Twapaswa kufahamu habari hizi Kwa manufaa ya ujenzi, ulinzi na mshikamano wa Taifa Letu Tanzania. Nipo Malaysia lakini nyakati zote siachi kutupia jicho na sikio kuhusu Nchi yangu
@user-xv8zg1lr8kКүн бұрын
Jamaa amejikuta anajuta kumpa nafasi
@sumayasumaya64552 күн бұрын
Asante dr.mohamed saidi..kwa yote haya ungali bado ukiwa hai.. history ina ukakasi tuliosomeshwa seems' at all..kwa mengi kufichwa
@sumayasumaya64552 күн бұрын
Dr. Mohamed saidi uwezi kueleweka.. mambo' hayo ni mazito unaeleza...'unaleta mambo ya wauza samak na nazi sokon kariakoo' kauli ndio kama hizo...baada ya mwingireza kuondoka na si mazuri sana wa kuyasikia..so sad! 😭
@sakapallaTV7 күн бұрын
Asante kwa kutupa kumbukumbu zako kuhusu lingo la kuni. Na karibu nyumbani Mtoni Kijichi.
@user-pj9lq5oh6i8 күн бұрын
Mashaalah huwa haki haipotei walijitahd kupotosha Jamii ya kitanzaia
@fridafranco31510 күн бұрын
Hahaha jamaaan😅
@SultanSaid-js9yj15 күн бұрын
Kwanini tusijangishe Pesa hapo kununuliwe ili jumba Hilo li bomolewe ili kutengenezwe iwe kumbukumbu
@samitungo14 күн бұрын
Wazo zuri sana.
@masudijahazi15 күн бұрын
Hapo kwenye Makumbusho hamku fanikiwa kwenda
@samitungo15 күн бұрын
Tumefika makumbusho.
@fatmasalim829316 күн бұрын
اللهم يرحمه ويسكنه فسيح جناته يارب العالمين 😢😢😢😢
@theteacherchance675016 күн бұрын
Waislamu, sikwambii wa zama hizo, hata wa sasa, hawatendi kwa kusifiwa au kuzawadiwa na kiumbe, wao humpa Allah ili awalipe thawabu
@barakasunga786016 күн бұрын
Daah.... Mola amrehemu mzee WETU. Ila sasa nyumba hii juu ya kaburi daah.
@saidhamad750417 күн бұрын
Bila shaka huna neno hapo ulipo, tunaweza kujua ni mwaka gn huu na eneo gn, asant
@diti489918 күн бұрын
Asante sana kwa hili mzee. Vitu adimu hivi
@liamkingodi18 күн бұрын
Mbona hao wanafunzi vya maawal wapo wachache
@guledomary281223 күн бұрын
Historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika imeanza kupata kusemwa na in Sha Allah jamii nzima itataambua.
@chabunu336724 күн бұрын
Lazma kaburi lisiwe na Kitu chochote juu maana kutakuwa na watu ndani ya nyumba wakivuana nguo na kufanya tende la ndowa na ndani ya chumba hicho Kuna kaburi ndani sio sawa musiivinje nyumba yote fanyeni bidii hiyo sehemu ya kaburi muitenge isiwe na kitu chochote juu wabilahi Taufiq
@msellemseif310224 күн бұрын
Doctor MUHAMMED SAID. ALMAARUF. MMA NYEMA. ALLAHU SUBHAANAH WA TAALA AKUHIFADHI... AAMIYN AMIYN. ❤❤❤
@Hajisilima-ul5rl24 күн бұрын
Mwamba kwenye historia
@fatmasalim829324 күн бұрын
Mashallah tabarak allah KAZI nzuri unayo fanya Allah akuhitadhi yarab amen ❤❤❤❤
@rayisadesigns264624 күн бұрын
HII DUNIA KUNA WATU WA HOVYO SANA!! HIVI UNAJENGA NYUMBA JUU YA KABURI LA SHUJAA ALIYEJITOLEA MAISHA YAKE KUPAMBANA NA WAKOLONI WA KIZUNGU ILI TUWE HURU WASITUTAWALE KTK TAIFA LETU HILI LA TANZANIA, SI AJABU HILO ENEO LILIKUWA LA KWAKE YEYE MWENYEWE LAKINI BADO WATU WALIUZA MPAKA NA KABURI LAKE, NA MBAYA ZAIDI MNUNUZI AKAWEKA NA JENGO JUU YA KABURI WATU WALALE KABURINI. KUNA HAJA SERIKALI IFATILIE MASHUJAA HAWA NA KUYAENZI MAKABURI YAO TUSIISHIE KUWASOMA TU KTK VITABU VYA HISTORIA VYA DARASA LA SABA, FORM 4 NA 6. MKWAWA NA ABUSHIRI TUNAWASOMA KILA SIKU DARASANI LAKINI ONA LEO KABURI LAKE HUYU SHUJAA LILIVYOTELEKEZWA?! HII NI HUZUNI NA HAKIKA INASIKITISHA SANA.
@rayisadesigns264624 күн бұрын
HII DUNIA KUNA WATU WA HOVYO SANA!! HIVI UNAJENGA NYUMBA JUU YA KABURI LA SHUJAA ALIYEJITOLEA MAISHA YAKE KUPAMBANA NA WAKOLONI WA KIZUNGU ILI TUWE HURU WASITUTAWALE KTK TAIFA LETU HILI LA TANZANIA, SI AJABU HILO ENEO LILIKUWA LA KWAKE YEYE MWENYEWE LAKINI BADO WATU WALIUZA MPAKA NA KABURI LAKE, NA MBAYA ZAIDI MNUNUZI AKAWEKA NA JENGO JUU YA KABURI WATU WALALE KABURINI. KUNA HAJA SERIKALI IFATILIE MASHUJAA HAWA NA KUYAENZI MAKABURI YAO TUSIISHIE KUWASOMA TU KTK VITABU VYA HISTORIA VYA DARASA LA SABA, FORM 4 NA 6. MKWAWA NA ABUSHIRI TUNAWASOMA KILA SIKU DARASANI LAKINI ONA LEO KABURI LAKE HUYU SHUJAA LILIVYOTELEKEZWA?! HII NI HUZUNI NA HAKIKA INASIKITISHA SANA.
@user-wo4pf1jd8c25 күн бұрын
😂😂naona bado wagala hawajaisikia hii pumbavu zao
@salumahmadasalum155625 күн бұрын
JE WANAOISHI HUMO WANARHUSIWA KUSWALI
@aziza909325 күн бұрын
❤❤❤❤
@aziza909325 күн бұрын
❤❤❤❤
@iddimasika117325 күн бұрын
Lkn cjajuwa huyu mtangazaji anahoji au yy ndio anaelezea
@iddimasika117325 күн бұрын
Kipindi kizur lakini saut mbovu mnoo
@user-fs7xc2bb5d25 күн бұрын
SubhanllAh
@alwatanalgilgilan-y307826 күн бұрын
Huo ukuta wa nyumba uvunjwe
@alwatanalgilgilan-y307826 күн бұрын
Kaburi lihifadhiwe, huyo alikuwa mtu maarufu sana, bushiri na bwanakheri
@sixmundleonard213526 күн бұрын
Litakuwa ndani maana ingekuwa lipo nusu njee nusu ndani iyo nyumba isinge lalika
@GumzolaGhassani26 күн бұрын
MashaAllah. Jazakallahulkheir Somo yangu. Unatuachia urithi wa ilimu kubwa na Allah ndiye mlipaji wako. Sisi hatuna cha kukulipa zaidi ya dua. Alhamdulillah
@sumayasumaya645526 күн бұрын
Hii nchi kuna jambo' lilotusumbua kumbe naliona ..., mana haya yaliofanyika na wazee na leo ukiona mambo' yalivyo vitu viwili tofauti.., ama kweli mwl.nyerer baada ya uhuru alichokifanya...!!?? haya mungu atusameh/ atusaidie
@nassrahilaly24326 күн бұрын
Mwalimu simba ....my favourite teacher
@waleedalbarwani10426 күн бұрын
Kazi yako ni kazi Adhim yaku elimisha history yao Jazaka Allahu kheiran
@yusufurajabukanyama973826 күн бұрын
Alhamdulillahi. Hii nayo ni njia bora ya kuweka sawa kumbukumbu za historia ya nchi yetu. Bravo. Kaka kazi nzuri.
@masudijahazi27 күн бұрын
Naona mwenye nyumba mwishoni kaona mnamchulia
@diti489927 күн бұрын
Safi sana mzee napenda unavyotoka kufwata historia katika sehemu husika
@mohamedomari612927 күн бұрын
Huyu aliejenga kwenye kaburi
@amarisonconsultancy568727 күн бұрын
Video hii ijenge msingi wa archaeologist wetu kutafiti hili mashaallah
@mwanakupona27 күн бұрын
Nyumba yenu ilikuwa Kupata number ngapi Mimi nimekulia Kipata
@jacksonmsendo347828 күн бұрын
Upo sahihi sana watu kufanya izi fujo kwamba tukachukue ardhi zanzibar wakati bara ardhi tele kweli viongozi wakae chini wayamalize
@SKY-fk3fz29 күн бұрын
👍
@khatibal-zinjibari695629 күн бұрын
HISTORIA YA TANGANYIKA NI HISTORIA YA NYERERE✝️ Kweli kabisa hata historia Tanganyika inalazimishwa ianze na Mkatoliki Nyerere anotakiwa awe Mtakatifu. Historia lazima ianze 1954 mwaka ambao Nyerere alipovunja TAA. Lengo ni kuwafukuza Waislam na kubatiza historia yao baada ya kuunda TANU. Historia ya Kiswahili pia ni ya Nyerere. Kwa sababu wamechagua Siku ya kuadhimisha Kiswahili Duniani ni Julai Saba. Julai Saba ni Siku Nyerere aliyoanzisha TANU sawa na Sherehe za SABA SABA. Kiswahili kilitoka Zanzibar kwenda Tanganyika kabla ya Nyerere kuzaliwa.😂
@sumayasumaya6455Ай бұрын
Nchi imekaa kidhulma sana kumbe ndo mana mambo' magumu saana kumbe, leo watu wamedhulum haki za watu..ndio wanakula maisha..ila waliovuja jasho na uhai kutoka, hawatakiwi/ tupwa kabisa. Inna lilah wainna ilai rajioun 😭
@sumayasumaya6455Ай бұрын
Huuyu ndio dr.mohamed saidi..maasha Allah
@SKY-fk3fzАй бұрын
He was so smart
@mohamedomari6129Ай бұрын
Zama imenikumbusha Tamta Tanga. Kifo ni hakika Lakini mwanadamu hujasahaulisha.
@antarsangali4456Ай бұрын
ALLAH mrehemu na kumhifadhi Alhabib sheikh Hassan bin Amrir
Пікірлер
❤ A great story Teller and a writer of our times.
Twapaswa kufahamu habari hizi Kwa manufaa ya ujenzi, ulinzi na mshikamano wa Taifa Letu Tanzania. Nipo Malaysia lakini nyakati zote siachi kutupia jicho na sikio kuhusu Nchi yangu
Jamaa amejikuta anajuta kumpa nafasi
Asante dr.mohamed saidi..kwa yote haya ungali bado ukiwa hai.. history ina ukakasi tuliosomeshwa seems' at all..kwa mengi kufichwa
Dr. Mohamed saidi uwezi kueleweka.. mambo' hayo ni mazito unaeleza...'unaleta mambo ya wauza samak na nazi sokon kariakoo' kauli ndio kama hizo...baada ya mwingireza kuondoka na si mazuri sana wa kuyasikia..so sad! 😭
Asante kwa kutupa kumbukumbu zako kuhusu lingo la kuni. Na karibu nyumbani Mtoni Kijichi.
Mashaalah huwa haki haipotei walijitahd kupotosha Jamii ya kitanzaia
Hahaha jamaaan😅
Kwanini tusijangishe Pesa hapo kununuliwe ili jumba Hilo li bomolewe ili kutengenezwe iwe kumbukumbu
Wazo zuri sana.
Hapo kwenye Makumbusho hamku fanikiwa kwenda
Tumefika makumbusho.
اللهم يرحمه ويسكنه فسيح جناته يارب العالمين 😢😢😢😢
Waislamu, sikwambii wa zama hizo, hata wa sasa, hawatendi kwa kusifiwa au kuzawadiwa na kiumbe, wao humpa Allah ili awalipe thawabu
Daah.... Mola amrehemu mzee WETU. Ila sasa nyumba hii juu ya kaburi daah.
Bila shaka huna neno hapo ulipo, tunaweza kujua ni mwaka gn huu na eneo gn, asant
Asante sana kwa hili mzee. Vitu adimu hivi
Mbona hao wanafunzi vya maawal wapo wachache
Historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika imeanza kupata kusemwa na in Sha Allah jamii nzima itataambua.
Lazma kaburi lisiwe na Kitu chochote juu maana kutakuwa na watu ndani ya nyumba wakivuana nguo na kufanya tende la ndowa na ndani ya chumba hicho Kuna kaburi ndani sio sawa musiivinje nyumba yote fanyeni bidii hiyo sehemu ya kaburi muitenge isiwe na kitu chochote juu wabilahi Taufiq
Doctor MUHAMMED SAID. ALMAARUF. MMA NYEMA. ALLAHU SUBHAANAH WA TAALA AKUHIFADHI... AAMIYN AMIYN. ❤❤❤
Mwamba kwenye historia
Mashallah tabarak allah KAZI nzuri unayo fanya Allah akuhitadhi yarab amen ❤❤❤❤
HII DUNIA KUNA WATU WA HOVYO SANA!! HIVI UNAJENGA NYUMBA JUU YA KABURI LA SHUJAA ALIYEJITOLEA MAISHA YAKE KUPAMBANA NA WAKOLONI WA KIZUNGU ILI TUWE HURU WASITUTAWALE KTK TAIFA LETU HILI LA TANZANIA, SI AJABU HILO ENEO LILIKUWA LA KWAKE YEYE MWENYEWE LAKINI BADO WATU WALIUZA MPAKA NA KABURI LAKE, NA MBAYA ZAIDI MNUNUZI AKAWEKA NA JENGO JUU YA KABURI WATU WALALE KABURINI. KUNA HAJA SERIKALI IFATILIE MASHUJAA HAWA NA KUYAENZI MAKABURI YAO TUSIISHIE KUWASOMA TU KTK VITABU VYA HISTORIA VYA DARASA LA SABA, FORM 4 NA 6. MKWAWA NA ABUSHIRI TUNAWASOMA KILA SIKU DARASANI LAKINI ONA LEO KABURI LAKE HUYU SHUJAA LILIVYOTELEKEZWA?! HII NI HUZUNI NA HAKIKA INASIKITISHA SANA.
HII DUNIA KUNA WATU WA HOVYO SANA!! HIVI UNAJENGA NYUMBA JUU YA KABURI LA SHUJAA ALIYEJITOLEA MAISHA YAKE KUPAMBANA NA WAKOLONI WA KIZUNGU ILI TUWE HURU WASITUTAWALE KTK TAIFA LETU HILI LA TANZANIA, SI AJABU HILO ENEO LILIKUWA LA KWAKE YEYE MWENYEWE LAKINI BADO WATU WALIUZA MPAKA NA KABURI LAKE, NA MBAYA ZAIDI MNUNUZI AKAWEKA NA JENGO JUU YA KABURI WATU WALALE KABURINI. KUNA HAJA SERIKALI IFATILIE MASHUJAA HAWA NA KUYAENZI MAKABURI YAO TUSIISHIE KUWASOMA TU KTK VITABU VYA HISTORIA VYA DARASA LA SABA, FORM 4 NA 6. MKWAWA NA ABUSHIRI TUNAWASOMA KILA SIKU DARASANI LAKINI ONA LEO KABURI LAKE HUYU SHUJAA LILIVYOTELEKEZWA?! HII NI HUZUNI NA HAKIKA INASIKITISHA SANA.
😂😂naona bado wagala hawajaisikia hii pumbavu zao
JE WANAOISHI HUMO WANARHUSIWA KUSWALI
❤❤❤❤
❤❤❤❤
Lkn cjajuwa huyu mtangazaji anahoji au yy ndio anaelezea
Kipindi kizur lakini saut mbovu mnoo
SubhanllAh
Huo ukuta wa nyumba uvunjwe
Kaburi lihifadhiwe, huyo alikuwa mtu maarufu sana, bushiri na bwanakheri
Litakuwa ndani maana ingekuwa lipo nusu njee nusu ndani iyo nyumba isinge lalika
MashaAllah. Jazakallahulkheir Somo yangu. Unatuachia urithi wa ilimu kubwa na Allah ndiye mlipaji wako. Sisi hatuna cha kukulipa zaidi ya dua. Alhamdulillah
Hii nchi kuna jambo' lilotusumbua kumbe naliona ..., mana haya yaliofanyika na wazee na leo ukiona mambo' yalivyo vitu viwili tofauti.., ama kweli mwl.nyerer baada ya uhuru alichokifanya...!!?? haya mungu atusameh/ atusaidie
Mwalimu simba ....my favourite teacher
Kazi yako ni kazi Adhim yaku elimisha history yao Jazaka Allahu kheiran
Alhamdulillahi. Hii nayo ni njia bora ya kuweka sawa kumbukumbu za historia ya nchi yetu. Bravo. Kaka kazi nzuri.
Naona mwenye nyumba mwishoni kaona mnamchulia
Safi sana mzee napenda unavyotoka kufwata historia katika sehemu husika
Huyu aliejenga kwenye kaburi
Video hii ijenge msingi wa archaeologist wetu kutafiti hili mashaallah
Nyumba yenu ilikuwa Kupata number ngapi Mimi nimekulia Kipata
Upo sahihi sana watu kufanya izi fujo kwamba tukachukue ardhi zanzibar wakati bara ardhi tele kweli viongozi wakae chini wayamalize
👍
HISTORIA YA TANGANYIKA NI HISTORIA YA NYERERE✝️ Kweli kabisa hata historia Tanganyika inalazimishwa ianze na Mkatoliki Nyerere anotakiwa awe Mtakatifu. Historia lazima ianze 1954 mwaka ambao Nyerere alipovunja TAA. Lengo ni kuwafukuza Waislam na kubatiza historia yao baada ya kuunda TANU. Historia ya Kiswahili pia ni ya Nyerere. Kwa sababu wamechagua Siku ya kuadhimisha Kiswahili Duniani ni Julai Saba. Julai Saba ni Siku Nyerere aliyoanzisha TANU sawa na Sherehe za SABA SABA. Kiswahili kilitoka Zanzibar kwenda Tanganyika kabla ya Nyerere kuzaliwa.😂
Nchi imekaa kidhulma sana kumbe ndo mana mambo' magumu saana kumbe, leo watu wamedhulum haki za watu..ndio wanakula maisha..ila waliovuja jasho na uhai kutoka, hawatakiwi/ tupwa kabisa. Inna lilah wainna ilai rajioun 😭
Huuyu ndio dr.mohamed saidi..maasha Allah
He was so smart
Zama imenikumbusha Tamta Tanga. Kifo ni hakika Lakini mwanadamu hujasahaulisha.
ALLAH mrehemu na kumhifadhi Alhabib sheikh Hassan bin Amrir