MAKALA YA JAKAYA KIKWETE mzee wa Msoga imeandaliwa na DENIS MPAGAZE ikatangazwa na ANANIAS EDGAR
Ойын-сауық
#dreammakertv #ananiasedgar #denismpagaze #historia #jkikwete
kwaniaba ya dreammaker tv tunaomba mapendekezo yenu mashabilki wetu tuambieni tulete makala ya nani ivi karibuni maana bila nyinyi atuwezi songa mbele
Пікірлер: 178
"Mawazo hayaitaji kupigwa rungu hoja hujibiwa kwa mawazo bora zaidi. " Hoja tano za Hon Dr. Mrisho Jakaya Kikwetr. Legacy of Hon Dr .Mrisho Jakaya Kikwete
Tunamkumbuka sana rais wetu mstaafu kwa uongozi mzur 🙏🙏
This guy's are some of the best Analysts in the entire East Africa. I subscribe....
@e.jack.47
3 жыл бұрын
Their analysis is just amazing
Ananias una sauti nzuri sana ya kufanya simulizi nakuombea usonge mbele ,tunaomba utuandalie Makala iliyoenda shule ya Hayati John Pombe Magufuri
Mimi namkubali sana kikwete aliwapenda sana RAIA na aliwapa watu freedom of speech na duniani hakuna kitu bora km Uhuru wa kujieleza
@margarethpolepole7438
3 жыл бұрын
Kwa kweli napenda historia zako za historia za viongozi maendeleo kuzitunza kichwani nakuziandika baadhi ya vipengele mungu akubariki sana
@saimonmanyerezi7169
3 жыл бұрын
Hayo ni maoni yako tu,lakini ukweli ni kwamba Magu aliwapenda zaidi wtz kuliko watangulizi wake wote,Uhuru wa kuongea ulikuwepo lakini Wtz wengi walikosa haki za huduma za Afya na nynginezo sababu kubwa ni kushindwa kuuthibiti ufisadi na kusababisha hats mahospitalini hakukuwa na dawa.Ukichunguz waliokosa uhuru wakuongea ni wachche sana sio kama wale waliokosa dawa,weka mizania hapo tuone nani alikuwa na mapenzi zaidi na Wtz.
Mimi nampendaga bure. Mungu azidi kukulinda muheshimiwa...
yapo mazuri aliyoyafanya jakaya wetu.tunakuombea maisha marefu
brother una story nzuri mno mungu akucmamie kwenye kazi zako
Jakaya ni krasmatic leader
"Akifungua mdomo na kiswahili chake na tabasamu lake unaweza kulichukulia mkopo"
Kama unamkubal ananias edga gonga likee❤
@makungamapalala7982
2 жыл бұрын
Jakaya namkubali sana
Mzee Wa maisha bora kwa kila mtanzania
"Usifuate ya kuambiwa tu changanya na zoko". "Mtanikumbuka tu".
Namukubari kikwete sanaaaa
@kennethndingo2544
3 жыл бұрын
Mstafu uraisi Jk Kikwete watanzania hakika umetufanyia mengi mxr tunakukumbuka Sana kwa uvumilivu.kwa kila jambo hongera Sana.Mungu atakulipa.
Nafurahi sana kusikiliza kumbukumbu za viongozi wa Tanzania nami nazihifadhi kichwani japo mzee ananisager
History mzuli Sana,mungu akupe afya njema mtoaji wa hii history.
Wakenya ndio wanaojua utamu wa Mh Dr. Mrusho Jakaya Kikwete wakati alipowasuluhisha kwa diplomasia ya hali ya juu na akaenda kuwahutubia kitaifa. Hazina ya diplomasia suluhishi.
Safi bro piga kaz
Nyerere ndo aloiuwa zbar na kumuuwa Karume, Aboud Jumbe kamtowe nje kisa kutaka Serikali tatu mshenzi sana
@mgangasaid7990
2 жыл бұрын
Wacha upimbe huo
Nakukubali sana ananiasedgar salute kwako mzee
Cc watanzania wepec Sana kusahau huyu kikwete Mungu atamuona tu....
Safi sana JK
I LOVE YOU KIKWETE
Jakaya humjua nikiongozi bora kabisa wa level nyingine,aliifungua nchi iliofungwa,na kupoteza dira kabisa,aliweka misingi imara ya maendeleo ya nchi,utawala wa mwl.ulikuwa utawala mbovu kabisa kutokea uliifilisi nchi ,ulipoteza hazina zote zilizoachwa na wakoloni
Ahsante sana Denis Edger Mpagaze
Sauti nzuri kama ya Bati Kombwa RTD. Ubarikiwe.
Hutapata mpizani miaka buku dogo utabaki kuwa juu kileleleni daima
Nimeingia tatu ya kwanza wap like
Mashaallah
Thanks broo tuletee historia ya obama
Anas Edgar, unanikosha usomaji wako wa makala 👍
Safi
Kweli brother story tamu
Tuleteeni makala ya rais Ali Hassan mwinyi WA Tanzania
Hongera jakaya mzawa wa nyumbani
Historia taamu. Kaka edgar w n wa kipekee . W n roll model wang kweny kazi hizi.
Good job keep it up
Nakukubali mzee baba
"Kuachana na siasa za maji taka" "Siasa ni tope".
siku moja tupe habari za mtikila bwana mpagaze
Tunaomba utuandalie historia ya jpm
Nice ctory
Thanks brother
R.I.P MWAMBA MAGUFULI♥️💔
@stephanochazi5174
3 жыл бұрын
Jonpobe. Makufuli
Umezingua kuxema et hatujawahi hata kupata umonitor kwa hyo tukichukua form et tutaishia jela
@mgangasaid7990
2 жыл бұрын
Kalale huko
Umeeleza vzuri lakini bila mtiririko wa kueleweka
Hizoo sifa za mabaa na mapombe na uhuni hazimpendezi Mungu
Ndio Mana allimjua mama samiya kumbe aliishi Zanzibar kwa pengine walifanya kazi pamoja tangu zamani😁😁😁😁😁Aristoteeeeeeee
Tunamkumba sana aithe
@kiyabolnjemu9646
4 жыл бұрын
Hujaeleweka
Noma sana
@mgangasaid7990
2 жыл бұрын
Zaidi ya noma
"Si wa kukurupuka na kuweweseka kama mapepo yaliyotolewa kwa......."
We miss you JK
Da,napenda sana makala zenu mnazoandaa, zinavutia mno.
@marykibwana9413
4 жыл бұрын
Asante, kwa ku-like comment yangu.
Hatari
Jakaya atakumbukwa sana
Uyu achana nae,ana girous,kama katiba yetu ngekuwa kama ya ezlaeli ageshaludi kwenye kuongo tena👏
Kikwete
" Mh Lowasa alipokatwa imani ya watu wake ikawa haba"
Nakubali
@mamavivi3324
4 жыл бұрын
.
Sahihisha usemi WA WALAKA...... AU WARAKA.....Inatia aibu.
Tuletee na historia ya mtikira.
Binadamu hawasarifiki huyo ndio binadamu. Mungu Mkubwa kila Kiongozi anamema yake na mabaya yake. Hakuna mkamilifu.
Mm aona hawa wanaotengeneza hizi video watupe za kwao tuwajue zaid
Thanks for this masterpiece
@Jastinmadoi
Salim Ahmed Salim Lowasa na Rostam mlituchezea mchezo mchafu sana ila kikwete ali play part yake vizuri 👍
@mgangasaid7990
2 жыл бұрын
Uliwaona
Tunapenda xana kazi zako ila angalia kuonyesha maneno yenye elemenzi za dharau kwa askari katika makala zako
@kindokiyanga4805
3 жыл бұрын
Unakwama wap mzee
MTIKILA ALIKUWA NOMA
LEO STORY MEIPENDA KINOMA.
Samaki anaefungua mdomo ndo hunasw na ndoano ikamnasa yeye hahaha mbavu zng mie
Mama nilipo nitatoka......
Osama
Mmmhhh
God bless you for amazing information keep it up brother to be honest if u could do this English u could have won best stories all the time but still still ur Informationen us ur bless ur contributing alot to educated more and more
broo nakubali sanaa
Ha
We jamaa unajua kinomer...
#Mtanzania
chama kinapiga chafya chyee!
Uyu alipikw,kwanza baba ake alikuwa kionzi,kuna nn tena maji ufata mkongo
eka ya Hussein mwinyi
@mgangasaid7990
2 жыл бұрын
Ya baba ako hutaki au
Alituletea Mitandao ya simu
Safi mzee
Tuletee story ya huyo waliewekwa kizuizini
Mbona hujaongea Rostam utajiri kapata wapi? Ukwepaji kodi, hela ya epa , mikataba ya madini, mikataba ya umeme na gesi. Hiyo misaada ni hela yetu. Wajinga ndio tuliwawo.
Hiyo nimeielewa
Mtikila alikuwa mtata🤣🤣
@justineonline6556
3 жыл бұрын
Ingia KZread andika Justine Online Tazama Kisha Subcribe ...
😁😄😁😃😁😄☺️😃😁😄
nime penda story
Leta na za mtikila
Yaani hii haifai
@mgangasaid7990
2 жыл бұрын
We unafaa
Magufili nazani Hawa ndo walio muua bhana
Waizi ni kenya walikula pesa za corona bila aibu bado wanajifakharisha
@mgangasaid7990
2 жыл бұрын
Kula na wewe
Hakumbukwi kwa shangwe
Huwezi kujua uzuri ama ubaya wa Rais yeyote mpaka hapo atakapotoka madarakani kikatiba ama mapenxi ya Mungu mf R.I.P. Si vyema kumsema Rais ambaye hajafikia ukomo wa kazi yake.
@mgangasaid7990
2 жыл бұрын
Umeona ee
Ahaaa we ckupng uko vzl
Tunafuata vipindi vyako lakini kiswahili cako ni kigumu saana kuelewa.
@mgangasaid7990
2 жыл бұрын
Karudi shule bwana
Nakumis mzee mi dereva sasa sina kazi
@mgangasaid7990
2 жыл бұрын
Kaparwe
Wewe mnafiki aliyefanya kikwete haijafikiwa na marehemu tukiorodhesha.hapa tutakesha
@mgangasaid7990
2 жыл бұрын
Alikuwa dikteta lakn
Hahaha mwenye nyumba kaja
@mgangasaid7990
2 жыл бұрын
Yako