UTANI WA MAKONGORO NYERERE BAADA YA JPM KUGAWA TAUSI "KWA MZEE KIKWETE KUNA NGUCHILO"

Пікірлер: 28

  • @danielkwilemba4715
    @danielkwilemba47154 жыл бұрын

    Ubarikiwe baba Mzee Mwinyi!

  • @Ramadhanimsingwa
    @Ramadhanimsingwa3 жыл бұрын

    Mzee Mwinyi raisi mstaafu mcha Mungu mtu Wa ibada asiye na tamaa mpenda watu Mungu akupe uzee wenye heri nyingi nakupenda kwa mwenendo Wa maisha yako

  • @lucassabida789
    @lucassabida7894 жыл бұрын

    All our prayers are on you Mr President and your fellow

  • @hassanburhan9796

    @hassanburhan9796

    4 жыл бұрын

    Keep it up JPM

  • @samuelnyabange2069

    @samuelnyabange2069

    4 жыл бұрын

    Safi saaana. Nami nitaanza kufuga tausi.

  • @bonabonaza5066
    @bonabonaza5066 Жыл бұрын

    Mnagawa tausi nchi yakwenu Mimi mtoto wa mkulima mtanigawia lini??hapo ccm nitawachukia mpaka nifee mungu fanya kazi yako kwa ma ccm wote amina

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme84554 жыл бұрын

    Rais Mwinyi anabusara Sana siku zote

  • @lucassabida789
    @lucassabida7894 жыл бұрын

    Mungu ambariki sanaaaa mzeee huyu na Marais wenzake, God bless you

  • @hamenyimanadanieli3776
    @hamenyimanadanieli37764 жыл бұрын

    Hongera sana Mh raisi wetu kwa kuwaarika wastaafu kwa ajiri ya kuweka jiwe la msngi

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses68604 жыл бұрын

    Maraisi wastaaafu Bado mko njema mno

  • @ernesttomas85
    @ernesttomas854 жыл бұрын

    Wazee wamemkubali JPM

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho23612 жыл бұрын

    Maskini kumbe ndio JPM alikuwa anawaaga kiroho. Apumzike kwa amani Dr JPM

  • @Ramadhanimsingwa
    @Ramadhanimsingwa3 жыл бұрын

    Magufuli yaani atakumbukwa kaacha historia nafarijika Mungu amhifadhi alikuwa mwema kwa watu aliowaongoza Tanzania Mungu ilinde

  • @happydionice355
    @happydionice3553 жыл бұрын

    Huyu anachekaga tu kama baba yeke

  • @user-en2yo2ew6l
    @user-en2yo2ew6l8 ай бұрын

    Nimekuelewa Sana Makongoro nyerere

  • @user-ms1xg1fp4v
    @user-ms1xg1fp4v4 ай бұрын

    Lushoto na sie tunasema hivyo hivyo kasoro hatuna bandari mpaka tuje Tanga mjini

  • @raymondkim190
    @raymondkim1904 жыл бұрын

    Strong combined team, tz oyee!!

  • @gibsonabel964

    @gibsonabel964

    2 жыл бұрын

    I know Im asking randomly but does any of you know of a tool to get back into an instagram account..? I stupidly lost the password. I would appreciate any assistance you can give me.

  • @shaneorion8396

    @shaneorion8396

    2 жыл бұрын

    @Gibson Abel instablaster =)

  • @cosrevynewchord2022
    @cosrevynewchord20222 ай бұрын

    Nimeangalia hii clip mpaka nimetokwa na machozi kuona Rais wetu hatupo nao tena

  • @nsibwenekaswaga6267
    @nsibwenekaswaga62674 жыл бұрын

    Hongera sana Mh.Raisi kukumbuka kugawa tausi, nimeheshimu sana wazo lako. Kwa hili hujatuangusha.

  • @eliyamndeme
    @eliyamndeme Жыл бұрын

    Lugha iliyoandikwa ni gani kama English Tena kama kiarabu tunaomba jibu ni lugha Gani

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme84554 жыл бұрын

    Mbele Kwa mbele

  • @feisalfaraj44
    @feisalfaraj442 жыл бұрын

    amam sikuyamaombii unaihuwa Orr haujiwiii inawezekanaa or ningumuu kwako mumu wataifa Hilo ni ombii sio lazima

  • @innocentjoseph805
    @innocentjoseph8054 жыл бұрын

    Hivi mwanangu makongolo malizangu anazitunza?

  • @michaelmakori7324
    @michaelmakori73244 жыл бұрын

    God bless our Presidents bless our country bless our Africa

  • @davoo2555
    @davoo25554 жыл бұрын

    Mtoto wa nyoka ni nyoka tu.... hakuna chema hapo ni muendelezo wa madudu tu

  • @menikojohn2782

    @menikojohn2782

    4 жыл бұрын

    Wewe ndio huna chema wala jema hata kidogo na huitakii hii nchi mema hata kidogo, na mazuri yote ya nchi hii wewe huyaoni, kwako wewe nchi itakuwa nzuri ikiongozwa na upinzani tu rais wako awe Mbowe au Zito basi.