Mtoto Wa RAIS NYERERE Aliyepigana VITA Bila Baba Yake Kujua Mpaka Kushinda Vita

Ойын-сауық

Mtoto Wa RAIS NYERERE Aliyepigana VITA Bila Baba Yake Kujua Mpaka Kushinda Vita

Пікірлер: 29

  • @walawioutreach4055
    @walawioutreach40554 жыл бұрын

    FAMILIA YENYE HOFU YA MUNGU WALIWAPENDA WATANZANIA WENZAO KAMA MARAFIKI ZAO,HAWAKUJIONA KAMA WATOTO WA IKULU MUNGU AENDELEE KUWATUNZA,AMEN

  • @aliathuman2078
    @aliathuman20782 жыл бұрын

    Hio sauti ya kicheko chake kama ya babake tu🤣🤣

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama440710 ай бұрын

    Mmmm MUNGU Mwema Ubarikiwe hear you Have The Best fureture it touches

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho23612 жыл бұрын

    "Lakini kweli Mungu yupo"

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho23612 жыл бұрын

    Mwl angekuwa na roha ya korosho ya tamaa angemkabidhi mwanae Uganda kuitawala lakini hakufanya hivyo. Upendo ulioje.

  • @alfredcharles8029
    @alfredcharles80292 жыл бұрын

    Tufikie wakati tumuenzi Baba wetu wa Taifa kwa vitendo tuwakumbuke wanae...Makongoro apewe urais

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Жыл бұрын

    Good hearted person

  • @kijokombao5345
    @kijokombao53454 жыл бұрын

    Interview iko funny sana haichoshi💪

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai57443 жыл бұрын

    Duuu Usimwage kuku wengi, Kwenye mtama kidogo.

  • @justinaninga2679
    @justinaninga26794 жыл бұрын

    Hadi kicheko cha fanana na nyerere daa atakumbukwa kwa mengi nyerere

  • @sundayjonas6869
    @sundayjonas68694 жыл бұрын

    Selekali yetu inawajali kweli watoto wa wasisi wanchi yetu ya tz

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim82932 жыл бұрын

    Mashallah kama babake anajielewa

  • @qc5clickclick558
    @qc5clickclick5584 жыл бұрын

    Mzee wa humor 😁😁😁😁😁

  • @bonabonala5559
    @bonabonala555910 ай бұрын

    makongoro mchumia tumbo njaa inamsumbua kweli

  • @kahawathungu
    @kahawathungu4 жыл бұрын

    Mwalimu mtupu mpaka anavyojikuna kichwa. The apole does not fall far from the tree

  • @MolelMoran
    @MolelMoran Жыл бұрын

    Kama sikosei huyu Mhe alikuwa kwenye kikosi cha mizinga chini ya Col Tumbi ( RIP ) au Col Mongi. Baba wa Taifa Mwl JK Nyerere hakupendela Watoto wake.

  • @gamechanger9646
    @gamechanger96464 жыл бұрын

    A rich man's joke is always funny

  • @ramadhanibrahim7619
    @ramadhanibrahim76194 жыл бұрын

    Makongoro mchangamfu sn

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama440710 ай бұрын

    Unatukumbusha mbali

  • @lululivingstone8298
    @lululivingstone82984 жыл бұрын

    mtu wa watU

  • @raheebraheeb-vd7qv
    @raheebraheeb-vd7qv4 ай бұрын

    Ssut ya babba wa taifa kabisa

  • @januarimagobe59
    @januarimagobe594 жыл бұрын

    O

  • @lazarosule7761
    @lazarosule77612 жыл бұрын

    Duu

  • @yeasrmsafi7152
    @yeasrmsafi71524 жыл бұрын

    Huyo ndio anaitwa nani?

  • @mohamedsuleiman2069

    @mohamedsuleiman2069

    4 жыл бұрын

    makongoro nyerere mtoto wa baba wa taifa hayat julias kambarage nyerere

  • @namirihamisi3899

    @namirihamisi3899

    4 жыл бұрын

    makongoro nyrere.

  • @shabanasedi1837

    @shabanasedi1837

    3 жыл бұрын

    Makongoro

  • @kelvinmtavangu7701

    @kelvinmtavangu7701

    2 жыл бұрын

    Huyu ndiye Makongoro Nyerere *Mako*

Келесі