Dakika Kumi Za Maneno Ya MAKONGORO NYERERE | Avunja Mbavu Watu Kama MWALIMU NYERERE

Ойын-сауық

Dakika Kumi Za Maneno Ya MAKONGORO NYERERE | Avunja Mbavu Watu Kama MWALIMU NYERERE

Пікірлер: 27

  • @justineonline6556
    @justineonline65563 жыл бұрын

    Naomba ichezwe movie moja Kali Sana ya kumkubuka Mwl Julius kambalage Nyerere , harafu acheze Kama yeye ndiye hayati mwl Julius kambalage Nyerere , harafu ifanyiwe promo moja kubwa Sana , Nina hakika tutatengeneza historia moja kubwa Sana ,ambayo itashika kasi frican nzima na tutaitangaza nchi yetu ...nihayo tuu..

  • @johnwilliam2013

    @johnwilliam2013

    3 жыл бұрын

    Hakuna mtu anayeitwa kambalage

  • @justineonline6556

    @justineonline6556

    3 жыл бұрын

    @@johnwilliam2013 anaitwa Nan ???

  • @ethanethan4437

    @ethanethan4437

    3 жыл бұрын

    @@johnwilliam2013 acha umbea

  • @alihu3752
    @alihu37523 жыл бұрын

    NI kweli kk leo nchi za Africa bado ubaguzi wa makabila mnoo unakuta wanaonana kama maadui hii ipo wazi

  • @davidjohn5977
    @davidjohn59773 жыл бұрын

    Agreed

  • @florakaaya4559
    @florakaaya45593 жыл бұрын

    Jichunge sanaaa na huo ulevi wako. Mama Huyo Veronica hatumuelewi.

  • @collinsbiwott5792
    @collinsbiwott57923 жыл бұрын

    Jina langu,Mwenge na watoto wote waliozaliwa Nyamswa mission Hospital mnamo Juni 76,wote walipewa hili jina.Namkumbukia hilo,ingawaje sikumuona ana kwa ana

  • @hezekiahjonas9703
    @hezekiahjonas97033 жыл бұрын

    Jmn huyu jamaa kama babaake

  • @lewismpangala927
    @lewismpangala9273 жыл бұрын

    Masikio popo ha ha ha

  • @solomoneliphas8466
    @solomoneliphas84663 жыл бұрын

    Pop

  • @loner_wolf
    @loner_wolf3 жыл бұрын

    Mm namkumbuka kwa hadithi zake alizokuwa anatupanga anaota ndotoni Ulaya kunavita...kumbe analuninga ghetto 😂😂😂😂.

  • @freduallughano2301

    @freduallughano2301

    3 жыл бұрын

    Habari za mghahawani hizo

  • @kijeshiabdalla6316
    @kijeshiabdalla63163 жыл бұрын

    Amemrithi hadi kicheko

  • @simongwandu7392
    @simongwandu73923 жыл бұрын

    Kweli ulikuwa kichaa siyo uwongo

  • @happynessmaduka9638
    @happynessmaduka96383 жыл бұрын

    Anafanana sana baba wa taif

  • @richardmwilwa38
    @richardmwilwa383 жыл бұрын

    Iavala komesha

  • @herikaniugu
    @herikaniugu2 жыл бұрын

    Aisee ndio nmemjua Leo, copy ya Mzee kabsa

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka84693 жыл бұрын

    Maskio popo!!

  • @sheilalolila2233
    @sheilalolila22333 жыл бұрын

    Mcheshi

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael79353 жыл бұрын

    Makongoro brother weeeee

  • @kelvincharles389
    @kelvincharles3893 жыл бұрын

    Huyu wa kushoto mbona analazimisha habari za utopolo

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu50253 жыл бұрын

    Sijapenda anaongea anakohoa na kuweka mikono, anajishika pua kisha anawashika vijana mikono tiyari kama ana virus wanabeba covid 🤔🙄🤣

  • @ethanethan4437

    @ethanethan4437

    3 жыл бұрын

    Acha umbea

  • @kambamazig02024

    @kambamazig02024

    3 жыл бұрын

    Wewe wa ajabu sana, hii ilirekordiwa kabla hata ya Covid haijaja wala kujua kutakuwa na Covid, hii ilikuwa 2019.

  • @junioryasin5306

    @junioryasin5306

    3 жыл бұрын

    Kwan kakushka ww

  • @abhambomihambo6754

    @abhambomihambo6754

    3 жыл бұрын

    Acha kuwaza kitumwa ww,nani alikwambia Tanzania tuna Corona.

Келесі