WANASIASA 15 AMBAO RAIS MAGUFULI ALIWAPENDA SANA ENZI ZA UHAI WAKE
#CharlesWilliam #Zungu #Day2news #Day2newsTV
Жүктеу.....
Пікірлер: 422
@mrsab303 Жыл бұрын
I miss you Magufuli always remember you rest in peace❤❤❤❤❤
@personpeter2221 Жыл бұрын
Mwamba umejtahid sana nmeipenda sana endelea kuleta update zote nzuri aliyoyafanya HAYAT MAGUFURI RIP 🙏
@vwctvtanzania Жыл бұрын
Kilekipindi cha JP haukuwa unatamani uikose taarifa ya Habari , na taarifa ikiisha unaona Kama imeisha mapema ,lakini wakati huu mtu unashindwa kuangalia unaona wazi waliopo wengi Wana muumiza Mama yetu mpendwa Rais , kwani akiongea wanaitikia kuwa nita fanya sintokuangusha mh lakini kesho huyo huyo anaharibu wananchi wanona mambo,na wanalia Wana uchungu kwenye mioyo wanahitaji kutibiwa majeraha Yao , je Nani atakae watibu, tunaweza kusema Mungu atawawatibu maumivu ya moyo nikweli ,lakini Mungu anatumia Mtu kumponya mtu aliye jeruhiwa kwa maisha nk, Kama alivyo mtumia JP, Kama umeelewa ujumbe huu, like yako yamuhimu kuwa umenielewa,
@ktznews9250
Жыл бұрын
Naunga mkono hoja
@najmamussa
8 ай бұрын
Hats magazeti dada mne. Yamekwisha
@najmamussa
8 ай бұрын
Hata magazeti. Saa nne. Yamekwisha
@raphaelthobias433 Жыл бұрын
Aisee zungu unatisha sana mzee,,,wee ni fire
@user-ej8kd4og1c8 ай бұрын
Mbona umemsahau mrJaffer wzr Tamisemi
@titus_maridhia Жыл бұрын
Nakubaliana na utafiti. Imenikumbusha maisha mazuri tuliyoyaishi kipindi chake JPM
@kisangageorgethomasi2830
Жыл бұрын
Maisha yapi?
@vincentakulumuka4961 Жыл бұрын
Excellent job bwana Zungu upo vizuri
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
Kabudi ni mzalendo❤
@ngwegwenurdin4318
Жыл бұрын
Wasomi wa kitambo.
@user-cu2ug6hp8y8 ай бұрын
Daaah UMENIKUMBUSHA MBALI SANA MASIKINI JPM
@oscarkasalile3966 Жыл бұрын
Ally happy hakika nakupenda sana
@thomaskwibonelwa9240 Жыл бұрын
Best than any other. Kuwapoteza Ni kupoteza taifa.
@kainibachungege34308 ай бұрын
Nimelenda Sana uchambuzi wako Hongera Sana
@paulhando6286 Жыл бұрын
Hata Mimi bado nawapenda sana, hasa zaidi Waziri mkuu, Kabudi Polepole ahh wote tu.
@maulidimuhammed7851
Жыл бұрын
Huyu Kabudi na Poleople wanafiki wakubwa wasiosimamia misimamo yao Hao ni wanasiasa vinyonga hawaaminiki na hawakubaliki.
@lordsm.k-db3wy8 ай бұрын
Sio MAGUFULI tu HATA mimi Niliwapenda
@sheryphamwenevalley6124 Жыл бұрын
na walikua jembe kweli kweli km.JPM❤
@livesmwamba8233 Жыл бұрын
Teuzi zake hazikuwahi kuniangusha hata siku Moja R.I.P Mwamba
@josephatdunda1937
Жыл бұрын
Kabisaaa🤝🤝
@SamB-vd1vl Жыл бұрын
Ndugu Jaffo umemsahau. Alikuwa top 10 kipenzi. Ni mchapakazi kwa kweli
@FrankNgadallah Жыл бұрын
Uchambuzi mzuri sana barikiwa kwa kazi yako
@stephanokanyika6321 Жыл бұрын
Kiukweri mimi nashukuru sana mtangazi kwa kunikumbusha hili nimekumbuka mazuri mengi ya uongozi wa magufuri
@emmanuelnzaligo6262 Жыл бұрын
Duuuuuuuu!!!! Yaaani Sina mashaka na utafiti wako.nimependa.
@scolasticakaduma51438 ай бұрын
Hii timu iliyowekwa na JPM tunaitaka sasa hivi. Mama Samia tunakushangaa na hizi takataka ulizoziweka kipindi hiki. Mambo mengi yamezorota sana.
@-TECHNICIAN8 ай бұрын
MIMI HAO WOTE UMEWATAJA NAKUBARI WALIPEDWA SANA NA MAGUFURI BROTHER UKO VIZURI KWA UCHAMBUZI
@lordsm.k-db3wy Жыл бұрын
Uko vizuri mtangazaji piga kazi
@aliymwazoa30518 ай бұрын
Ummy mwalimu pia alipendeza sana katika jicho la mhe
@aminaomary556715 күн бұрын
Mimi nampenda sana makonda:majaliwa: polepole:samia:jaffo: chalamila:sendega Rc Manyara:Ali happy❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@karimmveyange2558 Жыл бұрын
Hii ndio team iliyo ipaisha TZ mahala pa juu saana na heshima kwa Taifa. Lakini kwa akili za kiTanzania,aaaah! Hawafaiii. Leo hii unaona mahali Taifa lilipo? Ni aibu tupu
@salumhassan43098 ай бұрын
Kama walikuwa wanaiba lakini kazi inayo fanywa ilikuwa inaonekana
@simonmadiba2053 Жыл бұрын
Very interesting
@lucaskashimwita6386 Жыл бұрын
nimejikuta nalia sana .Daa jpm rip baba yetu
@martinchambala9399 Жыл бұрын
Umemsahau Albert Chalamila
@msafiriomary8938 ай бұрын
JPM arikuwa anapenda uchapa kazi
@aloycejangantoroki6252 Жыл бұрын
kwenye safari ya WANAUME ukiweka MWANAMKE hamfiki salama, huo ndoo ukwel.
@shinipapaya846
Жыл бұрын
😂😂kabisaa
@bobdee3395 Жыл бұрын
mmemsahau mabeyo tuu sem yeye sio mwana siasa
@salumsalim7564 Жыл бұрын
R.I.P mzee hatokei km ww
@StephenMundi-hv1lv8 ай бұрын
Hapa umepatia mzee 👏👏ila magu alikuosea kwa makamu wa Rais tu
@karimhgau9020 Жыл бұрын
Umemsahau mzee wilbrod slaa
@Japhary-sx3je8 ай бұрын
Kama unaelewa utakumbuka sana rais huyu anapenda wachapakazi
@user-vd9pv7hq9z8 ай бұрын
Hata mm hiyo list ni naion🎉a ndo ilikuwa injini ya JPM .WoTe walikuwa ni watu wa hapa kazi tu.maua yenu bhana.
@hamismbwani46556 ай бұрын
Wow big up Uncle MAGU
@georgemedeye3469 Жыл бұрын
Mngesema watu walioaminiwa sana, maana kuna wengine kama Kijazi hawakua wanasiasa
@ngwegwenurdin4318
Жыл бұрын
Bila ya kumsahau S.Jafo
@D-Man.B-Free Жыл бұрын
Makonda alikuwa noma
@raybirry3816
Жыл бұрын
Makonda kapora magari ya watu kwa nguvu,jambazi mdanganya majina,DAUDI ALBERT BASHITE.
@user-ct4jp1ux1z8 ай бұрын
Tutamkumbuka daima milele. RIP JPM
@bahakyejo3800 Жыл бұрын
These are our hero's
@boniphacepastory9898 Жыл бұрын
Hawa walikuwa ni viongozi huo ndo Ukwelii
@salimalaquimane3077 Жыл бұрын
We miss you papa 😭😭😭😭😭
@ameirameir4930 Жыл бұрын
Very well presented
@von-zs4rw8 ай бұрын
Nimependa jinsi unavyofafanua taarifa.. hongera sana
@nasrahassan73468 ай бұрын
Nami nawakubali wote❤
@kirwaisa8772 Жыл бұрын
Talk of Ally Hapi,Mwanri,Makonda,Lukuvi,Kabudi and Kijazi. They can for unbeatable government
@sumaKaya-rd7ms Жыл бұрын
Hongera kwa kutukumbusha haya nimefurahi
@marymchina65578 ай бұрын
Eh! MUNGU Tukumbuke Watanzania uwainue wakina MAGUFULI wengine Amen
@gagalinodenatrick1652
7 ай бұрын
Tatizo lenu wa tz hamna shukran kabisa
@elizalutiga62878 ай бұрын
Nami Nawakubali wooote 👏👏👏
@GabrielMwakasege-sx9wv8 ай бұрын
Hii timu ndio tunayoitaji mpaka saizi
@ramadhanichuka3583 Жыл бұрын
Daah kumbeistolia haifutiki bhana
@juliusntandu4302 Жыл бұрын
Asante kutukumbusha hizi tunu za Taifa letu tutawakumbuka Kila mara
@johnmbwambo8204 Жыл бұрын
Nakukubali sana
@prospermsemwa14337 ай бұрын
Hapo nchi ilikua salama kwa mapinduzi ya utqwala bora maisha bora nchi isio dona g County
@abeidsabuni5026 Жыл бұрын
Viongozi hao walikua makini sana hawakuwahi kulea ujinga kabsa....
@linusisiyovizurikumkanamza7622 Жыл бұрын
Wengine wako wapi wajitathimini vizuri
@deograciousrugambwa20548 ай бұрын
Everything looks real, may his soul keep resting #Mrpresident
@yusuphsobo7997 Жыл бұрын
Prisdent 😍
@josephatdunda1937 Жыл бұрын
Hiyo haipingiwi, na watabaki kuwa bora daima maana walifanya kazi kwa uzalendo mno sijuw huyu kwann kawaweka mbali
@ramahzedon6688 Жыл бұрын
Kijazi ndo alipaswa awe namba 1
@user-wu9zz1bm9h8 ай бұрын
Inaumaaa
@mangukasasali7614 Жыл бұрын
Mmechambua vizuri sana
@abdalahrajabu4961 Жыл бұрын
Mmemsahau kitwanga
@hamisipolenisanaissa88598 ай бұрын
William lukuvi
@vuriankar5019 Жыл бұрын
Charles William zungu 💥💥💥💥
@epimackjohn461 Жыл бұрын
MAJALIWA NA MTAKA HATA BILA KUPENDWA NA MAGUFULI WANAFAA NI WACHAPAKAZI WASIOJIKOMBAKOMBA MPAKA SASA .
@robinsonjoseph8119
Жыл бұрын
Bila kumsahau yule mkuu wa mkoa wa Bukoba( chalamila)
@vitalismapunda9341 Жыл бұрын
Umemsahau Seleman Jaffo
@adrofuzakariamwaihoyo2957 Жыл бұрын
Nazani Leo nimekuwa MTU wa kwanza
@ernestpsimone2430
Жыл бұрын
Tanzania mbarikiwa kuwana watu wazuri, yaani viongozi Bora
@yonaidris8305
Жыл бұрын
Katka uongoz mbov uliowah kutokea ni awamu ya 5.
@asteriashios1852
Жыл бұрын
@@yonaidris8305 mbovu sana wengine ni mabomu humu ndani ni hatari Kwa nchi
@oscarkayuni9086
8 ай бұрын
Wewe unayewaita hao 15 na watano washenzi wewe umewahi kuitendea Nini nchi tangu uzaliwe .umethubutu kuifanyia Nini Tanzania.Utampata wapi mtu kama kasim Majaliwa.kama Maghufuri alimteuwa mtu maana yake walikuwa wote na Samia.wote hao tuliwapigia kura siku Moja na wote Samia na magufuli walipata kura sawa kama mgombea mwenza wa magufuri . Na viongozi wote hao waliwekwa na Mungu na sii vinginevyo.kuna watu wamezaliwa na mambo ya ajabu Sana.wamezaliwa na karama za KULALAMIKA na hakuna anachokifanya hata Kwa ndugu zake mwenyewe. Magufuri na Samia walikuwa kama BAba na mama ndani ya nyumba Moja (TANZANIA) wote waliongozwa na Sheria mbili tu kati a ya nchi na Ilani ya ccm na itabaki hivyo ndani ya miaka 💯 ijayo. Na wengine mnaowatukana hao mmefikishwa hapo mlipo na ccm hiyohiyo .nashangaa inakuwaje mtoto unamtukana mzazi wako kiasi hiki.viongozi wanapoteua watu msiwatukane Bali waombeeni Kwa Mungu ili watende vema.Tuwaombee Kwa mora wetu wateule wote badala ya kuwalaani na kuwakejeli .
@saiditasher8362 Жыл бұрын
JPM mungu amuweke mahana pema amini
@user-wv6ze7mg3f Жыл бұрын
Umesahawu Dada Jokate mku wa wilaya ya kisarawe
@obadiakakende2250 Жыл бұрын
Daaaah umenitoneshaa kidondaa #Zunguu
@africayetutv329 Жыл бұрын
Kwa uchambuzi huu leo nimeipenda chanel hii, kwa kutuonesha watu wanaoweza kutuvusha tena Japo Jpm hayupo
@Vuvuzelaz1 Жыл бұрын
Hawa wati waunde Chama tuhamie
@SamB-vd1vl
Жыл бұрын
Wazo zuri sana!
@andersonshimbi1378 Жыл бұрын
Pia Mkuu wa Mkoa wa Tabora Agrey Mwanry, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila.
@vuriankar5019 Жыл бұрын
Nimekubaliii
@OscarEdward-tl2gi7 ай бұрын
makonda is the best for all
@terevaelislla17138 ай бұрын
Nashauri kabudi Apewe ubaba wa Taifa alie hai na mwl nyerere baba wa taifa marehemu, ili tuwe na baba wa taifa wakutoa tamko lakusikilizwa.
@claudianokiwone8998 Жыл бұрын
Umesahau Makonda alipopiga marufuku wabunge kuonekana Dar wakati wa vikao vya bungee na waliufyata
@ramamtanga3482
Жыл бұрын
Awakufyata acha uongo wakina zito walikuwa dar kila siku
@hemeddyrajabu
Жыл бұрын
😂😂😂
@lumo9999 Жыл бұрын
Naumia sana tena etii. Kila nikimkumbuka huyu jamaa
@egbartrwegasira1250 Жыл бұрын
Presenter 🫡🫡🫡🫡🙌🙌🙌🙌 na aliyeandaaa content 🙌🙌🙌🙌🙌 safi sana..
@mosesobunde8 ай бұрын
Perfect voive of narration. I don't know about facts ila i just adore style of narration.
@mosesobunde
8 ай бұрын
Voice
@mosesobunde
8 ай бұрын
Voice
@annaniasbyarugaba5788 Жыл бұрын
Wote Hawa ni vichwa isipikuwa 1 tu kila mtu anamjua sasa
@wilsonkaseha2034
Жыл бұрын
😂😂mtaje basi
@victorphilipo10 ай бұрын
Kumbuka nchi reo inamusukosuko Kwa sababu wamewazarau wachapa kazi hawa na uongozi nikarama reo ukifikiria utaria sana mungu zidi kuiepusha Tanzania amani isipoteee
@dj26number2 Жыл бұрын
Sipati jibu kwanini mama kamtupa kabudi🥲🥲🥲🥲🥲🥲🥲
@marcokaroje8980
Жыл бұрын
Alitukana na kuidhalilisha ya wasomi kusema alitolewa jalalani yaani kuwa profesa wa chuo kikuu ni umaskini na wasomi wengine kama yeye ambao wako nje ya mfumo was Magufuli wako jalalani na vijana wote wanaopita vyuo vikuu hapa nchini ni majalala aliwakosea sana wasomi anatakiwa kuwaomba radhi
@aishaalbalushaishabalush8291
Жыл бұрын
sababu kabudi sio mwizi ye kayachagua majizi menzie mengine yalikua yamesha staaf kayarudisha kwa lazima ili waibie watanzania
@calabash4221
Жыл бұрын
@@marcokaroje8980 umepotosha alichokisema Kabudi...yeye alikuwa tayari mstaafu...na ndicho alichofananisha na jalalani....
@marcokaroje8980
Жыл бұрын
@@calabash4221 kwa hiyo wastaafu wako jalalani?bado na wewe unaungana na lugha za wanaojikomba wasionacho waendelee kuumia
Rohoni kwamtu mbali sana jpm wengine hukuwajua mioyoyao polesana mungu akuperaha yambingu mpendwa wetu
@abeidsabuni5026 Жыл бұрын
Alikua na haki ya kuwapenda sana maana walikua viongozi wachapakazi sana hakika walikua wanafanya kazi mno.... Kama Palamagamba John Aidani Mwiliko Kabudi..
@Erickmanjambwa-wq6bx Жыл бұрын
Kabudi ndio roho ya watanzania aliyebaki mwenye msimamo WA kuiongoza nch
@mayrfrimi47598 ай бұрын
Hao tunawajua, tunaomba utuambie wanaopendwa sana na Samia pls.
@kenedymwaipopo5977 Жыл бұрын
Mmemsahau Tulia Axon
@smootkizy_jr
Жыл бұрын
Hapan yule aliaminika lkn ss alikua kwa ajili ya masilah binafsi coz yule ni dumila kuwili nje anakuonesha upendo na uaminifu ila ndani anakugeuka ndio maana hakuwahi kumzungumzia chchte kile now unaona ss anashirik na walaji wa sasa.
@msilangamusoma15027 ай бұрын
Hongera sana umejipanga vyema
@lulanjamd3886 Жыл бұрын
Na hawa Ndiyo walipaswa waendeleze msimamo wa Magufuli ila nashangaa wamekaa kimya
@Ambagaye Жыл бұрын
Uchambuzi wako mzuri sana. Ninaona kama Mama Samia ametumia nafasi yake ya sasa kumdhihaki Magufuli sana; akutukanaye hakuchagulii tusi.
@nassorbinfundi1196
Жыл бұрын
Kumdhihaki nin sasa, hautafit vizur
@alhamiibrahim1289
Жыл бұрын
Akili Huna baada unqualified hapo ulipo unaelekewa jnawaza yaliipita Usifosi viongozi wafanane
@Ambagaye
Жыл бұрын
@@alhamiibrahim1289 Wewe ndiwe huna akili kama umeshindwa kuelewa uchambuzi wa aliyeleta video hiyo; mimi sikuitengeza video hiyo
@reginamashauri3884 Жыл бұрын
Umemusahau jafo
@richardkubanda66277 ай бұрын
Kazi nzuri
@martindonald804 Жыл бұрын
Nikweli uchunguzi wako
@alfredbomani8047 Жыл бұрын
Asanteni sana. Tuseme nn zaidi. Ingawa orodha ni ndefu kuna akina Kalemani,Biteko,na kitana Ukinizingua nami nitakuzingua. Wote hao walikuwa watumishi wa watu. Mola ampumzishe kwa Amani mpendwa wetu.❤
Пікірлер: 422
I miss you Magufuli always remember you rest in peace❤❤❤❤❤
Mwamba umejtahid sana nmeipenda sana endelea kuleta update zote nzuri aliyoyafanya HAYAT MAGUFURI RIP 🙏
Kilekipindi cha JP haukuwa unatamani uikose taarifa ya Habari , na taarifa ikiisha unaona Kama imeisha mapema ,lakini wakati huu mtu unashindwa kuangalia unaona wazi waliopo wengi Wana muumiza Mama yetu mpendwa Rais , kwani akiongea wanaitikia kuwa nita fanya sintokuangusha mh lakini kesho huyo huyo anaharibu wananchi wanona mambo,na wanalia Wana uchungu kwenye mioyo wanahitaji kutibiwa majeraha Yao , je Nani atakae watibu, tunaweza kusema Mungu atawawatibu maumivu ya moyo nikweli ,lakini Mungu anatumia Mtu kumponya mtu aliye jeruhiwa kwa maisha nk, Kama alivyo mtumia JP, Kama umeelewa ujumbe huu, like yako yamuhimu kuwa umenielewa,
@ktznews9250
Жыл бұрын
Naunga mkono hoja
@najmamussa
8 ай бұрын
Hats magazeti dada mne. Yamekwisha
@najmamussa
8 ай бұрын
Hata magazeti. Saa nne. Yamekwisha
Aisee zungu unatisha sana mzee,,,wee ni fire
Mbona umemsahau mrJaffer wzr Tamisemi
Nakubaliana na utafiti. Imenikumbusha maisha mazuri tuliyoyaishi kipindi chake JPM
@kisangageorgethomasi2830
Жыл бұрын
Maisha yapi?
Excellent job bwana Zungu upo vizuri
Kabudi ni mzalendo❤
@ngwegwenurdin4318
Жыл бұрын
Wasomi wa kitambo.
Daaah UMENIKUMBUSHA MBALI SANA MASIKINI JPM
Ally happy hakika nakupenda sana
Best than any other. Kuwapoteza Ni kupoteza taifa.
Nimelenda Sana uchambuzi wako Hongera Sana
Hata Mimi bado nawapenda sana, hasa zaidi Waziri mkuu, Kabudi Polepole ahh wote tu.
@maulidimuhammed7851
Жыл бұрын
Huyu Kabudi na Poleople wanafiki wakubwa wasiosimamia misimamo yao Hao ni wanasiasa vinyonga hawaaminiki na hawakubaliki.
Sio MAGUFULI tu HATA mimi Niliwapenda
na walikua jembe kweli kweli km.JPM❤
Teuzi zake hazikuwahi kuniangusha hata siku Moja R.I.P Mwamba
@josephatdunda1937
Жыл бұрын
Kabisaaa🤝🤝
Ndugu Jaffo umemsahau. Alikuwa top 10 kipenzi. Ni mchapakazi kwa kweli
Uchambuzi mzuri sana barikiwa kwa kazi yako
Kiukweri mimi nashukuru sana mtangazi kwa kunikumbusha hili nimekumbuka mazuri mengi ya uongozi wa magufuri
Duuuuuuuu!!!! Yaaani Sina mashaka na utafiti wako.nimependa.
Hii timu iliyowekwa na JPM tunaitaka sasa hivi. Mama Samia tunakushangaa na hizi takataka ulizoziweka kipindi hiki. Mambo mengi yamezorota sana.
MIMI HAO WOTE UMEWATAJA NAKUBARI WALIPEDWA SANA NA MAGUFURI BROTHER UKO VIZURI KWA UCHAMBUZI
Uko vizuri mtangazaji piga kazi
Ummy mwalimu pia alipendeza sana katika jicho la mhe
Mimi nampenda sana makonda:majaliwa: polepole:samia:jaffo: chalamila:sendega Rc Manyara:Ali happy❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Hii ndio team iliyo ipaisha TZ mahala pa juu saana na heshima kwa Taifa. Lakini kwa akili za kiTanzania,aaaah! Hawafaiii. Leo hii unaona mahali Taifa lilipo? Ni aibu tupu
Kama walikuwa wanaiba lakini kazi inayo fanywa ilikuwa inaonekana
Very interesting
nimejikuta nalia sana .Daa jpm rip baba yetu
Umemsahau Albert Chalamila
JPM arikuwa anapenda uchapa kazi
kwenye safari ya WANAUME ukiweka MWANAMKE hamfiki salama, huo ndoo ukwel.
@shinipapaya846
Жыл бұрын
😂😂kabisaa
mmemsahau mabeyo tuu sem yeye sio mwana siasa
R.I.P mzee hatokei km ww
Hapa umepatia mzee 👏👏ila magu alikuosea kwa makamu wa Rais tu
Umemsahau mzee wilbrod slaa
Kama unaelewa utakumbuka sana rais huyu anapenda wachapakazi
Hata mm hiyo list ni naion🎉a ndo ilikuwa injini ya JPM .WoTe walikuwa ni watu wa hapa kazi tu.maua yenu bhana.
Wow big up Uncle MAGU
Mngesema watu walioaminiwa sana, maana kuna wengine kama Kijazi hawakua wanasiasa
@ngwegwenurdin4318
Жыл бұрын
Bila ya kumsahau S.Jafo
Makonda alikuwa noma
@raybirry3816
Жыл бұрын
Makonda kapora magari ya watu kwa nguvu,jambazi mdanganya majina,DAUDI ALBERT BASHITE.
Tutamkumbuka daima milele. RIP JPM
These are our hero's
Hawa walikuwa ni viongozi huo ndo Ukwelii
We miss you papa 😭😭😭😭😭
Very well presented
Nimependa jinsi unavyofafanua taarifa.. hongera sana
Nami nawakubali wote❤
Talk of Ally Hapi,Mwanri,Makonda,Lukuvi,Kabudi and Kijazi. They can for unbeatable government
Hongera kwa kutukumbusha haya nimefurahi
Eh! MUNGU Tukumbuke Watanzania uwainue wakina MAGUFULI wengine Amen
@gagalinodenatrick1652
7 ай бұрын
Tatizo lenu wa tz hamna shukran kabisa
Nami Nawakubali wooote 👏👏👏
Hii timu ndio tunayoitaji mpaka saizi
Daah kumbeistolia haifutiki bhana
Asante kutukumbusha hizi tunu za Taifa letu tutawakumbuka Kila mara
Nakukubali sana
Hapo nchi ilikua salama kwa mapinduzi ya utqwala bora maisha bora nchi isio dona g County
Viongozi hao walikua makini sana hawakuwahi kulea ujinga kabsa....
Wengine wako wapi wajitathimini vizuri
Everything looks real, may his soul keep resting #Mrpresident
Prisdent 😍
Hiyo haipingiwi, na watabaki kuwa bora daima maana walifanya kazi kwa uzalendo mno sijuw huyu kwann kawaweka mbali
Kijazi ndo alipaswa awe namba 1
Inaumaaa
Mmechambua vizuri sana
Mmemsahau kitwanga
William lukuvi
Charles William zungu 💥💥💥💥
MAJALIWA NA MTAKA HATA BILA KUPENDWA NA MAGUFULI WANAFAA NI WACHAPAKAZI WASIOJIKOMBAKOMBA MPAKA SASA .
@robinsonjoseph8119
Жыл бұрын
Bila kumsahau yule mkuu wa mkoa wa Bukoba( chalamila)
Umemsahau Seleman Jaffo
Nazani Leo nimekuwa MTU wa kwanza
@ernestpsimone2430
Жыл бұрын
Tanzania mbarikiwa kuwana watu wazuri, yaani viongozi Bora
@yonaidris8305
Жыл бұрын
Katka uongoz mbov uliowah kutokea ni awamu ya 5.
@asteriashios1852
Жыл бұрын
@@yonaidris8305 mbovu sana wengine ni mabomu humu ndani ni hatari Kwa nchi
@oscarkayuni9086
8 ай бұрын
Wewe unayewaita hao 15 na watano washenzi wewe umewahi kuitendea Nini nchi tangu uzaliwe .umethubutu kuifanyia Nini Tanzania.Utampata wapi mtu kama kasim Majaliwa.kama Maghufuri alimteuwa mtu maana yake walikuwa wote na Samia.wote hao tuliwapigia kura siku Moja na wote Samia na magufuli walipata kura sawa kama mgombea mwenza wa magufuri . Na viongozi wote hao waliwekwa na Mungu na sii vinginevyo.kuna watu wamezaliwa na mambo ya ajabu Sana.wamezaliwa na karama za KULALAMIKA na hakuna anachokifanya hata Kwa ndugu zake mwenyewe. Magufuri na Samia walikuwa kama BAba na mama ndani ya nyumba Moja (TANZANIA) wote waliongozwa na Sheria mbili tu kati a ya nchi na Ilani ya ccm na itabaki hivyo ndani ya miaka 💯 ijayo. Na wengine mnaowatukana hao mmefikishwa hapo mlipo na ccm hiyohiyo .nashangaa inakuwaje mtoto unamtukana mzazi wako kiasi hiki.viongozi wanapoteua watu msiwatukane Bali waombeeni Kwa Mungu ili watende vema.Tuwaombee Kwa mora wetu wateule wote badala ya kuwalaani na kuwakejeli .
JPM mungu amuweke mahana pema amini
Umesahawu Dada Jokate mku wa wilaya ya kisarawe
Daaaah umenitoneshaa kidondaa #Zunguu
Kwa uchambuzi huu leo nimeipenda chanel hii, kwa kutuonesha watu wanaoweza kutuvusha tena Japo Jpm hayupo
Hawa wati waunde Chama tuhamie
@SamB-vd1vl
Жыл бұрын
Wazo zuri sana!
Pia Mkuu wa Mkoa wa Tabora Agrey Mwanry, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila.
Nimekubaliii
makonda is the best for all
Nashauri kabudi Apewe ubaba wa Taifa alie hai na mwl nyerere baba wa taifa marehemu, ili tuwe na baba wa taifa wakutoa tamko lakusikilizwa.
Umesahau Makonda alipopiga marufuku wabunge kuonekana Dar wakati wa vikao vya bungee na waliufyata
@ramamtanga3482
Жыл бұрын
Awakufyata acha uongo wakina zito walikuwa dar kila siku
@hemeddyrajabu
Жыл бұрын
😂😂😂
Naumia sana tena etii. Kila nikimkumbuka huyu jamaa
Presenter 🫡🫡🫡🫡🙌🙌🙌🙌 na aliyeandaaa content 🙌🙌🙌🙌🙌 safi sana..
Perfect voive of narration. I don't know about facts ila i just adore style of narration.
@mosesobunde
8 ай бұрын
Voice
@mosesobunde
8 ай бұрын
Voice
Wote Hawa ni vichwa isipikuwa 1 tu kila mtu anamjua sasa
@wilsonkaseha2034
Жыл бұрын
😂😂mtaje basi
Kumbuka nchi reo inamusukosuko Kwa sababu wamewazarau wachapa kazi hawa na uongozi nikarama reo ukifikiria utaria sana mungu zidi kuiepusha Tanzania amani isipoteee
Sipati jibu kwanini mama kamtupa kabudi🥲🥲🥲🥲🥲🥲🥲
@marcokaroje8980
Жыл бұрын
Alitukana na kuidhalilisha ya wasomi kusema alitolewa jalalani yaani kuwa profesa wa chuo kikuu ni umaskini na wasomi wengine kama yeye ambao wako nje ya mfumo was Magufuli wako jalalani na vijana wote wanaopita vyuo vikuu hapa nchini ni majalala aliwakosea sana wasomi anatakiwa kuwaomba radhi
@aishaalbalushaishabalush8291
Жыл бұрын
sababu kabudi sio mwizi ye kayachagua majizi menzie mengine yalikua yamesha staaf kayarudisha kwa lazima ili waibie watanzania
@calabash4221
Жыл бұрын
@@marcokaroje8980 umepotosha alichokisema Kabudi...yeye alikuwa tayari mstaafu...na ndicho alichofananisha na jalalani....
@marcokaroje8980
Жыл бұрын
@@calabash4221 kwa hiyo wastaafu wako jalalani?bado na wewe unaungana na lugha za wanaojikomba wasionacho waendelee kuumia
@aishaalbalushaishabalush8291
Жыл бұрын
@@calabash4221 achana nae mjinga huyo kilajema analimaanisha vibaya liache usijisumbue kulielewesha lijinga halito kuelewa
Umemsahau jafo
@khadijachacha3156
Жыл бұрын
Jafo yumo ujamuona ww katajwa
Rohoni kwamtu mbali sana jpm wengine hukuwajua mioyoyao polesana mungu akuperaha yambingu mpendwa wetu
Alikua na haki ya kuwapenda sana maana walikua viongozi wachapakazi sana hakika walikua wanafanya kazi mno.... Kama Palamagamba John Aidani Mwiliko Kabudi..
Kabudi ndio roho ya watanzania aliyebaki mwenye msimamo WA kuiongoza nch
Hao tunawajua, tunaomba utuambie wanaopendwa sana na Samia pls.
Mmemsahau Tulia Axon
@smootkizy_jr
Жыл бұрын
Hapan yule aliaminika lkn ss alikua kwa ajili ya masilah binafsi coz yule ni dumila kuwili nje anakuonesha upendo na uaminifu ila ndani anakugeuka ndio maana hakuwahi kumzungumzia chchte kile now unaona ss anashirik na walaji wa sasa.
Hongera sana umejipanga vyema
Na hawa Ndiyo walipaswa waendeleze msimamo wa Magufuli ila nashangaa wamekaa kimya
Uchambuzi wako mzuri sana. Ninaona kama Mama Samia ametumia nafasi yake ya sasa kumdhihaki Magufuli sana; akutukanaye hakuchagulii tusi.
@nassorbinfundi1196
Жыл бұрын
Kumdhihaki nin sasa, hautafit vizur
@alhamiibrahim1289
Жыл бұрын
Akili Huna baada unqualified hapo ulipo unaelekewa jnawaza yaliipita Usifosi viongozi wafanane
@Ambagaye
Жыл бұрын
@@alhamiibrahim1289 Wewe ndiwe huna akili kama umeshindwa kuelewa uchambuzi wa aliyeleta video hiyo; mimi sikuitengeza video hiyo
Umemusahau jafo
Kazi nzuri
Nikweli uchunguzi wako
Asanteni sana. Tuseme nn zaidi. Ingawa orodha ni ndefu kuna akina Kalemani,Biteko,na kitana Ukinizingua nami nitakuzingua. Wote hao walikuwa watumishi wa watu. Mola ampumzishe kwa Amani mpendwa wetu.❤