MASANJA MKANDAMIZAJI ASIMULIA HISTORIA YAKE | ATOA SOMO KWA VIJANA

#vijana #masanja

Пікірлер: 20

  • @erickkikwa5377
    @erickkikwa53775 ай бұрын

    Umebadilisha maisha yangu sanaaa broo more thanks

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds7 ай бұрын

    Asante kwa elimu bro

  • @experiuskamugisha6722
    @experiuskamugisha67229 ай бұрын

    Asante Kwa ushauri MKUBWA sana Kwa vijana

  • @sirbussongo4490
    @sirbussongo44906 ай бұрын

    Hii video imebadili maisha yangu.

  • @liannsambu7264
    @liannsambu72649 ай бұрын

    GREAT KAKA MASANJA

  • @jovinjames6130
    @jovinjames613010 ай бұрын

    Amnia

  • @seniorboniface8784
    @seniorboniface87849 ай бұрын

    Powerful

  • @Kingstonbagamoyo
    @Kingstonbagamoyo4 ай бұрын

    Wacha kujitamba asingelikuwa gumbo usingetoka kihivyooo alafu unadharau sana hata bagamoyo ulilala kwenye mkeka pale baobab studio wakati tukiandaa filamu ya itunyama,,,,,

  • @lusajomwakalinga5813
    @lusajomwakalinga58139 ай бұрын

    Kuaminiwa ni mtaji

  • @FadhiliSaid-mr8gq
    @FadhiliSaid-mr8gq7 ай бұрын

    Mm nikua bosi kupitia elimu Ii nimejifuza kitu apa du kumbe ss atupendi kujishulisha tuna kua na tama sana kuliko kuwa na usubutu wa kulipa galama ya Kile tunacho kitamani

  • @mdachiog5211
    @mdachiog52119 ай бұрын

    Sauti iko chini

  • @user-qi1ij9us8b
    @user-qi1ij9us8b8 ай бұрын

    Kuna watu wanatumia jina la msanja na sura yake kutaperi watu Naomba namba ya masanj

  • @aludokyando4630
    @aludokyando46306 ай бұрын

    Nihakika tulikutana mbeya mwanjerwa hakika muumBA aliyetuu 7:08 mba aabuniwe umilele wote

  • @liannsambu7264
    @liannsambu72649 ай бұрын

    Kweli hayo mafungu unayasikia mifuko zaidi ya 30 ya uwekezaji ila kuupata ni kimbembeee

  • @user-bi2kp7ww4o
    @user-bi2kp7ww4o9 ай бұрын

    unyama mwingi

  • @liannsambu7264
    @liannsambu72649 ай бұрын

    Nachowakumbusha vijana WAANZE NA WALICHONACHO ,KAMA NI NGUVU ,KIPAJI , MAARIFA ,SH 1000 nk hakuna siri nyingine ni KUAMUA KWA UJASIRI

  • @user-qi1ij9us8b
    @user-qi1ij9us8b8 ай бұрын

    Masanja kunawatu wanatumia jina na sura kutaperi watu, Naomba namba ya masanja

  • @user-ku4xq4nd9v
    @user-ku4xq4nd9v8 ай бұрын

    Ni kweli Uaminifu ni mtaji mkubwa unaosahaulika

Келесі