Rais Mstaafu JK Asimulia Hali Ilivyokuwa Siku Ambayo Mkapa anatangazwa Mshindi wa U Rais
Жүктеу.....
Пікірлер: 54
@linusjohn4941 Жыл бұрын
Safi sana mh jakaya kikwete Bado wewe ni tegemeo la watanzania safi jk Kwa hekima zako
@noelnoel4916 Жыл бұрын
Jk stories zako tamu kusikiliza, ulifanya kazi kubwa kwenye uongozi wako inchi ilikuwa ngumu kisiasa
@jumannemagumba619 Жыл бұрын
Ndio maana unaonekana kijana kwani hukuwa na mambo mengi ya ajabu ,ulipenda maisha ya watu kuliko vitu
@tumainimalulu7708 Жыл бұрын
Mkapa alitengeneza njia nzuri ambayo Kikwete na wengine wanapita na watapita. Imani yake ya kujenga taasisi yenye nguvu ndiyo inayotupa kujigamba. Mkapa na TASAF, TRA, MKURABITA na mengine mengi. Alistahili kuanza kabla ya Kikwete. Ndio sababu Kikwete alisema Mkapa kaifikisha nchi kwenye njia ya kurukia hivyo viongozi wengine wanatakiwa kuirusha nchi hii.
@hulilolutaha1277 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu aendelee kukupa afya timamu mstaafu Rais
@kennedykaduma9104 Жыл бұрын
But Mzee kikwete umenisaidia Sana kufanya maamuzi Bora katika mazingira ya kinyang'anyiro na ushindani uliojaa fitina na figisu. Hongera sana. Ukionesha ukomavu mkubwa Sana kisiasa. Hatimaye Mungu hamtupi mja wake.
hiyo ndio ukweli wa chama cha ccm wanafanya wanachotaka kwenye uchaguzi sio ushindi wa halali katika kura
@user-zl3le1wz2u5 ай бұрын
Unalilia ni cheo chako mwandishi fafanua vizuri kichwa cha habari
@binarytanzania Жыл бұрын
Raha sana kuskiliza the good old days
@BONGOINMOTION Жыл бұрын
Mange kimambi kumbe yupo kwe mkondo...wa maji
@user-fj5qi8ej6y6 ай бұрын
Mimi namkubali sana huyu mzee anauchungu sana nchi yake bingwa sana wa siasa za bongo
@ludengelumufrancis5539 Жыл бұрын
Nakubari Sana Mzeeee wangu . I HOPE ONE DAY WE WILL MEET 🥰🙏
@boscojulius532
Жыл бұрын
Even me I love him so much
@kashindisimon52655 ай бұрын
Sasa kama ni nani aliteka mchakato kusema urudiwe ili kumbeba mkapa Kama sio Mwl?kuna kitu unatudanganya bana na Bahati mbaya wakuulizwa wote ni marehemu
@mkande Жыл бұрын
Huyu mzee noma
@user-oq3dd5xj9m Жыл бұрын
One day you'll come up with really really really really good if not better story than this. There is a day and that day will come
@theteacherchance6750
Жыл бұрын
Those are just the tip of the iceberg, there is plenty more underground
@ip_header Жыл бұрын
Kiongozi muungwana
@rockcitynative9985 Жыл бұрын
Yaani wewe ulikuwa ni kajanja sana. Wenzako waliendeshwa na mihemko lakini wewe ulishajua Rais wa wakati ule na viongozi wakuu wa chama washaamua mgombea wao ni nani na kwakuwa wao ndio wenye serikali ukijaribu kupambana nao watakuimiza ukaamua uwaache wenye nguvu alafu wewe uendelee kujihimarisha taratibu. Ulikuwa na akili mingi sana. Ila ninakulaumu kutuwekea yule dikteta uchwala ulipokuwa unaondoka.
@hassanmfaume4522
Жыл бұрын
Sawa sawa mm nakuunga mkono asilimia mia ila yule magu mkapa ndiye aliyemuweka pale ila akakosa shukrani .!
@hassanhamudy982 Жыл бұрын
mange kimambi.......!!!!!!
@bullekisimikwe3852 Жыл бұрын
Leo mzee ndo umeuthibitishia umma kuwa CCM ni chama cha figisu figisu yaani hakunaga uchaguzi huru na haki
@petroleumexperts3442
Жыл бұрын
huna unachoelewa, hizi ni kura za maoni ndani ya chama,
@petroleumexperts3442
Жыл бұрын
we una akili sawa sawa wew
@ntufyemwakigonja2277 Жыл бұрын
Aliyekunywa Konyagi ni nani 😀😀😀😀😀
@jacksonwanga6626
Жыл бұрын
Sitta
@amanimadinda6081
Жыл бұрын
EL
@shamte9musicofficial126 Жыл бұрын
Mi naamini mzee uyu katoka hijja ataongea mengi tu
@jituakilimali15 Жыл бұрын
Huyu jamaa anaona yeye ndio amefanya kila kitu katika urasi wake kumbe ndio jizi kubwa subiri kaburi linakusubiri
@josephlorri431
Жыл бұрын
Nani hatakufa? Hao waliokufa walifanya nini, hakuna wa Milele haya maisha
@karaoglan9444
Жыл бұрын
Utatangulia wewe usipoangalia
@hassankurwa464
Жыл бұрын
Ndio alivyo ana penda kuona amefanya kila kitu. R.I.P JPM hamfikii hata kidogo. Kumbe Mange anatumwa
Пікірлер: 54
Safi sana mh jakaya kikwete Bado wewe ni tegemeo la watanzania safi jk Kwa hekima zako
Jk stories zako tamu kusikiliza, ulifanya kazi kubwa kwenye uongozi wako inchi ilikuwa ngumu kisiasa
Ndio maana unaonekana kijana kwani hukuwa na mambo mengi ya ajabu ,ulipenda maisha ya watu kuliko vitu
Mkapa alitengeneza njia nzuri ambayo Kikwete na wengine wanapita na watapita. Imani yake ya kujenga taasisi yenye nguvu ndiyo inayotupa kujigamba. Mkapa na TASAF, TRA, MKURABITA na mengine mengi. Alistahili kuanza kabla ya Kikwete. Ndio sababu Kikwete alisema Mkapa kaifikisha nchi kwenye njia ya kurukia hivyo viongozi wengine wanatakiwa kuirusha nchi hii.
Mwenyezi Mungu aendelee kukupa afya timamu mstaafu Rais
But Mzee kikwete umenisaidia Sana kufanya maamuzi Bora katika mazingira ya kinyang'anyiro na ushindani uliojaa fitina na figisu. Hongera sana. Ukionesha ukomavu mkubwa Sana kisiasa. Hatimaye Mungu hamtupi mja wake.
Nimecheka sana,eti kambi wakasema tujiunge tukasajili chama kingine kweli wapambe noma,
Wee mzee wallah unanafasi yako peponi
Mzee Kikwete is larger than life celebrity leader. Tunaomba aandike vitabu tuje kijifunza kwake. God Bless Kikwete!
@iskiji1240
Жыл бұрын
Alianza muda sana kuandika nadhani mwakani anaweza kuzindua
Wewe Mzee nakukubali sana..
Huyu jamaa ana miakili sana.
Aliyepiga konyagi ni Nani please!😂😂😂😂😂
@hassanmfaume4522
Жыл бұрын
Nadhani Lowasa ..!
Nakukubali Sanaaa mzee wangu
Huyu Mzee ni mkweli yote anayosema we angalia hata baba wataifa alimkubali huyu alishangilia sana baada ya kikwete kutoa kauli ya kumuunga mkapa
Namheshimu Sana huyu kiongozi,,,,,,,,,,,
Wewe ni Rais Bora kabisa,tunajua ila tunajitoa fahamu
@mvukiedavid4332
Жыл бұрын
True confession
Hiki kichwa achana nacho kidiplomasia hakuna kama hiki raisi poa sana live long life president.
Nipeni Konyagi
Wewe unasemaa mwiz lakn wiz wakeee ulikuaa na faida kwa watu hakula peekee akee nyau la bar wewe huyu ni tpdf staminaaaaaaaa goodbles jakayaaaa
m/zimungu akuongezee umri, tuendelee kuchota hekima zako, kiukweli maneno yako matamu saaana!!!!
hiyo ndio ukweli wa chama cha ccm wanafanya wanachotaka kwenye uchaguzi sio ushindi wa halali katika kura
Unalilia ni cheo chako mwandishi fafanua vizuri kichwa cha habari
Raha sana kuskiliza the good old days
Mange kimambi kumbe yupo kwe mkondo...wa maji
Mimi namkubali sana huyu mzee anauchungu sana nchi yake bingwa sana wa siasa za bongo
Nakubari Sana Mzeeee wangu . I HOPE ONE DAY WE WILL MEET 🥰🙏
@boscojulius532
Жыл бұрын
Even me I love him so much
Sasa kama ni nani aliteka mchakato kusema urudiwe ili kumbeba mkapa Kama sio Mwl?kuna kitu unatudanganya bana na Bahati mbaya wakuulizwa wote ni marehemu
Huyu mzee noma
One day you'll come up with really really really really good if not better story than this. There is a day and that day will come
@theteacherchance6750
Жыл бұрын
Those are just the tip of the iceberg, there is plenty more underground
Kiongozi muungwana
Yaani wewe ulikuwa ni kajanja sana. Wenzako waliendeshwa na mihemko lakini wewe ulishajua Rais wa wakati ule na viongozi wakuu wa chama washaamua mgombea wao ni nani na kwakuwa wao ndio wenye serikali ukijaribu kupambana nao watakuimiza ukaamua uwaache wenye nguvu alafu wewe uendelee kujihimarisha taratibu. Ulikuwa na akili mingi sana. Ila ninakulaumu kutuwekea yule dikteta uchwala ulipokuwa unaondoka.
@hassanmfaume4522
Жыл бұрын
Sawa sawa mm nakuunga mkono asilimia mia ila yule magu mkapa ndiye aliyemuweka pale ila akakosa shukrani .!
mange kimambi.......!!!!!!
Leo mzee ndo umeuthibitishia umma kuwa CCM ni chama cha figisu figisu yaani hakunaga uchaguzi huru na haki
@petroleumexperts3442
Жыл бұрын
huna unachoelewa, hizi ni kura za maoni ndani ya chama,
@petroleumexperts3442
Жыл бұрын
we una akili sawa sawa wew
Aliyekunywa Konyagi ni nani 😀😀😀😀😀
@jacksonwanga6626
Жыл бұрын
Sitta
@amanimadinda6081
Жыл бұрын
EL
Mi naamini mzee uyu katoka hijja ataongea mengi tu
Huyu jamaa anaona yeye ndio amefanya kila kitu katika urasi wake kumbe ndio jizi kubwa subiri kaburi linakusubiri
@josephlorri431
Жыл бұрын
Nani hatakufa? Hao waliokufa walifanya nini, hakuna wa Milele haya maisha
@karaoglan9444
Жыл бұрын
Utatangulia wewe usipoangalia
@hassankurwa464
Жыл бұрын
Ndio alivyo ana penda kuona amefanya kila kitu. R.I.P JPM hamfikii hata kidogo. Kumbe Mange anatumwa
Nipeni konyagi😂😂
@fredma21x
Жыл бұрын
ninywe nife🤣🤣🤣