UNAYOTAKIWA KUJUA KUHUSU LENGAI OLE SABAYA, KIJANA ANAYETAJWA TENA KATIKA ULINGO WA SIASA

#Day2NewsTV #Zungu #CharlesWilliam

Пікірлер: 156

  • @fatimahants1526
    @fatimahants15262 ай бұрын

    Wamurudishe huyu mwamba kwenye madarka tena afanye majabu....🔥🔥🔥🔥🔥

  • @martinamarugu44
    @martinamarugu442 ай бұрын

    Mwenyezi Mungu amekutetea Nenda kafanye kazi uliyoitiwa

  • @kadiakirua7621
    @kadiakirua76212 ай бұрын

    Huyu mwamba ni mwamba wa miambani ipo siku atakua sehemu moja imizing

  • @user-pj7ng8il4t
    @user-pj7ng8il4t3 ай бұрын

    The strong guy we need. Huyu kijana ni muhimu sana ni kiongozi bora ajaye. Apewe nafasi aonyeshe uwezo wake.

  • @afamatv4848
    @afamatv48483 ай бұрын

    Hata baadhi ya Ma Rais wa Nchi kadhaa duniani waliwahi kufungwa jera na wakapata nyazifa hizo baadae. Lengai O. Sabaya is the future President of Tanzania. You will never believe....,

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui3 ай бұрын

    Sabaya namba one

  • @mamapeace6730
    @mamapeace67302 ай бұрын

    Mungu akulinde kaka angu umepitia mengi sana

  • @abras3479
    @abras34793 ай бұрын

    Miongoni mwa wanasiasa wenye mikosi sana. Ni miongoni mwa wanasiasa wachache wazalendo waliobaki. Awamu ya 6 ni awamu mbaya sana kwa wanasiasa wazalendo. Bora aendelee kukaa kimya mpaka tutakapopata awamu ya wazalendo. Inshallah

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    3 ай бұрын

    Good point 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-tl1nz7qx2l

    @user-tl1nz7qx2l

    3 ай бұрын

    Uko sawa kabisa nakuunga point

  • @sonnyr1899

    @sonnyr1899

    2 ай бұрын

    Chukuwa like yangu

  • @shinipapaya846

    @shinipapaya846

    8 күн бұрын

    🤣🤣🤣🤣kabisaa imepita hiyo bila utata 👍

  • @AvitusGerase

    @AvitusGerase

    7 күн бұрын

    Umenena

  • @user-tl1nz7qx2l
    @user-tl1nz7qx2l3 ай бұрын

    Yuko vizuri sana apewe apige kazi

  • @RamzoJunior
    @RamzoJunior7 күн бұрын

    No body can stop,, 💪

  • @chiefndatu1895
    @chiefndatu18953 ай бұрын

    Huyu ndo mwenezi mpya👏

  • @IssaMsomba
    @IssaMsomba3 ай бұрын

    Sabaya yupo vizuri

  • @talents7934

    @talents7934

    2 ай бұрын

    Hii miamba imepewa majina mabaya ili kuiondoa kwenye ramani ya siasa ila hawafahamu kuwa hawa ndio walioijenga CCM Kuna siku Mungu atawarudisha maana wamewakataa ili Wavune vilivyolimwa na hii miamba😢

  • @user-nt8sd6xm5l
    @user-nt8sd6xm5l2 ай бұрын

    Mungu akusimamie na akutendee haki kama kuna maonevu yaliyofanyika juu yako

  • @feliciarfrancis2388
    @feliciarfrancis23883 ай бұрын

    Excellent leader ( Ole Sabaya)

  • @mussahancy6591
    @mussahancy65913 ай бұрын

    Sabaya kijana mzuri sana,na anatosha Natamani awe RC pale SINGIDA

  • @karimjuma4019

    @karimjuma4019

    3 ай бұрын

    Chizi ww

  • @fatimahants1526

    @fatimahants1526

    2 ай бұрын

    Huyu ni mwamba ni shujaa na ndiyo maana apigwa mawe

  • @yusuphbudodi6720

    @yusuphbudodi6720

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂 et pale singinda

  • @user-oz3zu1qm9z
    @user-oz3zu1qm9z3 ай бұрын

    shida yetu atupendi wasalendo tunapenda fibaraka

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in3 ай бұрын

    Huyu jamaa sio muda anarud kwenye system...n suala la muda tu...n kijana wa kazi

  • @AbisoloMalenda
    @AbisoloMalenda2 ай бұрын

    Mungu hakutangulie hakulinde hiyo nafasi ni kwako unaweza kijana wetu hodari mwanasiasa shupavu

  • @robertdominic7298
    @robertdominic72983 ай бұрын

    Tuleteeni RC bora kuwahi kutokea Tz Ally Hapi.

  • @ChalyaIdaso
    @ChalyaIdaso3 ай бұрын

    Makonda na sabaya tunawapenda mno watetez wawanyonge tunawapenda sana

  • @marcokaroje8980

    @marcokaroje8980

    3 ай бұрын

    Mnyonge wewe siyo MTU unejitambua unyonge katika biblia ni dhambi mpeleke kwenu nyumbani awaongoze maana unaonesha udhaifu katika kujipambanua hujui kuwa hata wewe ni kiongozi Ila hujui hill unamsifia sabaya

  • @peteraqadwe7199
    @peteraqadwe71992 ай бұрын

    Yuko poa kijana mugu amtagulie katika maisha yake amina

  • @wilhardvawunge-ns2ks
    @wilhardvawunge-ns2ks3 ай бұрын

    Viongozi kama sabaya meio tunawataka,sema Sasa mzeee ya ccm inaona chama chão na nchi yao

  • @titus_maridhia
    @titus_maridhia3 ай бұрын

    Ni nampenda sana

  • @MiriamAbdallah
    @MiriamAbdallah3 ай бұрын

    Nikisikia jina sabaya namkumbuka yule mama wa kiarusha alivyokuwa analia na kumlaani😢😢😢😢😢

  • @nazarenajoseph2695
    @nazarenajoseph26952 ай бұрын

    Love you sabaya mwanangu

  • @user-iv7mn4qd4q
    @user-iv7mn4qd4q2 ай бұрын

    Sabayaa Mungu akukumbukeeeee

  • @AhmedHassan-vl5zf
    @AhmedHassan-vl5zf2 ай бұрын

    Sabaya NI Masai hodari mkweli na asio ogopa

  • @ayoubliyanga7802
    @ayoubliyanga78023 ай бұрын

    Strong man lengai ole sabaya

  • @user-jn9tz5vd4i
    @user-jn9tz5vd4i3 ай бұрын

    Mama mwangalie kijana Ole sabaya ni jembe hasa mpe nafasi akusaidie

  • @radhiaaboubakari4619
    @radhiaaboubakari46193 ай бұрын

    Sabya bomba makonda bomba sanaaaaà ❤

  • @leonardmayunga2851
    @leonardmayunga28513 ай бұрын

    Zungu natamani kukutana na sabaya,ni kijana makini na anauwezo mkubwa sana tatizo liko ccm na matajiri na wanasiasa wachache wakiguswa mambo yao wanamchafua mtu

  • @user-jj7qv7kh2s
    @user-jj7qv7kh2s2 ай бұрын

    Kukaa kwako magereza ni kuenda kujifunza eananchi wanaosingiziwa kesi wanavyoteseka lakini mimi binafsi nakuombea uje uwe mtu mkubwa katika Taifa hili, tunakutegemea na tunakuombea kwa mungu uje uwe kiongozi mkubwa katika Taifa hili.

  • @HakimuMaliki
    @HakimuMaliki3 ай бұрын

    Nikijana mzalendo anapawa kumbwa nimchapakazi anamfaa mama Samia ampekazi

  • @salomekense525
    @salomekense5252 ай бұрын

    Tuliozaliwa 1986 tupo pamoja kukuombea ili baadaye uje uwe mtu mkubwa katika nchi yetu ya Tzn.

  • @lekinyaurey5772
    @lekinyaurey57723 ай бұрын

    Anafaaaa Sana kuwa kiongozi Bora mungu mbariki sabaya

  • @gaitanokamage7366
    @gaitanokamage73662 ай бұрын

    ally happy ,makonda ,sabaya, sabaya na mahu wao ni noma hapo kuna soma iyoooo toronto

  • @danielnangela2195
    @danielnangela21953 ай бұрын

    Splendid.

  • @user-ey3ru8if4v
    @user-ey3ru8if4v2 ай бұрын

    Sebaya mpe kazi mama

  • @LalakwaLekinanga-cj5ke
    @LalakwaLekinanga-cj5ke3 ай бұрын

    Ole sabaya nikiongozi mnzuri sana

  • @AbisoloMalenda
    @AbisoloMalenda2 ай бұрын

    Apewe hiyo nafasi anaweza kabisa mwanasiasa hodari shupavu pamoja na majaribu aliyopitia mungu ndio Kila kwake

  • @WilsonLuchwele
    @WilsonLuchwele2 ай бұрын

    Kweli ccm mna mambo

  • @nehemiamwasile8696
    @nehemiamwasile86962 ай бұрын

    Yupo vizur

  • @Emmamugya-iu8uv
    @Emmamugya-iu8uv3 ай бұрын

    Kaka unapambana sio poa

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx3 ай бұрын

    Good guy

  • @emanuelkyashama3858
    @emanuelkyashama385826 күн бұрын

    The general

  • @yusuphchankwa4759
    @yusuphchankwa47592 ай бұрын

    Namupenda sana sabaya

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx3 ай бұрын

    We remember sabaya

  • @nicksonngogo7904
    @nicksonngogo79043 ай бұрын

    🎉🎉🎉!

  • @antonyndinga8890
    @antonyndinga88902 ай бұрын

    Acha kumtetea, maana Mungu ndo anajua

  • @WilsonLuchwele
    @WilsonLuchwele2 ай бұрын

    Hebu ione hazina waliyobakiza ccm, makonda + sabaya type,Mungu ihurumie Tanzania!

  • @matthewmichaelsylvester5612
    @matthewmichaelsylvester56123 ай бұрын

    maudhui mazuri sana D2N kazi iendelee

  • @godfreymwikola8232
    @godfreymwikola82323 ай бұрын

    Jamaa yupo vizur sana yupo nkwenye kundi la kutetea wanyonge

  • @EliauMtishbi-os5ky
    @EliauMtishbi-os5ky2 ай бұрын

    Sabaya ni kiongozi Mwamba wa kzi

  • @user-ey3ru8if4v
    @user-ey3ru8if4v2 ай бұрын

    Kesi zote zilikuwa za mchongo

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx3 ай бұрын

    Watu kama sabaya na makonda,slaa na mzalendo inaonekana mama hawataki

  • @michaelmwakajoka7672
    @michaelmwakajoka76723 ай бұрын

    Mchambueni mwakyembe alie wai kuwa mbunge wa kyela

  • @SanareMolle
    @SanareMolle2 ай бұрын

    Sabaya ni kiboko ya wapinzani

  • @user-wi4nb7fg8v
    @user-wi4nb7fg8v3 ай бұрын

    Sabaya tunaomba mama Samia aliangalie hili kujaza nafasi ya watatu hao Makonda Hapi Sabaya itakuwa hatari😢

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali19463 ай бұрын

    Mwamba tunakukubali Sabaya mzalendo wa kweli

  • @saidmpunga-en6pf
    @saidmpunga-en6pf2 ай бұрын

    mimi mmojawapo sabaya anafaa kwa asilimia 100 hebu mama mpe nafasi sabaya awanyooshe wanaopenda konakona

  • @Emmamugya-iu8uv
    @Emmamugya-iu8uv3 ай бұрын

    Komaa hiyo ni spirit yako umezaliwa nayo mwana

  • @MataukaMatauka
    @MataukaMatauka3 ай бұрын

    Hawa.jama.ndio.wazarendo.kweri.nawakubari

  • @user-tn7ic2ky3i
    @user-tn7ic2ky3i3 ай бұрын

    Naomba munchambue mwana harakati mwabukusi

  • @ramadhanimmana3829
    @ramadhanimmana38293 ай бұрын

    We need sabaya

  • @KassimAlly-xp4dz

    @KassimAlly-xp4dz

    3 ай бұрын

    U and who

  • @ShadowScreamStudio
    @ShadowScreamStudio2 ай бұрын

    One day nyota itang'aaa tena

  • @humphreynyiti516
    @humphreynyiti5163 ай бұрын

    Ni msenge sana huyu jamaa

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui3 ай бұрын

    TUNAMKUBARI JEMBE

  • @deusisindwa616
    @deusisindwa6163 ай бұрын

    Isingekuwa siasa chafu za nchi yetu,,Sabaya anastahili kuwa kiongoz wa ngazi za juu,,ila namuombea Kwa Mungu ampe kibali Cha kuwa kiongoz mkuu katika taifa letu,,naiman atatufikisha kanani 10:38

  • @bundalaizina652
    @bundalaizina6523 ай бұрын

    Hata mpina anafaa pia

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx3 ай бұрын

    Magufuli baba tunakukumbuka sn

  • @DeoOmali
    @DeoOmali3 ай бұрын

    Hii serikali ya kikuma kwani wao sindio walisema ametapeli watu inamana mahakama haikua na ukweli wowote juu ya tuuma manake ni nini sasa wanataka kugombanisha wananchi na mahakama saivi usipokua upande wa mama samia hatakama serikali inakosea wewe ni kupewa kesi huyu tunaukweli wake na lazima mungu amewekea mwisho uwo ndo ukwelì msijifanye ccm wajuaji mungu ni mungu

  • @PartySekemi
    @PartySekemi3 ай бұрын

    Zilikua vita vya kisiasa na ya wakwepa kodi naomba utuchambulie mwana sheria mkuu wa serikali tuna wasiwasi na taaluma yake😅

  • @user-ey3ru8if4v
    @user-ey3ru8if4v2 ай бұрын

    Naitwa muhaji mtonoya, huyu kijana apewe kazi sasa kwani ni kati ya vijana wazalendo

  • @shafiijuma3282
    @shafiijuma32823 ай бұрын

    iiii sijuii

  • @karimmveyange280
    @karimmveyange2803 ай бұрын

    HIVI WALIO KUWA WAKIMUHUKUMU SABAYA HUKUMU AS UWONGO HUKU WAKIJUA NO UWONGO WANAJISIKIAJE?HE,COM INAJISIKIAJE KUHUSU SABAYA,ALIYE IBUA NA KUTOKOMEZA MAOVU USO KWA UPS,WANAMUONA NO MUHUJUMU UCHUMI?HAFAI? INATIA SHAKA SHAKA SANA IKIWA MSIMAMO NI HUO. HATUWEZI TOKA KIMAENDELEO YA KITAIFA

  • @martinamarugu44
    @martinamarugu442 ай бұрын

    Sabaya kila la Kheri

  • @ulomirabiel6980
    @ulomirabiel69803 ай бұрын

    Acheni kufanya uchafu kisha kulitaja jina Mungu.

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx3 ай бұрын

    Sabaya hoye

  • @NdekirwaPallangyo
    @NdekirwaPallangyo4 күн бұрын

    SABAYA WAMEJARBU KUMSHUSHA NAKUMPANDSHA LAKN HATMA YAMTU HII MIKONON MWA MUNGU 18:06 😢❤😂🎉🎉🎉

  • @mangwembecompany7039
    @mangwembecompany70393 ай бұрын

    Anafaa sana

  • @PartySekemi
    @PartySekemi3 ай бұрын

    Kwa sababu hoja nyingi za vivungu bungeni Mara nyingi ameshindwa hadharani

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo98703 ай бұрын

    Yaani hapa tumepigwa aliyetoka gerezani apewe rungu ni hatari

  • @TeophilBuilding

    @TeophilBuilding

    3 ай бұрын

    Unatombwa akil iyo watu wanatok jela nakupew urais we mkundu unakuwasha kwa nafas ndogo km iyo

  • @SalumZaidi
    @SalumZaidi2 ай бұрын

    Apewe kijiti

  • @DaudiisackYohana
    @DaudiisackYohana3 ай бұрын

    Let's ya Dk slaa kipande cha tatu

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary8932 ай бұрын

    Tunapenda sana rais awe makonda makamo WA rais awe sabaya

  • @LEONARDMASHALLAH
    @LEONARDMASHALLAH2 ай бұрын

    He is a true son of Ccm

  • @user-qp2mc4gq2q
    @user-qp2mc4gq2q3 ай бұрын

    Huyu sabaya ni bonge la kiongozi ipo siku atakuwa kiongozi mkubwa sana nchini tuombe uzima tuu

  • @derickkahangwa5405
    @derickkahangwa54052 ай бұрын

    Yuko vzur alipambana na wanyonyaji

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything12 күн бұрын

    ✌️👊🇹🇿

  • @ezekieljacob5795
    @ezekieljacob57953 ай бұрын

    Mwanasiasa kama Lisu ila usiongeze michuuvi miiingi unaharibu,acha uchawa

  • @MataukaMatauka
    @MataukaMatauka3 ай бұрын

    Natamani.sabaya.awe.mkuu.wa.wiraya newara

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes11313 ай бұрын

    Tunataka watu kama Hawa wasiyokuwa waoga

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx3 ай бұрын

    Ukisema vibaya sabaya wewe ni mpotoshahi tu

  • @benolduka
    @benolduka3 ай бұрын

    Ccm inayopenda wenye asili ya ijambazi, mauwaji....

  • @user-ey3ru8if4v
    @user-ey3ru8if4v2 ай бұрын

    Huyu dogo huwa namkubali sana kama makonda

  • @user-hu3bz3lv7s
    @user-hu3bz3lv7s3 ай бұрын

    Huenda zilikuwa ni kesi za michongo tu dhidi yake

  • @marcokaroje8980
    @marcokaroje89803 ай бұрын

    Utadhani kwao sabaya anakotoka hakuna wazee mdhalimu huyu kijana

  • @feliciarfrancis2388
    @feliciarfrancis23883 ай бұрын

    CCM ina akiba ya kutosha ya viongozi ,wanatakiwa kutumiwa kwa ajili ya Taifa hili kwa ajili ya usitawi wa Watanzania. CCM oyeee!!

  • @hamphreybetty6208
    @hamphreybetty62083 ай бұрын

    SABAYA NI MWAMBA SANA YAAN KWA NCHI YA TANZANIA INAITAJI MTU WA HAIBA YAKE Mfano kama PAUL MAKONDA ,SABAYA,GAMBO NI WATU AMBAO WANAITAJIKA SANA KWA SIAZA BONGO MAMA KAMA ANASIKIA SAUTI ZA WACHANGIA MADA BAMUOMBA AMSAMEHE SABAYA AMPE ATA UBUNGE WA KUTEULIWA TANZANIA BILA WATU WENYE MAAMUZI MAGUMU HATUTOBOI WENGINE BILA KUTINGISHWA HAWAENDIIII

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu3 ай бұрын

    Ajuae MUNGU

Келесі