Chichiemu ilikuwa imekufa &musukuma akaiamusha na mumemutanguliza,dar kabla ya ngosha mulikuwa hata nguo zenu zilikuwa hazivaliki.
@meshack3266 Жыл бұрын
jpm aliwekwa na mungu kwa kweli
@nikodemuschacha
5 ай бұрын
😢
@christopherluhanya3512 Жыл бұрын
Mzee kikwete he is strong man
@Alkaburu Жыл бұрын
Allah akupe umri mrefu wenye Baraka kiongozi wetu
@francismigongwa4146 Жыл бұрын
Muuuu RIP MH JPM
@mcnova365 Жыл бұрын
clouds ni media kubwa sana. hii interview ni kubwa sana. nashangaa mnapa mic ashike badala ya kutumia lapel wireless na aina zote za ufundi wenu wa light and sound. hapo mmezingua kiutalaamu
@@wemakingdaily1462 tulia wewe hujui masuala ya kiufundi hayo. Kwenye fani ya mawasiliano mtu huongea kwa mwili wake wote, sio kwa mdomo tu. Ukimpa ashike kipaza sauti maana yake umemzuia kutumia mikono yake kuongea.
@ggggregonia6035 Жыл бұрын
Happy Birthday Mr President. May you live healthy and long
@ThobiasMarandu Жыл бұрын
kuzungumza kila mmoja haina Tija mgepiga kura kwa wote 42
@alanusrespicius1796 Жыл бұрын
Kama muliangalia afya, kumbe JPM hakuwa na ugonjwa wa moyo. Sasa kipi kilimuua?
@josephlorri431
Жыл бұрын
Hata hatujui kilichomwua Mkapa.. vifo vya ghafla..dr Janabi (JKCI) watuambie.
@lukullikiwamba6494
Жыл бұрын
acha kuchukuwa kazi ya mungu binaadamu wote wazaliwa na kufa sasa wewe kama unataka kuuliza mulize muumba wa mbingu na aridhi,
Пікірлер: 54
Chichiemu ilikuwa imekufa &musukuma akaiamusha na mumemutanguliza,dar kabla ya ngosha mulikuwa hata nguo zenu zilikuwa hazivaliki.
jpm aliwekwa na mungu kwa kweli
@nikodemuschacha
5 ай бұрын
😢
Mzee kikwete he is strong man
Allah akupe umri mrefu wenye Baraka kiongozi wetu
Muuuu RIP MH JPM
clouds ni media kubwa sana. hii interview ni kubwa sana. nashangaa mnapa mic ashike badala ya kutumia lapel wireless na aina zote za ufundi wenu wa light and sound. hapo mmezingua kiutalaamu
@eliyamayunga6093
Жыл бұрын
1QPQpQpQpQ0Q0Q0AQ0AQ0A1PA1PAPPRECIATEA1PA1PA1AA1PA1PqpQpQpQPQPQPaaPAPQpQQpP1Pq0Q 0Q QPQ0 011P1P1P1P00Q0 QP 1P P111P1P 1P 1p11pqQ AquapacPAPAP0q00q0Pq0Pq0Pq00PQpq0Pq0Pq0+0+0+0!0!!!l LLPPPpPPpPpapaPPPp1p1pPPPPPPPPPPpPppPPPPQPPPqPqPQP LLPLLPPPPPPPPPpPQ
@karaoglan9444
Жыл бұрын
Kweli kabisa
@wemakingdaily1462
Жыл бұрын
Wee funga mdomo hujui huyo ndo mwenye nchi
@iamnormal8648
13 күн бұрын
@@wemakingdaily1462 tulia wewe hujui masuala ya kiufundi hayo. Kwenye fani ya mawasiliano mtu huongea kwa mwili wake wote, sio kwa mdomo tu. Ukimpa ashike kipaza sauti maana yake umemzuia kutumia mikono yake kuongea.
Happy Birthday Mr President. May you live healthy and long
kuzungumza kila mmoja haina Tija mgepiga kura kwa wote 42
Kama muliangalia afya, kumbe JPM hakuwa na ugonjwa wa moyo. Sasa kipi kilimuua?
@josephlorri431
Жыл бұрын
Hata hatujui kilichomwua Mkapa.. vifo vya ghafla..dr Janabi (JKCI) watuambie.
@lukullikiwamba6494
Жыл бұрын
acha kuchukuwa kazi ya mungu binaadamu wote wazaliwa na kufa sasa wewe kama unataka kuuliza mulize muumba wa mbingu na aridhi,
@karaoglan9444
Жыл бұрын
@@josephlorri431 kwani wewe unajua lini utaondoka??
@didimhutila8985
Жыл бұрын
Walimuuwa!
@margarethpolepole7438
Жыл бұрын
Alanus ndiyo uyasikie hayo mungu wa ajabu kila kitu kitasemwa rip magufuli alikuwa mtu wa watu mungu amlaze mahali pema peponi amina
Nakukubali asilimia 100% waukae
Mungu akupe.maisha.marefu.ukiwa.mkweli mungu Hua karibu nawe
Ila muogope Mungu
@juniorbachelor8296
9 ай бұрын
Kwa Kigezo gani??
2:15 Kikao cha umbeya. Umbeya ni dili aisee.
Kipengele cha afya nadhani kisiwepo tu, uwezi jua ya kesho
Live longer Mr president
Vizuri sana rais jk
The grand pa was no real 🎉🎉
Safi sana mzee kikwete
Huyu angejua Tanzaniania inateseka kwa ajiri yko usingefrahi hataa
@BedroomTvKe
Жыл бұрын
Wanateseka kwanini?
@jumakapilima7295
7 ай бұрын
Kumbuka kuwa wakati wake hakukuwa na kikokotoo ambacho Leo wafanyakazi wanateseka
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Kikwete uko vizuri sana wewe una moyo wa uongozi uishi hekima zako kama mzee bado 🇹🇿 inakuhitaji usife leo wala kesho
#talent
Ukielezwa changanya na akili yako
Mungu Akubariki Sana mzee wetu
Short list ya nini uhuni tu kama wa 1995. Mlitakiwa mpige kura kwa wote ndio mjiridhishe kuwa short list yenu ilikuwa mawazo ya wengi
Miss you
Mbona mmekata haraka saana hapo kwenye miaka 7😂😂😂
kzread.info/dash/bejne/dHyau7KzpqrYaNI.html Ujumbe wa masanja Kwa wimbo
Mmmmmmmmmmmmmm..........
Bado Siamini kama magufuli aligariki😢😢😢
@juniorbachelor8296
9 ай бұрын
Ndio ivyo tena. Alaf anatokea Mpumbavu mmoja anasema Kikwete ndio kamuua Magufuli. Shame
Mkwele msukuma sema ukweli mchanganyiko maalum baba jk wanawake tuna siri kubwa nyuma ya pazia
@adamdaudi6191
Жыл бұрын
Msukuma tena?, ni mkwele mbona Jk
Natamani katiba ilusu marais wastafu wakika miaka 2 wawe wanaweza kugombea tena Jk atapata Kura milioni 67
@gebborecords
Жыл бұрын
Mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmhhhh
@emmanuelmogela5871
Жыл бұрын
Sahau
@margarethpolepole7438
Жыл бұрын
Daudi mmmmmmmmm
Mzee Kikwete is larger than life celebrity leader. Son africa Tunaomba aandike vitabu tuje kujifunza kutoka kwake. Nkosi Sikeleli Kikwete!
Nimekuelewa sasa Kama mlikagua na afya hamkujua jpm alikua anaumwa