DENIS MPAGAZE: HISTORIA YA SANKARA/ RAIS ALIYELALA GEREZANI NA KUAMKIA IKULU/KIFO CHAKE CHATISHA!
DENIS MPAGAZE: HISTORIA YA SANKARA/ RAIS ALIYELALA GEREZANI NA KUAMKIA IKULU/KIFO CHAKE CHATISHA!
Thomas Sankara alizaliwa katika familia ya kishua, Baba yake alikuwa Miltary Police. Hakukulia kwenye zile nyumba za kulala na kuku,mbuzi na viroboto. Alikulia kwenye nyumba ya tofali labda ndo maana alikubali kufa kwa ajili ya maskini. Hakuwa limbukeni wa maisha kama Kamuzu Banda na Mobutu Sese Seko. Sijui kwa nini watu wengi waliokulia kwenye maisha ya kimaskini huwa hawana huruma? Angalia wazazi wengi waliosoma kwa shida kama baba yako mkubwa wanavyotamani watoto wao wasome kwa shida na wakati Mungu kawabariki utajiri wa kutupa. Ndo hawa wanamilikia magari lakini mwiko mtoto kuligusa na mke hajui kuendesha. Ndiyo maana mjomba wangu alipenda kusema umaskini siyo mzuri. Umaskini unashambulia ubongo wa upendo na kupandikiza chuki. Maskini akipata matajiri jiandaeni!
JE,UNATAKA KUTANGAZA NA ANANIAS EDGAR TV?
WASILIANA NASI KUPITIA: +255659982764 /+255629977724
EMAIL: ananiasedgartv@gmail.com
Follow Us On Instagram
/ ananiasedgartz
/ ananiasedgartv
SUBSCRIBE
bit.ly/2ZWGBXo
Copyright Disclaimer: Under Section 107 of the Copyright Act 1976, allowance is made for fair use for purposes such as criticism, comment, news reporting, teaching, scholarship, and research.
______________________________________________________________________________________________
SIMULIZI ZA MATUKIO: bit.ly/2XlNCzg
HISTORIA ZA VIONGOZI: bit.ly/3ezWg2X
ELIMU ZA UKOMBOZI: bit.ly/3eCOK7m
Пікірлер: 118
Mpagaze you are so inspirational. Tafadhali tungefurahia ifanye historia ya Putin wa Urusi
Pumzika kwa Amani Thomas Sinkala 😭😭😭
Fanya historia ya Rais Uhuru kenyatta wa Kenya na jinsi anavyo tuzamisha sisi wakenya kwenye lindi la madeni...🤐🤐
@yusufuheri6524
2 жыл бұрын
Yahni
Please tuandalie ya Kim wa North Korea ..mimi fan wako kutoka Kenya
From Congo Kinshasa watching now
Ata kenya 2na watch iki2 tupunguze advert plizz..
Ananias waambie watu vizuri someni historia, Nyerere ilimshinda na hata mwinyi hakuwa na namna zaidi ya kukubaliana tu wale, hali ya watanzania ilikuwa mbaya mno maisha kipindi cha miaka ya 1975s ilikuwa mbaya mno
Thank GOD You Are Back Ananias...........Dont Ever Left us Hanging Again With all due respect The Guy you left us with he was Cool but not as Good us You.......You Are The King in your Own Channel. You have a Million Dollar African Voice That am Proud to Listen to .Lots Of Love From Your Kenyan Fan in Braamfontein, Johannesburg, South Africa. Keep it Up Dude!
@azzaalnaamani76
Жыл бұрын
I totally agree, he has a oerfecr narration voice,,, ma Allah guides him, he is given a rare talent, love from Muscat🇴🇲♥️👍
Baada ya JPM kuodoka nikaja hapa kumsoma huyu mwamba
Outstanding,mpagaze
Daaaaa jmn watu kma Sankara tupo wachache SIASA NI KILIMO lkn saiz ona wanachofnya wajinga huko
JAMBO NDUGU FROM GUYANA S, AMERICA.SANKARA, SANKARA. SANKARA YOUR BLOOD CRIES OUT FOR JUSTICE .
Asante sana
Thomas sankara was a real hearo
Africa is our continent , but we don't have a good leaders . We still in colonies. But when we are united Africa will be a good place to live.
Thomas Sankara the Legend RIP
Out of point brother
Thomas Sankara kubali sana
Ukweli rest in peace.
Tuletee history ya mapinduzi ya kisoviet na kichina
My president forever Captain Sankara
@paulshibhiti9584
2 жыл бұрын
I too
Dah ! Watu wachache ndio wanatuaibisha sisi Wa Afrika R.I.P. Sankara
channel inauzwa ina 50k subscribers na ipo monetized kwa bei ya milion 2 maelewano yapo just replay comment hii
nitanunua kitabu broo,but story ya laurent nkunda tunaihitaji
R I P Thomas Sankara
Nakupata vyema kaka
You and your team are the best brother Ananias
Gretest of all time rip
Mungu awape nguvu
Historia🖤🌍
kiongoz shujaa sana daima tutamkumbuka
Waaah!!! wazungu Kweli ndio maana Mungu akaweka bahari ndio tusikutane nao lkñ kiburu chetu kinatukula Legends sankra and magu
Broo unajua kupangialia simuliz zko
Iko good sanaa
Alikuwa noma kbs
Nais sn
R.I.P Thomas Sankara 😭😭😭ulikuja Tanzania na kumuita Mwalimu Nyerere Baba dah!maana ulikuwa unamkubali sana..
@mpagazedenis8395
3 жыл бұрын
Very sad
@sindabahabwoyaanacret660
3 жыл бұрын
@@mpagazedenis8395 Story ya Laurent Nkunda broo story yake
@mohamedmwegero6529
3 жыл бұрын
@@sindabahabwoyaanacret660 umeongea bro
Hakika alikuwa mtu muhimu sana Africa
Rais wa ukweli kama tulonae sasa tumtunze na Kumuombea sana Amina
@ramadhanchenga4606
3 жыл бұрын
Sankala alitoa ajila alifundisha watu wafanye nn yeye mwenyewe akawa front line husimulinganishe
Nasubiri historia ya black panther
R i p simba
Bro nmekubali saana
Okay
Thomas Sankara 🙏🙏🙏🙏 RIP
Napenda sn mungu amlinde
@vallerianjohn2411
3 жыл бұрын
Nakubali sana
🙏🙏🙏🙏
Siku ipo Africa itasimama ila sio Enzi Hii ya Karne ya ishirini Simulizi Konki Sana
U back bro
R I P pumzika salaam
Wengi hawatasikiza hii juu hawatakangi kuongea ukweli
You are the best My Brother 👏👏👏👏👏
Tuna penda story ya black panther tafazari
Yani sijui lini Africa tutaamka na kujitegemea tuache kuomba kwa wazungu
Kazi poa bro
Mfano Bora kwa viongozi wetu wasfisadi tena wabaguzi wa sasa .....R.I.P Thomas Sankara
Jamaa nimemsoma Kwny kitabu Cha major events of African leaders
Huku jeshi kwa ajili ya chama na si wananchi
Wish you really
💪
🌹👉Inaumiza Sana Pale Unapo Gundua Kuwa Uliwakataa Wengi Kwa Sababu Ya Mtu Mmoja Ambaye Amekupotezea Muda Wako,,Mbaya Zaidi Ulikuwa Mwaminifu Kwa Mtu Ambaye Hana Hata Fadhila,Hii Kitu Inauma Sana👈🌹
@mpagazedenis8395
3 жыл бұрын
Sana
Andika kuusu Agaton Rwasa mwanasiasa kutoka Burundi
Rip shujaa
Wajina.
Good work kaka mkubwaa
Nahitaji hicho kitabu lakini siko tz Naweza kukipata je
@mpagazedenis8395
3 жыл бұрын
Unaweza kukipata ktk PDF
@barwaniamani6148
3 жыл бұрын
Mpagaze Denis nikutumie hela na zakupost kitanifikia? Kama utakua ready just Nitumie namba yako ya mpesa na uniambie garama yakukitowa hapo mpaka hap
Laaah kuna watu na viatu nikweli ao wasaliti walianza toka enzi za mababu
Safi ananiasi ediga
Napenda sana kufatilia simulizi zako ila tatizo mimi sifahamu Kiswahili kwaio sielewi unachosimulia
@princenyakurungwi6925
3 жыл бұрын
Pole sana broo
@gitaumugo9111
3 жыл бұрын
How do you write in Swahili?just asking
@princenyakurungwi6925
3 жыл бұрын
@@gitaumugo9111 different speaking and writing
Na wamepindua tena dha jaman
Jeshi kuota kitambi duuh! Nalo neno
Ibrahim traore ndio Sankara wa Sasa,tumpe ushirikiano na kumuunga mkono
Hakika huyu bingwa sankara alikuwa mzalendo. wangekuwepo kumi hapa Africa tungeuna na tungekuwa Africa moja
piga sasa story ya hugo chavez rais wa venezuela
Mbn km magufuli alimuiga hyu asee
Wazungu ni watu wabaya Sana wameuwa miamba yetu ya Afrika wakaacha vibaraka wao tu ila ipo siku wa Afrika tutakomboka kifikira
@marklekasango9300
3 жыл бұрын
Kweli nawachukia sana wazungu sana
@nurukiingu9012
3 жыл бұрын
Navyenye wametawala uku afrika, wameuziwa viwanja,wamejenga makampuni nakibaya zaidi wanaendelea Kuoa mabinti wakiafrika kila siku🤔 wachina, wahindi, waarabu kila mahali wapo🙆♀️
Ananias huyu ni magufuli wa tanzanini magufuli kama sankala r i p sankara
@ramadhanchenga4606
3 жыл бұрын
Hivi akili ipo wapi sankala amekaa jela kwa 7babu ya kukataa ufisadi,sankala aliruhusu mabinti wanao pata Mimba kuendelea na shule, sankala aliingia shambani kulima kwa vitendo mwenyewe alishinda shambani nakuwapa watu pembejeo bure na alitumia baiskeli na hakua na walinzi sasa unamulinganisha na nani tumia akili
JOHN JOSEPH MAGUFULI THOMAS SANKARA TRUE LEADERS MASHUJAA WA AFRIKA MUNGU ALAZE ROHO ZENU MAHALI PEMA PEPONI. ALUTA CONTINUA MAPAMBANO BADO YANAENDELEA
Blaza tunaisubiri historia ya karume
Ndiyo maana huwa napata shida na hao wataka madaraka, maana hawasomi historia za viongozi kama hawa wakajua mbinu walizotumia kuletea wananchi wao na nchi maendeleo, bali wao nikutuletea historia za Belgium na maendeleo yao. Wajinga nyinyi
2lioskiliza kwa umakn tumegundua unapinga binti kuludi shule baada ya kujifungua😀😀
@yahyaally364ally2
3 жыл бұрын
😀😀😀
Alikuwa kiongozi huyu Wala haikuwa mwanasiasa,
Hiyo sala ya kisela nimecheka tu
Thomas sankara kiongoz bora kuwahi kutokea Africa
@akshaydavid159
3 жыл бұрын
Hakika
Ili upate mkopo baba ako ni lazima awe peasant
Waafrica ni nani Alie tuloga?wanapo tokea viongozi wazuri hawadumu kwenye madaraka tunauwana sisi kwa sisi hii ni laana kubwa sana
Broo eti Mandela wa kweli alikufa 1985
@shabantseria
3 жыл бұрын
Yeah I heard that story but am I sure if it is true
🤣🤣🤣🤣🤣hayo maombi surely 🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂 hata malaika wanacheka
No African leader can match Tomas Sankara, Who?
@kawiche4911
2 жыл бұрын
John JOSEPH MAGUFULI
Uyo chuma ananiingia sana hadi ubongoni. ni l'anima nifanya kitu angalau cha kufanana udo Mwamba. kutoka USA
Andele kupumzika kwa mani
Wee n simba
sj
Morogoro mkuu umetusahahu
Naaam
F
Kwa movie zilizo tafsiliwa KISWAHILI na dj mack pamoja na dj afro gusa link usisahaukulike kusubscribe na kwa muendelezo kzread.info/dash/bejne/ZqKe0c9pkdybZKg.html
Mungu awape nguvu