USIYOYAJUA KUHUSU MDEE/ MTATA TOKA UTOTONI ALIYEPIGISHWA MAGOTI NA DC, AKAVUNJWA MKONO NA MAGEREZA

#CharlesWilliam #Zungu #Day2NewsTV
Mengi usiyoyajua kuhusu historia, visa na mikasa ya maisha ya mwanasiasa maarufu hapa nchini Halima James Mdee, yamesimuliwa kwa kina katika makala hii maalum iliyoandikwa na mwanahabari Charles William na kusimuliwa vyema na Kelvin Raphael maarufu kama Zungu.
Hii ni DAY TWO NEWS, tafadhali enjoy maudhui yetu na usisahau ku-subscribe KZread channel yetu.

Пікірлер: 37

  • @gideonkapange3905
    @gideonkapange39055 ай бұрын

    Charles na Zungu mnajua sana aise! Content za maana sana. Big up guys!!!

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55676 күн бұрын

    Hongera zungu kwa kutuhabarisha mambo yaan safi sana❤❤❤❤🎉🎉🎉👍👍👍👍😁😁😁

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55676 күн бұрын

    Estar Buraya na Halima nawapenda sana❤❤🎉🎉🎉

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55676 күн бұрын

    Mimi nampendaga sana Halima na mwenzake mbunge wa musoma❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @user-vy8tb2hq9w
    @user-vy8tb2hq9w5 ай бұрын

    Safi sana dada harakati nzuri kwa uma

  • @user-ut6jq4pl3p
    @user-ut6jq4pl3p5 ай бұрын

    Nampenda sana Halima maana ni Mkweli mpenda haki sana licha ya madhaifu machache yatokanayo na kazi yake ya kisiasa

  • @petermwanyondo5370
    @petermwanyondo53705 ай бұрын

    Achana naupungufu wakibinadam Ila uyu mama anaweza sana

  • @Gaspenance
    @Gaspenance5 ай бұрын

    Mzee umetisha huyu dada ni jembe sana iesee,,, namkubali kinoma

  • @jumahamis5758
    @jumahamis57585 ай бұрын

    nimekua wakwanza nipen like zangu

  • @tumainikandaga2997
    @tumainikandaga29974 ай бұрын

    Kazi nzuri sana!

  • @GETRUDAMHAGAMA
    @GETRUDAMHAGAMA5 ай бұрын

    Halima nakupenda omba msamaha tu Kwa viongoz wetu was chadema, ili utupambanie

  • @brysonbryson1735
    @brysonbryson17355 ай бұрын

    Hongera sana dada

  • @ednandejembi5024
    @ednandejembi50245 ай бұрын

    A real Heroine.

  • @ednandejembi5024
    @ednandejembi50245 ай бұрын

    I salute Halima.

  • @abdikadirhassan935
    @abdikadirhassan9355 ай бұрын

    Mheshumiwa ni mrembo ila ndo hataki mme

  • @mussai.sillas3796
    @mussai.sillas37965 ай бұрын

    Halima siyo mbanaishaji. Yaliyomkuta ni udhaifu wa kibindamu tu ya kukubali kujitoa ufahamu ili apate mkate wa kila siku. Hakuna dhambi isiyosameheka. CHADEMA, pamoja na kosa hili kubwa,sameheni 7X70

  • @anisethgb.nkongwa8280
    @anisethgb.nkongwa82805 ай бұрын

    Commander huyoo Mimi babaye hanichoshi nayeye sio Mke wa Ruthu

  • @shabansumaiya4770
    @shabansumaiya47705 ай бұрын

    Dah tuliomaliza 92.tujuane

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh5 ай бұрын

    Halima nakupenda wewe ungejiunga kwenye jeshi ungekuwa tishio my maana secta zote unafiti my love

  • @wilsonsikahanga1761
    @wilsonsikahanga17613 ай бұрын

    mdee rudi chademaaa

  • @user-pg6yb5xe7n
    @user-pg6yb5xe7n5 ай бұрын

    Nenda Kigoma

  • @JavexSiame
    @JavexSiame22 күн бұрын

    L😢

  • @tadeibaraka6201
    @tadeibaraka62012 ай бұрын

    Chadema wakiwafukuza hawa watu litakuwa ndo anguko kuu la Chama hich

  • @user-lb8jd9ut4i
    @user-lb8jd9ut4i5 ай бұрын

    Yukuwapi Halima mdee

  • @charlesgasper-wo9hc
    @charlesgasper-wo9hc5 ай бұрын

    huyo siyo mutata nibintimwenye akili nyingi.

  • @chedielimrutu6955
    @chedielimrutu69555 ай бұрын

    Umenikumbusha na sisi 1993 tulipambana na Mkuu wa Wilaya ya Same Mama Tumbo naye alituzingua hahahaaaa

  • @tgeofrey

    @tgeofrey

    5 ай бұрын

    Nilisoma Same sec 1992-94

  • @davidngailo386
    @davidngailo3865 ай бұрын

    Chaz ww ni mastar miongon mwa wengi

  • @leonardsasita4634
    @leonardsasita46345 ай бұрын

    Wa pili

  • @user-uw8pg9ju5s
    @user-uw8pg9ju5s5 ай бұрын

    Msagajiiiiii

  • @FatimaAli-of4gh

    @FatimaAli-of4gh

    5 ай бұрын

    Itakuwa alikusaga wew usingetoa ushahidi😮😮

  • @MwemaMichael-ge6np
    @MwemaMichael-ge6np5 ай бұрын

    Sulute san mdee

  • @omarimsangi4075
    @omarimsangi40755 ай бұрын

    KUTANDAWAAA

  • @user-do5by8jl6g
    @user-do5by8jl6g5 ай бұрын

    Dada sikupendi nakuchukia

  • @JafethTully

    @JafethTully

    4 күн бұрын

    Mm nakuchukia wewe Atari Sana.

  • @user-mh1vw6fw7t
    @user-mh1vw6fw7t5 ай бұрын

    Chadema chonde chonde halima asamehewe arudi kundini

  • @bonabonala5559
    @bonabonala55595 ай бұрын

    wewe sio cdm tokaapa tom by wewe

Келесі