Oscar Nyerere atoa kali ya mwaka mbele ya viongozi washindwa kujizuia kwa kicheko

Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Пікірлер: 103

  • @digitalworld5577
    @digitalworld55772 жыл бұрын

    Aieee this guy is so talented, sauti ya Baba wa Taifa kaipatia mulemule!👏🏾👏🏾

  • @digitalworld5577
    @digitalworld55772 жыл бұрын

    Wengi wameigiza sauti ya Baba Taifa, lkn huyu ndo kiongozi wao.

  • @hellenngwilla550
    @hellenngwilla5502 жыл бұрын

    Duh watu na vipaji vyao kwakweli hongera sana

  • @mwidinijuma8214
    @mwidinijuma82142 жыл бұрын

    Uko vizuri sauti kama mwalimu Nyerere kabisa

  • @HassanAlJabri
    @HassanAlJabri2 жыл бұрын

    Aisee huyu....mwishoo...sauti khasaa ya baba wa Taifa. Nilikuwa sitoki kwenye radio kila hutuba zake......napenda sana...Mola amrehemu....

  • @user-ww9gd8pb7o
    @user-ww9gd8pb7o7 ай бұрын

    Oscar umepatia sauti ya mwalimu nyerere kabisa. Your talented. Mungu akutunzie kipaji chako 👍🏽

  • @mdentertainmenttz124
    @mdentertainmenttz1242 жыл бұрын

    Talented boy

  • @mrsilverclassic6785
    @mrsilverclassic67852 жыл бұрын

    😂😂😂😂namuona mama Maria analiwazika maskini dah ndomaisha yalivyo

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud7632 жыл бұрын

    Huyu ndo anampatiya mwalimu

  • @marympemba6378
    @marympemba6378 Жыл бұрын

    Hongera sana oscar, sauti ya mwalimu nyerere, una kipaji kizuri sana.

  • @auntdorah9141
    @auntdorah91412 жыл бұрын

    Kweli Majaliwa tunampenda...anapendeka😍😍

  • @britonkanumba6828
    @britonkanumba6828 Жыл бұрын

    Jamaa pekee anaeweza kusema chochote

  • @bibiusuni5067
    @bibiusuni5067 Жыл бұрын

    Good memory revisited. Rest in peace Mwalimu, your voice is still alive through such talents in Tanzania.

  • @adamdaudi6191
    @adamdaudi61912 жыл бұрын

    Yeah, amejitahidi!.

  • @enockkagomba1261
    @enockkagomba12612 жыл бұрын

    Vizuri sana

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 Жыл бұрын

    Mazoezi ni muhimu sana ,sasa hivi unapita mulemule kwa Mzee,hapo sawa👍

  • @mohdkhamis3857
    @mohdkhamis38572 жыл бұрын

    Hongera, unatukumbusha mbali kjana,

  • @saulimadale9080
    @saulimadale9080 Жыл бұрын

    Kweli majaliwa namuelewa sana huyu jembe Mungu wa mbinguni ampe maisha marefu aendelee kutuongoza

  • @ambwenesandersony1545
    @ambwenesandersony15452 жыл бұрын

    Jamaa anajua sana

  • @marympemba3865
    @marympemba38652 жыл бұрын

    Nimesikia ya mwakimu nyerere kabisa, una kipaji kizuri sana, unaweza sana osca

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 Жыл бұрын

    thank you Mr Oscar for awesome speech!

  • @hamisikitwana7957
    @hamisikitwana79572 жыл бұрын

    Wanajua sana

  • @benjamingewe6943
    @benjamingewe6943 Жыл бұрын

    Uwe unaigiza sauti ya Nyerere zaidi ndio unapendezea zaidi.

  • @samweltv2064
    @samweltv2064 Жыл бұрын

    what a kipaji mungu akujalie maisha marefu oscar🙌

  • @hamisikitwana7957
    @hamisikitwana79572 жыл бұрын

    Da Safi sana Oscal

  • @flomenastephen2226
    @flomenastephen22262 жыл бұрын

    A mso happy jamani tuna enjoy na sauti ya rais wa awamu ya kwanza complete jamani apumzike Kwa Amani

  • @joachimmapunda4125
    @joachimmapunda41252 жыл бұрын

    Man, that's some talent.

  • @martinmlewa445
    @martinmlewa4452 жыл бұрын

    Uwo upuuzi hatuutaki! Wananchi wanateseka nyie mnachekesha watu

  • @eliamwakatobe4290

    @eliamwakatobe4290

    2 жыл бұрын

    Sasa unataka nchi isimame? Cha msingi inabidi utambue ya kwamba nchi lazima iendelee hata kama kuna magumu. Lazima kazi iendelee ili kuweza rekebisha kwenye mapungufu

  • @tambuwenikahemelaofficial1916

    @tambuwenikahemelaofficial1916

    2 жыл бұрын

    We jama nimiongoni mwa wajinga wa kitanzania ungekuwa kwenye nchi nyingine ungepigwa lisazi

  • @Kavandangulu9219

    @Kavandangulu9219

    2 жыл бұрын

    We hujielewi walie ndio kila mtu aishi vizur kengee we

  • @hadijamandanje6189

    @hadijamandanje6189

    2 жыл бұрын

    Usituletee kisirani bwanawe

  • @innocent__tz

    @innocent__tz

    2 жыл бұрын

    Acha makasiriko yako bhana we vp???

  • @mdoticomkom3924
    @mdoticomkom39242 жыл бұрын

    Jamaa kampatia balaaa

  • @habibahabiba7128
    @habibahabiba71282 жыл бұрын

    Mabrouk

  • @winifridakasibu2900
    @winifridakasibu29002 жыл бұрын

    Safi sana

  • @eng.magesakhamis493
    @eng.magesakhamis4932 жыл бұрын

    Kumtandika hoyeee??

  • @silverman6930
    @silverman69302 жыл бұрын

    Talent … 🇬🇧❤️

  • @naslee1010
    @naslee10102 жыл бұрын

    eti na uzee huu unaweza ukatoa siri za serikali🤣

  • @mtegemeemungusiomwanadamu6618
    @mtegemeemungusiomwanadamu66182 жыл бұрын

    Very talented figure

  • @daudhenry6212
    @daudhenry62122 жыл бұрын

    Super!

  • @EmanueliBoi
    @EmanueliBoi2 ай бұрын

    Hongera sana

  • @kimsamir965
    @kimsamir9652 жыл бұрын

    Nzuri sana

  • @pascalsamson4721
    @pascalsamson47212 жыл бұрын

    Amina

  • @yuzotv458
    @yuzotv458 Жыл бұрын

    Good talent brother💪💪💪

  • @user-kg3cr9gg1h
    @user-kg3cr9gg1h4 ай бұрын

    Super💪

  • @hassanhhassan6309
    @hassanhhassan63092 жыл бұрын

    Talent

  • @auntdorah9141
    @auntdorah91412 жыл бұрын

    Namkubali sana😁😁

  • @barakambasile2651
    @barakambasile26512 жыл бұрын

    Umemtaja majaliwa nikamkumbuka jpm ira kinana hamna hamna

  • @sakayonsakihunga3496
    @sakayonsakihunga34962 жыл бұрын

    We ninoma sana aisee

  • @pascalsamson4721
    @pascalsamson47212 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @iddybakar1946
    @iddybakar1946 Жыл бұрын

    umetisha

  • @marymfugwa847
    @marymfugwa8472 жыл бұрын

    Mama Maria jamani ana hamu!

  • @mathewedward9398

    @mathewedward9398

    2 жыл бұрын

    Pumbavu wewe! Hahahaaa, ana hamu ya nini?

  • @mrishonasry4779

    @mrishonasry4779

    2 жыл бұрын

    We ana hamu ya nn tena ha ha haaa

  • @marymfugwa847

    @marymfugwa847

    2 жыл бұрын

    @@mrishonasry4779 Anakumbuka mbali akisikia sauti inayo fanana na mwalimu!

  • @ashurahaji9115

    @ashurahaji9115

    2 жыл бұрын

    Haaaa😄😄😄

  • @paschalmakondo7853
    @paschalmakondo78532 жыл бұрын

    Ieo umejitahidi sio kule Arusha ulikua masanja mkandamizaji

  • @hadijamandanje6189

    @hadijamandanje6189

    2 жыл бұрын

    Ni kweli Leo ameongeza jambo

  • @ARNOLDKASOMA
    @ARNOLDKASOMA6 ай бұрын

    Duhhh!!!

  • @NdakamaMakoye
    @NdakamaMakoye9 ай бұрын

    Hongeraaaaa stive

  • @bobwhite9252
    @bobwhite92522 жыл бұрын

    Huyu jamaa ni hatar

  • @bekaashbai1781
    @bekaashbai17812 жыл бұрын

    Bosi wezako hamulani

  • @hashamyusuphu1064
    @hashamyusuphu10642 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂 hongela sana

  • @DolikasiYusufu
    @DolikasiYusufuАй бұрын

    ❤❤

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad18022 жыл бұрын

    hongera oscar

  • @hassanlamata2312
    @hassanlamata23122 жыл бұрын

    NASEMA HIVI HAKUNA ANAYEMZIDI HUYU JAMAA KWA KUIGIZA SAUT NA MWALIMU JULIAS NYELELE

  • @elizabethpetro1258

    @elizabethpetro1258

    2 жыл бұрын

    Kabisa' eti alimtandika viboko makongoro eti bila viboko hawezi kwenda dhaa 😂😂

  • @jumanassoro1552
    @jumanassoro1552 Жыл бұрын

    Duuu anaweza sana

  • @obadiamshana2518
    @obadiamshana2518 Жыл бұрын

    Uyo ndo anajuwa kukop staili ya nyerere steve alikuwa anatupiga kamba sauti ya nyerere haijui

  • @kinotasontravel3883
    @kinotasontravel38832 жыл бұрын

    umenikosha Sana kaka

  • @jabarmalid5393
    @jabarmalid53932 жыл бұрын

    Duh!!! Mule mulee

  • @elizabethpetro1258

    @elizabethpetro1258

    2 жыл бұрын

    Saaana tu.

  • @djfiremoto3429
    @djfiremoto342911 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @marksanduki
    @marksanduki Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂❤

  • @winifridakasibu2900
    @winifridakasibu29002 жыл бұрын

    Kuna mtu nikimuona nashikwa asira bac tu

  • @isikesamike

    @isikesamike

    2 жыл бұрын

    Nani huyo?

  • @winifridakasibu2900

    @winifridakasibu2900

    2 жыл бұрын

    Muache tu mungu ndo anamjua

  • @isikesamike

    @isikesamike

    2 жыл бұрын

    @@winifridakasibu2900 natamani kumjua maana hata mie kuna watu hapo nikiwaona hapo, dah!

  • @elizabethpetro1258

    @elizabethpetro1258

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣 utakuwa jk 🙄😅🤭

  • @LuganoMwamsojo-yt3zq
    @LuganoMwamsojo-yt3zq11 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @kambonamahmadoo6814
    @kambonamahmadoo68142 жыл бұрын

    Huyu sasa YUPO poa sana,,,c yule CHIZI anaeitwa stive bure kabisa

  • @elizabethpetro1258

    @elizabethpetro1258

    2 жыл бұрын

    Hahaha 🤣

  • @elizabethpetro1258

    @elizabethpetro1258

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣😂🤭

  • @agnesswai7174

    @agnesswai7174

    Жыл бұрын

    Safi sana...Kama sauti ya Nyerere kabisa Wala hakuna pingamizi

  • @abdulrahmanmwadini5925
    @abdulrahmanmwadini59252 жыл бұрын

    Huyu anajua kuliko anaejiita Nyerere

  • @elizabethpetro1258

    @elizabethpetro1258

    2 жыл бұрын

    We 😅

  • @masoudrashid5480
    @masoudrashid54802 жыл бұрын

    We kiboko 😆😆😆

  • @mikamwalimu9324
    @mikamwalimu93242 жыл бұрын

    Huyu sasa ndo nyerere make kwanza ncheke sio yule tiv jk wamchongo

  • @elizabethpetro1258

    @elizabethpetro1258

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣😂🤭👊

  • @henry1933
    @henry19332 жыл бұрын

    Dogo umetisha

  • @Nufaila442
    @Nufaila4422 жыл бұрын

    Watu hawa hawakuonekana miaka 5 Dah maisha mazuri yanakuja

  • @godfreymasele8853

    @godfreymasele8853

    2 жыл бұрын

    Poyoyoo🤣🤣🤣🤣🤣

  • @farijala1

    @farijala1

    2 жыл бұрын

    wewe mwehu kweli. huyo yupo Muda Mrefu

  • @alexmwanioti6390

    @alexmwanioti6390

    2 жыл бұрын

    @@godfreymasele8853 poyoyo kweli😀

  • @ezeedi871

    @ezeedi871

    2 жыл бұрын

    @@godfreymasele8853 kwei jamaa poyoyo

  • @sheikhabdul-raufalmunaawiy3367
    @sheikhabdul-raufalmunaawiy3367 Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/aHytr9mAlKTZYdo.html *SHEIKH ALHAD MUSSA, ALLAH HAOGOPI KITU CHOCHOTE.* SHEIKH ABDUL-RAUF KAGIMBO ALMUNAAWIY

  • @sabatosabibi8791
    @sabatosabibi8791 Жыл бұрын

    Ingawa sikumwona nyerere unatosha uwe rais

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku77832 жыл бұрын

    Angekuwaaa marekani angepigwaaa kofi makofiiii na will smithhhhhh

Келесі