RC MWANRI AIBUKA UPYA "WOTE SUKUMA NDANI HAIJAKABIDHIWA MNAPITISHA MIFUGO"

RC wa Tabora Aggrey Mwanri akiwa katika majukumu yake wilayani Sikonge ameagiza kukamata na kuchukuliwa hatua kwa wafugaji aliwakuta wakipitisha mizugo kinyume cha sheria kwenye barabara zinazoendelea na ujenzi katika kiwango cha lami kutoka Tabora-Katavi

Пікірлер: 338

  • @linkreuben5804
    @linkreuben58044 жыл бұрын

    Mkuu mchapa kazi sana! Asante Yesu, Tanzania inahitaji vipaji kama hivi!

  • @drnyakiema8581
    @drnyakiema85814 жыл бұрын

    Kwa wale msiofahamu, mifugo haitakiwi kutembea kwa kufuata barabara, Bali inaruhusiwa kuvuka barabara tena kwenye vivuko vilivyo ainishwa. Hapo RC yupo sawa kabisa. Lakini pia kwa upande wa Animal welfare/ Haki za wanyama ,hao wanyama anawaumiza kwato na pia hawapo huru. Huyo mwenye ng'ombe kavunja sheria mbili kwa wakati mmoja. 1. Animal welfare act 2. Road reserve.

  • @estebantate6436

    @estebantate6436

    2 жыл бұрын

    I guess Im asking the wrong place but does anyone know a way to log back into an Instagram account? I was stupid forgot the login password. I appreciate any tips you can give me

  • @fenrickmsigwa7437
    @fenrickmsigwa74374 жыл бұрын

    Nimekuwa napenda sana style ya mzee, ameiweka vyema mkoa wa Tabora, i wish awe waziri kabisa ingawa tumeskia anastaafu, ni moja ya watu walio msaidia sana Mh Raisi wetu Dr JPM

  • @christophermachonchory4500
    @christophermachonchory45004 жыл бұрын

    Hahahahah RC mwanry ni the best. Mwenyekiti kashindwa kugombeza bhana 😊😊😊😊

  • @aliebrahim9423
    @aliebrahim94234 жыл бұрын

    Barabara hiyo imejengwa kwa tope au kwa uji wa muhogo, kwato ya ng'ombe itaharibu barabara kweli.Madaraka noma sana.

  • @mamahance9049

    @mamahance9049

    4 жыл бұрын

    Ali Ebrahim Jamani ,,,mbona sasa ni shida wapae juuu

  • @fristonactary1371

    @fristonactary1371

    4 жыл бұрын

    Dah yan mpka nashangaa.🤣🤣🤣 huyu mzee bangi mbichi

  • @getmotivated3619

    @getmotivated3619

    4 жыл бұрын

    Hata kama imetengenezwa kwa chuma... unajua nguvu ya kwato ya n'gombe wewe... sasa zidisha mara n'gombe elfu moja... unahisi itabaki salama?... hiyo sio sheria ya huyu RC bosi yangu.. ni sheria iliopitishwa na bunge.. kwa hio wabunge wote wamelewa madaraka??... tusiongee tu kwa mihemuko..

  • @francisruambothetechnician

    @francisruambothetechnician

    4 жыл бұрын

    We ujui tulia wataalam ndo tunaelewa, ng'ombe ni wazito especially wakiwa wengi, wanaharibu ila kikawaida huwezi amini lakini ni kweli

  • @safarikikaadrien108

    @safarikikaadrien108

    4 жыл бұрын

    Jiongeze ndugu,ngombe wananguvu yakuharibu barabara usikatae

  • @oneclick2023
    @oneclick20234 жыл бұрын

    😂😂😂😂 nacheka ila napagopa ,,,eti Sema utakavyo wagombeza😂😂😂 dah...natamani kuwa mkwe wa huyu mzee 😂😂

  • @dullyyesu9036

    @dullyyesu9036

    4 жыл бұрын

    utateseka hatar

  • @oneclick2023

    @oneclick2023

    4 жыл бұрын

    @@dullyyesu9036 😂😂😂

  • @evelyinipaja1202
    @evelyinipaja12024 жыл бұрын

    Jamani tuwe wastaarabu , njia zikiwa mbaya hao hao watalalamika barabara mbaya, leo barabara zinatengenezwa mnapitisha ngombe, hii siyo vizuri.

  • @makkamadinnah9586
    @makkamadinnah95864 жыл бұрын

    Maskini Ng'ombe hata hawaelewi kitu kinachoendelea 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wanajiendea tu!!!

  • @jamesmluguru5488

    @jamesmluguru5488

    4 жыл бұрын

    Ivi kuna kosa au vp? Au wanataka hadi ikamilike?

  • @abdullymwakalinga4776

    @abdullymwakalinga4776

    4 жыл бұрын

    Poa xana

  • @abdullymwakalinga4776

    @abdullymwakalinga4776

    4 жыл бұрын

    q

  • @abdullymwakalinga4776

    @abdullymwakalinga4776

    4 жыл бұрын

    Q

  • @noxlosingida2369

    @noxlosingida2369

    4 жыл бұрын

    @@jamesmluguru5488 hata mimi na shangaa sasa barabara ya kupitia ng'ombe ipo wapo jamani

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed6244 жыл бұрын

    Mpambanaji sana huyu baba

  • @shifaazawadi4438
    @shifaazawadi44384 жыл бұрын

    RC kamahuyu nimuzurisana naona uonevu mwingi na dhuluma zingekwisha kabisa wote wekandani 👊🏻💪

  • @alfredmakoba
    @alfredmakoba4 жыл бұрын

    Mzee ana mkwala unaeza sema unafungwa kifungo cha maisha... sema ngombe wanaheshima wametulia wenyewe

  • @dicsonernest4446
    @dicsonernest44464 жыл бұрын

    Hahaha huyu RC ni mtata kinomaa et ebu eleza utakavowagombezaa

  • @michaelchiwalo8444

    @michaelchiwalo8444

    4 жыл бұрын

    Na alieleza vizuriii kwelii yulee dada

  • @gloriousn6425

    @gloriousn6425

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @rayyannaceeb9991
    @rayyannaceeb99914 жыл бұрын

    Waay mi sipend sifa sasa ngombe wapite wapiii? Tuliotokea familia za wafugaji gonga like hapa kuoyesha hatupo pamoja Na mheshimiwa

  • @jaylosalphonce9659

    @jaylosalphonce9659

    4 жыл бұрын

    Rayvn we pimbi kwel kwani ng'ombe amakua gar mpka apite balblan

  • @rayyannaceeb9991

    @rayyannaceeb9991

    4 жыл бұрын

    @@jaylosalphonce9659 kuma la mamako acha shobo unafirwa Malaya wew

  • @davidsalikoki6319
    @davidsalikoki63194 жыл бұрын

    Hapa mheshimiwa cjaelewa vizur fundi wangu

  • @hidoxtz3559
    @hidoxtz35594 жыл бұрын

    Kama umesikia athumani nuzu msumbufu wa barabarani wek like yak hap chin🤣🤣🤣 ila hao wananchi wamenivunja mbav zang jmn😂😂😂😂

  • @adamjoseph9370
    @adamjoseph93704 жыл бұрын

    2021 ateuliwe tena, tena mkoa wa dar 😁😁😁

  • @ashleympomo9536
    @ashleympomo95364 жыл бұрын

    Natamani Kama ungukua mkuu wetu wa mkoa wa Dodoma mzee upo very clear

  • @richardsizya5214
    @richardsizya52144 жыл бұрын

    Best RC 2015-2020 Tz akifuatiwa na Antony Mtaka

  • @danieldaniel-lb2on

    @danieldaniel-lb2on

    4 жыл бұрын

    Hakika!

  • @inspirationmessages8420

    @inspirationmessages8420

    4 жыл бұрын

    Anthony mtaka ndo mamba 1

  • @danrevelian

    @danrevelian

    4 жыл бұрын

    @@inspirationmessages8420 Yeah Mtaka ndio namba 1 aiseeee

  • @thegreatsource2953

    @thegreatsource2953

    4 жыл бұрын

    Yupo mwingine Albert Chalamila😀😀😀

  • @abduljvo5549

    @abduljvo5549

    4 жыл бұрын

    @@inspirationmessages8420 mtaka ni wa mkoa gani samahan

  • @binbaya923
    @binbaya9234 жыл бұрын

    Huyu Mh. kiboko!!! Ng'ombe aharibu barabara labda kusema kuchafua jamani sio kuharibu 😁😁😁😁🇹🇿🇦🇷

  • @nyakangamagombo4426
    @nyakangamagombo44264 жыл бұрын

    Mungu Akubaliki, nikiongozi unaefaa kuigwa kwa viongozi wote, maana kila kona upo kuhakikisha haki za wananchi.

  • @jamalsalimkajia2656
    @jamalsalimkajia26564 жыл бұрын

    Noma Sana hiyoo

  • @omarymcharo6193
    @omarymcharo6193 Жыл бұрын

    Zanzibar wapo wengi sana Hadi kero

  • @amoswilliam9155
    @amoswilliam91554 жыл бұрын

    Dc hana Leadership skills 😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥uaibishaji wa Hali ya juu

  • @geofreysimpepo9945
    @geofreysimpepo99454 жыл бұрын

    Hahahahahahaah eleza utakavyo wagombeza,....Mwanri nakukubali sana mzee

  • @gracelauzi9746
    @gracelauzi97463 жыл бұрын

    🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️Waaa mbavu zangu waaa kumekucha 💃💃💃💃💃💃

  • @grantmsengi3619
    @grantmsengi36194 жыл бұрын

    Hivi malori na ng'ombe kipi chenye uzito

  • @francisruambothetechnician

    @francisruambothetechnician

    4 жыл бұрын

    Lenye uzito ni lori,kwani meli na sindano kipi kizito

  • @hadijalukas5959

    @hadijalukas5959

    4 жыл бұрын

    goi👍👍👍👍

  • @eliakimkengia6702

    @eliakimkengia6702

    4 жыл бұрын

    Phyzx... hapo tu pressure boc unakwama wapiii.eneo dogo presha kubwa na kinyume chake.

  • @hebronmarco5891

    @hebronmarco5891

    4 жыл бұрын

    😂😂 kijana inaonekana physics uliikimbia ng'ombe wakipita kuene rami makundi makundi n mwezi1 tu inaanza viraka

  • @ahz6907

    @ahz6907

    3 жыл бұрын

    Ng'ombe wanakwatua rami kwakuwa wana kwato.malori hayana kwato 😊

  • @jumatarabeni9753
    @jumatarabeni97534 жыл бұрын

    Chukua fomu rais wa zanzibar safi sana mkuu

  • @JOYTZD
    @JOYTZD8 ай бұрын

    Kiongoz anatakiw ashi n jamii km mfano ila sio hvi 😊

  • @IssaMRajab-su5lh
    @IssaMRajab-su5lh4 жыл бұрын

    Hua hana kazi yakufanya

  • @jaylosalphonce9659

    @jaylosalphonce9659

    4 жыл бұрын

    Kwani apo anafanyaje

  • @cecymaro1374
    @cecymaro13744 жыл бұрын

    😂😂😂😂etiii wagombeze sikieee😂😂😂

  • @flova7022
    @flova70222 жыл бұрын

    Huyo anaharibu Toronto na anatesa mifugo

  • @kijubakidiza5181
    @kijubakidiza51814 жыл бұрын

    Kwama noma

  • @emmanuelmchomvu2676
    @emmanuelmchomvu26764 жыл бұрын

    Jmn mapovu ynatoka cz hamjui Sheria Kuna maeneo sahihi y kuvusha ng'ombe syo kila mahali unaweza fnya ivo

  • @fatumahengo6849
    @fatumahengo68494 жыл бұрын

    Huyu baba huwa nampenda sana 😃😃😃😃😃

  • @jumamadili3035
    @jumamadili30354 жыл бұрын

    Izo ng'ombe pia hua znaxababixha ajari

  • @saidnoumani7244
    @saidnoumani72444 жыл бұрын

    Mkuu wapitishe wapi ngombe angalia mkuu usije ukatumbuliwa!

  • @hamisisaidimasoud7013

    @hamisisaidimasoud7013

    4 жыл бұрын

    Kuna njia wamewekewa kwa ajl yao awajakurupuk mkuu jamaa yuko tmam alafu anatembea na sheria saan

  • @amanimanase5794

    @amanimanase5794

    4 жыл бұрын

    Na ww elewa ni kwamba hizi barabara bado zinatengenezwa sio kama tiyari zisharuhusiwa

  • @saidnoumani7244

    @saidnoumani7244

    4 жыл бұрын

    @@amanimanase5794 sawa Amani nimekufahamu kila la heri.

  • @marcogodfreymboya7349
    @marcogodfreymboya73494 жыл бұрын

    Athumani Muzu :)

  • @aloycemazikuoffocial4261
    @aloycemazikuoffocial42614 жыл бұрын

    Tabora icon

  • @hassanrahe1397
    @hassanrahe13974 жыл бұрын

    😀😀😀nacheka tu kwa speech hii ya mkuu. sawa

  • @abeljoshuamtweve5788
    @abeljoshuamtweve57884 жыл бұрын

    Kwama jamani sio zuri,.. Linafungisha.

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria70524 жыл бұрын

    Hahhhhhh wananchi badala ya kuteteana wanachomana🤣😂😆

  • @hadijalukas5959

    @hadijalukas5959

    4 жыл бұрын

    si mafara tu hao hata hawajuwi wanachokijibu wanaburuzwa wanaenda

  • @ambiahirsi943
    @ambiahirsi9433 жыл бұрын

    Hapo mwisho ''Hebu niambie vile utakavyowagombeza wanavijiji'' Ha.Ha.Ha

  • @benedictojanuary5222
    @benedictojanuary52224 жыл бұрын

    N kweli kabisa tatzo, Serikali inapaswa kufundisha wananchi wote sheria za nchi maana wengi hawafahamu kabsa sheria ndio maana tunakuwa na mambo ya hovyo hivi

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna20584 жыл бұрын

    Kawagombeza hivi Ngombe Nyuma geuka! wagauka. mbele tembea! wakatembea.mwili legeza bana kushoto! wakabana na miguu wanamsikiliza mkuu

  • @ibrahimjobu9141
    @ibrahimjobu91414 жыл бұрын

    Natamani Hata angekuwa Mkuu wa Mkoa Mbeya huyu Mzee maana yupo active sana hana mchezo kabisaaaaah

  • @davidmahenge5511
    @davidmahenge55114 жыл бұрын

    Kachemka hapo mkuu wa mkoa

  • @masalumanoni4012

    @masalumanoni4012

    4 жыл бұрын

    Ajachemka fain yake ni million 1

  • @Jambomediatz
    @Jambomediatz4 жыл бұрын

    Sukuma ndani😀😀😀

  • @manasemwakilasa5931
    @manasemwakilasa59314 жыл бұрын

    Wape.elim.mzee

  • @omaredhasaidal.obthani4775
    @omaredhasaidal.obthani47754 жыл бұрын

    Haaah kwato ya ngo'ombe inachimba barabara 😂😂😂😂 sio ng'ombe anaumia 😂😂😂

  • @saidisaidi600

    @saidisaidi600

    4 жыл бұрын

    Barabara bado hazija kabithiwa hazija kauka bado

  • @Gamba177

    @Gamba177

    4 жыл бұрын

    Huyu mkuu msenge sana anavuta bangi mbwa huyu.

  • @jumasalumkautipe9311

    @jumasalumkautipe9311

    4 жыл бұрын

    @@Gamba177 acha kutukana vongoz

  • @masalumanoni4012

    @masalumanoni4012

    4 жыл бұрын

    @@Gamba177 faini yake ni milioni moja. Usitukane ovyo viongozi wakati ujui chochote

  • @joycenyakiha8121

    @joycenyakiha8121

    4 жыл бұрын

    @@Gamba177 mbona yuko vzr bhn ! Mwishowe hao ng'ombe wasababishe ajali

  • @kenyalatelyupdatestv9770
    @kenyalatelyupdatestv97704 жыл бұрын

    sasa ng'ombe zinaharibu barabara kiaje?

  • @afterfull-time1348

    @afterfull-time1348

    4 жыл бұрын

    Kwanza inaweza sababisha ajali muda wowote usiwe mwanachochoko...

  • @Fm-MornStar2014

    @Fm-MornStar2014

    4 жыл бұрын

    Wajengee barabara ya ng'ombe!

  • @Chilumedia

    @Chilumedia

    4 жыл бұрын

    Barabara haijafunguliwa

  • @abdulmembe2349
    @abdulmembe23494 жыл бұрын

    Hawezi tutia hasara baba aaah atukubali

  • @jamalsalimkajia2656
    @jamalsalimkajia26564 жыл бұрын

    Duh

  • @dennisstafford450
    @dennisstafford4504 жыл бұрын

    Athumani Muzu mshenzi sana

  • @ahz6907
    @ahz69073 жыл бұрын

    Huyu ndo rais wetu sasa 😀

  • @douglaskomba2304
    @douglaskomba23044 жыл бұрын

    Kwa hiyo tuelewane kabisa dc karibu

  • @michaelsiweya6500
    @michaelsiweya65004 жыл бұрын

    Kwanza wanachafua barabara... Ng'ombe wanatembea huku wanakunya... Barabara itakuwaje.. Halafu mbaya zaidi ..barabara haujakamilika.. Halafu zaidi na zaidi.. Wanakula miti iliyopandwa.. Wacha mkuu wa mkoa awake tu

  • @agnesvintan1538
    @agnesvintan15384 жыл бұрын

    Ila Wafugaj hawanaga ustaarab haoni hasara kuingiza hata kwenye shamba la MTU na ukiwakataza hawaelew kesho wanarud tena

  • @anthonygasper239
    @anthonygasper2394 жыл бұрын

    Hayo makwama yanahalibu Toronto yetu Tbr

  • @adbashtv6701
    @adbashtv67013 жыл бұрын

    Eleza utakavyowagombeza 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @paulmtungalyambo2065
    @paulmtungalyambo20654 жыл бұрын

    Ebu nieleze utakavyo wagombeza😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @fristonactary1371
    @fristonactary13714 жыл бұрын

    #mwanri Mungu anakuona😂😂😂😂

  • @mansooralmahruqi885
    @mansooralmahruqi8854 жыл бұрын

    Mkuu ,Naomba kabla hujatoa uamuzi jiulize hao wanakijiji wapitishe wapi ngombe zao? Hao ndio wenye kujiji,walikua hapo kabla ya CCM ,leo msiwanyanyase,wao ndio Raia wenye mamlaka na eneo hilo,kwa hio ili watii amri yako,wawekee njia mbadala. Wanahitajia usafiri huo ili wafanye shughuli zao za kilimo,wateke maji,wabebe nafaka N.K Kama kuna tatizo wao kutumia barabara sababu za kiusalama kwa magari yapitayo hapo,basi ingependeza ulete greda iwakwangulie barabara ya pembenei ili wasitumia barabara kuu,vile vile uwawekee eneo maalum la kuvusha ng’ombe hizo ikiwa atataka kwenda upande wa pili wa bara bara. Unapendwa na watu,hivo wewe isiwe ndio kikwazo kwa watu,Mungu atakuuliza siku ambayo huna nguvu ya kwamba kwanini uliwatesa viumbe vyake kwa sheria zako zisizo kua na uadilifu

  • @ukweliunauma4570
    @ukweliunauma45704 жыл бұрын

    Vizuri mhe kazi nzuri lakini kosa lenu hamjaweka vibao vya kuonyesha ngombe wasipite na muhimu kufunga semina muwaelemishe hawa Watu. Wengine hawajui jamaaa na vichwa vigumu.

  • @jumannea9050
    @jumannea90504 жыл бұрын

    Jamani watanzania nihivi barabara bado haijakabidhiwa ili ianzekutumika nazani hilo ndokosa kubwa au nimeelewa tofauti

  • @jenipherjerry7444
    @jenipherjerry74444 жыл бұрын

    Swali nikwamba wapite wapi? Wapewe elimu yakutosha wengine hawajui haswa watu wavijijini hawajui iyo gharama wanachojua nibara bara.

  • @jumannebilal771
    @jumannebilal7714 жыл бұрын

    😂😂😂😂hebu nieleze utakavyowagombeza!

  • @viviankangara7492
    @viviankangara74924 жыл бұрын

    Watu weng hatujui namna gan ng'ombe wanaharibu barabara so ss wafugaji tutajua tunaonaonewa, n vzr elim ikatokewa namna mifugo inavyo haribu barabara zenye kiwango Cha lami

  • @danieldaniel-lb2on
    @danieldaniel-lb2on4 жыл бұрын

    Natamani kuhamia Toronto kabisa!

  • @karimyunus9120
    @karimyunus91203 жыл бұрын

    MTU huyu safi Sanaa aje dar

  • @mustaphersamson6174
    @mustaphersamson61744 жыл бұрын

    Mkuu wafugaji Hao,wasamehe.

  • @laurentmbakile9389
    @laurentmbakile93894 жыл бұрын

    Hutubia sasa!

  • @mansoulismail8868
    @mansoulismail88684 жыл бұрын

    Nikweli

  • @Ishengoma1
    @Ishengoma14 жыл бұрын

    Athumani uwiii wanakujia sasa hivi kimbia

  • @yohanabundala9162
    @yohanabundala91622 жыл бұрын

    Ila kweli maana unakuta ng'ombe zimekunya kunya kwenye lami,

  • @kiariedavid8370
    @kiariedavid83704 жыл бұрын

    Toronto haikubaliki ngombe balaaaa

  • @sadickrashid328
    @sadickrashid3284 жыл бұрын

    Hhaha kwato inachimba barabara daahh noma kwer😀😀😀

  • @paulheavyrain9584
    @paulheavyrain95844 жыл бұрын

    Mbona magar yanapita.???

  • @denismassawe9255
    @denismassawe92554 жыл бұрын

    Mm mwenye nimewahi kukoswa koswa na mgombe kama hao wenye mkokote nikitokea tabora mjini njia ya bukene kuelekea kahama nilikutana na ng'ombe katikati ya barabara na aliekua nao anaona gari lakini akawaacha ng'ombe nilikua hatari sana. Kwahiyo ng'ombe barabarani ni hatari sana

  • @allykidot7382
    @allykidot73824 жыл бұрын

    Muzu ahame

  • @mahamuduabdallah5399

    @mahamuduabdallah5399

    4 жыл бұрын

    Jaman mm hapo sijaelewa sasa hao ngo'mbe wapite wp

  • @HamiduChamboko
    @HamiduChamboko4 жыл бұрын

    Ng'ombe kama anaelewa hivi anavyobaniwa asipite Barbara ni.yupo makini kusikiliza

  • @hisanmwakijungu10

    @hisanmwakijungu10

    4 жыл бұрын

    Ndo tabia za ng'ombe wa tabora wanaakili balaa

  • @revocutuswillibard6854

    @revocutuswillibard6854

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @nasrakapama3670

    @nasrakapama3670

    4 жыл бұрын

    @@hisanmwakijungu10 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @stephanochungu5959
    @stephanochungu59594 жыл бұрын

    Hiyo nichuki bina fus wana nchi hapo ng'ombe ndoo anaumia kwenye rami huo niuonevu

  • @vintz338
    @vintz3384 жыл бұрын

    Mnaouliza hao mifugo wapite wapi..,jibu nikwamba wanatakiwa kuvuka barabara nasio kutembea Kama magari nandiomaana hua Kuna alama za barabarani zinaonesha hapo wanavuka wanyama

  • @dianafaustine9556
    @dianafaustine95564 жыл бұрын

    😂😂😂😂 Mwenyekiti hapo ndo ushagomba hivyo

  • @denismassawe9255
    @denismassawe92554 жыл бұрын

    Ngombe anapukutana na lami ambayo haijakomaa kama inavyotengenezwa hapo unaharibu lalini pia ng'ombe wanasababisha ajali sana tena kama hao wakiwa na mkokoteeni hua wanasababisha ajali sana

  • @tarakeatv4638
    @tarakeatv46384 жыл бұрын

    Kastaafu leo

  • @mohdshebe5640
    @mohdshebe56404 жыл бұрын

    Duhhh huyu mkuu noma nauliza ,huyu mkuu alikua mwana jeshi nini kabla ya ukuu wa mkoa ?

  • @user-et8kh7uj1u
    @user-et8kh7uj1u11 ай бұрын

    Tanzania tunawaitaji wazalendo kama hawa

  • @jumamadili3035
    @jumamadili30354 жыл бұрын

    Hahahahaaaa afu mama ni noma aise, anaonekana ni mtaalam wa kuchongea

  • @zaijuu8758

    @zaijuu8758

    4 жыл бұрын

    😁😁

  • @nestorymaina3091
    @nestorymaina30914 жыл бұрын

    😁😁

  • @rafamtiganda6326
    @rafamtiganda63264 жыл бұрын

    wapte wap sasa

  • @walidsultan7486
    @walidsultan74864 жыл бұрын

    Umezidi

  • @marijanihukulu214
    @marijanihukulu2144 жыл бұрын

    Hatr

  • @adamumsangi3486

    @adamumsangi3486

    4 жыл бұрын

    Duuuuiii hii kiboko

  • @reubenshaban6488

    @reubenshaban6488

    4 жыл бұрын

    Wanyonge ndio wa Rais

  • @nadhirmbwana9137
    @nadhirmbwana91374 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂 huyu mzee ninamwelewa sana.eti eleza utakavyowagombeza

  • @tanzania_celebs
    @tanzania_celebs4 жыл бұрын

    mkuu tetea point yako vzur

  • @debbymwaka4048
    @debbymwaka40484 жыл бұрын

    Zanzbar hii Ni kawaida saana huyu mzee akienda Zanzibar atafunga zanzibari yote

  • @ephraimisaya5027
    @ephraimisaya50274 жыл бұрын

    Mwenyekiti hajui lolote

  • @kenyalatelyupdatestv9770
    @kenyalatelyupdatestv97704 жыл бұрын

    Msamehe huyo baba wewe mkuu, yaani umeniuma saana huoni huyo nikaa babako

  • @florianhenry7198
    @florianhenry71984 жыл бұрын

    Wagombezeeeeeee

  • @timothsamwel5840
    @timothsamwel58404 жыл бұрын

    😂😂😂 heb nieleze sasa utakavyo wagombeza utasemaj

  • @kahawamasaki4430

    @kahawamasaki4430

    4 жыл бұрын

    Duuuu noma sana

  • @ErickNjoroge-fn4ob
    @ErickNjoroge-fn4obАй бұрын

    At i😂😂kwato za ngombe😅😅😅

Келесі