Wajuwe Mwalimu Nyerere na Kambona walivyokuwa katika Historia ya Tanganyika
Kwenye mahojiano haya na EBN Afrika, ninamzungumzia Oscar Kambona kama alivyokuwa kwenye historia yetu iliyofichwa.
Жүктеу.....
Пікірлер: 20
@fideliskahwa33853 ай бұрын
Interview nzuri sana tatizo ni muziki huo unakera sana
@sylvestersayi24812 ай бұрын
Ashukuliwe kambona
@marcnkwame18353 ай бұрын
Toeni huo muziki kwenye background. Katika mambo serious msiweke hivyo vitu. Inafanya kipindi kionekane cha kibongo fleva
@margaretshaidi3161
3 ай бұрын
It can be softer. It's distracting!
@ignasnyembo12563 ай бұрын
Khasante sana Nd. Mohamed. Julius alipoteza watu wengi. Alijiona ni bora kuliko wote Tz
@joycemosha1898
3 ай бұрын
JAMHURI YA MUUNGANO WA AFRICA DUNIANI TZ KILA KIONGOZI ANAUKATILI WAKE WA UONGOZI WALE WOTE WALIOKUWA NA MAENDELEO YA KUVUSHA TZ KWENYE KUTOKUKUBALIWA KWANZA KUACHA NAFASI YA KUTAWALA ALIKUWA ANAPENDWA SANA WANANCHI NA JESHI PIA MWALIMU ALIISHI NA OSCA UK CHUMBA KIMOJA WAKATI ANASOMA SHERIA
@menyemusic3 ай бұрын
Mzee mwenzangu ahsante sana nimefahamu mambo mengi nilokuwa siyajui
@williemwadilo15913 ай бұрын
Great interview but background music very unnecessary spoiling the story
@nassortrans123 ай бұрын
Fundi mitambo umebugi na muziki sauti ipo juu Hainogi story
@salumdata81013 ай бұрын
Historia iliyotukuka kabisa
@MasterCastory3 ай бұрын
Hello mtangazaji! Inamaana husomi ujumbe wa wasikilizaji wako? Badilisha huo muziki wako ni mbaya sana!!!!
@sylvestersayi24812 ай бұрын
Alikuwa kipanga pia darasani kambona
@ahmadateguro48863 ай бұрын
Mzee hazina
@lugwetunje38963 ай бұрын
Kama kambona angeongoza ruhsa ingekua mapema
@JustinOlesaibull3 ай бұрын
Historia hii inastahili kuhifadhiwa kwa ajili ya vizazi vijavyo
@King_Of_Everything3 ай бұрын
✌️👊👍.
@raphaelkessy7360
3 ай бұрын
Majungu hayo
@kidwumoulakammagyikidwumou29843 ай бұрын
Hilo limziki linahusianaje na mada jadiliwa? Limeharibu mno interview.
@aloycebabene62393 ай бұрын
Walao chuo kimoja kiitwe chuo cha kambona University
@abdullkilawi55043 ай бұрын
Upande wa akina ilonga na wenzake ujapata kuzungumzwa
Пікірлер: 20
Interview nzuri sana tatizo ni muziki huo unakera sana
Ashukuliwe kambona
Toeni huo muziki kwenye background. Katika mambo serious msiweke hivyo vitu. Inafanya kipindi kionekane cha kibongo fleva
@margaretshaidi3161
3 ай бұрын
It can be softer. It's distracting!
Khasante sana Nd. Mohamed. Julius alipoteza watu wengi. Alijiona ni bora kuliko wote Tz
@joycemosha1898
3 ай бұрын
JAMHURI YA MUUNGANO WA AFRICA DUNIANI TZ KILA KIONGOZI ANAUKATILI WAKE WA UONGOZI WALE WOTE WALIOKUWA NA MAENDELEO YA KUVUSHA TZ KWENYE KUTOKUKUBALIWA KWANZA KUACHA NAFASI YA KUTAWALA ALIKUWA ANAPENDWA SANA WANANCHI NA JESHI PIA MWALIMU ALIISHI NA OSCA UK CHUMBA KIMOJA WAKATI ANASOMA SHERIA
Mzee mwenzangu ahsante sana nimefahamu mambo mengi nilokuwa siyajui
Great interview but background music very unnecessary spoiling the story
Fundi mitambo umebugi na muziki sauti ipo juu Hainogi story
Historia iliyotukuka kabisa
Hello mtangazaji! Inamaana husomi ujumbe wa wasikilizaji wako? Badilisha huo muziki wako ni mbaya sana!!!!
Alikuwa kipanga pia darasani kambona
Mzee hazina
Kama kambona angeongoza ruhsa ingekua mapema
Historia hii inastahili kuhifadhiwa kwa ajili ya vizazi vijavyo
✌️👊👍.
@raphaelkessy7360
3 ай бұрын
Majungu hayo
Hilo limziki linahusianaje na mada jadiliwa? Limeharibu mno interview.
Walao chuo kimoja kiitwe chuo cha kambona University
Upande wa akina ilonga na wenzake ujapata kuzungumzwa