MASANJA AKIMTAMBULISHA MKEWE UTACHEKA
Музыка
MASANJA AKIMTAMBULISHA MKEWE UTACHEKA #FREECHURCH #MASANJA #MKANDAMIZAJI
Karibu Kanisani Free church siku za ibada ni
Jumatano saa9 -12 jioni
Ijumaa saa 9-12 jioni
JUMAPILI IBADA INAANZA SA4 MPKA SAA8 MCHANA
Kwa maombi / maombezi au jinsi ya kufika kanisani tupigie kwa namba
+255 713 855 855 MUNGU AKUBARIKI
Пікірлер: 52
Barikiwa Sana masanja
Ubarikiwe sana
Naitwa kanaani Mkisi Naomba nifungulie tawi tuhubiri injili Hulu songwe Nakukubari dana Mtumishi Wa Mungu
Hongera kwa kusimama na Mungu kwa yaliyotokea
Ubarikiwe mtumish🙏
Ubarikiwe mtumishi wamungu. 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Amen 🙏
Mungu nakuomba unifungue kiuchumi
Amiina
Barikiwa bishop one day nitafika church
You're blessed bishop Emmanuel Mgaya
MUNGU Akubariki sana Mtumishi kwa huduma
Kaka nyangu mungu akurinde Na maman murituma najuwa mungu Asante
Yaani Masanja ni Askofu, mh tunautani na kristo YESU
Thanks
Ameen🙏🙏
Barikiwa
Uduma inapendeza sana ukiambatana na mke
Ameni
🤣🤣🤣🤣🤣🙌Mchungaji una vunja mbavu watu wasije Pata Maono kwa Mama Asikofu
Mama askofu kapungua sana mweh but kapendeza 😍
Good is good...
@noelsebastian3537
2 жыл бұрын
Ubarkiw mtumish
Masanjaa😂😂😂😂😂
Yaani chinijuu juuchini
Siku hizi jamani, Duh! Aya bwana ngoja tuaone kama kweli umeitwa.
Nani akufunfulie?
Ubar
Zaburi 35
Askofu mkuu masanja kzread.info/dash/bejne/k3uOy85slMe6dLw.html
Mama askofu kachanga Kako wapi?
Kumbe masanja na mkewe wana watoto waliookoka!!! Askofu????
HAYO MAWIGI YA MKE WAKO MASANJA ASIPO YAACHA ATAENDA JEHANAMU YA MOTO, NA WW KAMA UNATAFUTA PESA SIO UTAKATIFU USIPO TUBU, UTAANGAMIA
@GeorgeUsele
Жыл бұрын
Mungu ndiye anayejua
@BeatriceMuhomi-cz9cr
5 ай бұрын
Eee kumbe wenye mawigi hawaendi mbinguni? Mimi nilikuwa najua yesu alikufa kwa ajili ya wengi!!! Bila ubaguzi kwani wigi na kilemba kunatofauti gani?
Miladi ya jpm mbonackhizi uioneshi?
@nyamwekomatoke9951
2 жыл бұрын
Aonyeshe wamuuwe Kama Elisha Eliya
Masanja wewe ni nabii au nani ni wa comedy maana hueleweki kweli biblia agano la kale lilisema siku za mwisho kutatokea manabii wa uongo na magonjwa yasiyotibika ukimwi corona ebola kansa sukari nk sasa kweli yanatokea mungu tunaomba amani Tanzania
@winniemnvinyo6438
Жыл бұрын
Amina
@bonnymwajombe779
Жыл бұрын
Veya wipihuma!
Looking good follow back done God bless you 🇰🇪 🙏 ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Looking good follow back done God bless you 🇰🇪 🙏 ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤