WANASIASA 15 AMBAO RAIS MAGUFULI ALIWAPENDA SANA ENZI ZA UHAI WAKE

#CharlesWilliam #Zungu #Day2news #Day2newsTV

Пікірлер: 422

  • @mrsab303
    @mrsab303 Жыл бұрын

    I miss you Magufuli always remember you rest in peace❤❤❤❤❤

  • @personpeter2221
    @personpeter2221 Жыл бұрын

    Mwamba umejtahid sana nmeipenda sana endelea kuleta update zote nzuri aliyoyafanya HAYAT MAGUFURI RIP 🙏

  • @vwctvtanzania
    @vwctvtanzania Жыл бұрын

    Kilekipindi cha JP haukuwa unatamani uikose taarifa ya Habari , na taarifa ikiisha unaona Kama imeisha mapema ,lakini wakati huu mtu unashindwa kuangalia unaona wazi waliopo wengi Wana muumiza Mama yetu mpendwa Rais , kwani akiongea wanaitikia kuwa nita fanya sintokuangusha mh lakini kesho huyo huyo anaharibu wananchi wanona mambo,na wanalia Wana uchungu kwenye mioyo wanahitaji kutibiwa majeraha Yao , je Nani atakae watibu, tunaweza kusema Mungu atawawatibu maumivu ya moyo nikweli ,lakini Mungu anatumia Mtu kumponya mtu aliye jeruhiwa kwa maisha nk, Kama alivyo mtumia JP, Kama umeelewa ujumbe huu, like yako yamuhimu kuwa umenielewa,

  • @ktznews9250

    @ktznews9250

    Жыл бұрын

    Naunga mkono hoja

  • @najmamussa

    @najmamussa

    8 ай бұрын

    Hats magazeti dada mne. Yamekwisha

  • @najmamussa

    @najmamussa

    8 ай бұрын

    Hata magazeti. Saa nne. Yamekwisha

  • @raphaelthobias433
    @raphaelthobias433 Жыл бұрын

    Aisee zungu unatisha sana mzee,,,wee ni fire

  • @user-ej8kd4og1c
    @user-ej8kd4og1c8 ай бұрын

    Mbona umemsahau mrJaffer wzr Tamisemi

  • @titus_maridhia
    @titus_maridhia Жыл бұрын

    Nakubaliana na utafiti. Imenikumbusha maisha mazuri tuliyoyaishi kipindi chake JPM

  • @kisangageorgethomasi2830

    @kisangageorgethomasi2830

    Жыл бұрын

    Maisha yapi?

  • @vincentakulumuka4961
    @vincentakulumuka4961 Жыл бұрын

    Excellent job bwana Zungu upo vizuri

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Жыл бұрын

    Kabudi ni mzalendo❤

  • @ngwegwenurdin4318

    @ngwegwenurdin4318

    Жыл бұрын

    Wasomi wa kitambo.

  • @user-cu2ug6hp8y
    @user-cu2ug6hp8y8 ай бұрын

    Daaah UMENIKUMBUSHA MBALI SANA MASIKINI JPM

  • @oscarkasalile3966
    @oscarkasalile3966 Жыл бұрын

    Ally happy hakika nakupenda sana

  • @thomaskwibonelwa9240
    @thomaskwibonelwa9240 Жыл бұрын

    Best than any other. Kuwapoteza Ni kupoteza taifa.

  • @kainibachungege3430
    @kainibachungege34308 ай бұрын

    Nimelenda Sana uchambuzi wako Hongera Sana

  • @paulhando6286
    @paulhando6286 Жыл бұрын

    Hata Mimi bado nawapenda sana, hasa zaidi Waziri mkuu, Kabudi Polepole ahh wote tu.

  • @maulidimuhammed7851

    @maulidimuhammed7851

    Жыл бұрын

    Huyu Kabudi na Poleople wanafiki wakubwa wasiosimamia misimamo yao Hao ni wanasiasa vinyonga hawaaminiki na hawakubaliki.

  • @lordsm.k-db3wy
    @lordsm.k-db3wy8 ай бұрын

    Sio MAGUFULI tu HATA mimi Niliwapenda

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 Жыл бұрын

    na walikua jembe kweli kweli km.JPM❤

  • @livesmwamba8233
    @livesmwamba8233 Жыл бұрын

    Teuzi zake hazikuwahi kuniangusha hata siku Moja R.I.P Mwamba

  • @josephatdunda1937

    @josephatdunda1937

    Жыл бұрын

    Kabisaaa🤝🤝

  • @SamB-vd1vl
    @SamB-vd1vl Жыл бұрын

    Ndugu Jaffo umemsahau. Alikuwa top 10 kipenzi. Ni mchapakazi kwa kweli

  • @FrankNgadallah
    @FrankNgadallah Жыл бұрын

    Uchambuzi mzuri sana barikiwa kwa kazi yako

  • @stephanokanyika6321
    @stephanokanyika6321 Жыл бұрын

    Kiukweri mimi nashukuru sana mtangazi kwa kunikumbusha hili nimekumbuka mazuri mengi ya uongozi wa magufuri

  • @emmanuelnzaligo6262
    @emmanuelnzaligo6262 Жыл бұрын

    Duuuuuuuu!!!! Yaaani Sina mashaka na utafiti wako.nimependa.

  • @scolasticakaduma5143
    @scolasticakaduma51438 ай бұрын

    Hii timu iliyowekwa na JPM tunaitaka sasa hivi. Mama Samia tunakushangaa na hizi takataka ulizoziweka kipindi hiki. Mambo mengi yamezorota sana.

  • @-TECHNICIAN
    @-TECHNICIAN8 ай бұрын

    MIMI HAO WOTE UMEWATAJA NAKUBARI WALIPEDWA SANA NA MAGUFURI BROTHER UKO VIZURI KWA UCHAMBUZI

  • @lordsm.k-db3wy
    @lordsm.k-db3wy Жыл бұрын

    Uko vizuri mtangazaji piga kazi

  • @aliymwazoa3051
    @aliymwazoa30518 ай бұрын

    Ummy mwalimu pia alipendeza sana katika jicho la mhe

  • @aminaomary5567
    @aminaomary556715 күн бұрын

    Mimi nampenda sana makonda:majaliwa: polepole:samia:jaffo: chalamila:sendega Rc Manyara:Ali happy❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @karimmveyange2558
    @karimmveyange2558 Жыл бұрын

    Hii ndio team iliyo ipaisha TZ mahala pa juu saana na heshima kwa Taifa. Lakini kwa akili za kiTanzania,aaaah! Hawafaiii. Leo hii unaona mahali Taifa lilipo? Ni aibu tupu

  • @salumhassan4309
    @salumhassan43098 ай бұрын

    Kama walikuwa wanaiba lakini kazi inayo fanywa ilikuwa inaonekana

  • @simonmadiba2053
    @simonmadiba2053 Жыл бұрын

    Very interesting

  • @lucaskashimwita6386
    @lucaskashimwita6386 Жыл бұрын

    nimejikuta nalia sana .Daa jpm rip baba yetu

  • @martinchambala9399
    @martinchambala9399 Жыл бұрын

    Umemsahau Albert Chalamila

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary8938 ай бұрын

    JPM arikuwa anapenda uchapa kazi

  • @aloycejangantoroki6252
    @aloycejangantoroki6252 Жыл бұрын

    kwenye safari ya WANAUME ukiweka MWANAMKE hamfiki salama, huo ndoo ukwel.

  • @shinipapaya846

    @shinipapaya846

    Жыл бұрын

    😂😂kabisaa

  • @bobdee3395
    @bobdee3395 Жыл бұрын

    mmemsahau mabeyo tuu sem yeye sio mwana siasa

  • @salumsalim7564
    @salumsalim7564 Жыл бұрын

    R.I.P mzee hatokei km ww

  • @StephenMundi-hv1lv
    @StephenMundi-hv1lv8 ай бұрын

    Hapa umepatia mzee 👏👏ila magu alikuosea kwa makamu wa Rais tu

  • @karimhgau9020
    @karimhgau9020 Жыл бұрын

    Umemsahau mzee wilbrod slaa

  • @Japhary-sx3je
    @Japhary-sx3je8 ай бұрын

    Kama unaelewa utakumbuka sana rais huyu anapenda wachapakazi

  • @user-vd9pv7hq9z
    @user-vd9pv7hq9z8 ай бұрын

    Hata mm hiyo list ni naion🎉a ndo ilikuwa injini ya JPM .WoTe walikuwa ni watu wa hapa kazi tu.maua yenu bhana.

  • @hamismbwani4655
    @hamismbwani46556 ай бұрын

    Wow big up Uncle MAGU

  • @georgemedeye3469
    @georgemedeye3469 Жыл бұрын

    Mngesema watu walioaminiwa sana, maana kuna wengine kama Kijazi hawakua wanasiasa

  • @ngwegwenurdin4318

    @ngwegwenurdin4318

    Жыл бұрын

    Bila ya kumsahau S.Jafo

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free Жыл бұрын

    Makonda alikuwa noma

  • @raybirry3816

    @raybirry3816

    Жыл бұрын

    Makonda kapora magari ya watu kwa nguvu,jambazi mdanganya majina,DAUDI ALBERT BASHITE.

  • @user-ct4jp1ux1z
    @user-ct4jp1ux1z8 ай бұрын

    Tutamkumbuka daima milele. RIP JPM

  • @bahakyejo3800
    @bahakyejo3800 Жыл бұрын

    These are our hero's

  • @boniphacepastory9898
    @boniphacepastory9898 Жыл бұрын

    Hawa walikuwa ni viongozi huo ndo Ukwelii

  • @salimalaquimane3077
    @salimalaquimane3077 Жыл бұрын

    We miss you papa 😭😭😭😭😭

  • @ameirameir4930
    @ameirameir4930 Жыл бұрын

    Very well presented

  • @von-zs4rw
    @von-zs4rw8 ай бұрын

    Nimependa jinsi unavyofafanua taarifa.. hongera sana

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan73468 ай бұрын

    Nami nawakubali wote❤

  • @kirwaisa8772
    @kirwaisa8772 Жыл бұрын

    Talk of Ally Hapi,Mwanri,Makonda,Lukuvi,Kabudi and Kijazi. They can for unbeatable government

  • @sumaKaya-rd7ms
    @sumaKaya-rd7ms Жыл бұрын

    Hongera kwa kutukumbusha haya nimefurahi

  • @marymchina6557
    @marymchina65578 ай бұрын

    Eh! MUNGU Tukumbuke Watanzania uwainue wakina MAGUFULI wengine Amen

  • @gagalinodenatrick1652

    @gagalinodenatrick1652

    7 ай бұрын

    Tatizo lenu wa tz hamna shukran kabisa

  • @elizalutiga6287
    @elizalutiga62878 ай бұрын

    Nami Nawakubali wooote 👏👏👏

  • @GabrielMwakasege-sx9wv
    @GabrielMwakasege-sx9wv8 ай бұрын

    Hii timu ndio tunayoitaji mpaka saizi

  • @ramadhanichuka3583
    @ramadhanichuka3583 Жыл бұрын

    Daah kumbeistolia haifutiki bhana

  • @juliusntandu4302
    @juliusntandu4302 Жыл бұрын

    Asante kutukumbusha hizi tunu za Taifa letu tutawakumbuka Kila mara

  • @johnmbwambo8204
    @johnmbwambo8204 Жыл бұрын

    Nakukubali sana

  • @prospermsemwa1433
    @prospermsemwa14337 ай бұрын

    Hapo nchi ilikua salama kwa mapinduzi ya utqwala bora maisha bora nchi isio dona g County

  • @abeidsabuni5026
    @abeidsabuni5026 Жыл бұрын

    Viongozi hao walikua makini sana hawakuwahi kulea ujinga kabsa....

  • @linusisiyovizurikumkanamza7622
    @linusisiyovizurikumkanamza7622 Жыл бұрын

    Wengine wako wapi wajitathimini vizuri

  • @deograciousrugambwa2054
    @deograciousrugambwa20548 ай бұрын

    Everything looks real, may his soul keep resting #Mrpresident

  • @yusuphsobo7997
    @yusuphsobo7997 Жыл бұрын

    Prisdent 😍

  • @josephatdunda1937
    @josephatdunda1937 Жыл бұрын

    Hiyo haipingiwi, na watabaki kuwa bora daima maana walifanya kazi kwa uzalendo mno sijuw huyu kwann kawaweka mbali

  • @ramahzedon6688
    @ramahzedon6688 Жыл бұрын

    Kijazi ndo alipaswa awe namba 1

  • @user-wu9zz1bm9h
    @user-wu9zz1bm9h8 ай бұрын

    Inaumaaa

  • @mangukasasali7614
    @mangukasasali7614 Жыл бұрын

    Mmechambua vizuri sana

  • @abdalahrajabu4961
    @abdalahrajabu4961 Жыл бұрын

    Mmemsahau kitwanga

  • @hamisipolenisanaissa8859
    @hamisipolenisanaissa88598 ай бұрын

    William lukuvi

  • @vuriankar5019
    @vuriankar5019 Жыл бұрын

    Charles William zungu 💥💥💥💥

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 Жыл бұрын

    MAJALIWA NA MTAKA HATA BILA KUPENDWA NA MAGUFULI WANAFAA NI WACHAPAKAZI WASIOJIKOMBAKOMBA MPAKA SASA .

  • @robinsonjoseph8119

    @robinsonjoseph8119

    Жыл бұрын

    Bila kumsahau yule mkuu wa mkoa wa Bukoba( chalamila)

  • @vitalismapunda9341
    @vitalismapunda9341 Жыл бұрын

    Umemsahau Seleman Jaffo

  • @adrofuzakariamwaihoyo2957
    @adrofuzakariamwaihoyo2957 Жыл бұрын

    Nazani Leo nimekuwa MTU wa kwanza

  • @ernestpsimone2430

    @ernestpsimone2430

    Жыл бұрын

    Tanzania mbarikiwa kuwana watu wazuri, yaani viongozi Bora

  • @yonaidris8305

    @yonaidris8305

    Жыл бұрын

    Katka uongoz mbov uliowah kutokea ni awamu ya 5.

  • @asteriashios1852

    @asteriashios1852

    Жыл бұрын

    @@yonaidris8305 mbovu sana wengine ni mabomu humu ndani ni hatari Kwa nchi

  • @oscarkayuni9086

    @oscarkayuni9086

    8 ай бұрын

    Wewe unayewaita hao 15 na watano washenzi wewe umewahi kuitendea Nini nchi tangu uzaliwe .umethubutu kuifanyia Nini Tanzania.Utampata wapi mtu kama kasim Majaliwa.kama Maghufuri alimteuwa mtu maana yake walikuwa wote na Samia.wote hao tuliwapigia kura siku Moja na wote Samia na magufuli walipata kura sawa kama mgombea mwenza wa magufuri . Na viongozi wote hao waliwekwa na Mungu na sii vinginevyo.kuna watu wamezaliwa na mambo ya ajabu Sana.wamezaliwa na karama za KULALAMIKA na hakuna anachokifanya hata Kwa ndugu zake mwenyewe. Magufuri na Samia walikuwa kama BAba na mama ndani ya nyumba Moja (TANZANIA) wote waliongozwa na Sheria mbili tu kati a ya nchi na Ilani ya ccm na itabaki hivyo ndani ya miaka 💯 ijayo. Na wengine mnaowatukana hao mmefikishwa hapo mlipo na ccm hiyohiyo .nashangaa inakuwaje mtoto unamtukana mzazi wako kiasi hiki.viongozi wanapoteua watu msiwatukane Bali waombeeni Kwa Mungu ili watende vema.Tuwaombee Kwa mora wetu wateule wote badala ya kuwalaani na kuwakejeli .

  • @saiditasher8362
    @saiditasher8362 Жыл бұрын

    JPM mungu amuweke mahana pema amini

  • @user-wv6ze7mg3f
    @user-wv6ze7mg3f Жыл бұрын

    Umesahawu Dada Jokate mku wa wilaya ya kisarawe

  • @obadiakakende2250
    @obadiakakende2250 Жыл бұрын

    Daaaah umenitoneshaa kidondaa #Zunguu

  • @africayetutv329
    @africayetutv329 Жыл бұрын

    Kwa uchambuzi huu leo nimeipenda chanel hii, kwa kutuonesha watu wanaoweza kutuvusha tena Japo Jpm hayupo

  • @Vuvuzelaz1
    @Vuvuzelaz1 Жыл бұрын

    Hawa wati waunde Chama tuhamie

  • @SamB-vd1vl

    @SamB-vd1vl

    Жыл бұрын

    Wazo zuri sana!

  • @andersonshimbi1378
    @andersonshimbi1378 Жыл бұрын

    Pia Mkuu wa Mkoa wa Tabora Agrey Mwanry, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila.

  • @vuriankar5019
    @vuriankar5019 Жыл бұрын

    Nimekubaliii

  • @OscarEdward-tl2gi
    @OscarEdward-tl2gi7 ай бұрын

    makonda is the best for all

  • @terevaelislla1713
    @terevaelislla17138 ай бұрын

    Nashauri kabudi Apewe ubaba wa Taifa alie hai na mwl nyerere baba wa taifa marehemu, ili tuwe na baba wa taifa wakutoa tamko lakusikilizwa.

  • @claudianokiwone8998
    @claudianokiwone8998 Жыл бұрын

    Umesahau Makonda alipopiga marufuku wabunge kuonekana Dar wakati wa vikao vya bungee na waliufyata

  • @ramamtanga3482

    @ramamtanga3482

    Жыл бұрын

    Awakufyata acha uongo wakina zito walikuwa dar kila siku

  • @hemeddyrajabu

    @hemeddyrajabu

    Жыл бұрын

    😂😂😂

  • @lumo9999
    @lumo9999 Жыл бұрын

    Naumia sana tena etii. Kila nikimkumbuka huyu jamaa

  • @egbartrwegasira1250
    @egbartrwegasira1250 Жыл бұрын

    Presenter 🫡🫡🫡🫡🙌🙌🙌🙌 na aliyeandaaa content 🙌🙌🙌🙌🙌 safi sana..

  • @mosesobunde
    @mosesobunde8 ай бұрын

    Perfect voive of narration. I don't know about facts ila i just adore style of narration.

  • @mosesobunde

    @mosesobunde

    8 ай бұрын

    Voice

  • @mosesobunde

    @mosesobunde

    8 ай бұрын

    Voice

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 Жыл бұрын

    Wote Hawa ni vichwa isipikuwa 1 tu kila mtu anamjua sasa

  • @wilsonkaseha2034

    @wilsonkaseha2034

    Жыл бұрын

    😂😂mtaje basi

  • @victorphilipo
    @victorphilipo10 ай бұрын

    Kumbuka nchi reo inamusukosuko Kwa sababu wamewazarau wachapa kazi hawa na uongozi nikarama reo ukifikiria utaria sana mungu zidi kuiepusha Tanzania amani isipoteee

  • @dj26number2
    @dj26number2 Жыл бұрын

    Sipati jibu kwanini mama kamtupa kabudi🥲🥲🥲🥲🥲🥲🥲

  • @marcokaroje8980

    @marcokaroje8980

    Жыл бұрын

    Alitukana na kuidhalilisha ya wasomi kusema alitolewa jalalani yaani kuwa profesa wa chuo kikuu ni umaskini na wasomi wengine kama yeye ambao wako nje ya mfumo was Magufuli wako jalalani na vijana wote wanaopita vyuo vikuu hapa nchini ni majalala aliwakosea sana wasomi anatakiwa kuwaomba radhi

  • @aishaalbalushaishabalush8291

    @aishaalbalushaishabalush8291

    Жыл бұрын

    sababu kabudi sio mwizi ye kayachagua majizi menzie mengine yalikua yamesha staaf kayarudisha kwa lazima ili waibie watanzania

  • @calabash4221

    @calabash4221

    Жыл бұрын

    ​@@marcokaroje8980 umepotosha alichokisema Kabudi...yeye alikuwa tayari mstaafu...na ndicho alichofananisha na jalalani....

  • @marcokaroje8980

    @marcokaroje8980

    Жыл бұрын

    @@calabash4221 kwa hiyo wastaafu wako jalalani?bado na wewe unaungana na lugha za wanaojikomba wasionacho waendelee kuumia

  • @aishaalbalushaishabalush8291

    @aishaalbalushaishabalush8291

    Жыл бұрын

    @@calabash4221 achana nae mjinga huyo kilajema analimaanisha vibaya liache usijisumbue kulielewesha lijinga halito kuelewa

  • @japhetmathayo2499
    @japhetmathayo2499 Жыл бұрын

    Umemsahau jafo

  • @khadijachacha3156

    @khadijachacha3156

    Жыл бұрын

    Jafo yumo ujamuona ww katajwa

  • @user-zd3ds6vt7u
    @user-zd3ds6vt7u8 ай бұрын

    Rohoni kwamtu mbali sana jpm wengine hukuwajua mioyoyao polesana mungu akuperaha yambingu mpendwa wetu

  • @abeidsabuni5026
    @abeidsabuni5026 Жыл бұрын

    Alikua na haki ya kuwapenda sana maana walikua viongozi wachapakazi sana hakika walikua wanafanya kazi mno.... Kama Palamagamba John Aidani Mwiliko Kabudi..

  • @Erickmanjambwa-wq6bx
    @Erickmanjambwa-wq6bx Жыл бұрын

    Kabudi ndio roho ya watanzania aliyebaki mwenye msimamo WA kuiongoza nch

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi47598 ай бұрын

    Hao tunawajua, tunaomba utuambie wanaopendwa sana na Samia pls.

  • @kenedymwaipopo5977
    @kenedymwaipopo5977 Жыл бұрын

    Mmemsahau Tulia Axon

  • @smootkizy_jr

    @smootkizy_jr

    Жыл бұрын

    Hapan yule aliaminika lkn ss alikua kwa ajili ya masilah binafsi coz yule ni dumila kuwili nje anakuonesha upendo na uaminifu ila ndani anakugeuka ndio maana hakuwahi kumzungumzia chchte kile now unaona ss anashirik na walaji wa sasa.

  • @msilangamusoma1502
    @msilangamusoma15027 ай бұрын

    Hongera sana umejipanga vyema

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 Жыл бұрын

    Na hawa Ndiyo walipaswa waendeleze msimamo wa Magufuli ila nashangaa wamekaa kimya

  • @Ambagaye
    @Ambagaye Жыл бұрын

    Uchambuzi wako mzuri sana. Ninaona kama Mama Samia ametumia nafasi yake ya sasa kumdhihaki Magufuli sana; akutukanaye hakuchagulii tusi.

  • @nassorbinfundi1196

    @nassorbinfundi1196

    Жыл бұрын

    Kumdhihaki nin sasa, hautafit vizur

  • @alhamiibrahim1289

    @alhamiibrahim1289

    Жыл бұрын

    Akili Huna baada unqualified hapo ulipo unaelekewa jnawaza yaliipita Usifosi viongozi wafanane

  • @Ambagaye

    @Ambagaye

    Жыл бұрын

    @@alhamiibrahim1289 Wewe ndiwe huna akili kama umeshindwa kuelewa uchambuzi wa aliyeleta video hiyo; mimi sikuitengeza video hiyo

  • @reginamashauri3884
    @reginamashauri3884 Жыл бұрын

    Umemusahau jafo

  • @richardkubanda6627
    @richardkubanda66277 ай бұрын

    Kazi nzuri

  • @martindonald804
    @martindonald804 Жыл бұрын

    Nikweli uchunguzi wako

  • @alfredbomani8047
    @alfredbomani8047 Жыл бұрын

    Asanteni sana. Tuseme nn zaidi. Ingawa orodha ni ndefu kuna akina Kalemani,Biteko,na kitana Ukinizingua nami nitakuzingua. Wote hao walikuwa watumishi wa watu. Mola ampumzishe kwa Amani mpendwa wetu.❤

Келесі