USIYOYAJUA KUHUSU MDEE/ MTATA TOKA UTOTONI ALIYEPIGISHWA MAGOTI NA DC, AKAVUNJWA MKONO NA MAGEREZA
#CharlesWilliam #Zungu #Day2NewsTV
Mengi usiyoyajua kuhusu historia, visa na mikasa ya maisha ya mwanasiasa maarufu hapa nchini Halima James Mdee, yamesimuliwa kwa kina katika makala hii maalum iliyoandikwa na mwanahabari Charles William na kusimuliwa vyema na Kelvin Raphael maarufu kama Zungu.
Hii ni DAY TWO NEWS, tafadhali enjoy maudhui yetu na usisahau ku-subscribe KZread channel yetu.
Пікірлер: 37
Charles na Zungu mnajua sana aise! Content za maana sana. Big up guys!!!
Hongera zungu kwa kutuhabarisha mambo yaan safi sana❤❤❤❤🎉🎉🎉👍👍👍👍😁😁😁
Estar Buraya na Halima nawapenda sana❤❤🎉🎉🎉
Mimi nampendaga sana Halima na mwenzake mbunge wa musoma❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Safi sana dada harakati nzuri kwa uma
Nampenda sana Halima maana ni Mkweli mpenda haki sana licha ya madhaifu machache yatokanayo na kazi yake ya kisiasa
Achana naupungufu wakibinadam Ila uyu mama anaweza sana
Mzee umetisha huyu dada ni jembe sana iesee,,, namkubali kinoma
nimekua wakwanza nipen like zangu
Kazi nzuri sana!
Halima nakupenda omba msamaha tu Kwa viongoz wetu was chadema, ili utupambanie
Hongera sana dada
A real Heroine.
I salute Halima.
Mheshumiwa ni mrembo ila ndo hataki mme
Halima siyo mbanaishaji. Yaliyomkuta ni udhaifu wa kibindamu tu ya kukubali kujitoa ufahamu ili apate mkate wa kila siku. Hakuna dhambi isiyosameheka. CHADEMA, pamoja na kosa hili kubwa,sameheni 7X70
Commander huyoo Mimi babaye hanichoshi nayeye sio Mke wa Ruthu
Dah tuliomaliza 92.tujuane
Halima nakupenda wewe ungejiunga kwenye jeshi ungekuwa tishio my maana secta zote unafiti my love
mdee rudi chademaaa
Nenda Kigoma
L😢
Chadema wakiwafukuza hawa watu litakuwa ndo anguko kuu la Chama hich
Yukuwapi Halima mdee
huyo siyo mutata nibintimwenye akili nyingi.
Umenikumbusha na sisi 1993 tulipambana na Mkuu wa Wilaya ya Same Mama Tumbo naye alituzingua hahahaaaa
@tgeofrey
5 ай бұрын
Nilisoma Same sec 1992-94
Chaz ww ni mastar miongon mwa wengi
Wa pili
Msagajiiiiii
@FatimaAli-of4gh
5 ай бұрын
Itakuwa alikusaga wew usingetoa ushahidi😮😮
Sulute san mdee
KUTANDAWAAA
Dada sikupendi nakuchukia
@JafethTully
4 күн бұрын
Mm nakuchukia wewe Atari Sana.
Chadema chonde chonde halima asamehewe arudi kundini
wewe sio cdm tokaapa tom by wewe