Hivi ndio watu wenye hekima kama sanja watakavo weza kumiliki na kutawala kwa furaha
@naomimgori83824 жыл бұрын
😂
@yustinhhari50855 жыл бұрын
truth in funny way
@peterjackson53073 жыл бұрын
😂😂😂🤣🤣🤣🤣
@princesinko40735 жыл бұрын
Yaani wewe masanja unautani mwingi
@fathimamct2322 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@babadee47855 жыл бұрын
Ila Biblia inasema jiwekeni tayari maana hamjui siku wala saa. Tafsiri yake ni kwamba mtu uwe tayari wakati wowote ule ukiitwa uwe na uhakika ma uendako. Paulo anasema kuishi ni Kristo kufa ni faida, mtumishi wa Mungu haogopi kufa kwa sababu anajua wapi anakwenda baada ya kufa kwake.
@lameckmwinuka8550
5 жыл бұрын
Amen bro
@luganomwambulukutu5311
5 жыл бұрын
Ila sio kujiombea kufa
@calebmasaba5815
5 жыл бұрын
@@luganomwambulukutu5311 Yes..sio kujiombea kifo
@kalufunyangenyakinyungu5087
4 жыл бұрын
Ila usijiombee kifo kwa makusudi na msisitizo inakuwa kama unamfundisha / unamuamrisha Mungu akufanyie utakayo ww kati tumeshaambiwa kesho yetu hatuijui zaidi ni kujiandaa kwa kutenda mema tu,ko Masanja mm naamini yupo sahihi.
Пікірлер: 72
Nimeipenda hiyo
Masanja ni gifted and talented kuleta furaha
Dah sichokaji kukusikiliza bro Masanja, kweli kila ninapoangalia najikuta siku yangu inakuwa happy .Barikiwa bro
Dah Raha sana MUNGU akutie nguvu
Ni uhalisia usiopingika. Mungu wetu hujibu maombi mapema ila hatuelewagi kabisa.
Kama umesikia kwetu hakuna vyandalua gonga like
Nimecheka kwa sauti.....😁😁😀😀😀😀
Masanja tunaomba semina Kwa vijanaaa arusha tafadhali kama ukiona msg yangu tuzungumze plz
NANUKUUU Godzilla LABUDA MANENO YANGU WATAYAELEWA SIKU NIKIFA#STAY kwr masanja
Daaaaaaaa! Masanja bwaaana
Hahaa masaja umenishinda tabia.
Masanja we ni kituko
Aki masanja wewe nimoto wakuotea mbali😁😁😁😁😁🇰🇪🇲🇴🙄🙄🙄🙄🙄🙄
Yaani Masanja umesema kweli. Ukiimba nyimbo za huzuni huzuni huwa inatokea mambo ya huzuni. N.k.
😂😂😂😂😂Masanja ana ongopa kifo hadi shetani ana mwongopa kabisa😂😂😂😂
safi masanja sasa tishert
Kwetu pazuri nimeshapakumbuka nimesha pakumbuka
duuuu kulia natamani kucheka natamani dah bora nicheke tuuuu😁😁😁😁😁😁😁😁 masanja ni shida
@khamismidude4325
5 жыл бұрын
Haahha
Masanja mdogo wangu umenichekesha mpaka bac ubarikiwe sana!
Masanja nakugawa bure
Duuu masanja
Mimi ata kwabure sihendi
Amina mtmishi
Masanja bwana 😄😄
hahahaa had nimecheka kwa sauti majansa kweli vituko
Nice sana
Jamani bavu zangu mm. Masnj
Ha ha ha ha sina hamu ya kurundi kwa baba
Hahahaaaa!!Masanja UNANIVUNJA MBAVU!!HEEEE!
Masanja we kiboko
Kweli lkn mwansasu aliimba siku akilala lala mauti hakuna awezae kumuamsha akalala kweli
ukweli mtupu mtumishi wa Mungu
Duh! Masanja!
Da!!!! Nataman kufanya comedy na ww kaka,, ntafrahi Kama itawezekana
ndio maana me naimba nyimbo za Kupandishwa thamani,,,,na kuipeperusha bendera ya Yesu2
@gladmwaihojo6088
5 жыл бұрын
Hahaaa kaka Bright bwana
Amennnn
Hii ni kweli masanja
hahaha masanja acha vituko
Kweli kabisa
Masanja umenifulaisha
Kweli kabisaa, nikidifu2😀
Atari
How can I get kemea pepo T-shirt ?
Kwel ww ni mchungaji asie na maono! Ina maan unataka kuaminisha watu kuwa mtu akifa anaenda mbinguni? Hovyo kwel! Changanya akili bro!
Brother uko sahihi kabisa
@luksenen7759
4 жыл бұрын
Masaja nakukubali
Yaani masanja umenifanya nicheke jmn wewe kaka weweee mmmh msukuma hajuti kukupata
@sweetluc2660
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣Yaani masanja
AMEN AMEN 👋🙌👋🙌🙌🙋🙋💓👏👏💓🙋🔥🙋💓👏🙌🙌🙋🔥🙋💓👏👏
@luganomwanjotile7575
Жыл бұрын
siku nikilala
Kabisa
@peterdaiman5813
Жыл бұрын
Masanja
Mbn GK yupooo bado ??!!!
Hivi ndio watu wenye hekima kama sanja watakavo weza kumiliki na kutawala kwa furaha
😂
truth in funny way
😂😂😂🤣🤣🤣🤣
Yaani wewe masanja unautani mwingi
😂😂😂😂😂😂
Ila Biblia inasema jiwekeni tayari maana hamjui siku wala saa. Tafsiri yake ni kwamba mtu uwe tayari wakati wowote ule ukiitwa uwe na uhakika ma uendako. Paulo anasema kuishi ni Kristo kufa ni faida, mtumishi wa Mungu haogopi kufa kwa sababu anajua wapi anakwenda baada ya kufa kwake.
@lameckmwinuka8550
5 жыл бұрын
Amen bro
@luganomwambulukutu5311
5 жыл бұрын
Ila sio kujiombea kufa
@calebmasaba5815
5 жыл бұрын
@@luganomwambulukutu5311 Yes..sio kujiombea kifo
@kalufunyangenyakinyungu5087
4 жыл бұрын
Ila usijiombee kifo kwa makusudi na msisitizo inakuwa kama unamfundisha / unamuamrisha Mungu akufanyie utakayo ww kati tumeshaambiwa kesho yetu hatuijui zaidi ni kujiandaa kwa kutenda mema tu,ko Masanja mm naamini yupo sahihi.
Sitaki kusika hizo nyimbo hata kidogo
Masanja we ni kituko
Ata ww ip0 Siku usipinge MAneno sawa