MTOTO WA RAIS SAMIA ALIVYOMKOSHA MAMA YAKE, AKIZUNGUMZA KWENYE UZINDUZI WA TAASISI YA 'MIF'..

MTOTO WA RAIS SAMIA ALIVYOMKOSHA MAMA YAKE, AKIZUNGUMZA KWENYE UZINDUZI WA TAASISI YA 'MIF'..
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan Leo Juni 19, 2022 ameshiriki uzinduzi wa taasisi ya Mwanamke Initiative Fpoundation, akiwa Zanzibar..
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 70

  • @globaltv_online
    @globaltv_online2 жыл бұрын

    SUBSCRIBE NOW UWE WA KWANZA KUONA:👉🏾 bit.ly/3MraYdQ

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis98252 жыл бұрын

    Hongera Sana Dada Wanou Na Kila La Heri MUNGU azd Kkusimamia Kwenye Harakat Zako

  • @mosesmzakwe7774
    @mosesmzakwe7774 Жыл бұрын

    Kuna cha Kujifunza. Umimi unatawalaaa kwenye hiii nchi

  • @papaamasauti5944
    @papaamasauti59442 жыл бұрын

    Mueshimiwa wanu Yuko vizuri

  • @user-jn2qj5wf6c
    @user-jn2qj5wf6cАй бұрын

    Familia ya Mama Samia inaonekana kabisa ni ya maadili sana

  • @nassirali4388
    @nassirali4388Ай бұрын

    Good lake

  • @abdulfirstzanzibar4599
    @abdulfirstzanzibar45992 жыл бұрын

    Kwani kuna ubaya wa rais wa nchi kumsaport mwanawe

  • @jaliabahat1520

    @jaliabahat1520

    Жыл бұрын

    shangaa

  • @rizikiabdalla2501

    @rizikiabdalla2501

    5 ай бұрын

    Hakunaas hata kidogooo kumsapoti kwenye ukahabaa tu ndioo mbaya ila kwenye mambo ya kheri pambeee tu

  • @carolineseda4127
    @carolineseda41272 жыл бұрын

    Jaman hii taasisi tunaomba ije na bara,,wadau wa elimu tupo tutaamasisha ili jambo,na naamii tutalifaikisha.hongera Sana Dada mwanzilishi.

  • @gosbertmuta5421

    @gosbertmuta5421

    Жыл бұрын

    Anzsha yako

  • @carolineseda4127

    @carolineseda4127

    Жыл бұрын

    @@gosbertmuta5421 one day yes, maombi yako tu

  • @solomonadams6337

    @solomonadams6337

    3 ай бұрын

    mwambie Manyororo akuanzishieni yenu Tanganyika sawa!

  • @julianapatrick7911
    @julianapatrick7911 Жыл бұрын

    Nan huyu?

  • @ljaymasaai7038
    @ljaymasaai7038 Жыл бұрын

    ❤muambie mama ako aache kumpeleka mandi nchi ingine

  • @gosbertmuta5421

    @gosbertmuta5421

    Жыл бұрын

    Ndio nan

  • @salamaalihamadi4730
    @salamaalihamadi47302 жыл бұрын

    Mheshimiwa Wanu oyeeeee MIF SAFIIIII!!

  • @gracejonh4022

    @gracejonh4022

    Жыл бұрын

    😀😀😀😀😀🤣🤣

  • @manasekabusha7180
    @manasekabusha71802 жыл бұрын

    yameludia yaleyale yazamani

  • @gosbertmuta5421

    @gosbertmuta5421

    Жыл бұрын

    Kumekucha

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima72954 ай бұрын

    Mbona MC unazitafuta kumbukumbu

  • @gracegrace6200
    @gracegrace62002 жыл бұрын

    Akimaliza Samia atashika madaraka mtoto wa Kikwete, akimaliza mtoto wa Kikwete, atashika mtoto wa Samia familia affairs. Kazi iendelee.

  • @fathiyasalim3946

    @fathiyasalim3946

    2 жыл бұрын

    Ha ha haa wee acha tu

  • @user-pu1sq4ci3f

    @user-pu1sq4ci3f

    Жыл бұрын

    Ni kawaida hata Kwnye maandiko ndivyo ilivyokua baada ya daud mtt wake Suleiman nae c alikua mfalme! Ni kipawa Chao Mungu amewapa

  • @gosbertmuta5421

    @gosbertmuta5421

    Жыл бұрын

    Yana mwisho mbona

  • @asmahassan5661

    @asmahassan5661

    Жыл бұрын

    Kwahiy hiyo nch ni yakifalme duu dunia inaenda kas hi😂

  • @KhaithamMattar-ug9cw
    @KhaithamMattar-ug9cw2 ай бұрын

    Huna lolote choyo tu chefff

  • @ThomasJohn-pi9zk
    @ThomasJohn-pi9zk Жыл бұрын

    Q

  • @emariusrush3285
    @emariusrush32852 жыл бұрын

    mtoto wa Samia sisi wananchi anatuhusu nini??

  • @gosbertmuta5421

    @gosbertmuta5421

    Жыл бұрын

    😃

  • @asmahassan5661

    @asmahassan5661

    Жыл бұрын

    😂😂😂

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    4 ай бұрын

    Wewe haikuhusu, Ila taasisi yake inawahusu

  • @emariusrush3285
    @emariusrush32852 жыл бұрын

    familia ya kikwete kalibia yote ipo serikalini, family ya mwinyi hivyo hivyo,na mtoto wa Samia ameanza kusogezwa serikalini??? duu!!!! jamani ivi hii nchi tunatawaliwa na ukoo?? kwanini msitawale kama Benjamin William mkapa au magufuli?? baba au mama ukiwa serikalini lazima watoto wawe serikali kuu???

  • @ameedamilja7992

    @ameedamilja7992

    2 жыл бұрын

    Kufungua NGO yake haimaanishi yuko serkalini. Yeye ni mbunge wa siku nyingi.

  • @salvatorymtunga2802

    @salvatorymtunga2802

    2 жыл бұрын

    Mbona awamu ya tano viongozi wengi walitoka kanda moja, mmesahau?.

  • @gracegrace6200

    @gracegrace6200

    2 жыл бұрын

    Ndiyo sehemu pekee unaweza kutajirika bila kufanya kazi Kwa kuwaibia wengi. Hiyo ndiyo asari baba ya Makamba alimuomba mwanae ampe madaraka bila aibu, naye ale asari. Wizi wa wazi wazi.

  • @ismailjimroger

    @ismailjimroger

    Жыл бұрын

    Mtoto wa mwana jeshi anataka kuwa mwanajeshi kama mzazi wake,vivyo hivyo kwa daktari,mhandisi na mfanyabiashara... kuna ubaya gani mtoto wa mwanasiasa kuwa mwanasiasa!!??.. rithisha wanao unachofanya ili uendeleze vipaji vya ukoo wenu!!

  • @rizikiabdalla2501

    @rizikiabdalla2501

    5 ай бұрын

    Huyu yupoo kwenye siasa Amani

  • @sifuelmamuya457
    @sifuelmamuya4572 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ummimohamed2148

    @ummimohamed2148

    2 жыл бұрын

    Mashallah.

  • @gracejonh4022

    @gracejonh4022

    Жыл бұрын

    😃😃😃😃😃😃

  • @saidasimba9979
    @saidasimba99792 жыл бұрын

    Washaanza kuwanadi watoto wao magu alikataaga ishu hizi

  • @stationerykinondoni7241

    @stationerykinondoni7241

    2 жыл бұрын

    Kwa hiyo magu ndio nani

  • @Awatee

    @Awatee

    2 жыл бұрын

    @@jumakapilima7295 Ni kweli mtoto wake ndugu uyo

  • @emariusrush3285

    @emariusrush3285

    2 жыл бұрын

    @@jumakapilima7295 acha kubisha upuuzi huyo ni mwanae,yaleyale ya jakaya na ridhiwan

  • @ndukulusudikucho_

    @ndukulusudikucho_

    2 жыл бұрын

    Kwani Magu ni Nabii wa Tanzania

  • @emariusrush3285

    @emariusrush3285

    2 жыл бұрын

    ivi Kuna ulazima gani mtoto wa raini mpaka tumjue sisi wananchi???? ameanza kumsogeza serikali (Africa aibu sana)

  • @FaridaJames
    @FaridaJames Жыл бұрын

    Wizi mtupu hamna lolote

  • @FaridaJames
    @FaridaJames Жыл бұрын

    Huyu mama haoni hata aibu tu kwanin wasichukue mfano wa magufuri watoto wake alikuwa hapendi wajionyeshe hivyo, ama kweli tutamkumbuka magu kwa mazuri yake

  • @gosbertmuta5421

    @gosbertmuta5421

    Жыл бұрын

    Hatufanani

  • @solomonadams6337

    @solomonadams6337

    3 ай бұрын

    Samiah Suluhu Hassan Hawezi kuuwa watu ikisha akawatia kwenye vipolo akawatupa baharini kwa sababu yeye ni Muislam sawa¿Manyororo yake yeye ni Jahanam kwa sababu sio Muislam sawa!thankx

Келесі