Maisha Yangu, Nia Yangu: Historia ya Rais Mkapa, maisha ya dhiki na jinsi Bibi yake alivyouawa

Kama yalivyo maisha ya kila binadamu, safari ya Rais Mstaafu wa awamu ya 3 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imefikia mwisho usiku wa kumkia Ijumaa ya July 24. Kifo chake kilitangazwa live kwenye TV na Rais Dkt John Pombe Magufuli ambaye uso wake ulionesha dhahiri huzuni kubwa aliyokuwa nayo.
November mwaka 2019, Mhe. Mkapa alizindua kitabu cha historia yake kiitwacho My Life, My Purpose. Kwenye uzinduzi huo. Prof. Rwekaza Mukandala, alisimulia kwa ufupi kile kilichoandikwa kwenye kitabu hicho.
Kwa kutumia alichokiandika Prof. Mukandala, ifahamu historia yake

Пікірлер: 162

  • @successpathnetwork
    @successpathnetwork4 жыл бұрын

    Tutamkumbuka kwa mengi. Makala nzuri sana "Sky Walker"

  • @zclassicfashionz

    @zclassicfashionz

    4 жыл бұрын

    𝐒𝐚𝐟𝐢 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐤𝐚𝐤𝐚

  • @blankakecy2464
    @blankakecy24644 жыл бұрын

    So Inspired Na Raisi Wangu Mkapa Acha Tujitume Baba Ahsnte Kwa Yote Uliofanya,Mwendo Umemaliza Rest In Internal Peace Legends 🙏

  • @magrethmanintveld2486
    @magrethmanintveld24864 жыл бұрын

    Mungu amlaze mahala pema peponi, bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe,AMEN

  • @fallymetoo191
    @fallymetoo1914 жыл бұрын

    INNALLILLAHI Wainna ilaihi rajeuun tuwe pole watanzania pamoja na familia yake kwa ujumla. 🤲

  • @rossefelix3126
    @rossefelix31264 жыл бұрын

    Mungu amlaze pema peponi nenda baba nasi twaja katika siku ninazokeshaga Leo ndo nimepata habari mbaya na ndo yakulalia najaribu kuangalia jinsi vyombo vya habari vitakavyo zizima @sns mmekuwa wa pili kuiweka after Millard kweli mnachapa kazi God bless u #SNS

  • @fofonadia3657
    @fofonadia36574 жыл бұрын

    Pole watanzanie na familia yake🇧🇮

  • @zubedaali4155
    @zubedaali41554 жыл бұрын

    Yahani kiufupi katutendea mengi amazing tunakuombea kwamwenyezimungu apuguziwe azabu zakaburi amina

  • @dr.kassimumtunguja6978
    @dr.kassimumtunguja69784 жыл бұрын

    NDANDA high Alumna. Nikiwa kama Mwana Ndanda Nimesikitishwa sana Na kifo cha Mwana Ndanda Mwenzetu His Excellence Benjamin W Mkapa . Mungu Ampumzishe mahala panapostahili 🙏🙏

  • @veeJesus

    @veeJesus

    4 жыл бұрын

    😭😭😭

  • @gibsonyshadrack4543
    @gibsonyshadrack45434 жыл бұрын

    Pole sisi watanzania , Mungu amtangulie naayatizamr mema yake baba mkapa amee

  • @noelmarapachi1808
    @noelmarapachi18084 жыл бұрын

    Makala nzuri sana, sky walker uko vizuri sana kaka! Najaribu kupiga picha ya tofauti ya wewe na hivi vi so called presenters vya sasa hivi, ambavyo kila wanacho hoji wana lazimisha kihusiane na UDAKU

  • @stellamachunde7734
    @stellamachunde77344 жыл бұрын

    Mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani. Amina. RIP

  • @emmnzey713

    @emmnzey713

    4 жыл бұрын

    Amina 🤲🤲🤲

  • @ashuraussein7582

    @ashuraussein7582

    4 жыл бұрын

    Amin

  • @happykimaya2762

    @happykimaya2762

    4 жыл бұрын

    Amina

  • @mariyamdalas8091

    @mariyamdalas8091

    4 жыл бұрын

    AMEEN

  • @abduljumanne1667
    @abduljumanne16674 жыл бұрын

    Tutamkumbuka kwa mengi sana,yeye katangulia tu lakini nasi tunafuatia😥..Makala nzuri brother Sky alway's nakukubali👍

  • @avitrujweka2113
    @avitrujweka21134 жыл бұрын

    Simulizi nzuri sana Brother Sky, ahsante sana 🙏 #RIPMkapa

  • @tanzaniaoman6423
    @tanzaniaoman64234 жыл бұрын

    Asante nimefurahi kujua historia ya mhe Ben Mkapa NwenyenziMungu amlaze mahala pema peponi Ameen tutamkumbuka daima

  • @zubedaali4155
    @zubedaali41554 жыл бұрын

    Mungu mpumuzishe kwa hamani mzee mkapa amina

  • @aminaabdallah3644
    @aminaabdallah36444 жыл бұрын

    Innal lillah waina illah rajiun poleni Tanzania 🇹🇿

  • @teresiamutua4487
    @teresiamutua44874 жыл бұрын

    So sad condolences to the people of Tanzania,may God give you people peace at this hard tym,may his soul rest in peace

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia10244 жыл бұрын

    Raha ya milele umpe ehee Bwana mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa Amani 🙏🙏💔💔💔😭

  • @susanraphael5894
    @susanraphael58944 жыл бұрын

    imeniuma sana basi tu namshukuru Mungu kwa kila jambo I.R.P OUR lovely fomer president.

  • @maryamm7765
    @maryamm77654 жыл бұрын

    Mungu atupe mwisho mwema Yarab 😭😭😭

  • @ashuraussein7582

    @ashuraussein7582

    4 жыл бұрын

    Amin yarrabi 🤲

  • @mariyamdalas8091

    @mariyamdalas8091

    4 жыл бұрын

    AMEEN

  • @pujimontanapachino4958
    @pujimontanapachino49584 жыл бұрын

    Mungu amuwekewe pema peponi mzee mkapa watanzania wote watoto wababa mmoja tuungane pamoja.😭🙏🏾✊🏾✌🏾

  • @susanruo8087
    @susanruo80874 жыл бұрын

    22:15 ...... Taking me back in 2007 huko kwetu Kenya 😭😭😭 Pumzika kwa amani Mheshimiwa, mbele yake nyuma yetu 🙏🙏

  • @bintimohamed2646
    @bintimohamed26464 жыл бұрын

    Pole Pole sana sana DR Magufuli 🙏🏽😭 May he soul Rest In Peace 😭😭🇹🇿

  • @zuricakes6817
    @zuricakes68174 жыл бұрын

    RIP Pres. Mkapa. Good job Sky

  • @borahmlamba5030
    @borahmlamba50304 жыл бұрын

    Ewe mola waviumbe,mpe kauli thabiti Rais wetu baba yetu,Ameeni🙏🏾

  • @magrethjohn4929
    @magrethjohn49294 жыл бұрын

    Mungu amrehemu mbele yake nyuma yetu. Amen

  • @bryanriwas
    @bryanriwas4 жыл бұрын

    Gud job my brther @Skytz

  • @maryamm7765
    @maryamm77654 жыл бұрын

    Inalilah wainailah rajiun Mungu amlaze pahala pema

  • @khadeejaabdullah7083
    @khadeejaabdullah70834 жыл бұрын

    Innaillah wainna lilah rajiu'n

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow13234 жыл бұрын

    Innalillah wainna ilaih raj'iun pumzika kwa aman historia nzuri sana mwil wote umesisimka dah

  • @upendolyanga1973
    @upendolyanga19734 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani, Mwenyezi Mungu akupokee kwa aman🙏

  • @emmanuelgabagendi3169
    @emmanuelgabagendi31694 жыл бұрын

    Aise😭

  • @stanfordjeremiah8943
    @stanfordjeremiah89434 жыл бұрын

    Sky wizzy gentry wizzy!! much respect, you have good voice brother

  • @ainalemah7783
    @ainalemah77834 жыл бұрын

    Mungu ailaze roho mahar pema pepon amen tutakukumbuka daima

  • @fhhffh6382
    @fhhffh63824 жыл бұрын

    My condolences to tanzania n the family. May God gve them peace in this hard tym.#254

  • @ayshazsalim397
    @ayshazsalim3974 жыл бұрын

    Oooh nmeumia sn😢😢

  • @saidakessy3175
    @saidakessy31754 жыл бұрын

    Excellent content🔥

  • @baranmohamedmbashir5299
    @baranmohamedmbashir52994 жыл бұрын

    Inalila inalila rajiun pole sana ndungu zote mungu amuake pema penye wema peponi inshallah

  • @gfdasd6287
    @gfdasd62874 жыл бұрын

    So said

  • @neemalyamuya1105
    @neemalyamuya11054 жыл бұрын

    Raha yamilele umpe ee bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa Aman . Amina 🙏

  • @tobiasichuwa8784
    @tobiasichuwa87844 жыл бұрын

    Tutakukumbuka daima tangulia baba safari yetu ni moja tangulia kamanda

  • @maryamm7765
    @maryamm77654 жыл бұрын

    Dah story nzuri

  • @user-nn7uf1mr7x
    @user-nn7uf1mr7x4 ай бұрын

    Linaloho mbaya sana hili limalehemu

  • @baranmohamedmbashir5299
    @baranmohamedmbashir52994 жыл бұрын

    Mungu awape subra sana

  • @bahatimohamadi5904
    @bahatimohamadi59044 жыл бұрын

    😓😭😭😭😢😢😢innalillah wainna rajioun

  • @angeljasson4376
    @angeljasson43764 жыл бұрын

    Rest in peace papa 😥

  • @bueno1818
    @bueno18184 жыл бұрын

    Rest in peace! Mbele yake nyuma yetu!!

  • @markkayuni99
    @markkayuni994 жыл бұрын

    Big yes

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi38994 жыл бұрын

    Mungu amlaze mahala.pema

  • @rehemashafi4809
    @rehemashafi48094 жыл бұрын

    Kweli rais magufuli apo alikuwa na huzuni mkubwa sana pole sana mjomba magu rest in peace mkapa kila nafsi itaonja Umauti 😢😢😢🙏🙏🙏🙏

  • @tumpelukongolukongo4069
    @tumpelukongolukongo40694 жыл бұрын

    Ooh ni masikitiko sana RIP

  • @kelvin8324
    @kelvin83244 жыл бұрын

    Pole kwa watanzania wote.....R.I.P Mr.President🕯🕯

  • @ssaa7495
    @ssaa74954 жыл бұрын

    Nimelia mimi 😭😭💔🕊️🖤

  • @farihiamass8739
    @farihiamass87394 жыл бұрын

    Yaan akishakufa utasikia masifa kibao akiwa hai mmmmmh

  • @tanzaniaoman6423
    @tanzaniaoman64234 жыл бұрын

    Mbele yako nyuma yetu baba😢😢 tutakukumbuka daima

  • @bihizaclement9868
    @bihizaclement98684 жыл бұрын

    Mungu amlaze mahala pema peponi🙏

  • @gerentinamwainyekule6790
    @gerentinamwainyekule67904 жыл бұрын

    Simulizi nzuri

  • @josephwilliam4352
    @josephwilliam43524 жыл бұрын

    Daaah inauma sana asee,Ila ndo hatuna Jinsi ,mwndo ameumaliza imani ameilinda

  • @latriciah01augustino67
    @latriciah01augustino674 жыл бұрын

    Innah lilah wahnailah rajoun

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy18124 жыл бұрын

    From 🇧🇮 Saudia pole ni wa tanzania

  • @mozeszengo7096

    @mozeszengo7096

    4 жыл бұрын

    🙏🙏🇹🇿🇹🇿

  • @zennakailo8106
    @zennakailo81064 жыл бұрын

    Kafa baba kiukweli ss Wa Masasi tutapat shida mno maaana watu wa Lupasi yeye ndo kainua

  • @rushurikarashid3018
    @rushurikarashid30184 жыл бұрын

    Inna lillah wainnailehy rajioun

  • @alexoklnda2353
    @alexoklnda23534 жыл бұрын

    Oh my God

  • @zennakailo8106
    @zennakailo81064 жыл бұрын

    Inauma sana😭😭😭

  • @dr.kassimumtunguja6978
    @dr.kassimumtunguja69784 жыл бұрын

    Rest easy Mzee wetu Mkapa.🙏

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje28874 жыл бұрын

    Huyu jmaaa mwanaharakati Sana 😥

  • @josephsiwale7252
    @josephsiwale72524 жыл бұрын

    be blessed bro kwa kazi nzuri

  • @josephsiwale7252

    @josephsiwale7252

    4 жыл бұрын

    rest in peace 😭😭😭😭

  • @hassanisolah1689
    @hassanisolah16894 жыл бұрын

    Tanguria kwa amani laisi wetu mpendwa

  • @jayratumaulid582
    @jayratumaulid5824 жыл бұрын

    Innalillah wainnaillahi rajiun 😭

  • @user-kq2nb9lf8f
    @user-kq2nb9lf8f8 ай бұрын

    Vizuri

  • @hjhj6230
    @hjhj62304 жыл бұрын

    Innalilah wainna ilah rajiuun

  • @zabibunduwimana4612
    @zabibunduwimana46124 жыл бұрын

    Innalillah wa Innalillah wa Rajun poleni sana😭😭

  • @annacarren9892
    @annacarren98924 жыл бұрын

    Dah r.i.p mkapa

  • @hassanramadhani2450
    @hassanramadhani24504 жыл бұрын

    Inna lillah wainna illah rajiun 😢

  • @mawiamlabon5814
    @mawiamlabon58144 жыл бұрын

    Allaah akulaze mahal pem pepon bd tunakupend nabad tutakukumbuka

  • @fzlcomrajabu9514
    @fzlcomrajabu9514 Жыл бұрын

    🙏🙏

  • @zubeirzanzibar6613
    @zubeirzanzibar66134 жыл бұрын

    Mungu akuweke unapo sitahili milele

  • @saidahj2543
    @saidahj25434 жыл бұрын

    Thanks sky...this is great...rip retired presda

  • @richardmajula7488
    @richardmajula74884 жыл бұрын

    R I p😭😭😭😭😭😭

  • @asinathasinath5090
    @asinathasinath50904 жыл бұрын

    Rip daddy 😢😢😢😢🙏🙏

  • @sharifaabdullah6825
    @sharifaabdullah68254 жыл бұрын

    Innalilah wainailah rajuun

  • @rajabkhatib5586
    @rajabkhatib55864 жыл бұрын

    😥😥

  • @raphaelmenza5033
    @raphaelmenza50334 жыл бұрын

    R.I .P🙏

  • @WaridawaridaWarida
    @WaridawaridaWarida4 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani hakika tumejifunza mengi kupitia history yako😭

  • @jamaryribson3165
    @jamaryribson31654 жыл бұрын

    R.I.P

  • @justinjoshua1059
    @justinjoshua10594 жыл бұрын

    Apumzike kwa amani 😭😭😭

  • @WaridawaridaWarida
    @WaridawaridaWarida4 жыл бұрын

    😭😭😭

  • @fauahamisi1097
    @fauahamisi10974 жыл бұрын

    Msiba wa kitaifa watanzania tumeumia sana Pole tanzania pole South tz nguzo yetu tegemeo imedondoka pande za kusin alikua anamaliza migogoro yte kusin .leo itakuaje cc ni wa taabu

  • @leylahleylah4599
    @leylahleylah45994 жыл бұрын

    Muwe mnatuletea makala kama hii mtu akiwa hai..msisubiri mpka afe 🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️

  • @veeJesus

    @veeJesus

    4 жыл бұрын

    Fanya hivyo wew

  • @rahmaali4009

    @rahmaali4009

    4 жыл бұрын

    Wanetu wa jifunze

  • @jimkellyngige981
    @jimkellyngige9814 жыл бұрын

    R.I.P Mkapa

  • @jessydaktari5209
    @jessydaktari52094 жыл бұрын

    rest easy babu mpaka mzee wetu,,

  • @maryamhassan7000
    @maryamhassan70004 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭

  • @zainabalramdhan2509
    @zainabalramdhan25094 жыл бұрын

    😭😭😭😭

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes31614 жыл бұрын

    hakika kifo siyo kitu kirahisi kupokeya Rais paka ninapo mutizama natoka na mashozi. pole sana watazania

  • @pujimontanapachino4958
    @pujimontanapachino49584 жыл бұрын

    Hichi kitabu nitakununua ishaallh kaongea ukweli wote kuhusu life ya tanzania ilivyokua mafisadi walikua wengi sana now naiyona Tanzania mpya yenyekupendeza mbeleni.

  • @winnymagac5107
    @winnymagac51074 жыл бұрын

    Rest in peace

  • @mawiamlabon5814
    @mawiamlabon58144 жыл бұрын

    😭😭😭😭😢

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah70794 жыл бұрын

    R.I.P.

  • @kaburaakbar4838
    @kaburaakbar48384 жыл бұрын

    Innalillah wa inalillah rajun

  • @nzeyimanashukrani3425
    @nzeyimanashukrani34254 жыл бұрын

    Innalilah wa inna ilahi rajuun

Келесі