VITUKO VYA MASANJA MKANDAMIZAJI MSIBANI/KIFO AKITAKI UTANI

Музыка

VITUKO VYA MASANJA MKANDAMIZAJI MSIBANI/KIFO AKITAKI UTANI

Пікірлер: 72

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Жыл бұрын

    Nimeipenda hiyo

  • @isayamwanjoka3958
    @isayamwanjoka39583 жыл бұрын

    Masanja ni gifted and talented kuleta furaha

  • @dawillygene
    @dawillygene5 жыл бұрын

    Dah sichokaji kukusikiliza bro Masanja, kweli kila ninapoangalia najikuta siku yangu inakuwa happy .Barikiwa bro

  • @aminasaid5131
    @aminasaid51312 жыл бұрын

    Dah Raha sana MUNGU akutie nguvu

  • @peterkatete5645
    @peterkatete56455 жыл бұрын

    Ni uhalisia usiopingika. Mungu wetu hujibu maombi mapema ila hatuelewagi kabisa.

  • @helmankafuka6507
    @helmankafuka65075 жыл бұрын

    Kama umesikia kwetu hakuna vyandalua gonga like

  • @sultanvdeo4996
    @sultanvdeo49965 жыл бұрын

    Nimecheka kwa sauti.....😁😁😀😀😀😀

  • @josephswai6725
    @josephswai67253 жыл бұрын

    Masanja tunaomba semina Kwa vijanaaa arusha tafadhali kama ukiona msg yangu tuzungumze plz

  • @richardsolomoney490
    @richardsolomoney4905 жыл бұрын

    NANUKUUU Godzilla LABUDA MANENO YANGU WATAYAELEWA SIKU NIKIFA#STAY kwr masanja

  • @sembasitianayinzaki1253
    @sembasitianayinzaki12532 жыл бұрын

    Daaaaaaaa! Masanja bwaaana

  • @evambughuni9276
    @evambughuni92765 жыл бұрын

    Hahaa masaja umenishinda tabia.

  • @alexjudica8668
    @alexjudica86685 жыл бұрын

    Masanja we ni kituko

  • @salomemukani1627
    @salomemukani16274 жыл бұрын

    Aki masanja wewe nimoto wakuotea mbali😁😁😁😁😁🇰🇪🇲🇴🙄🙄🙄🙄🙄🙄

  • @phoebemmanga299
    @phoebemmanga2995 жыл бұрын

    Yaani Masanja umesema kweli. Ukiimba nyimbo za huzuni huzuni huwa inatokea mambo ya huzuni. N.k.

  • @magynzioka1122
    @magynzioka11225 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂Masanja ana ongopa kifo hadi shetani ana mwongopa kabisa😂😂😂😂

  • @fredykephacy9230
    @fredykephacy92305 жыл бұрын

    safi masanja sasa tishert

  • @philberthatanas1531
    @philberthatanas15312 жыл бұрын

    Kwetu pazuri nimeshapakumbuka nimesha pakumbuka

  • @genimaige6023
    @genimaige60235 жыл бұрын

    duuuu kulia natamani kucheka natamani dah bora nicheke tuuuu😁😁😁😁😁😁😁😁 masanja ni shida

  • @khamismidude4325

    @khamismidude4325

    5 жыл бұрын

    Haahha

  • @stevemwakisimba5986
    @stevemwakisimba59865 жыл бұрын

    Masanja mdogo wangu umenichekesha mpaka bac ubarikiwe sana!

  • @sophiamwakila3300
    @sophiamwakila33005 жыл бұрын

    Masanja nakugawa bure

  • @mctidohondoa1652
    @mctidohondoa16525 жыл бұрын

    Duuu masanja

  • @alidomiseven4139
    @alidomiseven41392 жыл бұрын

    Mimi ata kwabure sihendi

  • @emanuelpaulo5280
    @emanuelpaulo52803 жыл бұрын

    Amina mtmishi

  • @kinasatz7266
    @kinasatz72663 жыл бұрын

    Masanja bwana 😄😄

  • @neemachima2469
    @neemachima24695 жыл бұрын

    hahahaa had nimecheka kwa sauti majansa kweli vituko

  • @ushindieliya278
    @ushindieliya2785 жыл бұрын

    Nice sana

  • @jeniferalloyce2576
    @jeniferalloyce25764 жыл бұрын

    Jamani bavu zangu mm. Masnj

  • @dhssgs6360
    @dhssgs63605 жыл бұрын

    Ha ha ha ha sina hamu ya kurundi kwa baba

  • @neemamhongole2801
    @neemamhongole2801 Жыл бұрын

    Hahahaaaa!!Masanja UNANIVUNJA MBAVU!!HEEEE!

  • @mctidohondoa1652
    @mctidohondoa16525 жыл бұрын

    Masanja we kiboko

  • @maidamwaipopo9603
    @maidamwaipopo9603 Жыл бұрын

    Kweli lkn mwansasu aliimba siku akilala lala mauti hakuna awezae kumuamsha akalala kweli

  • @mossesisaack5066
    @mossesisaack5066 Жыл бұрын

    ukweli mtupu mtumishi wa Mungu

  • @lucaslaurent2920
    @lucaslaurent29203 жыл бұрын

    Duh! Masanja!

  • @ngosha1tv321
    @ngosha1tv3214 жыл бұрын

    Da!!!! Nataman kufanya comedy na ww kaka,, ntafrahi Kama itawezekana

  • @afandebrighttz2887
    @afandebrighttz28875 жыл бұрын

    ndio maana me naimba nyimbo za Kupandishwa thamani,,,,na kuipeperusha bendera ya Yesu2

  • @gladmwaihojo6088

    @gladmwaihojo6088

    5 жыл бұрын

    Hahaaa kaka Bright bwana

  • @tesinaelectronics8228
    @tesinaelectronics82285 жыл бұрын

    Amennnn

  • @asifiwevincent3938
    @asifiwevincent39383 жыл бұрын

    Hii ni kweli masanja

  • @floraanthony4406
    @floraanthony44065 жыл бұрын

    hahaha masanja acha vituko

  • @jazirajazira8116
    @jazirajazira8116 Жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @godluckmwandumbya8648
    @godluckmwandumbya86484 жыл бұрын

    Masanja umenifulaisha

  • @MS.independent8934
    @MS.independent89343 жыл бұрын

    Kweli kabisaa, nikidifu2😀

  • @ashoramwanja3131
    @ashoramwanja31314 жыл бұрын

    Atari

  • @GloriousRestorationTV
    @GloriousRestorationTV5 жыл бұрын

    How can I get kemea pepo T-shirt ?

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria2810 Жыл бұрын

    Kwel ww ni mchungaji asie na maono! Ina maan unataka kuaminisha watu kuwa mtu akifa anaenda mbinguni? Hovyo kwel! Changanya akili bro!

  • @ellyjacob9897
    @ellyjacob98975 жыл бұрын

    Brother uko sahihi kabisa

  • @luksenen7759

    @luksenen7759

    4 жыл бұрын

    Masaja nakukubali

  • @rabiaramso1087
    @rabiaramso10875 жыл бұрын

    Yaani masanja umenifanya nicheke jmn wewe kaka weweee mmmh msukuma hajuti kukupata

  • @sweetluc2660

    @sweetluc2660

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣Yaani masanja

  • @naeemmuneer8546
    @naeemmuneer85465 жыл бұрын

    AMEN AMEN 👋🙌👋🙌🙌🙋🙋💓👏👏💓🙋🔥🙋💓👏🙌🙌🙋🔥🙋💓👏👏

  • @luganomwanjotile7575

    @luganomwanjotile7575

    Жыл бұрын

    siku nikilala

  • @ngalawekikohingalawekikohi4768
    @ngalawekikohingalawekikohi47684 жыл бұрын

    Kabisa

  • @peterdaiman5813

    @peterdaiman5813

    Жыл бұрын

    Masanja

  • @mosesfungo4902
    @mosesfungo49025 жыл бұрын

    Mbn GK yupooo bado ??!!!

  • @dicksonmaiko3486
    @dicksonmaiko34865 жыл бұрын

    Hivi ndio watu wenye hekima kama sanja watakavo weza kumiliki na kutawala kwa furaha

  • @naomimgori8382
    @naomimgori83824 жыл бұрын

    😂

  • @yustinhhari5085
    @yustinhhari50855 жыл бұрын

    truth in funny way

  • @peterjackson5307
    @peterjackson53073 жыл бұрын

    😂😂😂🤣🤣🤣🤣

  • @princesinko4073
    @princesinko40735 жыл бұрын

    Yaani wewe masanja unautani mwingi

  • @fathimamct232
    @fathimamct2322 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @babadee4785
    @babadee47855 жыл бұрын

    Ila Biblia inasema jiwekeni tayari maana hamjui siku wala saa. Tafsiri yake ni kwamba mtu uwe tayari wakati wowote ule ukiitwa uwe na uhakika ma uendako. Paulo anasema kuishi ni Kristo kufa ni faida, mtumishi wa Mungu haogopi kufa kwa sababu anajua wapi anakwenda baada ya kufa kwake.

  • @lameckmwinuka8550

    @lameckmwinuka8550

    5 жыл бұрын

    Amen bro

  • @luganomwambulukutu5311

    @luganomwambulukutu5311

    5 жыл бұрын

    Ila sio kujiombea kufa

  • @calebmasaba5815

    @calebmasaba5815

    5 жыл бұрын

    @@luganomwambulukutu5311 Yes..sio kujiombea kifo

  • @kalufunyangenyakinyungu5087

    @kalufunyangenyakinyungu5087

    4 жыл бұрын

    Ila usijiombee kifo kwa makusudi na msisitizo inakuwa kama unamfundisha / unamuamrisha Mungu akufanyie utakayo ww kati tumeshaambiwa kesho yetu hatuijui zaidi ni kujiandaa kwa kutenda mema tu,ko Masanja mm naamini yupo sahihi.

  • @stanleyhenrish1055
    @stanleyhenrish10555 жыл бұрын

    Sitaki kusika hizo nyimbo hata kidogo

  • @alexjudica8668
    @alexjudica86685 жыл бұрын

    Masanja we ni kituko

  • @deniswabantu4645
    @deniswabantu46455 жыл бұрын

    Ata ww ip0 Siku usipinge MAneno sawa

Келесі