Maisha Yangu, Nia Yangu: Historia ya Rais Mkapa, maisha ya dhiki na jinsi Bibi yake alivyouawa
Kama yalivyo maisha ya kila binadamu, safari ya Rais Mstaafu wa awamu ya 3 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imefikia mwisho usiku wa kumkia Ijumaa ya July 24. Kifo chake kilitangazwa live kwenye TV na Rais Dkt John Pombe Magufuli ambaye uso wake ulionesha dhahiri huzuni kubwa aliyokuwa nayo.
November mwaka 2019, Mhe. Mkapa alizindua kitabu cha historia yake kiitwacho My Life, My Purpose. Kwenye uzinduzi huo. Prof. Rwekaza Mukandala, alisimulia kwa ufupi kile kilichoandikwa kwenye kitabu hicho.
Kwa kutumia alichokiandika Prof. Mukandala, ifahamu historia yake
Пікірлер: 162
Tutamkumbuka kwa mengi. Makala nzuri sana "Sky Walker"
@zclassicfashionz
4 жыл бұрын
𝐒𝐚𝐟𝐢 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐤𝐚𝐤𝐚
So Inspired Na Raisi Wangu Mkapa Acha Tujitume Baba Ahsnte Kwa Yote Uliofanya,Mwendo Umemaliza Rest In Internal Peace Legends 🙏
Mungu amlaze mahala pema peponi, bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe,AMEN
INNALLILLAHI Wainna ilaihi rajeuun tuwe pole watanzania pamoja na familia yake kwa ujumla. 🤲
Mungu amlaze pema peponi nenda baba nasi twaja katika siku ninazokeshaga Leo ndo nimepata habari mbaya na ndo yakulalia najaribu kuangalia jinsi vyombo vya habari vitakavyo zizima @sns mmekuwa wa pili kuiweka after Millard kweli mnachapa kazi God bless u #SNS
Pole watanzanie na familia yake🇧🇮
Yahani kiufupi katutendea mengi amazing tunakuombea kwamwenyezimungu apuguziwe azabu zakaburi amina
NDANDA high Alumna. Nikiwa kama Mwana Ndanda Nimesikitishwa sana Na kifo cha Mwana Ndanda Mwenzetu His Excellence Benjamin W Mkapa . Mungu Ampumzishe mahala panapostahili 🙏🙏
@veeJesus
4 жыл бұрын
😭😭😭
Pole sisi watanzania , Mungu amtangulie naayatizamr mema yake baba mkapa amee
Makala nzuri sana, sky walker uko vizuri sana kaka! Najaribu kupiga picha ya tofauti ya wewe na hivi vi so called presenters vya sasa hivi, ambavyo kila wanacho hoji wana lazimisha kihusiane na UDAKU
Mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani. Amina. RIP
@emmnzey713
4 жыл бұрын
Amina 🤲🤲🤲
@ashuraussein7582
4 жыл бұрын
Amin
@happykimaya2762
4 жыл бұрын
Amina
@mariyamdalas8091
4 жыл бұрын
AMEEN
Tutamkumbuka kwa mengi sana,yeye katangulia tu lakini nasi tunafuatia😥..Makala nzuri brother Sky alway's nakukubali👍
Simulizi nzuri sana Brother Sky, ahsante sana 🙏 #RIPMkapa
Asante nimefurahi kujua historia ya mhe Ben Mkapa NwenyenziMungu amlaze mahala pema peponi Ameen tutamkumbuka daima
Mungu mpumuzishe kwa hamani mzee mkapa amina
Innal lillah waina illah rajiun poleni Tanzania 🇹🇿
So sad condolences to the people of Tanzania,may God give you people peace at this hard tym,may his soul rest in peace
Raha ya milele umpe ehee Bwana mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa Amani 🙏🙏💔💔💔😭
imeniuma sana basi tu namshukuru Mungu kwa kila jambo I.R.P OUR lovely fomer president.
Mungu atupe mwisho mwema Yarab 😭😭😭
@ashuraussein7582
4 жыл бұрын
Amin yarrabi 🤲
@mariyamdalas8091
4 жыл бұрын
AMEEN
Mungu amuwekewe pema peponi mzee mkapa watanzania wote watoto wababa mmoja tuungane pamoja.😭🙏🏾✊🏾✌🏾
22:15 ...... Taking me back in 2007 huko kwetu Kenya 😭😭😭 Pumzika kwa amani Mheshimiwa, mbele yake nyuma yetu 🙏🙏
Pole Pole sana sana DR Magufuli 🙏🏽😭 May he soul Rest In Peace 😭😭🇹🇿
RIP Pres. Mkapa. Good job Sky
Ewe mola waviumbe,mpe kauli thabiti Rais wetu baba yetu,Ameeni🙏🏾
Mungu amrehemu mbele yake nyuma yetu. Amen
Gud job my brther @Skytz
Inalilah wainailah rajiun Mungu amlaze pahala pema
Innaillah wainna lilah rajiu'n
Innalillah wainna ilaih raj'iun pumzika kwa aman historia nzuri sana mwil wote umesisimka dah
Pumzika kwa amani, Mwenyezi Mungu akupokee kwa aman🙏
Aise😭
Sky wizzy gentry wizzy!! much respect, you have good voice brother
Mungu ailaze roho mahar pema pepon amen tutakukumbuka daima
My condolences to tanzania n the family. May God gve them peace in this hard tym.#254
Oooh nmeumia sn😢😢
Excellent content🔥
Inalila inalila rajiun pole sana ndungu zote mungu amuake pema penye wema peponi inshallah
So said
Raha yamilele umpe ee bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa Aman . Amina 🙏
Tutakukumbuka daima tangulia baba safari yetu ni moja tangulia kamanda
Dah story nzuri
Linaloho mbaya sana hili limalehemu
Mungu awape subra sana
😓😭😭😭😢😢😢innalillah wainna rajioun
Rest in peace papa 😥
Rest in peace! Mbele yake nyuma yetu!!
Big yes
Mungu amlaze mahala.pema
Kweli rais magufuli apo alikuwa na huzuni mkubwa sana pole sana mjomba magu rest in peace mkapa kila nafsi itaonja Umauti 😢😢😢🙏🙏🙏🙏
Ooh ni masikitiko sana RIP
Pole kwa watanzania wote.....R.I.P Mr.President🕯🕯
Nimelia mimi 😭😭💔🕊️🖤
Yaan akishakufa utasikia masifa kibao akiwa hai mmmmmh
Mbele yako nyuma yetu baba😢😢 tutakukumbuka daima
Mungu amlaze mahala pema peponi🙏
Simulizi nzuri
Daaah inauma sana asee,Ila ndo hatuna Jinsi ,mwndo ameumaliza imani ameilinda
Innah lilah wahnailah rajoun
From 🇧🇮 Saudia pole ni wa tanzania
@mozeszengo7096
4 жыл бұрын
🙏🙏🇹🇿🇹🇿
Kafa baba kiukweli ss Wa Masasi tutapat shida mno maaana watu wa Lupasi yeye ndo kainua
Inna lillah wainnailehy rajioun
Oh my God
Inauma sana😭😭😭
Rest easy Mzee wetu Mkapa.🙏
Huyu jmaaa mwanaharakati Sana 😥
be blessed bro kwa kazi nzuri
@josephsiwale7252
4 жыл бұрын
rest in peace 😭😭😭😭
Tanguria kwa amani laisi wetu mpendwa
Innalillah wainnaillahi rajiun 😭
Vizuri
Innalilah wainna ilah rajiuun
Innalillah wa Innalillah wa Rajun poleni sana😭😭
Dah r.i.p mkapa
Inna lillah wainna illah rajiun 😢
Allaah akulaze mahal pem pepon bd tunakupend nabad tutakukumbuka
🙏🙏
Mungu akuweke unapo sitahili milele
Thanks sky...this is great...rip retired presda
R I p😭😭😭😭😭😭
Rip daddy 😢😢😢😢🙏🙏
Innalilah wainailah rajuun
😥😥
R.I .P🙏
Pumzika kwa amani hakika tumejifunza mengi kupitia history yako😭
R.I.P
Apumzike kwa amani 😭😭😭
😭😭😭
Msiba wa kitaifa watanzania tumeumia sana Pole tanzania pole South tz nguzo yetu tegemeo imedondoka pande za kusin alikua anamaliza migogoro yte kusin .leo itakuaje cc ni wa taabu
Muwe mnatuletea makala kama hii mtu akiwa hai..msisubiri mpka afe 🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️
@veeJesus
4 жыл бұрын
Fanya hivyo wew
@rahmaali4009
4 жыл бұрын
Wanetu wa jifunze
R.I.P Mkapa
rest easy babu mpaka mzee wetu,,
😭😭😭😭😭
😭😭😭😭
hakika kifo siyo kitu kirahisi kupokeya Rais paka ninapo mutizama natoka na mashozi. pole sana watazania
Hichi kitabu nitakununua ishaallh kaongea ukweli wote kuhusu life ya tanzania ilivyokua mafisadi walikua wengi sana now naiyona Tanzania mpya yenyekupendeza mbeleni.
Rest in peace
😭😭😭😭😢
R.I.P.
Innalillah wa inalillah rajun
Innalilah wa inna ilahi rajuun