30815 жыл бұрын

    HUYU JAMAA NAMTANI SANA WAMLETE SHINYANGA ETY

  • @efelimwambije708
    @efelimwambije7085 жыл бұрын

    Njooo mbeyaa mkuu

  • @xaverysunday1886
    @xaverysunday18865 жыл бұрын

    TOKA TEAM MEDIA MAKAMBAKO TOWN DAHAAA HESHIMA

  • @salimmohamed694
    @salimmohamed6945 жыл бұрын

    uyu ndio kiongozi bora anatetea haki ya mnyonge

  • @abuumussa2390
    @abuumussa23905 жыл бұрын

    nimekuelewa mzee baba

  • @joesphjustine8094
    @joesphjustine80945 жыл бұрын

    Baada ya magufuli ni huyu mwanri no discussion.god saidia hili litokee.

  • @kelvinkaniki7186

    @kelvinkaniki7186

    4 жыл бұрын

    Joesph Justine kuna jembe Lukuvi umemsahau

  • @adventureguidertanzania2331
    @adventureguidertanzania23315 жыл бұрын

    Alieona mkuu wa wilaya ni mzuri nani

  • @karimubakari8813
    @karimubakari88135 жыл бұрын

    Hiyo Kali sna

  • @mamadanhelena8190
    @mamadanhelena81905 жыл бұрын

    Safi sana RC

  • @mabebyb6427
    @mabebyb64275 жыл бұрын

    Nakuaminia mkuu maana uyo mwenye kiti njaa kalii......?

  • @jonasmziba3081

    @jonasmziba3081

    5 жыл бұрын

    HUYU JAMAA NAMTANI SANA WAMLETE SHINYANGA

  • @victormollel6678

    @victormollel6678

    5 жыл бұрын

    Sukuma ndan

  • @samsonkusupa6809
    @samsonkusupa68095 жыл бұрын

    ndio tatizo hawa viongozi wakijj kutokuwa na elimu ya kutosha kuhusu masuala ya uongozi

  • @jimisonpius8100
    @jimisonpius81004 жыл бұрын

    We baba unatisha sana nakukubali sana dha

  • @diamondplatnum8375
    @diamondplatnum83754 жыл бұрын

    Millad umeanza kumfatilia uy mda sana nakubal

  • @Unclerammaschannel
    @Unclerammaschannel5 жыл бұрын

    Maji maji joto Tabora nime gonga like 👆🙏

  • @costantinejoseph4907
    @costantinejoseph49075 жыл бұрын

    hujawai kukosea baba tetea wanyonge

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum71565 жыл бұрын

    Ama zangu ama zao ee bwana ee aseee napenda sana kukusikiluza baba

  • @kikochetz6739
    @kikochetz67395 жыл бұрын

    Agrey mwari🔥🔥

  • @tonymlatino4810
    @tonymlatino48105 жыл бұрын

    Huyu RC tunamuitaji MARA

  • @chachamagoti2400

    @chachamagoti2400

    5 жыл бұрын

    Mnamuhitaji na nani

  • @tonnsimbasportsclub7168

    @tonnsimbasportsclub7168

    5 жыл бұрын

    Chacha Magoti hujaelewa au

  • @boniphacetabu2903

    @boniphacetabu2903

    5 жыл бұрын

    Malima anawatosha acha aendelee kuwalima ni jembe

  • @tonnsimbasportsclub7168

    @tonnsimbasportsclub7168

    5 жыл бұрын

    boniphace tabu duhhh

  • @chrismeshack8111
    @chrismeshack81115 жыл бұрын

    apo sawa nakubal mkuuuuuuu

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz51925 жыл бұрын

    Mwanri wanyooshe matapeli hao

  • @thomasmartinez786
    @thomasmartinez7862 жыл бұрын

    Kwanza usimwambie mkuu wa wilaya akusikiliza kibao kitageuka hapa😁😁🔩2022

  • @dullamkwinda7594
    @dullamkwinda75944 жыл бұрын

    wewee inatakiwa huyu jamaa baaada ya magu tumpe huyu jamaaa anafaa sana kuwa rais wa jamhuri

  • @williamuphilipo7447
    @williamuphilipo74475 жыл бұрын

    Tanzanian inahitaji viongozi kama hawa, tumechoka na viongozi makanjanja.

  • @stevekanuya111
    @stevekanuya1115 жыл бұрын

    Sukuma ndani

  • @juliuskatemi6816
    @juliuskatemi68165 жыл бұрын

    bigup rs mwanir

  • @ephraimkazonda8454
    @ephraimkazonda84545 жыл бұрын

    Kama umemwona mama kasinzia Gonga5

  • @gigotz1755
    @gigotz17555 жыл бұрын

    Ama zangu ama zao no nooo

  • @jacklinamani7519
    @jacklinamani75194 жыл бұрын

    Mwenye kiti anashushia maji Mana kaz a ndogo

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala33034 жыл бұрын

    Asant mkuu umeunguruma

  • @josephsala5415
    @josephsala54155 жыл бұрын

    Haswa huyo alielala sukuma ndani mkuu hayuko makini

  • @petrosanga1366
    @petrosanga13665 жыл бұрын

    Mwanri ybarikiwe

  • @mr.chocolate265
    @mr.chocolate2654 жыл бұрын

    Eeh bana eeh

  • @mgogobucha3315
    @mgogobucha33155 жыл бұрын

    safi sana arudishe

  • @johnmwangove9928
    @johnmwangove99284 жыл бұрын

    Mkuuu wa wilaya na mkuu wa mkoa chupa na kizibo hongereni saanaa kutetea wanyonge that's sprit of magufuri

  • @reganngoo8571
    @reganngoo85715 жыл бұрын

    Nikisimama hap itakua balaaaaa

  • @imanuelysangas8977

    @imanuelysangas8977

    5 жыл бұрын

    😂😂

  • @ayoayoo1222
    @ayoayoo12224 жыл бұрын

    Yani kati ya kumi na mbili wakachukua kumi Daaah?

  • @danielmbao3520
    @danielmbao35202 жыл бұрын

    Wakuu kama Hawa wako wapi siku hizi.

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki39664 жыл бұрын

    Ikaja grader ikapitishwa barabara ndani ya baadhi ya viwanja na nimelipa tena hela nipimiwe eneo upya wakati nilishalipa awali hilo eneo na ramani ipo

  • @evamacha4599
    @evamacha45995 жыл бұрын

    Mungu akubariki mkuu wa mkoa

  • @ssafricancreator9151
    @ssafricancreator91515 жыл бұрын

    Jamaa anapiga kazi

  • @kiyondokashuma7512

    @kiyondokashuma7512

    5 жыл бұрын

    baba njoo tanga were jembe

  • @aguumoppao15
    @aguumoppao155 жыл бұрын

    👏👏👏👏👏👏👏👏👍

  • @wisdomuta1039
    @wisdomuta10394 жыл бұрын

    Kibao kitageuka hapa halafu nikiamka itakuwa shughuli

  • @safariadrien5348
    @safariadrien53485 жыл бұрын

    Mwambie ajiandae kieeehhh

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki39664 жыл бұрын

    Hk ni Tabora njoo Morogoro viwanja vyangu nilipimiwa lilikuwa shamba hapo awali na nilipewa muongozo kuwa ni Mji na haitakuwa tena mshamba

  • @muinjiristimgimbe6678
    @muinjiristimgimbe66785 жыл бұрын

    ,😂😂mwanri

  • @marrymimependasanacosta1837
    @marrymimependasanacosta18374 жыл бұрын

    Kibao kitageuka hapa😂😂😂😂😂

  • @omurwasolomon5131
    @omurwasolomon51314 жыл бұрын

    Nani ako na Number ya DC tafathari

  • @saimonmgeta5239
    @saimonmgeta52395 жыл бұрын

    Kazi ipo

  • @majaliwahassan8007
    @majaliwahassan80074 жыл бұрын

    Tusianze kuendesha halmashauri kibabe hapa😂😂

  • @mnazaretinemi4203
    @mnazaretinemi42035 жыл бұрын

    Nimetenguaaaaaa...hahahaha ...aa ...hee

  • @bernardchibwana1907
    @bernardchibwana19075 жыл бұрын

    mwanriiiii kiboko yaoooo!!!!

  • @jestymoresimon7576
    @jestymoresimon75765 жыл бұрын

    iii ni comedy ama....

  • @wisdomuta1039
    @wisdomuta10395 жыл бұрын

    "Kibao kitageuka hapa halafu nikisimama itakuwa shughuli..."

  • @lusatofikili9619

    @lusatofikili9619

    5 жыл бұрын

    Wisdo Muta

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything3 жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌.

  • @billalphilip5776
    @billalphilip57765 жыл бұрын

    Ama zangu ama zao😂😂😂

  • @nasmahatibu9584
    @nasmahatibu95845 жыл бұрын

    Hahhahaha wanyonge awamu hii ya maguful tunapata hakizetu

  • @ganosangatv1929

    @ganosangatv1929

    5 жыл бұрын

    Asaaa ww munyonge

  • @ishaq9925
    @ishaq99255 жыл бұрын

    sukumsndaniiiii