Salama Na JK Ep48 | MSOGA UNO PART 2
Ойын-сауық
#SalamaNa #SendTip Through MPESA #0762797291
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Muda si mrefu iliopita nilirudi nyuma kidogo kwenye kumbukumbu ya mawasiliano ya kwanza kabisa kati yangu na moja wa wasaidizi wake Mheshimiwa Jakaya Mrisho wa Kikwete na hiyo ilinirudisha nyuma mpaka mwezi wa tatu mwaka 2020. Kama mtu mwengine yoyote hii ilikua ndoto tu ambayo kwa Rehema na Baraka za Allah ilibidi itimie. Kwa Baraka zake hizo mimi na wenzangu tunashkuru sana sana kwa kuweza kulikamilisha hili.
Shukran za dhati ziende kwa Doris Mollel ambaye kwa msaada wa Sadam ‘Almando’ Sanare alinimbia Doris anaweza akatu unganisha na mmoja wa wasaidizi wake ili tuweze kuona kama tunaweza pata hii nafasi, na kama ujuavyo, mengine yote yamebaki kuwa historia tu tena, maana yametimia.
Mimi kama wewe tu, shabiki nambari moja wa Jakaya Mrisho Kikwete na kukutana naye, kukaa naye chini na kuweza kumuuliza maswali tuliyokua tumeyaandaa (kwa muongozo wao) ilikua raha isiyoelezeka. Mzee charming, mwenye roho nzuri na muelewa kabisa. Mengine yalofuata baada ya hapo ndo ambayo utayaona au kuyaskiliza katika maongezi yetu haya. Mengi yalikua ni juu ya yeye alivyokua na uelewa wake kwenye mambo mengi. I wish tungeweza kuongea nae kuhusu masuala meeengi zaidi kuhusu kiila kitu ila ki ukweli hii inatosha kwa sasa na Mungu atajaalia tutakutana naye tena siku nyengine In Shaa Allah.
Mheshimiwa JK aliongea nasi kuhusu Wazazi wake, elimu, uelewa wake wa mambo, yeye kuwa mwanajeshi. Jinsi alivyokutana na Mama Salma. Historia ya nyuma kidogo kuhusu mapenzi na jinsi Marehemu Mzee wake alivyomtaftia mke na kuzaliwa kwa mtoto wake wa kwanza ambaye ni Ridhwan. Kuhusu kitabu chake, mapenzi yake na basketball na muziki. Pia Kobe Bryant na mapenzi kwa wajukuu zake.
Kama ilivyo kawaida yetu, yangu matumaini utapata kadhaa humu ya kukufunza jambo. Na napenda kuchukua nafasi hii kumshkuru kila mtu ambaye alisaidia hilo kutimia na zaidi team yangu yote ya ‘YahStoneTown’ ambayo ilifanya kazi iliyotukuka kukamilisha hili.
Nikutakie Kheri ya mwaka mpya na kila lenye Kheri nawe.
Enjoy.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Пікірлер: 703
yaani Mungu kweli anasikia dua, niliwahi kutamani sana nikutane na mzee nimshauri aandike kitabu, imagine (you can't easily believe this), and now he's doing exactly as I wished, asante sana mzee nakisubiri kitabu kwa shauku kubwa sana.
@masalakulwa7601
3 жыл бұрын
Yaan mtu baki umshauri aandike kitabu? Unajua jk ni msomi? Msomi mwanasiasa? Hehee tupishe sie
@amoskagika8884
3 жыл бұрын
@@masalakulwa7601 kwahiyo msomi hashauriki, au ukiwa msomi wewe unakuwa unajua kila kitu???
@masalakulwa7601
3 жыл бұрын
@@amoskagika8884 kuna vitu vya kushauri..kwanza Rais ana washauri ..eti umshauri msomi aandike kitabu😂😂😂....ni km umshauri msomi ajisomee
@pili3750
3 жыл бұрын
@@masalakulwa7601 😁😁😃😃
Yani navyompenda baba JK hata la kucomment sina nimerudia 1&2 mara 2... Very humble mashaallah Allah amtunze 🙏🏽
A great honor to have a chance to interview such a great man may you be blessed more than what God gave you ur the best salama
@georgemkonge3031
3 жыл бұрын
@gemailPure
@CheupeEceJay
3 жыл бұрын
Amin kwa sote, Shukran Faraja
Oh my God. How did you manage to get the President. Yaani hii comment naindika huku nime pause video kwa maana imenichukua muda kuamini. You are the best who ever did it.
@allpotentials8420
3 жыл бұрын
Boss salama c mtu wa kawaida Huyu dada,,sio interview tu hata birthday party yake iliyopita JK alikua mgeni mwalikwa kwa hyo nadhani suala la interview ilikua ni normal tu.
@greatiq7835
3 жыл бұрын
Huyo ni muandishi makhsusi. Anathamini na kuitendea haki tasnia aliyo ichagua. Kubwa zaidi ANAJIAMINI!
@mactongathe179
3 жыл бұрын
DAH HADI NMEKOSA NMSEME NINI WE jamaa umekamata bandle kwa muda na hii comment ! Salama ni Tishio la Program na Interview
@CheupeEceJay
3 жыл бұрын
Anything is possible just dream big and work at it, Allah hubariki. ♥️
@greatiq7835
3 жыл бұрын
@@CheupeEceJay Perfect!
Salama: Kwanin tunakupenda? Jk: Hilo waulize hao wanaonipenda🤣🤣🤣. Salama: Lakin unajua km tunakupenda ? Jk: mm sjui bhanaa 🤣🤣🤣 najua tu hamnichukiii 🤣🤣🤣.
@chale0ify
3 жыл бұрын
Kwenye hip-hop tunaita punch lines
@hemedykiboko2650
3 жыл бұрын
😂😂😂mzee makini
@hemedykiboko2650
3 жыл бұрын
Kwa sababu Sina ushahidi wa kuchukiwa
@ramadhanikibenga6317
3 жыл бұрын
@@hemedykiboko2650 Yaani ana hekima sana na busara pia
@bongoupdates26
3 жыл бұрын
Salama: Kwanini tunakupenda? Jk: Hilo waulize hao Wanaonipenda🤣🤣 Salama: Lakini Unajua kama tunakupenda? Jk: Mimi sijui bhanaa🤣🤣najua tu hamnichukii
Salama hii interview, walau iwe na Parts 5 hvi, kuna mengi sana ya kusikia toka kwa mzee wetu huyu
@noelmarapachi1808
3 жыл бұрын
Yeah, Hasa yahusuyo Presidency yake!
Walaah tunampenda sana kwaajili ya Allah hilo halina ubishi, he is very humble walaah ❤❤❤❤🇹🇿🇨🇭
Kweli muheshimiwa alifaa kuwa kiongozi mfano wa kuigwa, nmemsikiliza sana nilichojifunza ktk kwake ni msikivu sana nmependa
@georgedaniel3911
3 жыл бұрын
@Zawadi Issa wakuda hawa poti mabongo wengi masnich.
@josephgomalo41
3 жыл бұрын
ALISHINDWA KTK KUPAMBAN NA MAFISADI TU .. ! Haitoshi kuwa mpole na mnyenyekevu.. alitakiwa awashughuklikie hao pia..!
You are the most blessed talented wise ...interigent .... president ever......long live Mr President ......the love of Tanzanians..........
Nice Speech From Former President Mh:Jakaya Mrisho Kikwete!!! Nimejifunza Kitu and also I like the way he answer the Question, He answer question By using more knowledge
WE LOVE YOU JK , WE HAVE MISSED YOU BIG TIMES
My lovely presidaaaa! Of all the time! Love you Mr president Jakaya Mrisho Kikwete!!!❤
One day ill be president of this country and i want to be like him. Sincerely i love this man so much he is a very good and kind man i picture my dad kila nikimuona. Thank you dada salama for a nice and professional interview. We love you keep going mami. 👍
Leo nimejua mengi. Nili guess tu atakua kafanana na mama. Watoto wengi wakufanana na mama hua cute
Baba Kikwete naikumbuka nyongeza yako ya mshahara ya mwisho nilijua baada ya miaka 5 nitakuwa mbali ,lkn baba you are done with leadership du!!
@J4UPro
3 жыл бұрын
Unafikiri Ingekuwa kama unavyofikiri yaani tokea kipindi kile Watu waongezwe mshahara kila mwaka mpaka hivi leo itakuwa vipi mkuu!
@shamimushittindi1418
3 жыл бұрын
Kwa sadala
Nmemiss Sana rais wang jakaya thanks salama kwa kutuletea leo
Our very own Obama ❤️
Jk anaongea mpk una hisi muda hautoshi yani katika interview zote za salama na hii naona ndio interview fupi kuliko zote it's been a long time since retirement of this great man
@hamzaalawy6694
3 жыл бұрын
Kiukweli muda haukotosha hata kidogo
@allymtamilwa6899
3 жыл бұрын
ni kweli muda ni mdogo kabisa
@vicentmtoni1728
3 жыл бұрын
Hii ndio nimeingalia yote lkn nyngne ukiangalia kdg unaacha.
@henrymulisa6367
3 жыл бұрын
We mzee nitakukubali muda wote..huna stress kwakweli
Man of the people.. Watu walikuwa na maisha na nchi ilienda..Raisi mzr
Katika interview zilizopita na kutazamwa hii ni super interview congratulations #Salama_Jabir
Congratulations Salama. & big up to you for good interrogation with ma Beloved Honorable Rtd President JK 2005/15. I REALLY APPRECIATE HIM. GOD BLESS HIM ALWAYS
Namkumbuka sn huyu mzee alikuja shuleni kwetu nyamongo sec akanipa mkono na hela pia enzi za urais wake
"The guy" is so Cool! So, Gentle! So Wise!
Wanajeshi wanakukumbuka sana tuu, hususan kwenye mambo ya nyongeza 💸💷💶
Huyu ni mtangazaji wangu bora katika mwaka 2021 na mzanzibar pekee kwenye tathnia ya utangazaji aliye fanikiwa kumhoji rais mstafu wa awamu ya nne jk nime penda tena nime penda sana kiukweli haswaaa
@godfreypaulo8355
3 жыл бұрын
Tena kumshawishi mtu kama huyo kuja kijiweni kwako unapopigia story niatua kubwa, wengine wangemfata lugoba
@godfreypaulo8355
3 жыл бұрын
Tena kumshawishi mtu kama huyo kuja kijiweni kwako unapopigia story niatua kubwa, wengine wangemfata lugoba
Very good and blessed interview. Sichoki kuisikiliza hii interview. Nzuri sana. Tumejifunza mengi. Huamini kama mtoto alokuwa akijificha kwa jirani kukimbia shule, later akawa President. Well done bit Jabir. Insh utuitie na Mzee wetu Mwinyi one day. Hongereni sana.
So humble nd intelligent in tackling Aljabry's questions.
@plaxedanakazwe2944
3 жыл бұрын
Amuite na bwana magu sasa
Kama mstaafu anaruhusiwa kugombea tena, nitapiga kura mara 20
@josephgomalo41
3 жыл бұрын
Ili muendelee kupishana angani na tembo waishe? Huyo mzee anafaa kwenye kupiga stori na usuluhishi lakini katika utawala hafai.. aliwaacha wafisadi wafanye wanavyotaka huwezi kuendelea hivyo. Magufuli kawafunga wachina na wahindi. Kwani huyu mzee alikuwa hawaoni..?? makinikia yaiibwa alikuwa hajui au haoni?
@sado3086
3 жыл бұрын
@@josephgomalo41 magufuli ni nani?
@rajansharky3386
3 жыл бұрын
@@josephgomalo41 unaongea kwa emotional, dig well huyu mzee ni kiongozi
@abbyjma7355
3 жыл бұрын
Hata Mimi akigombea Nampa kura Kama zoteee
@mayanimlingwa1376
3 жыл бұрын
Nimesoma comment nyingi ila n wewe tu ndio nimekuona w tofauti mtoto wa hitler
Kiongozi wa maana sana huyu...i wish angerudi tena ofisini he's a shinning star. Just adorable
Salama na timu yako nzima ni watu makini sana ila nakuakikishia huyu mzee ameisha fungua njia ya hiki kipindi kuaminika na kuwa kikubwa zaidi na wata kuja watu wazito zaidi wengitu.
@hamedabashir9
3 жыл бұрын
Hata jpm utuletee salamu km unaruhusiwa 🙏
@zuleikhakhamis3303
3 жыл бұрын
kabisa hongera kwake team salama sio yule mpuuzi wema sepetu ata amualike hatoenda kwa ujinga aloufanya kwa yule mkwe wake wa hadithini mama kanumba
@godfreypaulo8355
3 жыл бұрын
@@zuleikhakhamis3303 mpuuzi yule hana tim inayomuongoza, unaona salama hajauliza maswala ya kisiasa anajua ataribu.
@williamuphilipo7447
3 жыл бұрын
Fact
@janestanslaus2517
3 жыл бұрын
Wazito zaidi? This is as heavy as it gets fam. Its going to be hard to beat.
Mzee kikwete yupo peace sana,,,,we love you so much,,, hongera sana Salama kwa kipindi hichi unachozidi kukiongoza
Great interview with a Great leader. JK kweli ni kiongozi- msikivu makini, mnyenyekevu, mkweli & mwenye upendo kwa watu. Tunasubiri hicho kitabu chake. Namtakia maisha marefu ili tuendelee kufaidi nasaha zake.
@josephgomalo41
3 жыл бұрын
makinikia na tembo waliisha. WHY? UNYENYEKEVU NA MAFISADI ?
Kazi yako safi Mr JK ... Thanks for your service .... Mungu aendelee kukulinda ...
Mungu ampe maisha marefu ya afya njema mhe Rais wetu mstaafu JK. Ninamshukuru Mungu kwa neema zake na namshukuru sana kwa imani yake kwangu na kwa viongozi wenzangu. Nimejifunza mengi sana toka kwake. kuna msemo wake ule" Muongo mwongoze". Ninaupenda sana. Barikiwa sana. Ageing gracefully and handsomely🙏🏼
Hahahaaaaa mimi nilikua nakwenda shule tu😆 ....hakika nimefurahia sana majadiliano haya
Raisi mstaafu mwenye upendo wk kwa waTz na mwenye Swagazzzzzzzzzzz zake big up Salama kwa interview nzuri🔥🔥🔥🔥
Kweli mtiifu hufaidi tumejifunza mengi hongera sana Mr.JK tunasubir hiko kitabu 🔥🔥🔥
Very humble, God bless you Daddy
very humble father almighty GOD bless him..stay safe
Salama leo huna uhuru wa kucheka jaman pole ila Asanteeni sanaa kwa kipindi kizur
@abbyadams8691
3 жыл бұрын
Hapo pembeni kuna usalama wa Taifa.Hata ivo kajitahidi sana. Big applause for her🙏🙏
JK still handsome in his old age
Kweli umelitendea haki jeshi mzee wangu sikupingi
Nimeamini mungu anamtoa mtu mbali sana,Mungu akubariki sana Raisi wetu Mweshimiwa Dr Kikwete.
Rais wangu bora wa muda wote Mungu akupe umri mrefu JK Aamin
Allah tujalie tupate rais mwenye upendo na watu wake kama huyu..Allah akujaalie mwisho mwema Amiin
@ahmedzahor2975
3 жыл бұрын
Kweli upendo? Mashekhe wetu mwaka wa nane wapo Jela bila la kosa lolote
Sijawahi kulike wala ku-comment ila Leo nakupa big up Salama
YahStoneTown: Salama na JK is the best interview. Sidhani kama itatokea zaidi ya hii!
I wish we could give you 10 years more. 10 yers tena. Such a magnitude of humility. Viongozi wetu wajifunze kutoka kwa hawa wastaafu na waache kuwakataza kuongea na watu baada ya kustaafu.
@saidnondo2623
3 жыл бұрын
the best way y ]
@bibletv9818
3 жыл бұрын
Unasema?
@amanielastariko6722
Жыл бұрын
Mmmmhhh hapana Ile ilitosha bwanaaa😂😂
Nimejifunza vingi...kikubwa siyo mtu wa kujikweza JK! Angekuwa mwingine ungesikia nilikua mzuriii sana Shulen,Jeshin au ktk Basketball...ila Mzee yupo Humble
@hamedabashir9
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣😂Kumbe umeliona 🤣🤣🤣🤣😂😂😅
@hemedykiboko2650
3 жыл бұрын
Ameulizwa ulikuwa focus Sana wakati wa shule? Akasema Nilikuwa naenda shule😂😂😂
@wazirituppa6739
3 жыл бұрын
Mwengine Kama Yupo 😂😂😂
@masalugusessa3702
3 жыл бұрын
@@hemedykiboko2650 aliposema hivyo walahi nilijikuta nacheka tuu
Jk umefundwa uongozi , umelelewa katika uongozi na ukaiva katika uongozi. Umejaa hekima na busara nyingi Sana . Mtu wa watu ,mwenye upendo wa dhati na watu bado wanakupenda . Haijikwezi . Unaongea kama mtu wa kawaida fawaida japo kuwa ni kiongozi mkubwa Tena Uliyepitia nyazifa nyingi Sana. Umekuzwa kisiasa . Na siasa ipo kwenye kinywa chako. Nilichokipenda kikubwa kurudi kuishi kijijini kwenu licha ya kwamba una uwezo wa kuishi popote upatakapo .
@hkmkuu8698
3 жыл бұрын
💯
@greatiq7835
3 жыл бұрын
Hujo "Jamaa" amekokea kila secta. Ukianzia na secta kuu ya utambuzi wa tabia ya mtu.. Secta ya MAADILI MEMA! Yuko vizuri sana kwenye hiyo secta
he talks the life........ such a great man
GOD bless you Sir! Great interview dada Salama👏
@ramadhanikibana9867
3 жыл бұрын
Uchuro uo hahahahahah mr przdn
Kikwete ana vitu vitatu nimevichukua 1.kikwete ana nidham. Nidhamu yake iko kila mahali shuleni, kazini na hata kwa jamii 2.kikwete hana tabia ya kujikweza kabisa japokuwa ana mambo kayafanya ambayo wengine wangejikweza 3.kikwete ana subra sana. Tuchukue mfano mzur wakat anamhitaji mama salma
Kipindi kimekua kikubwa hongera sana sikutegemea km utakua unaalika mpk watu wazitoo hvii tunajua mengi kuhusu viongoz wetu big up kwenu salama na (teamwork)
Daaah mzee wa msoga, Mungu endelea kumweka huyu baba, tufaidi busara zake.
The Guy was president for 10 years and He was Minister for more than 15 years the guys kafanya kazi na marais wote lakin pia kafanya Kazi na Current president. ........ naona kama kuna haja ya Interview nyingine. Anyway nakupongeza sana kupata chance ya kumleta kwenye kipindi.
Favorite! We got a president in him!
Mzee anamuelewa Chris Brown pia. #TeamBreezy 😂
Hongera sana Salama, that was the best! Na Mr president mwache tu aitwe Mr president.. so smart man!!💪🏽🙌🏽🙌🏽
I've never commented on any KZread pages but it's a good interview😍😍😍
My roll model wachache sana tulio hivi like father kikwete nakukubal sana mzee wangu
Dah Salama ni noma, Mheshimiwa Jakaya ni very humble person, this is the best interview aisee. I like every second of it.
Japo watz hatupendi kusoma but kitabu cha JK I can’t wait, he inspires me a lot 👏💪🙏
Salama kudos... good interview and a lot to learn. Soldier on 👌🏾👌🏾💪🏾
Salama Allah akubariki. Mimi nishabiki wako katika vipindi vyako. Kiukweli nakupenda sana ikiwa kwenye majukwaa ya vipindi vyako.
Siku Moja Nataman sana nikutane na Salama Jabir Nikupe Hongera Zako Nataman sana Ningekuwa mtangazaji niwe Kama ww
Salama hongera kwa interview nzuri na mhe rais JK lkn nina maoni kidogo hapo mwisho ulikuwa ukipromote kitabu chake.... anyway nimeenjoy!!!
@CheupeEceJay
3 жыл бұрын
Sure, ASANTE. Hakijatoka lakini na bila ya shaka tutakiskuma kikishatoka In Shaa Allah, oh maybe he will come in to do just that? 🤔
Salama daaaaaah WEWE NAKUKUBALI Sana leo kwenye salama na umetuletea kikwete salunti kwako
Hiyo nimeipenda waulize wanaonipenda
Hongera sana salama,Mh. JK nimejifunza mambo kadha wa kadha. Interview imekaa poa kweli kweli....!!
Much love to my presida..Allah akupe umri mref!
My love for JK ❤️is way too much I can take bullet for him meennnn This man is incredible 💪🏼
Interview nzuri sana MUNGU AKUJAALIE KILA LA KHERI MH. MRISHO JAKAYA KIKWETE NAKUPENDA SANA
@enisaswilla494
3 жыл бұрын
Nice
@enisaswilla494
3 жыл бұрын
.
Salama asanteee kwa Kaz yako nzr,,,,Mungu ajarie siku moja utuletee na Magufuri itapendeza Sana✍️
I can't wait to see this book 😍
Asante sana salama na JK 👏👏👏
Our lovely dad💕💕💕 God bless you.
This is best interview Salama... I love this man😍
Interview nzuri na kitabu tunasubiri cha muheshimiwa mpendwa
Nimefurai sana jmn hongere salama kutyuretea mweshimiwa musitafu mashallah 🤗🤗🤗😍😍😍❤️
I love everything about this show..keep it up Salama..long live JK
Salama Umeogopa Sana Kuulza Maswal Ambayo Tulitegemea Ila Tumefurah Kumuona Mpendwa Wetu Rais Mstahafu🙏
@yusufmohamed8874
3 жыл бұрын
Mawazo yetu yana fanana
@samyjohn2389
3 жыл бұрын
Remember he is the prev president so lazima wasaidiz wake nao wareview the questions, huwez anza muuliza maswal ovyo ovyo tu
@catherinemoshi4347
3 жыл бұрын
@@samyjohn2389 on point
Nimependa Mh kuunganisha majina ya babu zake wote na kuyatumia yote, i like it sana sana....i wish niige yan hata kama sio kwangu basi kwa mwanang
Hongera sana Salama na Mheshimiwa Jakaya Kikwete excellent interview kama vile Baba na mtoto wake Big up
Much love my uncle god bless you😙😙😙
Anyway! Asante Salama Kwa Interview hii. I would Swap Kikwete as the President in Tanzania 100 Times over!
@emilianashayo5978
3 жыл бұрын
Me too
Yaani ile kuona clip za Walkt-into studio nkajua tu huyuu ni MZEE JK, But NIMEPENDA Salama anavomuita BABA. Asante TENA SALAMA, Umeuliza maswali 60% nngepata nafasi ya kumuona huyu BABA nngeuliza pia. (SECRET BEHIND HIS SMILE) hua naitafta sanaa. KEEP MOVING NIMEKOMA KUKUFANANISHA NA YEYOTE DUNIA HII SALAMA. DAH..!
The president i never hate him because he was charming allah bless you.
Congratulation dada salama nakipenda sana kipindi chako asante pia Kwa baba yetu bado tunaushi na nasaha zako mungu azidi kukuongezea miaka mingi tuzidi kufrahiya uwepo wako baba 🥰🥰
BIG UP HON. J.K TUNAKUTAKIA MAISHA MAREFU NA YA FURAHA, UMENIKUMBUSHA JABAL ABDUL KAREEM KWENYE BASKET BALL, NA ALICHEZA FILAM YA KUNGFU NA BRUCE LEE MIAKA YA 70
We are humble to have you here H. E JK
Salama kama hujamtendea mzee haki maswali kama mepesi mepesi sana
He is so smart kwakwel 😍
Rais Bora kuwahi kumshuhudia ktk nchi yetu Mungu azid kumlinda
Leader Legend Papa
ThankS Salama Kwakutuletea mzee wetu🙏
Salama Next Interview Fanya Na Mzee Mwinyi Tupate Hazina Zao Wazee Wetu Hawa Wa Nchi Yetu Wenyewe...!!!
@pendomarco8928
3 жыл бұрын
Baba mstaarabu Sana huyu
The man is too real aiseee... Nimefurahia Sana interview
@abelmshanga7519
3 жыл бұрын
Sasa ivi chamoto tunakiona jk kweli alikuwa rais mwema sasa ivi tunapelekwa kama bora twende
Very proud my President ,🎉
Nakuelew sn Mh Kikwete Salama upo good pia kwa midaalo unayoiongoza