#LEOTENA

Ойын-сауық

#LEOTENA MAMA AWEKWA MTEGONI, YUPI NI MTOTO WAKO KATI YA HAWA, ''HATUJAONANA KWA MIAKA 30''

Пікірлер: 121

  • @user-eu6ql9zl7n
    @user-eu6ql9zl7n19 күн бұрын

    Nashukuru Mungu Kwa mbeba maono wa kipindi hik watangazaj wote Kwa ujumla na mmilik wa hii clouds Fm

  • @user-fz1ph3cn4s
    @user-fz1ph3cn4sАй бұрын

    Baba kamtunza mtoto vizuri sana. Happy fathers' day.

  • @sebonikegobi6244
    @sebonikegobi62442 сағат бұрын

    Hongera Sana radio clouds kea kazi kubwa mnayoiganya ya kukutanisha watu Mungu baba awabariki sana

  • @user-lm8ji4tz2r
    @user-lm8ji4tz2rАй бұрын

    Nipo mozambiq nakipenda sana hiki kpindi kwa sababu Mimi ni muhanga nilipotezana na mama miaka 25 nikiona hua ninalia hongereni sana kwa kazi mzuri🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @masterhptv4065
    @masterhptv4065Ай бұрын

    Hongera Rose rafiki yangu kumpata mama, ntakuja nyumbani kukupongeza

  • @enockmaige8936

    @enockmaige8936

    Ай бұрын

    Utabarikiwa

  • @ansifridmkongoja3337
    @ansifridmkongoja3337Ай бұрын

    Hongereni kwa kipindi kizur sema Mama yuko vizuri kwenye kutumia kipaza

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567Ай бұрын

    Bibi amechukia sana rohoni furaha yake ndogo sana:sio kama akina MAMA Mwita. Ongeren sana akina dada Gea❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @floraflora5964

    @floraflora5964

    Ай бұрын

    hee umenikumbusha baba mwita

  • @user-rn9lk1ck7m

    @user-rn9lk1ck7m

    28 күн бұрын

    ​@@floraflora5964kkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkk

  • @SharifaOman-bf1bn
    @SharifaOman-bf1bnАй бұрын

    Kipindi. Ķimetulia. Vizuri. Mwijaku. Hayupo. Wamekelele. Aende. Salama. Kwakweli. Kipndi. Kimependeza. ❤❤

  • @enockmaige8936

    @enockmaige8936

    Ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @bahatibushiri1610

    @bahatibushiri1610

    Ай бұрын

    Umewaza kama mimi simpendi misifa mingi

  • @scholamodestus9386

    @scholamodestus9386

    Ай бұрын

    😂😂😂 akawapigie kelele huko mbele kwa mbele

  • @user-xd9ye7wk6c

    @user-xd9ye7wk6c

    Ай бұрын

    😂😂😂 yupo Dubai anakula bata

  • @user-xc4or2vp6l
    @user-xc4or2vp6lАй бұрын

    Dada Gea napenda, anavyoongea kwa staha/ kwa kutulia. Yaan taratibu. Vipindi vingi yuko hivi. Maua yako hayo🎉🎉🎉🎉🎉

  • @christaoman8890
    @christaoman8890Ай бұрын

    Kwa kweli hiki kipindi huwa kinanitoa machozi sana hongera sana mama kumpata mtt wako Rose mauwa yako❤❤❤

  • @saidshaban8110
    @saidshaban811014 күн бұрын

    Babu leo anapasha kiporo hii ndio mana hari ya wazazi hawagonbani 😅😅😅

  • @samuelmuhindosivamwanza4988
    @samuelmuhindosivamwanza4988Ай бұрын

    Mbarikiwe sana. Mnafanya kazi nzuri. Ila ikiwezekana ule mziki unasumbua. Kama ikiwezekana, usitishwe wakati watu wanaongea.

  • @jordankikoti1045
    @jordankikoti104514 күн бұрын

    Kaz nzr sana Mungu awatie nguvu muendelee na moyo huo wa utendaji kaz

  • @anenragnesmunis8490
    @anenragnesmunis8490Ай бұрын

    Anafana na mama yake 😊

  • @user-ii1tc7gt9r
    @user-ii1tc7gt9rАй бұрын

    Ila sisi wakerewe na wajita ndo zetu kuwatenganisha watoto na mama zo tunaongoza

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507Ай бұрын

    Mnyiramba mwenzetu unatuangushaaaaaa.

  • @user-xh7xf2ki3r
    @user-xh7xf2ki3rАй бұрын

    Allah awabark sana hakika mnawasaidia na azidi kiinua zaidi hii clouds na wafanyakazi wake Allahumma Aamiyn

  • @UpendoLukas-s1u
    @UpendoLukas-s1u6 күн бұрын

    Habari, naomba mnisaidie kumpata baba yangu mzazi sijawahi kumwona tangu nizaliwe naomba msaada wa kumpata

  • @CristinLyanga
    @CristinLyangaАй бұрын

    Wa kwetu mama nimekupata' mwana wane' songela zigizigi.

  • @UpendoLukas-s1u
    @UpendoLukas-s1u6 күн бұрын

    Nami namtaguta baba yangu anaitwa David Kimori.

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362Ай бұрын

    Babu amekuja kama hakuna baya alilofanya kutoroka na mtoto

  • @taturajabukhalfani7953

    @taturajabukhalfani7953

    Ай бұрын

    😂

  • @KAHINDITV

    @KAHINDITV

    28 күн бұрын

    😅😅😅😅😅

  • @jaliamkubilasidi
    @jaliamkubilasidiАй бұрын

    Ooooo jomoni hongeraaa sana mama rozi kwa kumpata mwana nani kama maaaamaaaa

  • @Trizah-254-e
    @Trizah-254-eАй бұрын

    Bibi hajafurahia huyu mzee😂😂😂😂

  • @halimamremi5375
    @halimamremi5375Ай бұрын

    MM NILIONA SURA TANGU MWANZO NI WA KATI SURA KAFANANA NA MAMA YAKE JAMANI WANAUME WENGINE NI SHIIDAA TUU😂😢😅

  • @ZuhuraBungi
    @ZuhuraBungi8 күн бұрын

    Namtafuta mwanangu mtoto wa marehem kaka yangu anaitwa hassan jumanne mwinyikondo mama yake akitokea mbagala

  • @janneferisaya83
    @janneferisaya83Ай бұрын

    Bibi wanyumbani kabisa 🙏🏼 wasongela zigizigi

  • @GetrudeRashid-be8bs
    @GetrudeRashid-be8bsАй бұрын

    Mtu na mtt wake,cheki alivyomjua m wanae,,,mtu chake bwaaa🎉🎉🎉

  • @user-rm9iz3yi5c
    @user-rm9iz3yi5cАй бұрын

    Hongera sana

  • @Abdul-oc1ul
    @Abdul-oc1ul17 сағат бұрын

    Huyo amezaliwa 95 anpt miaka 32 vp

  • @fathimamct232
    @fathimamct232Ай бұрын

    Buie ni watangazaji hqlafu mnaharibu lugha Heahima Yako ndio.nn na mama Ako myumbani unamsalimia hivyo heahima Yako mama hujui mzazi wa mwezio ni mzazi wako piya Acheni manjonjo yenu bwana

  • @user-eb6ct7ks3w
    @user-eb6ct7ks3w14 күн бұрын

    To be sincerely babu aliboa!!!

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo1735Ай бұрын

    Katokea kwetu

  • @halimaoman8726
    @halimaoman8726Ай бұрын

    Kipindi hiki cha laha leo huwa kinatowa machozi sana kwa jinsi watoto walivyotengana na wazazi wao wa kike na hii yote wanatusababishia awa waume tulizaa nao ndio wanatusababishia tusiwaone watto wetu

  • @annastaziarenatus8046
    @annastaziarenatus804619 күн бұрын

    Mimi naitwa a nastazia namtafuta baba yangu anaitwa piusi mlema tangu mwaka 19720

  • @Moscow924
    @Moscow924Ай бұрын

    Jamani mi namtafuta wifiyangu anaitwa Hindu Husen Hajji waliachana na kakayangu na aliondoka na mtoto mdogo anaitwa Sada na alimwacha mtoto mmoja anaitwa selemani naomba kamayupo hai mwanae sele anamtafuta aje Tabora

  • @Allygibison
    @Allygibison26 күн бұрын

    Put the music off or down a bit as you guys telk

  • @user-yd6xh1mr1k
    @user-yd6xh1mr1kАй бұрын

    Mungu azidi kuwakutanisha na wengine jamani😢

  • @esthercharles-zq1lc
    @esthercharles-zq1lc17 күн бұрын

    Hata mm nisingekuwa na furaha na yeye kamtorosha mtoto akiwa mdogo sana

  • @user-ii1tc7gt9r
    @user-ii1tc7gt9rАй бұрын

    Kama ningekua mm ningempiga na kiatu huyo baba

  • @eggysulle7988

    @eggysulle7988

    Ай бұрын

    😂😂😂

  • @sleeprelaxation8431
    @sleeprelaxation8431Ай бұрын

    Bibi bado ana maumivu

  • @asiansky9767

    @asiansky9767

    Ай бұрын

    Kweli

  • @user-xd9ye7wk6c

    @user-xd9ye7wk6c

    Ай бұрын

    Kabisaa yaani Kama ni mm ntakalo mfanya huyo mbaba

  • @abdallahashajuma1281

    @abdallahashajuma1281

    5 күн бұрын

    Si mchezo anauchungu babu kakosea kumtorosha mtoto

  • @aziza9093
    @aziza9093Ай бұрын

    ❤❤❤

  • @ruthmuja7792
    @ruthmuja7792Ай бұрын

    🎉

  • @rehemaabdy2830
    @rehemaabdy2830Ай бұрын

    Nimelia

  • @ruthmuja7792
    @ruthmuja7792Ай бұрын

  • @ruthmuja7792
    @ruthmuja7792Ай бұрын

    Bibi ana kinyongo 😂

  • @nancyg8664

    @nancyg8664

    Ай бұрын

    😂😂😂

  • @user-ck3sj6ni4z

    @user-ck3sj6ni4z

    Ай бұрын

    Mwenyewe nisingemsalimia 😏

  • @FaridaMngereza
    @FaridaMngereza16 күн бұрын

    Iza iza iza

  • @user-sy4wf5ll4o
    @user-sy4wf5ll4oАй бұрын

    😅😅 nimefrai mama ana Lia anaweka maik mdomon

  • @hyacintagugu7

    @hyacintagugu7

    28 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂mama Ni nomaaaa

  • @abdulkhalim9475
    @abdulkhalim9475Ай бұрын

    Bibi kamaindi kbsaaaa hahaha dah

  • @hashakishabani4896
    @hashakishabani4896Ай бұрын

    Daaa kafanana na mamaake sana

  • @SuzanFelix-mo8fq
    @SuzanFelix-mo8fqАй бұрын

    Daah dadangu angejalibu iki kipindi uwenda angemuona baba yake au mdogo wake imani😢

  • @magrethmathayo2800
    @magrethmathayo2800Ай бұрын

    mtu kashakwambia hawezi kumtambua hivyo mpaka alama unamlazimisha

  • @user-ml8jd5xg1r
    @user-ml8jd5xg1rАй бұрын

    ❤❤❤❤🎉🎉

  • @leokamil6284
    @leokamil6284Ай бұрын

    Acheni kuweka huo mziki

  • @GladnessJohnLewis
    @GladnessJohnLewis26 күн бұрын

    Namtafuta mdogo anaitwa frenk tarimo alitoroshwa na baba yake huko rombo baada ya mama yetu kufariki

  • @fatmamohammed8346
    @fatmamohammed8346Ай бұрын

    hiki kipindi ni kizuri lonnmie kila nikikiangalia huwa nalia kuna uchungu fulani hivi naupata🎉🎉🎉

  • @mussanangumi1734
    @mussanangumi173429 күн бұрын

    Mimi Nina mtoto wa marehem Dada yangu ananisumbua anamtafuta baba yake anaitwa seif nimtu wa pemba

  • @user-bz6ru7sk7u
    @user-bz6ru7sk7u29 күн бұрын

    Hivi Hawa wazazi wanakuaga wap miaka 30 kweli alafu mama hasaaa jamani

  • @user-th9nc2om2x
    @user-th9nc2om2xАй бұрын

    Acheni muziki

  • @Wilbadi
    @WilbadiАй бұрын

    Sis sio milima tutakutan

  • @MonaJuma-cp3jg
    @MonaJuma-cp3jgАй бұрын

    Kimeniliza kweli hikikipindi😭😭😭

  • @halimaoman8726
    @halimaoman8726Ай бұрын

    Bibi mmempotezea furaha yake yote baada ya kutokea katika kipindi kutokea bibi mudi yote imepotea

  • @eggysulle7988

    @eggysulle7988

    Ай бұрын

    😂😂😂anawaza mbal

  • @user-lx8nl8hh3f
    @user-lx8nl8hh3fАй бұрын

    Ila inauma

  • @user-ky2do8fn1w
    @user-ky2do8fn1wАй бұрын

    Mama znaongea kibembe

  • @user-sx3id3rv8l
    @user-sx3id3rv8l5 күн бұрын

    Mbona alimwaja????

  • @ellahjonas4881
    @ellahjonas488121 күн бұрын

    Acheni kuniliza jamani

  • @aminaabdalla9949
    @aminaabdalla9949Ай бұрын

    katikati

  • @user-qg2sw9bj2i
    @user-qg2sw9bj2iАй бұрын

    Nawaza ivi kuna mtu atamchukua mwanangu akiwa na miaka 2 namm namuangalia

  • @rehemakanyere4188

    @rehemakanyere4188

    27 күн бұрын

    Sijui yaaani basi tu

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy1812Ай бұрын

    Uyo mtot kafany ni Chek 😂😂kama mazim

  • @mariyamsalalah8204
    @mariyamsalalah8204Ай бұрын

    Weee nalia bas tu

  • @aziza9093
    @aziza9093Ай бұрын

    Safuy san kwakipidi

  • @TeleziaSimbeye-fm3zw
    @TeleziaSimbeye-fm3zwАй бұрын

    Ilikuwaje wakapotezana???

  • @user-do1ug7de3g
    @user-do1ug7de3gАй бұрын

    Inakuwaje hembu tuambieni ili tusiwe na maswali ya kwanini

  • @GetrudaChagu
    @GetrudaChaguАй бұрын

    Dada Kaka shkamoni mm ninamtafuta Dada yangu mariamu juma shabani yupo dare Salam naomba mnisaidie kutafuta mana tuliachana wadogo sana

  • @Abdul-oc1ul
    @Abdul-oc1ul17 сағат бұрын

    Xx yy miaka miwili yy kakujuwa vp kwao acheni ufirwa

  • @ReginaThomasLongwe-qf4qs
    @ReginaThomasLongwe-qf4qsАй бұрын

    Rose anafanana na mama yake

  • @hyacintagugu7

    @hyacintagugu7

    28 күн бұрын

    Sana

  • @rehemaabdy2830
    @rehemaabdy2830Ай бұрын

    Kampatia mtu chake jaman

  • @user-pn7qg8jb1e
    @user-pn7qg8jb1eАй бұрын

    Jamani nimesikia mma kaqoqa kiluqa nimemwelewa

  • @HOLINESSPIUSE-gv8ud

    @HOLINESSPIUSE-gv8ud

    Ай бұрын

    Nakwambia udadisi Wa redioni NI kujitoa mno

  • @HawaAhmed-yj8wo
    @HawaAhmed-yj8woАй бұрын

    Sasa kwanini hilo libaba liliiba mtoto?

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    Ай бұрын

    Ndo zao! Wengi waliopo hapo wababa waliwaiba wakafa. Inauma wakiwa wakubwa Kwa nini wasiwaambie ukweli? Ukatili huu, seri

  • @FloraMarinyo

    @FloraMarinyo

    Ай бұрын

    Tabia mbayaaa sana yakumpokonya mtoto kwa mama yk

  • @michaelthobias9967

    @michaelthobias9967

    Ай бұрын

    Ila mama akikaa na mtt ndio sawa acheni ubinafsi mtt ni wazazi wote

  • @michaelthobias9967

    @michaelthobias9967

    Ай бұрын

    Kaka mtt ni WA mwanamke peke yake mwanaume wa Nini ktk upatikanaji wake

  • @HawaAhmed-yj8wo

    @HawaAhmed-yj8wo

    Ай бұрын

    @@michaelthobias9967 huyo Baba alitakiwa kufanya jitihada watoto wawe wanaenda kumsalimia mama yao japo wakati wa likizo

  • @rashidkishk8726
    @rashidkishk8726Ай бұрын

    Kwann natoa machozi Sasa.. 😢

  • @hyacintagugu7

    @hyacintagugu7

    28 күн бұрын

    Huzuni jamani

  • @user-vv3et8xy2x
    @user-vv3et8xy2xАй бұрын

    Ila babu

  • @FloraMarinyo
    @FloraMarinyoАй бұрын

    Geita inaonekana mnatabia zakuwapokonya wamama watoto

  • @mouldykomba1852

    @mouldykomba1852

    Ай бұрын

    Saana sio tabia nzur hao wababa wana tabia mbaya

  • @Aminahlamranl420-hw2ie
    @Aminahlamranl420-hw2ieАй бұрын

    Bib amemkwepa babu jamaniii huruma

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    Ай бұрын

    Mie ningemtia ngumi 😂😂

  • @MaryCaroly-zl1ei

    @MaryCaroly-zl1ei

    Ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @georgedaniel4962
    @georgedaniel4962Ай бұрын

    Mama miyeyusho kinoma unalia unasogeza maik ili sauti isikike

  • @Aminahlamranl420-hw2ie

    @Aminahlamranl420-hw2ie

    Ай бұрын

    😂😂😂

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    Ай бұрын

    Labda alifikiri ndo inavyotakiwa 😂

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    Ай бұрын

    Mama ana hasira ona anatazama pembeni hataki hata kumuangalia. Baba anashindwa hata kuomba msamaha?

  • @hyacintagugu7

    @hyacintagugu7

    28 күн бұрын

    Yaani😂😂😂

  • @levinaernest4364

    @levinaernest4364

    6 күн бұрын

    @@MsAggie5 😄😄😄

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky108828 күн бұрын

    ❤❤❤

Келесі