RC MWANRI AIBUKA UPYA "WOTE SUKUMA NDANI HAIJAKABIDHIWA MNAPITISHA MIFUGO"
RC wa Tabora Aggrey Mwanri akiwa katika majukumu yake wilayani Sikonge ameagiza kukamata na kuchukuliwa hatua kwa wafugaji aliwakuta wakipitisha mizugo kinyume cha sheria kwenye barabara zinazoendelea na ujenzi katika kiwango cha lami kutoka Tabora-Katavi
Пікірлер: 338
Mkuu mchapa kazi sana! Asante Yesu, Tanzania inahitaji vipaji kama hivi!
Kwa wale msiofahamu, mifugo haitakiwi kutembea kwa kufuata barabara, Bali inaruhusiwa kuvuka barabara tena kwenye vivuko vilivyo ainishwa. Hapo RC yupo sawa kabisa. Lakini pia kwa upande wa Animal welfare/ Haki za wanyama ,hao wanyama anawaumiza kwato na pia hawapo huru. Huyo mwenye ng'ombe kavunja sheria mbili kwa wakati mmoja. 1. Animal welfare act 2. Road reserve.
@estebantate6436
2 жыл бұрын
I guess Im asking the wrong place but does anyone know a way to log back into an Instagram account? I was stupid forgot the login password. I appreciate any tips you can give me
Nimekuwa napenda sana style ya mzee, ameiweka vyema mkoa wa Tabora, i wish awe waziri kabisa ingawa tumeskia anastaafu, ni moja ya watu walio msaidia sana Mh Raisi wetu Dr JPM
Hahahahah RC mwanry ni the best. Mwenyekiti kashindwa kugombeza bhana 😊😊😊😊
Barabara hiyo imejengwa kwa tope au kwa uji wa muhogo, kwato ya ng'ombe itaharibu barabara kweli.Madaraka noma sana.
@mamahance9049
4 жыл бұрын
Ali Ebrahim Jamani ,,,mbona sasa ni shida wapae juuu
@fristonactary1371
4 жыл бұрын
Dah yan mpka nashangaa.🤣🤣🤣 huyu mzee bangi mbichi
@getmotivated3619
4 жыл бұрын
Hata kama imetengenezwa kwa chuma... unajua nguvu ya kwato ya n'gombe wewe... sasa zidisha mara n'gombe elfu moja... unahisi itabaki salama?... hiyo sio sheria ya huyu RC bosi yangu.. ni sheria iliopitishwa na bunge.. kwa hio wabunge wote wamelewa madaraka??... tusiongee tu kwa mihemuko..
@francisruambothetechnician
4 жыл бұрын
We ujui tulia wataalam ndo tunaelewa, ng'ombe ni wazito especially wakiwa wengi, wanaharibu ila kikawaida huwezi amini lakini ni kweli
@safarikikaadrien108
4 жыл бұрын
Jiongeze ndugu,ngombe wananguvu yakuharibu barabara usikatae
😂😂😂😂 nacheka ila napagopa ,,,eti Sema utakavyo wagombeza😂😂😂 dah...natamani kuwa mkwe wa huyu mzee 😂😂
@dullyyesu9036
4 жыл бұрын
utateseka hatar
@oneclick2023
4 жыл бұрын
@@dullyyesu9036 😂😂😂
Jamani tuwe wastaarabu , njia zikiwa mbaya hao hao watalalamika barabara mbaya, leo barabara zinatengenezwa mnapitisha ngombe, hii siyo vizuri.
Maskini Ng'ombe hata hawaelewi kitu kinachoendelea 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wanajiendea tu!!!
@jamesmluguru5488
4 жыл бұрын
Ivi kuna kosa au vp? Au wanataka hadi ikamilike?
@abdullymwakalinga4776
4 жыл бұрын
Poa xana
@abdullymwakalinga4776
4 жыл бұрын
q
@abdullymwakalinga4776
4 жыл бұрын
Q
@noxlosingida2369
4 жыл бұрын
@@jamesmluguru5488 hata mimi na shangaa sasa barabara ya kupitia ng'ombe ipo wapo jamani
Mpambanaji sana huyu baba
RC kamahuyu nimuzurisana naona uonevu mwingi na dhuluma zingekwisha kabisa wote wekandani 👊🏻💪
Mzee ana mkwala unaeza sema unafungwa kifungo cha maisha... sema ngombe wanaheshima wametulia wenyewe
Hahaha huyu RC ni mtata kinomaa et ebu eleza utakavowagombezaa
@michaelchiwalo8444
4 жыл бұрын
Na alieleza vizuriii kwelii yulee dada
@gloriousn6425
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
Waay mi sipend sifa sasa ngombe wapite wapiii? Tuliotokea familia za wafugaji gonga like hapa kuoyesha hatupo pamoja Na mheshimiwa
@jaylosalphonce9659
4 жыл бұрын
Rayvn we pimbi kwel kwani ng'ombe amakua gar mpka apite balblan
@rayyannaceeb9991
4 жыл бұрын
@@jaylosalphonce9659 kuma la mamako acha shobo unafirwa Malaya wew
Hapa mheshimiwa cjaelewa vizur fundi wangu
Kama umesikia athumani nuzu msumbufu wa barabarani wek like yak hap chin🤣🤣🤣 ila hao wananchi wamenivunja mbav zang jmn😂😂😂😂
2021 ateuliwe tena, tena mkoa wa dar 😁😁😁
Natamani Kama ungukua mkuu wetu wa mkoa wa Dodoma mzee upo very clear
Best RC 2015-2020 Tz akifuatiwa na Antony Mtaka
@danieldaniel-lb2on
4 жыл бұрын
Hakika!
@inspirationmessages8420
4 жыл бұрын
Anthony mtaka ndo mamba 1
@danrevelian
4 жыл бұрын
@@inspirationmessages8420 Yeah Mtaka ndio namba 1 aiseeee
@thegreatsource2953
4 жыл бұрын
Yupo mwingine Albert Chalamila😀😀😀
@abduljvo5549
4 жыл бұрын
@@inspirationmessages8420 mtaka ni wa mkoa gani samahan
Huyu Mh. kiboko!!! Ng'ombe aharibu barabara labda kusema kuchafua jamani sio kuharibu 😁😁😁😁🇹🇿🇦🇷
Mungu Akubaliki, nikiongozi unaefaa kuigwa kwa viongozi wote, maana kila kona upo kuhakikisha haki za wananchi.
Noma Sana hiyoo
Zanzibar wapo wengi sana Hadi kero
Dc hana Leadership skills 😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥uaibishaji wa Hali ya juu
Hahahahahahaah eleza utakavyo wagombeza,....Mwanri nakukubali sana mzee
🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️Waaa mbavu zangu waaa kumekucha 💃💃💃💃💃💃
Hivi malori na ng'ombe kipi chenye uzito
@francisruambothetechnician
4 жыл бұрын
Lenye uzito ni lori,kwani meli na sindano kipi kizito
@hadijalukas5959
4 жыл бұрын
goi👍👍👍👍
@eliakimkengia6702
4 жыл бұрын
Phyzx... hapo tu pressure boc unakwama wapiii.eneo dogo presha kubwa na kinyume chake.
@hebronmarco5891
4 жыл бұрын
😂😂 kijana inaonekana physics uliikimbia ng'ombe wakipita kuene rami makundi makundi n mwezi1 tu inaanza viraka
@ahz6907
3 жыл бұрын
Ng'ombe wanakwatua rami kwakuwa wana kwato.malori hayana kwato 😊
Chukua fomu rais wa zanzibar safi sana mkuu
Kiongoz anatakiw ashi n jamii km mfano ila sio hvi 😊
Hua hana kazi yakufanya
@jaylosalphonce9659
4 жыл бұрын
Kwani apo anafanyaje
😂😂😂😂etiii wagombeze sikieee😂😂😂
Huyo anaharibu Toronto na anatesa mifugo
Kwama noma
Jmn mapovu ynatoka cz hamjui Sheria Kuna maeneo sahihi y kuvusha ng'ombe syo kila mahali unaweza fnya ivo
Huyu baba huwa nampenda sana 😃😃😃😃😃
Izo ng'ombe pia hua znaxababixha ajari
Mkuu wapitishe wapi ngombe angalia mkuu usije ukatumbuliwa!
@hamisisaidimasoud7013
4 жыл бұрын
Kuna njia wamewekewa kwa ajl yao awajakurupuk mkuu jamaa yuko tmam alafu anatembea na sheria saan
@amanimanase5794
4 жыл бұрын
Na ww elewa ni kwamba hizi barabara bado zinatengenezwa sio kama tiyari zisharuhusiwa
@saidnoumani7244
4 жыл бұрын
@@amanimanase5794 sawa Amani nimekufahamu kila la heri.
Athumani Muzu :)
Tabora icon
😀😀😀nacheka tu kwa speech hii ya mkuu. sawa
Kwama jamani sio zuri,.. Linafungisha.
Hahhhhhh wananchi badala ya kuteteana wanachomana🤣😂😆
@hadijalukas5959
4 жыл бұрын
si mafara tu hao hata hawajuwi wanachokijibu wanaburuzwa wanaenda
Hapo mwisho ''Hebu niambie vile utakavyowagombeza wanavijiji'' Ha.Ha.Ha
N kweli kabisa tatzo, Serikali inapaswa kufundisha wananchi wote sheria za nchi maana wengi hawafahamu kabsa sheria ndio maana tunakuwa na mambo ya hovyo hivi
Kawagombeza hivi Ngombe Nyuma geuka! wagauka. mbele tembea! wakatembea.mwili legeza bana kushoto! wakabana na miguu wanamsikiliza mkuu
Natamani Hata angekuwa Mkuu wa Mkoa Mbeya huyu Mzee maana yupo active sana hana mchezo kabisaaaaah
Kachemka hapo mkuu wa mkoa
@masalumanoni4012
4 жыл бұрын
Ajachemka fain yake ni million 1
Sukuma ndani😀😀😀
Wape.elim.mzee
Haaah kwato ya ngo'ombe inachimba barabara 😂😂😂😂 sio ng'ombe anaumia 😂😂😂
@saidisaidi600
4 жыл бұрын
Barabara bado hazija kabithiwa hazija kauka bado
@Gamba177
4 жыл бұрын
Huyu mkuu msenge sana anavuta bangi mbwa huyu.
@jumasalumkautipe9311
4 жыл бұрын
@@Gamba177 acha kutukana vongoz
@masalumanoni4012
4 жыл бұрын
@@Gamba177 faini yake ni milioni moja. Usitukane ovyo viongozi wakati ujui chochote
@joycenyakiha8121
4 жыл бұрын
@@Gamba177 mbona yuko vzr bhn ! Mwishowe hao ng'ombe wasababishe ajali
sasa ng'ombe zinaharibu barabara kiaje?
@afterfull-time1348
4 жыл бұрын
Kwanza inaweza sababisha ajali muda wowote usiwe mwanachochoko...
@Fm-MornStar2014
4 жыл бұрын
Wajengee barabara ya ng'ombe!
@Chilumedia
4 жыл бұрын
Barabara haijafunguliwa
Hawezi tutia hasara baba aaah atukubali
Duh
Athumani Muzu mshenzi sana
Huyu ndo rais wetu sasa 😀
Kwa hiyo tuelewane kabisa dc karibu
Kwanza wanachafua barabara... Ng'ombe wanatembea huku wanakunya... Barabara itakuwaje.. Halafu mbaya zaidi ..barabara haujakamilika.. Halafu zaidi na zaidi.. Wanakula miti iliyopandwa.. Wacha mkuu wa mkoa awake tu
Ila Wafugaj hawanaga ustaarab haoni hasara kuingiza hata kwenye shamba la MTU na ukiwakataza hawaelew kesho wanarud tena
Hayo makwama yanahalibu Toronto yetu Tbr
Eleza utakavyowagombeza 😂😂😂😂😂😂😂😂
Ebu nieleze utakavyo wagombeza😂😂😂😂😂😂😂😂😂
#mwanri Mungu anakuona😂😂😂😂
Mkuu ,Naomba kabla hujatoa uamuzi jiulize hao wanakijiji wapitishe wapi ngombe zao? Hao ndio wenye kujiji,walikua hapo kabla ya CCM ,leo msiwanyanyase,wao ndio Raia wenye mamlaka na eneo hilo,kwa hio ili watii amri yako,wawekee njia mbadala. Wanahitajia usafiri huo ili wafanye shughuli zao za kilimo,wateke maji,wabebe nafaka N.K Kama kuna tatizo wao kutumia barabara sababu za kiusalama kwa magari yapitayo hapo,basi ingependeza ulete greda iwakwangulie barabara ya pembenei ili wasitumia barabara kuu,vile vile uwawekee eneo maalum la kuvusha ng’ombe hizo ikiwa atataka kwenda upande wa pili wa bara bara. Unapendwa na watu,hivo wewe isiwe ndio kikwazo kwa watu,Mungu atakuuliza siku ambayo huna nguvu ya kwamba kwanini uliwatesa viumbe vyake kwa sheria zako zisizo kua na uadilifu
Vizuri mhe kazi nzuri lakini kosa lenu hamjaweka vibao vya kuonyesha ngombe wasipite na muhimu kufunga semina muwaelemishe hawa Watu. Wengine hawajui jamaaa na vichwa vigumu.
Jamani watanzania nihivi barabara bado haijakabidhiwa ili ianzekutumika nazani hilo ndokosa kubwa au nimeelewa tofauti
Swali nikwamba wapite wapi? Wapewe elimu yakutosha wengine hawajui haswa watu wavijijini hawajui iyo gharama wanachojua nibara bara.
😂😂😂😂hebu nieleze utakavyowagombeza!
Watu weng hatujui namna gan ng'ombe wanaharibu barabara so ss wafugaji tutajua tunaonaonewa, n vzr elim ikatokewa namna mifugo inavyo haribu barabara zenye kiwango Cha lami
Natamani kuhamia Toronto kabisa!
MTU huyu safi Sanaa aje dar
Mkuu wafugaji Hao,wasamehe.
Hutubia sasa!
Nikweli
Athumani uwiii wanakujia sasa hivi kimbia
Ila kweli maana unakuta ng'ombe zimekunya kunya kwenye lami,
Toronto haikubaliki ngombe balaaaa
Hhaha kwato inachimba barabara daahh noma kwer😀😀😀
Mbona magar yanapita.???
Mm mwenye nimewahi kukoswa koswa na mgombe kama hao wenye mkokote nikitokea tabora mjini njia ya bukene kuelekea kahama nilikutana na ng'ombe katikati ya barabara na aliekua nao anaona gari lakini akawaacha ng'ombe nilikua hatari sana. Kwahiyo ng'ombe barabarani ni hatari sana
Muzu ahame
@mahamuduabdallah5399
4 жыл бұрын
Jaman mm hapo sijaelewa sasa hao ngo'mbe wapite wp
Ng'ombe kama anaelewa hivi anavyobaniwa asipite Barbara ni.yupo makini kusikiliza
@hisanmwakijungu10
4 жыл бұрын
Ndo tabia za ng'ombe wa tabora wanaakili balaa
@revocutuswillibard6854
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@nasrakapama3670
4 жыл бұрын
@@hisanmwakijungu10 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hiyo nichuki bina fus wana nchi hapo ng'ombe ndoo anaumia kwenye rami huo niuonevu
Mnaouliza hao mifugo wapite wapi..,jibu nikwamba wanatakiwa kuvuka barabara nasio kutembea Kama magari nandiomaana hua Kuna alama za barabarani zinaonesha hapo wanavuka wanyama
😂😂😂😂 Mwenyekiti hapo ndo ushagomba hivyo
Ngombe anapukutana na lami ambayo haijakomaa kama inavyotengenezwa hapo unaharibu lalini pia ng'ombe wanasababisha ajali sana tena kama hao wakiwa na mkokoteeni hua wanasababisha ajali sana
Kastaafu leo
Duhhh huyu mkuu noma nauliza ,huyu mkuu alikua mwana jeshi nini kabla ya ukuu wa mkoa ?
Tanzania tunawaitaji wazalendo kama hawa
Hahahahaaaa afu mama ni noma aise, anaonekana ni mtaalam wa kuchongea
@zaijuu8758
4 жыл бұрын
😁😁
😁😁
wapte wap sasa
Umezidi
Hatr
@adamumsangi3486
4 жыл бұрын
Duuuuiii hii kiboko
@reubenshaban6488
4 жыл бұрын
Wanyonge ndio wa Rais
😂😂😂😂😂😂 huyu mzee ninamwelewa sana.eti eleza utakavyowagombeza
mkuu tetea point yako vzur
Zanzbar hii Ni kawaida saana huyu mzee akienda Zanzibar atafunga zanzibari yote
Mwenyekiti hajui lolote
Msamehe huyo baba wewe mkuu, yaani umeniuma saana huoni huyo nikaa babako
Wagombezeeeeeee
😂😂😂 heb nieleze sasa utakavyo wagombeza utasemaj
@kahawamasaki4430
4 жыл бұрын
Duuuu noma sana
At i😂😂kwato za ngombe😅😅😅