Day 2 News ni mtandao wa habari za kina zilizosheheni uchunguzi, uchambuzi na udadisi zinazozingatia misingi ya kitaaluma. Hauhusishi habari za kila siku (daily events). Katika KZread Channel yetu tunakuletea exclusive interviews na watu mashuhuri pamoja na makala mbalimbali (documentaries).
Ukiwa na habari unayohisi inatufaa tucheki kupitia +255753055292.
We Enlighten the Dark Side.
Пікірлер
Fufuka magufuli mama ameuza nchi tuokoe wanyonge
Huyu shekh police imemuonea sana ila Allah Ata mlipa pepo inshallah yani wewe police mpumbavu unaongea mambo ya kijinga hauna akili hata ya kufkiria alafu huna points yeyeote uliyesema hapo unaonekana wewe mlevi mbwa
Acha ujinga wewe pumbavu wananchi ndio wana nguvu kushinda chochote kwenye apo ulipo unaonekana mlevi halafu unaonekana hata akili huna shenzi kabisa
Oy zung unafanya kazi nzuli sana nakupa 100
Hasbiya Allah wani'mal wakiil kwa kila dhalim
Mpina yupo sawa hii nchi inapigwa sana ndg zangu huyu mshomali anajipanga urais ushauli wangu angombee urais 2025 maana nimtanganyika harari
Mie namuabudu JAAH lakini namuelewa Ponda sana na mie ni fancy wake no one
Hivi huyu zungu ni yule aliejitoaga muhanga na kumwambia mheshimiwa marehemu Magufuli kuhusu mambo yaliokuwa yakiendelea kwenye ile jela ,bila kuogopa na kujiamini kabisa ,tulimuona ni shujaa kiukweli. poleni sana wana familia kwa kuwapoteza ndugu zao .04.07.24.
Hapo bwana makonda naona roho ya hayati magufufi ipo kwake tukipata watanzania warau watano kama hawa tanzania yetu itatakasika serikari yetu itang'ara mungu qetu alie mwema akurinde paul makonda
Msema ukweli
mungu akutunze
Nikweli vp wabunge wanalala bungeni hao niwabunge wazembe
Mungu mkubwa
There's a need of change
Kazi nzuri nawapa hongere nyote wa 2
🎉
Zungu mtangazaji kwanza nikusifu sauti ipo safi namna unavohoji na pili huulizi maswali kichochezi
Nakupogeza sana mh makonda kwa kazi nzuri ya kutetea wanyone,Mungu yu pamoja nawe
Anamungu
Inasikitish san
A.K.A sheikh Ponda
Daah inauma sn
Zunguuuu❤❤❤❤❤
Mbona selikali iliwaacha hai hawo masheh magaid?
Zungu 💯💯🙏 karibu kunywa urojo zanzibar
Mungu awaeke sehemu inayowahusu
One love
Magufuli aliwafundisha nidhamu na utumishi uliotukuka kwa wananchi
ila jua atujawahi kupata kiongozi mzalendo na mfia inchi kama MAGUFULI
Basi kawe wewe rais ufanye aliofanya MAGUFULI uone kama utaweza muache jembe letu lipuzike ametuvumbua macho
SABAYA WAMEJARBU KUMSHUSHA NAKUMPANDSHA LAKN HATMA YAMTU HII MIKONON MWA MUNGU 18:06 😢❤😂🎉🎉🎉
Zungu umezaliwa kuwa mwanahabari
❤
Asante ndugu Zungu,hongera kwa simulizi nzuri na ya kweli kumhusu Shehe ponda.Mungu azidi kukulinda na kumlinda Shehe Ponda.Pia pole shehe kwa misukosuko uliyopitia katika maisha yako hata kunusurika kufa kwa risasi! Mungu azidi kukutunza,Ameni.
Shekh ponda anafaa kua Amir wetu wa dola. Mungu muezeshe inshaallah
Unaona jinsi uislam unavyopigw vita ?? Hii ndio hakii
Miongoni mwa HAYO ni SERIKALI kumruka MAKONDA ilifanya makosa JUU ya ushoga
Unaye pambana na Makonda just unapambana na Mungu mubashara
Duuh
Ukiwa kwenye haki utachafuliwa lakini daima hudhaliliki
Halafu tunadanywa tunaambiwa Tanzania kuna amani
Namkubali makonda
joo upinzani mpina ww nijembe
Unaposema mtekaji maana yake nini? Chief Mkwawa alikuwa conquerer sidhani conquerer ni mtekaji, Ondoa neno vibaraka wake, good narration isipokuwa hilo neno.
Huyu jamaa ni gaidi 😂😂😂
Kiswahili sahihi ni "Hivi ndivyo vita alivyopigana" siyo "Hizi ndio vita alizopigana". Vita ya -❌ Vita za -❌ Vita vya -☑
Zungu hongera sana pamoja na Tim nzima ilio ona kunahaja ya kuaandaa dokometari hii Po makonda Niwazi makonda mkuu wa mkoa Sisi vijana amekua tunapo mtanzama katika utendaji wake katika nafasi mbalimbali selekali baada ya teuzi mbalimbali Katika majukum ya makonda mkuu wa mkoa Amekua akitufunza vijana pindi unapo aminiwa katika majukum ya kitaifa ama majukum yoyote unapaswa kutenda haki kwananchi hata kama haki hiyo Yuma yake Kuna hatari juu ya mtafuta haki ..viashilia vya hatari zaidi Vilishidwa kwasababu Mizani ya haki katika utendaji wake makonda uliweza kushinda ubaya Wawa baya Zungu Ukiona nchi inaendelea ujua wanao ipenda wapo pamoja na uwepo wawatu wasio ipenda RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSANI Awakonga nyoyo watanzani baada ya teuzi ya makonda faraja kubwa ilejea tena Makonda Nikiongozi wa pekeee sana sana Nikiongozi ambeye Yuko tayari kupoteza majukum yake kwasababu ya kutatua nakutafuta haki za watu walio poteza matumaini na nchi Yao....siku Moja makonda Akiwa njee ya majukum alio kuoa nayo ya utawala ......aliandika Mtuu aliye waokoa watoto wenu kwenye matumizi ya Madawa ya kulevya Leo munauna mbaya Binasi Mimi kijana niwaza kipindi kigum anacho kipitia makonda Mwenyezi mungu amtupi mjawake mtenda haki ...chama Cha mapinduzi kina hekma kubwa .... Mungu sikuzote ni mwema.poa Nzungu
Ma Konda Mungu akulinde unawasaidia wasiyo na watetezi/wanyonge
Zungu unajua unajua sana 🙌🙌
Rekodi yake ni shujaa tupu anafaa kuwa raisi na waziri mkuu watajamba huyo mwanaume❤❤❤❤