DENIS MPAGAZE: HISTORIA YA SANKARA/ RAIS ALIYELALA GEREZANI NA KUAMKIA IKULU/KIFO CHAKE CHATISHA!

DENIS MPAGAZE: HISTORIA YA SANKARA/ RAIS ALIYELALA GEREZANI NA KUAMKIA IKULU/KIFO CHAKE CHATISHA!
Thomas Sankara alizaliwa katika familia ya kishua, Baba yake alikuwa Miltary Police. Hakukulia kwenye zile nyumba za kulala na kuku,mbuzi na viroboto. Alikulia kwenye nyumba ya tofali labda ndo maana alikubali kufa kwa ajili ya maskini. Hakuwa limbukeni wa maisha kama Kamuzu Banda na Mobutu Sese Seko. Sijui kwa nini watu wengi waliokulia kwenye maisha ya kimaskini huwa hawana huruma? Angalia wazazi wengi waliosoma kwa shida kama baba yako mkubwa wanavyotamani watoto wao wasome kwa shida na wakati Mungu kawabariki utajiri wa kutupa. Ndo hawa wanamilikia magari lakini mwiko mtoto kuligusa na mke hajui kuendesha. Ndiyo maana mjomba wangu alipenda kusema umaskini siyo mzuri. Umaskini unashambulia ubongo wa upendo na kupandikiza chuki. Maskini akipata matajiri jiandaeni!
JE,UNATAKA KUTANGAZA NA ANANIAS EDGAR TV?
WASILIANA NASI KUPITIA: +255659982764 /+255629977724
EMAIL: ananiasedgartv@gmail.com
Follow Us On Instagram
/ ananiasedgartz
/ ananiasedgartv
SUBSCRIBE
bit.ly/2ZWGBXo
Copyright Disclaimer: Under Section 107 of the Copyright Act 1976, allowance is made for fair use for purposes such as criticism, comment, news reporting, teaching, scholarship, and research.
______________________________________________________________________________________________
SIMULIZI ZA MATUKIO: bit.ly/2XlNCzg
HISTORIA ZA VIONGOZI: bit.ly/3ezWg2X
ELIMU ZA UKOMBOZI: bit.ly/3eCOK7m

Пікірлер: 118

  • @apostlesamuelkiariemuthoni7754
    @apostlesamuelkiariemuthoni77542 жыл бұрын

    Mpagaze you are so inspirational. Tafadhali tungefurahia ifanye historia ya Putin wa Urusi

  • @sofialinus8241
    @sofialinus82413 жыл бұрын

    Pumzika kwa Amani Thomas Sinkala 😭😭😭

  • @mwakawangu9780
    @mwakawangu97803 жыл бұрын

    Fanya historia ya Rais Uhuru kenyatta wa Kenya na jinsi anavyo tuzamisha sisi wakenya kwenye lindi la madeni...🤐🤐

  • @yusufuheri6524

    @yusufuheri6524

    2 жыл бұрын

    Yahni

  • @omurwasolomon5131
    @omurwasolomon51313 жыл бұрын

    Please tuandalie ya Kim wa North Korea ..mimi fan wako kutoka Kenya

  • @aguerowakujidai5275
    @aguerowakujidai52753 жыл бұрын

    From Congo Kinshasa watching now

  • @johnmungai2482
    @johnmungai24823 жыл бұрын

    Ata kenya 2na watch iki2 tupunguze advert plizz..

  • @mwinamilapaul352
    @mwinamilapaul3523 жыл бұрын

    Ananias waambie watu vizuri someni historia, Nyerere ilimshinda na hata mwinyi hakuwa na namna zaidi ya kukubaliana tu wale, hali ya watanzania ilikuwa mbaya mno maisha kipindi cha miaka ya 1975s ilikuwa mbaya mno

  • @zuberilusweka7696
    @zuberilusweka76963 жыл бұрын

    Thank GOD You Are Back Ananias...........Dont Ever Left us Hanging Again With all due respect The Guy you left us with he was Cool but not as Good us You.......You Are The King in your Own Channel. You have a Million Dollar African Voice That am Proud to Listen to .Lots Of Love From Your Kenyan Fan in Braamfontein, Johannesburg, South Africa. Keep it Up Dude!

  • @azzaalnaamani76

    @azzaalnaamani76

    Жыл бұрын

    I totally agree, he has a oerfecr narration voice,,, ma Allah guides him, he is given a rare talent, love from Muscat🇴🇲♥️👍

  • @ukweli255
    @ukweli2553 жыл бұрын

    Baada ya JPM kuodoka nikaja hapa kumsoma huyu mwamba

  • @VictorEden-mk9mk
    @VictorEden-mk9mk10 ай бұрын

    Outstanding,mpagaze

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje28873 жыл бұрын

    Daaaaa jmn watu kma Sankara tupo wachache SIASA NI KILIMO lkn saiz ona wanachofnya wajinga huko

  • @equalrights5278
    @equalrights52783 жыл бұрын

    JAMBO NDUGU FROM GUYANA S, AMERICA.SANKARA, SANKARA. SANKARA YOUR BLOOD CRIES OUT FOR JUSTICE .

  • @kawiche4911
    @kawiche49112 жыл бұрын

    Asante sana

  • @hanningtonedagwa8636
    @hanningtonedagwa86363 жыл бұрын

    Thomas sankara was a real hearo

  • @destindjumbe8023
    @destindjumbe8023 Жыл бұрын

    Africa is our continent , but we don't have a good leaders . We still in colonies. But when we are united Africa will be a good place to live.

  • @jaffersandi8048
    @jaffersandi80483 жыл бұрын

    Thomas Sankara the Legend RIP

  • @jonbaggy5926
    @jonbaggy59263 жыл бұрын

    Out of point brother

  • @madetetv6576
    @madetetv65763 жыл бұрын

    Thomas Sankara kubali sana

  • @evanstum5032
    @evanstum50323 жыл бұрын

    Ukweli rest in peace.

  • @stephenkisambo6356
    @stephenkisambo63563 жыл бұрын

    Tuletee history ya mapinduzi ya kisoviet na kichina

  • @abuusufian6506
    @abuusufian65063 жыл бұрын

    My president forever Captain Sankara

  • @paulshibhiti9584

    @paulshibhiti9584

    2 жыл бұрын

    I too

  • @hassanshunda3159
    @hassanshunda31593 жыл бұрын

    Dah ! Watu wachache ndio wanatuaibisha sisi Wa Afrika R.I.P. Sankara

  • @AFRiCANKiDOnline
    @AFRiCANKiDOnline3 жыл бұрын

    channel inauzwa ina 50k subscribers na ipo monetized kwa bei ya milion 2 maelewano yapo just replay comment hii

  • @sindabahabwoyaanacret660
    @sindabahabwoyaanacret6603 жыл бұрын

    nitanunua kitabu broo,but story ya laurent nkunda tunaihitaji

  • @rafaelikimati4276
    @rafaelikimati42763 жыл бұрын

    R I P Thomas Sankara

  • @omariochumu935
    @omariochumu9353 жыл бұрын

    Nakupata vyema kaka

  • @funnymoments1213
    @funnymoments12134 ай бұрын

    You and your team are the best brother Ananias

  • @noordinabdi3374
    @noordinabdi33743 жыл бұрын

    Gretest of all time rip

  • @anthonykavishe8868
    @anthonykavishe88683 жыл бұрын

    Mungu awape nguvu

  • @kiprotichkelvin6626
    @kiprotichkelvin66262 жыл бұрын

    Historia🖤🌍

  • @chapaadon6117
    @chapaadon61173 жыл бұрын

    kiongoz shujaa sana daima tutamkumbuka

  • @chriskarani7179
    @chriskarani71793 жыл бұрын

    Waaah!!! wazungu Kweli ndio maana Mungu akaweka bahari ndio tusikutane nao lkñ kiburu chetu kinatukula Legends sankra and magu

  • @britishboytz3576
    @britishboytz35763 жыл бұрын

    Broo unajua kupangialia simuliz zko

  • @albertojoel5337
    @albertojoel53377 ай бұрын

    Iko good sanaa

  • @Dismance
    @Dismance3 ай бұрын

    Alikuwa noma kbs

  • @mamskiumbe4057
    @mamskiumbe40573 жыл бұрын

    Nais sn

  • @abdulzackawami7780
    @abdulzackawami77803 жыл бұрын

    R.I.P Thomas Sankara 😭😭😭ulikuja Tanzania na kumuita Mwalimu Nyerere Baba dah!maana ulikuwa unamkubali sana..

  • @mpagazedenis8395

    @mpagazedenis8395

    3 жыл бұрын

    Very sad

  • @sindabahabwoyaanacret660

    @sindabahabwoyaanacret660

    3 жыл бұрын

    @@mpagazedenis8395 Story ya Laurent Nkunda broo story yake

  • @mohamedmwegero6529

    @mohamedmwegero6529

    3 жыл бұрын

    @@sindabahabwoyaanacret660 umeongea bro

  • @frankbutati8343
    @frankbutati83432 жыл бұрын

    Hakika alikuwa mtu muhimu sana Africa

  • @rafaelikimati4276
    @rafaelikimati42763 жыл бұрын

    Rais wa ukweli kama tulonae sasa tumtunze na Kumuombea sana Amina

  • @ramadhanchenga4606

    @ramadhanchenga4606

    3 жыл бұрын

    Sankala alitoa ajila alifundisha watu wafanye nn yeye mwenyewe akawa front line husimulinganishe

  • @agapemushi3085
    @agapemushi30853 жыл бұрын

    Nasubiri historia ya black panther

  • @hancepopessau2527
    @hancepopessau25273 жыл бұрын

    R i p simba

  • @reaganpatrick3323
    @reaganpatrick33233 жыл бұрын

    Bro nmekubali saana

  • @damianmalley8675
    @damianmalley867510 ай бұрын

    Okay

  • @phanuelemmanuel4743
    @phanuelemmanuel4743 Жыл бұрын

    Thomas Sankara 🙏🙏🙏🙏 RIP

  • @selinalukwembe7363
    @selinalukwembe73633 жыл бұрын

    Napenda sn mungu amlinde

  • @vallerianjohn2411

    @vallerianjohn2411

    3 жыл бұрын

    Nakubali sana

  • @kimarostephano2231
    @kimarostephano22312 жыл бұрын

    🙏🙏🙏🙏

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao3 жыл бұрын

    Siku ipo Africa itasimama ila sio Enzi Hii ya Karne ya ishirini Simulizi Konki Sana

  • @severinembembati5347
    @severinembembati53473 жыл бұрын

    U back bro

  • @loomoniolesasi6123
    @loomoniolesasi61232 жыл бұрын

    R I P pumzika salaam

  • @jamesautomajorjimmy7895
    @jamesautomajorjimmy78958 ай бұрын

    Wengi hawatasikiza hii juu hawatakangi kuongea ukweli

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior69723 жыл бұрын

    You are the best My Brother 👏👏👏👏👏

  • @ebokoamisi9246
    @ebokoamisi92463 жыл бұрын

    Tuna penda story ya black panther tafazari

  • @jimmygiliad6222
    @jimmygiliad62223 жыл бұрын

    Yani sijui lini Africa tutaamka na kujitegemea tuache kuomba kwa wazungu

  • @francisomondi5805
    @francisomondi58052 жыл бұрын

    Kazi poa bro

  • @washingtonleckiemilongo5501
    @washingtonleckiemilongo55013 жыл бұрын

    Mfano Bora kwa viongozi wetu wasfisadi tena wabaguzi wa sasa .....R.I.P Thomas Sankara

  • @amosmahona433
    @amosmahona4333 жыл бұрын

    Jamaa nimemsoma Kwny kitabu Cha major events of African leaders

  • @farajiissa560
    @farajiissa56010 ай бұрын

    Huku jeshi kwa ajili ya chama na si wananchi

  • @samsonsimba6812
    @samsonsimba68122 жыл бұрын

    Wish you really

  • @jumaedward4638
    @jumaedward46383 жыл бұрын

    💪

  • @kingfocustzog
    @kingfocustzog3 жыл бұрын

    🌹👉Inaumiza Sana Pale Unapo Gundua Kuwa Uliwakataa Wengi Kwa Sababu Ya Mtu Mmoja Ambaye Amekupotezea Muda Wako,,Mbaya Zaidi Ulikuwa Mwaminifu Kwa Mtu Ambaye Hana Hata Fadhila,Hii Kitu Inauma Sana👈🌹

  • @mpagazedenis8395

    @mpagazedenis8395

    3 жыл бұрын

    Sana

  • @nkurunzizaalexis6144
    @nkurunzizaalexis6144 Жыл бұрын

    Andika kuusu Agaton Rwasa mwanasiasa kutoka Burundi

  • @leonardleonard6164
    @leonardleonard61643 жыл бұрын

    Rip shujaa

  • @thomasnachenga795
    @thomasnachenga7953 жыл бұрын

    Wajina.

  • @fredrickkundy2455
    @fredrickkundy24552 жыл бұрын

    Good work kaka mkubwaa

  • @barwaniamani6148
    @barwaniamani61483 жыл бұрын

    Nahitaji hicho kitabu lakini siko tz Naweza kukipata je

  • @mpagazedenis8395

    @mpagazedenis8395

    3 жыл бұрын

    Unaweza kukipata ktk PDF

  • @barwaniamani6148

    @barwaniamani6148

    3 жыл бұрын

    Mpagaze Denis nikutumie hela na zakupost kitanifikia? Kama utakua ready just Nitumie namba yako ya mpesa na uniambie garama yakukitowa hapo mpaka hap

  • @hamzanasry8011
    @hamzanasry80113 жыл бұрын

    Laaah kuna watu na viatu nikweli ao wasaliti walianza toka enzi za mababu

  • @bedatv5634
    @bedatv563411 ай бұрын

    Safi ananiasi ediga

  • @hubertanthony7846
    @hubertanthony78463 жыл бұрын

    Napenda sana kufatilia simulizi zako ila tatizo mimi sifahamu Kiswahili kwaio sielewi unachosimulia

  • @princenyakurungwi6925

    @princenyakurungwi6925

    3 жыл бұрын

    Pole sana broo

  • @gitaumugo9111

    @gitaumugo9111

    3 жыл бұрын

    How do you write in Swahili?just asking

  • @princenyakurungwi6925

    @princenyakurungwi6925

    3 жыл бұрын

    @@gitaumugo9111 different speaking and writing

  • @anisetiswai4711
    @anisetiswai47112 жыл бұрын

    Na wamepindua tena dha jaman

  • @simaiabeidussi8138
    @simaiabeidussi81383 жыл бұрын

    Jeshi kuota kitambi duuh! Nalo neno

  • @onesmostephen7799
    @onesmostephen7799Ай бұрын

    Ibrahim traore ndio Sankara wa Sasa,tumpe ushirikiano na kumuunga mkono

  • @faisalhassam3721
    @faisalhassam3721 Жыл бұрын

    Hakika huyu bingwa sankara alikuwa mzalendo. wangekuwepo kumi hapa Africa tungeuna na tungekuwa Africa moja

  • @architectelandemauriac6292
    @architectelandemauriac62923 жыл бұрын

    piga sasa story ya hugo chavez rais wa venezuela

  • @moodyramadhan336
    @moodyramadhan3363 жыл бұрын

    Mbn km magufuli alimuiga hyu asee

  • @nyakichamzury7606
    @nyakichamzury76063 жыл бұрын

    Wazungu ni watu wabaya Sana wameuwa miamba yetu ya Afrika wakaacha vibaraka wao tu ila ipo siku wa Afrika tutakomboka kifikira

  • @marklekasango9300

    @marklekasango9300

    3 жыл бұрын

    Kweli nawachukia sana wazungu sana

  • @nurukiingu9012

    @nurukiingu9012

    3 жыл бұрын

    Navyenye wametawala uku afrika, wameuziwa viwanja,wamejenga makampuni nakibaya zaidi wanaendelea Kuoa mabinti wakiafrika kila siku🤔 wachina, wahindi, waarabu kila mahali wapo🙆‍♀️

  • @innocentmatara1445
    @innocentmatara14453 жыл бұрын

    Ananias huyu ni magufuli wa tanzanini magufuli kama sankala r i p sankara

  • @ramadhanchenga4606

    @ramadhanchenga4606

    3 жыл бұрын

    Hivi akili ipo wapi sankala amekaa jela kwa 7babu ya kukataa ufisadi,sankala aliruhusu mabinti wanao pata Mimba kuendelea na shule, sankala aliingia shambani kulima kwa vitendo mwenyewe alishinda shambani nakuwapa watu pembejeo bure na alitumia baiskeli na hakua na walinzi sasa unamulinganisha na nani tumia akili

  • @kawiche4911
    @kawiche49112 жыл бұрын

    JOHN JOSEPH MAGUFULI THOMAS SANKARA TRUE LEADERS MASHUJAA WA AFRIKA MUNGU ALAZE ROHO ZENU MAHALI PEMA PEPONI. ALUTA CONTINUA MAPAMBANO BADO YANAENDELEA

  • @lizzor2053
    @lizzor20533 жыл бұрын

    Blaza tunaisubiri historia ya karume

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert94893 жыл бұрын

    Ndiyo maana huwa napata shida na hao wataka madaraka, maana hawasomi historia za viongozi kama hawa wakajua mbinu walizotumia kuletea wananchi wao na nchi maendeleo, bali wao nikutuletea historia za Belgium na maendeleo yao. Wajinga nyinyi

  • @danielmkama24
    @danielmkama243 жыл бұрын

    2lioskiliza kwa umakn tumegundua unapinga binti kuludi shule baada ya kujifungua😀😀

  • @yahyaally364ally2

    @yahyaally364ally2

    3 жыл бұрын

    😀😀😀

  • @mdee4196
    @mdee41963 жыл бұрын

    Alikuwa kiongozi huyu Wala haikuwa mwanasiasa,

  • @gamc773
    @gamc7733 жыл бұрын

    Hiyo sala ya kisela nimecheka tu

  • @rogasianshayo1925
    @rogasianshayo19253 жыл бұрын

    Thomas sankara kiongoz bora kuwahi kutokea Africa

  • @akshaydavid159

    @akshaydavid159

    3 жыл бұрын

    Hakika

  • @hilaryfabian1484
    @hilaryfabian14843 жыл бұрын

    Ili upate mkopo baba ako ni lazima awe peasant

  • @listerelieza56
    @listerelieza562 жыл бұрын

    Waafrica ni nani Alie tuloga?wanapo tokea viongozi wazuri hawadumu kwenye madaraka tunauwana sisi kwa sisi hii ni laana kubwa sana

  • @kendrickyando6320
    @kendrickyando63203 жыл бұрын

    Broo eti Mandela wa kweli alikufa 1985

  • @shabantseria

    @shabantseria

    3 жыл бұрын

    Yeah I heard that story but am I sure if it is true

  • @hanningtonedagwa8636
    @hanningtonedagwa86363 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣hayo maombi surely 🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂 hata malaika wanacheka

  • @mathew.m.m9137
    @mathew.m.m91372 жыл бұрын

    No African leader can match Tomas Sankara, Who?

  • @kawiche4911

    @kawiche4911

    2 жыл бұрын

    John JOSEPH MAGUFULI

  • @jacquesabungwe5522
    @jacquesabungwe55222 жыл бұрын

    Uyo chuma ananiingia sana hadi ubongoni. ni l'anima nifanya kitu angalau cha kufanana udo Mwamba. kutoka USA

  • @simbagerard-zx2st
    @simbagerard-zx2st11 ай бұрын

    Andele kupumzika kwa mani

  • @jamalsaid5102
    @jamalsaid51022 жыл бұрын

    Wee n simba

  • @goodlcknko6804
    @goodlcknko68043 жыл бұрын

    sj

  • @franciskayombo1499
    @franciskayombo14993 жыл бұрын

    Morogoro mkuu umetusahahu

  • @abuukajembe85
    @abuukajembe853 жыл бұрын

    Naaam

  • @bartalomemrosso1757
    @bartalomemrosso17572 жыл бұрын

    F

  • @worldchanneltv1809
    @worldchanneltv18093 жыл бұрын

    Kwa movie zilizo tafsiliwa KISWAHILI na dj mack pamoja na dj afro gusa link usisahaukulike kusubscribe na kwa muendelezo kzread.info/dash/bejne/ZqKe0c9pkdybZKg.html

  • @anthonykavishe8868
    @anthonykavishe88683 жыл бұрын

    Mungu awape nguvu

Келесі