JK Asimulia Mkapa Alivyotangazwa Mshindi

Rais Mstaafu JK Asimulia Hali Ilivyokuwa Siku Ambayo Mkapa anatangazwa Mshindi wa U Rais

Пікірлер: 54

  • @linusjohn4941
    @linusjohn4941 Жыл бұрын

    Safi sana mh jakaya kikwete Bado wewe ni tegemeo la watanzania safi jk Kwa hekima zako

  • @noelnoel4916
    @noelnoel4916 Жыл бұрын

    Jk stories zako tamu kusikiliza, ulifanya kazi kubwa kwenye uongozi wako inchi ilikuwa ngumu kisiasa

  • @jumannemagumba619
    @jumannemagumba619 Жыл бұрын

    Ndio maana unaonekana kijana kwani hukuwa na mambo mengi ya ajabu ,ulipenda maisha ya watu kuliko vitu

  • @tumainimalulu7708
    @tumainimalulu7708 Жыл бұрын

    Mkapa alitengeneza njia nzuri ambayo Kikwete na wengine wanapita na watapita. Imani yake ya kujenga taasisi yenye nguvu ndiyo inayotupa kujigamba. Mkapa na TASAF, TRA, MKURABITA na mengine mengi. Alistahili kuanza kabla ya Kikwete. Ndio sababu Kikwete alisema Mkapa kaifikisha nchi kwenye njia ya kurukia hivyo viongozi wengine wanatakiwa kuirusha nchi hii.

  • @hulilolutaha1277
    @hulilolutaha1277 Жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu aendelee kukupa afya timamu mstaafu Rais

  • @kennedykaduma9104
    @kennedykaduma9104 Жыл бұрын

    But Mzee kikwete umenisaidia Sana kufanya maamuzi Bora katika mazingira ya kinyang'anyiro na ushindani uliojaa fitina na figisu. Hongera sana. Ukionesha ukomavu mkubwa Sana kisiasa. Hatimaye Mungu hamtupi mja wake.

  • @samwelmsalaba9132
    @samwelmsalaba9132 Жыл бұрын

    Nimecheka sana,eti kambi wakasema tujiunge tukasajili chama kingine kweli wapambe noma,

  • @Marjeby
    @Marjeby Жыл бұрын

    Wee mzee wallah unanafasi yako peponi

  • @kiliankamota7922
    @kiliankamota7922 Жыл бұрын

    Mzee Kikwete is larger than life celebrity leader. Tunaomba aandike vitabu tuje kijifunza kwake. God Bless Kikwete!

  • @iskiji1240

    @iskiji1240

    Жыл бұрын

    Alianza muda sana kuandika nadhani mwakani anaweza kuzindua

  • @eladiuspeter586
    @eladiuspeter586 Жыл бұрын

    Wewe Mzee nakukubali sana..

  • @egnokapinga16
    @egnokapinga16 Жыл бұрын

    Huyu jamaa ana miakili sana.

  • @kennedykaduma9104
    @kennedykaduma9104 Жыл бұрын

    Aliyepiga konyagi ni Nani please!😂😂😂😂😂

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    Жыл бұрын

    Nadhani Lowasa ..!

  • @ombenimalisa4499
    @ombenimalisa4499 Жыл бұрын

    Nakukubali Sanaaa mzee wangu

  • @ramadhanimtambo6755
    @ramadhanimtambo6755 Жыл бұрын

    Huyu Mzee ni mkweli yote anayosema we angalia hata baba wataifa alimkubali huyu alishangilia sana baada ya kikwete kutoa kauli ya kumuunga mkapa

  • @user-uk5ym5qv5m
    @user-uk5ym5qv5m6 ай бұрын

    Namheshimu Sana huyu kiongozi,,,,,,,,,,,

  • @omaryngitu2443
    @omaryngitu2443 Жыл бұрын

    Wewe ni Rais Bora kabisa,tunajua ila tunajitoa fahamu

  • @mvukiedavid4332

    @mvukiedavid4332

    Жыл бұрын

    True confession

  • @IbrahimHassan-ex7sn
    @IbrahimHassan-ex7sn5 ай бұрын

    Hiki kichwa achana nacho kidiplomasia hakuna kama hiki raisi poa sana live long life president.

  • @godcompeter9844
    @godcompeter9844 Жыл бұрын

    Nipeni Konyagi

  • @DadialiDadi
    @DadialiDadi10 ай бұрын

    Wewe unasemaa mwiz lakn wiz wakeee ulikuaa na faida kwa watu hakula peekee akee nyau la bar wewe huyu ni tpdf staminaaaaaaaa goodbles jakayaaaa

  • @ismailjumanne1609
    @ismailjumanne1609 Жыл бұрын

    m/zimungu akuongezee umri, tuendelee kuchota hekima zako, kiukweli maneno yako matamu saaana!!!!

  • @iddysonyo266
    @iddysonyo266 Жыл бұрын

    hiyo ndio ukweli wa chama cha ccm wanafanya wanachotaka kwenye uchaguzi sio ushindi wa halali katika kura

  • @user-zl3le1wz2u
    @user-zl3le1wz2u5 ай бұрын

    Unalilia ni cheo chako mwandishi fafanua vizuri kichwa cha habari

  • @binarytanzania
    @binarytanzania Жыл бұрын

    Raha sana kuskiliza the good old days

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION Жыл бұрын

    Mange kimambi kumbe yupo kwe mkondo...wa maji

  • @user-fj5qi8ej6y
    @user-fj5qi8ej6y6 ай бұрын

    Mimi namkubali sana huyu mzee anauchungu sana nchi yake bingwa sana wa siasa za bongo

  • @ludengelumufrancis5539
    @ludengelumufrancis5539 Жыл бұрын

    Nakubari Sana Mzeeee wangu . I HOPE ONE DAY WE WILL MEET 🥰🙏

  • @boscojulius532

    @boscojulius532

    Жыл бұрын

    Even me I love him so much

  • @kashindisimon5265
    @kashindisimon52655 ай бұрын

    Sasa kama ni nani aliteka mchakato kusema urudiwe ili kumbeba mkapa Kama sio Mwl?kuna kitu unatudanganya bana na Bahati mbaya wakuulizwa wote ni marehemu

  • @mkande
    @mkande Жыл бұрын

    Huyu mzee noma

  • @user-oq3dd5xj9m
    @user-oq3dd5xj9m Жыл бұрын

    One day you'll come up with really really really really good if not better story than this. There is a day and that day will come

  • @theteacherchance6750

    @theteacherchance6750

    Жыл бұрын

    Those are just the tip of the iceberg, there is plenty more underground

  • @ip_header
    @ip_header Жыл бұрын

    Kiongozi muungwana

  • @rockcitynative9985
    @rockcitynative9985 Жыл бұрын

    Yaani wewe ulikuwa ni kajanja sana. Wenzako waliendeshwa na mihemko lakini wewe ulishajua Rais wa wakati ule na viongozi wakuu wa chama washaamua mgombea wao ni nani na kwakuwa wao ndio wenye serikali ukijaribu kupambana nao watakuimiza ukaamua uwaache wenye nguvu alafu wewe uendelee kujihimarisha taratibu. Ulikuwa na akili mingi sana. Ila ninakulaumu kutuwekea yule dikteta uchwala ulipokuwa unaondoka.

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    Жыл бұрын

    Sawa sawa mm nakuunga mkono asilimia mia ila yule magu mkapa ndiye aliyemuweka pale ila akakosa shukrani .!

  • @hassanhamudy982
    @hassanhamudy982 Жыл бұрын

    mange kimambi.......!!!!!!

  • @bullekisimikwe3852
    @bullekisimikwe3852 Жыл бұрын

    Leo mzee ndo umeuthibitishia umma kuwa CCM ni chama cha figisu figisu yaani hakunaga uchaguzi huru na haki

  • @petroleumexperts3442

    @petroleumexperts3442

    Жыл бұрын

    huna unachoelewa, hizi ni kura za maoni ndani ya chama,

  • @petroleumexperts3442

    @petroleumexperts3442

    Жыл бұрын

    we una akili sawa sawa wew

  • @ntufyemwakigonja2277
    @ntufyemwakigonja2277 Жыл бұрын

    Aliyekunywa Konyagi ni nani 😀😀😀😀😀

  • @jacksonwanga6626

    @jacksonwanga6626

    Жыл бұрын

    Sitta

  • @amanimadinda6081

    @amanimadinda6081

    Жыл бұрын

    EL

  • @shamte9musicofficial126
    @shamte9musicofficial126 Жыл бұрын

    Mi naamini mzee uyu katoka hijja ataongea mengi tu

  • @jituakilimali15
    @jituakilimali15 Жыл бұрын

    Huyu jamaa anaona yeye ndio amefanya kila kitu katika urasi wake kumbe ndio jizi kubwa subiri kaburi linakusubiri

  • @josephlorri431

    @josephlorri431

    Жыл бұрын

    Nani hatakufa? Hao waliokufa walifanya nini, hakuna wa Milele haya maisha

  • @karaoglan9444

    @karaoglan9444

    Жыл бұрын

    Utatangulia wewe usipoangalia

  • @hassankurwa464

    @hassankurwa464

    Жыл бұрын

    Ndio alivyo ana penda kuona amefanya kila kitu. R.I.P JPM hamfikii hata kidogo. Kumbe Mange anatumwa

  • @omarylugusha
    @omarylugusha Жыл бұрын

    Nipeni konyagi😂😂

  • @fredma21x

    @fredma21x

    Жыл бұрын

    ninywe nife🤣🤣🤣

Келесі