KABLA HAJAFARIKI, MANENO YA MWISHO YA MKAPA MBELE YA RAIS MAGUFULI

Пікірлер: 129

  • @mawananasoro4405
    @mawananasoro44054 жыл бұрын

    Buriani baba nimeumia sana mzee wetu sina la kuongea nakuombea kwa mungu akupokee watanzania tutakukumbuka daima

  • @mashimbadeograthiasmathias8583
    @mashimbadeograthiasmathias85834 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani baba Raha ya milele umpe ee Bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani.....amen×3

  • @maverickcreativesolutions8285
    @maverickcreativesolutions82854 жыл бұрын

    This guy was a real G. we have lost a champ.. You will always be remembered

  • @devothamwamwezi2036
    @devothamwamwezi20364 жыл бұрын

    Shujaa ameenda jamani Rest in Peace milele tutakukumbuka

  • @joycemwambe3494
    @joycemwambe34944 жыл бұрын

    RIP baba ,babu,mjomba tutakukumbuka daima

  • @neemamturi3273
    @neemamturi32734 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani mzee wetu ulitupenda nasi tunakupenda lakini Mungu amekupenda zaidi.

  • @eliasakhamisi9619
    @eliasakhamisi96194 жыл бұрын

    He was a legend a good president we should continue his legacy forever R.I.P our president

  • @leodegarfoyanshaw7111
    @leodegarfoyanshaw7111 Жыл бұрын

    Speech yako Mh. Mkapa yanathibitisha wewe ni genius. R.I.P baba.

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha67644 жыл бұрын

    R.i.p Benjamin Willium Mkapa.we will remember you our former president.

  • @kishimbamusic5116
    @kishimbamusic51164 жыл бұрын

    Mzee mkapa katika uongozi wake hakupendelea. Watumishi na wasiowatumishi wote walipata stahiki zao

  • @davidsekile8633
    @davidsekile86334 жыл бұрын

    Ukamilifu wa kiumbe chochote kilicho hai One Giant has Fallen Rest in Peace Former President

  • @elardmadeez3382
    @elardmadeez33824 жыл бұрын

    R.I.P BENJAMIN WILLIUM MKAPA WE WILL MISS YOU OUR SRTONG FORMER PRESIDENT

  • @hnry33henry49
    @hnry33henry494 жыл бұрын

    Mungu akuweke mahali pema

  • @emilymideva8783
    @emilymideva87834 жыл бұрын

    Rip poleni sana familiar #254🇰🇪🇰🇪

  • @cruzzyborn1435
    @cruzzyborn14354 жыл бұрын

    Naitwa William kwa7bu yako RIP wajina Mungu kakupenda zaidi upumzike mahala pema peponi Amen

  • @kwizeraelly9261
    @kwizeraelly92614 жыл бұрын

    Umepigana kwa ajili ya nchi yangu Tanzania na mwendo umeumaliza baba kwa kheri tutakutana mbinguni.

  • @rashidalihamad7228
    @rashidalihamad72284 жыл бұрын

    Upumzike salama BWM na Mungu atakulipa kwa uliyoyatangaliza, zaidi kwa ulichotufanyia Zanzibar

  • @aishamuhammad7785

    @aishamuhammad7785

    4 жыл бұрын

    Yeah, malipo yapo na mlipaji hasahau ala hafi

  • @lengoonelaandare9660
    @lengoonelaandare96604 жыл бұрын

    Hakika utakumbukwa kwa mengi uliyo yatenda R.I.P

  • @ebenezerysimon4587
    @ebenezerysimon45874 жыл бұрын

    Inauma sana Mungu mpokee kwako mbinguni😭😭😭😭😭

  • @petromkoyi6102
    @petromkoyi61024 жыл бұрын

    Rest in peace our former president

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud47414 жыл бұрын

    R.I.P Mkapa

  • @happykimaya2762
    @happykimaya27624 жыл бұрын

    Hakika kila nafsi itaonja umauti. Pumzika kwa amani mzee wetu!

  • @estermeshack610
    @estermeshack6104 жыл бұрын

    Mungu akulaze mahali pema pepon Rais wetu awam3,tulikupenda sana ila Mungu kakpenda zaid

  • @lamecklutahiwa8503
    @lamecklutahiwa85034 жыл бұрын

    R.i.p mzee MKAPA Mungu akulaze mahali pema peponi amin

  • @davidosotsi7046
    @davidosotsi70464 жыл бұрын

    Rambi rambi kwa kupoteza Rais Mkapa Poleni Mungu awarehemu

  • @IDSM_ConsultancyTraining
    @IDSM_ConsultancyTraining4 жыл бұрын

    Rest in Eternal Peace

  • @neziafranc3422
    @neziafranc34224 жыл бұрын

    Umeumaliza mwendo imani umeirinda pumzika kwa amani

  • @frankopindo765
    @frankopindo7654 жыл бұрын

    Nashukuru rais Benjamin Mkapa kwa kuinusuru Kenya kutokana vurugu ya uchaguzi wa mwaka 2007...Rest in peace....

  • @safiaothman1098
    @safiaothman10984 жыл бұрын

    Inna Lillahi Wainna Ilayhi Raji'uun.

  • @kimwerionlinetv5574
    @kimwerionlinetv55744 жыл бұрын

    Hiyo ilikuwa ni Saut iliyojaa mamlaka

  • @andreamaiko3560
    @andreamaiko35604 жыл бұрын

    R.I.P rais wangu

  • @meddyzambetakis
    @meddyzambetakis4 жыл бұрын

    Alichosema Mkapa: RUSHWA IDUMU 🤣🤣🤣🇹🇿

  • @rhodatoroka2627
    @rhodatoroka26274 жыл бұрын

    Umemaliza mwendo umevipiga vita vilivyo vizuri imani umeilinda pumzika kwa amani our former president Benjamin William Mkapa!

  • @danieljulius1163
    @danieljulius11634 жыл бұрын

    Tutakukumbuka daima kiongozi mwadilifu hakika Tz tunajivunia marais wote tulio wapata tangu enzi ya Baba wa taifa

  • @paschalcharles7986
    @paschalcharles79864 жыл бұрын

    Rest in peace our president mkapa

  • @mpendwamillanzi7166
    @mpendwamillanzi71664 жыл бұрын

    So pity you have gone too soon. Tuta imiss sana hii sauti yenye mamlaka ndani yake.

  • @SML2019
    @SML20194 жыл бұрын

    Salute. Rest in peace

  • @mirromedia5
    @mirromedia54 жыл бұрын

    RIP MZEE

  • @happydionice355
    @happydionice3554 жыл бұрын

    Rest in piece my president

  • @erodeshayo8672
    @erodeshayo86724 жыл бұрын

    R I p Mungu akutangulie

  • @ramadhanathuman940
    @ramadhanathuman9404 жыл бұрын

    Kapumzike mzee baba msalimie nkurunzinza"

  • @boniventurenyeura3967
    @boniventurenyeura39674 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani mzee wetu

  • @imanibensoni8274
    @imanibensoni82744 жыл бұрын

    RIP BWM

  • @franklugalamila3577
    @franklugalamila35774 жыл бұрын

    duuuh mungu akupumuzishe kwa amani

  • @vanessastafford5120
    @vanessastafford51204 жыл бұрын

    Pole sana Mama Anna Mkapa. Rest In Peace Kamanda

  • @zeituniismail2946
    @zeituniismail29464 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani hakika tutakukumbuka sana mzee wetu

  • @abuutasniym2675

    @abuutasniym2675

    4 жыл бұрын

    Hana amani atakayo ipata muuwaji mkubwa uyo amesha anza kukiona kile alicho kipanda Mm siwezi kusahau mauwaji aliyo yafanya Januari 21 mwaka 2001 kule Zanzibar hususan Pemba Watu kunajisiwa nakulawitiwa mke kwamume nawengine hadi leo vilema. Sasa nashangaa kuona mtu mwenye majina yaliyo tajwa ndani ya Qur'an kusema maneno kama hayo Apo hakuna amani kabisa wote walio kufa nakudhulimiwa nakuteseka kwasababu yake wanamsubiri

  • @zeituniismail2946

    @zeituniismail2946

    4 жыл бұрын

    Hiyo kazi ni ya Mwenyez Mungu yeye ndiye ayajuaye madhambi yetu huwez kuhukumu wewe

  • @is-hakayussuf9981

    @is-hakayussuf9981

    4 жыл бұрын

    @@zeituniismail2946 tena una majina mazur Maa Sha Allah

  • @alhamdulillah5796

    @alhamdulillah5796

    4 жыл бұрын

    @@zeituniismail2946, Hata km lkn pia sote tunajua kua hakua muisilam. Kwa hio mwenye hio kazi ya kuhukumu Allah ameeka wazi ktk Qur-an kwa kusema:- Qur-an 9:113. "Haipaswi Nabii na wale walioamini kuwatakia msamaha washirikina, ijapokua ni jamaa zao, baada ya kwisha bainika kua hao ni watu wa motoni".

  • @alhamdulillah5796

    @alhamdulillah5796

    4 жыл бұрын

    @@zeituniismail2946, Sasa apumzike wapi pa amani na ikiwa Allah ameshakataza kwenye Qur-an? Zeitun ndugu yangu kinachoelezwa/kukatazwa kwenye Qur-an kina uzito na kizingatie zaidi mana ni maneno yanatoka straight kwa Allah na sio hadithi km tutasema alisikiwa na nani huenda ikawa sawa au sio.

  • @immanuelrobert569
    @immanuelrobert5694 жыл бұрын

    Inauma sana, , ,

  • @amanimanase5794
    @amanimanase57944 жыл бұрын

    Sauti ya mamlaka iyo RIP MR PRESIDENT

  • @hermanmasengo6188
    @hermanmasengo61884 жыл бұрын

    Hakika atakumbukwa milele

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo4 жыл бұрын

    Rip Big Ben😭😭😭

  • @wilsonmwenda1509
    @wilsonmwenda15094 жыл бұрын

    R.i.p father

  • @zeituniismail2946

    @zeituniismail2946

    4 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani hakika tutakukumbuka sana mzee wetu

  • @aminamakacha6258
    @aminamakacha62584 жыл бұрын

    Rest in peace my father😄😭😭

  • @sponsor7882
    @sponsor78824 жыл бұрын

    Rais aliyetuanganisha na majirani zetu na wawekezaji.

  • @J4UPro

    @J4UPro

    4 жыл бұрын

    Hahahaha hapa kuna kitu

  • @doreenkahunde3186
    @doreenkahunde31864 жыл бұрын

    Oh dear rest well

  • @diamondgeyser7987
    @diamondgeyser79874 жыл бұрын

    Wosia wa Busara na hekima kutoka kwa kiongozi wetu mpendwa( R.I.P BENJAMIN MKAPA)., "MAGUFULI ENEDELEA HIVYO HIVYO MBELE KWA MBELE"

  • @shammusfredy4158
    @shammusfredy41584 жыл бұрын

    Hayo maneno ataenda kuyamalizia mbele ya Allah , na akajibu mashtaka ya mauwaji ya wazanzibari

  • @jackmichael1953

    @jackmichael1953

    4 жыл бұрын

    Mkapa aliwaua au ilikuwaje?

  • @josephignas3436

    @josephignas3436

    4 жыл бұрын

    Una uhakika? Wewe ndo uangalie usije ukaenda motoni kwa kusema maneno usiyo na uhakika nayo

  • @shijabrayan4764

    @shijabrayan4764

    4 жыл бұрын

    @@josephignas3436 aa kumbe iv aliwauaje ebu2pe uo ubuyu lafiki e2

  • @paulgideon3188
    @paulgideon31884 жыл бұрын

    Pumzika kwa aman mzee wetu mkapa

  • @azizimakwesa240
    @azizimakwesa2404 жыл бұрын

    Mbele yako nyuma yetu mzee NENDA kapumzike salama 😭☹️

  • @josephkimani4985
    @josephkimani49854 жыл бұрын

    R.I.P rais

  • @abuutasniym2675
    @abuutasniym26754 жыл бұрын

    Nyinyi mnao sema R.I.P. (Rest In Peace)/Pumzika kwa Amani. Hivi mnadhani kaburi ama akhera ninyumba yenu ata mumwambie mtu pumzika kwaamani? Wewe kama mwanaadamu nahususan kama wewe ni muislamu basi haikupasi kusema maneno hayo kwayeyote yule. Mamlaka yakusema maneno hayo niwewe kumkaribisha mtu nyumbani kwako ama kazini kwako au ofisini kwako tuu kwasababu hizo nisehemu unazo zimiliki wewe kwahio unayo haki yakumwambia mtu pumzika kwa amani nautulivu pia Ila maisha yakaburini ile sio nyumba yako huna mamlaka Bali wewe inakufalia kusema Allaah akurehemu/akusamehe/akupe kauli Tahiti. Apo utakua umemuombea dua kwa kumuacha Allaah afanye kinacho stahiki. Ama kusema pumzika kwa amani hilo neno halifai kwamuislamu kulitamka

  • @michaelhyungim8174

    @michaelhyungim8174

    4 жыл бұрын

    That's the problem with Islamic, too much religious. Ya nini kujifanya mtu wa dini dear ?? Huh , kwani unazani hawo waislamu wanao comment R.I.P hawajui maandiko ya Quran. Kumbuka hapa kuna watu wenye dini za kila aina na kila mtu ana commenting anacho taka . So shut up

  • @piusacademic3256

    @piusacademic3256

    4 жыл бұрын

    Jarjaani Gezina ww ni mjinga sana pia yafaa kukuripoti tcra. Kuna laana inakutafuna si bure. Comment zako zote ni za kipumbavu. Kama unajua kuwa hukumu ni ya Mungu pekee sasa mbona ww umeingilia kazi za Mungu kwa kuhukumu wenzio akiwemo Rais wetu mpendwa marehemu BwM? Jirekebishe.

  • @abuutasniym2675

    @abuutasniym2675

    4 жыл бұрын

    Wewe katoe tuu ripoti hivi unadhania mm naogopa hebu nenda haraka naona wachelewa

  • @abuutasniym2675

    @abuutasniym2675

    4 жыл бұрын

    @@piusacademic3256 Sikulaumu ndugu hio niimani yako wacha mm niwe mjinga tuu kisha kua wewe mwerevu haijalishi Ila pia sms zangu ziko wazi nilikua nimewakusudia zaidi Waislamu

  • @hazaaahmadhazaa2770

    @hazaaahmadhazaa2770

    4 жыл бұрын

    Nafikiri hamkumuelewa alichokisema, Anasema kusema " KAPUMZIKE KWA AMANI" ni kama tunatoa amri kwamba " AKAPUMZIKE " ndio maana mbele akasema inatakiwa mtu akifa tumuombee asemehewe makosa na apokelewe vizuri huko aendako, sioni kama kuna tatizo kwenye dhamira ya alichokisema. Sasa mtu ukipewa machaguo mawili umfanyie mpendwa wako aliyefariki kati ya 1.kusema "PUMZIKA KWA AMANI" AU 2.KUMUOMBEA MSAMAHA MUNGU AMPOKEE VIZURI sijui utachagua kipi kati ya hayo!??

  • @hinedmaganga6351
    @hinedmaganga63514 жыл бұрын

    May God pay u for the good things and changes that u made during your life time

  • @kwizeraelly9261
    @kwizeraelly92614 жыл бұрын

    Tutakukumbuka daima baba uliinua mishahara ya watumishi walidharauliwa hapo zamani na kila mtu ila ukumbukwe kwa kuibadilisha mishahara ya watumishi.Tukutane asubuhi njema.

  • @kombowazuhura1617
    @kombowazuhura16174 жыл бұрын

    RIP Anko Ben

  • @jacksonmashaka9322
    @jacksonmashaka93224 жыл бұрын

    Mmmmh mkapa

  • @peterkipenye2983
    @peterkipenye29834 жыл бұрын

    R I P mheshimiwa rais wang

  • @mustafayasini1559

    @mustafayasini1559

    4 жыл бұрын

    Mustapha yasin mungu ailaze roho take mahali pema

  • @mpendwamillanzi7166

    @mpendwamillanzi7166

    4 жыл бұрын

    Mimi pia ni rais wangu

  • @amosmoses7800
    @amosmoses78004 жыл бұрын

    Mimi ni MLUTHERI na wala sitetereki wala kuhofia kitu. Lakini tunavyoendeshwa na hii serikali chafu ya kiBaguzi ya ccm ni UONEVU mkubwa wa haki za raia. Serikali ya ccm ya KIKATOLIKI ndio iliochukua Utawala baada tu ya uhuru ( uhuru wa bendera ) hadi ivi sasa ccm ya KIKATOLIKI wanaendelea kutawala inchi. Hakukuwepo wala musitegemee kuwepo na Raisi kutoka dhehebu jengine inchini Tanzania. Ata hao waislamu ni mizuzu tu isiojitambua hadi Leo hii. Wengi ndio waliopigania uhuru. Wengi ndio waliouwawa kwenye mapambano. Lakini wengi wao ivi sasa wanatumika kwa ajili ya KURA. idadi yao ni kubwa kwenye visanduku. Kwavile wanajulikana ni Maboya tu. Akili hakuna na Elimu hakuna. Tunaelewa agenda ya serikali ya ccm tokea ianzishwe ni KUWAWEKA WAKATOLIKI INCHINI NAFASI ZA JUU KATIKA KILA MAENEO. JESHINI. POLISH. MAGEREZA. WIZARANI.IDARANI. VYUONI. MAENEO NYETI YA IKULU . MAENEO NYETI YA UCHUMI. MAENEO NYETI YA MIHELA . Uyo aliefariki tunamjua ni mtu aliekuwa akiendeleza na kusimamia AGENDA na MAAZIMIO ya Mzee kambarage. Hatushangazwi kuona mazishi yake yakigarimu maBilioni ya hela za inchi katika kipindi ichi kigumu cha UCHUMI . Embu tusubiri mazishi ya Mzee ruhsa watamfanyia nini ^^^ ccm ni chama cha WAKATOLIKI ..kimeasisiwa kwa malengo malumu. Wapumbavu na Wajinga wataendelea tu kukipigia kura ili wapate kofia na sh 20, 000 .huku wakiendelea kula dagaa wakavu na sembe. Nguo zao viraka vitupu. Elimu kwao inaishia darasa la saba. Ili awe tu mjinga Asione mbele. Hakuna MLUTHERI aliepo ccm ila atakuwa zezeta hilo. Bv

  • @rachellaizer941
    @rachellaizer9414 жыл бұрын

    Baba zetu wanatuacha jamani rip our president

  • @fatumamcharo3929
    @fatumamcharo39294 жыл бұрын

    Nenda baba!!! Nasi tuko nyuma yako!!😢😢

  • @omarymussa3535
    @omarymussa35354 жыл бұрын

    R.i.p

  • @janatamoe3466
    @janatamoe34664 жыл бұрын

    Rest in peace

  • @salehejongo2799
    @salehejongo27994 жыл бұрын

    R.I.P.

  • @zozohmeed5546
    @zozohmeed55464 жыл бұрын

    R I P baba etu

  • @eshynassor5666
    @eshynassor56664 жыл бұрын

    Rest in peace Mr President

  • @mwambamkombozi4672
    @mwambamkombozi46724 жыл бұрын

    Muuaji mkubwa dhalim number one we will never forget. Allah ndie hakimu.

  • @mariamramadhani6185

    @mariamramadhani6185

    4 жыл бұрын

    Duh

  • @jackmichael1953

    @jackmichael1953

    4 жыл бұрын

    @@mariamramadhani6185 nashangaa kama nini sijui binadamu tupoje jamani mtu akijalalia huku unatoa maneno mazito ambayo hata hakusikii, simngesema wakati alipo kuwa hai ili ajue amekosea na awaombe msamaha? Huyo allah unaemsema huenda mwenzio alishatubu na pepo anaiona wewe huku unabaki kuidhurumu nafsi kwa maneno mazito.

  • @alinadee8207

    @alinadee8207

    4 жыл бұрын

    Tena km muuwaji asisemwe

  • @mwambamkombozi4672

    @mwambamkombozi4672

    4 жыл бұрын

    @@jackmichael1953 hujui ukisemacho alijidai kuwa atawalipa fidia alipwaua na wengine kuwatia vilema na kuwasababishia watu kuwa vizuka na wengine kuwaacha kuwa mayatima

  • @josephmasebu7848
    @josephmasebu78484 жыл бұрын

    Hi

  • @andrewemmanuel9585
    @andrewemmanuel95854 жыл бұрын

    R.I .P

  • @dianakipuyo1910
    @dianakipuyo19104 жыл бұрын

    RIP beloved former President

  • @hamadkhamis8963

    @hamadkhamis8963

    4 жыл бұрын

    ان لله و ان اليه راجعون

  • @J4UPro
    @J4UPro4 жыл бұрын

    Pumnzika kwa amani mzee

  • @shukafuraha8272
    @shukafuraha82724 жыл бұрын

    Rip

  • @gracesamson8768
    @gracesamson87684 жыл бұрын

    RIP

  • @deominja7908
    @deominja79084 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani Mzee wetu

  • @marrysaimon4330
    @marrysaimon43304 жыл бұрын

    R.I.P in Peace

  • @psalmjr4145
    @psalmjr41454 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani

  • @rechrontv2453
    @rechrontv24534 жыл бұрын

    HISTORIA YA MH. RAIS BENJAMIN MKAPA (gusa link👇👇👇Kutazama) kzread.info/dash/bejne/kZaK0ZOTk8fffbQ.html

  • @mirrortvonline8530
    @mirrortvonline85304 жыл бұрын

    Tazama kauli ya Magufuli kuhusu eneo atakalozikwa Mkapa :- kzread.info/dash/bejne/dGR-spOzZNyrm7w.html

  • @solomonkikeke2795
    @solomonkikeke27954 жыл бұрын

    R.I.P MZEE WETU MKAPA WATANZANIA TUJIFARIJI NA WIMBO HUU KIPINDI HIKI KIGUMU kzread.info/dash/bejne/mZmhq8afZbfZc84.html

  • @alikhalfan9551
    @alikhalfan95514 жыл бұрын

    Mauti jifunzeni viongozi musijisahau tendeni haki dhulma hazifai

  • @jackmichael1953

    @jackmichael1953

    4 жыл бұрын

    ndugu yangu kwani mauti haimkuti anaetenda wema? mwacheni apumzike

  • @alikhalfan9551

    @alikhalfan9551

    4 жыл бұрын

    @@jackmichael1953 kila kilicho umbwa kitakufa kila nafsi itaonja mauti lkn binadamu uloumbwa umepewa nafasi ya kutenda mema sio maovu sisi wazanzibari bado hatutosahau alichotufanyia 2001 nyie msifuni kwa mema lkn kila mtenda maovu mwisho wake mbaya binadamu hamuna kitu lkn tunajisahau Sana tunapopata dhamana za uongozi

  • @anwaritekajole4376
    @anwaritekajole43764 жыл бұрын

    Rest in peace dady

  • @elinamimsuya7234
    @elinamimsuya72344 жыл бұрын

    Sauti yako itakumbukwa milele baba yatu.

  • @hallin9561
    @hallin95614 жыл бұрын

    January 2001 Zanzibar

  • @aishamuhammad7785

    @aishamuhammad7785

    4 жыл бұрын

    Tunaikumbuka vyema

  • @andreamajjar8256

    @andreamajjar8256

    4 жыл бұрын

    Kulikuwa na nn 2001,Zanzibar ongea tujue

  • @aishamuhammad7785

    @aishamuhammad7785

    4 жыл бұрын

    Andrea Majjar mkapa alipeleka jeshi Pemba wakauwa raia na kuwanajis

  • @piusacademic3256

    @piusacademic3256

    4 жыл бұрын

    Aisha Muhammad je midhambi yote unayoifanya ikiwemo ya kulala guest house tena na waume za watu unaikumbuka? Mbona husemi ya kwako unasema ya wenzio? Utakufa vbaya mrudie Mungu wa mbinguni akusamehe dhambi zako wewe. Ujinga umejaa rohoni mwako.

  • @jackmichael1953

    @jackmichael1953

    4 жыл бұрын

    @@aishamuhammad7785 Tuwe na hofu ya Mungu jamani, hivi kweli Mkapa anaweza kuwapelekea wanajeshi kufanya mambo hayo, hivi hatujiulizi kuwa ndani ya vurugu kama hizi na watu wengine huwa wana-take advantage wakati wa mambo kama hayo? Mungu huyu sio wa mtu mmoja kiasi cha kutoa hukumu naye akakusikiliza huenda mwenzenu alishatubu na Mungu amemsamehe na amepokelewa huku nyie mnakumbuka na kuumia. Sisi wenyewe tuwadhambi hatujawa watakatifu/wakamilifu na hatupaswi kunyoosha kidole kwa mwingine.

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy70474 жыл бұрын

    Tuta

  • @nyangigelucas3050
    @nyangigelucas30504 жыл бұрын

    Rip

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima56744 жыл бұрын

    Rip

Келесі