Bila uoga Askofu Gwajima 'ajilipua' bungeni "Tutapata rais wa ajabu na Tutaangukia pua..."

Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Пікірлер: 687

  • @bensonbenezeth
    @bensonbenezeth2 жыл бұрын

    Hoja ya gwajima ni sahihi!! Wa bunge mlizingatie Hilo, Asante gwajima.

  • @morrisairo8267

    @morrisairo8267

    2 жыл бұрын

    Jembe la nguvu hili✓

  • @asuntakibiki1371

    @asuntakibiki1371

    2 жыл бұрын

    Mungu akujalie maisha marefu mchungaji gwajima.

  • @ponsianamataka4607
    @ponsianamataka46072 жыл бұрын

    Gwajima, Mungu akulinde, wabunge tunaomba msipige tu makofi tekelezeni tena kwa wakati yanayosemwa kwa kuwa watanzania wanawatambua wabunge wazuri kama Gwajima. Mungu awaongoze.

  • @itiamekimbui722
    @itiamekimbui7222 жыл бұрын

    Great point with high breed wisdom.naomba baba askofu achaguliwe kuwakilisha TZ kwa bunge LA African union.. We need these great ideas in all African countries tujitoe Kutegemea msaanda kutoka kwa wakoloni🇰🇪

  • @mbarakamwande4071

    @mbarakamwande4071

    2 жыл бұрын

    Hapana sema hivi mtazamo wake ufanyiwe kazi kwa manufaa ya nchi, hii ndio sifa ya kuomba nafasi ya ubunge

  • @ludigobishota461
    @ludigobishota4612 жыл бұрын

    UMETUWAKILISHA vyema. Hongera kwa kazi nzuri!

  • @fahdihasnuu9034
    @fahdihasnuu90342 жыл бұрын

    Siku nyingi nimewahi kusema kuwa gwajima ni very unique and genius guy na sasa ivi naendelea kujiridhisha zaidi

  • @nabasonsanga4441

    @nabasonsanga4441

    2 жыл бұрын

    Huyu jamaa maneno yanaumba one day anachukua Nchi maombi yangu kwa Mungu

  • @ponsianamataka4607

    @ponsianamataka4607

    2 жыл бұрын

    " Nileteeni Gwajima"

  • @babawawiltegamaso4367
    @babawawiltegamaso43672 жыл бұрын

    Askofu nimekuelewa sana mungu akupe uzima mwingi

  • @orestonjalika632
    @orestonjalika6322 жыл бұрын

    Ubalozi unakuhusu wewe gwajina. Good ideology toward development of Tanzania. Congats mh.Gwajima.

  • @eliasantemhonjwa6256

    @eliasantemhonjwa6256

    2 жыл бұрын

    Asante mjomba

  • @mptv661

    @mptv661

    2 жыл бұрын

    ubalozi tutapoteza jembe letu aendelee awe raisi wetu

  • @abelg2488

    @abelg2488

    2 жыл бұрын

    Anakuwaje balozi wakati ni mbunge wa kuchaguliwa? Au inaruhusiwa mbunge wa jimbo kuteuliwa kuwa balozi? Mbona sioni kama hiyo inawezekana...? Mtu anieleweshe. Lakini kwani hakuna button ambayo anaweza kubonyeza na kukataa uteuzi huo ikiwa kuna hiyo nguvu ya kumteua mbunge wa jimbo? I still think Gwaji can't accept the appointment.

  • @erickluge7838
    @erickluge78382 жыл бұрын

    Kaiongea hii point mara ya pili, ni ishara kwamba hakuona dalili ya kufanyiwa kazi hoja yake, for me GWAJIMA kasubutu, kaonyesha mkazo wa kile anachokiamini na kina mashiko ndani yake, rudia hata mara 100 na kuendelea mpaka ifanyiwe kazi. Dira ya Taifa ni maamuzi ya taifa ambayo upende usipende kama kiongozi na unaoongoza wanatakiwa wajue ili msimamo wa taifa uwe mmoja katika kupiga hatua ya kimaendeleo kwenye nyanja zote za kiuchumi, kisiasa na kijamii. Hasara zinazosabaishwa na ZIMA MOTO ya kila kiongozi anayeingia madarakani kwa kutumia halmashauri ya kichwa chake kuliongoza taifa ni kubwa mno. No way you can asses and evaluate the perfomance of Authority in progress bila ku-link ufanisi wake kwenye dira na mpango wa muda mrefu wa Taifa. Thanks Mh.Gwajima

  • @Chrisblaze-beats

    @Chrisblaze-beats

    2 жыл бұрын

    Hoja ya chadema wapo nayo muda sana shida viongozi wanakaza vichwa

  • @missangela6720

    @missangela6720

    2 жыл бұрын

    Tamu sana hii

  • @j.c.maxima816

    @j.c.maxima816

    2 жыл бұрын

    Mbatia alilizungumzia sana hili jambo... Gwaj sio wa kwanza wala wa pili... Lakini yy amewazidi wengine kufanya "show"!

  • @sinanindola93

    @sinanindola93

    2 жыл бұрын

    Hii kauli si ngeni sema watanzania ni wavivu tu na uchama mwingi lema aliiongea hii kipindi wapo bungeni kipindi cha magufuli na hawakusapot hawa sema saivi hawamkubali mama ndo mana wanaongea ivi unafiki 😅

  • @majaliwawilson9372

    @majaliwawilson9372

    2 жыл бұрын

    Ukosahihi kabisa shida hilo wakilikubal teal mamboyao hataenda ndio ukwel ndiomana nnchi za Aflika zote zinafanana kwai wazugu hawatak tuwekamawao

  • @mugapro
    @mugapro2 жыл бұрын

    Hii PhD ni ya uhakika, sina mashaka nayo kwa Sasa,

  • @missangela6720

    @missangela6720

    2 жыл бұрын

    😅

  • @maxmilianpetro968
    @maxmilianpetro9682 жыл бұрын

    Tatzo ukiongea mambo ya msingi hayachukuliwi na kuwekwa kwenye system ya nchi! Sasa tunahitaji mtu kama magufuli kabisaaa la sivyo hakuna kitu

  • @gervassn1468

    @gervassn1468

    2 жыл бұрын

    You're a men

  • @missangela6720

    @missangela6720

    2 жыл бұрын

    Magu alikuwa akiangalia miaka 200 ijayo

  • @musaraha1742

    @musaraha1742

    2 жыл бұрын

    Zimo?

  • @TamuzaKale

    @TamuzaKale

    2 жыл бұрын

    @@missangela6720 Actually alikuta kila kitu kimechorwa! Unadhani mradi gani hakuukuuta? Utaje!

  • @donjb3178

    @donjb3178

    2 жыл бұрын

    @@TamuzaKale Shida sio kukuta kila kitu kimechorwa ila shida inakuja ni mpango upi umekuja nao kuyatenda hayo yaliyochorwa hapo ndipo kuna tatizo ya viongozi wengi wanaopita hawana vision juu ya nchi bali maslahi yao wenyewe

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat1652 жыл бұрын

    Hata mimi huwa nashangaaga Sana kwakwel! Yan Tz muendelezo hakuna kila rais anafanya yake upuuz mtupu

  • @ahmedalkiyum7592

    @ahmedalkiyum7592

    2 жыл бұрын

    Sio upuzi voo hapo kila moja ataka kuonekana chake alicho kifanya kwasabb akiendeleza bado ataonekana hajafanya kitu

  • @missangela6720

    @missangela6720

    2 жыл бұрын

    @@ahmedalkiyum7592 No. Ni kwamba kuna leaders wazalendo na wenye meno ya maono, na wahuni, wenye maneno matupu

  • @j.c.maxima816

    @j.c.maxima816

    2 жыл бұрын

    Kwani hakuna muendelezo? Reli (TGV) imesimama? Nyerere hydropower imesimama? Ujenzi wa barabara na miundombinu mingine na viwanda umesimama? Uboreshaji wa huduma za jamii (maji, umeme, elimu, afya,...) umesimama??? Ni kweli, tunahitaji DIRA YA TAIFA. Lakini sio kwa sababu hakuna muendelezo!

  • @f2abooksuppliers122
    @f2abooksuppliers1222 жыл бұрын

    Ngoja niandike maneno yako yote maana naamini yanatumika kwenye maisha ya mtu binafsi ili kupata mafanikio yake na kizaz kijacho.

  • @shammhagama2527

    @shammhagama2527

    2 жыл бұрын

    exactly

  • @CHITUS
    @CHITUS2 жыл бұрын

    The kind of leader I've been looking for

  • @damianichayo895
    @damianichayo8952 жыл бұрын

    Kipindi cha kwaresma ma mfungo wa ramadhani. Tuwe wakweli mbele ya Mungu. Hakuna siku Gwajima hajaongea point. Kama ni katiba mbona alichokisema kanukuu na kifungu cha katiba isiyo mpya? Swala sio katiba bali ni uthubutu wa kizarendo kusema na kutenda. Kama Gwaj

  • @juliansowani1176

    @juliansowani1176

    2 жыл бұрын

    you are very right bro, Shida watanzania kila kitu ni siasa na unafiki mtupu. Jamaa anachosema ni uhalisia mtupu ambao hata wasomi wetu wameshindwa kufanya, mfano CHUO KIKUU CHA Dar es Salaam hatuoni kikuwakomboa wananchi wa Tanzania kule Maswa au Nachingwea au Loliondo kwa kuziboresha project mbali mbali mbali za wanachuo na kuzipeleka kwenye uhalisia wa Maisha ya watanzania. well said Gwajima Boy

  • @abelg2488

    @abelg2488

    2 жыл бұрын

    Kaka kama nimekuelewa hiviiii

  • @alanusrespicius1796

    @alanusrespicius1796

    2 жыл бұрын

    Swala siyo katoba. Nchi inaongozwa na waroho wa madaraka na wakujilimbikizia mali

  • @mwinjumakhalifa9505

    @mwinjumakhalifa9505

    2 жыл бұрын

    Kwel mtumishi wa mungu unajuwa

  • @alfredkalaba1614
    @alfredkalaba16142 жыл бұрын

    That's Gwajima I know. Wengine wanafiki speak the truth always kwa maslahi ya vizazi vijavyo kama ni kufa wote tutakufa tuuu....

  • @bulabilliontz

    @bulabilliontz

    2 жыл бұрын

    Kubwa sana hii mzee

  • @sifamwakaniemba443
    @sifamwakaniemba4432 жыл бұрын

    Big up saba mh. Gwajima umeongea kitu kikubwa mno Mungu akubariki sna yatimie hayo na yasimamiwe

  • @hamismabula9934
    @hamismabula99342 жыл бұрын

    Nchi kutegemea kichwa kimoja kwa kweli kuangukia pua kunakuja!

  • @christinakayombo266
    @christinakayombo2662 жыл бұрын

    Point salute to him the truth shall set you free!!! 🔥

  • @evcloudjuma9790
    @evcloudjuma97902 жыл бұрын

    ipo siku gwajima utajichanganya uchukue form walah tutakupa nchi,

  • @marympango9247

    @marympango9247

    2 жыл бұрын

    Ha haaaaaaaa,🤣🤣🤣🤣🤣

  • @allymusira2153

    @allymusira2153

    2 жыл бұрын

    Kama unapiga kura peke yako

  • @morganizemeshack6643

    @morganizemeshack6643

    2 жыл бұрын

    Kabisaa aisee na tutampaa, kwa uwezo aliokuwa nao anastahili kabisa kuwa kiongozi wa nchi sio mbunge tu

  • @estermathias8354

    @estermathias8354

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂umenifanya nicheke tu et akijichanganya😂😂😂😂aki hata mm nitampa

  • @mestonianatori7254

    @mestonianatori7254

    2 жыл бұрын

    Huyu akijichanganya tu!! Hana bahati !! Kwa Nia aliyo nayo nchi atapewa peupeee!!!....

  • @personalitiesan9806
    @personalitiesan98062 жыл бұрын

    Gwajima for presidency

  • @bulabilliontz

    @bulabilliontz

    2 жыл бұрын

    OVER

  • @leahenockmrina5381
    @leahenockmrina53812 жыл бұрын

    May Almighty God bless you PM Bishop Gwajima

  • @diomedenshemezimana4920
    @diomedenshemezimana49202 жыл бұрын

    Anaongea ukweli, nchi haiwezi kusonga mbele ikiwa hakuna maoni ya kitaifa.

  • @abhambomihambo6754
    @abhambomihambo67542 жыл бұрын

    You are so smart and visionary thank you and tell them!

  • @foundationforcommunityhope7327
    @foundationforcommunityhope73272 жыл бұрын

    Bishop Afrika ni Afrika tu... Hongera kusema hayo...your so bright bishop....kwenda mbele kidogo kurudi nyuma sanaas

  • @holykim2713
    @holykim27132 жыл бұрын

    Anachoongea Gwajima ni sahihi kabisa, hata mi ni mkereketwa, i have been to so many countries na nimeona jinsi wanaendesha mipango yao, hata tusiende mbali just our neighbour Rwanda, the country is doing well, sisi tunashindwa hata kuwa na mipango ya kupanda miti, jua linapiga mpaka unachanganyikiwa lkn kungekewa na mipango miji, jiji lingependeza plus maendeleo mengine ya msingi.

  • @modestshikilana4610
    @modestshikilana46102 жыл бұрын

    Mh. Hongera sana kwa maoni na mapendekezo mazuri sana. Kweli tungekuwa na maono ya hivo tungekuwa tumepiga hatua zaidi ya kimaendeleo. Waheshimiwa shaurini serikali yetu ili tuachane na utegemezi wa muda mrefu.

  • @jamshirdally4157

    @jamshirdally4157

    2 жыл бұрын

    Shida matumboo nakujuana mzeee

  • @charleslubugalameck9270

    @charleslubugalameck9270

    2 жыл бұрын

    Wapigaji hawajamwelewa kabisa nilitegemea makofi mengi

  • @lutusigaza2148
    @lutusigaza21482 жыл бұрын

    Marekani wanapiga hatua kwa sera ya taifa lao sisi tunataka kupata maendeleo kwa sera za vyama, inatakiwa kwamba viongozi wachanguliwe kwenye vyama vyao ili waje waitumikie sera ya taifa sio irani za chama mnazihamishia kwenye mipango ya taifa

  • @bulabilliontz

    @bulabilliontz

    2 жыл бұрын

    SAHIHI SANA KAKA UNA AKILI

  • @pongwebeachhotel2806

    @pongwebeachhotel2806

    2 жыл бұрын

    Ilani sio Irani=ni nchi

  • @chigaboy1332
    @chigaboy13322 жыл бұрын

    Gwaji boy through this ,I trust you

  • @kestalusambo9361

    @kestalusambo9361

    2 жыл бұрын

    Sage speak Gwajima..!!! bravo

  • @bonifacekisina
    @bonifacekisina2 жыл бұрын

    Huyu jamaa ni kiongozi wa maana sana Tanzania.

  • @yudamfinanga2246
    @yudamfinanga22462 жыл бұрын

    Kwa ukimya huo wa wabunge wenzio, inamana km hawalioni hlo ni la msingi, yani viongozi wetu wapo kimaslahi tupu na cyo kwaajir ya kuwatetea watanzania Big up sn gwaji boe

  • @abelg2488

    @abelg2488

    2 жыл бұрын

    Au wanaliona lakini hawaoni kuwa linawapa vibe lile wanalotaka au waliwazalo. Au basi bana

  • @evelinemsaki2057

    @evelinemsaki2057

    2 жыл бұрын

    Wanamwaogopa kinana atawaita kwenye kamati

  • @adamzuberi940

    @adamzuberi940

    2 жыл бұрын

    @@abelg2488 ùo8oòòyoy

  • @helenarhobi1250
    @helenarhobi12502 жыл бұрын

    Asante sana mtu wa Mungu Gwajima mambo yako safiiiiiiiiiiiii Jasus la Mbinguni!

  • @roqerz
    @roqerz2 жыл бұрын

    Gwajima inabidi achukue form tumpe nchi, This man is ideology talented leader we need him to lead our country

  • @medatonny632

    @medatonny632

    2 жыл бұрын

    True kabsaa

  • @lovenessdiva3370
    @lovenessdiva33702 жыл бұрын

    Mungu bariki this point in Jesus name 🙏

  • @Brasolebasoto

    @Brasolebasoto

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @ntegrity277
    @ntegrity2772 жыл бұрын

    This guy is intelligent!

  • @Jamie-zp7bb
    @Jamie-zp7bb2 жыл бұрын

    Huyu jamaa anauwezo mkubwa sana wakufikiri lakini ajabu viongozi wenzake wengi wanashindwa kumuelewa sababu tu hawajafikia kiwango chake.

  • @geofray0132

    @geofray0132

    2 жыл бұрын

    Daaah umeongea point knouma bro

  • @enockabumba7513

    @enockabumba7513

    2 жыл бұрын

    Kabisa

  • @masihikalokora17
    @masihikalokora172 жыл бұрын

    Gwajima ni mtu tunayemuhitaji hapa Tanzania

  • @abbymkombozi4382
    @abbymkombozi43822 жыл бұрын

    Asante mungu walinde wazalendo kamahawa ijapokuwa wanabezwa kwa wachache wanaosifiana sifiana tu huku wengi tunateketea,

  • @Donrugi
    @Donrugi2 жыл бұрын

    I real respect this men,

  • @bulabilliontz
    @bulabilliontz2 жыл бұрын

    *KAMA UNATAMANI GWAJIMA SIKU MOJA AWE RAIS weka like*

  • @fulloflife7
    @fulloflife72 жыл бұрын

    Hiki alichokisema Gwajima kina nia ya mabadiliko ya kweli na maendeleo ya nchi yetu.

  • @josephatkiliko2546
    @josephatkiliko25462 жыл бұрын

    Mniletee Geajimaaa

  • @mbondelotv8380
    @mbondelotv83802 жыл бұрын

    Nashukuru kwa mara ya kwanza nimesikia hoja ya msingi ikijadiwa bungeni

  • @neponova8988

    @neponova8988

    2 жыл бұрын

    Ashaongeaga hili...hii mara ya pili..ila wanaelewa sasa

  • @yaelijoseph8742

    @yaelijoseph8742

    2 жыл бұрын

    Lakini sio wote wanaikubali maana wanalinda ugali wao

  • @jorampetro10
    @jorampetro102 жыл бұрын

    Even if Tanzania is not going to work on this advice I personally am willing to accept and use this idea in my personal life vision mh Gwajima umeelezea mpaka bas salute sir

  • @abhambomihambo6754
    @abhambomihambo67542 жыл бұрын

    This is a common sense but I wounder how many people can see in this way a part of "Kuchumia Matumbo yao"You are truly Patriotic,we need such kind of MP not Blaablaaah and everything thing is Yes for them....kazi kupiga meza tuu bushit.

  • @sadockchengula5542

    @sadockchengula5542

    2 жыл бұрын

    Good. At least wangefika 25% Bright MPs tusingekuwa tulivyo.

  • @yahayakingochi9554

    @yahayakingochi9554

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 da kizhungu plus kiswaz kimenoga sn congr

  • @thomaskwibonelwa9240
    @thomaskwibonelwa92402 жыл бұрын

    Ujumbe umetumwa kisomi. Safi Sana Gwaji Boy. Maono ya nchi Ni utashi wa genge la mafisadi tu.

  • @elizabethpetro1258

    @elizabethpetro1258

    2 жыл бұрын

    Yeye leo katuma massage nzuri kwa taifa. Juzi Makongolo alituma bonge la massage tunawashukulu Sana.

  • @juliansowani1176

    @juliansowani1176

    2 жыл бұрын

    Shida watanzania kila kitu ni siasa na unafiki mtupu. Jamaa anachosema ni uhalisia mtupu ambao hata wasomi wetu wameshindwa kufanya, mfano CHUO KIKUU CHA Dar es Salaam hatuoni kikuwakomboa wananchi wa Tanzania kule Maswa au Nachingwea au Loliondo kwa kuziboresha project mbali mbali mbali za wanachuo na kuzipeleka kwenye uhalisia wa Maisha ya watanzania. well said Gwajima Boy

  • @jaffuramadhani8254
    @jaffuramadhani82542 жыл бұрын

    Mm nitashukru sana mweshimiwa gwajima kama watakuunga mkono maono yako katika bunge hili Ahsante sana

  • @godfreykihowogos2954
    @godfreykihowogos29542 жыл бұрын

    Ishi miaka mingi baba unajua kazi Yako ongoa na viziwi wanaosikia hongea na vipofu wanao ona ongea na walaji washika vipofu mkono 💯

  • @milkamusa5837
    @milkamusa58372 жыл бұрын

    Sasa tungeweza kuweka siasa pembeni tuendeleze yanayofaa sio lazima tuwe tofauti. Kama maono yanafaa, ni kwa maslahi yetu sote na hakuna anayeweza kumdharau kiongozi anayeendeleza mambo mema ya kizalendo na yenye kujali utu na ustawi wa watu wake. Tatizo tunatanguliza siasa zenye ushindani hasi na matokeo yake ubinafsi na chuki zinapata mwanya. Mungu tunakusihi uwape viongozi wetu unyenyekevu wawatumikie wananchi. Uongozi ni utumishi sio kiti cha starehe... Mungu aendelee kuisimamia nchi.

  • @leonardlukongola9013
    @leonardlukongola90132 жыл бұрын

    Hongera sana Mh Gwajima umetoa point utekelezaji sasa ndo ishu

  • @sifalinesamson3484
    @sifalinesamson34842 жыл бұрын

    Gwajima nakupatia zawadi kazome Ufunuo 21:8 waoga wataenda motoni. Ongea baba tuko nyuma yako

  • @sagaryajonas739
    @sagaryajonas7392 жыл бұрын

    Kweliiiii mkuu aminia sanaaaaaaaa100%

  • @puyaka1849
    @puyaka18492 жыл бұрын

    At least Gwaji boy anaonyesha sio CHAWA hi nchi tunatakiwa kuwa serious aisee ndio maana Kenya sasa hivi wamekaa kimya hawana wasiwasi wa ku lose nafasi yao kuwa Taifa lenye maendeleo east Africa sasa tumesharudi kwenye ujinga wetu na upigaji

  • @kimsi682

    @kimsi682

    2 жыл бұрын

    Na bado tutazidi kuendelea!! Usijali. Lakini tunawapenda!

  • @watotochaneltv2481
    @watotochaneltv24812 жыл бұрын

    Gwajima mtu wa Mungu unajisumbua bure kuongea hili swala sio mara ya kwanza kusema bungeni nakumbuka hii ni mara ya pili hii nnchi ya ................na wananchi wao ni ............leo wanakupigia makofi wakati walikufungia hii nnchi ni ya ............

  • @missangela6720

    @missangela6720

    2 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @tittoskeysproject1967

    @tittoskeysproject1967

    2 жыл бұрын

    Kisenge

  • @allymasuke1543

    @allymasuke1543

    2 жыл бұрын

    Hakunaa kitu apoo....ujuwe yy hajuwi kama chama chake kinaongozwa na ILANI ya chama na sio ilani ya TAIFA aliongea kwa JPM mbona alitupa kwa dasbini

  • @sammasinga9030
    @sammasinga90302 жыл бұрын

    Well sayed Mh. Gwajima Mungu akulinde

  • @vallenymugande5712
    @vallenymugande57122 жыл бұрын

    Barikiwa sana Gwajima sikujuw. Kuwa ww ni jembe kumbe wewe ni jembe tunakuandaa,ngoja tukupike baadae utatufaa kuwa Rais wetu

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo64642 жыл бұрын

    hii hoja umeiongea kwa mara ya pili ...ina mashiko sana kwa taifa ..lakini wenye mamlaka na wanaotarajia kutafuta na kupata mamlaka hawaiihitaji kwani ndiyo itakuwa kipimo chao cha uongozi. .wanataka wafanye watakavyo bila kupimwa na dira ya taifa ... ni sawa na kusoma shule pasiwepo mtihani...hutabaini nani ameweza nani hakuweza...eee.Mwenyezi Mungu tusaidie

  • @j.c.maxima816

    @j.c.maxima816

    2 жыл бұрын

    Kwa sasa kuna ILANI ya CCM. Wanapimwa kutokana na Ilani ya Chama, sio wanafanya watakavyo bila kupimwa! Lakini sio mbaya kuwa na Dira ya Taifa ya muda mrefu zaidi! Na hili sio jambo geni Afrika, hasa kwa majiirani zetu Rwanda, kulikuwa na dira ya Taifa 2000 - 2020. Kagame ameitekeleza na wamepiga hatua kubwa kimaendeleo. Na leo, wamejiwekea Sera 2020-2040.

  • @pascarmwatosya6815
    @pascarmwatosya68152 жыл бұрын

    Daa!Pointi Sanaa Sana,Shida Ni kuukubari huwo ushauriii.

  • @aliahmada9178

    @aliahmada9178

    2 жыл бұрын

    muhimu awe anakiamini anachokisema

  • @juliansowani1176

    @juliansowani1176

    2 жыл бұрын

    Shida watanzania kila kitu ni siasa na unafiki mtupu. Jamaa anachosema ni uhalisia mtupu ambao hata wasomi wetu wameshindwa kufanya, mfano CHUO KIKUU CHA Dar es Salaam hatuoni kikuwakomboa wananchi wa Tanzania kule Maswa au Nachingwea au Loliondo kwa kuziboresha project mbali mbali mbali za wanachuo na kuzipeleka kwenye uhalisia wa Maisha ya watanzania. well said Gwajima Boy

  • @kulthumbashiru864
    @kulthumbashiru8642 жыл бұрын

    Salute kwako gwajima unauthubutu Mungu akubariki usiwe miongoni mwa wanafiq

  • @mussahaji905
    @mussahaji9052 жыл бұрын

    Tatizo CCM wajeuri hawamsikilizi huu ndo ukweli ulivyo

  • @alimakame9215

    @alimakame9215

    2 жыл бұрын

    Hata makofi hawampi

  • @innocent8974
    @innocent89742 жыл бұрын

    Gwajima ana point sana mungu akuongoze kiongozi wetu

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb2 жыл бұрын

    Tatizo ni hicho chama... yanaingia huku yanatoka kule.

  • @kasontagabriel3509
    @kasontagabriel35092 жыл бұрын

    Uko sahihi Bishop Gwajima

  • @edwinkaombwe831
    @edwinkaombwe8312 жыл бұрын

    Gwaji Boy is very smart

  • @editrudesmbonde9051
    @editrudesmbonde90512 жыл бұрын

    Ilibidi kwanza kumshukuru Mungu,halafu ndio ushukuru wengine.😎

  • @boscojohn6834

    @boscojohn6834

    2 жыл бұрын

    CCM na ilaaniwe. Yaan wao ni rais kwanza af ndo Mungu,

  • @htvtanzania3483

    @htvtanzania3483

    2 жыл бұрын

    Point sana

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael54702 жыл бұрын

    Kweli Pasipo MAONO taifa huangamia. Wahuni wana maono ya kuchumia tumbo tu, habari za Watanzania sio kitu kwao. Hongera Bishop. Gwajima

  • @j.c.maxima816

    @j.c.maxima816

    2 жыл бұрын

    Kuna vision 2025... Labda huyo Mbunge amesahau!

  • @winnyleonardkapere661

    @winnyleonardkapere661

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @prospermsemwa1433
    @prospermsemwa14332 жыл бұрын

    Huyu ndie kiongozi is smart in massaging

  • @philiplenardsylvester6063
    @philiplenardsylvester60632 жыл бұрын

    Hata magufuli alisema Nileteeni gwajimaa rais wa maono aliona

  • @lukassamwel5168
    @lukassamwel51682 жыл бұрын

    Uko sahihi kabisa

  • @allyrasi3515
    @allyrasi35152 жыл бұрын

    Maono na dira ya serikali ya ccm nikuona vyama vyaupinzani vinakufa baada ya miaka sitini ijayo.

  • @mestonianatori7254

    @mestonianatori7254

    2 жыл бұрын

    😄😄😄😄

  • @philbertnestory3207

    @philbertnestory3207

    2 жыл бұрын

    Umeupiga mwingi

  • @omarikinyory5785
    @omarikinyory57852 жыл бұрын

    Nice point ✍️ mh gwajima God blessed you for everything 😘 😘 😘 🥰

  • @ushindiministry2556
    @ushindiministry25562 жыл бұрын

    Undeni kamati ya kuandaa maono ya Miaka 100 ya Tanzania ijayo na mheshimiwa Gwajima awe mwenyekiti

  • @agnesmbemba8073
    @agnesmbemba80732 жыл бұрын

    Exactly MR Gwajima,unafaa kuwa mshauri wa rais,,,Hongera kwa kuwa mbeba maono wa Taifa.Mungu ibariki Tanzania na viongozi wake Amen.

  • @faisalkamara6122
    @faisalkamara61222 жыл бұрын

    True. Ila kajiondoa kwenye ubunge😅😅 Make ilo dongo

  • @jaymadeleka4670
    @jaymadeleka46702 жыл бұрын

    Big up brother 👍🏿 well said.

  • @chamgiwadu
    @chamgiwadu2 жыл бұрын

    A politician thinks of the next election; a statesman, of the next generation. Mh Gwajima kwa maono hayo, you are a statesman

  • @juliansowani1176

    @juliansowani1176

    2 жыл бұрын

    Shida watanzania kila kitu ni siasa na unafiki mtupu. Jamaa anachosema ni uhalisia mtupu ambao hata wasomi wetu wameshindwa kufanya, mfano CHUO KIKUU CHA Dar es Salaam hatuoni kikuwakomboa wananchi wa Tanzania kule Maswa au Nachingwea au Loliondo kwa kuziboresha project mbali mbali mbali za wanachuo na kuzipeleka kwenye uhalisia wa Maisha ya watanzania. well said Gwajima Boy

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats2 жыл бұрын

    Hii hoja ya chadema kila siku wanaipigania.Ila vizuri umeileta bungeni

  • @joachimmapunda4125
    @joachimmapunda41252 жыл бұрын

    Never spoken facts before this lad

  • @sifalinesamson3484
    @sifalinesamson34842 жыл бұрын

    Leo Gwajima ndio umeongea point Safi sana, ongea baba usikike

  • @mchungajihekimafungo8072

    @mchungajihekimafungo8072

    2 жыл бұрын

    Mbona siku zote anaongea,hata hili analo ongea ni mara ya pili

  • @dorelnbraison348
    @dorelnbraison3482 жыл бұрын

    Umeongea kitu cha msingi sana Dkt gwajima

  • @essenceonlinetv217
    @essenceonlinetv2172 жыл бұрын

    Well said jembe .....

  • @jumongjr5837
    @jumongjr58372 жыл бұрын

    Ata uyu mama tulienae niwaajabu tu

  • @j.c.maxima816

    @j.c.maxima816

    2 жыл бұрын

    Kuliko yule Jomba au vipi ?! 😆😆

  • @makelemohuya2723

    @makelemohuya2723

    2 жыл бұрын

    Tena sana haijawahi kutokea

  • @adamphinias2457
    @adamphinias24572 жыл бұрын

    Jasusi la mbinguni hilo kwenye ubora wake👏👏👏

  • @ernestmasanja2589
    @ernestmasanja25892 жыл бұрын

    Mhe. Gwajima anajua

  • @chomasongidion6047
    @chomasongidion60472 жыл бұрын

    Gwajima anaakiri nyingi Sana.

  • @winnyleonardkapere661

    @winnyleonardkapere661

    2 жыл бұрын

    I swear! Gwajima is very curious.

  • @ombeniruvugo7171
    @ombeniruvugo71712 жыл бұрын

    Mungu akuzindishie upon vzr kimawazo barikiwa sana

  • @abdonmassawe49
    @abdonmassawe492 жыл бұрын

    Point Asante Gwajima 👏👏👏👏👏

  • @charlesrwegalulila1069
    @charlesrwegalulila10692 жыл бұрын

    Hii ni sahihi sana

  • @sifamwakaniemba443
    @sifamwakaniemba4432 жыл бұрын

    Gd point ndo nchi yetu lazma iwe na VISSION!!

  • @Princewaweru
    @Princewaweru2 жыл бұрын

    Hongera kwa points mzee

  • @yohanepeter6800
    @yohanepeter68002 жыл бұрын

    Lets keep this guy .....gwajima anaupeo

  • @sittandaki2135
    @sittandaki21352 жыл бұрын

    Daaaahhhhh hongera sanaaaa mh.

  • @piliibrahim4057
    @piliibrahim40572 жыл бұрын

    Mungu akutunze mtumishi wa Mungu

  • @lazaroonyango2874
    @lazaroonyango28742 жыл бұрын

    Mtumishi nakuombea Mungu akujalie uje uwe Raisi wetu kwa siku za usoni Mungu akubariki

  • @bensonotieno3826
    @bensonotieno38262 жыл бұрын

    One Day Mungu akupe nchi Gwajima 🙏🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @barakastephano8996
    @barakastephano89962 жыл бұрын

    Huwa nakukubali Sana Gwajima. Mungu aendelee kukupa maarifa ndugu.

  • @user-dz5tq7zq9t
    @user-dz5tq7zq9t9 ай бұрын

    Mungu akubariki mtumishi

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley61242 жыл бұрын

    👏👏 Gwaji Boy

  • @jakee2041
    @jakee20412 жыл бұрын

    God bless you Gwajima, i like your statements always. wish you many years.

  • @barakacharlessamson1951

    @barakacharlessamson1951

    2 жыл бұрын

    Fact

  • @patrobamalema8631
    @patrobamalema86312 жыл бұрын

    YESU AKUTUNZE SANA BISHOP GWAJIMA.

  • @josephmgalla6253
    @josephmgalla62532 жыл бұрын

    Amina barikiwa sana

Келесі