KWA HASIRA: RAIS SAMIA AMJIBU SPIKA NDUGAI KISOMI - "UNA STRESS za 2025, KELELE HAZINISHUGHULISHI"

KWA HASIRA: RAIS SAMIA AMJIBU SPIKA NDUGAI KISOMI - "UNA STRESS za 2025, KELELE HAZINISHUGHULISHI"
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Leo Jumanne Januari 04, 2022 amepokea Taarifa ya Utekelezaji wa Matumizi ya Fedha za Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya UVIKO-19.
Hafla hiyo imefanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 266

  • @robsondalink6206
    @robsondalink62062 жыл бұрын

    Ndugai uko sahihi kabsa na hoja yako me nakuunga mkono✅✅✅✅✅✅

  • @marywakesho4887

    @marywakesho4887

    2 жыл бұрын

    Ndugai kama ulidhani uko na mgao wako binafsi hapo ugua pole serikali ni ya wenye nchi wao ndio kusema sio wewe

  • @priscambwambo1030
    @priscambwambo10302 жыл бұрын

    Mungu ni mkuu sana sana yetu macho

  • @melevoriofficially9188
    @melevoriofficially91882 жыл бұрын

    Amnaga mkopo mzuri wakukusaidia akupe bureee

  • @brownkihanga688
    @brownkihanga6882 жыл бұрын

    Mama humo ndani ccm wengi wanakupenda kinafiki kwaajiri ya matumbo yao tuu,huku ulaiyani watu wanakulaani sana maisha toka upokee kijiti maisha yanaxidi kuwa magumu bidha zote zipo juu ,hizi bidha siyo kwawapinzani tuu,hata ndugu zako ccm hili jito LA jua linsawakuta jitadhimini

  • @esthermwaibasa4778
    @esthermwaibasa47782 жыл бұрын

    Mama umejibu vizuri sanasana,ingekuwa ni nchi za wenzetu angejiuzulu tu🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @husseinmalongwe2627

    @husseinmalongwe2627

    2 жыл бұрын

    Mama umeongea vyema Sana,Kwa maoni yangu Speaker Ndugai na msimamizi mkuu wa shughuli za Bunge mheshimiwa waziri mkuu Kasim Majaliwa wanapaswa kujihuzuru Kwa hiari yso.maoni yangu tuu.

  • @istambuliahmedi8203

    @istambuliahmedi8203

    2 жыл бұрын

    Ajiuzulu tu Kama ni muelewa

  • @shedrahabron7869

    @shedrahabron7869

    2 жыл бұрын

    Kho mama ndo yuko vizur😂

  • @michaelsultan6505
    @michaelsultan65052 жыл бұрын

    Go ahead mama we are behind you

  • @beatricenmarwa9745
    @beatricenmarwa97452 жыл бұрын

    Amina, mama chapa kazi Mungu anaiona na anaijua NIA na juhudi zako. Mungu akutie nguvu na wenye nia njema watakufuata. Jipe moyo mama. Tanzania hasa wanyonge ambao ni wengi wanakuangalia wewe. Usichoke wala usikate tamaa.

  • @istambuliahmedi8203

    @istambuliahmedi8203

    2 жыл бұрын

    Sawasawa

  • @paulrwechungura4284
    @paulrwechungura42842 жыл бұрын

    Kazi nzuri sana mheshimiwa Samia

  • @odenymexon2319
    @odenymexon23192 жыл бұрын

    Binadamu anawaza miaka ya 2025 unajuaje utafika hata JPM alikuwa na mipango mikubwa lakini leo hayupo.

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun30152 жыл бұрын

    Unafiki mtupu, MAFISADI YAMERUDI in the white House.

  • @mussamgonola3983
    @mussamgonola39832 жыл бұрын

    Ndugui ni muhimili wa 3 Nchi hii uwezo wa kumtoa hana ana kinga kubwa kwenye katiba la sivyo itamuwia kuvunja Bunge lakini je ataweza vunja Bunge ?

  • @fraviansweetberty8819
    @fraviansweetberty88192 жыл бұрын

    JPM pumzika kwa Amani uku CCM kumenogaaaaa😄😄😄😄😄🏃🏃🏃🏃🏃

  • @mkenyamzalendo254
    @mkenyamzalendo2542 жыл бұрын

    Kumbe siasa za Tanzania bure kabisa. Kumbe Magufuli ndio alikuwa kidume hapa mama hamna kitu kabisa. Subiri sasa mama bado mambo!

  • @penuelyolotu7113

    @penuelyolotu7113

    2 жыл бұрын

    Saanaa

  • @shedrahabron7869

    @shedrahabron7869

    2 жыл бұрын

    Yhaah

  • @siloomar7699
    @siloomar76992 жыл бұрын

    Mama Mungu atakuonesha wanafiki hata Badoo ww muombe Mungu

  • @marywakesho4887

    @marywakesho4887

    2 жыл бұрын

    Kawaida huwezi pendwa na kila mtu kunao watu wamezaliwa kuchukia tu....

  • @Amylotu
    @Amylotu2 жыл бұрын

    Pole Sana jamani raisi wetu mtukufu. Mungu aendelee kukubarkia na kukulinda.🙏🙏

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni75162 жыл бұрын

    Good

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles60272 жыл бұрын

    Mkubwa mungu,,sisi ni wanadamu thtaendelea kubak hivo

  • @khalidijohn890
    @khalidijohn8902 жыл бұрын

    2025 ndo msema kweli

  • @gichonyachore9397
    @gichonyachore93972 жыл бұрын

    Umeongea maneno mazuri sana kweli moyo wako sio wa glass mungu akulinde

  • @EzekielChalomhola
    @EzekielChalomhola26 күн бұрын

    Unafiki wa hali juu sana

  • @angeluslijuja3408
    @angeluslijuja34082 жыл бұрын

    MAMA MAMBO MENGINE SIO YA KUPIGANA VIJEMBE KTK VYOMBO VYA ABALI MTAVULUGSNA ACHENI WATU WASEME UKWELI KISHA MAMA YAFANYIE KAZI KULIKO KUTUPIANA VIJEMBE MTAIKASITI CHAMA

  • @makongorowassira6593
    @makongorowassira65932 жыл бұрын

    Ngoja wavurugane vurugane 😂😂😂

  • @ooafrica3626
    @ooafrica36262 жыл бұрын

    Hufai kua rais bac tu we maliza kimda chako

  • @emmanuelgwaay4773

    @emmanuelgwaay4773

    2 жыл бұрын

    Kama huna la kuchangia nyamaza

  • @abdallahsuleimani7416

    @abdallahsuleimani7416

    2 жыл бұрын

    Anafaa na anastahili kuendelea

  • @ooafrica3626
    @ooafrica36262 жыл бұрын

    Mama huwez kazi

  • @emmanuelgwaay4773

    @emmanuelgwaay4773

    2 жыл бұрын

    Kuwa mpole

  • @amohammed3390
    @amohammed33902 жыл бұрын

    Ndungai hoja wake ni nzuri na imeleta faida ya uwelewa wa madeni ya serikali. Tatizo ni mvurugano wa uchaguzi wa 2020 kuwatoa wapinzani. Hii ni kauli ambayo ilitarajiwa itolewe na wapinzani sasa hawamo kwenye bunge. Uharibifu wao unawaddhuru

  • @alicemwalimu8791

    @alicemwalimu8791

    2 жыл бұрын

    Umeongea fact Sana bro

  • @tedymanula2544
    @tedymanula25442 жыл бұрын

    Mama Ubarikiwe Hakka

  • @marieconnect6389
    @marieconnect63892 жыл бұрын

    Rais hapo anaongea kwa sauti ya kimamlaka na sauti ya kujiamini. Wajipange waliodhania watamchukulia poa.

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel13742 жыл бұрын

    Mama umefahamu sasa upepo unapoelekea, Adui wa Mtu ni wa nyumbani kwake, Lakini huo wimbo ni wa Lowasa leo umeimbiwa wewe, Lowasa aliishia wapi? Lakini elewa kuwa sio kila Makofi unayopigiwa ni ya Pongezi, Mengine yanakun'gon'ga tu.

  • @ayshaaisha7630
    @ayshaaisha76302 жыл бұрын

    Usomeki mwanamke mwenzangu chukua unachotaka tuachie nchi yetu tukiwa salam

  • @fatmasoud

    @fatmasoud

    2 жыл бұрын

    Hashuolo

  • @edsonmnego4030
    @edsonmnego40302 жыл бұрын

    Nyinyi kwa nyinyi sasa

  • @fahmaali8945
    @fahmaali89452 жыл бұрын

    Mama hakuna mkamilifu umsamehe mungu anasemehe

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk2 жыл бұрын

    Ndugai sio MTU mzuri, Safi Sana mama Kwa kumnyoosha

  • @istambuliahmedi8203

    @istambuliahmedi8203

    2 жыл бұрын

    Anyooshwe TU.

  • @wilsonmkumbo9575

    @wilsonmkumbo9575

    2 жыл бұрын

    Mama,waambie wanafiki,washenzi,wapo ndani ya CCM,hawana aibu,ndugai nguvu hizo anazipata wapi?eti ujanja WA siasa wapi,upo sahihi mama waambie ukweli,wapo wanajipaga

  • @thomasnyarusanda2608
    @thomasnyarusanda26082 жыл бұрын

    Kwa sasa wananchi hawana maendeleo bali ni maumivu ya tozo na mikopo umiza. Viongozi wengi hawataki na hawapendi kukosolewa hasa wanapoambiwa ukweli,wanaona wao hawakosei. Wakikosolewa hukasirika na mara nyingine kulipa kisasi kwa sababu anayo mamlaka hayamzuii. Uchumi wa Kati Tanzania umeenda wapi. Tanzania ni tajiri siyo maskini...hizi kauli zimefia wapi au tulikuwa tunadanganywa?

  • @simonsamwel1756

    @simonsamwel1756

    2 жыл бұрын

    Ndo umejua watu hawana shukrani

  • @saidmnenuka7822
    @saidmnenuka78222 жыл бұрын

    Pole sana Mheshimiwa Samia naamini umemshika pabaya unaweweseka

  • @saidmakenya6855
    @saidmakenya68552 жыл бұрын

    Mi kwanza naona mbali 2025 mi hadi saiv najua rais wangu nimagufuli pekee

  • @oyay2821
    @oyay28212 жыл бұрын

    Huyu mama wakiendelea kumchokonoa anaweza kuwa mkali kushinda jpm.

  • @ashahaji6786

    @ashahaji6786

    2 жыл бұрын

    Ni kweli kabisa

  • @shabandamas1759

    @shabandamas1759

    2 жыл бұрын

    Wajiangalie

  • @stevemwakisimba5986

    @stevemwakisimba5986

    2 жыл бұрын

    Leo kaongea ukweli ndugai anaudhi na huyu mama wameanza kumstua mapema kwahiyo atawapanga watu wake

  • @josephmvwimi8904
    @josephmvwimi89042 жыл бұрын

    Upuuz mtupu

  • @kimcash3079
    @kimcash30792 жыл бұрын

    Kweli tukubali wanawake wasimamizi wetu wanaume.

  • @ELBURLIZHOLDINGSLIMITED

    @ELBURLIZHOLDINGSLIMITED

    2 жыл бұрын

    Wewe na Nani??? .... Ongea kwa ajili yako mwenyewe, binafsi sihitaji kusimamiwa na mwanaume, wanawake Wanaojitambua ni wengi akiwemo HER EXCELLENCY MADAM PRESIDENT. Shinda hapo na fikira za kizamani, eti kusimamiwa na wanaume, pathetic!!!!!

  • @bishopmosesmagadula7572
    @bishopmosesmagadula75722 жыл бұрын

    KAMA ULISHAURIWA WATAKAO KUSUMBUA NI CCM WENZAKO KWANINI UMEMSINGIZIA MBOWE KESI YA UGAIDI NA UNAMTESA GEREZANI KWANINI UMEWABANA UPINZANI WASIFANYE MIKUTANO KWA NINI UMEKATAA KULETA KATIBA MPYA..

  • @frankmiyombo3349
    @frankmiyombo33492 жыл бұрын

    Mungu tulinde wananchi wa Tanzania

  • @isayamganule1741
    @isayamganule17412 жыл бұрын

    We mwenyewe unatamaa mbona ulipoapishwa na katiba mbovu ukaanza kuzungumzia urais 2025 ni zama ya wakinamama ulikosa maarifa huna lolote,Haifai kuongozwa na wakinamama hata biblia na Quran zinatuonesha ivo ww ni kama yule yezeber wa sedon

  • @hassansuleiman4139
    @hassansuleiman41392 жыл бұрын

    Nchi imekushinda wew mama jihuzuru ukalee wajukuu ndugai anajua ni mkongwe

  • @danieljs4285
    @danieljs42852 жыл бұрын

    Tangu Raisi wangu magu afe naichukia Sana CCM

  • @hawachilemba2562

    @hawachilemba2562

    2 жыл бұрын

    Hata mm.achayalumbane yenyewe

  • @marieconnect6389
    @marieconnect63892 жыл бұрын

    Duh! sasa najiuliza kwa mtaji huu watafanyaje kazi pamoja hawa mihimili wawili? Au hapo kuna haja ya kujiuzulu? Maana dah! haieleweki. Japo kutofautiana kimtizamo ni haki ya kila mtu. Kazi iko

  • @marieconnect6389

    @marieconnect6389

    2 жыл бұрын

    Duh, figa moja limeanguka. Pole Tanzania. Hii ni historia kwa taifa hili tangu uhuru spika kujiuzulu. Ama kweli siasa si mchezo wa kuchezea. Ama kweli aliye juu mngoje chini. Ama kweli kutangulia si kufika Ama kweli kuishi kwingi kuona mengi Mungu atujalie uhai na maisha marefu tujionee mambo.

  • @solomonnanguni2688
    @solomonnanguni26882 жыл бұрын

    Mama hata hao ulionao.hapo kwenye kutano lako unao maadui chungu tele. Ukweli ww kurudia urais ni kudra ya Mwenyezi Mungu, sasa nikuombe hayo umefaulu Mwachie Mbowe.sio.Gaidi. kwanini jambo hili umedanganyika kupita kimo chako. Mbona unamwogopa Mbowe hivyo?

  • @adinanitandalah7178
    @adinanitandalah71782 жыл бұрын

    naomba sana kwa mungu mama asiruhusu sipika ajiuzulu alikiri amekosea jitahidi sana kukaa chini mzungumuze nyinyi ndio tegemeo letu kitaifa inshaalla

  • @majaliwamsigwa6206
    @majaliwamsigwa62062 жыл бұрын

    Mama piga kazi achana na kelele za chura hizo,tupo pamoja na wewe,mpaka mwisho,hapo ndo pakujua kikulacho kinguoni mwako ,kazi iendelee 2030💪🏿💪🏿👋🏿👋🏿maendeleo kwa wa Tz

  • @kassebo
    @kassebo2 жыл бұрын

    This is🇹🇿 kikubwa uzima 2

  • @hassankhamis4117
    @hassankhamis41172 жыл бұрын

    Dah mama jamaa umemchapa sana.pole yake

  • @ooafrica3626
    @ooafrica36262 жыл бұрын

    Yapi yanatokea zaidi ya ujambazi tu

  • @makongorowassira6593
    @makongorowassira65932 жыл бұрын

    Huyu analeta mvurugano sasa, ngoja tuone nini kinakuja😀😀

  • @mitanakadorho2356
    @mitanakadorho23562 жыл бұрын

    Ndugai hamaanishe hayo ni mawazo yako hiyo tuu, usijifanye mwenye haki sababu tuu uko rais

  • @asiaboniface207
    @asiaboniface2072 жыл бұрын

    Adui mwombee njaa washaanza kugeukana nabado mungu atawapiga sana

  • @yasintajohn1189
    @yasintajohn11892 жыл бұрын

    Nchi iko hovyo gombaneni nyinyi kwa nyinyi huko huko msi haribu aman tulio nayo period

  • @abedkirway8668
    @abedkirway86682 жыл бұрын

    kwa asilimia 100 tunakumini ila usimwamini mtu yeyote aliye wahikunyanyasa watu uko nyuma kwa serikal zilozopita kama mwenez yule spika wakuu wa wilaya wale na wa mikoa wale bila kusaahau mawaziri wale ukiwaamini walishaonja laana ya unyanyasaji hawataacha sisem walimnyanyasa mpinzan tu ila hata cctu ukiwapa ikubwa hawatakuwa na 2 moja tu ubaya hata ww hawatakuangalia usiwaamini mh

  • @alicemwalimu8791

    @alicemwalimu8791

    2 жыл бұрын

    Sema unamuamini

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie78812 жыл бұрын

    Tunaomba tu mambo yapungue. Nmeshachoka

  • @abdulhafidhkamugisha1429
    @abdulhafidhkamugisha14292 жыл бұрын

    Daah! Mama huku tunaumia japokua unaendelea kujisifu

  • @kisengoabdallah1366
    @kisengoabdallah13662 жыл бұрын

    MUNGU MKUBWA ILI TRELA TU MBONA MAPEMA TUTASIKIA MENGI TU.. R.I.P SHUJAA

  • @ooafrica3626
    @ooafrica36262 жыл бұрын

    Hivi aliyetangaza kugombea ni nani? Mbona hyu mama ndo alitangaza kugombea mda mrefu sana!! Au anaogopa wagombea wenzake kwani ni vibaya kutangaza ni M nafikili mwenye matatzo ni huyu mama ( ata urais haiku pandezi )

  • @rukiasalum5320
    @rukiasalum53202 жыл бұрын

    Jamani inchi sio mali yenu mtawajibika mbele ya mungu

  • @omarrajab2395
    @omarrajab23952 жыл бұрын

    Thanks you mama twenda pamoja mie mwanao nipo mbali lakini nakuwamini mama wa Tanzania 🇹🇿

  • @georgebillu2019
    @georgebillu20192 жыл бұрын

    Hakuna alichokiongea hapo,tangia aingie huyo mama mambo ni magumu tu ngoja amalize haka ka awamu hakuna wa kumchagua

  • @gichonyachore9397
    @gichonyachore93972 жыл бұрын

    Safi sana rahisi samia fanya kazi tumikia watanzania achana na wasaka tonge timua wanaokusumbua maendeleo kwanza

  • @bekaashbai1781
    @bekaashbai17812 жыл бұрын

    Zanzibar's tuna kukubali fumbo umfumbiye mjinga asiyejijua piga kazi mama usirudi nyuma muda wetu hawa

  • @joycenicodemus.2232
    @joycenicodemus.22322 жыл бұрын

    Wapashe Mama ongea ongea,piga wanafiki wote

  • @priscambwambo1030
    @priscambwambo10302 жыл бұрын

    Wengine yetu Machooo zutaona mengiiiii

  • @jacklinethomas110
    @jacklinethomas1102 жыл бұрын

    Ee mwenyezi munqu nakushukuru. kwariziki unazonijaali ata ktk maqumu ninayopitia nakushukuru munqu mana bila wewe mimi siwezi,naomba usinipe utajiri mkubwa nikasahau akhera yako.

  • @mwigaramadhani3687
    @mwigaramadhani36872 жыл бұрын

    Mama fanya hima Hao wote wenye viashiria vya kukukatisha tamaa uwatumbue maana watatuchelewesha kimaendeleo 🙌🙌🙌😃🙆

  • @haarunsaidabdillahi4082
    @haarunsaidabdillahi40822 жыл бұрын

    Kama mpinzani siye anayekusumbua mtoe jela Mbowe.

  • @mabele5554
    @mabele55542 жыл бұрын

    Ongea mama njoo home zenji

  • @mahmoodsurour9265
    @mahmoodsurour92652 жыл бұрын

    Chapa kazi mamaaaaaaaaaaaa hakuna 2025 Wala nini roho mbovu tu

  • @priscambwambo1030
    @priscambwambo10302 жыл бұрын

    Unicode pesa ???

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith54792 жыл бұрын

    Hivi ndugai alikuwepo hapa?!!!😎🙆

  • @saidsuleiman1753

    @saidsuleiman1753

    2 жыл бұрын

    Atakuwa alikificha chooni maana mwanzo wa mkutano alikuwepo

  • @leonardlukindobinafsisitoc5785
    @leonardlukindobinafsisitoc57852 жыл бұрын

    Lazima watu waseme haiwezekani vitu vinavyotokea.alaf watu wake kimya.

  • @masanjalameck2409
    @masanjalameck24092 жыл бұрын

    Mpasuko ndani ya chama nimkubwa sana fanyeni namna kuwa wamoja mnalipoteza taifa

  • @ayubunsajigwa3935
    @ayubunsajigwa39352 жыл бұрын

    Ndugai asipojiuzuru afukuzwe hafai atatuharibia nchi ,huyu ni kiongozi lakiñi mtangulizi wake ndiye aliyeunda makundi haya Chapa kazi mama na futa kesi ya MBOWE ,wanataka kukupaka matope ,,Ndugai ajiwajibike kwa kuwalipa wabunge 19 wasio na chama

  • @mandelamandela3150

    @mandelamandela3150

    2 жыл бұрын

    Mama Samia ndiyo ajiuzulu Nchi imemshinda hawezi kuiongoza.

  • @salehekanyama5333

    @salehekanyama5333

    2 жыл бұрын

    Haya yetu macho

  • @robertndalu7228
    @robertndalu72282 жыл бұрын

    Yetu macho kwani tukisema mtasema tuna gubu tunasubiri 2025

  • @kusajajohn4556
    @kusajajohn45562 жыл бұрын

    Mama anaongea ujinga tu Kiukwel CCM kupita labda asiogombee Samia

  • @saviorhk3387
    @saviorhk33872 жыл бұрын

    Ndugai Tuko Pamoja

  • @ooafrica3626
    @ooafrica36262 жыл бұрын

    We ulimsAliti jpm tunakujua

  • @kingkendrickk

    @kingkendrickk

    2 жыл бұрын

    JPM ndo mzumu Gani huyo

  • @mandelamandela3150

    @mandelamandela3150

    2 жыл бұрын

    @@kingkendrickk Mama Samia ajiuzulu tu Urais hawezi.

  • @storytownTv
    @storytownTv2 жыл бұрын

    Me bado MIKOPO haingii hakilini kabisa mama .... Bado unafeli palefu sana

  • @tedymanula2544
    @tedymanula25442 жыл бұрын

    Tunakuamini Watumishi

  • @chandemacheleking
    @chandemacheleking26 күн бұрын

    Njaa kari sana

  • @rajabuhamisihasanisanda3317
    @rajabuhamisihasanisanda33172 жыл бұрын

    Mashalah mama sema ukweli

  • @mosesjackson_tz
    @mosesjackson_tz2 жыл бұрын

    maza kamind 😁😁

  • @mgandajames8615
    @mgandajames86152 жыл бұрын

    Yupo sahii kujiudhuru unapo ipeleka nchi sio ame kataa lawama huyo kajiongeza Tanzania😭😭

  • @jacksondioniz3452
    @jacksondioniz34522 жыл бұрын

    👀👀sisi tunaangalia 2 nchi iende na imeenda

  • @jackisonmlaari4556
    @jackisonmlaari455618 күн бұрын

    Huyu mama mwacheni atambe ila kuna siku watanzania watashuhudia yote ya ndugui

  • @imsimk.khamis574
    @imsimk.khamis5742 жыл бұрын

    Tatizo ni moja tu. Samia ameamuwa kuipa Zanzibar haki yake ya 0.4% ambayo ni gaio la mapato ya Muungano. Ambayo Zanzibar imekuwa ikinyimwa miaka yote tokea muungano huu uasisiwe Tukumbuke gaio hilo limepigiwa kelele miaka 50 sasa likiwa ni moja ya kero kubwa za muungano. Sasaivi kila mkopo wa Tanzania lazima Zanzibar wapatiwe 11.1% lakini ilikataliwa na watanganyika kupitia bu geni wakaiwrka 4.0% sasa anaipatia Zanzibar akona Ndugai hawakufurahi. Hivo tayizo la kero zamuungano wanaolikaæia tayizo ni wana ccm wa ngazi za juu wa ccm. Ndigai anataka hela yakwenda matibabu wakati alimyima Lissu haki hio

  • @istambuliahmedi8203

    @istambuliahmedi8203

    2 жыл бұрын

    Nimekuelewa

  • @sultaniramadhani890

    @sultaniramadhani890

    2 жыл бұрын

    KWA HIYO mkopo ndo umefanya wamachinga wakonde na njaa mgambo wa city wanenepeane kwa kuwadhibiti wamachinga wasifanye biashara 2025 c mbali kitaeleweka tu mtaziona kijani km zitafutuka

  • @kaimuulongo8203

    @kaimuulongo8203

    2 жыл бұрын

    Ilo sio tatizo siinusu kwa nusu

  • @mussaali4342

    @mussaali4342

    2 жыл бұрын

    Q

  • @samiaarimkonekonko5096
    @samiaarimkonekonko50962 жыл бұрын

    Mimi ata sikurewi kabisaa Rip mangu😭😭😭😭😭

  • @kaimuulongo8203

    @kaimuulongo8203

    2 жыл бұрын

    Haswa mm kama wew

  • @samiaarimkonekonko5096

    @samiaarimkonekonko5096

    2 жыл бұрын

    @@kaimuulongo8203 yaani basituu 😭😭

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman54772 жыл бұрын

    👍🙏🙏🙏

  • @fatumasamiasuluhuog8696
    @fatumasamiasuluhuog86962 жыл бұрын

    Mama samia sisi wengine tuko nyuma yako uliko tupo na Mungu atakusimamia wanawake jeshi kubwa tuko na wewe achana na vidudu mtu hawakosekanagi wasikusumbue wanafki hao nahawatakuweza ngoooo

  • @ooafrica3626
    @ooafrica36262 жыл бұрын

    Kwenye hao mawazili mtoe makamba

  • @mandelamandela3150

    @mandelamandela3150

    2 жыл бұрын

    Hatamtowa huyo mama utashuhudia !!!! Huyu mama wa ajabu sana madhaifu yake hayaoni kbsaaa!!!

  • @najmaulaya8819
    @najmaulaya88192 жыл бұрын

    Mmmmh

  • @ramadhanjuma1432
    @ramadhanjuma14322 жыл бұрын

    Mama umuangalie na mdogo wako Ummy Mwalim posho zetu za uhamisho skuhiz hatupat.

  • @frankmnale1900
    @frankmnale19002 жыл бұрын

    Mama waangalie na watumishi wananyimwa haki zao za uhamisho (Ummy Mwalimu kwa sasa anaongoza kwa mazoea wala si kwa haki) huku baadhi wana hama kwa chinichini

  • @jamesmkwabi8895
    @jamesmkwabi88952 жыл бұрын

    Mbona ndugai hatetei hoja yake,kumbe alikuwa Kiki nilitegemea ataitetea.

  • @coreshjohn5417
    @coreshjohn54172 жыл бұрын

    Mhmh

  • @siloomar7699
    @siloomar76992 жыл бұрын

    Mama endelea kuwa na subra cc tunajua kuna wanafiki wengi hiiii nchi

  • @ashamsuya5833
    @ashamsuya58332 жыл бұрын

    Kuna Mungu ww mama atakuhukumu

Келесі