MKAPA ALIVYOTANGAZA KIFO CHA MWL NYERERE || MAGUFULI ALIVYOTANGAZA KIFO CHA MKAPA KWA UCHUNGU
Aliyekuwa Rais wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa alitangaza kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kwa UCHUNGU huku akiwa amembatana na makamu wake wa Rais, Dk Omari Ali Juma na waziri wake mkuu Frederick Sumaye. Leo Ijumaa, Julai 24, 2020 Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Magufuli ametangaza kifo cha Mkapa kwa uchungu akieleza alifariki akiwa hospitalini jijini Dar es Salaam
Пікірлер: 39
Msikosoe sana Ndg JPM hajaandika;;Hayati Mkapa alikua anasoma,,,Raha ya Milele umpee Bwana na Mwanga wa Milele umwangazie apumzike kwa Amani Mzee Mkapa AMINA
@maikolugenge186
4 жыл бұрын
A
Mkapa alikuwa mwanahabari hasa,daima tutakukumbuka
Daaa hadi naishiwa maneno😭😭😭😭😭R I P Baba tutakukumbuka daima.
@khamissalum431
4 жыл бұрын
Mungu amuweke mahala panapostahiki aaaaaaaamin
@timothmwakakusyu4563
4 жыл бұрын
@@khamissalum431 😬😬😬🙌🙌🙌🙌🙌
@jenyyusuph4973
4 жыл бұрын
@@khamissalum431 Sasa itabidi tuseme MUNGU AWALAZE MAHALA PEMA MAANA DUUH KIUKWELI KESHO YETU NI NZITO
Mzeewetu apumzike kwaamani Mungu aliye juu atasikia kiliochetu ,mzee hakika umetutangulia tulikupendasana.
Mungu akulaze mahali pema amin
Nyerere.alikufa.alhamis.na.mkapa.alhamis
Ulitangaz kifo cha mwenzio nawe magu katangaz chako dah! Mbele yak nyuma etu
@t1910j
4 жыл бұрын
“Ulitangaz” na “yak”??
ninachokiamini sote tulio hai ipo siku tutarudi mavumbini , tangulia kwa amani ipo siku tutaonana,,tena.
Mungu amupunguzie adhabu ya kabuli
Sababu ya kifo cha baba wataifa ni kansa ya damu. Vip kifo cha mkapa?
@aludomakori4230
4 жыл бұрын
Familia ilieleza hukusikia?
Masikini taarifa aliitoa kwaajili zote ya baba wa Taifa NAJUA WENGI KIFO CHA BABA WA TAIFA KITAWASHITU SANA NA WENGINE WATASHIKWA NA WASI WASI NI KWELI WTZ WALIMTEGEMEA SAANA BABA WA TAIFA MUNGU WETU TUPE MWISHO UNAOKUPENDEZA
Sisi sote tunapita tangulia baba. Nasi tupo nyuma yako
Ina lilah waina ilahi rajiu
@salehhamadi6070
4 жыл бұрын
soma dini yako
Mkapa kweli ni Journalist,taarifa yake ina content zote; Nani ?Saa ngapi?Wapi?kwa nini?Pumzika kwa Amani Rais Mkapa.
@saidilivemba7326
4 жыл бұрын
5W + H
@aludomakori4230
4 жыл бұрын
Tofautisha kifo Cha Nyerere na Cha Mkapa, Nyerere aliumwa na alifika mahali pa kukata tamaa,lkn kifo Cha Mkapa ilikuwa ghafla mtu uliteongea naye muda c mrefu na akakuambia anaendelea vzr ghafla unapata taarifa kafa unaanzaje kusema maneno meeeeengiii,just kutaarifu umma kilichotokea,kwanza inaonekana alilia kwanza ndo akaja kutangaza
Bernard morrison
Dah!! Mungu amlaze mahari pema peponi
Jpm alimeumia sana
Kutangaza kwa heshima sana ndo huku
Hakika Maisha Ni Mtukio
Kucheka sio furaha zamu kwa zamu kutangazana.
duu
Binafsi naona jpm namuona ana maumivu
@dolfinamatiasi7495
4 жыл бұрын
Rais Magufuli anonekana amelia Sana pia hakutegemea kifo hicho
@setholivier4862
4 жыл бұрын
mi navyo ona nikama ana usingizi
@oxygen9603
4 жыл бұрын
@@setholivier4862 umenena mzee alikua na usingizi yule hahaha
Du
F
Wao wameshika Muungano Muungano ..Kuna siri gani KUPITIA Muungano huu
@TheMandela21
4 жыл бұрын
Jitoe kwenye muungano kama unakukwaza
@TheMandela21
4 жыл бұрын
Wazanzibari hamuishi kulalamika