JK Afunguka Lowassa, Kinana na Rostam Walivyomshawishi | Aelezea Mchakato wa Kugombea Urais
Rais mstaafu wa awamu ya nne Jakaya Kikwete akieleza namna mchakato wa kugombea Urais ulivyoanza 1995 mpaka aliposhinda 2005
Жүктеу.....
Пікірлер: 228
@user-xh1pp3ic5l4 ай бұрын
Unafiki
@machaggechacha3422 Жыл бұрын
Mafisadi watupu.! Laaa! Tz kuna shida.
@hamisimuhunzi7916 Жыл бұрын
jk hakuwa na interest na Urais!! that is new revolution ..This man has been running for president all his life..
@TM-zs3rm
4 ай бұрын
Tell him. Mpe
@abuumohamed70904 ай бұрын
Ur the best president than ever in tz.Very diplomatic person
@sambayo2440 Жыл бұрын
Ila uzuri aliwakumbuka washkaji zake wote samweli sita akalamba uspika alf lowasa akalamba uwaziri mkuu
@ernestsamson2761
Жыл бұрын
Sitta mpaka anakufa alilala bila kumpenda jk ...awamu ya jk sitta alipaswa kuwa Waziri Mkuu ...walichokifanya nikumuandaa msekwa achukue fomu ya uspika ...ccm wakamwambia angalia mkapa anataka kudhibiti bunge na hakuna anaemuweza katka uspika Zaid Yako samwel ..imebakia mda mchache msekwa akajiuzulu sitta akapita bila kupingwa na hapo hapo akaikosa nafasi ya pm Kwa ujanja na ndio maana ili kulipiza aliamua kuweka bunge live kabsa na kuwapa wapinzan info za Siri
@marthamungure1777
4 ай бұрын
Kwa Lowasa alimkosea kutokumsimamia alipotaka uraisi baada ya yeye kumsaidia
@Munyama675
4 ай бұрын
@@marthamungure1777Alimpa cheo UWAZIRI MKUU. Hayo ya Urais ni mengine na sio Husani.
@TM-zs3rm
4 ай бұрын
Wakapeana.
@ndukulusudikucho_ Жыл бұрын
Jembe kama Jembe, JK, wengi tumemfaham Magu kupitia awamu ya JK kwa usimamizi mzuri wa Miradi ya Barabara, naona Wakimbizi Wana chuki na JK
@TM-zs3rm
4 ай бұрын
Danganyifu.
@HenriHSP Жыл бұрын
Only Magufuli forever
@charleschanai601 Жыл бұрын
One among the best story teller ni mzee JK🙌..HACHOSHI KUMSIKILIZA
@juniornamao527
Жыл бұрын
Kbsaaaaa
@jdanny497
Жыл бұрын
Mnafiki huyu
@jdanny497
Жыл бұрын
Watanzania mnapenda unafiki,the worst president ambae ameshawahi kutokea Tanzania
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
@@jdanny497 sasa tukuone wewe Rais Bora , ukawe Rais,,,
@gebborecords
Жыл бұрын
@@jumakapilima7295 Uraisi ni kazi nyepesi saana ( Ukijua Haki na Ukasimamia Haki ) na ( Ukijua Kuna Mungu Mbinguni aliyekupa nafasi ya Kuongoza ) _ mambo Hayo ni mepesi saana kuyafanya kwa Rais ....fuatilia uone utekelezaji wake UTASHANGAA
@karaoglan9444 Жыл бұрын
Mtu pekee aliyekubali uwazi na ukweli kwa VITENDO!! Hakuna ubishi kwamba ukweli wake na uwazi haukuwa na mfano!!
@alishamlan74344 ай бұрын
One in amillion one of the presidents i admired in ma lyf time.TZ are blessed to have honest and open leaders
@user-pp9vz1kv9x4 ай бұрын
King of mind games🙌🙌
@ameedamilja7992 Жыл бұрын
Ila Rushwa na Ufisadi ulizidi sana kipindi chako mpaka tanzania ikokasa Dira ya heshima na watu wanyonge wasiokuwa na rushwa waaliipata fresh. Pia ngetuambiwa mlikosana nini na Lowasa wakati mkulikuwa marafiki.
@othmanjumankwabi4150
Жыл бұрын
Sio vilizidi kulikuwa uwazi kutokana aina ya serikali yake.Transparent
@othmanjumankwabi4150
Жыл бұрын
Ukajua madudu.Awamu 5 haikuwa na mfumo kama Awamu ya 4 na 6 kuna Uhuru wa habari
@ramadhanimtetu3656
9 ай бұрын
Kwani Utawala wa Magufuli hapakuwa Rushwa na Ufisadi
@simionbirai7851 Жыл бұрын
Unastahili sana Mzee Kikwete! Una hekima na busara sana!!! Hauna makuu!!!!
@issabilali3539 Жыл бұрын
Kikwete Acha uongo wewe uliufukuzia urais siku nyingi sana na kwanza Huna uwezo wa kuongoza nchi zaidi ya kufuja pesa za walipa kodi.
@johnriwa2854 Жыл бұрын
Bless you sir you did a good job
@user-bg5ky2dj1i
4 ай бұрын
Wewe ndio baba usio nauonevu namtu
@massive1765 Жыл бұрын
Hiyo list anayoitaja ndio ilifilisi nchi, na ndio imerudi awamu hii
@smarty1064
Жыл бұрын
ohooo!
@damianlyimo5782
Жыл бұрын
Tafuta Hela ww akina rostam ni matajiri kabla hata mwinyi hajawa rais
@yunusimchala6569
Жыл бұрын
Grace misa kwani watoto wao hawana sifa? Somesha watoto wako mjinga ww mbona Kuna watoto wengi WA viongozi Duniani na wao ni viongozi? Kenya, marekani, Korea, zanzibar nk
@malopemaliyamungu5243
Жыл бұрын
Acha ujinga.. Heshimu angalau wakubwa. Kikwete, Kinana, Lowasa, Makamba, Nnauye na wengine wengi walikuwa JWTZ. .. Hawaishi kwa mihemko yenu.
@geeva99 Жыл бұрын
Kwanini msiweke hii full kabisa kama millard ayo watu tunataka kudive deep
@marthamungure17774 ай бұрын
Mlimwonea Lowassa
@rockcitynative9985 Жыл бұрын
Hizi habari za kuwa ilishinda kura za CCM mwaka 95 uwe rais Mwalimu akakataa nilikuwa nikizani si za kweli. Kumbe njama za kusema mshindi lazima awe na zaidi ya 50% zilitengenezwa baada ya kuwa umemgalagaza Mkapa na bado ukatulia tu Urais wakapeana wenye!? Big up sana JK.
@TM-zs3rm4 ай бұрын
Waarabu wanajuana kwa vilemba. Huwezi kujisafisha kijanjakijanja. Listi hii ni yenu wote. Wakati mwingine roho zinatusuta tunadukumwa kufichua mamno fulani bila kujielewa . Tumejianika wenyewe hapa.
@abdallahwazir7466 Жыл бұрын
M/mungu akuweke sana mzee wetu ww ni hazina yetu Tanzania 🤲🏾
@shamsakiobia6421 Жыл бұрын
Nimekumiss sana my dear Rais wangu mstaafu.
@kindysuleiman5935 Жыл бұрын
Kikwete anajizonga mwenywe waziri haulizi kitu bila ya kujua waambie wasiojua system yenu
@TM-zs3rm
4 ай бұрын
Ni kweli. Roho inamsuta.
@zachariakejo2563 Жыл бұрын
Ndo mana unazeeka taratibu manake mungu amekujalia busara, hekima na hata utu
@Edumastermind014 ай бұрын
My favorite president
@ThobiasMarandu Жыл бұрын
Kikwete Anatakiwa Amwone Lowassa amwombe Msamaha walivyomtukana 2015 na Kumdhalilisha tena juu ya Ugonjwa ki2 ambacho Ni Uovu, Hakujitakia Kuumwa. Mr. President What Yall did to Lowassa Was evil, regardless of whether he wronged you at one point or not, the insult should not get to a point Yall called him, "MFU MTARAJIWA"
@user-yh3gk4fg1b4 ай бұрын
WW mzee uko makini sana yaan your smart kuliko unachokiongea I believe in God uwezo ulojenga ktk watanzania one day Yes mungu ataurudisha ktk familia na rafiki
@trig5623 Жыл бұрын
Nyoka huwa ni nyoka. Tu hawezi kuwa samaki kwakupitishwa baharini....
@user-lx8ep6zm6e4 ай бұрын
Comment za wanafki tupu wanosifia upumbavu,watanzania ni wanafki wa kwanza duniani
@AndrewKombe-ie9nfАй бұрын
Yes
@ramadhanikipande356 Жыл бұрын
Mwambie mama alipe MADENI ya wanaoidai serikari ahadi zimekuwa nyingi
@mhandomhina5503
4 ай бұрын
Kuna awamu ambayo haikukopa? Je wajua awamu ya tano ndio awamu iliyokopa zaidi ya awamu ya tatu na ya nne na takwimu ziliwekwa wazi na wachumi Ni mara mbili ya kila awmu ya tatu na nne yaani (3 na 4 jumla ya deni 85% halafu ya 4 pekee 75% kwa miaka sita kasoro Kisha tuliaminishwa serikali haikopi. Big up Magufuli kwa uthubutu na usimamizi mzuri wa pesa za serikali kwny miradi na nidhamu ya ufatiliaji hakika hana wa kulinganishwa naye katika hili ila naye alikuwa muenezi mno.wa yeye hakopi.
@rahmambugi1950 Жыл бұрын
Yaaani sichoki kuku Sikiliza 🙏
@hajiameir8688
Жыл бұрын
Kikwete mshauri mama atuondolee kikokotoo kwani sisi wastaafu wa polisi tunaumia mzee
@machaggechacha243 Жыл бұрын
Mwizi na fisadi la karne hii. Kafilisi Tz.
@focuserick6162 Жыл бұрын
Jangiri kuu
@marthamungure17774 ай бұрын
Huhitaji kujieleza sana. Unajulikana uliyoyafanya
@TM-zs3rm
4 ай бұрын
Anajikosha
@hamisipolenisanaissa8859 Жыл бұрын
Hongera kwa
@johnandrewmsigala7803 Жыл бұрын
Mmm!!! Unadanganya. Wewe uliutaka sana urais ndiyo maana Mwl Nyerere alikukataa alijua nchi italiwa ukakwama kulikuwa na Sakata sana kubwa la kukukataa kule Chimwaga wewe na Lowasa na Malecela. Awamu ya nne ukalazimisha kuwa rais kupitia wanawake.
@Munyama675
4 ай бұрын
Kuna Rais alileta maendeleo kumshinda JK?
@saiddelefa1749 Жыл бұрын
Ndio maana mm nasema nikifa historia yangu isisomwe kabisa wakaushe haisaidiii kabisa
@sampaconnector2845 Жыл бұрын
“Edward is sick” that one was so emotional.
@halifajuma545 Жыл бұрын
Huyu Ana haribu inchi kabisa inchi tajitri lakini watu masikini
@ziadakandanga2477
Жыл бұрын
Ameharibu kwani yy ametawala tangu nchi ipate uhuru,au unaongea kwa sifa
@paulinekamau9633 Жыл бұрын
One of Africa’s best presidents
@mikaelikamili3108 Жыл бұрын
wapi uongo uo raisi alikua jpm we janjajanja
@MathewNathan-yb2bz
4 ай бұрын
Jpm alikuwa rais gani
@marthamungure17774 ай бұрын
Anayefanya vizuri anasemewa na watu
@TM-zs3rm
4 ай бұрын
Ye anajitangaza. Na kujitembeza.
@ramadhanjuma3584 Жыл бұрын
Umeanza watanzania hawana imani na wewe hata labuda wanao kula kupitia mgongo wako
@user-qg5bq4sj9c10 ай бұрын
Unajua mungu anaona 😊
@TM-zs3rm
4 ай бұрын
Anauona uongo hapo.
@fredrickallan5437 Жыл бұрын
Baba yetu mzee kikwete mungu akutunze uishi miaka mingi sana na familia yako.
@zainabmapezi5730
Жыл бұрын
Ana roho nzuri ndio maana mpaka leo anaishi kwa Amani Hana maadui wengi. Wengine wakistaafu tu pressure zinaanza kutokana na uadui walioujenga wao wenyewe. Maisha yanakuwa mafupi.
@valenakomba76864 ай бұрын
HADISI ZA ABUNUWASI.😂😂😂
@TM-zs3rm
4 ай бұрын
Sungura huyu
@NyakiMollel4 ай бұрын
Tulikosea Sana Hii Nchi
@florencemeza6540 Жыл бұрын
Makubwa wakati uligombea na mkapa Nyerer akakukataa kumbe alijua
@estermpagama9664
Жыл бұрын
Mungu warehemu Mwalimu na JPM wape wepesi familia zao wawe waja wema kama wazee wao
@feisal6592 Жыл бұрын
Baba aslm shikamoo hakisio nzurii sikuku inakuja lakini haliningumuu mnoo
@jumakaoneka5456 Жыл бұрын
Hongera mkuu wa nchi wa 2005 @ 2015
@jebace Жыл бұрын
nguruwe
@ramadhanikhalfan848 Жыл бұрын
Rais Bora kuwahi Kutokea katika Nchi yetu.
@zainabmapezi5730
Жыл бұрын
Mirada yote aliyomalizia Magufuli aliianzisha huyu.
@sambayo2440
Жыл бұрын
Kabisa
@mvukiedavid4332
Жыл бұрын
People dont want to hear this
@eddysimba6829
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@aronatv47
Жыл бұрын
@@mvukiedavid4332 Kabisaaaa
@haridsaid62865 ай бұрын
Sema huyu MZEE inaonekana kinana ni mwanae saaana
@juliuslabarani8575 Жыл бұрын
Nimejifunza jambo ktk maisha
@user-qg5bq4sj9c10 ай бұрын
Tunataka latina mpya acha maneno meng
@tibubandar4139 ай бұрын
Kikwete bhana eti nimesepa😂😂😂
@tahiraabdul1701 Жыл бұрын
Umecheza vizuri Sana Jakaya....safi sana
@TM-zs3rm
4 ай бұрын
Kajifichua na wenziwe.
@hamzasukwa432 Жыл бұрын
Ningeshangaa kama ungemsahau Rafiki yako Sukwa.
@mohdmohd8428 Жыл бұрын
Netwk/mtandao
@kiliankamota7922 Жыл бұрын
Jakaya Kikwete is larger than life celebrity leader A true son of African who rose from humble beginnings Tunaomba aandike vitabu vijana tujifunze kutoka kwake Nkosi sikeleli Kikwete!
@franciskavyega280
Жыл бұрын
😃😃😃😃😃😃😅
@peterlucas7246
Жыл бұрын
Hamna kitu hapo
@shinipapaya846
Жыл бұрын
@@peterlucas7246 umenifanya 🤣🤣🤣 na pia alienda Jamaica 🇯🇲 kube......a
@hafsalucky10884 ай бұрын
Mzee jk anajua kucheza na akili za Wtz.
@isayamsoka5590 Жыл бұрын
Channi hicho kitapeli aaah!
@abdulhamis9825 Жыл бұрын
Mwaka Ambao Ulitikisa Sana Ndani Ya Chama Moja Kati Ya Kitu Nakumbuka Ile Hotuba Yako Baada Ya Kutajwa Mshind Alaf Ukatoa Hotuba Nzto Ambayo Mpaka Baba Wa Taifa Akasimama Kupga Makofi
@TamuzaKale
Жыл бұрын
Alisema wafuasi wake ni wa MKAPA! Hakuna tena team JK!
@adelinaikombe9929
Жыл бұрын
MR President tunamkubali
@salehesalehe2967
Жыл бұрын
Wasiokupenda wanachuki binafisi
@kianda9734 ай бұрын
Mmhh
@johnandrewmsigala7803 Жыл бұрын
Mwongo huyoo du!!! mambo Gani unefanya zaidi ya kutumia fedha zote Rais Mkapa alizokusanya. JPM ndiyo kafanya mambo na nchi ikapaa. Nani kama MAGUFULI? RIP BABA MAGU
@Munyama675
4 ай бұрын
We jamaa ni CHIZI
@mbwanarajab4756 Жыл бұрын
Tangu Samwel Sitta aachie madaraka , nafasi ya spika hadi leo ipo wazi tu
@eliassangisangi4 ай бұрын
Mbwa loko
@faustinombilinyi9809 Жыл бұрын
Mzee wetu Rudi Basi ugombee Tena toka utoke rais wangu nchi imekosa mwelekeo the best president ever...MUNGU AKUTUNZE UISHI MIAKA MINGI SN.
@erickgadson1617 Жыл бұрын
Duuu ume miss wa nawengi sana maana enzi zako tulijenga nyumba nakupata pesa kilahisi sasa hivi maji tuna yaita mma natamani nyakati zile zijirudie ila wakati umeenda
@abdibilali4186
Жыл бұрын
Nyumba yangu iliishia kwenye linta Toka alivyo Toka madarakani sijajenga hata tofali moja
@georgemassebu2083
Жыл бұрын
@Erick Unafiki tu umewajaa, nyakati zake mlisema ufisadi umeshamiri na yeye anasafiri tu kutwa kucha, lawama na magazeti kipindi kile vilipata umaarufu, leo eti mmemiss, yaani wabongo bwana
@foyaalfa8837
Жыл бұрын
Mwizi mwenzio mwehu
@masaimediagroup3146 Жыл бұрын
Lowassa
@awamiabbas222 Жыл бұрын
Neno tutatengeneza au usjali kuna namna ya kufanya lilianzia hapo😀
@fabiopaul8897 Жыл бұрын
Ishi miaka mingi mzee wa msoga
@livinohaule84428 ай бұрын
"Kwahiyo nilipokuja kuwa Rais nilikuwa niko vizuri." Mwisho wa kunukuu 😅
@shabaniselemani9159 Жыл бұрын
Fanya sana ibada muheshimiwa umli umeenda achana na mambo ya mitandao mbele yetu kuna ummaut
@apple9711
Жыл бұрын
Aisee unaona MBALI
@ichronicpro3081
Жыл бұрын
Kwani wewe umejuaje hafanyi ibada tuache kuhukumu watu hiyo ni kazi ya Allah ndiyo anawajua watu wake
@elizabethpetro1258
Жыл бұрын
@@apple9711 mbali Sana haka kazee kanajiletaleta kwa mitandao kahana vibese Wala nini'
@elipidtesha5466 Жыл бұрын
Huyu ndo Rais msomi wa utawala siasa na uchumi,amekomaa kwenye chama ,amekuzwa na.chama ,zao la chama.kiongoz bora anajali usawa,demokrasia na uhuru Yote aliyaweza Maendeleo binafs ya mtu ni vita binafsi kati ya mtu nafsi yake na juhud binafs
@Lodrickmwambene4 ай бұрын
Huyu mzee Ana mind games sana eti hakuta kuwa raisi uwaziri Ulimtosha Wewe mzee kikwete acha bwana ebu niache 😂😂😂😂😂 😂 Nani hataki kuwa raisi
@lgffumbuka183 Жыл бұрын
One of our very best. Yatunzetunze Baba utayasemea kwenye memoirs zako?
Ni ruhusuni niseme ukweli uliyo moyoni mwangu. Mimi kama MKenya rais ambaye alinipendeza sana Tanzania ni Kikwete
@ramadhanimtambo6755 Жыл бұрын
Tunakukumbuka sana rais kaka yetu ilikua rais bora sana Kwa makundi yote wafanyakazi .wafanyabiashara wakulima .wafanyakazi tunakukumbuka sana Kwa kuboresha maisha yetu Kila mwaka.mungu atakulinda na masaibu na atakupa umri mrefu zaidi
@furika7931 Жыл бұрын
Rais bora wa wakati wote, demokrasia ilikuwa juu, uhuru wa kutoa maoni, uhuru wa vyombo vya habari na wakati wako ndio tulikuwa na bunge bora zaidi maana lilikosoa serikali na kuchangia mambo mbalimbali ya kitaifa bila kuingiliwa.
@irenekisanga1761
Жыл бұрын
Lakini uhuru watu waliutumia vibaya hasa wa vyombo vya Habari
@allyshija2613
Жыл бұрын
Mungu no mwema
@allyshija2613
Жыл бұрын
Mungu ni mwema
@archbordygodfrey2614 Жыл бұрын
Kwahiyo lowasa anaumwa
@MasiagaMatiku-qj3oc4 ай бұрын
Swara Ra katiba siulianzisha mbona uliacha kiporo mswahili bwana
@omaryngitu2443 Жыл бұрын
Ulijenga shule za kata,uliajiri watumishi wengi,ulimalizia Barabara ya kusini,uliongeza vyuo vikuu,uliongeza mishahara ya watumishi kwa kiwango kikubwa na mengine nisiyoyajua,uchumi wa kati ulitakiwa uanze katika kipindi chako
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
Leo 23% + kikokotoo = kizungumkuti
@shinipapaya846
Жыл бұрын
Hiyo mishule mmejengewa ili mjaziwe ujinga kwenye mibichwa yenu na mitaara ya MKOLONI ona sasa faida yake mwezio tajili wewe bado kajamba nani 🤣🤣🤣🏃🏃🏃
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
@@shinipapaya846 punguza makasiriko
@foyaalfa8837
Жыл бұрын
Watumishi fekije, mwehu ww
@karaoglan9444
Жыл бұрын
@@shinipapaya846 mitaara,tajili inaonesha kabila lako na chuki yako dhidi ya JK..we hufai kubaki nchi hii mbuzi kabisa
Пікірлер: 228
Unafiki
Mafisadi watupu.! Laaa! Tz kuna shida.
jk hakuwa na interest na Urais!! that is new revolution ..This man has been running for president all his life..
@TM-zs3rm
4 ай бұрын
Tell him. Mpe
Ur the best president than ever in tz.Very diplomatic person
Ila uzuri aliwakumbuka washkaji zake wote samweli sita akalamba uspika alf lowasa akalamba uwaziri mkuu
@ernestsamson2761
Жыл бұрын
Sitta mpaka anakufa alilala bila kumpenda jk ...awamu ya jk sitta alipaswa kuwa Waziri Mkuu ...walichokifanya nikumuandaa msekwa achukue fomu ya uspika ...ccm wakamwambia angalia mkapa anataka kudhibiti bunge na hakuna anaemuweza katka uspika Zaid Yako samwel ..imebakia mda mchache msekwa akajiuzulu sitta akapita bila kupingwa na hapo hapo akaikosa nafasi ya pm Kwa ujanja na ndio maana ili kulipiza aliamua kuweka bunge live kabsa na kuwapa wapinzan info za Siri
@marthamungure1777
4 ай бұрын
Kwa Lowasa alimkosea kutokumsimamia alipotaka uraisi baada ya yeye kumsaidia
@Munyama675
4 ай бұрын
@@marthamungure1777Alimpa cheo UWAZIRI MKUU. Hayo ya Urais ni mengine na sio Husani.
@TM-zs3rm
4 ай бұрын
Wakapeana.
Jembe kama Jembe, JK, wengi tumemfaham Magu kupitia awamu ya JK kwa usimamizi mzuri wa Miradi ya Barabara, naona Wakimbizi Wana chuki na JK
@TM-zs3rm
4 ай бұрын
Danganyifu.
Only Magufuli forever
One among the best story teller ni mzee JK🙌..HACHOSHI KUMSIKILIZA
@juniornamao527
Жыл бұрын
Kbsaaaaa
@jdanny497
Жыл бұрын
Mnafiki huyu
@jdanny497
Жыл бұрын
Watanzania mnapenda unafiki,the worst president ambae ameshawahi kutokea Tanzania
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
@@jdanny497 sasa tukuone wewe Rais Bora , ukawe Rais,,,
@gebborecords
Жыл бұрын
@@jumakapilima7295 Uraisi ni kazi nyepesi saana ( Ukijua Haki na Ukasimamia Haki ) na ( Ukijua Kuna Mungu Mbinguni aliyekupa nafasi ya Kuongoza ) _ mambo Hayo ni mepesi saana kuyafanya kwa Rais ....fuatilia uone utekelezaji wake UTASHANGAA
Mtu pekee aliyekubali uwazi na ukweli kwa VITENDO!! Hakuna ubishi kwamba ukweli wake na uwazi haukuwa na mfano!!
One in amillion one of the presidents i admired in ma lyf time.TZ are blessed to have honest and open leaders
King of mind games🙌🙌
Ila Rushwa na Ufisadi ulizidi sana kipindi chako mpaka tanzania ikokasa Dira ya heshima na watu wanyonge wasiokuwa na rushwa waaliipata fresh. Pia ngetuambiwa mlikosana nini na Lowasa wakati mkulikuwa marafiki.
@othmanjumankwabi4150
Жыл бұрын
Sio vilizidi kulikuwa uwazi kutokana aina ya serikali yake.Transparent
@othmanjumankwabi4150
Жыл бұрын
Ukajua madudu.Awamu 5 haikuwa na mfumo kama Awamu ya 4 na 6 kuna Uhuru wa habari
@ramadhanimtetu3656
9 ай бұрын
Kwani Utawala wa Magufuli hapakuwa Rushwa na Ufisadi
Unastahili sana Mzee Kikwete! Una hekima na busara sana!!! Hauna makuu!!!!
Kikwete Acha uongo wewe uliufukuzia urais siku nyingi sana na kwanza Huna uwezo wa kuongoza nchi zaidi ya kufuja pesa za walipa kodi.
Bless you sir you did a good job
@user-bg5ky2dj1i
4 ай бұрын
Wewe ndio baba usio nauonevu namtu
Hiyo list anayoitaja ndio ilifilisi nchi, na ndio imerudi awamu hii
@smarty1064
Жыл бұрын
ohooo!
@damianlyimo5782
Жыл бұрын
Tafuta Hela ww akina rostam ni matajiri kabla hata mwinyi hajawa rais
@yunusimchala6569
Жыл бұрын
Grace misa kwani watoto wao hawana sifa? Somesha watoto wako mjinga ww mbona Kuna watoto wengi WA viongozi Duniani na wao ni viongozi? Kenya, marekani, Korea, zanzibar nk
@malopemaliyamungu5243
Жыл бұрын
Acha ujinga.. Heshimu angalau wakubwa. Kikwete, Kinana, Lowasa, Makamba, Nnauye na wengine wengi walikuwa JWTZ. .. Hawaishi kwa mihemko yenu.
Kwanini msiweke hii full kabisa kama millard ayo watu tunataka kudive deep
Mlimwonea Lowassa
Hizi habari za kuwa ilishinda kura za CCM mwaka 95 uwe rais Mwalimu akakataa nilikuwa nikizani si za kweli. Kumbe njama za kusema mshindi lazima awe na zaidi ya 50% zilitengenezwa baada ya kuwa umemgalagaza Mkapa na bado ukatulia tu Urais wakapeana wenye!? Big up sana JK.
Waarabu wanajuana kwa vilemba. Huwezi kujisafisha kijanjakijanja. Listi hii ni yenu wote. Wakati mwingine roho zinatusuta tunadukumwa kufichua mamno fulani bila kujielewa . Tumejianika wenyewe hapa.
M/mungu akuweke sana mzee wetu ww ni hazina yetu Tanzania 🤲🏾
Nimekumiss sana my dear Rais wangu mstaafu.
Kikwete anajizonga mwenywe waziri haulizi kitu bila ya kujua waambie wasiojua system yenu
@TM-zs3rm
4 ай бұрын
Ni kweli. Roho inamsuta.
Ndo mana unazeeka taratibu manake mungu amekujalia busara, hekima na hata utu
My favorite president
Kikwete Anatakiwa Amwone Lowassa amwombe Msamaha walivyomtukana 2015 na Kumdhalilisha tena juu ya Ugonjwa ki2 ambacho Ni Uovu, Hakujitakia Kuumwa. Mr. President What Yall did to Lowassa Was evil, regardless of whether he wronged you at one point or not, the insult should not get to a point Yall called him, "MFU MTARAJIWA"
WW mzee uko makini sana yaan your smart kuliko unachokiongea I believe in God uwezo ulojenga ktk watanzania one day Yes mungu ataurudisha ktk familia na rafiki
Nyoka huwa ni nyoka. Tu hawezi kuwa samaki kwakupitishwa baharini....
Comment za wanafki tupu wanosifia upumbavu,watanzania ni wanafki wa kwanza duniani
Yes
Mwambie mama alipe MADENI ya wanaoidai serikari ahadi zimekuwa nyingi
@mhandomhina5503
4 ай бұрын
Kuna awamu ambayo haikukopa? Je wajua awamu ya tano ndio awamu iliyokopa zaidi ya awamu ya tatu na ya nne na takwimu ziliwekwa wazi na wachumi Ni mara mbili ya kila awmu ya tatu na nne yaani (3 na 4 jumla ya deni 85% halafu ya 4 pekee 75% kwa miaka sita kasoro Kisha tuliaminishwa serikali haikopi. Big up Magufuli kwa uthubutu na usimamizi mzuri wa pesa za serikali kwny miradi na nidhamu ya ufatiliaji hakika hana wa kulinganishwa naye katika hili ila naye alikuwa muenezi mno.wa yeye hakopi.
Yaaani sichoki kuku Sikiliza 🙏
@hajiameir8688
Жыл бұрын
Kikwete mshauri mama atuondolee kikokotoo kwani sisi wastaafu wa polisi tunaumia mzee
Mwizi na fisadi la karne hii. Kafilisi Tz.
Jangiri kuu
Huhitaji kujieleza sana. Unajulikana uliyoyafanya
@TM-zs3rm
4 ай бұрын
Anajikosha
Hongera kwa
Mmm!!! Unadanganya. Wewe uliutaka sana urais ndiyo maana Mwl Nyerere alikukataa alijua nchi italiwa ukakwama kulikuwa na Sakata sana kubwa la kukukataa kule Chimwaga wewe na Lowasa na Malecela. Awamu ya nne ukalazimisha kuwa rais kupitia wanawake.
@Munyama675
4 ай бұрын
Kuna Rais alileta maendeleo kumshinda JK?
Ndio maana mm nasema nikifa historia yangu isisomwe kabisa wakaushe haisaidiii kabisa
“Edward is sick” that one was so emotional.
Huyu Ana haribu inchi kabisa inchi tajitri lakini watu masikini
@ziadakandanga2477
Жыл бұрын
Ameharibu kwani yy ametawala tangu nchi ipate uhuru,au unaongea kwa sifa
One of Africa’s best presidents
wapi uongo uo raisi alikua jpm we janjajanja
@MathewNathan-yb2bz
4 ай бұрын
Jpm alikuwa rais gani
Anayefanya vizuri anasemewa na watu
@TM-zs3rm
4 ай бұрын
Ye anajitangaza. Na kujitembeza.
Umeanza watanzania hawana imani na wewe hata labuda wanao kula kupitia mgongo wako
Unajua mungu anaona 😊
@TM-zs3rm
4 ай бұрын
Anauona uongo hapo.
Baba yetu mzee kikwete mungu akutunze uishi miaka mingi sana na familia yako.
@zainabmapezi5730
Жыл бұрын
Ana roho nzuri ndio maana mpaka leo anaishi kwa Amani Hana maadui wengi. Wengine wakistaafu tu pressure zinaanza kutokana na uadui walioujenga wao wenyewe. Maisha yanakuwa mafupi.
HADISI ZA ABUNUWASI.😂😂😂
@TM-zs3rm
4 ай бұрын
Sungura huyu
Tulikosea Sana Hii Nchi
Makubwa wakati uligombea na mkapa Nyerer akakukataa kumbe alijua
@estermpagama9664
Жыл бұрын
Mungu warehemu Mwalimu na JPM wape wepesi familia zao wawe waja wema kama wazee wao
Baba aslm shikamoo hakisio nzurii sikuku inakuja lakini haliningumuu mnoo
Hongera mkuu wa nchi wa 2005 @ 2015
nguruwe
Rais Bora kuwahi Kutokea katika Nchi yetu.
@zainabmapezi5730
Жыл бұрын
Mirada yote aliyomalizia Magufuli aliianzisha huyu.
@sambayo2440
Жыл бұрын
Kabisa
@mvukiedavid4332
Жыл бұрын
People dont want to hear this
@eddysimba6829
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@aronatv47
Жыл бұрын
@@mvukiedavid4332 Kabisaaaa
Sema huyu MZEE inaonekana kinana ni mwanae saaana
Nimejifunza jambo ktk maisha
Tunataka latina mpya acha maneno meng
Kikwete bhana eti nimesepa😂😂😂
Umecheza vizuri Sana Jakaya....safi sana
@TM-zs3rm
4 ай бұрын
Kajifichua na wenziwe.
Ningeshangaa kama ungemsahau Rafiki yako Sukwa.
Netwk/mtandao
Jakaya Kikwete is larger than life celebrity leader A true son of African who rose from humble beginnings Tunaomba aandike vitabu vijana tujifunze kutoka kwake Nkosi sikeleli Kikwete!
@franciskavyega280
Жыл бұрын
😃😃😃😃😃😃😅
@peterlucas7246
Жыл бұрын
Hamna kitu hapo
@shinipapaya846
Жыл бұрын
@@peterlucas7246 umenifanya 🤣🤣🤣 na pia alienda Jamaica 🇯🇲 kube......a
Mzee jk anajua kucheza na akili za Wtz.
Channi hicho kitapeli aaah!
Mwaka Ambao Ulitikisa Sana Ndani Ya Chama Moja Kati Ya Kitu Nakumbuka Ile Hotuba Yako Baada Ya Kutajwa Mshind Alaf Ukatoa Hotuba Nzto Ambayo Mpaka Baba Wa Taifa Akasimama Kupga Makofi
@TamuzaKale
Жыл бұрын
Alisema wafuasi wake ni wa MKAPA! Hakuna tena team JK!
@adelinaikombe9929
Жыл бұрын
MR President tunamkubali
@salehesalehe2967
Жыл бұрын
Wasiokupenda wanachuki binafisi
Mmhh
Mwongo huyoo du!!! mambo Gani unefanya zaidi ya kutumia fedha zote Rais Mkapa alizokusanya. JPM ndiyo kafanya mambo na nchi ikapaa. Nani kama MAGUFULI? RIP BABA MAGU
@Munyama675
4 ай бұрын
We jamaa ni CHIZI
Tangu Samwel Sitta aachie madaraka , nafasi ya spika hadi leo ipo wazi tu
Mbwa loko
Mzee wetu Rudi Basi ugombee Tena toka utoke rais wangu nchi imekosa mwelekeo the best president ever...MUNGU AKUTUNZE UISHI MIAKA MINGI SN.
Duuu ume miss wa nawengi sana maana enzi zako tulijenga nyumba nakupata pesa kilahisi sasa hivi maji tuna yaita mma natamani nyakati zile zijirudie ila wakati umeenda
@abdibilali4186
Жыл бұрын
Nyumba yangu iliishia kwenye linta Toka alivyo Toka madarakani sijajenga hata tofali moja
@georgemassebu2083
Жыл бұрын
@Erick Unafiki tu umewajaa, nyakati zake mlisema ufisadi umeshamiri na yeye anasafiri tu kutwa kucha, lawama na magazeti kipindi kile vilipata umaarufu, leo eti mmemiss, yaani wabongo bwana
@foyaalfa8837
Жыл бұрын
Mwizi mwenzio mwehu
Lowassa
Neno tutatengeneza au usjali kuna namna ya kufanya lilianzia hapo😀
Ishi miaka mingi mzee wa msoga
"Kwahiyo nilipokuja kuwa Rais nilikuwa niko vizuri." Mwisho wa kunukuu 😅
Fanya sana ibada muheshimiwa umli umeenda achana na mambo ya mitandao mbele yetu kuna ummaut
@apple9711
Жыл бұрын
Aisee unaona MBALI
@ichronicpro3081
Жыл бұрын
Kwani wewe umejuaje hafanyi ibada tuache kuhukumu watu hiyo ni kazi ya Allah ndiyo anawajua watu wake
@elizabethpetro1258
Жыл бұрын
@@apple9711 mbali Sana haka kazee kanajiletaleta kwa mitandao kahana vibese Wala nini'
Huyu ndo Rais msomi wa utawala siasa na uchumi,amekomaa kwenye chama ,amekuzwa na.chama ,zao la chama.kiongoz bora anajali usawa,demokrasia na uhuru Yote aliyaweza Maendeleo binafs ya mtu ni vita binafsi kati ya mtu nafsi yake na juhud binafs
Huyu mzee Ana mind games sana eti hakuta kuwa raisi uwaziri Ulimtosha Wewe mzee kikwete acha bwana ebu niache 😂😂😂😂😂 😂 Nani hataki kuwa raisi
One of our very best. Yatunzetunze Baba utayasemea kwenye memoirs zako?
baba shika mooooo
Tutakukumbuka daima na kutamani ingewezekana katiba kuruhusu kurudi hakika tungekurudisha mheshimiwa kiongozi wetu.
Ni ruhusuni niseme ukweli uliyo moyoni mwangu. Mimi kama MKenya rais ambaye alinipendeza sana Tanzania ni Kikwete
Tunakukumbuka sana rais kaka yetu ilikua rais bora sana Kwa makundi yote wafanyakazi .wafanyabiashara wakulima .wafanyakazi tunakukumbuka sana Kwa kuboresha maisha yetu Kila mwaka.mungu atakulinda na masaibu na atakupa umri mrefu zaidi
Rais bora wa wakati wote, demokrasia ilikuwa juu, uhuru wa kutoa maoni, uhuru wa vyombo vya habari na wakati wako ndio tulikuwa na bunge bora zaidi maana lilikosoa serikali na kuchangia mambo mbalimbali ya kitaifa bila kuingiliwa.
@irenekisanga1761
Жыл бұрын
Lakini uhuru watu waliutumia vibaya hasa wa vyombo vya Habari
@allyshija2613
Жыл бұрын
Mungu no mwema
@allyshija2613
Жыл бұрын
Mungu ni mwema
Kwahiyo lowasa anaumwa
Swara Ra katiba siulianzisha mbona uliacha kiporo mswahili bwana
Ulijenga shule za kata,uliajiri watumishi wengi,ulimalizia Barabara ya kusini,uliongeza vyuo vikuu,uliongeza mishahara ya watumishi kwa kiwango kikubwa na mengine nisiyoyajua,uchumi wa kati ulitakiwa uanze katika kipindi chako
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
Leo 23% + kikokotoo = kizungumkuti
@shinipapaya846
Жыл бұрын
Hiyo mishule mmejengewa ili mjaziwe ujinga kwenye mibichwa yenu na mitaara ya MKOLONI ona sasa faida yake mwezio tajili wewe bado kajamba nani 🤣🤣🤣🏃🏃🏃
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
@@shinipapaya846 punguza makasiriko
@foyaalfa8837
Жыл бұрын
Watumishi fekije, mwehu ww
@karaoglan9444
Жыл бұрын
@@shinipapaya846 mitaara,tajili inaonesha kabila lako na chuki yako dhidi ya JK..we hufai kubaki nchi hii mbuzi kabisa
Mzee kikwete tunataka utukamilishiye kiporo ulichokiacha chakatibampya Sasa vipi naombajibu ndg mh!!! duniani hakuna umilele kibinadamu vilevile hakuna kitakachodumumilele,wanyuma atakuwa wambele!!!!
Mswahili sio mtuuu
Mheshimiwa huyo paka ni nani??
Rip magufuli
@estermpagama9664
Жыл бұрын
Mungu amsamehe amlinde namkumbuka daima JPM
JK nampenda Ana wisdom kubwa sana
@marthamungure1777
4 ай бұрын
Mjanja
I'm sorry jk sasa hvi silali bar kipindi cha rais nilikuwa na lala bar ile mbaya
❤Mungu akujalie maisha marefu❤❤❤❤
Corrupt leader
Kama ahatajita tambulishaa
Mmmmm wewe huaminiki
We mzee mungu akupe maisha marefu kwali tena kwa niaba ya wale wa 2014, niseme tu much respect 🙏 👏 👍
@augustinosiasi7368
Жыл бұрын
Mzee duh bila yeye tunge Kaa sana mtaani jk jembe ukitaka kula lazima na we uliwe mungu akujalie miaka mingi
My president ever....
Huyo Twiga hapo pembeni ni kama huyo dada ameinua mkono kutaka kuchangia jambo.
@nelusigwenyingi2889
Жыл бұрын
Umeona eeh kama mim
@FilbertHabashi-zn1qu
4 ай бұрын
Hahhhahahha umeona kama mmi pia
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️