Mohamed Said

Mohamed Said

MWANAHISTORIA NA MWANDISHI

.
HISTORIA YA TANZANIA KWA UKAMILIFU WAKE
.
.
SUBSCRIBE

6 July 2024

6 July 2024

KUMBUKUMBU YA TEWA SAID TEWA

KUMBUKUMBU YA TEWA SAID TEWA

LINGO LA KUNI MTONI KIJICHI

LINGO LA KUNI MTONI KIJICHI

TEWA SAID TEWA NA EAMWS

TEWA SAID TEWA NA EAMWS

ALLY ABDALLAH SYKES

ALLY ABDALLAH SYKES

SAFARI YA MNYANJANI TANGA

SAFARI YA MNYANJANI TANGA

DUA YA KURA TATU MNYANJANI

DUA YA KURA TATU MNYANJANI

HARAKATI ZA TANU MNYANJANI

HARAKATI ZA TANU MNYANJANI

ABUSHIRI HAKUNYONGWA BAGAMOYO

ABUSHIRI HAKUNYONGWA BAGAMOYO

Пікірлер

  • @lusajomwankusye3477
    @lusajomwankusye347710 сағат бұрын

    ❤ A great story Teller and a writer of our times.

  • @pascalduwe3092
    @pascalduwe309210 сағат бұрын

    Twapaswa kufahamu habari hizi Kwa manufaa ya ujenzi, ulinzi na mshikamano wa Taifa Letu Tanzania. Nipo Malaysia lakini nyakati zote siachi kutupia jicho na sikio kuhusu Nchi yangu

  • @user-xv8zg1lr8k
    @user-xv8zg1lr8kКүн бұрын

    Jamaa amejikuta anajuta kumpa nafasi

  • @sumayasumaya6455
    @sumayasumaya64552 күн бұрын

    Asante dr.mohamed saidi..kwa yote haya ungali bado ukiwa hai.. history ina ukakasi tuliosomeshwa seems' at all..kwa mengi kufichwa

  • @sumayasumaya6455
    @sumayasumaya64552 күн бұрын

    Dr. Mohamed saidi uwezi kueleweka.. mambo' hayo ni mazito unaeleza...'unaleta mambo ya wauza samak na nazi sokon kariakoo' kauli ndio kama hizo...baada ya mwingireza kuondoka na si mazuri sana wa kuyasikia..so sad! 😭

  • @sakapallaTV
    @sakapallaTV7 күн бұрын

    Asante kwa kutupa kumbukumbu zako kuhusu lingo la kuni. Na karibu nyumbani Mtoni Kijichi.

  • @user-pj9lq5oh6i
    @user-pj9lq5oh6i8 күн бұрын

    Mashaalah huwa haki haipotei walijitahd kupotosha Jamii ya kitanzaia

  • @fridafranco315
    @fridafranco31510 күн бұрын

    Hahaha jamaaan😅

  • @SultanSaid-js9yj
    @SultanSaid-js9yj15 күн бұрын

    Kwanini tusijangishe Pesa hapo kununuliwe ili jumba Hilo li bomolewe ili kutengenezwe iwe kumbukumbu

  • @samitungo
    @samitungo14 күн бұрын

    Wazo zuri sana.

  • @masudijahazi
    @masudijahazi15 күн бұрын

    Hapo kwenye Makumbusho hamku fanikiwa kwenda

  • @samitungo
    @samitungo15 күн бұрын

    Tumefika makumbusho.

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim829316 күн бұрын

    اللهم يرحمه ويسكنه فسيح جناته يارب العالمين 😢😢😢😢

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance675016 күн бұрын

    Waislamu, sikwambii wa zama hizo, hata wa sasa, hawatendi kwa kusifiwa au kuzawadiwa na kiumbe, wao humpa Allah ili awalipe thawabu

  • @barakasunga7860
    @barakasunga786016 күн бұрын

    Daah.... Mola amrehemu mzee WETU. Ila sasa nyumba hii juu ya kaburi daah.

  • @saidhamad7504
    @saidhamad750417 күн бұрын

    Bila shaka huna neno hapo ulipo, tunaweza kujua ni mwaka gn huu na eneo gn, asant

  • @diti4899
    @diti489918 күн бұрын

    Asante sana kwa hili mzee. Vitu adimu hivi

  • @liamkingodi
    @liamkingodi18 күн бұрын

    Mbona hao wanafunzi vya maawal wapo wachache

  • @guledomary2812
    @guledomary281223 күн бұрын

    Historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika imeanza kupata kusemwa na in Sha Allah jamii nzima itataambua.

  • @chabunu3367
    @chabunu336724 күн бұрын

    Lazma kaburi lisiwe na Kitu chochote juu maana kutakuwa na watu ndani ya nyumba wakivuana nguo na kufanya tende la ndowa na ndani ya chumba hicho Kuna kaburi ndani sio sawa musiivinje nyumba yote fanyeni bidii hiyo sehemu ya kaburi muitenge isiwe na kitu chochote juu wabilahi Taufiq

  • @msellemseif3102
    @msellemseif310224 күн бұрын

    Doctor MUHAMMED SAID. ALMAARUF. MMA NYEMA. ALLAHU SUBHAANAH WA TAALA AKUHIFADHI... AAMIYN AMIYN. ❤❤❤

  • @Hajisilima-ul5rl
    @Hajisilima-ul5rl24 күн бұрын

    Mwamba kwenye historia

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim829324 күн бұрын

    Mashallah tabarak allah KAZI nzuri unayo fanya Allah akuhitadhi yarab amen ❤❤❤❤

  • @rayisadesigns2646
    @rayisadesigns264624 күн бұрын

    HII DUNIA KUNA WATU WA HOVYO SANA!! HIVI UNAJENGA NYUMBA JUU YA KABURI LA SHUJAA ALIYEJITOLEA MAISHA YAKE KUPAMBANA NA WAKOLONI WA KIZUNGU ILI TUWE HURU WASITUTAWALE KTK TAIFA LETU HILI LA TANZANIA, SI AJABU HILO ENEO LILIKUWA LA KWAKE YEYE MWENYEWE LAKINI BADO WATU WALIUZA MPAKA NA KABURI LAKE, NA MBAYA ZAIDI MNUNUZI AKAWEKA NA JENGO JUU YA KABURI WATU WALALE KABURINI. KUNA HAJA SERIKALI IFATILIE MASHUJAA HAWA NA KUYAENZI MAKABURI YAO TUSIISHIE KUWASOMA TU KTK VITABU VYA HISTORIA VYA DARASA LA SABA, FORM 4 NA 6. MKWAWA NA ABUSHIRI TUNAWASOMA KILA SIKU DARASANI LAKINI ONA LEO KABURI LAKE HUYU SHUJAA LILIVYOTELEKEZWA?! HII NI HUZUNI NA HAKIKA INASIKITISHA SANA.

  • @rayisadesigns2646
    @rayisadesigns264624 күн бұрын

    HII DUNIA KUNA WATU WA HOVYO SANA!! HIVI UNAJENGA NYUMBA JUU YA KABURI LA SHUJAA ALIYEJITOLEA MAISHA YAKE KUPAMBANA NA WAKOLONI WA KIZUNGU ILI TUWE HURU WASITUTAWALE KTK TAIFA LETU HILI LA TANZANIA, SI AJABU HILO ENEO LILIKUWA LA KWAKE YEYE MWENYEWE LAKINI BADO WATU WALIUZA MPAKA NA KABURI LAKE, NA MBAYA ZAIDI MNUNUZI AKAWEKA NA JENGO JUU YA KABURI WATU WALALE KABURINI. KUNA HAJA SERIKALI IFATILIE MASHUJAA HAWA NA KUYAENZI MAKABURI YAO TUSIISHIE KUWASOMA TU KTK VITABU VYA HISTORIA VYA DARASA LA SABA, FORM 4 NA 6. MKWAWA NA ABUSHIRI TUNAWASOMA KILA SIKU DARASANI LAKINI ONA LEO KABURI LAKE HUYU SHUJAA LILIVYOTELEKEZWA?! HII NI HUZUNI NA HAKIKA INASIKITISHA SANA.

  • @user-wo4pf1jd8c
    @user-wo4pf1jd8c25 күн бұрын

    😂😂naona bado wagala hawajaisikia hii pumbavu zao

  • @salumahmadasalum1556
    @salumahmadasalum155625 күн бұрын

    JE WANAOISHI HUMO WANARHUSIWA KUSWALI

  • @aziza9093
    @aziza909325 күн бұрын

    ❤❤❤❤

  • @aziza9093
    @aziza909325 күн бұрын

    ❤❤❤❤

  • @iddimasika1173
    @iddimasika117325 күн бұрын

    Lkn cjajuwa huyu mtangazaji anahoji au yy ndio anaelezea

  • @iddimasika1173
    @iddimasika117325 күн бұрын

    Kipindi kizur lakini saut mbovu mnoo

  • @user-fs7xc2bb5d
    @user-fs7xc2bb5d25 күн бұрын

    SubhanllAh

  • @alwatanalgilgilan-y3078
    @alwatanalgilgilan-y307826 күн бұрын

    Huo ukuta wa nyumba uvunjwe

  • @alwatanalgilgilan-y3078
    @alwatanalgilgilan-y307826 күн бұрын

    Kaburi lihifadhiwe, huyo alikuwa mtu maarufu sana, bushiri na bwanakheri

  • @sixmundleonard2135
    @sixmundleonard213526 күн бұрын

    Litakuwa ndani maana ingekuwa lipo nusu njee nusu ndani iyo nyumba isinge lalika

  • @GumzolaGhassani
    @GumzolaGhassani26 күн бұрын

    MashaAllah. Jazakallahulkheir Somo yangu. Unatuachia urithi wa ilimu kubwa na Allah ndiye mlipaji wako. Sisi hatuna cha kukulipa zaidi ya dua. Alhamdulillah

  • @sumayasumaya6455
    @sumayasumaya645526 күн бұрын

    Hii nchi kuna jambo' lilotusumbua kumbe naliona ..., mana haya yaliofanyika na wazee na leo ukiona mambo' yalivyo vitu viwili tofauti.., ama kweli mwl.nyerer baada ya uhuru alichokifanya...!!?? haya mungu atusameh/ atusaidie

  • @nassrahilaly243
    @nassrahilaly24326 күн бұрын

    Mwalimu simba ....my favourite teacher

  • @waleedalbarwani104
    @waleedalbarwani10426 күн бұрын

    Kazi yako ni kazi Adhim yaku elimisha history yao Jazaka Allahu kheiran

  • @yusufurajabukanyama9738
    @yusufurajabukanyama973826 күн бұрын

    Alhamdulillahi. Hii nayo ni njia bora ya kuweka sawa kumbukumbu za historia ya nchi yetu. Bravo. Kaka kazi nzuri.

  • @masudijahazi
    @masudijahazi27 күн бұрын

    Naona mwenye nyumba mwishoni kaona mnamchulia

  • @diti4899
    @diti489927 күн бұрын

    Safi sana mzee napenda unavyotoka kufwata historia katika sehemu husika

  • @mohamedomari6129
    @mohamedomari612927 күн бұрын

    Huyu aliejenga kwenye kaburi

  • @amarisonconsultancy5687
    @amarisonconsultancy568727 күн бұрын

    Video hii ijenge msingi wa archaeologist wetu kutafiti hili mashaallah

  • @mwanakupona
    @mwanakupona27 күн бұрын

    Nyumba yenu ilikuwa Kupata number ngapi Mimi nimekulia Kipata

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo347828 күн бұрын

    Upo sahihi sana watu kufanya izi fujo kwamba tukachukue ardhi zanzibar wakati bara ardhi tele kweli viongozi wakae chini wayamalize

  • @SKY-fk3fz
    @SKY-fk3fz29 күн бұрын

    👍

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari695629 күн бұрын

    HISTORIA YA TANGANYIKA NI HISTORIA YA NYERERE✝️ Kweli kabisa hata historia Tanganyika inalazimishwa ianze na Mkatoliki Nyerere anotakiwa awe Mtakatifu. Historia lazima ianze 1954 mwaka ambao Nyerere alipovunja TAA. Lengo ni kuwafukuza Waislam na kubatiza historia yao baada ya kuunda TANU. Historia ya Kiswahili pia ni ya Nyerere. Kwa sababu wamechagua Siku ya kuadhimisha Kiswahili Duniani ni Julai Saba. Julai Saba ni Siku Nyerere aliyoanzisha TANU sawa na Sherehe za SABA SABA. Kiswahili kilitoka Zanzibar kwenda Tanganyika kabla ya Nyerere kuzaliwa.😂

  • @sumayasumaya6455
    @sumayasumaya6455Ай бұрын

    Nchi imekaa kidhulma sana kumbe ndo mana mambo' magumu saana kumbe, leo watu wamedhulum haki za watu..ndio wanakula maisha..ila waliovuja jasho na uhai kutoka, hawatakiwi/ tupwa kabisa. Inna lilah wainna ilai rajioun 😭

  • @sumayasumaya6455
    @sumayasumaya6455Ай бұрын

    Huuyu ndio dr.mohamed saidi..maasha Allah

  • @SKY-fk3fz
    @SKY-fk3fzАй бұрын

    He was so smart

  • @mohamedomari6129
    @mohamedomari6129Ай бұрын

    Zama imenikumbusha Tamta Tanga. Kifo ni hakika Lakini mwanadamu hujasahaulisha.

  • @antarsangali4456
    @antarsangali4456Ай бұрын

    ALLAH mrehemu na kumhifadhi Alhabib sheikh Hassan bin Amrir