Wajuwe Mwalimu Nyerere na Kambona walivyokuwa katika Historia ya Tanganyika

Kwenye mahojiano haya na EBN Afrika, ninamzungumzia Oscar Kambona kama alivyokuwa kwenye historia yetu iliyofichwa.

Пікірлер: 20

  • @fideliskahwa3385
    @fideliskahwa33853 ай бұрын

    Interview nzuri sana tatizo ni muziki huo unakera sana

  • @sylvestersayi2481
    @sylvestersayi24812 ай бұрын

    Ashukuliwe kambona

  • @marcnkwame1835
    @marcnkwame18353 ай бұрын

    Toeni huo muziki kwenye background. Katika mambo serious msiweke hivyo vitu. Inafanya kipindi kionekane cha kibongo fleva

  • @margaretshaidi3161

    @margaretshaidi3161

    3 ай бұрын

    It can be softer. It's distracting!

  • @ignasnyembo1256
    @ignasnyembo12563 ай бұрын

    Khasante sana Nd. Mohamed. Julius alipoteza watu wengi. Alijiona ni bora kuliko wote Tz

  • @joycemosha1898

    @joycemosha1898

    3 ай бұрын

    JAMHURI YA MUUNGANO WA AFRICA DUNIANI TZ KILA KIONGOZI ANAUKATILI WAKE WA UONGOZI WALE WOTE WALIOKUWA NA MAENDELEO YA KUVUSHA TZ KWENYE KUTOKUKUBALIWA KWANZA KUACHA NAFASI YA KUTAWALA ALIKUWA ANAPENDWA SANA WANANCHI NA JESHI PIA MWALIMU ALIISHI NA OSCA UK CHUMBA KIMOJA WAKATI ANASOMA SHERIA

  • @menyemusic
    @menyemusic3 ай бұрын

    Mzee mwenzangu ahsante sana nimefahamu mambo mengi nilokuwa siyajui

  • @williemwadilo1591
    @williemwadilo15913 ай бұрын

    Great interview but background music very unnecessary spoiling the story

  • @nassortrans12
    @nassortrans123 ай бұрын

    Fundi mitambo umebugi na muziki sauti ipo juu Hainogi story

  • @salumdata8101
    @salumdata81013 ай бұрын

    Historia iliyotukuka kabisa

  • @MasterCastory
    @MasterCastory3 ай бұрын

    Hello mtangazaji! Inamaana husomi ujumbe wa wasikilizaji wako? Badilisha huo muziki wako ni mbaya sana!!!!

  • @sylvestersayi2481
    @sylvestersayi24812 ай бұрын

    Alikuwa kipanga pia darasani kambona

  • @ahmadateguro4886
    @ahmadateguro48863 ай бұрын

    Mzee hazina

  • @lugwetunje3896
    @lugwetunje38963 ай бұрын

    Kama kambona angeongoza ruhsa ingekua mapema

  • @JustinOlesaibull
    @JustinOlesaibull3 ай бұрын

    Historia hii inastahili kuhifadhiwa kwa ajili ya vizazi vijavyo

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything3 ай бұрын

    ✌️👊👍.

  • @raphaelkessy7360

    @raphaelkessy7360

    3 ай бұрын

    Majungu hayo

  • @kidwumoulakammagyikidwumou2984
    @kidwumoulakammagyikidwumou29843 ай бұрын

    Hilo limziki linahusianaje na mada jadiliwa? Limeharibu mno interview.

  • @aloycebabene6239
    @aloycebabene62393 ай бұрын

    Walao chuo kimoja kiitwe chuo cha kambona University

  • @abdullkilawi5504
    @abdullkilawi55043 ай бұрын

    Upande wa akina ilonga na wenzake ujapata kuzungumzwa

Келесі