FEEL FREE CHURCH Dar es salaam
FEEL FREE CHURCH Dar es salaam
KARIBU KATIKA UKURASA RASMI WA KANISA LA FEEL FREE CHURCH LINALOONGOZWA NA BISHOP EMMANUEL MGAYA (Masanja Mkandamizaji)
NAKUSIHI U SUBSCRIBE ILI UWE WA KWANZA KUONA IBADA ZETU.
MUNGU AKUBARIKI.
Пікірлер
Nimekupenda mno mtumishi nabarikiwa sana nikisikia mahubiri yako
Nawwe shoga?
Amina sana
Ninaomba namba yako
Masanja mm nataka kulima mtaji wangu ni mdogo kama 400000 je kukodi heka ni bei gani na pia nisaidie namba yako
Mahubili ya masaja
Amen ,nabarikiwa sana injili iendelee
I will never get tired of listening 🎶 of this song really blessing me 🙌🙌🙏🙏🙏 much love pastor all yhe way from Australia 🇦🇺 ❤❤❤
😂😂😂
🙌🙌🙌🙌🙏
HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO WATEULE TUWE MACHO MALAIKA WA GIZA ANAFANANA NA MALAIKA WA NURU TUWE MACHO YESU KRISTO YUKO MALANGONI TUJIANDAYE KUMLAKI MAWINGUNI SHALOOM SHALOOM MARNATHA
Amen 🙏🏿
Masanja kipaji chake ni kama chakula, ukimkataa Leo utamkubali Kesho. Mungu akuweke Bishop
Anaye husika kwenye sound Mbadilishe anatuharibia
Sautiiiiiiii
Sauti hakunaaaa
Naomba kazi ya kutafsiri ni msaidie mchungaji hapo, anachoka pekeyake
Umetish san baba😂😂😂
Amina 🙏🙏
Ameeeen.
Akalilimbo nikasole chane tulihikigoma❤
Hii kitu kwangu huwa haiishi utamu. Yaani hapa kitu kilitulia.
Upo vizuri secta zote🎉
Mkienda kutali Israel 🇮🇱 mboni sehemu ya kaburi la yesu hamrusiwi kupiga picha waisrael wanaele kuwa yesu hajauwawa na kufa na wala hakuna kaburi la yesu ni uwongo mtupu wanaficha mengi
Hahahaa
Original comedian masaka ahaaaa
Amen 🙏 🇨🇩🇨🇩
Amen barikiwa pastor
Ahhhh Jacob hhhhhhh❤❤❤❤
Hongera sana Ringo natambua ulivyopigana mpaka kufikia siku hii ya leo, hakika Mungu alikua upande wako
Hongera sana ringo
Hongera sana ringo Mungu awatunze katika ndoa yenu iwe na amani
Ongera Sana kijana Mungu akubariki na kuwatunza umefanya mbingu ikushangilie na kukupazia azina zote za ndoa yenu
Mbona ka shorwa mikonon😮
Kwan wapi waliandika bi harusi asichorwe kisa mkristo acheni uhuni 😮😮
Ongera kak Ringo ❤❤❤🎉🎉🎉
Congrats,😅
Congratulations
Looking good follow back done God bless you 🇰🇪 🙏 ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Looking good follow back done God bless you 🇰🇪 🙏 ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Amina
Solo mbona anazingua piga chombo baba
Barikiwa mtumishi.
Masanja Mungu akuinue zaidi
Prophet rolinga, elisha murili na mwalimu haris kapiga 👍👍👍🙏🙏🙏
😢hii madhabau imeingiliwa
Wewe ndio umetuingilia
Kama hubarikiwe na masanja kaa kimya
Amen
Hongera sana kwa kuwakutanisha watumishi wa Mungu
Noma sana
Amina
Amennnn
❤❤❤❤
100%.