DAY 2 NEWS

DAY 2 NEWS

Day 2 News ni mtandao wa habari za kina zilizosheheni uchunguzi, uchambuzi na udadisi zinazozingatia misingi ya kitaaluma. Hauhusishi habari za kila siku (daily events). Katika KZread Channel yetu tunakuletea exclusive interviews na watu mashuhuri pamoja na makala mbalimbali (documentaries).
Ukiwa na habari unayohisi inatufaa tucheki kupitia +255753055292.
We Enlighten the Dark Side.

Пікірлер

  • @KasamboShega
    @KasamboShegaСағат бұрын

    Fufuka magufuli mama ameuza nchi tuokoe wanyonge

  • @abdulmgassa7848
    @abdulmgassa7848Сағат бұрын

    Huyu shekh police imemuonea sana ila Allah Ata mlipa pepo inshallah yani wewe police mpumbavu unaongea mambo ya kijinga hauna akili hata ya kufkiria alafu huna points yeyeote uliyesema hapo unaonekana wewe mlevi mbwa

  • @abdulmgassa7848
    @abdulmgassa7848Сағат бұрын

    Acha ujinga wewe pumbavu wananchi ndio wana nguvu kushinda chochote kwenye apo ulipo unaonekana mlevi halafu unaonekana hata akili huna shenzi kabisa

  • @Juama-gn9bx
    @Juama-gn9bx2 сағат бұрын

    Oy zung unafanya kazi nzuli sana nakupa 100

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi17252 сағат бұрын

    Hasbiya Allah wani'mal wakiil kwa kila dhalim

  • @MnarikaMathias
    @MnarikaMathias4 сағат бұрын

    Mpina yupo sawa hii nchi inapigwa sana ndg zangu huyu mshomali anajipanga urais ushauli wangu angombee urais 2025 maana nimtanganyika harari

  • @OnesmoEphrata
    @OnesmoEphrata4 сағат бұрын

    Mie namuabudu JAAH lakini namuelewa Ponda sana na mie ni fancy wake no one

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi49434 сағат бұрын

    Hivi huyu zungu ni yule aliejitoaga muhanga na kumwambia mheshimiwa marehemu Magufuli kuhusu mambo yaliokuwa yakiendelea kwenye ile jela ,bila kuogopa na kujiamini kabisa ,tulimuona ni shujaa kiukweli. poleni sana wana familia kwa kuwapoteza ndugu zao .04.07.24.

  • @AlipoMwasenga
    @AlipoMwasenga9 сағат бұрын

    Hapo bwana makonda naona roho ya hayati magufufi ipo kwake tukipata watanzania warau watano kama hawa tanzania yetu itatakasika serikari yetu itang'ara mungu qetu alie mwema akurinde paul makonda

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk536211 сағат бұрын

    Msema ukweli

  • @monicamichael-sr4kx
    @monicamichael-sr4kx11 сағат бұрын

    mungu akutunze

  • @ndikumanaismail5419
    @ndikumanaismail541912 сағат бұрын

    Nikweli vp wabunge wanalala bungeni hao niwabunge wazembe

  • @kichefuchefu2382
    @kichefuchefu238214 сағат бұрын

    Mungu mkubwa

  • @mohamedimiraji5495
    @mohamedimiraji549520 сағат бұрын

    There's a need of change

  • @harounali9057
    @harounali905721 сағат бұрын

    Kazi nzuri nawapa hongere nyote wa 2

  • @al-bleproshooteur1922
    @al-bleproshooteur192222 сағат бұрын

    🎉

  • @HAJIJUMAA
    @HAJIJUMAA22 сағат бұрын

    Zungu mtangazaji kwanza nikusifu sauti ipo safi namna unavohoji na pili huulizi maswali kichochezi

  • @GracedMkonongo
    @GracedMkonongoКүн бұрын

    Nakupogeza sana mh makonda kwa kazi nzuri ya kutetea wanyone,Mungu yu pamoja nawe

  • @KinguKingu-mg4ig
    @KinguKingu-mg4igКүн бұрын

    Anamungu

  • @sirajbakari104
    @sirajbakari104Күн бұрын

    Inasikitish san

  • @AmiriMchikirwa
    @AmiriMchikirwaКүн бұрын

    A.K.A sheikh Ponda

  • @user-jz4xh5uo1i
    @user-jz4xh5uo1iКүн бұрын

    Daah inauma sn

  • @emmylema693
    @emmylema693Күн бұрын

    Zunguuuu❤❤❤❤❤

  • @SimonKefa-lz1kd
    @SimonKefa-lz1kdКүн бұрын

    Mbona selikali iliwaacha hai hawo masheh magaid?

  • @AhmedAhmed-gf1rd
    @AhmedAhmed-gf1rdКүн бұрын

    Zungu 💯💯🙏 karibu kunywa urojo zanzibar

  • @AhmedAhmed-gf1rd
    @AhmedAhmed-gf1rdКүн бұрын

    Mungu awaeke sehemu inayowahusu

  • @user-ki4vg8qp7f
    @user-ki4vg8qp7fКүн бұрын

    One love

  • @user-hy6tk6yt3k
    @user-hy6tk6yt3kКүн бұрын

    Magufuli aliwafundisha nidhamu na utumishi uliotukuka kwa wananchi

  • @user-hy6tk6yt3k
    @user-hy6tk6yt3kКүн бұрын

    ila jua atujawahi kupata kiongozi mzalendo na mfia inchi kama MAGUFULI

  • @user-hy6tk6yt3k
    @user-hy6tk6yt3kКүн бұрын

    Basi kawe wewe rais ufanye aliofanya MAGUFULI uone kama utaweza muache jembe letu lipuzike ametuvumbua macho

  • @NdekirwaPallangyo
    @NdekirwaPallangyoКүн бұрын

    SABAYA WAMEJARBU KUMSHUSHA NAKUMPANDSHA LAKN HATMA YAMTU HII MIKONON MWA MUNGU 18:06 😢❤😂🎉🎉🎉

  • @idanysedrc1200
    @idanysedrc12002 күн бұрын

    Zungu umezaliwa kuwa mwanahabari

  • @user-xr5xx7bq3p
    @user-xr5xx7bq3p2 күн бұрын

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar56322 күн бұрын

    Asante ndugu Zungu,hongera kwa simulizi nzuri na ya kweli kumhusu Shehe ponda.Mungu azidi kukulinda na kumlinda Shehe Ponda.Pia pole shehe kwa misukosuko uliyopitia katika maisha yako hata kunusurika kufa kwa risasi! Mungu azidi kukutunza,Ameni.

  • @abkhamsalshamte429
    @abkhamsalshamte4292 күн бұрын

    Shekh ponda anafaa kua Amir wetu wa dola. Mungu muezeshe inshaallah

  • @abkhamsalshamte429
    @abkhamsalshamte4292 күн бұрын

    Unaona jinsi uislam unavyopigw vita ?? Hii ndio hakii

  • @user-qk9iz5lt8q
    @user-qk9iz5lt8q2 күн бұрын

    Miongoni mwa HAYO ni SERIKALI kumruka MAKONDA ilifanya makosa JUU ya ushoga

  • @anangisyekibona9006
    @anangisyekibona90062 күн бұрын

    Unaye pambana na Makonda just unapambana na Mungu mubashara

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin95202 күн бұрын

    Duuh

  • @jumahamadomar9124
    @jumahamadomar91242 күн бұрын

    Ukiwa kwenye haki utachafuliwa lakini daima hudhaliliki

  • @alimau7939
    @alimau79392 күн бұрын

    Halafu tunadanywa tunaambiwa Tanzania kuna amani

  • @MusawitsonskanaMusawitso-iy4vh
    @MusawitsonskanaMusawitso-iy4vh2 күн бұрын

    Namkubali makonda

  • @MohamedMfuu
    @MohamedMfuu2 күн бұрын

    joo upinzani mpina ww nijembe

  • @MorganMwaipyana-tz9vc
    @MorganMwaipyana-tz9vc2 күн бұрын

    Unaposema mtekaji maana yake nini? Chief Mkwawa alikuwa conquerer sidhani conquerer ni mtekaji, Ondoa neno vibaraka wake, good narration isipokuwa hilo neno.

  • @emmanuelandrea9794
    @emmanuelandrea97943 күн бұрын

    Huyu jamaa ni gaidi 😂😂😂

  • @josephk90
    @josephk903 күн бұрын

    Kiswahili sahihi ni "Hivi ndivyo vita alivyopigana" siyo "Hizi ndio vita alizopigana". Vita ya -❌ Vita za -❌ Vita vya -☑

  • @user-fj5qu1qy4u
    @user-fj5qu1qy4u3 күн бұрын

    Zungu hongera sana pamoja na Tim nzima ilio ona kunahaja ya kuaandaa dokometari hii Po makonda Niwazi makonda mkuu wa mkoa Sisi vijana amekua tunapo mtanzama katika utendaji wake katika nafasi mbalimbali selekali baada ya teuzi mbalimbali Katika majukum ya makonda mkuu wa mkoa Amekua akitufunza vijana pindi unapo aminiwa katika majukum ya kitaifa ama majukum yoyote unapaswa kutenda haki kwananchi hata kama haki hiyo Yuma yake Kuna hatari juu ya mtafuta haki ..viashilia vya hatari zaidi Vilishidwa kwasababu Mizani ya haki katika utendaji wake makonda uliweza kushinda ubaya Wawa baya Zungu Ukiona nchi inaendelea ujua wanao ipenda wapo pamoja na uwepo wawatu wasio ipenda RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSANI Awakonga nyoyo watanzani baada ya teuzi ya makonda faraja kubwa ilejea tena Makonda Nikiongozi wa pekeee sana sana Nikiongozi ambeye Yuko tayari kupoteza majukum yake kwasababu ya kutatua nakutafuta haki za watu walio poteza matumaini na nchi Yao....siku Moja makonda Akiwa njee ya majukum alio kuoa nayo ya utawala ......aliandika Mtuu aliye waokoa watoto wenu kwenye matumizi ya Madawa ya kulevya Leo munauna mbaya Binasi Mimi kijana niwaza kipindi kigum anacho kipitia makonda Mwenyezi mungu amtupi mjawake mtenda haki ...chama Cha mapinduzi kina hekma kubwa .... Mungu sikuzote ni mwema.poa Nzungu

  • @user-dw5fq2if3y
    @user-dw5fq2if3y3 күн бұрын

    Ma Konda Mungu akulinde unawasaidia wasiyo na watetezi/wanyonge

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif56483 күн бұрын

    Zungu unajua unajua sana 🙌🙌

  • @user-ne5cg4vv1h
    @user-ne5cg4vv1h3 күн бұрын

    Rekodi yake ni shujaa tupu anafaa kuwa raisi na waziri mkuu watajamba huyo mwanaume❤❤❤❤