#LEOTENA MAMA AWEKWA MTEGONI, YUPI NI MTOTO WAKO KATI YA HAWA, ''HATUJAONANA KWA MIAKA 30''
Жүктеу.....
Пікірлер: 121
@user-eu6ql9zl7n19 күн бұрын
Nashukuru Mungu Kwa mbeba maono wa kipindi hik watangazaj wote Kwa ujumla na mmilik wa hii clouds Fm
@user-fz1ph3cn4sАй бұрын
Baba kamtunza mtoto vizuri sana. Happy fathers' day.
@sebonikegobi62442 сағат бұрын
Hongera Sana radio clouds kea kazi kubwa mnayoiganya ya kukutanisha watu Mungu baba awabariki sana
@user-lm8ji4tz2rАй бұрын
Nipo mozambiq nakipenda sana hiki kpindi kwa sababu Mimi ni muhanga nilipotezana na mama miaka 25 nikiona hua ninalia hongereni sana kwa kazi mzuri🎉🎉🎉❤❤❤❤
@masterhptv4065Ай бұрын
Hongera Rose rafiki yangu kumpata mama, ntakuja nyumbani kukupongeza
@enockmaige8936
Ай бұрын
Utabarikiwa
@ansifridmkongoja3337Ай бұрын
Hongereni kwa kipindi kizur sema Mama yuko vizuri kwenye kutumia kipaza
@aminaomary5567Ай бұрын
Bibi amechukia sana rohoni furaha yake ndogo sana:sio kama akina MAMA Mwita. Ongeren sana akina dada Gea❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Dada Gea napenda, anavyoongea kwa staha/ kwa kutulia. Yaan taratibu. Vipindi vingi yuko hivi. Maua yako hayo🎉🎉🎉🎉🎉
@christaoman8890Ай бұрын
Kwa kweli hiki kipindi huwa kinanitoa machozi sana hongera sana mama kumpata mtt wako Rose mauwa yako❤❤❤
@saidshaban811014 күн бұрын
Babu leo anapasha kiporo hii ndio mana hari ya wazazi hawagonbani 😅😅😅
@samuelmuhindosivamwanza4988Ай бұрын
Mbarikiwe sana. Mnafanya kazi nzuri. Ila ikiwezekana ule mziki unasumbua. Kama ikiwezekana, usitishwe wakati watu wanaongea.
@jordankikoti104514 күн бұрын
Kaz nzr sana Mungu awatie nguvu muendelee na moyo huo wa utendaji kaz
@anenragnesmunis8490Ай бұрын
Anafana na mama yake 😊
@user-ii1tc7gt9rАй бұрын
Ila sisi wakerewe na wajita ndo zetu kuwatenganisha watoto na mama zo tunaongoza
@solomondanny-1507Ай бұрын
Mnyiramba mwenzetu unatuangushaaaaaa.
@user-xh7xf2ki3rАй бұрын
Allah awabark sana hakika mnawasaidia na azidi kiinua zaidi hii clouds na wafanyakazi wake Allahumma Aamiyn
@UpendoLukas-s1u6 күн бұрын
Habari, naomba mnisaidie kumpata baba yangu mzazi sijawahi kumwona tangu nizaliwe naomba msaada wa kumpata
@CristinLyangaАй бұрын
Wa kwetu mama nimekupata' mwana wane' songela zigizigi.
@UpendoLukas-s1u6 күн бұрын
Nami namtaguta baba yangu anaitwa David Kimori.
@darajalakidatukilomgi2362Ай бұрын
Babu amekuja kama hakuna baya alilofanya kutoroka na mtoto
@taturajabukhalfani7953
Ай бұрын
😂
@KAHINDITV
28 күн бұрын
😅😅😅😅😅
@jaliamkubilasidiАй бұрын
Ooooo jomoni hongeraaa sana mama rozi kwa kumpata mwana nani kama maaaamaaaa
@Trizah-254-eАй бұрын
Bibi hajafurahia huyu mzee😂😂😂😂
@halimamremi5375Ай бұрын
MM NILIONA SURA TANGU MWANZO NI WA KATI SURA KAFANANA NA MAMA YAKE JAMANI WANAUME WENGINE NI SHIIDAA TUU😂😢😅
@ZuhuraBungi8 күн бұрын
Namtafuta mwanangu mtoto wa marehem kaka yangu anaitwa hassan jumanne mwinyikondo mama yake akitokea mbagala
@janneferisaya83Ай бұрын
Bibi wanyumbani kabisa 🙏🏼 wasongela zigizigi
@GetrudeRashid-be8bsАй бұрын
Mtu na mtt wake,cheki alivyomjua m wanae,,,mtu chake bwaaa🎉🎉🎉
@user-rm9iz3yi5cАй бұрын
Hongera sana
@Abdul-oc1ul17 сағат бұрын
Huyo amezaliwa 95 anpt miaka 32 vp
@fathimamct232Ай бұрын
Buie ni watangazaji hqlafu mnaharibu lugha Heahima Yako ndio.nn na mama Ako myumbani unamsalimia hivyo heahima Yako mama hujui mzazi wa mwezio ni mzazi wako piya Acheni manjonjo yenu bwana
@user-eb6ct7ks3w14 күн бұрын
To be sincerely babu aliboa!!!
@matridamwalyoyo1735Ай бұрын
Katokea kwetu
@halimaoman8726Ай бұрын
Kipindi hiki cha laha leo huwa kinatowa machozi sana kwa jinsi watoto walivyotengana na wazazi wao wa kike na hii yote wanatusababishia awa waume tulizaa nao ndio wanatusababishia tusiwaone watto wetu
@annastaziarenatus804619 күн бұрын
Mimi naitwa a nastazia namtafuta baba yangu anaitwa piusi mlema tangu mwaka 19720
@Moscow924Ай бұрын
Jamani mi namtafuta wifiyangu anaitwa Hindu Husen Hajji waliachana na kakayangu na aliondoka na mtoto mdogo anaitwa Sada na alimwacha mtoto mmoja anaitwa selemani naomba kamayupo hai mwanae sele anamtafuta aje Tabora
@Allygibison26 күн бұрын
Put the music off or down a bit as you guys telk
@user-yd6xh1mr1kАй бұрын
Mungu azidi kuwakutanisha na wengine jamani😢
@esthercharles-zq1lc17 күн бұрын
Hata mm nisingekuwa na furaha na yeye kamtorosha mtoto akiwa mdogo sana
@user-ii1tc7gt9rАй бұрын
Kama ningekua mm ningempiga na kiatu huyo baba
@eggysulle7988
Ай бұрын
😂😂😂
@sleeprelaxation8431Ай бұрын
Bibi bado ana maumivu
@asiansky9767
Ай бұрын
Kweli
@user-xd9ye7wk6c
Ай бұрын
Kabisaa yaani Kama ni mm ntakalo mfanya huyo mbaba
@abdallahashajuma1281
5 күн бұрын
Si mchezo anauchungu babu kakosea kumtorosha mtoto
@aziza9093Ай бұрын
❤❤❤
@ruthmuja7792Ай бұрын
🎉
@rehemaabdy2830Ай бұрын
Nimelia
@ruthmuja7792Ай бұрын
❤
@ruthmuja7792Ай бұрын
Bibi ana kinyongo 😂
@nancyg8664
Ай бұрын
😂😂😂
@user-ck3sj6ni4z
Ай бұрын
Mwenyewe nisingemsalimia 😏
@FaridaMngereza16 күн бұрын
Iza iza iza
@user-sy4wf5ll4oАй бұрын
😅😅 nimefrai mama ana Lia anaweka maik mdomon
@hyacintagugu7
28 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂mama Ni nomaaaa
@abdulkhalim9475Ай бұрын
Bibi kamaindi kbsaaaa hahaha dah
@hashakishabani4896Ай бұрын
Daaa kafanana na mamaake sana
@SuzanFelix-mo8fqАй бұрын
Daah dadangu angejalibu iki kipindi uwenda angemuona baba yake au mdogo wake imani😢
@magrethmathayo2800Ай бұрын
mtu kashakwambia hawezi kumtambua hivyo mpaka alama unamlazimisha
@user-ml8jd5xg1rАй бұрын
❤❤❤❤🎉🎉
@leokamil6284Ай бұрын
Acheni kuweka huo mziki
@GladnessJohnLewis26 күн бұрын
Namtafuta mdogo anaitwa frenk tarimo alitoroshwa na baba yake huko rombo baada ya mama yetu kufariki
@fatmamohammed8346Ай бұрын
hiki kipindi ni kizuri lonnmie kila nikikiangalia huwa nalia kuna uchungu fulani hivi naupata🎉🎉🎉
@mussanangumi173429 күн бұрын
Mimi Nina mtoto wa marehem Dada yangu ananisumbua anamtafuta baba yake anaitwa seif nimtu wa pemba
@user-bz6ru7sk7u29 күн бұрын
Hivi Hawa wazazi wanakuaga wap miaka 30 kweli alafu mama hasaaa jamani
@user-th9nc2om2xАй бұрын
Acheni muziki
@WilbadiАй бұрын
Sis sio milima tutakutan
@MonaJuma-cp3jgАй бұрын
Kimeniliza kweli hikikipindi😭😭😭
@halimaoman8726Ай бұрын
Bibi mmempotezea furaha yake yote baada ya kutokea katika kipindi kutokea bibi mudi yote imepotea
@eggysulle7988
Ай бұрын
😂😂😂anawaza mbal
@user-lx8nl8hh3fАй бұрын
Ila inauma
@user-ky2do8fn1wАй бұрын
Mama znaongea kibembe
@user-sx3id3rv8l5 күн бұрын
Mbona alimwaja????
@ellahjonas488121 күн бұрын
Acheni kuniliza jamani
@aminaabdalla9949Ай бұрын
katikati
@user-qg2sw9bj2iАй бұрын
Nawaza ivi kuna mtu atamchukua mwanangu akiwa na miaka 2 namm namuangalia
@rehemakanyere4188
27 күн бұрын
Sijui yaaani basi tu
@ghhhhy1812Ай бұрын
Uyo mtot kafany ni Chek 😂😂kama mazim
@mariyamsalalah8204Ай бұрын
Weee nalia bas tu
@aziza9093Ай бұрын
Safuy san kwakipidi
@TeleziaSimbeye-fm3zwАй бұрын
Ilikuwaje wakapotezana???
@user-do1ug7de3gАй бұрын
Inakuwaje hembu tuambieni ili tusiwe na maswali ya kwanini
@GetrudaChaguАй бұрын
Dada Kaka shkamoni mm ninamtafuta Dada yangu mariamu juma shabani yupo dare Salam naomba mnisaidie kutafuta mana tuliachana wadogo sana
@Abdul-oc1ul17 сағат бұрын
Xx yy miaka miwili yy kakujuwa vp kwao acheni ufirwa
@ReginaThomasLongwe-qf4qsАй бұрын
Rose anafanana na mama yake
@hyacintagugu7
28 күн бұрын
Sana
@rehemaabdy2830Ай бұрын
Kampatia mtu chake jaman
@user-pn7qg8jb1eАй бұрын
Jamani nimesikia mma kaqoqa kiluqa nimemwelewa
@HOLINESSPIUSE-gv8ud
Ай бұрын
Nakwambia udadisi Wa redioni NI kujitoa mno
@HawaAhmed-yj8woАй бұрын
Sasa kwanini hilo libaba liliiba mtoto?
@MsAggie5
Ай бұрын
Ndo zao! Wengi waliopo hapo wababa waliwaiba wakafa. Inauma wakiwa wakubwa Kwa nini wasiwaambie ukweli? Ukatili huu, seri
@FloraMarinyo
Ай бұрын
Tabia mbayaaa sana yakumpokonya mtoto kwa mama yk
@michaelthobias9967
Ай бұрын
Ila mama akikaa na mtt ndio sawa acheni ubinafsi mtt ni wazazi wote
@michaelthobias9967
Ай бұрын
Kaka mtt ni WA mwanamke peke yake mwanaume wa Nini ktk upatikanaji wake
@HawaAhmed-yj8wo
Ай бұрын
@@michaelthobias9967 huyo Baba alitakiwa kufanya jitihada watoto wawe wanaenda kumsalimia mama yao japo wakati wa likizo
@rashidkishk8726Ай бұрын
Kwann natoa machozi Sasa.. 😢
@hyacintagugu7
28 күн бұрын
Huzuni jamani
@user-vv3et8xy2xАй бұрын
Ila babu
@FloraMarinyoАй бұрын
Geita inaonekana mnatabia zakuwapokonya wamama watoto
@mouldykomba1852
Ай бұрын
Saana sio tabia nzur hao wababa wana tabia mbaya
@Aminahlamranl420-hw2ieАй бұрын
Bib amemkwepa babu jamaniii huruma
@MsAggie5
Ай бұрын
Mie ningemtia ngumi 😂😂
@MaryCaroly-zl1ei
Ай бұрын
😂😂😂😂
@georgedaniel4962Ай бұрын
Mama miyeyusho kinoma unalia unasogeza maik ili sauti isikike
@Aminahlamranl420-hw2ie
Ай бұрын
😂😂😂
@MsAggie5
Ай бұрын
Labda alifikiri ndo inavyotakiwa 😂
@MsAggie5
Ай бұрын
Mama ana hasira ona anatazama pembeni hataki hata kumuangalia. Baba anashindwa hata kuomba msamaha?
Пікірлер: 121
Nashukuru Mungu Kwa mbeba maono wa kipindi hik watangazaj wote Kwa ujumla na mmilik wa hii clouds Fm
Baba kamtunza mtoto vizuri sana. Happy fathers' day.
Hongera Sana radio clouds kea kazi kubwa mnayoiganya ya kukutanisha watu Mungu baba awabariki sana
Nipo mozambiq nakipenda sana hiki kpindi kwa sababu Mimi ni muhanga nilipotezana na mama miaka 25 nikiona hua ninalia hongereni sana kwa kazi mzuri🎉🎉🎉❤❤❤❤
Hongera Rose rafiki yangu kumpata mama, ntakuja nyumbani kukupongeza
@enockmaige8936
Ай бұрын
Utabarikiwa
Hongereni kwa kipindi kizur sema Mama yuko vizuri kwenye kutumia kipaza
Bibi amechukia sana rohoni furaha yake ndogo sana:sio kama akina MAMA Mwita. Ongeren sana akina dada Gea❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@floraflora5964
Ай бұрын
hee umenikumbusha baba mwita
@user-rn9lk1ck7m
28 күн бұрын
@@floraflora5964kkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkk
Kipindi. Ķimetulia. Vizuri. Mwijaku. Hayupo. Wamekelele. Aende. Salama. Kwakweli. Kipndi. Kimependeza. ❤❤
@enockmaige8936
Ай бұрын
😂😂😂😂
@bahatibushiri1610
Ай бұрын
Umewaza kama mimi simpendi misifa mingi
@scholamodestus9386
Ай бұрын
😂😂😂 akawapigie kelele huko mbele kwa mbele
@user-xd9ye7wk6c
Ай бұрын
😂😂😂 yupo Dubai anakula bata
Dada Gea napenda, anavyoongea kwa staha/ kwa kutulia. Yaan taratibu. Vipindi vingi yuko hivi. Maua yako hayo🎉🎉🎉🎉🎉
Kwa kweli hiki kipindi huwa kinanitoa machozi sana hongera sana mama kumpata mtt wako Rose mauwa yako❤❤❤
Babu leo anapasha kiporo hii ndio mana hari ya wazazi hawagonbani 😅😅😅
Mbarikiwe sana. Mnafanya kazi nzuri. Ila ikiwezekana ule mziki unasumbua. Kama ikiwezekana, usitishwe wakati watu wanaongea.
Kaz nzr sana Mungu awatie nguvu muendelee na moyo huo wa utendaji kaz
Anafana na mama yake 😊
Ila sisi wakerewe na wajita ndo zetu kuwatenganisha watoto na mama zo tunaongoza
Mnyiramba mwenzetu unatuangushaaaaaa.
Allah awabark sana hakika mnawasaidia na azidi kiinua zaidi hii clouds na wafanyakazi wake Allahumma Aamiyn
Habari, naomba mnisaidie kumpata baba yangu mzazi sijawahi kumwona tangu nizaliwe naomba msaada wa kumpata
Wa kwetu mama nimekupata' mwana wane' songela zigizigi.
Nami namtaguta baba yangu anaitwa David Kimori.
Babu amekuja kama hakuna baya alilofanya kutoroka na mtoto
@taturajabukhalfani7953
Ай бұрын
😂
@KAHINDITV
28 күн бұрын
😅😅😅😅😅
Ooooo jomoni hongeraaa sana mama rozi kwa kumpata mwana nani kama maaaamaaaa
Bibi hajafurahia huyu mzee😂😂😂😂
MM NILIONA SURA TANGU MWANZO NI WA KATI SURA KAFANANA NA MAMA YAKE JAMANI WANAUME WENGINE NI SHIIDAA TUU😂😢😅
Namtafuta mwanangu mtoto wa marehem kaka yangu anaitwa hassan jumanne mwinyikondo mama yake akitokea mbagala
Bibi wanyumbani kabisa 🙏🏼 wasongela zigizigi
Mtu na mtt wake,cheki alivyomjua m wanae,,,mtu chake bwaaa🎉🎉🎉
Hongera sana
Huyo amezaliwa 95 anpt miaka 32 vp
Buie ni watangazaji hqlafu mnaharibu lugha Heahima Yako ndio.nn na mama Ako myumbani unamsalimia hivyo heahima Yako mama hujui mzazi wa mwezio ni mzazi wako piya Acheni manjonjo yenu bwana
To be sincerely babu aliboa!!!
Katokea kwetu
Kipindi hiki cha laha leo huwa kinatowa machozi sana kwa jinsi watoto walivyotengana na wazazi wao wa kike na hii yote wanatusababishia awa waume tulizaa nao ndio wanatusababishia tusiwaone watto wetu
Mimi naitwa a nastazia namtafuta baba yangu anaitwa piusi mlema tangu mwaka 19720
Jamani mi namtafuta wifiyangu anaitwa Hindu Husen Hajji waliachana na kakayangu na aliondoka na mtoto mdogo anaitwa Sada na alimwacha mtoto mmoja anaitwa selemani naomba kamayupo hai mwanae sele anamtafuta aje Tabora
Put the music off or down a bit as you guys telk
Mungu azidi kuwakutanisha na wengine jamani😢
Hata mm nisingekuwa na furaha na yeye kamtorosha mtoto akiwa mdogo sana
Kama ningekua mm ningempiga na kiatu huyo baba
@eggysulle7988
Ай бұрын
😂😂😂
Bibi bado ana maumivu
@asiansky9767
Ай бұрын
Kweli
@user-xd9ye7wk6c
Ай бұрын
Kabisaa yaani Kama ni mm ntakalo mfanya huyo mbaba
@abdallahashajuma1281
5 күн бұрын
Si mchezo anauchungu babu kakosea kumtorosha mtoto
❤❤❤
🎉
Nimelia
❤
Bibi ana kinyongo 😂
@nancyg8664
Ай бұрын
😂😂😂
@user-ck3sj6ni4z
Ай бұрын
Mwenyewe nisingemsalimia 😏
Iza iza iza
😅😅 nimefrai mama ana Lia anaweka maik mdomon
@hyacintagugu7
28 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂mama Ni nomaaaa
Bibi kamaindi kbsaaaa hahaha dah
Daaa kafanana na mamaake sana
Daah dadangu angejalibu iki kipindi uwenda angemuona baba yake au mdogo wake imani😢
mtu kashakwambia hawezi kumtambua hivyo mpaka alama unamlazimisha
❤❤❤❤🎉🎉
Acheni kuweka huo mziki
Namtafuta mdogo anaitwa frenk tarimo alitoroshwa na baba yake huko rombo baada ya mama yetu kufariki
hiki kipindi ni kizuri lonnmie kila nikikiangalia huwa nalia kuna uchungu fulani hivi naupata🎉🎉🎉
Mimi Nina mtoto wa marehem Dada yangu ananisumbua anamtafuta baba yake anaitwa seif nimtu wa pemba
Hivi Hawa wazazi wanakuaga wap miaka 30 kweli alafu mama hasaaa jamani
Acheni muziki
Sis sio milima tutakutan
Kimeniliza kweli hikikipindi😭😭😭
Bibi mmempotezea furaha yake yote baada ya kutokea katika kipindi kutokea bibi mudi yote imepotea
@eggysulle7988
Ай бұрын
😂😂😂anawaza mbal
Ila inauma
Mama znaongea kibembe
Mbona alimwaja????
Acheni kuniliza jamani
katikati
Nawaza ivi kuna mtu atamchukua mwanangu akiwa na miaka 2 namm namuangalia
@rehemakanyere4188
27 күн бұрын
Sijui yaaani basi tu
Uyo mtot kafany ni Chek 😂😂kama mazim
Weee nalia bas tu
Safuy san kwakipidi
Ilikuwaje wakapotezana???
Inakuwaje hembu tuambieni ili tusiwe na maswali ya kwanini
Dada Kaka shkamoni mm ninamtafuta Dada yangu mariamu juma shabani yupo dare Salam naomba mnisaidie kutafuta mana tuliachana wadogo sana
Xx yy miaka miwili yy kakujuwa vp kwao acheni ufirwa
Rose anafanana na mama yake
@hyacintagugu7
28 күн бұрын
Sana
Kampatia mtu chake jaman
Jamani nimesikia mma kaqoqa kiluqa nimemwelewa
@HOLINESSPIUSE-gv8ud
Ай бұрын
Nakwambia udadisi Wa redioni NI kujitoa mno
Sasa kwanini hilo libaba liliiba mtoto?
@MsAggie5
Ай бұрын
Ndo zao! Wengi waliopo hapo wababa waliwaiba wakafa. Inauma wakiwa wakubwa Kwa nini wasiwaambie ukweli? Ukatili huu, seri
@FloraMarinyo
Ай бұрын
Tabia mbayaaa sana yakumpokonya mtoto kwa mama yk
@michaelthobias9967
Ай бұрын
Ila mama akikaa na mtt ndio sawa acheni ubinafsi mtt ni wazazi wote
@michaelthobias9967
Ай бұрын
Kaka mtt ni WA mwanamke peke yake mwanaume wa Nini ktk upatikanaji wake
@HawaAhmed-yj8wo
Ай бұрын
@@michaelthobias9967 huyo Baba alitakiwa kufanya jitihada watoto wawe wanaenda kumsalimia mama yao japo wakati wa likizo
Kwann natoa machozi Sasa.. 😢
@hyacintagugu7
28 күн бұрын
Huzuni jamani
Ila babu
Geita inaonekana mnatabia zakuwapokonya wamama watoto
@mouldykomba1852
Ай бұрын
Saana sio tabia nzur hao wababa wana tabia mbaya
Bib amemkwepa babu jamaniii huruma
@MsAggie5
Ай бұрын
Mie ningemtia ngumi 😂😂
@MaryCaroly-zl1ei
Ай бұрын
😂😂😂😂
Mama miyeyusho kinoma unalia unasogeza maik ili sauti isikike
@Aminahlamranl420-hw2ie
Ай бұрын
😂😂😂
@MsAggie5
Ай бұрын
Labda alifikiri ndo inavyotakiwa 😂
@MsAggie5
Ай бұрын
Mama ana hasira ona anatazama pembeni hataki hata kumuangalia. Baba anashindwa hata kuomba msamaha?
@hyacintagugu7
28 күн бұрын
Yaani😂😂😂
@levinaernest4364
6 күн бұрын
@@MsAggie5 😄😄😄
❤❤❤