AISHA: Mlinzi HATARI aliyekufa KISHUJAA, alizuia RISASI kwa mwili wake zisimpige MUAMMAR GADDAFI
Ойын-сауық
Sasa unaweza kujiunga na SnS VIP Family ili kupata mambo mengi exclusive kwaajili yako tu. Bonyeza link hii ili kujiunga na kufahamu zaidi kuhusiana na SnS VIP Family membership
/ @simulizinasauti
Пікірлер: 241
Ilivyokuja tu notification nikaplay napenda sana hizi makala jmani😍
ALLAH awrehemu wote Waliotangulia mbele y Haki Kw kumkinga kioz wao Daima tutawakumbuka Shukran kw Story nzr yenye mafunzo n kusisimua
Libya 🇱🇾. And Africa at large will never forget the great leader 👑
There had hardly been and neither shall there be a Great leader like Muammar Gaddafi.Very patriotic not only to his country Libia but to the whole Great continent of Africa.He was and shall ever be the Best president.Carnal Muammar Gaddafi the Great,a true Hero Libia and Africa.
@muhammedsaid3659
10 ай бұрын
Good and Hero the Great president iin Africa❤❤❤❤the peoples of Libya they lost Diamond,Gold and don't forgotten Muhammad Gaddafi the Great power in Africa😂😂😂😂We are crying Avery day 😂😂😂we lost good and nice leader ❤❤❤
Mungu amrehem sana Aisha Kwa kazi yake nzuri
Sasa watu wa Libya wanajuta kwani walikua na maisha mazuri sana
Allah yaaa Allah tujaalie tuwe in wenye kutenda haki na kufuata nyendo za viongozi wema yarabi
Aisha hakika umenitoa chozi kweli!! Mungu akubariki huko ulipo!! Amen.
@micamathew2595
Жыл бұрын
@Jacline David acha tu abarikiwe hukohuko!!
I ❤ Gaddafi, Allah amrahamu huko alipo.
Maskini mungu amrehemuuu yupo sehemu nzuri Aisha R.i.p. 😢😢😢😢
@user-mh1vw6fw7t
2 ай бұрын
Apumzike kwa amani
Iki Kiumbe Mwanamke Kikiamua Kujitolea Maisha Yake Kwa Ajili Yako Yni Kinajitolea Kweli Kwel Mpka Shetan Anakosa Njia Ya kuwachanisha Uyoo Ndio Mwanamke. Na Akiamua Kukuacha ili Dunia Ikufunze My Friend Dunia Itakufunza Kweli Kwel MUNGU Awalipe Wanawake Yalio Mema Kesho Mbinguni 🤲🤲
@suleimanrashid3918
Жыл бұрын
Ni kweli maana Dr mwaka anakiona cha moto saiv 😂😂😂 acha Dr mwaka manara sasa amekua wazim fresh. 😂 Achana na manara harmonizer jee anatamani aimbe nyimbo za dini. 🤣 Sijui alikiba nae anamkumbukaje Aisha 😂😂😂😂 ila wanawake shikamoni mkiamua lenu ata shetani huchanganyikiwa 😂😂
@omarychipeta3148
Жыл бұрын
hahahaa aipingwi mm mwenyewe nimeponea milembe shikamoo maravi davi
@sanoureyaliwadoakaroyo1696
Жыл бұрын
@@suleimanrashid3918 Umejua Nikuchekesha Yni Nimecheka Kma Mjinga vile 🤣🤣
@sanoureyaliwadoakaroyo1696
Жыл бұрын
@@omarychipeta3148 Duuh 🙄🙄pole Mzee mwezangu
@mwajeimsangi2125
Жыл бұрын
@@suleimanrashid3918 dunia inawafunza kwa coment
Asante kwa hili historia Njema na Ukweli isalia Mia moja kwangu na Wengine.
Shujaa wetu kalala hila bado inaishi milele gaddafi the great
Allah litie nuru kaburi la muammar gaddafi na yaumul kiyama umwinguze peponi amini i
Aaalllah anrehemu kaghafi yende peponi amin
Wanadamu hawakosi la kusema ujinga unapowazidi... Pumzika kwa Amani mwamba Gadafi.
Nimeipenda sana simulizi. Hongera msimulizi.
Kazi nzuri saana Brother Fred Kundala a.k.a Sky. Nimependa vile ulivyo isimuliya na sauti yako nzuri, Mungu akupe kila hitaji la moyo wako na akutanguliye katika harakati zako zote
@vanessalaizer4363
Жыл бұрын
Ni Fred Bundala dear not Kundala
@Trys6254
Жыл бұрын
hakika bro sky ni next level trust me its just a matter of time
@kassimrajabu7805
Жыл бұрын
@@vanessalaizer4363 😂😂
@abdurahkhomeyn6999
Жыл бұрын
Amin amin huyu ni mwamba wa hal ya juu namuita ghost voyce kuanzia leo
A true leader after,Nelson Mandela 🇿🇦 n Raila Amollo Odinga 🇰🇪.this r the true leaders who'r fought for 1 beautiful African continent.we have just been left with 1 icon in Africa Raila Amollo Odinga 🇰🇪.let God rest the 2 fallen soldiers rest in enternal place n may the Almighty Lord protect Raila Amollo Odinga 🇰🇪 n our beautiful African continent.MAD ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ MY BEAUTIFUL AFRICAN CONTINENT
@emmanuelmichael7130
8 ай бұрын
What did Mandela do?!
@user-fm8sv6yk3c
2 ай бұрын
Which raila is a true leader. A chaos leader
Mungu amrehemu in shaallah
Hongera!!!! Matangazo Yako very clear...
Bravo✌️ Mwamba Sky, unatupea nondo za maana sana we really appreciate
Ni kauli ya wapuuzi pekee,huwezi kumbaka (kumtendea ubaya) mtu ambae ndio mlinzi wa usalama wako,haiingii akilini,na mkumbuke ghadafi ni kanali wa jeshi,so anajua ishu zote za kiusalama so asingeweza kufanya huo upuuzi
He was a great leader colonel muamar Gaddafi. ALLAHUMA FIRLAHU WARHAMHU WASKINOO FIL JANAAT. AMEEN YARABAL ALAMEEN.
Tunakukubali sana Ndugu Sky...ujengewe sanamu 🙏
Asante sana kaka
Wow… what a beautiful narrative! You’re a GOAT SNS 😍😍😍😍🔥🙌🏼
@salafimiraji7029
Жыл бұрын
Ò00p0
Mungu awarehem wote aisha na kadafi shujaa wa Africa😢😢😢
Paz a sua alma Muamad Gadafi
Mungu amurehemu
Alikuwa kiongozi mzuri nchini kwake, walio muua walimwonea na labda waliogopa falsafa zake za kuiunganisha Usa ya Africa na one currency
@KhairathemedSaid
10 ай бұрын
Hakikaa
Alijua jinsi wanawake walivo hatari ndomana akaweka hao.
Nimeipenda sanaa hii sttor
Nice baritone voice from the narrator . Asante
Africal will never forget muammar gadafi
Sky you're True Definition of Top News Comendetor!🔥🔥💪💪
Duuuuu mm unanivitia Sana kwenye merodi yako brother nakupa ,,✊✊
Big up Africans power ex president we will miss you
R.I.P Aisha.
Allah Allahu Akbar subhanaallah ama kweli mwenyezimungu ni mjuzi wa ya kini
Mwenyezi mungu amrehemu
It is an educative one
Libia walipewa maisha mazuli ikafikia wakakufuru sasa imekula kwao wamuombe M/MUNGU awafutie dhambi ya uchonganishi
@libetztanzania-kiswahilina2845
11 ай бұрын
HAPATAWALIKI SASA LIBYA UGAID KILA KONA
piga kaz kaka mungu akupe upeo zaid kufika mbali
Sky the master your a great translator you don’t miss even a sing word … 🇬🇧🇬🇧🇬🇧💯💯💯💯🙏
Daah mungu amurehemu
Sky Ni Mmoja tu🙌🙌
Good job brother mnajuaa keep going
Malekani sjawai kuipenda
🔥🔥🔥❤❤
Imeanza vizuri... imeishia vibaya
sitori nzuri sana
Napenda san hiki kipindi 🔥🔥🔥
Amin
Namu kubali gadhafi rest in peace Muzalendo
God bless
Mungu mwema kweli alifanya mema kweli
Mwanamke ni kiumbe hatari sana akiamua kulinda, pia ni kiumbe chema sana akiamua kupenda
Aisha kbsa anafahamu kazi yake kbsa
Ebuniambiwewe wakatiwa uhaiwaGaddaafi kunayeyote alienitokeza nakudai katendewa visivyo na Gaddaafiff Gaddaafiaafii auhizi nakutaka kuhhalalishha kilewalichomtenndeatuu kuhhalalishha dhulmaaookama Gaddaafi alikuwa mm'bamm'bayaAllaahndieajuwaaye nakama alikuwa mwema pia Allaah ndieajuwayepia
Allah amsameh makosa yak ijalie mt wa pepon
Interesting
Let her rest in peace!!
Great gaddaf
Second one sns ❤️🇰🇪
Alijitaidi sana ilikupambaniya uhuru wa wanadamu usasan wa africa
Nomaaa samaaa
Respect aisha❤
RIP Aisha❤
STORY NI NZURI SANA SEMA MPANGILIO WA PICHA UNASINZISHA WAFATILIAJI... YAAN HAZIZUNGUMZI STORY INAVYO SEMA, ZINAKAA MUDA MREFU NA HAZIMUONYESHI MUHISIKA KWA WAKATI...
Wameuwa watu washuja nasadamu nayeye aaalllah amrehemu wote
Wanajaribu kumchafua kama walivyofanya Gaddafi alikuwa ni kiongozi na nusu saivi wanauwana tu let them reap what they sowed
Shida wanazopitia sasa hivi,uchumi wao ulivyoporomoka hata ningekuwa mimi ningefuta MABAYA yote aliyokuwa nayo
May Allah rest your beloved iul in eternal peace legend
Royality
I like soldier❤
Aisha I miss you
Stori nzuri mpaka unatamani isiishe. Asante Mr Bundala binafsi sikuwa najua habari ya bi Aisha.kumbe ndio maana Mama yangu Jasiri watu wenye majina ya Aisha wana msimamo mgumu na hawana uoga kabisa.
@vanessalaizer4363
Жыл бұрын
Mmh
@mwanajumaomahundumla6504
Жыл бұрын
@@vanessalaizer4363 jamani VL umeguna tu bila kusema kitu 😂
@mohamedimachuru9465
2 ай бұрын
Kweli dada yangu
Daaa Ghadafi kitu kingine nimegundua alikuwa anava vizuri sana mwamba huyu Alafu Nguo Za kiafrika zaidi kuliko kanzu na suti.
Well done mr sky👏👏👏
Haendi str8 to the point!
Mungu awapunguzie adabu ya kabr
@munam7104
Жыл бұрын
Ameen 🙏 yarabby
Rest in peace Aisha,
👏👏👏
❤️
Makafiri wameisambaratisha libya kwa uchoyo tuu na husda na mtambue mataifa wla ya ulaya ni wachoyo husuda wauwaji
@exprodigitaltechtv5571
10 ай бұрын
Gadafu ali uliwa na watu libya wenyewe
@Husenimuddi
10 ай бұрын
@@exprodigitaltechtv5571 tatizo walibya wenyewe hawakuwa na udhalendo Kama tulivyo watanzania sio wadhalendo na hatusamini cha kwetu
😊
Wa ooooiii
allah awarehem wote
🔥🔥
🙌
Tunaitaji story km hizi Ngosha
R.i.p Aisha
COLONEL MU'AMMAR GHADAFI, Laiti angelikuwa mpaka mda huu wa brand za ushoga nahisi mwamba angewanyonga mashoga wote wa africaaaa!!
Mwanamke akikushika anakushika kwelikweli ILA huyohuyo ukimchefua akakuachilia siii mbingu pekee zitakutaa hadi kuzimu shetani mwenyewe ataweka Moto wake getini kwake ili usiingie.Huwa nasema Kuna viumbe hatari sana duniani lkn kati ya wote MWANAMKE ni namba moja kama huamini subiri yakukute utajuwa kuwa kumbe ni kweli.
😍😍💪
Dunia hii ina mambo mengi
big up
😭😭😭 innalillah.....
Sky anajua Xana