MKAPA ALIVYOTANGAZA KIFO CHA MWL NYERERE || MAGUFULI ALIVYOTANGAZA KIFO CHA MKAPA KWA UCHUNGU

Aliyekuwa Rais wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa alitangaza kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kwa UCHUNGU huku akiwa amembatana na makamu wake wa Rais, Dk Omari Ali Juma na waziri wake mkuu Frederick Sumaye. Leo Ijumaa, Julai 24, 2020 Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Magufuli ametangaza kifo cha Mkapa kwa uchungu akieleza alifariki akiwa hospitalini jijini Dar es Salaam

Пікірлер: 39

  • @veronicamwanyika7226
    @veronicamwanyika72264 жыл бұрын

    Msikosoe sana Ndg JPM hajaandika;;Hayati Mkapa alikua anasoma,,,Raha ya Milele umpee Bwana na Mwanga wa Milele umwangazie apumzike kwa Amani Mzee Mkapa AMINA

  • @maikolugenge186

    @maikolugenge186

    4 жыл бұрын

    A

  • @sarahanthony3055
    @sarahanthony30554 жыл бұрын

    Mkapa alikuwa mwanahabari hasa,daima tutakukumbuka

  • @neemamturi3273
    @neemamturi32734 жыл бұрын

    Daaa hadi naishiwa maneno😭😭😭😭😭R I P Baba tutakukumbuka daima.

  • @khamissalum431

    @khamissalum431

    4 жыл бұрын

    Mungu amuweke mahala panapostahiki aaaaaaaamin

  • @timothmwakakusyu4563

    @timothmwakakusyu4563

    4 жыл бұрын

    @@khamissalum431 😬😬😬🙌🙌🙌🙌🙌

  • @jenyyusuph4973

    @jenyyusuph4973

    4 жыл бұрын

    @@khamissalum431 Sasa itabidi tuseme MUNGU AWALAZE MAHALA PEMA MAANA DUUH KIUKWELI KESHO YETU NI NZITO

  • @romaedward6871
    @romaedward68714 жыл бұрын

    Mzeewetu apumzike kwaamani Mungu aliye juu atasikia kiliochetu ,mzee hakika umetutangulia tulikupendasana.

  • @iddjumanne2369
    @iddjumanne23694 жыл бұрын

    Mungu akulaze mahali pema amin

  • @emanueljinai7613
    @emanueljinai76134 жыл бұрын

    Nyerere.alikufa.alhamis.na.mkapa.alhamis

  • @rehemadavid1719
    @rehemadavid17194 жыл бұрын

    Ulitangaz kifo cha mwenzio nawe magu katangaz chako dah! Mbele yak nyuma etu

  • @t1910j

    @t1910j

    4 жыл бұрын

    “Ulitangaz” na “yak”??

  • @japhetisraelsmafie997
    @japhetisraelsmafie9974 жыл бұрын

    ninachokiamini sote tulio hai ipo siku tutarudi mavumbini , tangulia kwa amani ipo siku tutaonana,,tena.

  • @antonymwajombe8536
    @antonymwajombe85364 жыл бұрын

    Mungu amupunguzie adhabu ya kabuli

  • @mohamedmnyigane8410
    @mohamedmnyigane84104 жыл бұрын

    Sababu ya kifo cha baba wataifa ni kansa ya damu. Vip kifo cha mkapa?

  • @aludomakori4230

    @aludomakori4230

    4 жыл бұрын

    Familia ilieleza hukusikia?

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph49734 жыл бұрын

    Masikini taarifa aliitoa kwaajili zote ya baba wa Taifa NAJUA WENGI KIFO CHA BABA WA TAIFA KITAWASHITU SANA NA WENGINE WATASHIKWA NA WASI WASI NI KWELI WTZ WALIMTEGEMEA SAANA BABA WA TAIFA MUNGU WETU TUPE MWISHO UNAOKUPENDEZA

  • @farajmakelemo5652
    @farajmakelemo56524 жыл бұрын

    Sisi sote tunapita tangulia baba. Nasi tupo nyuma yako

  • @fatumaramadhanmashaallahal9966
    @fatumaramadhanmashaallahal99664 жыл бұрын

    Ina lilah waina ilahi rajiu

  • @salehhamadi6070

    @salehhamadi6070

    4 жыл бұрын

    soma dini yako

  • @florencebudoya3814
    @florencebudoya38144 жыл бұрын

    Mkapa kweli ni Journalist,taarifa yake ina content zote; Nani ?Saa ngapi?Wapi?kwa nini?Pumzika kwa Amani Rais Mkapa.

  • @saidilivemba7326

    @saidilivemba7326

    4 жыл бұрын

    5W + H

  • @aludomakori4230

    @aludomakori4230

    4 жыл бұрын

    Tofautisha kifo Cha Nyerere na Cha Mkapa, Nyerere aliumwa na alifika mahali pa kukata tamaa,lkn kifo Cha Mkapa ilikuwa ghafla mtu uliteongea naye muda c mrefu na akakuambia anaendelea vzr ghafla unapata taarifa kafa unaanzaje kusema maneno meeeeengiii,just kutaarifu umma kilichotokea,kwanza inaonekana alilia kwanza ndo akaja kutangaza

  • @nuruelmsechu9213
    @nuruelmsechu92134 жыл бұрын

    Bernard morrison

  • @erastusempina4434
    @erastusempina44344 жыл бұрын

    Dah!! Mungu amlaze mahari pema peponi

  • @godfreybigeyo9105
    @godfreybigeyo91054 жыл бұрын

    Jpm alimeumia sana

  • @lawimwaipopo2147
    @lawimwaipopo2147 Жыл бұрын

    Kutangaza kwa heshima sana ndo huku

  • @lazarohamisi5202
    @lazarohamisi52024 жыл бұрын

    Hakika Maisha Ni Mtukio

  • @al-bsaidykhalef6897
    @al-bsaidykhalef68974 жыл бұрын

    Kucheka sio furaha zamu kwa zamu kutangazana.

  • @charlesnassary6689
    @charlesnassary66894 жыл бұрын

    duu

  • @francistsii5135
    @francistsii51354 жыл бұрын

    Binafsi naona jpm namuona ana maumivu

  • @dolfinamatiasi7495

    @dolfinamatiasi7495

    4 жыл бұрын

    Rais Magufuli anonekana amelia Sana pia hakutegemea kifo hicho

  • @setholivier4862

    @setholivier4862

    4 жыл бұрын

    mi navyo ona nikama ana usingizi

  • @oxygen9603

    @oxygen9603

    4 жыл бұрын

    @@setholivier4862 umenena mzee alikua na usingizi yule hahaha

  • @godfreybigeyo9105
    @godfreybigeyo91054 жыл бұрын

    Du

  • @hasheemsaleeh6551
    @hasheemsaleeh6551 Жыл бұрын

    F

  • @amanmohd9435
    @amanmohd94354 жыл бұрын

    Wao wameshika Muungano Muungano ..Kuna siri gani KUPITIA Muungano huu

  • @TheMandela21

    @TheMandela21

    4 жыл бұрын

    Jitoe kwenye muungano kama unakukwaza

  • @TheMandela21

    @TheMandela21

    4 жыл бұрын

    Wazanzibari hamuishi kulalamika

Келесі