Masoud Kipanya aeleza A to Z jinsi alivyoitengeneza gari yake 'Imenichukua zaidi ya miaka 2' - Pt 1

Masoud Kipanya ametengeneza vichwa vya habari nchini baada ya kuzindua gari lake kutoka kwenye kampuni yake, KP Motors. Kwenye #ChillnaSky anazungumzia mchakato mzima ulivyokuwa hadi kufikia hapo

Пікірлер: 47

  • @mutomubaya
    @mutomubaya2 жыл бұрын

    Shukran sana ndugu. Kwa maongezi yako Nimejifunza mengi . Mimi ni Mkenya na napenda sana maongezi na watu wenye fikra za mambo ya ki ufundi. Kwa sasa mimi ni dereva wa familia Arabuni. Na napenda sana kazi zinazohitaji matumizi ya akili

  • @Swahili_Finance
    @Swahili_Finance2 жыл бұрын

    Masoud Kanifundisha Ktu Kimoja Don't Tell people What you're going to do, shock them with Results"

  • @dr.sarahbusongo

    @dr.sarahbusongo

    2 жыл бұрын

    Yes

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo832 жыл бұрын

    Thanks Sns nimefurahi umemleta masoud huwa nampenda huyu kaka sana anahofu ya mungu pia very humble,hongera sana you made it twajivunia wewe ❤🇨🇭🇹🇿

  • @Swahili_Finance
    @Swahili_Finance2 жыл бұрын

    Masoud Ana Ujuzi Wa " Engineering Designing " + Creativity ...

  • @jacksonmgani4411
    @jacksonmgani44112 жыл бұрын

    Huyu jamaa ni bonge la product designer aisee

  • @silverman6930
    @silverman69302 жыл бұрын

    I’m so proud of you KP 🇬🇧🇬🇧

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.652 жыл бұрын

    Much love SnS +Masoud🇫🇮🇫🇮🇫🇮🤝

  • @yahyamain3198
    @yahyamain31982 жыл бұрын

    Masoud is something else may Allah blessed him

  • @rizikimunga2460
    @rizikimunga24602 жыл бұрын

    Huyu jamaa ni miongon mwa watu ambao ni kama mfano kwangu .you did it broo

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Mashallah, hongera sana Masoud, umefanya kitu kikubwa mno.

  • @saketnicholaus9962
    @saketnicholaus99622 жыл бұрын

    Masoud Kama Mimi sipendi Anika ideas zangu directly

  • @aishashaibu4772
    @aishashaibu47722 жыл бұрын

    Skay hongera ilo uwa nimelipenda jmn studio imependeza sanaaaaa

  • @petroprenge8716
    @petroprenge87162 жыл бұрын

    Introduction nzuri sana kaka Sky.

  • @elizabethkitali4627
    @elizabethkitali46272 жыл бұрын

    Broo Mungu akupee zaidi ya hayooo

  • @rukiachamani1101
    @rukiachamani11012 жыл бұрын

    From Maisha plus to Electricity Car. Big up #Masoud.

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.652 жыл бұрын

    Hongera sana Masoud 🙌💪

  • @ammarsalah5693
    @ammarsalah56932 жыл бұрын

    Masoud hhhhhh he is so genius Masha Allah tabaaraka Llah

  • @deusntobi1450
    @deusntobi14502 жыл бұрын

    Kipanya akili nyingi sana . Nawapenda watu wa namna hiyo wanaowaza na kufanya visivyo vya kawaida hivyo ndivyo niwazavyo mie na nina ndoto zingine huwa siwezi kumwelezea mtu maana naweza onekana chizi.

  • @vanessarobyn4584

    @vanessarobyn4584

    2 жыл бұрын

    Pamoja sana

  • @reggeamusic704

    @reggeamusic704

    2 жыл бұрын

    Tuwasiliane please

  • @sarahjanas6666
    @sarahjanas66662 жыл бұрын

    Hongera kaka unaakili nyingi sana

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca2 жыл бұрын

    Big up sana, long life #SNS

  • @parisdarwin8324
    @parisdarwin83242 жыл бұрын

    Sky for life

  • @cyliruta5021
    @cyliruta50212 жыл бұрын

    Mungu ni mwema kwakweli

  • @hellenmawere9284
    @hellenmawere92842 жыл бұрын

    Heko kwako Masoud, tafsiri halisi ya mtaka Cha uvunguni..... Ndio hii kwa matendo...

  • @salim02tv24
    @salim02tv242 жыл бұрын

    Talented

  • @kingwilliam1807
    @kingwilliam18072 жыл бұрын

    Sky naomba simulizi na Sauti Spotify

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno79142 жыл бұрын

    Mungu akutangulie baba

  • @Dantaata
    @Dantaata Жыл бұрын

    kipanya nimefuatilia sana tatizo anaanzisha jambo ila linakufa,, ajitafakar

  • @mbembelatv
    @mbembelatv2 жыл бұрын

    🔥🔥

  • @nekashash2190
    @nekashash21902 жыл бұрын

    Mashine mnatengenezaje mpk mzigo unatembea

  • @mybabyarchive2104
    @mybabyarchive21042 жыл бұрын

    Bongo wakatishaji tamaa wapo wengi

  • @thomascelarine4805
    @thomascelarine48052 жыл бұрын

    Part 2, please, Please, Please, Please, Please, Please, Please, Please, Please, Please, Please, Please, Please, Please, Please, Please

  • @SimuliziNaSauti

    @SimuliziNaSauti

    2 жыл бұрын

    Hii hapa kzread.info/dash/bejne/l6CtlJWsqsanfMo.html

  • @thomascelarine4805

    @thomascelarine4805

    2 жыл бұрын

    @@SimuliziNaSauti Thanks much SNS

  • @sifatiiman

    @sifatiiman

    2 жыл бұрын

    duuh😁😁😁😁 sio kwa please hio😁

  • @nekashash2190
    @nekashash21902 жыл бұрын

    Bro kwa maelezo hayo hyo gari haiingii risasi 😁

  • @jeamwenda7394
    @jeamwenda73942 жыл бұрын

    Akili nyingi!!

  • @wolinet1

    @wolinet1

    2 жыл бұрын

    😂😂😂 achana nayo

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything2 жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍

  • @karyori69
    @karyori692 жыл бұрын

    mbona hujamuuliza kuhusu hybrid battery/engine yake aliitengeneza vp? Umbo linajengeka ila kuifanya itembee ndo nataka kujua!

  • @MrNdanguza

    @MrNdanguza

    2 жыл бұрын

    It easy mbone ukisomea electro mechanical engineering unaweza tengeneza vitu kama hivi

  • @karyori69

    @karyori69

    2 жыл бұрын

    @@MrNdanguza mi nimeomba maelezo maana mimi nilichoona Masoud kaunda gari inayo-store power kwa umbali wa 60 km na kuwa-recharged usiku mzima! Sasa hivi kuna gari zinaenda 500 km kabla ya kuwa recharged! Ukweli ni kaunda gari na si kafanya ugunduzi au uvumbuzi kama media zinavyopotosha!

  • @MrNdanguza

    @MrNdanguza

    2 жыл бұрын

    @@karyori69 hapo inabidi uunde hydropower battery yenye uķubwa kwa kuweza kkucharge 30kwh hapo itaenda mpaka km 70 ,lakini kuna uwezo wakuunda battery kubwa tuseme 350kwh hapo utaenda mpaka km 1200 vyote nikujua jisi ya kuunguza acid ya ndani ya bettry na vyumba vizuri kwenye ule muundo wa bettry ila iweze kucharge kwh nyingi ,ni process ya kawaida sanaaa huku south Africa mbone watoto wadogo tu wanazitengeneza ,ni elimu tu kua na ujuzi zaidi lakini vitu simple sana

  • @lissamsalu12345
    @lissamsalu123452 жыл бұрын

    I'm proud of you kipanya nataka kujua bei yake ikoje

  • @liberatuskagenzi8932
    @liberatuskagenzi89322 жыл бұрын

    Swali langu kwa masudi,kwann hiyo gari isiwekwe alternator inayotumika kwenye gari za kawaida,ili kucharge betri ya gari yako badala ya kucharge tena,naomba jibu pls

Келесі