UNAYOTAKIWA KUJUA KUHUSU LENGAI OLE SABAYA, KIJANA ANAYETAJWA TENA KATIKA ULINGO WA SIASA
#Day2NewsTV #Zungu #CharlesWilliam
Жүктеу.....
Пікірлер: 156
@fatimahants15262 ай бұрын
Wamurudishe huyu mwamba kwenye madarka tena afanye majabu....🔥🔥🔥🔥🔥
@martinamarugu442 ай бұрын
Mwenyezi Mungu amekutetea Nenda kafanye kazi uliyoitiwa
@kadiakirua76212 ай бұрын
Huyu mwamba ni mwamba wa miambani ipo siku atakua sehemu moja imizing
@user-pj7ng8il4t3 ай бұрын
The strong guy we need. Huyu kijana ni muhimu sana ni kiongozi bora ajaye. Apewe nafasi aonyeshe uwezo wake.
@afamatv48483 ай бұрын
Hata baadhi ya Ma Rais wa Nchi kadhaa duniani waliwahi kufungwa jera na wakapata nyazifa hizo baadae. Lengai O. Sabaya is the future President of Tanzania. You will never believe....,
@KingBuddah-nx3ui3 ай бұрын
Sabaya namba one
@mamapeace67302 ай бұрын
Mungu akulinde kaka angu umepitia mengi sana
@abras34793 ай бұрын
Miongoni mwa wanasiasa wenye mikosi sana. Ni miongoni mwa wanasiasa wachache wazalendo waliobaki. Awamu ya 6 ni awamu mbaya sana kwa wanasiasa wazalendo. Bora aendelee kukaa kimya mpaka tutakapopata awamu ya wazalendo. Inshallah
@MiriamAbdallah
3 ай бұрын
Good point 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-tl1nz7qx2l
3 ай бұрын
Uko sawa kabisa nakuunga point
@sonnyr1899
2 ай бұрын
Chukuwa like yangu
@shinipapaya846
8 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣kabisaa imepita hiyo bila utata 👍
@AvitusGerase
7 күн бұрын
Umenena
@user-tl1nz7qx2l3 ай бұрын
Yuko vizuri sana apewe apige kazi
@RamzoJunior7 күн бұрын
No body can stop,, 💪
@chiefndatu18953 ай бұрын
Huyu ndo mwenezi mpya👏
@IssaMsomba3 ай бұрын
Sabaya yupo vizuri
@talents7934
2 ай бұрын
Hii miamba imepewa majina mabaya ili kuiondoa kwenye ramani ya siasa ila hawafahamu kuwa hawa ndio walioijenga CCM Kuna siku Mungu atawarudisha maana wamewakataa ili Wavune vilivyolimwa na hii miamba😢
@user-nt8sd6xm5l2 ай бұрын
Mungu akusimamie na akutendee haki kama kuna maonevu yaliyofanyika juu yako
@feliciarfrancis23883 ай бұрын
Excellent leader ( Ole Sabaya)
@mussahancy65913 ай бұрын
Sabaya kijana mzuri sana,na anatosha Natamani awe RC pale SINGIDA
@karimjuma4019
3 ай бұрын
Chizi ww
@fatimahants1526
2 ай бұрын
Huyu ni mwamba ni shujaa na ndiyo maana apigwa mawe
@yusuphbudodi6720
Ай бұрын
😂😂😂😂😂 et pale singinda
@user-oz3zu1qm9z3 ай бұрын
shida yetu atupendi wasalendo tunapenda fibaraka
@Ibrahim-ne3in3 ай бұрын
Huyu jamaa sio muda anarud kwenye system...n suala la muda tu...n kijana wa kazi
@AbisoloMalenda2 ай бұрын
Mungu hakutangulie hakulinde hiyo nafasi ni kwako unaweza kijana wetu hodari mwanasiasa shupavu
@robertdominic72983 ай бұрын
Tuleteeni RC bora kuwahi kutokea Tz Ally Hapi.
@ChalyaIdaso3 ай бұрын
Makonda na sabaya tunawapenda mno watetez wawanyonge tunawapenda sana
@marcokaroje8980
3 ай бұрын
Mnyonge wewe siyo MTU unejitambua unyonge katika biblia ni dhambi mpeleke kwenu nyumbani awaongoze maana unaonesha udhaifu katika kujipambanua hujui kuwa hata wewe ni kiongozi Ila hujui hill unamsifia sabaya
@peteraqadwe71992 ай бұрын
Yuko poa kijana mugu amtagulie katika maisha yake amina
@wilhardvawunge-ns2ks3 ай бұрын
Viongozi kama sabaya meio tunawataka,sema Sasa mzeee ya ccm inaona chama chão na nchi yao
@titus_maridhia3 ай бұрын
Ni nampenda sana
@MiriamAbdallah3 ай бұрын
Nikisikia jina sabaya namkumbuka yule mama wa kiarusha alivyokuwa analia na kumlaani😢😢😢😢😢
@nazarenajoseph26952 ай бұрын
Love you sabaya mwanangu
@user-iv7mn4qd4q2 ай бұрын
Sabayaa Mungu akukumbukeeeee
@AhmedHassan-vl5zf2 ай бұрын
Sabaya NI Masai hodari mkweli na asio ogopa
@ayoubliyanga78023 ай бұрын
Strong man lengai ole sabaya
@user-jn9tz5vd4i3 ай бұрын
Mama mwangalie kijana Ole sabaya ni jembe hasa mpe nafasi akusaidie
@radhiaaboubakari46193 ай бұрын
Sabya bomba makonda bomba sanaaaaà ❤
@leonardmayunga28513 ай бұрын
Zungu natamani kukutana na sabaya,ni kijana makini na anauwezo mkubwa sana tatizo liko ccm na matajiri na wanasiasa wachache wakiguswa mambo yao wanamchafua mtu
@user-jj7qv7kh2s2 ай бұрын
Kukaa kwako magereza ni kuenda kujifunza eananchi wanaosingiziwa kesi wanavyoteseka lakini mimi binafsi nakuombea uje uwe mtu mkubwa katika Taifa hili, tunakutegemea na tunakuombea kwa mungu uje uwe kiongozi mkubwa katika Taifa hili.
@HakimuMaliki3 ай бұрын
Nikijana mzalendo anapawa kumbwa nimchapakazi anamfaa mama Samia ampekazi
@salomekense5252 ай бұрын
Tuliozaliwa 1986 tupo pamoja kukuombea ili baadaye uje uwe mtu mkubwa katika nchi yetu ya Tzn.
@lekinyaurey57723 ай бұрын
Anafaaaa Sana kuwa kiongozi Bora mungu mbariki sabaya
@gaitanokamage73662 ай бұрын
ally happy ,makonda ,sabaya, sabaya na mahu wao ni noma hapo kuna soma iyoooo toronto
@danielnangela21953 ай бұрын
Splendid.
@user-ey3ru8if4v2 ай бұрын
Sebaya mpe kazi mama
@LalakwaLekinanga-cj5ke3 ай бұрын
Ole sabaya nikiongozi mnzuri sana
@AbisoloMalenda2 ай бұрын
Apewe hiyo nafasi anaweza kabisa mwanasiasa hodari shupavu pamoja na majaribu aliyopitia mungu ndio Kila kwake
Jamaa yupo vizur sana yupo nkwenye kundi la kutetea wanyonge
@EliauMtishbi-os5ky2 ай бұрын
Sabaya ni kiongozi Mwamba wa kzi
@user-ey3ru8if4v2 ай бұрын
Kesi zote zilikuwa za mchongo
@emmanuelmlowe-ew7gx3 ай бұрын
Watu kama sabaya na makonda,slaa na mzalendo inaonekana mama hawataki
@michaelmwakajoka76723 ай бұрын
Mchambueni mwakyembe alie wai kuwa mbunge wa kyela
@SanareMolle2 ай бұрын
Sabaya ni kiboko ya wapinzani
@user-wi4nb7fg8v3 ай бұрын
Sabaya tunaomba mama Samia aliangalie hili kujaza nafasi ya watatu hao Makonda Hapi Sabaya itakuwa hatari😢
@marandoruzali19463 ай бұрын
Mwamba tunakukubali Sabaya mzalendo wa kweli
@saidmpunga-en6pf2 ай бұрын
mimi mmojawapo sabaya anafaa kwa asilimia 100 hebu mama mpe nafasi sabaya awanyooshe wanaopenda konakona
@Emmamugya-iu8uv3 ай бұрын
Komaa hiyo ni spirit yako umezaliwa nayo mwana
@MataukaMatauka3 ай бұрын
Hawa.jama.ndio.wazarendo.kweri.nawakubari
@user-tn7ic2ky3i3 ай бұрын
Naomba munchambue mwana harakati mwabukusi
@ramadhanimmana38293 ай бұрын
We need sabaya
@KassimAlly-xp4dz
3 ай бұрын
U and who
@ShadowScreamStudio2 ай бұрын
One day nyota itang'aaa tena
@humphreynyiti5163 ай бұрын
Ni msenge sana huyu jamaa
@KingBuddah-nx3ui3 ай бұрын
TUNAMKUBARI JEMBE
@deusisindwa6163 ай бұрын
Isingekuwa siasa chafu za nchi yetu,,Sabaya anastahili kuwa kiongoz wa ngazi za juu,,ila namuombea Kwa Mungu ampe kibali Cha kuwa kiongoz mkuu katika taifa letu,,naiman atatufikisha kanani 10:38
@bundalaizina6523 ай бұрын
Hata mpina anafaa pia
@emmanuelmlowe-ew7gx3 ай бұрын
Magufuli baba tunakukumbuka sn
@DeoOmali3 ай бұрын
Hii serikali ya kikuma kwani wao sindio walisema ametapeli watu inamana mahakama haikua na ukweli wowote juu ya tuuma manake ni nini sasa wanataka kugombanisha wananchi na mahakama saivi usipokua upande wa mama samia hatakama serikali inakosea wewe ni kupewa kesi huyu tunaukweli wake na lazima mungu amewekea mwisho uwo ndo ukwelì msijifanye ccm wajuaji mungu ni mungu
@PartySekemi3 ай бұрын
Zilikua vita vya kisiasa na ya wakwepa kodi naomba utuchambulie mwana sheria mkuu wa serikali tuna wasiwasi na taaluma yake😅
@user-ey3ru8if4v2 ай бұрын
Naitwa muhaji mtonoya, huyu kijana apewe kazi sasa kwani ni kati ya vijana wazalendo
@shafiijuma32823 ай бұрын
iiii sijuii
@karimmveyange2803 ай бұрын
HIVI WALIO KUWA WAKIMUHUKUMU SABAYA HUKUMU AS UWONGO HUKU WAKIJUA NO UWONGO WANAJISIKIAJE?HE,COM INAJISIKIAJE KUHUSU SABAYA,ALIYE IBUA NA KUTOKOMEZA MAOVU USO KWA UPS,WANAMUONA NO MUHUJUMU UCHUMI?HAFAI? INATIA SHAKA SHAKA SANA IKIWA MSIMAMO NI HUO. HATUWEZI TOKA KIMAENDELEO YA KITAIFA
@martinamarugu442 ай бұрын
Sabaya kila la Kheri
@ulomirabiel69803 ай бұрын
Acheni kufanya uchafu kisha kulitaja jina Mungu.
@emmanuelmlowe-ew7gx3 ай бұрын
Sabaya hoye
@NdekirwaPallangyo4 күн бұрын
SABAYA WAMEJARBU KUMSHUSHA NAKUMPANDSHA LAKN HATMA YAMTU HII MIKONON MWA MUNGU 18:06 😢❤😂🎉🎉🎉
@mangwembecompany70393 ай бұрын
Anafaa sana
@PartySekemi3 ай бұрын
Kwa sababu hoja nyingi za vivungu bungeni Mara nyingi ameshindwa hadharani
@isackphilipo98703 ай бұрын
Yaani hapa tumepigwa aliyetoka gerezani apewe rungu ni hatari
@TeophilBuilding
3 ай бұрын
Unatombwa akil iyo watu wanatok jela nakupew urais we mkundu unakuwasha kwa nafas ndogo km iyo
@SalumZaidi2 ай бұрын
Apewe kijiti
@DaudiisackYohana3 ай бұрын
Let's ya Dk slaa kipande cha tatu
@msafiriomary8932 ай бұрын
Tunapenda sana rais awe makonda makamo WA rais awe sabaya
@LEONARDMASHALLAH2 ай бұрын
He is a true son of Ccm
@user-qp2mc4gq2q3 ай бұрын
Huyu sabaya ni bonge la kiongozi ipo siku atakuwa kiongozi mkubwa sana nchini tuombe uzima tuu
@derickkahangwa54052 ай бұрын
Yuko vzur alipambana na wanyonyaji
@King_Of_Everything12 күн бұрын
✌️👊🇹🇿
@ezekieljacob57953 ай бұрын
Mwanasiasa kama Lisu ila usiongeze michuuvi miiingi unaharibu,acha uchawa
@MataukaMatauka3 ай бұрын
Natamani.sabaya.awe.mkuu.wa.wiraya newara
@renatusblandes11313 ай бұрын
Tunataka watu kama Hawa wasiyokuwa waoga
@emmanuelmlowe-ew7gx3 ай бұрын
Ukisema vibaya sabaya wewe ni mpotoshahi tu
@benolduka3 ай бұрын
Ccm inayopenda wenye asili ya ijambazi, mauwaji....
CCM ina akiba ya kutosha ya viongozi ,wanatakiwa kutumiwa kwa ajili ya Taifa hili kwa ajili ya usitawi wa Watanzania. CCM oyeee!!
@hamphreybetty62083 ай бұрын
SABAYA NI MWAMBA SANA YAAN KWA NCHI YA TANZANIA INAITAJI MTU WA HAIBA YAKE Mfano kama PAUL MAKONDA ,SABAYA,GAMBO NI WATU AMBAO WANAITAJIKA SANA KWA SIAZA BONGO MAMA KAMA ANASIKIA SAUTI ZA WACHANGIA MADA BAMUOMBA AMSAMEHE SABAYA AMPE ATA UBUNGE WA KUTEULIWA TANZANIA BILA WATU WENYE MAAMUZI MAGUMU HATUTOBOI WENGINE BILA KUTINGISHWA HAWAENDIIII
Пікірлер: 156
Wamurudishe huyu mwamba kwenye madarka tena afanye majabu....🔥🔥🔥🔥🔥
Mwenyezi Mungu amekutetea Nenda kafanye kazi uliyoitiwa
Huyu mwamba ni mwamba wa miambani ipo siku atakua sehemu moja imizing
The strong guy we need. Huyu kijana ni muhimu sana ni kiongozi bora ajaye. Apewe nafasi aonyeshe uwezo wake.
Hata baadhi ya Ma Rais wa Nchi kadhaa duniani waliwahi kufungwa jera na wakapata nyazifa hizo baadae. Lengai O. Sabaya is the future President of Tanzania. You will never believe....,
Sabaya namba one
Mungu akulinde kaka angu umepitia mengi sana
Miongoni mwa wanasiasa wenye mikosi sana. Ni miongoni mwa wanasiasa wachache wazalendo waliobaki. Awamu ya 6 ni awamu mbaya sana kwa wanasiasa wazalendo. Bora aendelee kukaa kimya mpaka tutakapopata awamu ya wazalendo. Inshallah
@MiriamAbdallah
3 ай бұрын
Good point 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-tl1nz7qx2l
3 ай бұрын
Uko sawa kabisa nakuunga point
@sonnyr1899
2 ай бұрын
Chukuwa like yangu
@shinipapaya846
8 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣kabisaa imepita hiyo bila utata 👍
@AvitusGerase
7 күн бұрын
Umenena
Yuko vizuri sana apewe apige kazi
No body can stop,, 💪
Huyu ndo mwenezi mpya👏
Sabaya yupo vizuri
@talents7934
2 ай бұрын
Hii miamba imepewa majina mabaya ili kuiondoa kwenye ramani ya siasa ila hawafahamu kuwa hawa ndio walioijenga CCM Kuna siku Mungu atawarudisha maana wamewakataa ili Wavune vilivyolimwa na hii miamba😢
Mungu akusimamie na akutendee haki kama kuna maonevu yaliyofanyika juu yako
Excellent leader ( Ole Sabaya)
Sabaya kijana mzuri sana,na anatosha Natamani awe RC pale SINGIDA
@karimjuma4019
3 ай бұрын
Chizi ww
@fatimahants1526
2 ай бұрын
Huyu ni mwamba ni shujaa na ndiyo maana apigwa mawe
@yusuphbudodi6720
Ай бұрын
😂😂😂😂😂 et pale singinda
shida yetu atupendi wasalendo tunapenda fibaraka
Huyu jamaa sio muda anarud kwenye system...n suala la muda tu...n kijana wa kazi
Mungu hakutangulie hakulinde hiyo nafasi ni kwako unaweza kijana wetu hodari mwanasiasa shupavu
Tuleteeni RC bora kuwahi kutokea Tz Ally Hapi.
Makonda na sabaya tunawapenda mno watetez wawanyonge tunawapenda sana
@marcokaroje8980
3 ай бұрын
Mnyonge wewe siyo MTU unejitambua unyonge katika biblia ni dhambi mpeleke kwenu nyumbani awaongoze maana unaonesha udhaifu katika kujipambanua hujui kuwa hata wewe ni kiongozi Ila hujui hill unamsifia sabaya
Yuko poa kijana mugu amtagulie katika maisha yake amina
Viongozi kama sabaya meio tunawataka,sema Sasa mzeee ya ccm inaona chama chão na nchi yao
Ni nampenda sana
Nikisikia jina sabaya namkumbuka yule mama wa kiarusha alivyokuwa analia na kumlaani😢😢😢😢😢
Love you sabaya mwanangu
Sabayaa Mungu akukumbukeeeee
Sabaya NI Masai hodari mkweli na asio ogopa
Strong man lengai ole sabaya
Mama mwangalie kijana Ole sabaya ni jembe hasa mpe nafasi akusaidie
Sabya bomba makonda bomba sanaaaaà ❤
Zungu natamani kukutana na sabaya,ni kijana makini na anauwezo mkubwa sana tatizo liko ccm na matajiri na wanasiasa wachache wakiguswa mambo yao wanamchafua mtu
Kukaa kwako magereza ni kuenda kujifunza eananchi wanaosingiziwa kesi wanavyoteseka lakini mimi binafsi nakuombea uje uwe mtu mkubwa katika Taifa hili, tunakutegemea na tunakuombea kwa mungu uje uwe kiongozi mkubwa katika Taifa hili.
Nikijana mzalendo anapawa kumbwa nimchapakazi anamfaa mama Samia ampekazi
Tuliozaliwa 1986 tupo pamoja kukuombea ili baadaye uje uwe mtu mkubwa katika nchi yetu ya Tzn.
Anafaaaa Sana kuwa kiongozi Bora mungu mbariki sabaya
ally happy ,makonda ,sabaya, sabaya na mahu wao ni noma hapo kuna soma iyoooo toronto
Splendid.
Sebaya mpe kazi mama
Ole sabaya nikiongozi mnzuri sana
Apewe hiyo nafasi anaweza kabisa mwanasiasa hodari shupavu pamoja na majaribu aliyopitia mungu ndio Kila kwake
Kweli ccm mna mambo
Yupo vizur
Kaka unapambana sio poa
Good guy
The general
Namupenda sana sabaya
We remember sabaya
🎉🎉🎉!
Acha kumtetea, maana Mungu ndo anajua
Hebu ione hazina waliyobakiza ccm, makonda + sabaya type,Mungu ihurumie Tanzania!
maudhui mazuri sana D2N kazi iendelee
Jamaa yupo vizur sana yupo nkwenye kundi la kutetea wanyonge
Sabaya ni kiongozi Mwamba wa kzi
Kesi zote zilikuwa za mchongo
Watu kama sabaya na makonda,slaa na mzalendo inaonekana mama hawataki
Mchambueni mwakyembe alie wai kuwa mbunge wa kyela
Sabaya ni kiboko ya wapinzani
Sabaya tunaomba mama Samia aliangalie hili kujaza nafasi ya watatu hao Makonda Hapi Sabaya itakuwa hatari😢
Mwamba tunakukubali Sabaya mzalendo wa kweli
mimi mmojawapo sabaya anafaa kwa asilimia 100 hebu mama mpe nafasi sabaya awanyooshe wanaopenda konakona
Komaa hiyo ni spirit yako umezaliwa nayo mwana
Hawa.jama.ndio.wazarendo.kweri.nawakubari
Naomba munchambue mwana harakati mwabukusi
We need sabaya
@KassimAlly-xp4dz
3 ай бұрын
U and who
One day nyota itang'aaa tena
Ni msenge sana huyu jamaa
TUNAMKUBARI JEMBE
Isingekuwa siasa chafu za nchi yetu,,Sabaya anastahili kuwa kiongoz wa ngazi za juu,,ila namuombea Kwa Mungu ampe kibali Cha kuwa kiongoz mkuu katika taifa letu,,naiman atatufikisha kanani 10:38
Hata mpina anafaa pia
Magufuli baba tunakukumbuka sn
Hii serikali ya kikuma kwani wao sindio walisema ametapeli watu inamana mahakama haikua na ukweli wowote juu ya tuuma manake ni nini sasa wanataka kugombanisha wananchi na mahakama saivi usipokua upande wa mama samia hatakama serikali inakosea wewe ni kupewa kesi huyu tunaukweli wake na lazima mungu amewekea mwisho uwo ndo ukwelì msijifanye ccm wajuaji mungu ni mungu
Zilikua vita vya kisiasa na ya wakwepa kodi naomba utuchambulie mwana sheria mkuu wa serikali tuna wasiwasi na taaluma yake😅
Naitwa muhaji mtonoya, huyu kijana apewe kazi sasa kwani ni kati ya vijana wazalendo
iiii sijuii
HIVI WALIO KUWA WAKIMUHUKUMU SABAYA HUKUMU AS UWONGO HUKU WAKIJUA NO UWONGO WANAJISIKIAJE?HE,COM INAJISIKIAJE KUHUSU SABAYA,ALIYE IBUA NA KUTOKOMEZA MAOVU USO KWA UPS,WANAMUONA NO MUHUJUMU UCHUMI?HAFAI? INATIA SHAKA SHAKA SANA IKIWA MSIMAMO NI HUO. HATUWEZI TOKA KIMAENDELEO YA KITAIFA
Sabaya kila la Kheri
Acheni kufanya uchafu kisha kulitaja jina Mungu.
Sabaya hoye
SABAYA WAMEJARBU KUMSHUSHA NAKUMPANDSHA LAKN HATMA YAMTU HII MIKONON MWA MUNGU 18:06 😢❤😂🎉🎉🎉
Anafaa sana
Kwa sababu hoja nyingi za vivungu bungeni Mara nyingi ameshindwa hadharani
Yaani hapa tumepigwa aliyetoka gerezani apewe rungu ni hatari
@TeophilBuilding
3 ай бұрын
Unatombwa akil iyo watu wanatok jela nakupew urais we mkundu unakuwasha kwa nafas ndogo km iyo
Apewe kijiti
Let's ya Dk slaa kipande cha tatu
Tunapenda sana rais awe makonda makamo WA rais awe sabaya
He is a true son of Ccm
Huyu sabaya ni bonge la kiongozi ipo siku atakuwa kiongozi mkubwa sana nchini tuombe uzima tuu
Yuko vzur alipambana na wanyonyaji
✌️👊🇹🇿
Mwanasiasa kama Lisu ila usiongeze michuuvi miiingi unaharibu,acha uchawa
Natamani.sabaya.awe.mkuu.wa.wiraya newara
Tunataka watu kama Hawa wasiyokuwa waoga
Ukisema vibaya sabaya wewe ni mpotoshahi tu
Ccm inayopenda wenye asili ya ijambazi, mauwaji....
Huyu dogo huwa namkubali sana kama makonda
Huenda zilikuwa ni kesi za michongo tu dhidi yake
Utadhani kwao sabaya anakotoka hakuna wazee mdhalimu huyu kijana
CCM ina akiba ya kutosha ya viongozi ,wanatakiwa kutumiwa kwa ajili ya Taifa hili kwa ajili ya usitawi wa Watanzania. CCM oyeee!!
SABAYA NI MWAMBA SANA YAAN KWA NCHI YA TANZANIA INAITAJI MTU WA HAIBA YAKE Mfano kama PAUL MAKONDA ,SABAYA,GAMBO NI WATU AMBAO WANAITAJIKA SANA KWA SIAZA BONGO MAMA KAMA ANASIKIA SAUTI ZA WACHANGIA MADA BAMUOMBA AMSAMEHE SABAYA AMPE ATA UBUNGE WA KUTEULIWA TANZANIA BILA WATU WENYE MAAMUZI MAGUMU HATUTOBOI WENGINE BILA KUTINGISHWA HAWAENDIIII
Ajuae MUNGU