THOMAS SANKARA: Rais wa BURKINA FASO aliyeuawa, jinsi ilivyokuwa siku ya MAUAJI yake *INASIKITISHA

Makala hii itakupa historia fupi na mambo machahe ya kusisimua usiyoyajua kabla ya kifo cha Thomas Sankara ambaye wengi wanamwona kama Che Guevara wa Afrika

Пікірлер: 107

  • @elimumwaipaja74
    @elimumwaipaja742 жыл бұрын

    #Skywalker SAUTI YA MAMLAKA🔥🔥 Story hii inaweza ikawa imesimuliwa na watu wengi sana ila Kupitia sauti hii adhimu ya Sky inaonekana mpya kabisa masikioni mwangu. #bless

  • @amanramadhan5928
    @amanramadhan592814 күн бұрын

    Mtangazaji wa story hii inanifanya niwe nafatilia makala zako❤

  • @magrethpoulpoul8585
    @magrethpoulpoul85852 жыл бұрын

    Yaan watu kma hawa kuwapata ni ngumu sana😭🙏 miss you magufuli💔❤🙏

  • @MahdouMomba

    @MahdouMomba

    Ай бұрын

    Kutoka Sankara to Ibrahim traore ni miaka 36, kutoka Nyere to Magufuli ni miaka 16, hivyo huchukua muda mrefu sana kupata wapambanaji wa namna hiii..... ni mungu tuu huamua kunusuru waja wake kwa kutuletea viongozi kama hawa

  • @saitawilson7307
    @saitawilson73072 жыл бұрын

    R.I.P JPM 💔 daima tutakukumbuka

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa38422 жыл бұрын

    Tatizo waafrika hatupendani huwa tunauana kwasababu ya kuwaabudu watu weupe

  • @eksielo4608
    @eksielo46082 жыл бұрын

    Hakika sisi waafrika tutatawaliwa miaka yote, maana tunapopata viongozi kama hawa wanaopinga ubeberu na misaada, tunawaua sisi wenyewe. Rest in peace uncle magu pamoja na thomas sankara

  • @stephenndonyi6204
    @stephenndonyi620411 ай бұрын

    The legacy of cptn thomas sankara will continue .

  • @dangotee5051
    @dangotee50512 жыл бұрын

    Thomas Sankara alikua mzur MashaAllah👌🏼👌🏼Sky Allah abarik kazi ykoo 🙏🏽una sauti nzuri jamani😊

  • @amaniadrien7372
    @amaniadrien737211 ай бұрын

    Mungu azidi kumuweka mahara pema pepuni

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne74912 жыл бұрын

    Hata magufuli itakuwa ali uwawa maana baada ya kifo chake saahivi mambo ya IMF na world Bank zime anza kuja Tanzania

  • @abuanzal7355

    @abuanzal7355

    4 ай бұрын

    Ni hakika Magufuli aliuwawa

  • @PhilipoMwita-b2x

    @PhilipoMwita-b2x

    21 сағат бұрын

    Yani Kila nchi inawatu wa karibu hasa mataifa ya nje ambayo yananufaika Kama rais aliepo MADARAKAn anawakazia wazungu qtafanyiwa mbinu afe ili aje yule mama mikopo

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya95062 жыл бұрын

    Hii ndio Africa kuwa mkweli ufe mapema

  • @hkmeme5437
    @hkmeme54372 жыл бұрын

    Marais bora kuwahi kutokea Africa #Gaddafi #mangufuli na #Sankara na ruto kenya

  • @nickalreadyknows

    @nickalreadyknows

    10 ай бұрын

    + Mandela

  • @jeanpierrekwizera6400
    @jeanpierrekwizera64002 жыл бұрын

    Rafiki yako ndie adui yako kabisa. Asante sana Sky

  • @yusuphyunusi-zz1hx

    @yusuphyunusi-zz1hx

    11 ай бұрын

    Ni kweli aliuawa na rafikie Blaise compaore

  • @bizomenyimanaelias5455
    @bizomenyimanaelias54552 жыл бұрын

    Thomas Sankara Héros of africa Number 2 Khadafi

  • @siliviasimon7970
    @siliviasimon79702 жыл бұрын

    Sky Mungu akuinue kuelekea kilele cha mafanikio yako 🙏🙏

  • @rachellebahati6126
    @rachellebahati61262 жыл бұрын

    Mungu wangu nakosa chakusema.angekua hai burkina Faso. Ingekua high kwa economic

  • @deusntobi1450
    @deusntobi14502 жыл бұрын

    Kaka sky nasema kutoka moyoni kabsa, Ninakupenda sana na nikutabiria ukubwa ambao hata hujaufikia but ipo siku yaja utakuwa mkurugenzi wa vyombo vikubwa sana vya habari vyenye kupendwa na kuaminika kwa jamii. Si leo au kesho lakini uhai wako hautakoma pasi na kutimilika kwa utabiri wangu huu ambao sasa unamiaka zaidi ya 10 toa niupate ambao uliniijia nikiwa kijijini kwetu huko kahama nikiwa nasikiliza kilendio changu cha Rissing nilichokiungia betri za Panasonic national na taiger ili tu nipate kusikiliza radio. Kuna mda huwa naona tajil akija kwako akitaka kuwekeza lakin kun a mda huwa nakuona ukinyakuliwa na makampuni makubwa lakin hivi karibuni niliona ukichukuliwa na serikali! Kaka sky yote haya yatokee ama yasitokee lakini naamin hutoiacha hii dunia bila kuiachia kitu kitachoishi ktk vizazi na wajukuu zetu watajibu maswali na kufaulu mitiahani yao ktk kwakulitaja jina lako ktk majibu yao.

  • @zabibuamissi1141
    @zabibuamissi11412 жыл бұрын

    Mansha Allah alikuwa muzuri atakumbukwa kwa ushuja wake

  • @matendoa.online803
    @matendoa.online8032 жыл бұрын

    Thanks SNS for the info. Keep it up guys

  • @busindevyote3519
    @busindevyote35192 жыл бұрын

    Great, go ahead to inform us!!

  • @abuusufian6506
    @abuusufian65062 жыл бұрын

    Shukran sanaa kaka Sky

  • @user-yh6nz6ri2m
    @user-yh6nz6ri2m9 ай бұрын

    He was very strong soldier in africa we can't forget him may god bless him we will never forget his views and economic agenda.

  • @raiderinfos1472
    @raiderinfos14722 жыл бұрын

    JPM spirit

  • @EsterPaul-jt5im
    @EsterPaul-jt5imАй бұрын

    Tomas umepata mlisi wako iblahim ichi anaibandilisha kwa kasi sana mungu awabariki .

  • @emmanuelgembuya8999
    @emmanuelgembuya89992 жыл бұрын

    Asantee Sana Sky

  • @lwinzmohamerd8399
    @lwinzmohamerd83992 жыл бұрын

    Hv sisi waafirika mbona tunapenda sana kujikomba sana kwa wazungu kwann tusje tukajitegemea tatzo baadhi ya viongozi wetu hawako silias na kujenga nchi zao

  • @frankmganda9585
    @frankmganda95852 жыл бұрын

    Nimekwisha gundua wazuri hawadumu

  • @user-zf3mb1cp4h
    @user-zf3mb1cp4h3 ай бұрын

    Waafrika tunashindwa wakwel katika nchi zetu na kua wakweli kwa mabeberu tomas sankara alikua ni kiongoz mwenye akil nyingi mno mwenye upendo na nchi yake na afrikaa kwa ujumla lakin wapumbavu watumika kwa tamaa zao mungu amuweke mala pema

  • @calvinpaul2171
    @calvinpaul21712 жыл бұрын

    Tatzoo waafrica 2ko wabnafsi sana..a2pendan na a2fanikiwii

  • @hakizimanasaidi6650
    @hakizimanasaidi66502 жыл бұрын

    Uwe Unatupa simulizi zahivo kaka yng

  • @hakizimanasaidi6650
    @hakizimanasaidi66502 жыл бұрын

    Kaka Ww ndo mwenye kujua kusimuliya kwakweli Mung anajua kutoa kipaji Mung akuwekeye wepesi kwenye mambo yako Ufanikiwe

  • @HalfanMaulid
    @HalfanMaulid11 ай бұрын

    Nimeipenda.

  • @ellymakongo656
    @ellymakongo6562 жыл бұрын

    Tupe na ya uncle wetu JPM mkuu.. maana hawa ni mapacha

  • @chibunews5642
    @chibunews56422 жыл бұрын

    The sky voice

  • @norascomacho3504
    @norascomacho35042 жыл бұрын

    Viongozi wa Africa vizungu mkuti tu.

  • @emanuelandedela2771
    @emanuelandedela27712 жыл бұрын

    Pole mjane.

  • @cosmasmilanzi7117
    @cosmasmilanzi7117Ай бұрын

    JIHADHARINI NA WANADAMU MAANA NAWATUMA KAMA KONDOO KATI YA MBWA MWITU.....(MATHAYO.10:16-39)

  • @silasikeyoo632
    @silasikeyoo632 Жыл бұрын

    Kwer vzr havidu

  • @selestinfrancis5904
    @selestinfrancis590411 ай бұрын

    Pumzika kwa Amani Sankara, hakika Mungu akupe pumziko la Milele,Ungana naye JPM huko mlipo,mpunzike kwa Amani.

  • @melichmahingule2896
    @melichmahingule289611 ай бұрын

    Siasa ni uovu, utawala wa Yesu kristo tu ukiongozwa kwa maelekezo ya Yehova Mungu ndiyo itakuwa suluhu ya haki na upendo duniani

  • @user-zf3mb1cp4h
    @user-zf3mb1cp4h3 ай бұрын

    sky endlea kutuelimisha kwa yote ambayo hatuyajui lakn ukwel wang mm ni shabaki san wa kazi yako hi mungu akup umri mref il tuzid kujfunza kupitia wewe

  • @ShadrackJoel-iu3dr
    @ShadrackJoel-iu3dr8 күн бұрын

    yaani Africa 🌍 tutakuwa watumwa miaka yote maana ufisadi na kujipedekeza Kwa mabeberu ndy maana tunaletewa ushoga kudadeki

  • @EzzyEddy-il3ce
    @EzzyEddy-il3ce10 ай бұрын

    Huyo compaole sijui alompindua Sakara ameirudisha nyuma sana Burkina Faso.Sakara alikua anampango maalumu wa kuiendeleza Burkina Faso

  • @mkatavitv1014
    @mkatavitv10142 жыл бұрын

    Alikua na watoto wangapi boss

  • @husamtech2748

    @husamtech2748

    2 жыл бұрын

    Wawili mmoja wapo ni wewe mkatavi tv

  • @dangotee5051

    @dangotee5051

    2 жыл бұрын

    @@husamtech2748 😀😀😀

  • @magrethpoulpoul8585

    @magrethpoulpoul8585

    2 жыл бұрын

    @@husamtech2748 🤣🤣🤣mahuzunisho

  • @juliusjaliwa9887

    @juliusjaliwa9887

    2 жыл бұрын

    Alikua na watoto, sijajua idadi yao kamili ila wanahishi France

  • @hopechidera

    @hopechidera

    2 жыл бұрын

    @@juliusjaliwa9887 aliacha watoto wawili kama #Junya alivyosema,nao ni Auguste Sankara na Philippe Sankara(wote wanaume)

  • @WilliamChibambu
    @WilliamChibambu12 күн бұрын

    wauwaji wa uwawe ili ifike mahali afrika tujitambuwe

  • @magrethpoulpoul8585
    @magrethpoulpoul85852 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭so sad.

  • @emanuelmlelwa6595
    @emanuelmlelwa65952 жыл бұрын

    Umefanya jambo jema tuna ombi uendelee na simliz Za aina hyo pia

  • @mussajuma7460
    @mussajuma74602 жыл бұрын

    Africa ni vichekesho utampaje uraia mtu aliyefanya uhalifu nchi kwake tena akiwa rais Ivory coast ni vibaraka wa ufaransa ambao walimpa kazi compore kumuua sankara

  • @ummidullah9974
    @ummidullah997411 ай бұрын

    Kizuri hakidumu

  • @umojaafrika2447
    @umojaafrika24472 жыл бұрын

    Thomas Sankara daima

  • @armandbyangoyi8203
    @armandbyangoyi8203 Жыл бұрын

    ❤❤❤

  • @Saidmakame-hn8ze
    @Saidmakame-hn8ze2 ай бұрын

    Kweli boc

  • @ibrahimshabani3544
    @ibrahimshabani354411 ай бұрын

    Wakamatwe wafunguliwe mashitska wauwaji

  • @RamadhaniJuma-o9b
    @RamadhaniJuma-o9b18 күн бұрын

    RIP sankala

  • @lwinzmohamerd8399
    @lwinzmohamerd83992 жыл бұрын

    Tutamkumbuka kiongizi ama rais wa bukinafaso THOMAS SANKALA inauma sana walio fanya mauaji hayo lazma wa fungwe, hii itatukumbusha kwa rais wetu mpendwa JOHN JOSEPH MAGUFULI inanitia huzuni sana.

  • @yussufrabba2282
    @yussufrabba22822 жыл бұрын

    💯💯😣😣😣

  • @Udindigwa
    @Udindigwa11 ай бұрын

    Daaa

  • @uaeuae1871
    @uaeuae187111 ай бұрын

    😢😢😢

  • @fatmasalima3847
    @fatmasalima38472 жыл бұрын

    R.i.p

  • @saitawilson7307
    @saitawilson73072 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭

  • @Ndaizee
    @Ndaizee11 ай бұрын

    R.I.P Magufuli daima ulitufumbua macho

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx11 ай бұрын

    Tulikuwa na jpm in tz

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph49732 жыл бұрын

    Hhh dunia tumeichoka mungu rudi

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo250211 ай бұрын

    wazungu wanasema waafrika hawana akili lakini kila kiongozi anayetokea mwenye akili wanaua kama unabisha fanya hayo mambo aliyofanya thomas halafu uone kama utatoboa ndio maana siku afrika ikiwa tajiri ulaya itakuwa maskini na hilo halitarusiwa imebaki kutuwekea viongozi wabovu halafu baadae wanatuita hatuna akili

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx11 ай бұрын

    Wazungu ndio wanaoua viongozi Waafrika

  • @nahimanajo8993
    @nahimanajo89932 жыл бұрын

    😭😭😭

  • @KihangoIsmail-qn2uh
    @KihangoIsmail-qn2uh11 ай бұрын

    Tunawahitaji watu wazuri kama marehemu Thomas isdole Sankara lakinihuyu compaule alaaniwe milele

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything2 жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌.

  • @juliussilvestar8988
    @juliussilvestar898811 ай бұрын

    Tatzo yeye alipata vipi serekali kama alipindua kwa upanga.Upanga saizi yake

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila85622 жыл бұрын

    Huzuni

  • @matunzojr4862
    @matunzojr4862 Жыл бұрын

    daah basi tu yan

  • @rehemamkalawa3801
    @rehemamkalawa38012 жыл бұрын

    Kweli kikulacho ki-nguoni mwako! 🙄 Yaani walionekana km mapacha,kumbe!

  • @siliviasimon7970
    @siliviasimon79702 жыл бұрын

    Sky tuletee bc na simulizi ya operation entebbe

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa641511 ай бұрын

    Your best friend your worst enemy

  • @kiningashukran5177
    @kiningashukran5177 Жыл бұрын

    Afrika nzima ni shida

  • @thefactbook...1607
    @thefactbook...16072 жыл бұрын

    They call him African Che Guevara.

  • @mikaelshagilu1732
    @mikaelshagilu1732 Жыл бұрын

    Da aliemua Shujaa Sankara mbona kakaa muda mrefu xna bila kuwajibishwa.hadi amekimbia.huyosinch wamrudishe bukinafaso na apigwe risasi hazarani mashamba xana huyo.

  • @yezagproducts8567
    @yezagproducts856711 ай бұрын

    Africa siyo mbaya wabaya ni wana Africa wenyewe. Tunakulana wenyewe na wale wanaojiona wasomi.

  • @alesantamakiko801

    @alesantamakiko801

    11 ай бұрын

    Mungu hapendi watu wake wema wapate shida hapa duniani . R.I.P Thomas Sankara

  • @salimukimolo7592
    @salimukimolo75922 жыл бұрын

    Niwazi kabisa inaoneka rais huyo kahusika

  • @florakweyunga4490
    @florakweyunga44902 жыл бұрын

    MUNGU BABA YETU.....HUTOLETA GARIKA TENA,BALI MTAJIMALIZA WENYEWE.BABA TUNAPIGA MAGOTI MBELE YAKO,TUPUNGUZIE ADHABU HIYO.MAANA WAKUFA WATU WATU WENYE UPEO MKUBWA.

  • @yusuphyunusi-zz1hx
    @yusuphyunusi-zz1hx11 ай бұрын

    Compaore his best friend is a person who killed Sankara

  • @mutalemwamarcelventure.mae2058
    @mutalemwamarcelventure.mae205811 ай бұрын

    BurkinaFaso

  • @EsterPaul-jt5im
    @EsterPaul-jt5imАй бұрын

    Tomas Sankar napenda ujasili wako maana ulikuwa hataki mambo ya kijinga mungu anipe ujasili kama wako kaka angu traore amefata nyanyo zako safi sana pumzika kwa amani Tomas Sankar mi nipo tazania.

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi458111 ай бұрын

    Cotonou ...tamka kotonuu sio kontunu

  • @jonasijunga1568
    @jonasijunga156810 ай бұрын

    🥲🥲🙏🙏🙏

  • @abelbest4984
    @abelbest49842 жыл бұрын

    Sangara tarehe 15 ,nyerere tarehe 14 wote October

  • @nancynyali2362

    @nancynyali2362

    2 жыл бұрын

    Unakumbukumbu nzuri I say

  • @hopechidera

    @hopechidera

    2 жыл бұрын

    Na #LuckDube pia ni October 18...

  • @deograciakashaigili5973

    @deograciakashaigili5973

    2 жыл бұрын

    Sankara

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali39182 жыл бұрын

    Hee

  • @kafwimbimilambo8556
    @kafwimbimilambo855611 ай бұрын

    Uyo mutu aletwe

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx11 ай бұрын

    Magufuli ni Rais wa2 duniani kupunguza mshahara wake.wakati viongozi wengi huongeza mishahàra.

  • @user-hu8um8vj4r

    @user-hu8um8vj4r

    11 ай бұрын

    Yupo Paul mjika ndo alikua na mshahara mdogo duniani

  • @juliussilvestar8988

    @juliussilvestar8988

    11 ай бұрын

    Emmanuel nyerere nae alipunguza mshahara

  • @isayajoshuwa7201
    @isayajoshuwa72012 жыл бұрын

    ddddddd

Келесі