MAKALA YA JAKAYA KIKWETE mzee wa Msoga imeandaliwa na DENIS MPAGAZE ikatangazwa na ANANIAS EDGAR

Ойын-сауық

#dreammakertv #ananiasedgar #denismpagaze #historia #jkikwete
kwaniaba ya dreammaker tv tunaomba mapendekezo yenu mashabilki wetu tuambieni tulete makala ya nani ivi karibuni maana bila nyinyi atuwezi songa mbele

Пікірлер: 178

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho23613 жыл бұрын

    "Mawazo hayaitaji kupigwa rungu hoja hujibiwa kwa mawazo bora zaidi. " Hoja tano za Hon Dr. Mrisho Jakaya Kikwetr. Legacy of Hon Dr .Mrisho Jakaya Kikwete

  • @rajabumwesua9921
    @rajabumwesua9921 Жыл бұрын

    Tunamkumbuka sana rais wetu mstaafu kwa uongozi mzur 🙏🙏

  • @johnkahuko6372
    @johnkahuko63724 жыл бұрын

    This guy's are some of the best Analysts in the entire East Africa. I subscribe....

  • @e.jack.47

    @e.jack.47

    3 жыл бұрын

    Their analysis is just amazing

  • @sonmsb1839
    @sonmsb18393 жыл бұрын

    Ananias una sauti nzuri sana ya kufanya simulizi nakuombea usonge mbele ,tunaomba utuandalie Makala iliyoenda shule ya Hayati John Pombe Magufuri

  • @yusuphyunusi6865
    @yusuphyunusi68653 жыл бұрын

    Mimi namkubali sana kikwete aliwapenda sana RAIA na aliwapa watu freedom of speech na duniani hakuna kitu bora km Uhuru wa kujieleza

  • @margarethpolepole7438

    @margarethpolepole7438

    3 жыл бұрын

    Kwa kweli napenda historia zako za historia za viongozi maendeleo kuzitunza kichwani nakuziandika baadhi ya vipengele mungu akubariki sana

  • @saimonmanyerezi7169

    @saimonmanyerezi7169

    3 жыл бұрын

    Hayo ni maoni yako tu,lakini ukweli ni kwamba Magu aliwapenda zaidi wtz kuliko watangulizi wake wote,Uhuru wa kuongea ulikuwepo lakini Wtz wengi walikosa haki za huduma za Afya na nynginezo sababu kubwa ni kushindwa kuuthibiti ufisadi na kusababisha hats mahospitalini hakukuwa na dawa.Ukichunguz waliokosa uhuru wakuongea ni wachche sana sio kama wale waliokosa dawa,weka mizania hapo tuone nani alikuwa na mapenzi zaidi na Wtz.

  • @auntdorah9141
    @auntdorah91414 жыл бұрын

    Mimi nampendaga bure. Mungu azidi kukulinda muheshimiwa...

  • @tabumussa9406
    @tabumussa94064 жыл бұрын

    yapo mazuri aliyoyafanya jakaya wetu.tunakuombea maisha marefu

  • @tabuseleman8389
    @tabuseleman83894 жыл бұрын

    brother una story nzuri mno mungu akucmamie kwenye kazi zako

  • @roselynmpwiniza
    @roselynmpwiniza4 ай бұрын

    Jakaya ni krasmatic leader

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho23613 жыл бұрын

    "Akifungua mdomo na kiswahili chake na tabasamu lake unaweza kulichukulia mkopo"

  • @zuberykharoub6868
    @zuberykharoub68683 жыл бұрын

    Kama unamkubal ananias edga gonga likee❤

  • @makungamapalala7982

    @makungamapalala7982

    2 жыл бұрын

    Jakaya namkubali sana

  • @simonmsumari6106
    @simonmsumari61064 жыл бұрын

    Mzee Wa maisha bora kwa kila mtanzania

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho23613 жыл бұрын

    "Usifuate ya kuambiwa tu changanya na zoko". "Mtanikumbuka tu".

  • @arunamwaholi1351
    @arunamwaholi13514 жыл бұрын

    Namukubari kikwete sanaaaa

  • @kennethndingo2544

    @kennethndingo2544

    3 жыл бұрын

    Mstafu uraisi Jk Kikwete watanzania hakika umetufanyia mengi mxr tunakukumbuka Sana kwa uvumilivu.kwa kila jambo hongera Sana.Mungu atakulipa.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74383 жыл бұрын

    Nafurahi sana kusikiliza kumbukumbu za viongozi wa Tanzania nami nazihifadhi kichwani japo mzee ananisager

  • @selemanmandeni1429
    @selemanmandeni14294 жыл бұрын

    History mzuli Sana,mungu akupe afya njema mtoaji wa hii history.

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho23613 жыл бұрын

    Wakenya ndio wanaojua utamu wa Mh Dr. Mrusho Jakaya Kikwete wakati alipowasuluhisha kwa diplomasia ya hali ya juu na akaenda kuwahutubia kitaifa. Hazina ya diplomasia suluhishi.

  • @ianmtengo3273
    @ianmtengo32734 жыл бұрын

    Safi bro piga kaz

  • @masharubundevu3765
    @masharubundevu37654 жыл бұрын

    Nyerere ndo aloiuwa zbar na kumuuwa Karume, Aboud Jumbe kamtowe nje kisa kutaka Serikali tatu mshenzi sana

  • @mgangasaid7990

    @mgangasaid7990

    2 жыл бұрын

    Wacha upimbe huo

  • @gasperjohnson3388
    @gasperjohnson33884 жыл бұрын

    Nakukubali sana ananiasedgar salute kwako mzee

  • @pascodenis6032
    @pascodenis60324 жыл бұрын

    Cc watanzania wepec Sana kusahau huyu kikwete Mungu atamuona tu....

  • @gaudenceswai5382
    @gaudenceswai53824 жыл бұрын

    Safi sana JK

  • @africa7479
    @africa74794 жыл бұрын

    I LOVE YOU KIKWETE

  • @jumamnumbwa9483
    @jumamnumbwa94833 жыл бұрын

    Jakaya humjua nikiongozi bora kabisa wa level nyingine,aliifungua nchi iliofungwa,na kupoteza dira kabisa,aliweka misingi imara ya maendeleo ya nchi,utawala wa mwl.ulikuwa utawala mbovu kabisa kutokea uliifilisi nchi ,ulipoteza hazina zote zilizoachwa na wakoloni

  • @emmanuelgodfrey9400
    @emmanuelgodfrey94004 жыл бұрын

    Ahsante sana Denis Edger Mpagaze

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho23613 жыл бұрын

    Sauti nzuri kama ya Bati Kombwa RTD. Ubarikiwe.

  • @tintz3157
    @tintz31574 жыл бұрын

    Hutapata mpizani miaka buku dogo utabaki kuwa juu kileleleni daima

  • @joycengasa1326
    @joycengasa13264 жыл бұрын

    Nimeingia tatu ya kwanza wap like

  • @azzaazza3686
    @azzaazza36864 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @Julius_Lugwisher
    @Julius_Lugwisher2 жыл бұрын

    Thanks broo tuletee historia ya obama

  • @nasseralhabsi1483
    @nasseralhabsi14833 жыл бұрын

    Anas Edgar, unanikosha usomaji wako wa makala 👍

  • @sikoseihtz3784
    @sikoseihtz37844 жыл бұрын

    Safi

  • @rajababubakari2701
    @rajababubakari27013 жыл бұрын

    Kweli brother story tamu

  • @hajihaji4875
    @hajihaji48754 жыл бұрын

    Tuleteeni makala ya rais Ali Hassan mwinyi WA Tanzania

  • @abduldangote2916
    @abduldangote2916 Жыл бұрын

    Hongera jakaya mzawa wa nyumbani

  • @kwatilotv3675
    @kwatilotv36754 жыл бұрын

    Historia taamu. Kaka edgar w n wa kipekee . W n roll model wang kweny kazi hizi.

  • @catherinemakombe6090
    @catherinemakombe60903 жыл бұрын

    Good job keep it up

  • @msafirimatingo4447
    @msafirimatingo44473 жыл бұрын

    Nakukubali mzee baba

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho23613 жыл бұрын

    "Kuachana na siasa za maji taka" "Siasa ni tope".

  • @michaelmalutandala2214
    @michaelmalutandala22144 жыл бұрын

    siku moja tupe habari za mtikila bwana mpagaze

  • @kassimzubermdhakir5813
    @kassimzubermdhakir58132 жыл бұрын

    Tunaomba utuandalie historia ya jpm

  • @erickkipenya5801
    @erickkipenya58014 жыл бұрын

    Nice ctory

  • @fackramadhani7292
    @fackramadhani72924 жыл бұрын

    Thanks brother

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman91563 жыл бұрын

    R.I.P MWAMBA MAGUFULI♥️💔

  • @stephanochazi5174

    @stephanochazi5174

    3 жыл бұрын

    Jonpobe. Makufuli

  • @chagurichad6052
    @chagurichad60524 жыл бұрын

    Umezingua kuxema et hatujawahi hata kupata umonitor kwa hyo tukichukua form et tutaishia jela

  • @mgangasaid7990

    @mgangasaid7990

    2 жыл бұрын

    Kalale huko

  • @gilbertkasikila5294
    @gilbertkasikila52944 жыл бұрын

    Umeeleza vzuri lakini bila mtiririko wa kueleweka

  • @safinatourssafaris2519
    @safinatourssafaris25193 жыл бұрын

    Hizoo sifa za mabaa na mapombe na uhuni hazimpendezi Mungu

  • @safiasuleiman3119
    @safiasuleiman31193 жыл бұрын

    Ndio Mana allimjua mama samiya kumbe aliishi Zanzibar kwa pengine walifanya kazi pamoja tangu zamani😁😁😁😁😁Aristoteeeeeeee

  • @ayubumligi6663
    @ayubumligi66634 жыл бұрын

    Tunamkumba sana aithe

  • @kiyabolnjemu9646

    @kiyabolnjemu9646

    4 жыл бұрын

    Hujaeleweka

  • @benedictmango9561
    @benedictmango95614 жыл бұрын

    Noma sana

  • @mgangasaid7990

    @mgangasaid7990

    2 жыл бұрын

    Zaidi ya noma

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho23613 жыл бұрын

    "Si wa kukurupuka na kuweweseka kama mapepo yaliyotolewa kwa......."

  • @tariqaziz4799
    @tariqaziz47994 жыл бұрын

    We miss you JK

  • @marykibwana9413
    @marykibwana94134 жыл бұрын

    Da,napenda sana makala zenu mnazoandaa, zinavutia mno.

  • @marykibwana9413

    @marykibwana9413

    4 жыл бұрын

    Asante, kwa ku-like comment yangu.

  • @khamisiiddi9321
    @khamisiiddi93214 жыл бұрын

    Hatari

  • @kapondamsita476
    @kapondamsita4763 жыл бұрын

    Jakaya atakumbukwa sana

  • @jaffarchimbuvu7499
    @jaffarchimbuvu74993 жыл бұрын

    Uyu achana nae,ana girous,kama katiba yetu ngekuwa kama ya ezlaeli ageshaludi kwenye kuongo tena👏

  • @maphandezulu2573
    @maphandezulu25734 жыл бұрын

    Kikwete

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho23613 жыл бұрын

    " Mh Lowasa alipokatwa imani ya watu wake ikawa haba"

  • @abuuchaula6961
    @abuuchaula69614 жыл бұрын

    Nakubali

  • @mamavivi3324

    @mamavivi3324

    4 жыл бұрын

    .

  • @rahmahersi2116
    @rahmahersi21163 жыл бұрын

    Sahihisha usemi WA WALAKA...... AU WARAKA.....Inatia aibu.

  • @ezekielikagine9168
    @ezekielikagine91684 жыл бұрын

    Tuletee na historia ya mtikira.

  • @suleimansaid2633
    @suleimansaid26333 жыл бұрын

    Binadamu hawasarifiki huyo ndio binadamu. Mungu Mkubwa kila Kiongozi anamema yake na mabaya yake. Hakuna mkamilifu.

  • @abdallaameir3153
    @abdallaameir31534 жыл бұрын

    Mm aona hawa wanaotengeneza hizi video watupe za kwao tuwajue zaid

  • @salimkassim645
    @salimkassim6454 жыл бұрын

    Thanks for this masterpiece

  • @Ivanmtanzania
    @Ivanmtanzania3 жыл бұрын

    @Jastinmadoi

  • @hemedhemed7701
    @hemedhemed77014 жыл бұрын

    Salim Ahmed Salim Lowasa na Rostam mlituchezea mchezo mchafu sana ila kikwete ali play part yake vizuri 👍

  • @mgangasaid7990

    @mgangasaid7990

    2 жыл бұрын

    Uliwaona

  • @wisdommwakalinga9107
    @wisdommwakalinga91074 жыл бұрын

    Tunapenda xana kazi zako ila angalia kuonyesha maneno yenye elemenzi za dharau kwa askari katika makala zako

  • @kindokiyanga4805

    @kindokiyanga4805

    3 жыл бұрын

    Unakwama wap mzee

  • @iddyshabani5942
    @iddyshabani59424 жыл бұрын

    MTIKILA ALIKUWA NOMA

  • @hilalhilal8400
    @hilalhilal84004 жыл бұрын

    LEO STORY MEIPENDA KINOMA.

  • @khalidali1130
    @khalidali11304 жыл бұрын

    Samaki anaefungua mdomo ndo hunasw na ndoano ikamnasa yeye hahaha mbavu zng mie

  • @maxmilianmgalatia330
    @maxmilianmgalatia3304 жыл бұрын

    Mama nilipo nitatoka......

  • @documixtanzania9150
    @documixtanzania91503 жыл бұрын

    Osama

  • @munirahmed7753
    @munirahmed77533 жыл бұрын

    Mmmhhh

  • @hassansaleban7429
    @hassansaleban74293 жыл бұрын

    God bless you for amazing information keep it up brother to be honest if u could do this English u could have won best stories all the time but still still ur Informationen us ur bless ur contributing alot to educated more and more

  • @kurwamapozi1278
    @kurwamapozi12784 жыл бұрын

    broo nakubali sanaa

  • @ernestmichael4315
    @ernestmichael43153 жыл бұрын

    Ha

  • @juliusnakembetwa1872
    @juliusnakembetwa18723 жыл бұрын

    We jamaa unajua kinomer...

  • @Ivanmtanzania
    @Ivanmtanzania3 жыл бұрын

    #Mtanzania

  • @mwamedchilung7737
    @mwamedchilung77374 жыл бұрын

    chama kinapiga chafya chyee!

  • @jaffarchimbuvu7499
    @jaffarchimbuvu74993 жыл бұрын

    Uyu alipikw,kwanza baba ake alikuwa kionzi,kuna nn tena maji ufata mkongo

  • @official_calulu
    @official_calulu3 жыл бұрын

    eka ya Hussein mwinyi

  • @mgangasaid7990

    @mgangasaid7990

    2 жыл бұрын

    Ya baba ako hutaki au

  • @linuskyando4155
    @linuskyando41553 жыл бұрын

    Alituletea Mitandao ya simu

  • @bonfacesanga6792
    @bonfacesanga67924 жыл бұрын

    Safi mzee

  • @khalidgugu4964
    @khalidgugu49644 жыл бұрын

    Tuletee story ya huyo waliewekwa kizuizini

  • @mzalendomkeleketwa7917
    @mzalendomkeleketwa79174 жыл бұрын

    Mbona hujaongea Rostam utajiri kapata wapi? Ukwepaji kodi, hela ya epa , mikataba ya madini, mikataba ya umeme na gesi. Hiyo misaada ni hela yetu. Wajinga ndio tuliwawo.

  • @Ivanmtanzania
    @Ivanmtanzania3 жыл бұрын

    Hiyo nimeielewa

  • @issakatety3535
    @issakatety35354 жыл бұрын

    Mtikila alikuwa mtata🤣🤣

  • @justineonline6556

    @justineonline6556

    3 жыл бұрын

    Ingia KZread andika Justine Online Tazama Kisha Subcribe ...

  • @eliyawilliammagesamarwa8413
    @eliyawilliammagesamarwa84134 жыл бұрын

    😁😄😁😃😁😄☺️😃😁😄

  • @wiletewela4077
    @wiletewela40774 жыл бұрын

    nime penda story

  • @nelsonkyando8146
    @nelsonkyando81463 жыл бұрын

    Leta na za mtikila

  • @pendomalisa8148
    @pendomalisa81483 жыл бұрын

    Yaani hii haifai

  • @mgangasaid7990

    @mgangasaid7990

    2 жыл бұрын

    We unafaa

  • @muhojabuluma6952
    @muhojabuluma69523 жыл бұрын

    Magufili nazani Hawa ndo walio muua bhana

  • @freedomforall7473
    @freedomforall74733 жыл бұрын

    Waizi ni kenya walikula pesa za corona bila aibu bado wanajifakharisha

  • @mgangasaid7990

    @mgangasaid7990

    2 жыл бұрын

    Kula na wewe

  • @dorahy1579
    @dorahy15793 жыл бұрын

    Hakumbukwi kwa shangwe

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho23613 жыл бұрын

    Huwezi kujua uzuri ama ubaya wa Rais yeyote mpaka hapo atakapotoka madarakani kikatiba ama mapenxi ya Mungu mf R.I.P. Si vyema kumsema Rais ambaye hajafikia ukomo wa kazi yake.

  • @mgangasaid7990

    @mgangasaid7990

    2 жыл бұрын

    Umeona ee

  • @bylemu2497
    @bylemu24973 жыл бұрын

    Ahaaa we ckupng uko vzl

  • @ruginaolympe5587
    @ruginaolympe55874 жыл бұрын

    Tunafuata vipindi vyako lakini kiswahili cako ni kigumu saana kuelewa.

  • @mgangasaid7990

    @mgangasaid7990

    2 жыл бұрын

    Karudi shule bwana

  • @godblessmarandu4549
    @godblessmarandu45494 жыл бұрын

    Nakumis mzee mi dereva sasa sina kazi

  • @mgangasaid7990

    @mgangasaid7990

    2 жыл бұрын

    Kaparwe

  • @azizihfarijala5307
    @azizihfarijala53073 жыл бұрын

    Wewe mnafiki aliyefanya kikwete haijafikiwa na marehemu tukiorodhesha.hapa tutakesha

  • @mgangasaid7990

    @mgangasaid7990

    2 жыл бұрын

    Alikuwa dikteta lakn

  • @elishakalengo6368
    @elishakalengo63684 жыл бұрын

    Hahaha mwenye nyumba kaja

  • @mgangasaid7990

    @mgangasaid7990

    2 жыл бұрын

    Yako

Келесі