Siri Nzito ya Azimio la Arusha, Ugomvi wa Kambona na Nyerere Yafichuka
Subscribe / uwazi1
Kuna mambo mengi yalitokea hapo nyuma kabla na baada ya Uhuru ambayo ndani yake kuna mengi yakujifunza kwa Nchi yetu mashuhuri Tanzania, ikwemo Historia ya Nchi Yetu kwani ni Vizuri kujua tulikotoka na jinsi ambavyo wazee wetu walipambana kuhakikisha Uhuru wa Nchi yetu unapatikana.
Miongoni mwa Majina Yaliotikisa wakati wa enzi za Tanu sambamba na wakati wa harakati za kutafuta Uhuru , ingawa wote tunajivunia jitihada za Baba yetu wa Taifa Hayati Mwl Julius Nyerere lakini ni vizuri pia kutambua mchango kwa wazee wetu wengine ingawa hatuwezi kulinganisha na jinsi Baba wa Taifa alivyopigania Nchi hii.
Tunakukutanisha na Mzee lwanyantika Masha ambaye amefunguka kila kitu.
/ uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
WEBSITE: globalpublishers.co.tz/
FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpubli. .
Пікірлер: 76
nilitamani Sana kuujua ubora wa Nyerere na kambona mtangazaji umenitoa kwenye focus.
Hongera kwa Mzee wetu. Ila kwa huyu Host hapana
Historian yetu inakanyagwa sana, poleni wazee wote mliopoteza Maisha na kufilisika kwa ajili ya Uhuru hewa mlioupigania ktk Nchi hii.
Ufike wakati historia Kama hii itumike mashuleni. Ile ya ukoloni na kutawaliwa na utumwa ibaki kwenye vitabu library maana kizazi chetu kinaathirika na historia hii na kujisikia inferior sana kulinganisha na kizazi cha waliotutawala na kututumikisha
@nehemiajoshua1408
6 жыл бұрын
Law Marcus Mwakagenda kweli
Nikweli wana historia wa Tanzania hawaelezei viongozi wengine from primary to sec. Ninyerere tu anaelezewa kamavile yeye ndiye mpigagitaa yeye ndo mwimbaji, yy ndo mchezaji
vyovyote vile, but I think kina Kambona walikua na hoja ya msingi....tanzania ya leo imetokana na siasa za ajabu-ajabu za kijamaa. Look at our fellow Kenyans, Zimbabwean, Zambians, Ghanaians, Nigerians etc...
Good history let every one love our country CCM keep peace for lever
naamini watu kama huyu Prof. bado wapo wengi tu hapa tz historia ya nchi ingeandikwa ila ifundishwe na iishi katika mioyo ya wananchi. viva prof viva mtangazaji
@jafetyamosi4898
6 жыл бұрын
niwakina nani hao
Kambona was for multi party politics nyerere refused and kambona fled to UK mzee is not sincere
Huyu dada kazingua, you can't interrupt mtu akiwa anazngumza listen first then utajua your next question.
So unprofessional and under-qualified to interview such a person; there is a substantial intellectual gap between the interviewer and interviewee. Global TV, can you do better to prep your staff? Are they trained Journalists? If so, how come they cannot even ask follow up questions? What a waste of an opportunity? Too scripted!
@bogohe
6 жыл бұрын
Poor Journalist indeed- Please hire qualified journalists- what a missed opportunity!
@josephmoshi2175
4 жыл бұрын
Global 📺, Please don't repeat again to waste this Opportunity.
@sk-wj9or
10 ай бұрын
Such a poor journalism. Huyu dada akirudi shule atafaa lakini kwa hii 5% inamfaa
Vijiji vya ujamaa .. hatar sana
@mussasaimon2012
5 жыл бұрын
Dada ongeza juhud
HUYU DADA ANAHITAJI SHULE ZAIDI YA KUHOJI MTU,SABABU KWANZA HAANGALII NA UMRI WAMTU, AKIJANGE VIPI KATIKA KUHOJI.SASA UNAMUULIZA BABU YAKO,HUKU UNAMMINYIA PUA! HII SI HESHIMA KABISA
@monicaashery1
6 жыл бұрын
Amepoteza nafasi kubwa ya kuelimisha watazamaji na unna kwa ujumla kwa kutojua namna ya kuuliza maswali na kuunganisha points zaidi kwa kuuliza follow up questions. Hmm!
Hongera sana dada kwa kipindi hiki, hivi ndivyo vipindi tunavyotaka
Dr Mohamed said ,anafundisha sana mambo hayo na mimi humfuatilia sana makala zake you tube,hajawahi sema Nyerere aliibadilisha TAA kuwa chama cha siasa kazi yake ni kumlaumu na kuzigeuza juhudi zionekane za kidini.Hapa tuna shuhuda aliye wahi afanya kazi na wakati huo,amjibu sasa prof hapa.
Siku nyengine unapokwenda kuwahoji watu wazima ujue kuvaa nguo za heshima
@jisamjose2184
6 жыл бұрын
Maalim mombo na mirangi ya mdomo ka kahaba linamtege mzee
@MrKhatibu
6 жыл бұрын
Jisam José sojakuelewa
@wisdomkyando5165
6 жыл бұрын
kwani kavaa nn cha ajabu
@bensonmaselle2372
6 жыл бұрын
sawa kabisa
@bensonmaselle2372
6 жыл бұрын
we huoni ama! ni vazi la heshima hilo?
Amen
Hawa ni hazina kuu ya Taifa. Tunapo kuwa tunawahoji, tutumie mafundi wa kuhoji maana macho mengi hutegemea asali kutoka kwao. Nashauri mahojiano yarudiwe na watangazaji makini.
@bensonmaselle2372
6 жыл бұрын
uko sahihi kabisa
Nyerere hakutaka mtu yeyote Ainue kichwa.Azimio la Arusha liliua nchi, nyerere aipotoka na lenyewe likafa
Mtangazaji ovyoooo
Pamoja
Nikweli huyu ndie the hero of social justice aliona mbali, aliona mengi, wapo wakumubadili lakin nyerer atabaki kuwa nyerer
Histori ya Tanganyika ,
Huyu mwandishi yuko vizuri sana na ndiyo maana yeye ndiye aliyemhoji mavazi sio kosa lake tuanzie huko kwenye familia zetu na kwenye Imani zetu.... Chamsingi aongezee tu Juhudi
huyu mzee ana mambo mengi ya kuzungumza, sema sasa huyu mtangazaji ndo mpuuz...anakera balaa
Kambona mungu amrehemu sana,
Dkt Shika tu ndo unamuweza dada, hujajipanga kwenye siasa.
@monicaashery1
6 жыл бұрын
she is hopeless! Just wasted a golden opportunity to educate the public.
Huyo host hafahi kabisa
Naikumbuka hadithi ya mtu wa kale ndani yetu.. na hapa nimemfikiria mtikila, huku kuogopa wafu kwakuamini mizimu hubaki hai ndio itazidi kutuondolea maana halisi ya kujuwa history halisi. Leo watu hawajuwi waasisi wa chama cha TAA. Wala TANU. Aliye stahili azungumzwe ndio history haita badili rangi za bendera ya nchi ila itatufanya tujuwe wajibu wake katika taifa lake. Tukianza kwa uwongo hakika tutamalizia katika ukweli. Lkn kwakuwa iko hivyo kwa killa nchi tufundisheni tu ila ikifika kipindi cha maswali na mjibu😊😊
Kipindi kilikuwa kizuri ila mtangazaji amekiaribu. Ametukosesha point za msingi..mwandish maswali yake hayakuwa na utaratibu..amekuwa akimuondoa mzee masha kwenye truck.. Hasa kwenye habar ya Kambona na Nyerere
@monicaashery1
6 жыл бұрын
Thank, felt the same way; she missed the opportunity to get more info from such a golden source,
@clarauisso4044
6 жыл бұрын
Danyr ich Ojoro
@jacksonmeshack6582
6 жыл бұрын
Huy Dada siyo kipaji chake amegushi coz anatok nje ya mada husika jamani
usione kusita kuongea hvy mzee akuzoea kuona mavazi ya ajabu kama hayo vaa mavazi kulingana na yule unaeenda kukutana nae
We dada hujasomea uandishi wa habar
Host ameharibu hii interview muhimu kwa historia ya Taifa. Intervation yake was unnecessary.
Wewe dada please mwaechie Mzee aeleze historia kwa utulifu unamzonga na maswali yako
Mmh watu wengine km hamjui theory za interview msikoment. Taratibu za interview zinamtaka mtangazaji anapomhoji mtu, amchukulie km wanalingana ndiyo atamhoji vizuri, sasa wanaomkosoa huyu dada naona hawajui science ya interview
mlimhoji mzee kwa muda mfupi na kutunyima uwezekano wa tusiowaandishi wa habari kuyajua mengi yanayozunguka mgogogoro wa Hayati Mwl Nyerere na Hayati Kambona ni vyema mkaweka muendelezo wa mahojiano yote
So unprofessional journerlist
wivu unatusumbua sn watz
Hongera binti you have a bright future ahead of you.
dada yuko vizuri kwa kuhoji...hongera sasa!
@alihamad6046
6 жыл бұрын
Mm sifuatilii hay mahojiano naangalia huuu mdomo wa huyu mtangazaji nimeupenda sanaaa😀😀😀😀
unatumia lugha za kihuni hata kwa wazee? mfano unaposema unaweza ukafunguka mzee
@monicaashery1
6 жыл бұрын
Amepoteza nafasi nzuri ya kufundisha taifa.
@hugowilfredlukoo4971
5 жыл бұрын
kufunguka siyo lugha ya kihuni yuko sahihi
Kuna wazee wengi wazamani waliojiunga kwenye hii taa wengi Sana tena mikoan wakina Mzee fundikira, Yule babu watabora ndi ana historia zote mpaka Nyerere kumkaribisha tabora wakina azizi Ally mtuy nakaka take Mzee saksi fatilien wale wazee wakina mkapa WA juzi Tu hawo wazee hamna hata mmoja anae takes wala vyeo hawana ni mafukarakupindukua Baba wataifa kama aliwafunika vile hawatajwi mpaka Kesho hata historia hawa po
poor dressing code to you Dada..Mzee wetu huyo
Kipindi ni kizuri ila Huyu msichana hafai kwa nafasi hii
Channel makini,,mrembo ni mzuriii sanaa bright in mind as well
Muulizwaji naona amevumlia xana kwa sababu n mtu mkubwa na muhimu kwenye nchi,ila huyu dada nadhan anahtji elimu zaid
Inasikitisha nchi haina historia
@monicaashery1
6 жыл бұрын
Hata waulizaji hawajui wanauliza nini na wafuatilie na swali gani.
huyu mdada aisee apewe msaada wa nguo make naona mshahara hautoshi kununulia mavazi,kanunulia rangi za midomo na kucha,kasahau mavazi
Huyu Mzee haelezi. Vizuri kama anafukia matuta. Mimi simuelewi kabisa Yule Mzee wa tabora anaeleza open alihojiwa ntampata huyu babu kama smenti na mchangaa hanacho
waislam tu ndo wanajistiri ujue...
@msetimarwa1438
3 жыл бұрын
Mtangazaji anarukiarukia matukio kabla Mzee Masha hajamaliza hoja anayoielezea! . Nlimatamani nifahamu kisa cha mtafaruki kati ya JKN na Kambona ila mtangazaji kamvuruga Masha na akaniondolea usikivu kabisa. Mtangazaji anazungumza kwa kupasapasa macho kama vile anaongea na boyfriend wake!