JK Afunguka Lowassa, Kinana na Rostam Walivyomshawishi | Aelezea Mchakato wa Kugombea Urais

Rais mstaafu wa awamu ya nne Jakaya Kikwete akieleza namna mchakato wa kugombea Urais ulivyoanza 1995 mpaka aliposhinda 2005

Пікірлер: 228

  • @user-xh1pp3ic5l
    @user-xh1pp3ic5l4 ай бұрын

    Unafiki

  • @machaggechacha3422
    @machaggechacha3422 Жыл бұрын

    Mafisadi watupu.! Laaa! Tz kuna shida.

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi7916 Жыл бұрын

    jk hakuwa na interest na Urais!! that is new revolution ..This man has been running for president all his life..

  • @TM-zs3rm

    @TM-zs3rm

    4 ай бұрын

    Tell him. Mpe

  • @abuumohamed7090
    @abuumohamed70904 ай бұрын

    Ur the best president than ever in tz.Very diplomatic person

  • @sambayo2440
    @sambayo2440 Жыл бұрын

    Ila uzuri aliwakumbuka washkaji zake wote samweli sita akalamba uspika alf lowasa akalamba uwaziri mkuu

  • @ernestsamson2761

    @ernestsamson2761

    Жыл бұрын

    Sitta mpaka anakufa alilala bila kumpenda jk ...awamu ya jk sitta alipaswa kuwa Waziri Mkuu ...walichokifanya nikumuandaa msekwa achukue fomu ya uspika ...ccm wakamwambia angalia mkapa anataka kudhibiti bunge na hakuna anaemuweza katka uspika Zaid Yako samwel ..imebakia mda mchache msekwa akajiuzulu sitta akapita bila kupingwa na hapo hapo akaikosa nafasi ya pm Kwa ujanja na ndio maana ili kulipiza aliamua kuweka bunge live kabsa na kuwapa wapinzan info za Siri

  • @marthamungure1777

    @marthamungure1777

    4 ай бұрын

    Kwa Lowasa alimkosea kutokumsimamia alipotaka uraisi baada ya yeye kumsaidia

  • @Munyama675

    @Munyama675

    4 ай бұрын

    ​@@marthamungure1777Alimpa cheo UWAZIRI MKUU. Hayo ya Urais ni mengine na sio Husani.

  • @TM-zs3rm

    @TM-zs3rm

    4 ай бұрын

    Wakapeana.

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Жыл бұрын

    Jembe kama Jembe, JK, wengi tumemfaham Magu kupitia awamu ya JK kwa usimamizi mzuri wa Miradi ya Barabara, naona Wakimbizi Wana chuki na JK

  • @TM-zs3rm

    @TM-zs3rm

    4 ай бұрын

    Danganyifu.

  • @HenriHSP
    @HenriHSP Жыл бұрын

    Only Magufuli forever

  • @charleschanai601
    @charleschanai601 Жыл бұрын

    One among the best story teller ni mzee JK🙌..HACHOSHI KUMSIKILIZA

  • @juniornamao527

    @juniornamao527

    Жыл бұрын

    Kbsaaaaa

  • @jdanny497

    @jdanny497

    Жыл бұрын

    Mnafiki huyu

  • @jdanny497

    @jdanny497

    Жыл бұрын

    Watanzania mnapenda unafiki,the worst president ambae ameshawahi kutokea Tanzania

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    Жыл бұрын

    @@jdanny497 sasa tukuone wewe Rais Bora , ukawe Rais,,,

  • @gebborecords

    @gebborecords

    Жыл бұрын

    @@jumakapilima7295 Uraisi ni kazi nyepesi saana ( Ukijua Haki na Ukasimamia Haki ) na ( Ukijua Kuna Mungu Mbinguni aliyekupa nafasi ya Kuongoza ) _ mambo Hayo ni mepesi saana kuyafanya kwa Rais ....fuatilia uone utekelezaji wake UTASHANGAA

  • @karaoglan9444
    @karaoglan9444 Жыл бұрын

    Mtu pekee aliyekubali uwazi na ukweli kwa VITENDO!! Hakuna ubishi kwamba ukweli wake na uwazi haukuwa na mfano!!

  • @alishamlan7434
    @alishamlan74344 ай бұрын

    One in amillion one of the presidents i admired in ma lyf time.TZ are blessed to have honest and open leaders

  • @user-pp9vz1kv9x
    @user-pp9vz1kv9x4 ай бұрын

    King of mind games🙌🙌

  • @ameedamilja7992
    @ameedamilja7992 Жыл бұрын

    Ila Rushwa na Ufisadi ulizidi sana kipindi chako mpaka tanzania ikokasa Dira ya heshima na watu wanyonge wasiokuwa na rushwa waaliipata fresh. Pia ngetuambiwa mlikosana nini na Lowasa wakati mkulikuwa marafiki.

  • @othmanjumankwabi4150

    @othmanjumankwabi4150

    Жыл бұрын

    Sio vilizidi kulikuwa uwazi kutokana aina ya serikali yake.Transparent

  • @othmanjumankwabi4150

    @othmanjumankwabi4150

    Жыл бұрын

    Ukajua madudu.Awamu 5 haikuwa na mfumo kama Awamu ya 4 na 6 kuna Uhuru wa habari

  • @ramadhanimtetu3656

    @ramadhanimtetu3656

    9 ай бұрын

    Kwani Utawala wa Magufuli hapakuwa Rushwa na Ufisadi

  • @simionbirai7851
    @simionbirai7851 Жыл бұрын

    Unastahili sana Mzee Kikwete! Una hekima na busara sana!!! Hauna makuu!!!!

  • @issabilali3539
    @issabilali3539 Жыл бұрын

    Kikwete Acha uongo wewe uliufukuzia urais siku nyingi sana na kwanza Huna uwezo wa kuongoza nchi zaidi ya kufuja pesa za walipa kodi.

  • @johnriwa2854
    @johnriwa2854 Жыл бұрын

    Bless you sir you did a good job

  • @user-bg5ky2dj1i

    @user-bg5ky2dj1i

    4 ай бұрын

    Wewe ndio baba usio nauonevu namtu

  • @massive1765
    @massive1765 Жыл бұрын

    Hiyo list anayoitaja ndio ilifilisi nchi, na ndio imerudi awamu hii

  • @smarty1064

    @smarty1064

    Жыл бұрын

    ohooo!

  • @damianlyimo5782

    @damianlyimo5782

    Жыл бұрын

    Tafuta Hela ww akina rostam ni matajiri kabla hata mwinyi hajawa rais

  • @yunusimchala6569

    @yunusimchala6569

    Жыл бұрын

    Grace misa kwani watoto wao hawana sifa? Somesha watoto wako mjinga ww mbona Kuna watoto wengi WA viongozi Duniani na wao ni viongozi? Kenya, marekani, Korea, zanzibar nk

  • @malopemaliyamungu5243

    @malopemaliyamungu5243

    Жыл бұрын

    Acha ujinga.. Heshimu angalau wakubwa. Kikwete, Kinana, Lowasa, Makamba, Nnauye na wengine wengi walikuwa JWTZ. .. Hawaishi kwa mihemko yenu.

  • @geeva99
    @geeva99 Жыл бұрын

    Kwanini msiweke hii full kabisa kama millard ayo watu tunataka kudive deep

  • @marthamungure1777
    @marthamungure17774 ай бұрын

    Mlimwonea Lowassa

  • @rockcitynative9985
    @rockcitynative9985 Жыл бұрын

    Hizi habari za kuwa ilishinda kura za CCM mwaka 95 uwe rais Mwalimu akakataa nilikuwa nikizani si za kweli. Kumbe njama za kusema mshindi lazima awe na zaidi ya 50% zilitengenezwa baada ya kuwa umemgalagaza Mkapa na bado ukatulia tu Urais wakapeana wenye!? Big up sana JK.

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm4 ай бұрын

    Waarabu wanajuana kwa vilemba. Huwezi kujisafisha kijanjakijanja. Listi hii ni yenu wote. Wakati mwingine roho zinatusuta tunadukumwa kufichua mamno fulani bila kujielewa . Tumejianika wenyewe hapa.

  • @abdallahwazir7466
    @abdallahwazir7466 Жыл бұрын

    M/mungu akuweke sana mzee wetu ww ni hazina yetu Tanzania 🤲🏾

  • @shamsakiobia6421
    @shamsakiobia6421 Жыл бұрын

    Nimekumiss sana my dear Rais wangu mstaafu.

  • @kindysuleiman5935
    @kindysuleiman5935 Жыл бұрын

    Kikwete anajizonga mwenywe waziri haulizi kitu bila ya kujua waambie wasiojua system yenu

  • @TM-zs3rm

    @TM-zs3rm

    4 ай бұрын

    Ni kweli. Roho inamsuta.

  • @zachariakejo2563
    @zachariakejo2563 Жыл бұрын

    Ndo mana unazeeka taratibu manake mungu amekujalia busara, hekima na hata utu

  • @Edumastermind01
    @Edumastermind014 ай бұрын

    My favorite president

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu Жыл бұрын

    Kikwete Anatakiwa Amwone Lowassa amwombe Msamaha walivyomtukana 2015 na Kumdhalilisha tena juu ya Ugonjwa ki2 ambacho Ni Uovu, Hakujitakia Kuumwa. Mr. President What Yall did to Lowassa Was evil, regardless of whether he wronged you at one point or not, the insult should not get to a point Yall called him, "MFU MTARAJIWA"

  • @user-yh3gk4fg1b
    @user-yh3gk4fg1b4 ай бұрын

    WW mzee uko makini sana yaan your smart kuliko unachokiongea I believe in God uwezo ulojenga ktk watanzania one day Yes mungu ataurudisha ktk familia na rafiki

  • @trig5623
    @trig5623 Жыл бұрын

    Nyoka huwa ni nyoka. Tu hawezi kuwa samaki kwakupitishwa baharini....

  • @user-lx8ep6zm6e
    @user-lx8ep6zm6e4 ай бұрын

    Comment za wanafki tupu wanosifia upumbavu,watanzania ni wanafki wa kwanza duniani

  • @AndrewKombe-ie9nf
    @AndrewKombe-ie9nfАй бұрын

    Yes

  • @ramadhanikipande356
    @ramadhanikipande356 Жыл бұрын

    Mwambie mama alipe MADENI ya wanaoidai serikari ahadi zimekuwa nyingi

  • @mhandomhina5503

    @mhandomhina5503

    4 ай бұрын

    Kuna awamu ambayo haikukopa? Je wajua awamu ya tano ndio awamu iliyokopa zaidi ya awamu ya tatu na ya nne na takwimu ziliwekwa wazi na wachumi Ni mara mbili ya kila awmu ya tatu na nne yaani (3 na 4 jumla ya deni 85% halafu ya 4 pekee 75% kwa miaka sita kasoro Kisha tuliaminishwa serikali haikopi. Big up Magufuli kwa uthubutu na usimamizi mzuri wa pesa za serikali kwny miradi na nidhamu ya ufatiliaji hakika hana wa kulinganishwa naye katika hili ila naye alikuwa muenezi mno.wa yeye hakopi.

  • @rahmambugi1950
    @rahmambugi1950 Жыл бұрын

    Yaaani sichoki kuku Sikiliza 🙏

  • @hajiameir8688

    @hajiameir8688

    Жыл бұрын

    Kikwete mshauri mama atuondolee kikokotoo kwani sisi wastaafu wa polisi tunaumia mzee

  • @machaggechacha243
    @machaggechacha243 Жыл бұрын

    Mwizi na fisadi la karne hii. Kafilisi Tz.

  • @focuserick6162
    @focuserick6162 Жыл бұрын

    Jangiri kuu

  • @marthamungure1777
    @marthamungure17774 ай бұрын

    Huhitaji kujieleza sana. Unajulikana uliyoyafanya

  • @TM-zs3rm

    @TM-zs3rm

    4 ай бұрын

    Anajikosha

  • @hamisipolenisanaissa8859
    @hamisipolenisanaissa8859 Жыл бұрын

    Hongera kwa

  • @johnandrewmsigala7803
    @johnandrewmsigala7803 Жыл бұрын

    Mmm!!! Unadanganya. Wewe uliutaka sana urais ndiyo maana Mwl Nyerere alikukataa alijua nchi italiwa ukakwama kulikuwa na Sakata sana kubwa la kukukataa kule Chimwaga wewe na Lowasa na Malecela. Awamu ya nne ukalazimisha kuwa rais kupitia wanawake.

  • @Munyama675

    @Munyama675

    4 ай бұрын

    Kuna Rais alileta maendeleo kumshinda JK?

  • @saiddelefa1749
    @saiddelefa1749 Жыл бұрын

    Ndio maana mm nasema nikifa historia yangu isisomwe kabisa wakaushe haisaidiii kabisa

  • @sampaconnector2845
    @sampaconnector2845 Жыл бұрын

    “Edward is sick” that one was so emotional.

  • @halifajuma545
    @halifajuma545 Жыл бұрын

    Huyu Ana haribu inchi kabisa inchi tajitri lakini watu masikini

  • @ziadakandanga2477

    @ziadakandanga2477

    Жыл бұрын

    Ameharibu kwani yy ametawala tangu nchi ipate uhuru,au unaongea kwa sifa

  • @paulinekamau9633
    @paulinekamau9633 Жыл бұрын

    One of Africa’s best presidents

  • @mikaelikamili3108
    @mikaelikamili3108 Жыл бұрын

    wapi uongo uo raisi alikua jpm we janjajanja

  • @MathewNathan-yb2bz

    @MathewNathan-yb2bz

    4 ай бұрын

    Jpm alikuwa rais gani

  • @marthamungure1777
    @marthamungure17774 ай бұрын

    Anayefanya vizuri anasemewa na watu

  • @TM-zs3rm

    @TM-zs3rm

    4 ай бұрын

    Ye anajitangaza. Na kujitembeza.

  • @ramadhanjuma3584
    @ramadhanjuma3584 Жыл бұрын

    Umeanza watanzania hawana imani na wewe hata labuda wanao kula kupitia mgongo wako

  • @user-qg5bq4sj9c
    @user-qg5bq4sj9c10 ай бұрын

    Unajua mungu anaona 😊

  • @TM-zs3rm

    @TM-zs3rm

    4 ай бұрын

    Anauona uongo hapo.

  • @fredrickallan5437
    @fredrickallan5437 Жыл бұрын

    Baba yetu mzee kikwete mungu akutunze uishi miaka mingi sana na familia yako.

  • @zainabmapezi5730

    @zainabmapezi5730

    Жыл бұрын

    Ana roho nzuri ndio maana mpaka leo anaishi kwa Amani Hana maadui wengi. Wengine wakistaafu tu pressure zinaanza kutokana na uadui walioujenga wao wenyewe. Maisha yanakuwa mafupi.

  • @valenakomba7686
    @valenakomba76864 ай бұрын

    HADISI ZA ABUNUWASI.😂😂😂

  • @TM-zs3rm

    @TM-zs3rm

    4 ай бұрын

    Sungura huyu

  • @NyakiMollel
    @NyakiMollel4 ай бұрын

    Tulikosea Sana Hii Nchi

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Жыл бұрын

    Makubwa wakati uligombea na mkapa Nyerer akakukataa kumbe alijua

  • @estermpagama9664

    @estermpagama9664

    Жыл бұрын

    Mungu warehemu Mwalimu na JPM wape wepesi familia zao wawe waja wema kama wazee wao

  • @feisal6592
    @feisal6592 Жыл бұрын

    Baba aslm shikamoo hakisio nzurii sikuku inakuja lakini haliningumuu mnoo

  • @jumakaoneka5456
    @jumakaoneka5456 Жыл бұрын

    Hongera mkuu wa nchi wa 2005 @ 2015

  • @jebace
    @jebace Жыл бұрын

    nguruwe

  • @ramadhanikhalfan848
    @ramadhanikhalfan848 Жыл бұрын

    Rais Bora kuwahi Kutokea katika Nchi yetu.

  • @zainabmapezi5730

    @zainabmapezi5730

    Жыл бұрын

    Mirada yote aliyomalizia Magufuli aliianzisha huyu.

  • @sambayo2440

    @sambayo2440

    Жыл бұрын

    Kabisa

  • @mvukiedavid4332

    @mvukiedavid4332

    Жыл бұрын

    People dont want to hear this

  • @eddysimba6829

    @eddysimba6829

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @aronatv47

    @aronatv47

    Жыл бұрын

    @@mvukiedavid4332 Kabisaaaa

  • @haridsaid6286
    @haridsaid62865 ай бұрын

    Sema huyu MZEE inaonekana kinana ni mwanae saaana

  • @juliuslabarani8575
    @juliuslabarani8575 Жыл бұрын

    Nimejifunza jambo ktk maisha

  • @user-qg5bq4sj9c
    @user-qg5bq4sj9c10 ай бұрын

    Tunataka latina mpya acha maneno meng

  • @tibubandar413
    @tibubandar4139 ай бұрын

    Kikwete bhana eti nimesepa😂😂😂

  • @tahiraabdul1701
    @tahiraabdul1701 Жыл бұрын

    Umecheza vizuri Sana Jakaya....safi sana

  • @TM-zs3rm

    @TM-zs3rm

    4 ай бұрын

    Kajifichua na wenziwe.

  • @hamzasukwa432
    @hamzasukwa432 Жыл бұрын

    Ningeshangaa kama ungemsahau Rafiki yako Sukwa.

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 Жыл бұрын

    Netwk/mtandao

  • @kiliankamota7922
    @kiliankamota7922 Жыл бұрын

    Jakaya Kikwete is larger than life celebrity leader A true son of African who rose from humble beginnings Tunaomba aandike vitabu vijana tujifunze kutoka kwake Nkosi sikeleli Kikwete!

  • @franciskavyega280

    @franciskavyega280

    Жыл бұрын

    😃😃😃😃😃😃😅

  • @peterlucas7246

    @peterlucas7246

    Жыл бұрын

    Hamna kitu hapo

  • @shinipapaya846

    @shinipapaya846

    Жыл бұрын

    @@peterlucas7246 umenifanya 🤣🤣🤣 na pia alienda Jamaica 🇯🇲 kube......a

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky10884 ай бұрын

    Mzee jk anajua kucheza na akili za Wtz.

  • @isayamsoka5590
    @isayamsoka5590 Жыл бұрын

    Channi hicho kitapeli aaah!

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825 Жыл бұрын

    Mwaka Ambao Ulitikisa Sana Ndani Ya Chama Moja Kati Ya Kitu Nakumbuka Ile Hotuba Yako Baada Ya Kutajwa Mshind Alaf Ukatoa Hotuba Nzto Ambayo Mpaka Baba Wa Taifa Akasimama Kupga Makofi

  • @TamuzaKale

    @TamuzaKale

    Жыл бұрын

    Alisema wafuasi wake ni wa MKAPA! Hakuna tena team JK!

  • @adelinaikombe9929

    @adelinaikombe9929

    Жыл бұрын

    MR President tunamkubali

  • @salehesalehe2967

    @salehesalehe2967

    Жыл бұрын

    Wasiokupenda wanachuki binafisi

  • @kianda973
    @kianda9734 ай бұрын

    Mmhh

  • @johnandrewmsigala7803
    @johnandrewmsigala7803 Жыл бұрын

    Mwongo huyoo du!!! mambo Gani unefanya zaidi ya kutumia fedha zote Rais Mkapa alizokusanya. JPM ndiyo kafanya mambo na nchi ikapaa. Nani kama MAGUFULI? RIP BABA MAGU

  • @Munyama675

    @Munyama675

    4 ай бұрын

    We jamaa ni CHIZI

  • @mbwanarajab4756
    @mbwanarajab4756 Жыл бұрын

    Tangu Samwel Sitta aachie madaraka , nafasi ya spika hadi leo ipo wazi tu

  • @eliassangisangi
    @eliassangisangi4 ай бұрын

    Mbwa loko

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Жыл бұрын

    Mzee wetu Rudi Basi ugombee Tena toka utoke rais wangu nchi imekosa mwelekeo the best president ever...MUNGU AKUTUNZE UISHI MIAKA MINGI SN.

  • @erickgadson1617
    @erickgadson1617 Жыл бұрын

    Duuu ume miss wa nawengi sana maana enzi zako tulijenga nyumba nakupata pesa kilahisi sasa hivi maji tuna yaita mma natamani nyakati zile zijirudie ila wakati umeenda

  • @abdibilali4186

    @abdibilali4186

    Жыл бұрын

    Nyumba yangu iliishia kwenye linta Toka alivyo Toka madarakani sijajenga hata tofali moja

  • @georgemassebu2083

    @georgemassebu2083

    Жыл бұрын

    @Erick Unafiki tu umewajaa, nyakati zake mlisema ufisadi umeshamiri na yeye anasafiri tu kutwa kucha, lawama na magazeti kipindi kile vilipata umaarufu, leo eti mmemiss, yaani wabongo bwana

  • @foyaalfa8837

    @foyaalfa8837

    Жыл бұрын

    Mwizi mwenzio mwehu

  • @masaimediagroup3146
    @masaimediagroup3146 Жыл бұрын

    Lowassa

  • @awamiabbas222
    @awamiabbas222 Жыл бұрын

    Neno tutatengeneza au usjali kuna namna ya kufanya lilianzia hapo😀

  • @fabiopaul8897
    @fabiopaul8897 Жыл бұрын

    Ishi miaka mingi mzee wa msoga

  • @livinohaule8442
    @livinohaule84428 ай бұрын

    "Kwahiyo nilipokuja kuwa Rais nilikuwa niko vizuri." Mwisho wa kunukuu 😅

  • @shabaniselemani9159
    @shabaniselemani9159 Жыл бұрын

    Fanya sana ibada muheshimiwa umli umeenda achana na mambo ya mitandao mbele yetu kuna ummaut

  • @apple9711

    @apple9711

    Жыл бұрын

    Aisee unaona MBALI

  • @ichronicpro3081

    @ichronicpro3081

    Жыл бұрын

    Kwani wewe umejuaje hafanyi ibada tuache kuhukumu watu hiyo ni kazi ya Allah ndiyo anawajua watu wake

  • @elizabethpetro1258

    @elizabethpetro1258

    Жыл бұрын

    @@apple9711 mbali Sana haka kazee kanajiletaleta kwa mitandao kahana vibese Wala nini'

  • @elipidtesha5466
    @elipidtesha5466 Жыл бұрын

    Huyu ndo Rais msomi wa utawala siasa na uchumi,amekomaa kwenye chama ,amekuzwa na.chama ,zao la chama.kiongoz bora anajali usawa,demokrasia na uhuru Yote aliyaweza Maendeleo binafs ya mtu ni vita binafsi kati ya mtu nafsi yake na juhud binafs

  • @Lodrickmwambene
    @Lodrickmwambene4 ай бұрын

    Huyu mzee Ana mind games sana eti hakuta kuwa raisi uwaziri Ulimtosha Wewe mzee kikwete acha bwana ebu niache 😂😂😂😂😂 😂 Nani hataki kuwa raisi

  • @lgffumbuka183
    @lgffumbuka183 Жыл бұрын

    One of our very best. Yatunzetunze Baba utayasemea kwenye memoirs zako?

  • @AwadhiAlfani-bd5pj
    @AwadhiAlfani-bd5pj4 ай бұрын

    baba shika mooooo

  • @samwelimwashiuya7894
    @samwelimwashiuya7894 Жыл бұрын

    Tutakukumbuka daima na kutamani ingewezekana katiba kuruhusu kurudi hakika tungekurudisha mheshimiwa kiongozi wetu.

  • @panafrican.nation
    @panafrican.nation Жыл бұрын

    Ni ruhusuni niseme ukweli uliyo moyoni mwangu. Mimi kama MKenya rais ambaye alinipendeza sana Tanzania ni Kikwete

  • @ramadhanimtambo6755
    @ramadhanimtambo6755 Жыл бұрын

    Tunakukumbuka sana rais kaka yetu ilikua rais bora sana Kwa makundi yote wafanyakazi .wafanyabiashara wakulima .wafanyakazi tunakukumbuka sana Kwa kuboresha maisha yetu Kila mwaka.mungu atakulinda na masaibu na atakupa umri mrefu zaidi

  • @furika7931
    @furika7931 Жыл бұрын

    Rais bora wa wakati wote, demokrasia ilikuwa juu, uhuru wa kutoa maoni, uhuru wa vyombo vya habari na wakati wako ndio tulikuwa na bunge bora zaidi maana lilikosoa serikali na kuchangia mambo mbalimbali ya kitaifa bila kuingiliwa.

  • @irenekisanga1761

    @irenekisanga1761

    Жыл бұрын

    Lakini uhuru watu waliutumia vibaya hasa wa vyombo vya Habari

  • @allyshija2613

    @allyshija2613

    Жыл бұрын

    Mungu no mwema

  • @allyshija2613

    @allyshija2613

    Жыл бұрын

    Mungu ni mwema

  • @archbordygodfrey2614
    @archbordygodfrey2614 Жыл бұрын

    Kwahiyo lowasa anaumwa

  • @MasiagaMatiku-qj3oc
    @MasiagaMatiku-qj3oc4 ай бұрын

    Swara Ra katiba siulianzisha mbona uliacha kiporo mswahili bwana

  • @omaryngitu2443
    @omaryngitu2443 Жыл бұрын

    Ulijenga shule za kata,uliajiri watumishi wengi,ulimalizia Barabara ya kusini,uliongeza vyuo vikuu,uliongeza mishahara ya watumishi kwa kiwango kikubwa na mengine nisiyoyajua,uchumi wa kati ulitakiwa uanze katika kipindi chako

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    Жыл бұрын

    Leo 23% + kikokotoo = kizungumkuti

  • @shinipapaya846

    @shinipapaya846

    Жыл бұрын

    Hiyo mishule mmejengewa ili mjaziwe ujinga kwenye mibichwa yenu na mitaara ya MKOLONI ona sasa faida yake mwezio tajili wewe bado kajamba nani 🤣🤣🤣🏃🏃🏃

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    Жыл бұрын

    @@shinipapaya846 punguza makasiriko

  • @foyaalfa8837

    @foyaalfa8837

    Жыл бұрын

    Watumishi fekije, mwehu ww

  • @karaoglan9444

    @karaoglan9444

    Жыл бұрын

    @@shinipapaya846 mitaara,tajili inaonesha kabila lako na chuki yako dhidi ya JK..we hufai kubaki nchi hii mbuzi kabisa

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 Жыл бұрын

    Mzee kikwete tunataka utukamilishiye kiporo ulichokiacha chakatibampya Sasa vipi naombajibu ndg mh!!! duniani hakuna umilele kibinadamu vilevile hakuna kitakachodumumilele,wanyuma atakuwa wambele!!!!

  • @jonsjones2580
    @jonsjones25804 ай бұрын

    Mswahili sio mtuuu

  • @lungusii
    @lungusii7 ай бұрын

    Mheshimiwa huyo paka ni nani??

  • @eddysimba6829
    @eddysimba6829 Жыл бұрын

    Rip magufuli

  • @estermpagama9664

    @estermpagama9664

    Жыл бұрын

    Mungu amsamehe amlinde namkumbuka daima JPM

  • @noelnoel4916
    @noelnoel4916 Жыл бұрын

    JK nampenda Ana wisdom kubwa sana

  • @marthamungure1777

    @marthamungure1777

    4 ай бұрын

    Mjanja

  • @bahatikengese744
    @bahatikengese744 Жыл бұрын

    I'm sorry jk sasa hvi silali bar kipindi cha rais nilikuwa na lala bar ile mbaya

  • @user-jh3yu7wl9r
    @user-jh3yu7wl9r4 ай бұрын

    ❤Mungu akujalie maisha marefu❤❤❤❤

  • @BeaniesAreHappy
    @BeaniesAreHappy Жыл бұрын

    Corrupt leader

  • @feisal6592
    @feisal6592 Жыл бұрын

    Kama ahatajita tambulishaa

  • @jumakalukanya5730
    @jumakalukanya57304 ай бұрын

    Mmmmm wewe huaminiki

  • @zachariakejo2563
    @zachariakejo2563 Жыл бұрын

    We mzee mungu akupe maisha marefu kwali tena kwa niaba ya wale wa 2014, niseme tu much respect 🙏 👏 👍

  • @augustinosiasi7368

    @augustinosiasi7368

    Жыл бұрын

    Mzee duh bila yeye tunge Kaa sana mtaani jk jembe ukitaka kula lazima na we uliwe mungu akujalie miaka mingi

  • @mkalisimbatv1915
    @mkalisimbatv1915 Жыл бұрын

    My president ever....

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q Жыл бұрын

    Huyo Twiga hapo pembeni ni kama huyo dada ameinua mkono kutaka kuchangia jambo.

  • @nelusigwenyingi2889

    @nelusigwenyingi2889

    Жыл бұрын

    Umeona eeh kama mim

  • @FilbertHabashi-zn1qu

    @FilbertHabashi-zn1qu

    4 ай бұрын

    Hahhhahahha umeona kama mmi pia

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️