MTOTO WA RAIS SAMIA ALIVYOMKOSHA MAMA YAKE, AKIZUNGUMZA KWENYE UZINDUZI WA TAASISI YA 'MIF'..
MTOTO WA RAIS SAMIA ALIVYOMKOSHA MAMA YAKE, AKIZUNGUMZA KWENYE UZINDUZI WA TAASISI YA 'MIF'..
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan Leo Juni 19, 2022 ameshiriki uzinduzi wa taasisi ya Mwanamke Initiative Fpoundation, akiwa Zanzibar..
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 70
SUBSCRIBE NOW UWE WA KWANZA KUONA:👉🏾 bit.ly/3MraYdQ
Hongera Sana Dada Wanou Na Kila La Heri MUNGU azd Kkusimamia Kwenye Harakat Zako
Kuna cha Kujifunza. Umimi unatawalaaa kwenye hiii nchi
Mueshimiwa wanu Yuko vizuri
Familia ya Mama Samia inaonekana kabisa ni ya maadili sana
Good lake
Kwani kuna ubaya wa rais wa nchi kumsaport mwanawe
@jaliabahat1520
Жыл бұрын
shangaa
@rizikiabdalla2501
5 ай бұрын
Hakunaas hata kidogooo kumsapoti kwenye ukahabaa tu ndioo mbaya ila kwenye mambo ya kheri pambeee tu
Jaman hii taasisi tunaomba ije na bara,,wadau wa elimu tupo tutaamasisha ili jambo,na naamii tutalifaikisha.hongera Sana Dada mwanzilishi.
@gosbertmuta5421
Жыл бұрын
Anzsha yako
@carolineseda4127
Жыл бұрын
@@gosbertmuta5421 one day yes, maombi yako tu
@solomonadams6337
3 ай бұрын
mwambie Manyororo akuanzishieni yenu Tanganyika sawa!
Nan huyu?
❤muambie mama ako aache kumpeleka mandi nchi ingine
@gosbertmuta5421
Жыл бұрын
Ndio nan
Mheshimiwa Wanu oyeeeee MIF SAFIIIII!!
@gracejonh4022
Жыл бұрын
😀😀😀😀😀🤣🤣
yameludia yaleyale yazamani
@gosbertmuta5421
Жыл бұрын
Kumekucha
Mbona MC unazitafuta kumbukumbu
Akimaliza Samia atashika madaraka mtoto wa Kikwete, akimaliza mtoto wa Kikwete, atashika mtoto wa Samia familia affairs. Kazi iendelee.
@fathiyasalim3946
2 жыл бұрын
Ha ha haa wee acha tu
@user-pu1sq4ci3f
Жыл бұрын
Ni kawaida hata Kwnye maandiko ndivyo ilivyokua baada ya daud mtt wake Suleiman nae c alikua mfalme! Ni kipawa Chao Mungu amewapa
@gosbertmuta5421
Жыл бұрын
Yana mwisho mbona
@asmahassan5661
Жыл бұрын
Kwahiy hiyo nch ni yakifalme duu dunia inaenda kas hi😂
Huna lolote choyo tu chefff
Q
mtoto wa Samia sisi wananchi anatuhusu nini??
@gosbertmuta5421
Жыл бұрын
😃
@asmahassan5661
Жыл бұрын
😂😂😂
@jumakapilima7295
4 ай бұрын
Wewe haikuhusu, Ila taasisi yake inawahusu
familia ya kikwete kalibia yote ipo serikalini, family ya mwinyi hivyo hivyo,na mtoto wa Samia ameanza kusogezwa serikalini??? duu!!!! jamani ivi hii nchi tunatawaliwa na ukoo?? kwanini msitawale kama Benjamin William mkapa au magufuli?? baba au mama ukiwa serikalini lazima watoto wawe serikali kuu???
@ameedamilja7992
2 жыл бұрын
Kufungua NGO yake haimaanishi yuko serkalini. Yeye ni mbunge wa siku nyingi.
@salvatorymtunga2802
2 жыл бұрын
Mbona awamu ya tano viongozi wengi walitoka kanda moja, mmesahau?.
@gracegrace6200
2 жыл бұрын
Ndiyo sehemu pekee unaweza kutajirika bila kufanya kazi Kwa kuwaibia wengi. Hiyo ndiyo asari baba ya Makamba alimuomba mwanae ampe madaraka bila aibu, naye ale asari. Wizi wa wazi wazi.
@ismailjimroger
Жыл бұрын
Mtoto wa mwana jeshi anataka kuwa mwanajeshi kama mzazi wake,vivyo hivyo kwa daktari,mhandisi na mfanyabiashara... kuna ubaya gani mtoto wa mwanasiasa kuwa mwanasiasa!!??.. rithisha wanao unachofanya ili uendeleze vipaji vya ukoo wenu!!
@rizikiabdalla2501
5 ай бұрын
Huyu yupoo kwenye siasa Amani
🤣🤣🤣🤣🤣
@ummimohamed2148
2 жыл бұрын
Mashallah.
@gracejonh4022
Жыл бұрын
😃😃😃😃😃😃
Washaanza kuwanadi watoto wao magu alikataaga ishu hizi
@stationerykinondoni7241
2 жыл бұрын
Kwa hiyo magu ndio nani
@Awatee
2 жыл бұрын
@@jumakapilima7295 Ni kweli mtoto wake ndugu uyo
@emariusrush3285
2 жыл бұрын
@@jumakapilima7295 acha kubisha upuuzi huyo ni mwanae,yaleyale ya jakaya na ridhiwan
@ndukulusudikucho_
2 жыл бұрын
Kwani Magu ni Nabii wa Tanzania
@emariusrush3285
2 жыл бұрын
ivi Kuna ulazima gani mtoto wa raini mpaka tumjue sisi wananchi???? ameanza kumsogeza serikali (Africa aibu sana)
Wizi mtupu hamna lolote
Huyu mama haoni hata aibu tu kwanin wasichukue mfano wa magufuri watoto wake alikuwa hapendi wajionyeshe hivyo, ama kweli tutamkumbuka magu kwa mazuri yake
@gosbertmuta5421
Жыл бұрын
Hatufanani
@solomonadams6337
3 ай бұрын
Samiah Suluhu Hassan Hawezi kuuwa watu ikisha akawatia kwenye vipolo akawatupa baharini kwa sababu yeye ni Muislam sawa¿Manyororo yake yeye ni Jahanam kwa sababu sio Muislam sawa!thankx