TAZAMA VITUKO VYA JOTI KAMA BESTMAN WA DIAMOND /AKIMTAMBULISHA YULE AMPENDAE
Ойын-сауық
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 188
Diamond Ni msanii wa kipekee Sana Tanzania mbunifu Sana akuna atakaeweza kupambana na diamond
Ninachokijua wewe NI shujaa wangu toka mwaka 2009 hivyo hongera kwa dili nono
Joti unaupiga mwingi, kutoka tigo Hadi Airtel najua wamepanda dau kukupata 👏
diamondiii kweliii wew nimbunifuuuu aiseeeeeh
Akuna speed hapo sisi huku ukerewe atuna raha na Airtel yenu ni hovyo kabisa
Subhanallah mond wakati mwengine uwe unamuogoapa Mungu ata kama nikutafuta hela siyo ivo mana ndoa nikitu kilico halalishwa na Allah siyo cakufanya eko kiki bro
@djsharp2542
2 жыл бұрын
Nikweli mshikaji
@Nufaila442
2 жыл бұрын
Uliwahi kusika mke akitangazwa kwenye vyombo vya habari katika Dini?? Acha mambo yako bana wewe
@Duly699
2 жыл бұрын
@@Nufaila442 Wallahi tena mwambie tena asikile😂Aise dogo alikuwa anataka umbea nn😂😂
@malopemaliyamungu5243
2 жыл бұрын
@zou
daaaaaaa diamond we ni noma
Braza jot ume Tisha Sana🙏
@officialramammary373
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/g4Zr1rGbZ5ixgKw.html
Mimi sifuati wasafi tena kwisha
kule wasafi bet Diamond kapewa odd kubwa sana ya kuoa........
Hamna kitu humo hapa Dar na mtandao unasumbua sijui mnafeli wapi, tumeshapiga kelele mpaka laini tumeweka kabatini.
@naslee1010
2 жыл бұрын
Naunga mkono hoja
best men sio best man...msiniambie jukwaa zima hamna anaejua kiingereza
Airtel inaboa sana sana sanaaaaa mtawanufaisha hao tu wanaopromot mtandao wenu ila network yenu mbovu inakula vifurushi vyetu bure tu.
Limtandao lenyewe linastak hivyooo!
Sanaaaaaaa joti nakubali vituko vyako
@blueria5634
2 жыл бұрын
1
Mmmhhhh mtandao unasmbua,binafsi naupenda,Ila ndo unasmbua
Love you broo SIMBA 🦁
Jamani Kuna watu wanajua kuigiza mond wakwanza we unavyoona amemtambulisha Nani Apo Mimi naona ametambulisha ,,eayate foG sijui ww umeona Nini apo
Diamond umetuweza wapenda umbea
@angelkavishe5240
2 жыл бұрын
ME HAPO KWANZA NCHEKEEEEEEEEEEEEEE 🤣🤣🤣🤣🤣
😂 Eti shuzi limepata mjambaji
Wambea tumepatiwa hapa
Welcome to WCB's way of promotion and business 😂😂😂😂😂👏👏👏
@gladyswanjiri9292
2 жыл бұрын
Na kiki pia
Joty umenifanya kama nijisikie Niko Tz jamani nimecheka Hadi sina cha kucheka
Haaaa yaani nyie kiboko wasafi noma
Tukiacha ushabiki uteam Airtel hamna kitu wallah tena hamna hamna na huo ndo ukweli ukibisha una lako jambo
Kalivyokafupi Sasa joti wew 🤣🤣🤣Wapi mwijaku
Nakubali Airtel 4G, mana Kuna seemu kijijini ilikua airtel ilikua inaleta kiwaki, ila sasa pieteteeee
Mmi bnafsi simuelewi joti kwa sasa,,kwasababu nikama anamajisifu Sana kuliko kuchekesha ,kama unaona anavojichanganya kwenye maelezo yake utabaini kuwa anataka kushindana badala achekeshe,,hiyo character ni ya mpoki ndo tumezoea hivo akifanya joti ni serious scenes
Subhanallah mtihan jaman
Inamana joti mkataba tigo umeisha
airtl nivisiran hv kwa wakaz wa bbt mjini tumeanza kusahau hd kama kuangalia salio inatumia dk
Mmelaaaniwa
😃😃😃😃mshenz kweli dimond leo umeniwezaaa loh
@filbertstimah8521
2 жыл бұрын
Hahahaha
@jaymandy8136
2 жыл бұрын
😂😆😆😆
Mnatumia Vymbo Vyenu Kwa Lengo La Kutengeneza KIKI, ipo Siku Watawachoka
@mtaostephen3660
2 жыл бұрын
Kiki mwenzio anasaini billions
Safi
Ukimpigia mtu unaambiwa namba haipo
Hivi kwa nn mnatufanyia hivi?
mond nimsaaanii mkubwa Sana tz afrca na dunian pya sema ujinga wake hajiamini Kira siku anamuogomba konde nawakati nimwanae ya kinyago uchonge mwenyew arafu kikutishe muache jesh nae atambe bn
@fatmaally7252
2 жыл бұрын
Sio kweli uwiiiiii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jumannerajabu9985
2 жыл бұрын
kweri ww huoni arivo urizwa akiwa kipindi chawasafi kuhusu babu tare arivosema kma ningekua nauwezo hawa Chaw ningewaondoa yeye kasema mama Vero kajipatia2 jina baya rauchawa rakini anachozumza sio kibaya wanachangamsha gem
@shangwefisima3993
2 жыл бұрын
Hamuogopi bn weee mbona liongo hivo....aache kuwaogopa akina JayZ aogope harmo
Kweli noma sans
Jotiii mmmmh
Jot anabaraaaa
Joti umetisha saaaaaaana👊👊
Menyoko wengese nyie mnatumalizia bando kwenye ufala
Mnajua kufanya biashara
Ubunifu ziro brain 😥🙌🤣
@azizapeter5209
2 жыл бұрын
Lakini mb zako wamekulaa
@obenitejailos7007
2 жыл бұрын
Ni Zero mzee, halafu Mb zako zimeliwa
@mwigakatumpula6852
2 жыл бұрын
@@obenitejailos7007 ndio matumizi ya MB hayo umeona kwenye simu Yako kuna like na unlike 😀😀
Nimekubari kutuchezea 🤣
Unaunga internet unapewa MB/GB ila mtandao utautafuta mwenywe😎😎
@samwelmbise7860
2 жыл бұрын
Pata 4G isiyosua sua Achana na 3G
Airtel ndio demu kumbe hahah
Nyie washenzi kweli🤣🤣 kumbe kitu chenyewe ni airtel tu
Shuzi limepata mjambaji nishaiiii👌🔥
Huyu jamaa ni msenge kilo 10 Joti ashakuwa msenge. Hawa washafunga ndoa ivo joti kaolewa na naseeb domo
@jimmymeshack8725
2 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@mohammedbakari8000
2 жыл бұрын
Unat....Ww
@catenzeki678
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
Achen Mambo ya kisenge
@jacksonleonard4275
2 жыл бұрын
Wewe na yeye anaeingiza mapene na wewe uliyeweka bando kuangalia wanachofanya na bado huingizi chochote Nani msenge
Umetish brother
Mwezi mtukufu inakusanya watu baa Zambi kubwa sana
Aoe asioe haituusu kwani yeye Nani
Ndoa gani unafichua uhuni tuu
Nakubali 💪💪
Mtoto wakislamu unafanya uji nga ramadhani utalaaniwa
🦁🦁
Washamba kweli kweli
@jacksonleonard4275
2 жыл бұрын
Mshamba wewe uliekodoa macho
Kaoa nani tena??? 😂😂😂
nilifahamu hiyo issue ya kuoa ni kiki!!!
2yaache umebidi2 et. Ivooo.
Kama Mtaona sifai basi nafaa😂😂
Huku chanika mtandao sifur eitel
Joti ndie kawa mkee wa daimond dunia imesha
@matipashankanawaaooo1199
2 жыл бұрын
Mbavu zangu
@matipashankanawaaooo1199
2 жыл бұрын
Mbavu zangu
@jayharryson4913
2 жыл бұрын
JOTI si yupo TIGO au Mkataba wake umekwisha
@rayanndizeyes3161
2 жыл бұрын
Umesikiya wivu
🤣🤣🤣ama kweli wambea mutapata tabu sana
Diamond muhuni anachezea watoto wawatu mbakaji huyu kwanini udanganye watu
Ni kweli hakuna kusuasua
Kama mimi sifai basi nyie mtafaaa 😂😂😂😂😂😂😂 hii joti hiii jinga sana hiii daa 🤣🤣🤣🤣😂😂🤣
Kwasababu ya Joti pekee na mm nitahamia Airtel
kaka simba pekeyake ndo anajua
Sitaki kuwasikia airtel na mtandao wao
👏👏
Tunataka tumwone mjumba
Mjomba joti hatari 😁😁😁😁😁
Jotiii 😀😀😀🦁🦁
🔥🔥🔥
All airtel users are married to diamond platnumz😆😆
Simba kafie huko mbali tapeli mkubwa we
Uyu jamaa fala sana
🥰🥰
Daaah
Mond tutakuloga umefanya sijaenda tarawhe
@fidia3824
2 жыл бұрын
Pore sana 😂😂😂
@issayaahimidiwe9681
2 жыл бұрын
😃😃mjaa laana wewe
Simba umetupiga na kitu kizito
Diamond Msenge 😂😂😂
mOndi haoi nawaaambia
Lidubwana
Ko na swahum yote hiyo anadanganya tu
Tigo umehama Nishai??
Kwa hiyoo xx ambao hatuna 4G ndyo inasumbua hivii'
🧡✌🔥
Umbea umeniponza pamoja na kutumia pesa ya mboga kuunga bando hichi ndo nilichoambulia🙄🙄🙄
@partnersah8802
2 жыл бұрын
😂😂
@partnersah8802
2 жыл бұрын
Kwaio jana mmekula ugali bila mboga
@lucynelsonmungure1719
2 жыл бұрын
@@partnersah8802 😂😂😂 nilikula ubwabwa mkavu
Tunaomba laini yetu ya TIGO
Jot kaisalit tigo🤣🤣🤣😂😂
Wapuuz sana
Atakua adunje
OVYO tu
Simbaa..
Wasenge nyie kutuchezea ubongo